Vazi la Mnyika Laleta Kizaazaa Bungeni, Awatemea Mbovu Wabunge wa CCM
Vložit
- čas přidán 2. 07. 2017
- Mbunge wa Kibamba, John Mnyika, leo ameibua mjadala wakati akichangia muswada wa merekebisho ya sheria za maliasili na utalii ambapo wakati akichangia, mbunge Goodluck Mlinga alisimama na kutoa hoja kwamba Mnyika alikuwa amekiuka kanuni za bunge kwa kuvaa nguo zinazofanana na za trafiki.
Hoja hiyo ilifafanuliwa na Naibu Spika, Tulia Ackson kuwa alichokivaa ni suti kwa hiyo hakuna tatizo.
Mheshimiwa Mnyika alipopewa nafasi ya kuendelea, aliwajia juu wabunge wa CCM na kudai kwamba wanaabudu Miungu badala ya Mungu
Ndiyo maana wanashindwa kuelewa. Mnyika alienda mbali zaidi na kunukuu Biblia akiendelea kusisitiza kwamba Wabunge wa CCM wanaabudu miungu na sanamu.
Visit globalpublishers.co.tz/, Subscribe / uwazi1
Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya…
/ uwazi1
/ uwazi1
/ uwazi1
WEBSITE: globalpublishers.co.tz/
FACEBOOK: / globalpublishers
TWITTER: / globalhabari
INSTAGRAM: / globalpublishers
Duhh hiyo style is good
Huyo mlinga tuangalie background yake' Amini Nawaambia. .!!.. 💣 💥
safi good idea mnyika
Safi naibu spikar upo vizuri
spika amesimamia hajafanya upendeleo safi sana
uyo mama anafaa sana anauelewa mpana wakuongoza bunge ubarikiwe mama
Naibu spika anatenda haki.cyo kama yule mzee wa kigogo.
mlinga akiwa bungeni ana wakilisha ze comedy show pamoja n mizengo ya ITV
atakuwa Shiva anamtafuta kaka YAKE kinguvu
naibu spika sasa uko safi endelea hivyo mungu atakukupa mema
sawa sawa huyu mlinga wa wapi Tanzania bado tupo nyuma ni kazi kweli
Kujadili mavazi ni kupoteza muda wa Bunge
Ahsante Tulia
hata baadhi ya CCM wako wenye akili lakini wanaogopa kuchangia ukweli maana wataambiwa wapinzani tulimuona Magufuli alikuwa hawezi kusema au kutenda kama haya hivi Sasa kwasababu alikua anaogopa kuwapinga wa juu yake ndio tatizo la CCM na Tanzania mtu akichaguliwa kuwa yeye asimamie Jambo anajiona anakili kuliko wengine hawajui maarifa ya wengi ndio akili
yani uyo sijui Mlinga mbona analeta masihara wakati watu wanataka maendeleo ya nnchi kweli Alf akitoka apo analipwa pesa ,inasikitisha Sana na Bi Tulia umenifurahisha Sana wanataka kuleta mchezo wakati wa kazi na ingetokea siku moja mmbunge wa ccm akileta ujinga nae atolewe nnje ili iwe fundisho na wabunge waheshimiane.
iv awa watu wakikutana ata barabaran wanasalimiana kwel😟😟
Nakupongeza naibu spika endelea na kusimamia haki kwa wanyonge
Huyu Mlinga zero
haleluyaaaaaa
Kama sauti hiyo ni ya mpinzani angetolewa nje lakini ni wa ccm kazi endelee
poleni waTZ wenzangu kama hii ndio aina ya wabunge tuliyo nao
Hahahahaahh tumerogwa
Pole ww usiejielewa
Kazi IPO kwa uyo mbunge sijui wa wapi unasimama na kuanza kuomba muongozo "kava Nguo za traffic"??
Ndio madhara yakuchagua darasa la saba
Mnyika unapokuwa na point acha kuweka mbwembwe unapoteza maana... unaanza kampeni bungeni nani atakusikiliza ndugu yangu?
hivi huyu mlinga amepitaje jamani mbona ni kama hana akili.....
wabunge kama mnyika ndio wanaofaa
Safiii naibu spika
jembe mnyika amerudi na moto saafi sana mimi kwa mzee Magu anafanya kazi ila kuna mijitu bendera fuata upepo kazi kusimama ivi mara vile
kweli ccm nishidaa
Mlinga acha ujinga watanzania tunataka hoja hatuangaliii suti zenu
Mmhh! duniani kuna watu jamani! mliomchagua huyu mbunge mna hasara kubwa au hizi komedi ndo aliagizwa afanye humo bungeni? Hovyoooo
huyu jamaa hatakiwi bungeni
Hivi ukiwa mpinzani lzm uwe Kama vile,,Kila kitu unaona ni kosa tu ,, yaani Kama vile tunadai Uhuru duh!
spika hongera sana huna upendeleo
hahahahaaaa wapinzani wameamua kuwa wahubiri duh boraa haha magufuli mwisho ya maneno penda usipende utamtumikia Mungu coz pa kuiba Hakuna tena hahahaaa
bunge: muda mrefu mpaka hawana tena ya kujadili wanaanza kujadili mavazi
Pole yenu wana ulanga
jamani ulaga hili jamaa mliga nichizi
mnyika oyoooooooo ila wapinzani vichwa balaaaaaa yaaaani wana akili kuliko nimependa sana
😨😨
Tafadhali WABUNGE mnapokuwa bungeni .JADILINI mambo ya MANUFAA kwetu nasiyo yasiyo na MANUFAA kwetu MAVAZI sisi TUNANUFAIKA mini,,,
huyu mlinga wananchi wake 2020 wasimrudishe kwakweli very sad na bunge letu
mtu tahila kama huyu anafata nini bungeni
Joshua werema k
sawa mkuu
yani mtu anapoteza mda kijinga kuomba taarifa akisha analeta ujinga sasa mavazi ya nini ,,,,yani hii ccm haiondoki tu madarakani kwa nini ?ewe ALLAH pokea dua yetu hawa watu watoke maana tushawachoka hawa wanakera sana
hahahahaaa 2020 wala hawapigi kampen kiulainiiiiiiiii
Darasa la saba wasiingie tena bungeni
yaan kuna wabunge wanacheka kabisaa??
hehehehehheheeh haki ya mungu kuna watu saa mbovu
mlinga anacomed bungeni yupo silias jimboni...!! mnyika yupo silias yupo bungeni lkn yupo na comed bungeni!!.
Huyo jamaa kama angekua wa chadema Angefukuzwa
Mnyika uripo 2po nawewe vita ya Kuondoa ccm kwa kutoichagua ccm nimekuerewa
Hiyo nayo hoja kutoka kwa mringa
Kweli kabisa katiba ya mwaka 1977 imempa rais mamulaka makubwa mno!
Safari bado Mwaitege such hiyo
kweli hili bunge lambumbu jambo lisilo maana hupewa kipaombele
Kinachoniuma nipo kwenye jimbo la mlinga
Yaani ili bunge la Tanzania ni shiida
uyu ndo yupo makin na sheria na taratib za bung,,,lkin
mnyika kiboko,upinzan juu
Mlinga ni komedian
ccm wao kushindana mavazi tu bungeni
2020 sitapoteza kura yangu , mnyika anza kutafuta kazi ya kufanya, utoto baɗo unakusumɓua
Kule ulanga mmepeleka chizi bungeni
hahahahahah
Deo Bajutha hahaahaa shda wanayoo
huyo mlinga ni zero brain kabisa Bishop Gwajima sayed that 'zero on brain translates zero on action and thinking "
Mnaacha mada za kujenga nchi vinaongelewa vitu feki duh
Sio kampen ila nimifano na dalilii ya kitu kinacho tazamiwa kutokea
Ili bunge kweli dahifu yani kila anachosema wa CCM ni kuzuri wanapigiwa makofi dah ila alisema ukawa inakua gunzo
kumbe kuna wabunge hawajitambui na sheria hawazusomi vzur
Katba nidra yanchi,lakn ccm hawaitaki dira yawananchi,2waondoe2.
huyo mbunge was ccm ameenda kuchunguza mavaz au kutetea wananch shida kweli
Hivi huyu kaenda bingeni kuwakilisha wanachi au komedy
bunge lina mambo hil
Mlinga Dah! Unazingua Hahaha
mbona Yuko vizur
Mradi tu naye aonekane amesimama na kuchangia
Elirehema Lodasu aonekane nae kuwa yumoo
Kuna utani wa ajabu kabisakwa wabunge
ulaini !uo sio ulaini ni wizi tu ndo unawasaidia
huwezi waelwa kwa akil zko ndogo kama wabunge wa ccm
Bunge la bongo bwana utani mwingi
vijana wajinga kama huyu
anayeitwa mlinga Hana mwelekeo kabisa
Huyu anazungumza kampeni za uchaguzi
Mlinga kapimwe mkojo kwa mkemia unafanya zekomedi wwe chura
Mtu anasimama kutoa taarfa ambayo haina msingi daah
Bunge kutoonyeshwa bhana
Zeroooo huyu mlinga ...hawa ndo waizi wa kura kisayansi....
Archbordy Godfrey kabsaaa
😂😂😂🥂
Umeharibu kila kitu Mnyika. Pole sana sana sana. Uongozi hautafutwi hivyo. Vita hatuvitaki. Ngonjera hiyooooooooooooooo. uko nje ya point.
Margareth Solomon hujui lolote ww n mjnga tu, mnyika anaongea point
kazi tunayo
Margareth Solomon we ni kiazi
umeambiwa c vita ya siraha ni vita ya siasa na uchumi Hata Mh.Rais alisema kuhusu kuungana kwa vita ya uchumi
acheni ujinga nyie mnacomment msichokijua
lkin kaamua tu kutuchekesha
😅😅
huo ukoloni duuu nchi ya kijinga sana hiiii
Mlinga fanya mambo, uko vizuri
huyu mlinga ni kama ccm wote
hovyoooo......kabisa.. Mnyika hujui taratibu za utumishi wa umma? sema naibu spika kakutetea....lakni umekuwa kichwa maji sana
Bola ningezaliwa uraya daah
Yaani? Mnataniana bungeni
buja lulambo 🏃🏃🏃🏃🏃
Mariamu Peter uyu mlinga akachunguzwe akili
Wilbert Mmole 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Mambo ya trafki yann?
buja lulambo Sijaelewa runakoelekea. Taiga linalomwaga DAMU za watu ni TAIFA lililopotoka. Watu wataendelea Julia mpaka link? Tujkulize ! Ina maana Mungu anapendezwa na Damu zinazomwagwa!
La hasha! Ikosiku anayoijua BWANA wa majeshi NATO itakuwa Sikh ya kilio n kusaga meno kwa wale wanaohusika kuyarenda haya. Ole wao wanasababisha umwagaji was damu isiyokuwa na hatia Mungu ananggjea kikombe chake kifurike.SAA ya Bwana imekaribia.
TANZANIA na Watu wake ni Mali ya Bwana.
EWE MUNGU IPONYE NA KUTUOKOA WATANZANIA KATIKA JINA LA YESU!EWE BWANA WA VITATUPIGANIE BWANA SISI WENYEWE HATUWEZI INGILIA KATI VITA HIINI YKO BWANA KATIKA JINA LIPITALO MAJINA YOTE MJINA LA YESU
NIMEOMBA. NA NDIVYO ITAKAVYOKUWA NIMENENA AMEN.
Elimu in bahari
mnyika ovyo asubiri 2020 agaragazwe
iv huyu mlinga alichaguliwa na wananchi au aliteuliwa na magu
said wilson yan huyu mtu ni tahila cjui linakera yani
said wilson hahahahahhaaaa Vito maalumu
alilithishwa.mtoto wa kombani uyo
mtoe huyo aliyekuwa anazunguza huko
daaah iv hawa wako makini kweli uyu mlinga nae vip tena?!
KHALIFA VINNIE 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
mnyika kiboko,upinzan juu
upo right ila huwa unaboaa unapopiga kampeniii za kipuuz