Mbunge Maganga Alivyowavunja Mbavu Wabunge I Waziri Mkuu Ashindwa Kujizuia I Rushwa Imepanda Bei
Vložit
- čas přidán 3. 02. 2021
- "Kila mmoja anatamani tuwe Mabilionea, lakini mimi (binafsi) ninaona hatuwezi kuwa Mabilionea kwa sababu rushwa imezidi na imepanda bei, nikiwa dereva kwenye mabasi tulikuwa tunatoa rushwa shilingi 2000 lakini sasa hivi rushwa ni 10,000 na kuendelea. Sioni kama mhusika anafanya kazi kumsaidia Rais kwenye masuala ya rushwa" Nicodemus Maganga-Mbunge wa Mbogwe"
#KutokaBungeni Powered by @UhuruHospital
#CloudsDigitalUpdates - Sport
Hakunanga msukuma akapata uongozi halafu akawa bulula💪
Huyu mbunge ana confidence sana hongera yake kwakweli
Mbunge Kama huyu watamuona kama hafai,lakin anaongea point saana
Asante sana mbunge Maganga kwa kusema ukweli. Wabunge wote wangekuwa kama wewe nchi imepiga hatua sana sana. Wapo wabunge hata mawaziri shida yao ni kujaza matumbo yao tu. Mungu akulinde sana mbunge Maganga.
🙏
Dah
Maganga Uko vzr sanaa
Uliyasema haya kbl maguli hajafa, lkn haya ndo yanatokea Sasa Hivi
Walimuunga mkono wakiwa wote lkn walikuwa na connections za wizi
Now tunaona wanakolipeleka taifa
Hongera Sana jilani yangu kwa kuchangia hoja inapoiti Sana🔥🔥🔥🔥
Mbunge amejitahidi Sana kujenga hoja zake za kibunge
Safi Sana
Naona wabunge wa ZANZIBAR Wanacheka tu badala ya uganya kazi kama wao
Safi sana mbunge wa mbogwe
Mungu hana upendereo
Nakubali snaaa mkuuu boss wangu zaman masumbwe hukoo
Kweli Mheshimiwa Maganga wasomi wanataka kurudisha kwanza gharama zao walizotumia kusomeshwa hao nao ni wezi tu mafisadi wakubwa
Daah
Mweshimiwa ussi kawaida yako furaha mwenyez mungu awalinde
Safi sana aise
Muogope mungu kuliko kuwaogopa binaadam tujifunze kusema ukweli
Point
Uko ,vzr maganga
Huyu kweli mzalendo ila huwa wanakatishwa Tamaa na majizi na kupewa vitisho
Sawa sawa mheshimiwa
Uko sawa
Rushwa ilikuwa sh 2000,sasa ni zaidi ya sh.15000,barabarani
Kidogo hili linaakili kwenye bunge hili
Mweshimiwa ukosawa
Uko vizuri sana
Hii ndo serekari tunapenda mtu anaanzia chini mpaka akawa mbunge
Nchi hii wazalendo wako wengi sanaa tatizo hao wanaojiita wasomi ndy wanaotuangusha kwakweli wanaangalia matumbo yao tuu MUNGU awalaani
Saf sana
Mheshimiwa hongela Sana endelea kutetea wanyonge
Sawa
Huyu mbunge nimemkubali.
Bunge halina amshaamsha, hapo ungesikia taarifa
Hongera kaka
Ukosawa maganga
Mwaka huu hili bunge ni hatari
Umepiga kwenye bull mbunge
Mbunge mjuaji
Asant
Maganga tunakupenda unaongea ukwer toka magufuri afe nchi umebadilika wat wanateseka tunaenda wap
Naunga mkono hoja wateule wa rais walio wengi ni wanafiki hawaendani na maelekezo ya magufuli ya kusimamia na kuhakikisha mapato yanafanya kazi husika wamekua wapigaji mh magufuli pia wateule upya utabaini huu upigaji
Nakufatilia mno mh shabibu unaongea point mno tungepata kama wewe watu 10 labda mabadiliko yangeonekana
Was Wasukuma hawajawahi kuferi
Jamani uyoo mbunge wa chumbuni anafanya nn apo
Kazi ipo
Kazi ipo kweli
Wabunge wenu
Tatizo la Tz ukiwa mkweri ndio adui wa viongozi
Acha kujishika shika pua. Hujui jinsi CORONA inavyoambukizwa?
Kwanzia chini Hadi juu majizi yte ni haya masomi wale wnye elimu ndo wachapa kazi
Nani kakupigieni kura nyie
Hampo apo kwa rizaa yetu ss wananchi mpo apo kwa wizi na dhulma
Na dhulma daima haidumu
Afadhali una akili lakiji mtoto wa nyoka ni nyoka tu
Dawa zabule hakuna
Naomba namba ya cm yako
Dereva mwenzetu umetoa siri ya kazi
😁😁😁😁
😂😂😂😂😂
facts tupu,wanacheka lakini wengi wanamuona rais kituko tu...wanafanya tofauti na wasemayo majukwaani.Rais nyoosha punda wako
Kiswahili zero. Wasukuma bana daah
Mbunge huyu yupo vzr sana
Acha utani kwenye kweli tulia angalia point zake acha wehu
Anataka akiajiriwa leo anataka apate nyumba ,gari malaya mzuri awe wake duh