Vazi la Mnyika Laleta Kizaazaa Bungeni, Awatemea Mbovu Wabunge wa CCM

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 2. 07. 2017
  • Mbunge wa Kibamba, John Mnyika, leo ameibua mjadala wakati akichangia muswada wa merekebisho ya sheria za maliasili na utalii ambapo wakati akichangia, mbunge Goodluck Mlinga alisimama na kutoa hoja kwamba Mnyika alikuwa amekiuka kanuni za bunge kwa kuvaa nguo zinazofanana na za trafiki.
    Hoja hiyo ilifafanuliwa na Naibu Spika, Tulia Ackson kuwa alichokivaa ni suti kwa hiyo hakuna tatizo.
    Mheshimiwa Mnyika alipopewa nafasi ya kuendelea, aliwajia juu wabunge wa CCM na kudai kwamba wanaabudu Miungu badala ya Mungu
    Ndiyo maana wanashindwa kuelewa. Mnyika alienda mbali zaidi na kunukuu Biblia akiendelea kusisitiza kwamba Wabunge wa CCM wanaabudu miungu na sanamu.
    Visit globalpublishers.co.tz/, Subscribe / uwazi1
    Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya…
    / uwazi1
    / uwazi1
    / uwazi1
    WEBSITE: globalpublishers.co.tz/
    FACEBOOK: / globalpublishers
    TWITTER: / globalhabari
    INSTAGRAM: / globalpublishers

Komentáře • 127

  • @kastokyando5347
    @kastokyando5347 Před 4 lety +1

    Duhh hiyo style is good

  • @sumalago864
    @sumalago864 Před 7 lety +8

    Huyo mlinga tuangalie background yake' Amini Nawaambia. .!!.. 💣 💥

  • @ayubumapunda671
    @ayubumapunda671 Před 6 lety +1

    safi good idea mnyika

  • @bonabonala7685
    @bonabonala7685 Před 6 lety +3

    Safi naibu spikar upo vizuri

  • @mujahidhakeemhakeem1134
    @mujahidhakeemhakeem1134 Před 7 lety +9

    spika amesimamia hajafanya upendeleo safi sana

  • @jozeeedozeee4094
    @jozeeedozeee4094 Před 6 lety +1

    uyo mama anafaa sana anauelewa mpana wakuongoza bunge ubarikiwe mama

  • @thadeipeter2592
    @thadeipeter2592 Před 7 lety +6

    Naibu spika anatenda haki.cyo kama yule mzee wa kigogo.

  • @tanzaniayetu6973
    @tanzaniayetu6973 Před 7 lety +17

    mlinga akiwa bungeni ana wakilisha ze comedy show pamoja n mizengo ya ITV

  • @davidmbilinyi4198
    @davidmbilinyi4198 Před 6 lety +1

    naibu spika sasa uko safi endelea hivyo mungu atakukupa mema

  • @charlesmartin1448
    @charlesmartin1448 Před 7 lety +2

    sawa sawa huyu mlinga wa wapi Tanzania bado tupo nyuma ni kazi kweli

  • @ephremmtuya3094
    @ephremmtuya3094 Před 7 lety +6

    Kujadili mavazi ni kupoteza muda wa Bunge

  • @britonngale365
    @britonngale365 Před 7 lety +2

    Ahsante Tulia

  • @rashidsleman5545
    @rashidsleman5545 Před 7 lety +5

    hata baadhi ya CCM wako wenye akili lakini wanaogopa kuchangia ukweli maana wataambiwa wapinzani tulimuona Magufuli alikuwa hawezi kusema au kutenda kama haya hivi Sasa kwasababu alikua anaogopa kuwapinga wa juu yake ndio tatizo la CCM na Tanzania mtu akichaguliwa kuwa yeye asimamie Jambo anajiona anakili kuliko wengine hawajui maarifa ya wengi ndio akili

  • @jamilaismail5227
    @jamilaismail5227 Před 7 lety +1

    yani uyo sijui Mlinga mbona analeta masihara wakati watu wanataka maendeleo ya nnchi kweli Alf akitoka apo analipwa pesa ,inasikitisha Sana na Bi Tulia umenifurahisha Sana wanataka kuleta mchezo wakati wa kazi na ingetokea siku moja mmbunge wa ccm akileta ujinga nae atolewe nnje ili iwe fundisho na wabunge waheshimiane.

  • @pastoryemmanuel3277
    @pastoryemmanuel3277 Před 7 lety +7

    iv awa watu wakikutana ata barabaran wanasalimiana kwel😟😟

  • @iddiibrahim5963
    @iddiibrahim5963 Před 7 lety +1

    Nakupongeza naibu spika endelea na kusimamia haki kwa wanyonge

  • @ramadhanibrahim7619
    @ramadhanibrahim7619 Před 7 lety +11

    Huyu Mlinga zero

  • @kbdmsafi_tz8094
    @kbdmsafi_tz8094 Před 6 lety +1

    haleluyaaaaaa

  • @alialibablly7010
    @alialibablly7010 Před 5 lety +1

    Kama sauti hiyo ni ya mpinzani angetolewa nje lakini ni wa ccm kazi endelee

  • @mahmoudukusso4488
    @mahmoudukusso4488 Před 7 lety +13

    poleni waTZ wenzangu kama hii ndio aina ya wabunge tuliyo nao

  • @abdallahhamza9689
    @abdallahhamza9689 Před 6 lety +6

    Ndio madhara yakuchagua darasa la saba

  • @mtawalanyazirari376
    @mtawalanyazirari376 Před 7 lety +4

    Mnyika unapokuwa na point acha kuweka mbwembwe unapoteza maana... unaanza kampeni bungeni nani atakusikiliza ndugu yangu?

  • @bushmendatoga4754
    @bushmendatoga4754 Před 7 lety +4

    hivi huyu mlinga amepitaje jamani mbona ni kama hana akili.....

  • @abdalahkombo4975
    @abdalahkombo4975 Před 6 lety +4

    wabunge kama mnyika ndio wanaofaa

  • @saidmj9213
    @saidmj9213 Před 6 lety +1

    Safiii naibu spika

  • @stevensenghana4584
    @stevensenghana4584 Před 7 lety

    jembe mnyika amerudi na moto saafi sana mimi kwa mzee Magu anafanya kazi ila kuna mijitu bendera fuata upepo kazi kusimama ivi mara vile

  • @susanafabiani3468
    @susanafabiani3468 Před 6 lety +1

    kweli ccm nishidaa

  • @siamollel9725
    @siamollel9725 Před 6 lety +2

    Mlinga acha ujinga watanzania tunataka hoja hatuangaliii suti zenu

  • @glorykweka1631
    @glorykweka1631 Před 7 lety +4

    Mmhh! duniani kuna watu jamani! mliomchagua huyu mbunge mna hasara kubwa au hizi komedi ndo aliagizwa afanye humo bungeni? Hovyoooo

  • @mangiclaus
    @mangiclaus Před 7 lety +7

    huyu jamaa hatakiwi bungeni

  • @ibrahimgwasma235
    @ibrahimgwasma235 Před 4 lety

    Hivi ukiwa mpinzani lzm uwe Kama vile,,Kila kitu unaona ni kosa tu ,, yaani Kama vile tunadai Uhuru duh!

  • @saullikrchristopher3636

    spika hongera sana huna upendeleo

  • @ellyms5581
    @ellyms5581 Před 7 lety +5

    hahahahaaaa wapinzani wameamua kuwa wahubiri duh boraa haha magufuli mwisho ya maneno penda usipende utamtumikia Mungu coz pa kuiba Hakuna tena hahahaaa

  • @marthasilas4304
    @marthasilas4304 Před 7 lety +1

    bunge: muda mrefu mpaka hawana tena ya kujadili wanaanza kujadili mavazi

  • @janethkiswaga5847
    @janethkiswaga5847 Před 6 lety

    Pole yenu wana ulanga

  • @ruzukually9982
    @ruzukually9982 Před 5 lety +1

    jamani ulaga hili jamaa mliga nichizi

  • @reganjuma152
    @reganjuma152 Před 7 lety +14

    mnyika oyoooooooo ila wapinzani vichwa balaaaaaa yaaaani wana akili kuliko nimependa sana

    • @zakiamseka9698
      @zakiamseka9698 Před 6 lety

      😨😨

    • @petromsanga9127
      @petromsanga9127 Před 4 lety

      Tafadhali WABUNGE mnapokuwa bungeni .JADILINI mambo ya MANUFAA kwetu nasiyo yasiyo na MANUFAA kwetu MAVAZI sisi TUNANUFAIKA mini,,,

  • @lucyleopold3324
    @lucyleopold3324 Před 7 lety

    huyu mlinga wananchi wake 2020 wasimrudishe kwakweli very sad na bunge letu

  • @joshuawerema5799
    @joshuawerema5799 Před 7 lety +13

    mtu tahila kama huyu anafata nini bungeni

  • @meshacksanga3348
    @meshacksanga3348 Před 6 lety

    sawa mkuu

  • @bakariali4026
    @bakariali4026 Před 7 lety +10

    yani mtu anapoteza mda kijinga kuomba taarifa akisha analeta ujinga sasa mavazi ya nini ,,,,yani hii ccm haiondoki tu madarakani kwa nini ?ewe ALLAH pokea dua yetu hawa watu watoke maana tushawachoka hawa wanakera sana

    • @ellyms5581
      @ellyms5581 Před 7 lety +2

      hahahahaaa 2020 wala hawapigi kampen kiulainiiiiiiiii

  • @abdallahhamza9689
    @abdallahhamza9689 Před 6 lety +1

    Darasa la saba wasiingie tena bungeni

  • @sangwanimkandawire7725
    @sangwanimkandawire7725 Před 7 lety +3

    yaan kuna wabunge wanacheka kabisaa??

  • @famally7138
    @famally7138 Před 7 lety +10

    hehehehehheheeh haki ya mungu kuna watu saa mbovu

  • @omarykikambaa3102
    @omarykikambaa3102 Před 6 lety

    mlinga anacomed bungeni yupo silias jimboni...!! mnyika yupo silias yupo bungeni lkn yupo na comed bungeni!!.

  • @mkwechemedy9929
    @mkwechemedy9929 Před 7 lety +7

    Huyo jamaa kama angekua wa chadema Angefukuzwa

  • @bonabonala7685
    @bonabonala7685 Před 6 lety

    Mnyika uripo 2po nawewe vita ya Kuondoa ccm kwa kutoichagua ccm nimekuerewa

  • @daudcosmas1704
    @daudcosmas1704 Před 4 lety

    Hiyo nayo hoja kutoka kwa mringa

  • @sophiamhando5870
    @sophiamhando5870 Před 6 lety

    Kweli kabisa katiba ya mwaka 1977 imempa rais mamulaka makubwa mno!

  • @foibennjeje7730
    @foibennjeje7730 Před 5 lety

    Safari bado Mwaitege such hiyo

  • @sazafsuma7542
    @sazafsuma7542 Před 6 lety

    kweli hili bunge lambumbu jambo lisilo maana hupewa kipaombele

  • @daudcosmas1704
    @daudcosmas1704 Před 4 lety

    Kinachoniuma nipo kwenye jimbo la mlinga

  • @hamzaliganga7437
    @hamzaliganga7437 Před 4 lety

    Yaani ili bunge la Tanzania ni shiida

  • @rosemarybenjamin5866
    @rosemarybenjamin5866 Před 7 lety

    uyu ndo yupo makin na sheria na taratib za bung,,,lkin

  • @chachalucas4390
    @chachalucas4390 Před 7 lety +1

    mnyika kiboko,upinzan juu

  • @ayubusanga5414
    @ayubusanga5414 Před 7 lety +2

    Mlinga ni komedian

  • @sazafsuma7542
    @sazafsuma7542 Před 6 lety

    ccm wao kushindana mavazi tu bungeni

  • @bakarikitayage5687
    @bakarikitayage5687 Před 5 lety

    2020 sitapoteza kura yangu , mnyika anza kutafuta kazi ya kufanya, utoto baɗo unakusumɓua

  • @deobajutha8805
    @deobajutha8805 Před 7 lety +13

    Kule ulanga mmepeleka chizi bungeni

  • @nuhumhagama2123
    @nuhumhagama2123 Před 6 lety +1

    huyo mlinga ni zero brain kabisa Bishop Gwajima sayed that 'zero on brain translates zero on action and thinking "

  • @msamajames7663
    @msamajames7663 Před 4 lety

    Mnaacha mada za kujenga nchi vinaongelewa vitu feki duh

  • @timothkivamba9122
    @timothkivamba9122 Před 7 lety

    Sio kampen ila nimifano na dalilii ya kitu kinacho tazamiwa kutokea

  • @omarymbalala6224
    @omarymbalala6224 Před 7 lety

    Ili bunge kweli dahifu yani kila anachosema wa CCM ni kuzuri wanapigiwa makofi dah ila alisema ukawa inakua gunzo

  • @allannaftal5200
    @allannaftal5200 Před 7 lety

    kumbe kuna wabunge hawajitambui na sheria hawazusomi vzur

  • @kamgishakaganda5506
    @kamgishakaganda5506 Před 6 lety

    Katba nidra yanchi,lakn ccm hawaitaki dira yawananchi,2waondoe2.

  • @nurdinrashidi4032
    @nurdinrashidi4032 Před 6 lety

    huyo mbunge was ccm ameenda kuchunguza mavaz au kutetea wananch shida kweli

  • @chrisleona3098
    @chrisleona3098 Před 7 lety

    Hivi huyu kaenda bingeni kuwakilisha wanachi au komedy

  • @hosianakombe3942
    @hosianakombe3942 Před 7 lety

    bunge lina mambo hil

  • @idreamfoto
    @idreamfoto Před 7 lety +7

    Mlinga Dah! Unazingua Hahaha

  • @winifirdamayara2419
    @winifirdamayara2419 Před 6 lety

    mbona Yuko vizur

  • @elirehemalodasu671
    @elirehemalodasu671 Před 7 lety +1

    Mradi tu naye aonekane amesimama na kuchangia

  • @danieliskander9680
    @danieliskander9680 Před 6 lety

    Kuna utani wa ajabu kabisakwa wabunge

  • @bakariali4026
    @bakariali4026 Před 7 lety +1

    ulaini !uo sio ulaini ni wizi tu ndo unawasaidia

    • @eliarichard8324
      @eliarichard8324 Před 7 lety

      huwezi waelwa kwa akil zko ndogo kama wabunge wa ccm

  • @abiyoomab1976
    @abiyoomab1976 Před 6 lety

    Bunge la bongo bwana utani mwingi

  • @hechechacha4032
    @hechechacha4032 Před 7 lety +1

    vijana wajinga kama huyu
    anayeitwa mlinga Hana mwelekeo kabisa

  • @egfridmkoba4767
    @egfridmkoba4767 Před 6 lety

    Huyu anazungumza kampeni za uchaguzi

  • @shukranswai9701
    @shukranswai9701 Před 6 lety

    Mlinga kapimwe mkojo kwa mkemia unafanya zekomedi wwe chura

  • @georgedominic2923
    @georgedominic2923 Před 7 lety

    Mtu anasimama kutoa taarfa ambayo haina msingi daah

  • @dastaniguni5599
    @dastaniguni5599 Před 6 lety

    Bunge kutoonyeshwa bhana

  • @archbordygodfrey7770
    @archbordygodfrey7770 Před 6 lety

    Zeroooo huyu mlinga ...hawa ndo waizi wa kura kisayansi....

  • @enockelisha6394
    @enockelisha6394 Před 4 lety +1

    😂😂😂🥂

  • @margarethsolomon9823
    @margarethsolomon9823 Před 7 lety +3

    Umeharibu kila kitu Mnyika. Pole sana sana sana. Uongozi hautafutwi hivyo. Vita hatuvitaki. Ngonjera hiyooooooooooooooo. uko nje ya point.

    • @kulwajames4178
      @kulwajames4178 Před 7 lety

      Margareth Solomon hujui lolote ww n mjnga tu, mnyika anaongea point

    • @vailethkihunrwa5770
      @vailethkihunrwa5770 Před 6 lety

      kazi tunayo

    • @majidchita5070
      @majidchita5070 Před 5 lety

      Margareth Solomon we ni kiazi

    • @stanslausmteme8455
      @stanslausmteme8455 Před 5 lety

      umeambiwa c vita ya siraha ni vita ya siasa na uchumi Hata Mh.Rais alisema kuhusu kuungana kwa vita ya uchumi

  • @edsonsibuti6914
    @edsonsibuti6914 Před 7 lety

    acheni ujinga nyie mnacomment msichokijua

  • @rosemarybenjamin5866
    @rosemarybenjamin5866 Před 7 lety

    lkin kaamua tu kutuchekesha

  • @samsonjoseph1231
    @samsonjoseph1231 Před 6 lety

    😅😅

  • @justinemgomi9561
    @justinemgomi9561 Před 7 lety

    huo ukoloni duuu nchi ya kijinga sana hiiii

  • @daudimaguha9447
    @daudimaguha9447 Před 6 lety

    Mlinga fanya mambo, uko vizuri

  • @justinemgomi9561
    @justinemgomi9561 Před 7 lety +6

    huyu mlinga ni kama ccm wote

  • @charlesmagere9020
    @charlesmagere9020 Před 7 lety

    hovyoooo......kabisa.. Mnyika hujui taratibu za utumishi wa umma? sema naibu spika kakutetea....lakni umekuwa kichwa maji sana

  • @tyytgyut884
    @tyytgyut884 Před 6 lety

    Bola ningezaliwa uraya daah

  • @bujalulambo696
    @bujalulambo696 Před 7 lety

    Yaani? Mnataniana bungeni

    • @mariamupeter5370
      @mariamupeter5370 Před 7 lety

      buja lulambo 🏃🏃🏃🏃🏃

    • @wilbertmmole6830
      @wilbertmmole6830 Před 7 lety +1

      Mariamu Peter uyu mlinga akachunguzwe akili

    • @mariamupeter5370
      @mariamupeter5370 Před 7 lety +1

      Wilbert Mmole 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @bujalulambo696
      @bujalulambo696 Před 7 lety

      Mambo ya trafki yann?

    • @lotasaruakimakambu6949
      @lotasaruakimakambu6949 Před 6 lety

      buja lulambo Sijaelewa runakoelekea. Taiga linalomwaga DAMU za watu ni TAIFA lililopotoka. Watu wataendelea Julia mpaka link? Tujkulize ! Ina maana Mungu anapendezwa na Damu zinazomwagwa!
      La hasha! Ikosiku anayoijua BWANA wa majeshi NATO itakuwa Sikh ya kilio n kusaga meno kwa wale wanaohusika kuyarenda haya. Ole wao wanasababisha umwagaji was damu isiyokuwa na hatia Mungu ananggjea kikombe chake kifurike.SAA ya Bwana imekaribia.
      TANZANIA na Watu wake ni Mali ya Bwana.
      EWE MUNGU IPONYE NA KUTUOKOA WATANZANIA KATIKA JINA LA YESU!EWE BWANA WA VITATUPIGANIE BWANA SISI WENYEWE HATUWEZI INGILIA KATI VITA HIINI YKO BWANA KATIKA JINA LIPITALO MAJINA YOTE MJINA LA YESU
      NIMEOMBA. NA NDIVYO ITAKAVYOKUWA NIMENENA AMEN.

  • @habibushaban672
    @habibushaban672 Před 5 lety

    Elimu in bahari

  • @geraldmbhosy8043
    @geraldmbhosy8043 Před 7 lety

    mnyika ovyo asubiri 2020 agaragazwe

  • @saidwilson6529
    @saidwilson6529 Před 7 lety

    iv huyu mlinga alichaguliwa na wananchi au aliteuliwa na magu

    • @Adryfierce
      @Adryfierce Před 7 lety

      said wilson yan huyu mtu ni tahila cjui linakera yani

    • @jalaljalal5258
      @jalaljalal5258 Před 7 lety

      said wilson hahahahahhaaaa Vito maalumu

    • @doardbange4407
      @doardbange4407 Před 7 lety

      alilithishwa.mtoto wa kombani uyo

  • @saidwilson6529
    @saidwilson6529 Před 7 lety

    mtoe huyo aliyekuwa anazunguza huko

  • @atheistblood8568
    @atheistblood8568 Před 7 lety

    daaah iv hawa wako makini kweli uyu mlinga nae vip tena?!

    • @mariamupeter5370
      @mariamupeter5370 Před 7 lety

      KHALIFA VINNIE 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @chachalucas4390
    @chachalucas4390 Před 7 lety +1

    mnyika kiboko,upinzan juu

  • @UlimeA
    @UlimeA Před 7 lety

    upo right ila huwa unaboaa unapopiga kampeniii za kipuuz