Mbunge Kiswaga awaka bungeni "Nchi inataka kufilisiwa, hawa ni wezi/ fukuza wote"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 2. 11. 2022
  • Mbunge wa Kalenga (CCM) Bonivetura Kiswaga amekerwa na watendaji wa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB), kuendelea kubaki ofisini wakati Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) ameshaonyesha ubadhirifu.
    Kiswaga ameyasema hayo leo Alhamis Novemba 3,2022 wakati akichangia taarifa ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC).

Komentáře • 106

  • @magrethmbangama1199
    @magrethmbangama1199 Před rokem +12

    Sasa ndo tunaanza kumuelewa Mh.Ndugai Mungu tusaidie cc wanyonge watanzania maskini.

  • @zachariaboniphace2964
    @zachariaboniphace2964 Před rokem +6

    Inchi imeoza mkuu wa taifa safari haziishi wananchi tunakuelewaje?!!

  • @Kakamkubwa3564
    @Kakamkubwa3564 Před rokem +9

    Wasukuma wapewe nchi tena

  • @faidamasegenghe1253
    @faidamasegenghe1253 Před rokem +5

    Ndugai alikuwa mkweli kuwa hii nchi imesha. Uzwa

  • @philiplenardsylvester6063

    Mbona kipindi cha magufuli Mambo ya wizi yalipungua sana 😭😭😭😭

  • @barakanestory3521
    @barakanestory3521 Před rokem +5

    Wanaiba Hela,halafu wanatupa mizigo sisi Wana nchi!!! Hali ni ngumu, Maji ni shida🏃Mifumuko ya bei,Hali nite nchini,Hela zinakopwa nje, halafu zinaibwa!!! Kweli!!! MUNGU ingilia kati!!!

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Před rokem +1

    Nakupongeza Kiswaga

  • @richardnott4403
    @richardnott4403 Před rokem +5

    daa rip jpm

  • @willibroadwilliam6798
    @willibroadwilliam6798 Před rokem +2

    Brother uko vizuri nakutakia urais Tanzania 2030 chukua fomu brother

  • @daudndunguru2856
    @daudndunguru2856 Před rokem +1

    Asante ndugai.alisema leo tunamkumbuka

  • @jessegodson8575
    @jessegodson8575 Před rokem +5

    Tunaitaji katiba mpya, ili kesi kama hizo ziishe. Maana hata sisi wananchi tumechoka kuwasikiliza kesi zenu za wizi

  • @hamzakija8904
    @hamzakija8904 Před rokem +1

    Tz tunakiwa tupate wabunge wazalendo kama mbunge kiswaga anaongea ukweli mtupu inaonekana ameguswa sana na mambo haya km tulivo guswa wananchi hongera kiswaga

  • @hakizimanajean7702
    @hakizimanajean7702 Před rokem +1

    Wote wasemao Magufuli (Jiwe) alikuwa mbaya hao ni WEZI WOTE.

  • @anosiata8242
    @anosiata8242 Před rokem +8

    Kazi ipo Kweli kweli . Tunataka rais kama magufuli. Ambaye alikuwa haangalia kunyanzi. uwe mtoto wa kigogo alikuwa anatumbua mfano mzuri kina makamba kina nape alifyekelea mbali. Samia naye amewakumbatia tena

    • @ibnhassan9980
      @ibnhassan9980 Před rokem +1

      Yote hayo yametokea kipindi cha mwenda zake

    • @godsonishengoma5378
      @godsonishengoma5378 Před rokem +1

      @@ibnhassan9980 wa2 wa dini ya haki.. mmebebelea dini na kumuacha Mungu wa kwel.. tzama utawala wenu,n ushetani m2pu.!

    • @tumainikomba9008
      @tumainikomba9008 Před rokem

      @@godsonishengoma5378 hakika

  • @benjaminbatano698
    @benjaminbatano698 Před rokem +3

    Wabunge hovyo kweli taarifa kila wakati

  • @naturelle1097
    @naturelle1097 Před rokem +2

    Taarifa za nn kila wakati. Mnatutoa kwenye uwepo.

  • @luhendemeneja3324
    @luhendemeneja3324 Před rokem +1

    Tuokoe wabunge wetu maneno Yako namukumbuka magufuli

  • @benjaminbatano698
    @benjaminbatano698 Před rokem +2

    Ingawa Ndugai alipokea malipo toka kwa Mungu kwa kuwatendea vibaya wapinzani. Lakini aliposema suala la kufilisika kwa nchi na kuuzwa alikuwa sawa Sasa majira yamewadia

  • @japhetdaudmaneno8440
    @japhetdaudmaneno8440 Před rokem +7

    JPM mzalendo mwana Africa 🇹🇿 yuko waaaapi,Rais wa mfano 🤔🤷🤷😭🙆 Taifa linaliaaa

  • @kaizafrank3635
    @kaizafrank3635 Před rokem +1

    Time will tell

  • @hubertmroso1664
    @hubertmroso1664 Před rokem +1

    Sasa wabunge mnaosema nyooka nao mmegoma mnachotetea! Mjue nchi inauzwa mikononi mwenu, mtakuja kujibu Kwa wananchi siku moja na sio mbali, hii ni Dali lipo mbioni hivi karibuni, mmekiri wenyewe Bunge linadjarauliwa na hao wanaouza nchi hii.Mungu ikomboe Tanzania,,...

  • @benjaminbatano698
    @benjaminbatano698 Před rokem +2

    Walimuua shujaa na mzalendo wa Taifa letu ili watuangamize watanzania wanyonge. Mama yupo China kuikabizi nchi yetu mikononi mwa makupe na beberu wa kichina

  • @babajohn8308
    @babajohn8308 Před rokem +3

    Ifike muda tukubali kanda ya ziwa ndo kuna watu wanao jielewa

  • @loner_wolf
    @loner_wolf Před rokem

    Nchi inazama kwenye majira ya maji mafu...... JPM alisema hii nchi ni tajiri, na akaonyesha utajiri wake kwa kufanya mambo mbalimbali na serikali ilikuwa na fedha ya kutosha.... Sasa hivi tutasikia nchi hii ni masikini sana inahitaji kuokolewa

  • @geey7893
    @geey7893 Před rokem +1

    Wasukumaa wana Uchungu na Nchi yao aisee😆😆😃Wabunge wa Kanda ya ziwa wamesala

  • @shinemakenzi8101
    @shinemakenzi8101 Před rokem +1

    Nikiongea wasukuma waliowengi wanakalama za kiungozi na niwaadilifu mtaanza kusema unapanda mbengu za ukabila lakini ukweli utabaki kuwa ukweli tu hawa jamaa hawataki mafisadi na majizi ya nchi hii msukuma kishimba mpina maganga nawengine wengi tu wanaiwakilisha vyema kanda ya ziwa

  • @obedmwinuka6973
    @obedmwinuka6973 Před rokem +7

    Ameongea kitu muhimu sanaaa

    • @hamudshabani7801
      @hamudshabani7801 Před rokem

      Hakika umenena kweli maana una uchungu na hali mbaya ya nchi ikiwa taifa letu tajiri lakn kuna watu wanaunda vichaka vya upgaji kwa ajili ya maslahi yao.

  • @muhammadalibhaz1390
    @muhammadalibhaz1390 Před rokem +2

    mchezio wa maaigizo wabadhirifu hawana hofu wanachukua Chao mapema

  • @kingmichael1234
    @kingmichael1234 Před rokem

    Uko sasa hihi kabisa muheshimiwa. Serikali yetu haiko serious katika mambo ya kimsingi. Viongozi hawa wasio kuwa waadilifu wanatakiwa wachukuliwe hatua Kali sana. Huyu muheshimiwa namuunga mkono kwa asilimia 💯. Wizi umezidi Sana katika serikali hii, hii kitu inaumiza sana. Hivi Rais Samia hayaoni haya?

  • @dignakanje4508
    @dignakanje4508 Před rokem

    Mungu anawalipia hpa hpa duniani.Serikaki hii hpana jmn.Sio kwawizi huuu unaendelea jmn.Hivi ninani atakae ipenda hii nchi ya Tanzania .Maana inaonekana wtu wamwanza Shinyanga hko ndio wanaoumia nakuchangia vitu vinavyoumiza sana.Kma Tanzania hii imefika mhli pakuwaogopa matajiri wakubwa kwafaida zao,bass Tanzania hii haina haki kwao.Wanalindwa kwalipi wanaonewa aibu kwalipi,mtu anakula hla nyingi hivyo alafu anatokea mtu mmoja anatetea wizi huu mkubwa walaana kubwa kwawanyonge jmn.

  • @philemornmutta1597
    @philemornmutta1597 Před rokem +1

    Kumbe Rais anawakopea wapigaji alafu sisi wanyonge tunalipa madeni lkn hamchukui hatua mnaongea tuu nani atutetee sisi jamani km Hali ndiyo hiii?

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Před rokem

    Waziri alikwamishwa kwa sababu watu wao ndiyo walipewa mikopo. Watu walipolalamika Mwigulu naye akapata nafasi ya kuchota humo humo ndiyo sababu wanafunzi wote hawajapewa wote.

  • @spark8ckampuni114
    @spark8ckampuni114 Před rokem +1

    mbunge wangu upo sahihi magu

  • @selemankahabiemmanuel8807

    Nakupenda San mbuge wangu kiswaga magu akuna shida ya maji Tena maji Kila siku akuna kukatika

    • @magwata645
      @magwata645 Před rokem

      Kaka magu Kuna shida ya maji kubwa Sana ndoo moja ni sh 500 hadi 700 Kama huamini njoo kisesa ujionee, au kisesa haiko magu?

  • @charlesmafwimbo5588
    @charlesmafwimbo5588 Před rokem

    Nyie wabunge mnaficha uozo mnasema sana lakini mnaoneana aibu hakuna utekelezaji msukuma uko wapi

  • @musashadrack1164
    @musashadrack1164 Před rokem

    Jegen hoja ya kufunga katiba mpya yenye nguvu bande zote bila kuangalia uso wa Mtu ili haki isimame na hukumu itende Kaz kwa majizi hayooo yasyo na huruma na taifa letu

  • @mkuluwaukae2221
    @mkuluwaukae2221 Před rokem +1

    Makafiri tu wote hao, wao maslahi yao mbona hawayazungumziii? Au wao ni bora kuliko raia wa kawaida nchi hii!

  • @TEMUCALVINWILBARD-cl2xi

    Mnalindana ndio sababu mkahamua kiwakataa wapinzani kwanini kamati wakati hao niwezi wapigwe pingu walekwe mahakamani tujue mnamaanisha

  • @qamdiayboay-gv3by
    @qamdiayboay-gv3by Před rokem

    😊😊😊😊😊

  • @athumanhassani805
    @athumanhassani805 Před rokem

    Hawa viongizi mawaziri niwezi sana wana kimbikiza sana mali zawatanzania. Tuanahitaji wabunge kama huyu sio wabunge vilaza wanasinzia tuuu

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 Před rokem

    Unakuja kujua mpigaji ni Raisi au waziri mkuu unadhani kuna kitakachoendelea au mnapiga kelele tu

  • @roberthsagudasagudantobi9646

    Ndugai ni mkongwe katika siasa pia ni mzalendo wa nchi ndo maana aliyaona haya mapema.Tutamwelewa Ndugai tu

  • @batwelimahenge7850
    @batwelimahenge7850 Před rokem

    CCM hoyeeeeeee

  • @johnchimwaga26
    @johnchimwaga26 Před rokem

    Mungu akubariki sana

  • @josephsulusi9037
    @josephsulusi9037 Před rokem +2

    Pambana Tanzania ni taifa lako

  • @andrew29468
    @andrew29468 Před rokem

    Kuhusu board point kubwa sanaa tupeleke watu active,waadilifu na wwenye weledi mkubwa

  • @nashonmwagito4873
    @nashonmwagito4873 Před rokem

    Wote wezi hizi ni siasa tu.

  • @qamdiayboay-gv3by
    @qamdiayboay-gv3by Před rokem

    Fukuza wote ,unemployment rate kubwa,aijiri sentinel

  • @hubertmroso1664
    @hubertmroso1664 Před rokem +1

    Wabunge kumbukeni mnaowatetea kwamba wanyooke nasi yanawarudia, serikali iliko madaraka imeundwa na Bunge la Nani!?

    • @raphaelngulo1293
      @raphaelngulo1293 Před rokem

      Kama hayo mnayo zungumza ni yakweli mngechukua hatua yakuwawajibisha wahusika

  • @jitabojilala6162
    @jitabojilala6162 Před rokem

    Kila bunge hyu mbunge anasema haya akini hayafanyiwi kazi

  • @kambonamahmadoo6814
    @kambonamahmadoo6814 Před rokem +1

    NCHI YANGU TANZANIA inakosa MAENDELEO kwa kukosa msimamizi bora 😭😭 wezi wamepewa ridhaa 🤔🤔

    • @pallumapesa3784
      @pallumapesa3784 Před rokem

      We ni mtu makini sana mh. Kiswaga maendeleo endelea kutetea watanzania tuko nyuma yako

    • @tumainikomba9008
      @tumainikomba9008 Před rokem +1

      Yan sometimes sipendi kusikiliza maana inauma sana

  • @shinemakenzi8101
    @shinemakenzi8101 Před rokem

    Bodi wanateuliwa wazee wastafu waliojichokea wakati kuna vijana wenye elimu zao wakisahaulika nn maana yake?kaz kweli kweli

  • @gervasmahungo9167
    @gervasmahungo9167 Před rokem

    Na nyinyi wabunge mchunguzwe mfuko wa Jimbo pesa yake inakwenda wapi

  • @maliminillah2671
    @maliminillah2671 Před rokem +1

    Kila Siku ni kuongea tu,Ila hamufanyii kazi

  • @mashirimathias6006
    @mashirimathias6006 Před rokem +1

    Majizi makubwa haya makafiri

  • @kaundasutikaunda7769
    @kaundasutikaunda7769 Před rokem +2

    Kumbe wapo wabunge wenye hasira na wiz unao endelea.

  • @monicakadama
    @monicakadama Před rokem

    Upande wa maji hatukuerew kabisa pembeni ya mji wa mwanz ukipita igoma

  • @tumainimapesa6870
    @tumainimapesa6870 Před rokem

    Hakuna maana yoyote kila mwaka ni madudu tu mjitathimini

  • @kabwikaibrahim9502
    @kabwikaibrahim9502 Před rokem

    Wazalendo wanahitajika kuijenga nchi yetu Tanzania!

  • @abiliusalbert9595
    @abiliusalbert9595 Před rokem

    Ndo wabunge tunaowataka

  • @rosemichael4765
    @rosemichael4765 Před rokem

    Hujaitwa na tume ya maadiri kuhojiwa!?

  • @hubertmroso1664
    @hubertmroso1664 Před rokem +1

    Na tozo pia inaingizwa ndani ili kufunika dhambi hiyo...

  • @pennymahombo9528
    @pennymahombo9528 Před rokem

    Hao wanaocheka,kipi chakucheka hapo?Mbunge anaongea mambo mazito hivi mnacheka?

  • @edithajoseph7675
    @edithajoseph7675 Před rokem

    Ipo siku mtatoa hesabu ya yale mlio yatenda

  • @hancygadiel810
    @hancygadiel810 Před rokem

    Hii nchi inarudishwa nyuma na viongozi na kujuana, wizi mtupu af wanachukua tozo kufidia magepu

  • @babuloliondo74
    @babuloliondo74 Před rokem

    ivi wabunge ote mnashindwa vipi kutunga sheria kwanini mtu akihiba era yauma jera kifungo chamaisha jera

  • @michaellambo1600
    @michaellambo1600 Před rokem +1

    Upumzike kwa amani

  • @gabrielmdem4271
    @gabrielmdem4271 Před rokem

    Mdio

  • @94winga
    @94winga Před rokem

    Mbona hilo bunge la kushoto linacheka tu

  • @zaituniselemani3247
    @zaituniselemani3247 Před rokem +1

    Tuna hitaji mabadiliko na sio kuongea tu jamani hebu fanyeni kazi tulizo watuma plz!! Tunaumia sana

    • @robertabel6984
      @robertabel6984 Před rokem

      Wacha waongee ili wahusika wa chukuliwe hatua ndipo mabadiliko yaje

    • @michaelkasogela
      @michaelkasogela Před rokem

      Wabunge jueni haki uliinus taifa maneno ya mwenyezi mungu na mujiulize makanisani na misikitini uwa mnaenda kufanya nini

  • @mabugamussa2860
    @mabugamussa2860 Před rokem

    Wakiiba wanaanza kumsingizia Magufuli shame on you

  • @faidamasegenghe1253
    @faidamasegenghe1253 Před rokem

    Kiswanga pelekeni maji wana nchi wa Kata ya bujashi wanahagaika sana maji ya kunywa wana nchi wa sese wanaamka usiku kwenda kuchota maji wahulumieni wakina mama wachimbieni visima au maji yakutoka ziwani mbona ziwa lipo karibu sana kata ya kayenze mbona inamaji ya maji mseleleko hii ni kelo

    • @magorymara5515
      @magorymara5515 Před rokem

      Pesa ya maji imelipa liba

    • @suzanakiongozi1380
      @suzanakiongozi1380 Před rokem

      Mtoto wa mjomba/shangaz na,,,,,,, ilikuwa enz za JPM ndy alikuwa haangalii sula,pumzika kwa aman

  • @elishakapushi5447
    @elishakapushi5447 Před rokem

    Serikali jibu je wapo?

  • @domisianjohn5040
    @domisianjohn5040 Před rokem

    MUNGU ATULINDE TU

  • @cvanoedward3093
    @cvanoedward3093 Před rokem

    Piga maweeee

  • @josephmsanga6751
    @josephmsanga6751 Před rokem +1

    Nchi Yetu ipo Shimoni!!

  • @barnabalushenshe5671
    @barnabalushenshe5671 Před rokem

    Bi HAWA ANAZUUZA MACHO CHINA.. NCHI INAKWENDA MLAMA.. AKIMALIZA KULEMBUA MPANGIE SAFARI AKAKOPE..🐕

    • @naturelle1097
      @naturelle1097 Před rokem

      😆😆

    • @jairosjulius9447
      @jairosjulius9447 Před rokem

      Safi sana wananchi wamekuelewa sana

    • @monicakadama
      @monicakadama Před rokem

      Kula yangu chukuaaaaaaaaa

    • @monicakadama
      @monicakadama Před rokem

      Upande wa maji au ni ya ukooooo

    • @monicakadama
      @monicakadama Před rokem

      Basi myafanyie kazi na sisi mwanza tupate mikopo ila mbunge wetu huko bungeni yupo mabula maana yupo kimya au yeye yuko bunge gani?!!!! kweli watanznia kiujumla tunamaumivu mkli sana tumeshisom namba Ila mungu tunamaombi fungua njia pasipo na njia aminaaaa kubwa

  • @simonkombe8219
    @simonkombe8219 Před rokem

    Hi nchi ya ovyo sana viongoz walanguz hamna lolote,, wabadlke

  • @mohdnasser894
    @mohdnasser894 Před rokem

    mawaziri walio tumbuliwa na mwendazake hao ndio wamerudishwa kufanya wizi leo mnaanza kulia

  • @nicksonfrancy6043
    @nicksonfrancy6043 Před rokem

    Hata majina ham tajani wote CCM mmmh aibu. Tunataka upinzani uingie bungeni maana mnabebana tu.mnafichiana majanga. Tajeni na majina sasa.