Mbunge wa Mbogwe amwaga machozi bungeni
Vložit
- čas přidán 11. 11. 2021
- Mbunge was Mbogwe Nicodemus Maganga amemwaga machozi bungeni akisema wananchi wake wanauawa bila sababu za Msingi tangu ilipotokea kifo cha John Magufuli.
"Wananiita kichaa, kila nikitaka kusema naambiwa Sina akili, Mheshimiwa Spika nimezaliwa mwaka 1980, nina akili timamu na sijawahi kufeli, lakini mnaweza kukuta tumeuana huko msishangae," Maganga.
Mbunge nmependa confidence yako,msg imefika na umetetea watu wako..wapo wengi wanajua kusoma na wanaelimu kubwa ila kuzungumzia watu hawawezi KABISA waoga..big up kwako Maganga
P8pjom9kopìmp
Lala baba jpm yanii mimi roho yangu inaumaa sana Mungu tuonee Mungu tunakutegemeaa Mungu shukaa Mungu shukaa ujiziilishee Mungu jpm katuachaaa tunaliaaa sanaaa 🥲🥲🥲
Duu wawekezaji/WEZI wanaingia kwa kasi SANA. Rest in Power JPM#hapa Kazi Tuu
Ndo shida ya kupitisha wabunge vilaza...hoja nzuri sana lakini uwasilishaji sasa.....unazungumzia watu sio afya kutaja kabila lako au kuja kusema bungeni kisa tu ndugu yako ameguswa..hongera lakini kwa kufikisha ujumbe.
Pole Mbunge,hii ndiyo dunia
Wenyewe wenye nchi wamekwisha anza kuchanua makucha hakuna mwenye kukemea Kwa nguvu na kufuatilia
Hatari sana. Uhujumu uchumi unafanywa na serikali yenyewe. Ila akijaribu mtu binafsi anakamatwa sana
Usilie, hzo ndo siasa a bongo! Ukiwa mkweli we mjinga tu. Jamaa hawez kujieleza ndo shida, lkn ana kitu cha kusema cha msingi. Asikilizwe!
Asante Job Ndugai
Jpm milele
Hii ndo nchi yetu baba pole sana
Nice
Na mimi naomba kumuona waziri mkuu kule mkuranga wamechukua shamba la mama yangu, na polisi wanamlinda Kenya ambaye sie mzaliwa wa TZ. Mama yangu tangu 90s anasota na shamba lake la mchanga. Wizara ya madini Wala miaka 30 sahivi wanamzulumu.
Eeh, magufuli naomba urudi utusaidie
Mtafute waziri wa Ardhi ndio mwenye mamlaka ya Ardhi ambae no waziri lukuvi
Pole dada mtu akiendaga huwa harudi, mungu atakupa njia nyingine
Ruka nao hao,,, ngedere hapelekewi kesi za nyani
My pole sana ila nasikitika kusema hivi mtetezi wetu alikuwa ni magufuli tu huku mwingne sio kwa kutegemea Sana hapa tutegemee mwenyezmungu pekee basi magufuli kashaondoka na mtu akishakufa ndio imetoka my 😭😭😭magufuli ndie aliekuwa anatupa tu maini ila huku hapana hapa bila mungu hatuwezi kupata haki zetu, hivyo basi muombe mungu mtegemee mungu atawasaidia kupata haki yenu mungu akupe njia yoyote Ile awezavyo ili mufanikishe hyo shida yenu namini mungu hashindwi kikubwa Imani tumuiamni kuwa Anaweza basi mungu asiwache pambana tu mungu yupo atakupa njia ya jinsi yakupata haki yenu
Nitafute dadaangu hatuwezi kuruhusu huo ujinga kwamba mgeni apewe kipaumbele kuliko raia.....
Hili bunge linasaidia nn has a!!!,lina faida gani
Kama ndivyo serikali mnafanya basi nchi inaenda kuwa na uvunjifu wa amani. Wanachi wanalia sana mpaka sasa. Nchi hii ni imekuwa ya viongozi2
Nakubal sana Mwakilishi wangu bungen
Wabunge nyinyi mnatakiwa mutumie mamlaka yenu ipaswavyo bila kuionea serikali aibu la si hivyo sera na sheria mtakazozipitisha zinawasubiri mtaani
Kuna watu wanajiandaa kuwang'oa tena msizani ni upnzani.
Wakati wa kura za maoni ujamaa unangia mitini.
Wabunge ilazimisheni serikali kwa kuitungia sheria ya kua mikataba yote mikubwa ije bungeni ijadiliwe kwa haki na uwazi ndio isainiwe na rais.
Baraza la mawazir halitosh Kupitisha mikataba ya nchi nzima.
Hemu jiulize rais anateua mawazir mwenyewe anaemtaka kwa kushauriana na wazir mkuu. Wakati wari mkuu mwenyewe anateuliwa na rais. Mtu pekee uliebaki ni spika ila wakati huo huo rais ni kiongoz wako wa chama. Nakusudi kusema nn. Pindi akitokezea mtu akimteka rais kwa namna yoyote ile ameiteka nchi nzima.
Pole Sana kaka😭😭😭
Hongera
Na kweli ataua mtu anaonekana amekasirika sana anauchungu
Tunaonewaaa sana sku hizi
Daaa mtihani
Ulale salamaaa, ulala salamaaaaa Jpm
Mungu amlaze Mahala pema peponi jpm
Hakuna kitu nachukia kama kusikia wabunge wakicheka wakati mwenzao anazungumza tena ishu serious kabisa.
Mpakali hoye
Hayo hata huku mbarali yapo tanapa wamekuwa Mungu watu!
Mh. Jenista mhagama umeongea point sana, kwani mwenye wizara Kwanini asiseme Kwanini kutetea majipu hayo
Duh!!!
ha hahahahaaaa!! mimi nacheka tu, ndiyo faida ya bunge la kuteuliwa na si la kuchaguliwa
Inauma sana naona Kuna wabunge wengine umo n kugonga meza tu Yan Kama fata upepo tu
Dah😭😭😭
Daaahhaa ,😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Wawekezaji
Wanasiasa hawana utu jamani ndo maana watu wanafika pabaya.
R.I.P JPM
Unyonge ukizidi unazaa uasi one day...
Alipita bila kupingwa huyooo
Kwa kweli Magufuli alikuwa jembe hakuna rais mwny maamuz kama Magufuli
Tutapigwa mno na kuuwawa maana maandiko yanasema watu wangu wanaangamia Kwa kukosa maarifa maarifa ya wabunge yapo ya kutetea masilahi Yao sio uhai wa wananchi wa majimbo yao
Toeni madrama yenu mbuzi wa bwana heri na shamba la kwao endesheni nchi mnavyotaka ndiyo matokeo mliyotaka.
Kweli jmn
Duuuu jamani
Huyo raisi mwenyewe kutwa kusafili tuuu wananchi wanaumia
Hapa kuna rais kuna mzururajituu
Kama ndivyo serikali mnafanya basi nchi inaenda kuwa na uvunjifu wa amani. Wanachi wanalia sana mpaka sasa. Nchi hii ni uaviongozi2
duuuuuh!!
Wapizanii waliwaambiaa cyoo waoo tuu wanaootesekaa hayaa sasaa Leo kwenii shangilieeni tuonee
R.I.p.magufuli
Kanuni ya 54 hmmmm endeleeni kuturushia vitu vizito
aki shetani anapotosha
Yaani mkusanyiko wa watu waliopita bila kupingwa ni hasara sana kwa taifa hili
Mbunge anatoa hoja ya msingi,mabunge mazuzu yanakebehi hoja
B
Daaaaaa hata kusoma hajui jaman
Kusoma anajua ila nahisi ni kitete maana ni mgeni
Anajua ila anahasira Na jaziba ta watu wake
Jazba waweza hata kutukana.
@@emanuelshayayi54 sana.acha tu.kitu kikukuzingua daaaaa
Kiongozi gani hana uwezo wa kuvumilia kusimamia hoja yake?
Umbumbu ni mzigo
Yani Hawa wabunge wengine sijui ndio waliopitwa bila kupigwa mbona siwaelewi elewi
Hasira zimezid kimo mpaka unaongea hivyo.
Spika umekua mshauri nasaha na bunge lenu la uchaguz wa 2020.
Nchi ya kitu kidogo nchi ya watu wanyonge.
unataka tume gani tena humuamini au?
Jpm ndie alikuwa kamanda wa kwelii
Paul zeno 99
wameanza sasa
Nilikua simwelewi ulimwengu, sasa nimeanza kumwelewa
Mtukome mnajilinda wenyewe nasisi tunajilinda wenyewe
Tumeshafika nchi ya ahadi aliyotaka kutufikisha yule wa awamu ya 4, huu ndio muda tunaoenda kasi kufika huko!
Naona baazi ya wabunge wanacheka kweli sasa najiuliza furaha yao nn katika hili? Baazi ya wabunge mizigo kweli!!
@@evansibujiku8249 tutakutana nao 2025 tuseme inshalah panapomajwaliwa hao wapo kwa ajili yakutete uwovu basi, akitokea mtu akamkandamiza spika huyo atashambuliwa mpaka atajuta nahuku ukweli ukiwa wazi, sasa niambie hicho nichakucheka kweli au ndio kwavile haja wakuta
Yani mibunge mingine ivyo kabisa kiboko yenu alikiwa Magufuri
Biteko hii inaweza kupita na yeye
Hamza
wasaliti hawataisha
Jambazi tu uliiba kura kuja kulia lia.
Dugai leo umeogea poit na umemlinda maganga
Bunge la wapiga makofi bunge la darasa la tatu bunge la mazuzu bunge la wasaka tonge.
Nimecheka
Haya kuna nini mpaka analia
Sura inayojengeka ni kama vile mama Hakun kitu anafanya propaganda za kutaka kumuharibia
Huyu Speaker ni Ovyo Kabisa
Jpm tutamkumbuka
Biteko na mbunge wa gongwe Nina wasi wasi
Acha inyeshe tuone panapo Vujaa inaumaa
Yaani hawa wabunge waliopewa nafasi za kupitia kuharibu uchaguzi ni sawa na wale wafanyakazi hewa mliowaondoa..
Hawa ni wabunge hewa na hakuna cha maana watakachokifanya juu ya wananchi
BUNGE
Mimi kila siku nasema mama yupo kwa ajili ya maslahi ya zbar na ya msoga tu mambo yamekuwa mengi hakuna matamko wala nini
Na bunge limempania
Hivi hao wabunge wote ni wajinga au ni nini sasa kicheko mwenyewe anaumia
Niuwonevu2
Sasa hao wapumbavu wanacheka nini?
Amelia wap
Spika uyu vip?
Kafanya kipi kibaya? mbona kafanya vizuri kumkutanisha mlalamikaji na waziri Mkuu au we ulitaka afanyeje
Nimejaribu ku bonyeza translate daa ulichoandika hahahah
Naapa Biteko lazima uondoke,JPM lala salama tutakumbuka hadi mbadala wako utakapopatikana
Ushawahi kuapa usiwe na akili ndogo?
Ugomvi wa wabunge Hawa majirani Sasa nimeuelewa vizuri ,hili Jimbo la maganga ndilo Jimbo aligombea pacha wa Waziri wa madini Biteko na marehemu Magufuri akamchomoa kwa nguvu kwa Sasa pacha mwenzie anapambana kufa na kupona kumtengenezea mazingira mwenzake nadhani!
Sio kweli
Unavamia jambo usilolijua, Huyo unayemsema aligombea Busanda
Kama hujui Jambo kalale chakula Cha usiku kioungue ,tambua Kuna majinbo 3 tofauti
@@reganmartin5485 mimi nyumbani jimbo la mbogwe nafanya kazi jimbo la bukombe sasa kipi nisicho kijua, we acha kudanganya watu
@@shadymoses5813 👍👍
Nakumbuka lile bunge la Samwel Sitta , kweli bunge limesha poteza mwelekeo na linajali makabila ..
Yaani akaja mtu hata na jambo la ajabu akasema ni Msukuma bunge linatulia linamsikiliza hata km anaongea mambo yaliyopo nnje ya mada..
Speaker unafeli wapi... Yaaan unamwambia waziri mkuu kwa Wakati wako.... Hujui kama ushashudha thamani yako, wewe ni Mhimili ukiwa kama Speaker una haki ya Kumuagiza PM.
ulisoma civics vzr kaka hakunaga scenario kama hiyooooo duniani
MUNGU wa mbingu na nchi akulinde na majimbo yako yote saw a sawa na Isaya 37:35
Na wale wote wala rushwa MUNGU atume malaika wake wafyekelee mbali katika arthi hii ya Tanzania sawa sawa na neno lake Isaya 37:36
Katika jina la Yesu kristo amen
Hapo ndo wabunge wanaanza kuwa wanyonge Sasa ,ndio wabunge watamkumbuka kwamema sio MABAYA
Hawa ubunge walipewa tu ila hawajakidhi vigezo vya ubunge.
Bunge zima limejaa wasukuma awamu hii. Haya mambo mliyabariki mwenyewe na sasa yanawarudia mwenyewe.
Lisu alinusurika kifo mliwahi kujadili,nduguyake heche alivyofia police wabunge mlisadia nn. Leo mtu anapanick kiasi hichi lkn nn...mazito yenu sasa ya upinzani hayakuwa sensitive eti?
Kwani tanzania ni wasukuma tu mbona kuna wabunge wa mikoa mengine na ni makabila tofauti wacha uhasama wewe nadhani wewe ni wa upande wa pili
Shida sio kujua kusoma lakini ujumbe umeshafika Kwa walengwa
Kikubwa wamsaidie lakini sio kuanza kumdhiaki kikubwa anajaribu mahali pakutafuta msaada.
Hujui hata ulichokiandika
Hujui kusoma au?
Haya ni makosa kutuma wawakilishi wakulia hovio,Hata kusoma anashindwa .tunataka wawakilishi wenye njia ya kuleta mabadiliko maana machozi yake hayata tusaidia
Huyu ndio muwakilishi wa kweli anayeguswa na matatizo ya watu, kulia ni hisia tu na sio kulia tu Kiongoz awe radhi kufa Kwa ajili ya watu wake
Nakushangaa wewe unayeangalia kusoma wasomi wangapi wamo humo wenye uwezo wakusimama kwa hisia na machungu ya wananchi wake wanayofanyiwa
Wacha ujinga uo kinacho thamani zaidi kwa mbunge ni vile anavo pambana na shida za wananchi wake si ukubwa wa elimu yake,ata umalize vyuo vyote ikawa hujali shida za wananchi wako inakuwa elimuless.
Migodi🤷🏼♀️, kuongea bila utaratibu ikulu🙆🏻♀️, Vifo vya watu hapo Jimboni kwako🙈, sijaelewa mbunge mgeni anataka nini😳🤔, pia amefaulu masomo yote shuleni??
Hii ni laana ya kuwa dhulumu wapinzani. Ile chuki ya kuwaua na kuwadhulumu wapinzani sasa inawamaliza wao wenyewe ma ccm
Makaburu tu
Inauma sana naona Kuna wabunge wengine umo n kugonga meza tu Yan Kama fata upepo tu
Home kama home boy.........wape vitu wataelewa TU .