Mbunge wa Mbogwe amwaga machozi bungeni

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 11. 11. 2021
  • Mbunge was Mbogwe Nicodemus Maganga amemwaga machozi bungeni akisema wananchi wake wanauawa bila sababu za Msingi tangu ilipotokea kifo cha John Magufuli.
    "Wananiita kichaa, kila nikitaka kusema naambiwa Sina akili, Mheshimiwa Spika nimezaliwa mwaka 1980, nina akili timamu na sijawahi kufeli, lakini mnaweza kukuta tumeuana huko msishangae," Maganga.

Komentáře • 156

  • @emmanuelmayunga1518
    @emmanuelmayunga1518 Před 2 lety +15

    Mbunge nmependa confidence yako,msg imefika na umetetea watu wako..wapo wengi wanajua kusoma na wanaelimu kubwa ila kuzungumzia watu hawawezi KABISA waoga..big up kwako Maganga

  • @denyu9975
    @denyu9975 Před 2 lety +3

    Lala baba jpm yanii mimi roho yangu inaumaa sana Mungu tuonee Mungu tunakutegemeaa Mungu shukaa Mungu shukaa ujiziilishee Mungu jpm katuachaaa tunaliaaa sanaaa 🥲🥲🥲

  • @mwenem8130
    @mwenem8130 Před 2 lety +15

    Duu wawekezaji/WEZI wanaingia kwa kasi SANA. Rest in Power JPM#hapa Kazi Tuu

  • @josephjohn2114
    @josephjohn2114 Před 2 lety +1

    Ndo shida ya kupitisha wabunge vilaza...hoja nzuri sana lakini uwasilishaji sasa.....unazungumzia watu sio afya kutaja kabila lako au kuja kusema bungeni kisa tu ndugu yako ameguswa..hongera lakini kwa kufikisha ujumbe.

  • @isackakyoo6446
    @isackakyoo6446 Před 2 lety +3

    Pole Mbunge,hii ndiyo dunia

  • @abdallahmuttaq7306
    @abdallahmuttaq7306 Před 2 lety +7

    Wenyewe wenye nchi wamekwisha anza kuchanua makucha hakuna mwenye kukemea Kwa nguvu na kufuatilia

  • @peterbulugu1582
    @peterbulugu1582 Před 2 lety +1

    Hatari sana. Uhujumu uchumi unafanywa na serikali yenyewe. Ila akijaribu mtu binafsi anakamatwa sana

  • @marcobulili4341
    @marcobulili4341 Před 2 lety +3

    Usilie, hzo ndo siasa a bongo! Ukiwa mkweli we mjinga tu. Jamaa hawez kujieleza ndo shida, lkn ana kitu cha kusema cha msingi. Asikilizwe!

  • @abdulhamis9825
    @abdulhamis9825 Před 2 lety

    Asante Job Ndugai

  • @robertmgore3653
    @robertmgore3653 Před 2 lety +9

    Jpm milele

  • @salmaathuman9156
    @salmaathuman9156 Před 2 lety +2

    Hii ndo nchi yetu baba pole sana

  • @kambiyusufu7709
    @kambiyusufu7709 Před 2 lety

    Nice

  • @dchacha4
    @dchacha4 Před 2 lety +14

    Na mimi naomba kumuona waziri mkuu kule mkuranga wamechukua shamba la mama yangu, na polisi wanamlinda Kenya ambaye sie mzaliwa wa TZ. Mama yangu tangu 90s anasota na shamba lake la mchanga. Wizara ya madini Wala miaka 30 sahivi wanamzulumu.
    Eeh, magufuli naomba urudi utusaidie

    • @aishaaisharagp9381
      @aishaaisharagp9381 Před 2 lety +2

      Mtafute waziri wa Ardhi ndio mwenye mamlaka ya Ardhi ambae no waziri lukuvi

    • @salomemchewa5187
      @salomemchewa5187 Před 2 lety

      Pole dada mtu akiendaga huwa harudi, mungu atakupa njia nyingine

    • @omarykatongo4943
      @omarykatongo4943 Před 2 lety

      Ruka nao hao,,, ngedere hapelekewi kesi za nyani

    • @hadijamagufuli2661
      @hadijamagufuli2661 Před 2 lety +2

      My pole sana ila nasikitika kusema hivi mtetezi wetu alikuwa ni magufuli tu huku mwingne sio kwa kutegemea Sana hapa tutegemee mwenyezmungu pekee basi magufuli kashaondoka na mtu akishakufa ndio imetoka my 😭😭😭magufuli ndie aliekuwa anatupa tu maini ila huku hapana hapa bila mungu hatuwezi kupata haki zetu, hivyo basi muombe mungu mtegemee mungu atawasaidia kupata haki yenu mungu akupe njia yoyote Ile awezavyo ili mufanikishe hyo shida yenu namini mungu hashindwi kikubwa Imani tumuiamni kuwa Anaweza basi mungu asiwache pambana tu mungu yupo atakupa njia ya jinsi yakupata haki yenu

    • @ambwenedaniel358
      @ambwenedaniel358 Před 2 lety

      Nitafute dadaangu hatuwezi kuruhusu huo ujinga kwamba mgeni apewe kipaumbele kuliko raia.....

  • @briankatani8765
    @briankatani8765 Před 2 lety +6

    Hili bunge linasaidia nn has a!!!,lina faida gani

  • @peterbulugu1582
    @peterbulugu1582 Před 2 lety +2

    Kama ndivyo serikali mnafanya basi nchi inaenda kuwa na uvunjifu wa amani. Wanachi wanalia sana mpaka sasa. Nchi hii ni imekuwa ya viongozi2

  • @LigillahLigillah-jo5qo

    Nakubal sana Mwakilishi wangu bungen

  • @rasammudmar5455
    @rasammudmar5455 Před 2 lety +4

    Wabunge nyinyi mnatakiwa mutumie mamlaka yenu ipaswavyo bila kuionea serikali aibu la si hivyo sera na sheria mtakazozipitisha zinawasubiri mtaani
    Kuna watu wanajiandaa kuwang'oa tena msizani ni upnzani.
    Wakati wa kura za maoni ujamaa unangia mitini.
    Wabunge ilazimisheni serikali kwa kuitungia sheria ya kua mikataba yote mikubwa ije bungeni ijadiliwe kwa haki na uwazi ndio isainiwe na rais.
    Baraza la mawazir halitosh Kupitisha mikataba ya nchi nzima.
    Hemu jiulize rais anateua mawazir mwenyewe anaemtaka kwa kushauriana na wazir mkuu. Wakati wari mkuu mwenyewe anateuliwa na rais. Mtu pekee uliebaki ni spika ila wakati huo huo rais ni kiongoz wako wa chama. Nakusudi kusema nn. Pindi akitokezea mtu akimteka rais kwa namna yoyote ile ameiteka nchi nzima.

  • @radhiasalum7156
    @radhiasalum7156 Před 2 lety +1

    Pole Sana kaka😭😭😭

  • @baracksaidnkoba9108
    @baracksaidnkoba9108 Před 2 lety

    Hongera

  • @halimamasai2234
    @halimamasai2234 Před 2 lety +4

    Na kweli ataua mtu anaonekana amekasirika sana anauchungu

  • @denyu9975
    @denyu9975 Před 2 lety

    Tunaonewaaa sana sku hizi

  • @radhiasalum7156
    @radhiasalum7156 Před 2 lety

    Daaa mtihani

  • @frbm1729
    @frbm1729 Před 2 lety +3

    Ulale salamaaa, ulala salamaaaaa Jpm

  • @majutokwenyemsafarawamamba8815

    Mungu amlaze Mahala pema peponi jpm

  • @alluminiumexperttz.12mview13

    Hakuna kitu nachukia kama kusikia wabunge wakicheka wakati mwenzao anazungumza tena ishu serious kabisa.

  • @jelemiakalidushi.mkovizuri6763

    Mpakali hoye

  • @ndogoroedson9438
    @ndogoroedson9438 Před 2 lety +2

    Hayo hata huku mbarali yapo tanapa wamekuwa Mungu watu!

  • @mwakisukuli2124
    @mwakisukuli2124 Před 2 lety +3

    Mh. Jenista mhagama umeongea point sana, kwani mwenye wizara Kwanini asiseme Kwanini kutetea majipu hayo

  • @abuuthauran9933
    @abuuthauran9933 Před 2 lety

    Duh!!!

  • @johnmpanduli5390
    @johnmpanduli5390 Před 2 lety

    ha hahahahaaaa!! mimi nacheka tu, ndiyo faida ya bunge la kuteuliwa na si la kuchaguliwa

  • @lucasmhepile5431
    @lucasmhepile5431 Před 2 lety

    Inauma sana naona Kuna wabunge wengine umo n kugonga meza tu Yan Kama fata upepo tu

  • @habibumussa7712
    @habibumussa7712 Před 2 lety

    Dah😭😭😭

  • @chobaroko3913
    @chobaroko3913 Před 2 lety

    Daaahhaa ,😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @negelowile441
    @negelowile441 Před 2 lety

    Wawekezaji

  • @paulinamassay5122
    @paulinamassay5122 Před 2 lety +2

    Wanasiasa hawana utu jamani ndo maana watu wanafika pabaya.

  • @jamessimba749
    @jamessimba749 Před 2 lety +1

    R.I.P JPM

  • @mzongekibwana838
    @mzongekibwana838 Před 2 lety +1

    Unyonge ukizidi unazaa uasi one day...

  • @tumainilubua824
    @tumainilubua824 Před 2 lety +1

    Alipita bila kupingwa huyooo

  • @stephanlayzer7196
    @stephanlayzer7196 Před 2 lety +1

    Kwa kweli Magufuli alikuwa jembe hakuna rais mwny maamuz kama Magufuli

  • @meshackbenedicto5741
    @meshackbenedicto5741 Před 2 lety

    Tutapigwa mno na kuuwawa maana maandiko yanasema watu wangu wanaangamia Kwa kukosa maarifa maarifa ya wabunge yapo ya kutetea masilahi Yao sio uhai wa wananchi wa majimbo yao

  • @mwalongojulius1755
    @mwalongojulius1755 Před 2 lety +1

    Toeni madrama yenu mbuzi wa bwana heri na shamba la kwao endesheni nchi mnavyotaka ndiyo matokeo mliyotaka.

  • @BonifaceRobathi
    @BonifaceRobathi Před 3 měsíci

    Kweli jmn

  • @jitabojilala6162
    @jitabojilala6162 Před 2 lety

    Duuuu jamani

  • @user-po8hz7xw9j
    @user-po8hz7xw9j Před 2 lety +2

    Huyo raisi mwenyewe kutwa kusafili tuuu wananchi wanaumia

  • @peterbulugu1582
    @peterbulugu1582 Před 2 lety

    Kama ndivyo serikali mnafanya basi nchi inaenda kuwa na uvunjifu wa amani. Wanachi wanalia sana mpaka sasa. Nchi hii ni uaviongozi2

  • @elispiuselias1339
    @elispiuselias1339 Před 2 lety

    duuuuuh!!

  • @simonidibili555
    @simonidibili555 Před 2 lety

    Wapizanii waliwaambiaa cyoo waoo tuu wanaootesekaa hayaa sasaa Leo kwenii shangilieeni tuonee

  • @jacksonmajuto7859
    @jacksonmajuto7859 Před 2 lety

    R.I.p.magufuli

  • @bilioneamwegole5138
    @bilioneamwegole5138 Před 2 lety

    Kanuni ya 54 hmmmm endeleeni kuturushia vitu vizito

  • @yudahsanja9072
    @yudahsanja9072 Před 2 lety +1

    aki shetani anapotosha

  • @annamrsmoses7413
    @annamrsmoses7413 Před 2 lety

    Yaani mkusanyiko wa watu waliopita bila kupingwa ni hasara sana kwa taifa hili

  • @timboxlee919
    @timboxlee919 Před 2 lety

    Mbunge anatoa hoja ya msingi,mabunge mazuzu yanakebehi hoja

  • @meckymwandambo6478
    @meckymwandambo6478 Před 2 lety +1

    B

  • @fadhilimwasumle124
    @fadhilimwasumle124 Před 2 lety +5

    Daaaaaa hata kusoma hajui jaman

  • @lusajomwaipopo5042
    @lusajomwaipopo5042 Před 2 lety +1

    Umbumbu ni mzigo

  • @akidajulius8397
    @akidajulius8397 Před 2 lety

    Yani Hawa wabunge wengine sijui ndio waliopitwa bila kupigwa mbona siwaelewi elewi

  • @rasammudmar5455
    @rasammudmar5455 Před 2 lety

    Hasira zimezid kimo mpaka unaongea hivyo.
    Spika umekua mshauri nasaha na bunge lenu la uchaguz wa 2020.

  • @abdallahm86
    @abdallahm86 Před 2 lety

    Nchi ya kitu kidogo nchi ya watu wanyonge.

  • @elispiuselias1339
    @elispiuselias1339 Před 2 lety +1

    unataka tume gani tena humuamini au?

  • @denyu9975
    @denyu9975 Před 2 lety

    Jpm ndie alikuwa kamanda wa kwelii

  • @paulzeno102
    @paulzeno102 Před 2 lety +1

    Paul zeno 99

  • @elispiuselias1339
    @elispiuselias1339 Před 2 lety

    wameanza sasa

  • @simonisafu5404
    @simonisafu5404 Před 2 lety

    Nilikua simwelewi ulimwengu, sasa nimeanza kumwelewa

  • @user-po8hz7xw9j
    @user-po8hz7xw9j Před 2 lety

    Mtukome mnajilinda wenyewe nasisi tunajilinda wenyewe

  • @mkushiandikayakoachananaya7944

    Tumeshafika nchi ya ahadi aliyotaka kutufikisha yule wa awamu ya 4, huu ndio muda tunaoenda kasi kufika huko!

    • @evansibujiku8249
      @evansibujiku8249 Před 2 lety

      Naona baazi ya wabunge wanacheka kweli sasa najiuliza furaha yao nn katika hili? Baazi ya wabunge mizigo kweli!!

    • @hadijamagufuli2661
      @hadijamagufuli2661 Před 2 lety

      @@evansibujiku8249 tutakutana nao 2025 tuseme inshalah panapomajwaliwa hao wapo kwa ajili yakutete uwovu basi, akitokea mtu akamkandamiza spika huyo atashambuliwa mpaka atajuta nahuku ukweli ukiwa wazi, sasa niambie hicho nichakucheka kweli au ndio kwavile haja wakuta

  • @rehemamwakinyaka3167
    @rehemamwakinyaka3167 Před 2 lety

    Yani mibunge mingine ivyo kabisa kiboko yenu alikiwa Magufuri

  • @ambakisyemwanjemba5787

    Biteko hii inaweza kupita na yeye

  • @e-mzambuli6647
    @e-mzambuli6647 Před 2 lety +1

    Hamza

  • @yudahsanja9072
    @yudahsanja9072 Před 2 lety

    wasaliti hawataisha

  • @alcherausmalinzi2033
    @alcherausmalinzi2033 Před 2 lety

    Jambazi tu uliiba kura kuja kulia lia.

  • @maelezomaelezo9057
    @maelezomaelezo9057 Před 2 lety

    Dugai leo umeogea poit na umemlinda maganga

  • @hajilolo6440
    @hajilolo6440 Před 2 lety

    Bunge la wapiga makofi bunge la darasa la tatu bunge la mazuzu bunge la wasaka tonge.

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Před 2 lety

    Haya kuna nini mpaka analia

  • @muhammadbamba9445
    @muhammadbamba9445 Před 2 lety

    Sura inayojengeka ni kama vile mama Hakun kitu anafanya propaganda za kutaka kumuharibia

  • @nyaticarriersllc3075
    @nyaticarriersllc3075 Před 2 lety +3

    Huyu Speaker ni Ovyo Kabisa

  • @mashimbazephania3511
    @mashimbazephania3511 Před 2 lety +1

    Jpm tutamkumbuka

  • @humphreyvidonyi253
    @humphreyvidonyi253 Před 2 lety

    Biteko na mbunge wa gongwe Nina wasi wasi

  • @hellenpatrick3041
    @hellenpatrick3041 Před 2 lety

    Acha inyeshe tuone panapo Vujaa inaumaa

  • @mbwanarajab4756
    @mbwanarajab4756 Před 2 lety +1

    Yaani hawa wabunge waliopewa nafasi za kupitia kuharibu uchaguzi ni sawa na wale wafanyakazi hewa mliowaondoa..
    Hawa ni wabunge hewa na hakuna cha maana watakachokifanya juu ya wananchi

  • @japhetbarton8268
    @japhetbarton8268 Před 2 lety

    BUNGE

  • @zariadunia6328
    @zariadunia6328 Před 2 lety +1

    Mimi kila siku nasema mama yupo kwa ajili ya maslahi ya zbar na ya msoga tu mambo yamekuwa mengi hakuna matamko wala nini

  • @ambakisyemwanjemba5787

    Na bunge limempania

  • @nixonjohnson6346
    @nixonjohnson6346 Před 2 lety

    Hivi hao wabunge wote ni wajinga au ni nini sasa kicheko mwenyewe anaumia

  • @tumuhadam8963
    @tumuhadam8963 Před 2 lety

    Niuwonevu2

  • @Ndu-wa.uroony2
    @Ndu-wa.uroony2 Před 2 lety

    Sasa hao wapumbavu wanacheka nini?

  • @fimboezekiel9654
    @fimboezekiel9654 Před 2 lety

    Amelia wap

  • @radhiasalum7156
    @radhiasalum7156 Před 2 lety +1

    Spika uyu vip?

    • @mohamedijuma5845
      @mohamedijuma5845 Před 2 lety +1

      Kafanya kipi kibaya? mbona kafanya vizuri kumkutanisha mlalamikaji na waziri Mkuu au we ulitaka afanyeje

    • @habibumdetele6530
      @habibumdetele6530 Před 2 lety

      Nimejaribu ku bonyeza translate daa ulichoandika hahahah

  • @mussamabuga1716
    @mussamabuga1716 Před 2 lety +2

    Naapa Biteko lazima uondoke,JPM lala salama tutakumbuka hadi mbadala wako utakapopatikana

  • @ambakisyemwanjemba5787

    Ugomvi wa wabunge Hawa majirani Sasa nimeuelewa vizuri ,hili Jimbo la maganga ndilo Jimbo aligombea pacha wa Waziri wa madini Biteko na marehemu Magufuri akamchomoa kwa nguvu kwa Sasa pacha mwenzie anapambana kufa na kupona kumtengenezea mazingira mwenzake nadhani!

    • @Kituliko
      @Kituliko Před 2 lety

      Sio kweli

    • @shadymoses5813
      @shadymoses5813 Před 2 lety

      Unavamia jambo usilolijua, Huyo unayemsema aligombea Busanda

    • @reganmartin5485
      @reganmartin5485 Před 2 lety

      Kama hujui Jambo kalale chakula Cha usiku kioungue ,tambua Kuna majinbo 3 tofauti

    • @Kituliko
      @Kituliko Před 2 lety

      @@reganmartin5485 mimi nyumbani jimbo la mbogwe nafanya kazi jimbo la bukombe sasa kipi nisicho kijua, we acha kudanganya watu

    • @Kituliko
      @Kituliko Před 2 lety

      @@shadymoses5813 👍👍

  • @mbwanarajab4756
    @mbwanarajab4756 Před 2 lety +1

    Nakumbuka lile bunge la Samwel Sitta , kweli bunge limesha poteza mwelekeo na linajali makabila ..
    Yaani akaja mtu hata na jambo la ajabu akasema ni Msukuma bunge linatulia linamsikiliza hata km anaongea mambo yaliyopo nnje ya mada..

  • @amrimwingwa994
    @amrimwingwa994 Před 2 lety +1

    Speaker unafeli wapi... Yaaan unamwambia waziri mkuu kwa Wakati wako.... Hujui kama ushashudha thamani yako, wewe ni Mhimili ukiwa kama Speaker una haki ya Kumuagiza PM.

    • @smjunior4354
      @smjunior4354 Před 2 lety

      ulisoma civics vzr kaka hakunaga scenario kama hiyooooo duniani

  • @isayakipoi493
    @isayakipoi493 Před 2 lety

    MUNGU wa mbingu na nchi akulinde na majimbo yako yote saw a sawa na Isaya 37:35
    Na wale wote wala rushwa MUNGU atume malaika wake wafyekelee mbali katika arthi hii ya Tanzania sawa sawa na neno lake Isaya 37:36
    Katika jina la Yesu kristo amen

  • @chobaroko3913
    @chobaroko3913 Před 2 lety

    Hapo ndo wabunge wanaanza kuwa wanyonge Sasa ,ndio wabunge watamkumbuka kwamema sio MABAYA

  • @malmavoice8989
    @malmavoice8989 Před 2 lety +2

    Hawa ubunge walipewa tu ila hawajakidhi vigezo vya ubunge.
    Bunge zima limejaa wasukuma awamu hii. Haya mambo mliyabariki mwenyewe na sasa yanawarudia mwenyewe.
    Lisu alinusurika kifo mliwahi kujadili,nduguyake heche alivyofia police wabunge mlisadia nn. Leo mtu anapanick kiasi hichi lkn nn...mazito yenu sasa ya upinzani hayakuwa sensitive eti?

    • @halimamasai2234
      @halimamasai2234 Před 2 lety +2

      Kwani tanzania ni wasukuma tu mbona kuna wabunge wa mikoa mengine na ni makabila tofauti wacha uhasama wewe nadhani wewe ni wa upande wa pili

    • @msafirinyebunga4078
      @msafirinyebunga4078 Před 2 lety +3

      Shida sio kujua kusoma lakini ujumbe umeshafika Kwa walengwa

    • @msafirinyebunga4078
      @msafirinyebunga4078 Před 2 lety +4

      Kikubwa wamsaidie lakini sio kuanza kumdhiaki kikubwa anajaribu mahali pakutafuta msaada.

    • @denistarange5580
      @denistarange5580 Před 2 lety +2

      Hujui hata ulichokiandika

    • @malmavoice8989
      @malmavoice8989 Před 2 lety

      Hujui kusoma au?

  • @DrRichardMPhD
    @DrRichardMPhD Před 2 lety +3

    Haya ni makosa kutuma wawakilishi wakulia hovio,Hata kusoma anashindwa .tunataka wawakilishi wenye njia ya kuleta mabadiliko maana machozi yake hayata tusaidia

    • @King_186
      @King_186 Před 2 lety

      Huyu ndio muwakilishi wa kweli anayeguswa na matatizo ya watu, kulia ni hisia tu na sio kulia tu Kiongoz awe radhi kufa Kwa ajili ya watu wake

    • @saluwatimalyeta5587
      @saluwatimalyeta5587 Před 2 lety

      Nakushangaa wewe unayeangalia kusoma wasomi wangapi wamo humo wenye uwezo wakusimama kwa hisia na machungu ya wananchi wake wanayofanyiwa

    • @leonardodavinci878
      @leonardodavinci878 Před 2 lety

      Wacha ujinga uo kinacho thamani zaidi kwa mbunge ni vile anavo pambana na shida za wananchi wake si ukubwa wa elimu yake,ata umalize vyuo vyote ikawa hujali shida za wananchi wako inakuwa elimuless.

  • @EK-kp2np
    @EK-kp2np Před 2 lety +2

    Migodi🤷🏼‍♀️, kuongea bila utaratibu ikulu🙆🏻‍♀️, Vifo vya watu hapo Jimboni kwako🙈, sijaelewa mbunge mgeni anataka nini😳🤔, pia amefaulu masomo yote shuleni??

  • @oyay2821
    @oyay2821 Před 2 lety

    Hii ni laana ya kuwa dhulumu wapinzani. Ile chuki ya kuwaua na kuwadhulumu wapinzani sasa inawamaliza wao wenyewe ma ccm

  • @ngoloally2596
    @ngoloally2596 Před 2 lety

    Makaburu tu

  • @lucasmhepile5431
    @lucasmhepile5431 Před 2 lety

    Inauma sana naona Kuna wabunge wengine umo n kugonga meza tu Yan Kama fata upepo tu

  • @donaldtadeodontado9991
    @donaldtadeodontado9991 Před 2 lety +1

    Home kama home boy.........wape vitu wataelewa TU .