Mbunge Kiswaga awaka bungeni "Nchi inataka kufilisiwa, hawa ni wezi/ fukuza wote"
Vložit
- čas přidán 2. 11. 2022
- Mbunge wa Kalenga (CCM) Bonivetura Kiswaga amekerwa na watendaji wa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB), kuendelea kubaki ofisini wakati Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) ameshaonyesha ubadhirifu.
Kiswaga ameyasema hayo leo Alhamis Novemba 3,2022 wakati akichangia taarifa ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC).
Sasa ndo tunaanza kumuelewa Mh.Ndugai Mungu tusaidie cc wanyonge watanzania maskini.
Inchi imeoza mkuu wa taifa safari haziishi wananchi tunakuelewaje?!!
Wasukuma wapewe nchi tena
Kabisa
iko wazi
Ndugai alikuwa mkweli kuwa hii nchi imesha. Uzwa
Mbona kipindi cha magufuli Mambo ya wizi yalipungua sana 😭😭😭😭
Wanaiba Hela,halafu wanatupa mizigo sisi Wana nchi!!! Hali ni ngumu, Maji ni shida🏃Mifumuko ya bei,Hali nite nchini,Hela zinakopwa nje, halafu zinaibwa!!! Kweli!!! MUNGU ingilia kati!!!
Nakupongeza Kiswaga
daa rip jpm
Brother uko vizuri nakutakia urais Tanzania 2030 chukua fomu brother
Asante ndugai.alisema leo tunamkumbuka
Tunaitaji katiba mpya, ili kesi kama hizo ziishe. Maana hata sisi wananchi tumechoka kuwasikiliza kesi zenu za wizi
Tz tunakiwa tupate wabunge wazalendo kama mbunge kiswaga anaongea ukweli mtupu inaonekana ameguswa sana na mambo haya km tulivo guswa wananchi hongera kiswaga
Wote wasemao Magufuli (Jiwe) alikuwa mbaya hao ni WEZI WOTE.
Kazi ipo Kweli kweli . Tunataka rais kama magufuli. Ambaye alikuwa haangalia kunyanzi. uwe mtoto wa kigogo alikuwa anatumbua mfano mzuri kina makamba kina nape alifyekelea mbali. Samia naye amewakumbatia tena
Yote hayo yametokea kipindi cha mwenda zake
@@ibnhassan9980 wa2 wa dini ya haki.. mmebebelea dini na kumuacha Mungu wa kwel.. tzama utawala wenu,n ushetani m2pu.!
@@godsonishengoma5378 hakika
Wabunge hovyo kweli taarifa kila wakati
Taarifa za nn kila wakati. Mnatutoa kwenye uwepo.
Tuokoe wabunge wetu maneno Yako namukumbuka magufuli
Ingawa Ndugai alipokea malipo toka kwa Mungu kwa kuwatendea vibaya wapinzani. Lakini aliposema suala la kufilisika kwa nchi na kuuzwa alikuwa sawa Sasa majira yamewadia
JPM mzalendo mwana Africa 🇹🇿 yuko waaaapi,Rais wa mfano 🤔🤷🤷😭🙆 Taifa linaliaaa
Time will tell
Sasa wabunge mnaosema nyooka nao mmegoma mnachotetea! Mjue nchi inauzwa mikononi mwenu, mtakuja kujibu Kwa wananchi siku moja na sio mbali, hii ni Dali lipo mbioni hivi karibuni, mmekiri wenyewe Bunge linadjarauliwa na hao wanaouza nchi hii.Mungu ikomboe Tanzania,,...
Walimuua shujaa na mzalendo wa Taifa letu ili watuangamize watanzania wanyonge. Mama yupo China kuikabizi nchi yetu mikononi mwa makupe na beberu wa kichina
Ifike muda tukubali kanda ya ziwa ndo kuna watu wanao jielewa
nakuunga mkono
Kweli kbis ndio wabunge wazalendo kbisa wenye uchungu na kweli yamoyo.
Nchi inazama kwenye majira ya maji mafu...... JPM alisema hii nchi ni tajiri, na akaonyesha utajiri wake kwa kufanya mambo mbalimbali na serikali ilikuwa na fedha ya kutosha.... Sasa hivi tutasikia nchi hii ni masikini sana inahitaji kuokolewa
Wasukumaa wana Uchungu na Nchi yao aisee😆😆😃Wabunge wa Kanda ya ziwa wamesala
Nikiongea wasukuma waliowengi wanakalama za kiungozi na niwaadilifu mtaanza kusema unapanda mbengu za ukabila lakini ukweli utabaki kuwa ukweli tu hawa jamaa hawataki mafisadi na majizi ya nchi hii msukuma kishimba mpina maganga nawengine wengi tu wanaiwakilisha vyema kanda ya ziwa
Ameongea kitu muhimu sanaaa
Hakika umenena kweli maana una uchungu na hali mbaya ya nchi ikiwa taifa letu tajiri lakn kuna watu wanaunda vichaka vya upgaji kwa ajili ya maslahi yao.
mchezio wa maaigizo wabadhirifu hawana hofu wanachukua Chao mapema
Uko sasa hihi kabisa muheshimiwa. Serikali yetu haiko serious katika mambo ya kimsingi. Viongozi hawa wasio kuwa waadilifu wanatakiwa wachukuliwe hatua Kali sana. Huyu muheshimiwa namuunga mkono kwa asilimia 💯. Wizi umezidi Sana katika serikali hii, hii kitu inaumiza sana. Hivi Rais Samia hayaoni haya?
Mungu anawalipia hpa hpa duniani.Serikaki hii hpana jmn.Sio kwawizi huuu unaendelea jmn.Hivi ninani atakae ipenda hii nchi ya Tanzania .Maana inaonekana wtu wamwanza Shinyanga hko ndio wanaoumia nakuchangia vitu vinavyoumiza sana.Kma Tanzania hii imefika mhli pakuwaogopa matajiri wakubwa kwafaida zao,bass Tanzania hii haina haki kwao.Wanalindwa kwalipi wanaonewa aibu kwalipi,mtu anakula hla nyingi hivyo alafu anatokea mtu mmoja anatetea wizi huu mkubwa walaana kubwa kwawanyonge jmn.
Kumbe Rais anawakopea wapigaji alafu sisi wanyonge tunalipa madeni lkn hamchukui hatua mnaongea tuu nani atutetee sisi jamani km Hali ndiyo hiii?
Waziri alikwamishwa kwa sababu watu wao ndiyo walipewa mikopo. Watu walipolalamika Mwigulu naye akapata nafasi ya kuchota humo humo ndiyo sababu wanafunzi wote hawajapewa wote.
mbunge wangu upo sahihi magu
Nakupenda San mbuge wangu kiswaga magu akuna shida ya maji Tena maji Kila siku akuna kukatika
Kaka magu Kuna shida ya maji kubwa Sana ndoo moja ni sh 500 hadi 700 Kama huamini njoo kisesa ujionee, au kisesa haiko magu?
Nyie wabunge mnaficha uozo mnasema sana lakini mnaoneana aibu hakuna utekelezaji msukuma uko wapi
Jegen hoja ya kufunga katiba mpya yenye nguvu bande zote bila kuangalia uso wa Mtu ili haki isimame na hukumu itende Kaz kwa majizi hayooo yasyo na huruma na taifa letu
Makafiri tu wote hao, wao maslahi yao mbona hawayazungumziii? Au wao ni bora kuliko raia wa kawaida nchi hii!
Mnalindana ndio sababu mkahamua kiwakataa wapinzani kwanini kamati wakati hao niwezi wapigwe pingu walekwe mahakamani tujue mnamaanisha
😊😊😊😊😊
Hawa viongizi mawaziri niwezi sana wana kimbikiza sana mali zawatanzania. Tuanahitaji wabunge kama huyu sio wabunge vilaza wanasinzia tuuu
Unakuja kujua mpigaji ni Raisi au waziri mkuu unadhani kuna kitakachoendelea au mnapiga kelele tu
Ndugai ni mkongwe katika siasa pia ni mzalendo wa nchi ndo maana aliyaona haya mapema.Tutamwelewa Ndugai tu
CCM hoyeeeeeee
Mungu akubariki sana
Pambana Tanzania ni taifa lako
Kuhusu board point kubwa sanaa tupeleke watu active,waadilifu na wwenye weledi mkubwa
Wote wezi hizi ni siasa tu.
Fukuza wote ,unemployment rate kubwa,aijiri sentinel
Wabunge kumbukeni mnaowatetea kwamba wanyooke nasi yanawarudia, serikali iliko madaraka imeundwa na Bunge la Nani!?
Kama hayo mnayo zungumza ni yakweli mngechukua hatua yakuwawajibisha wahusika
Kila bunge hyu mbunge anasema haya akini hayafanyiwi kazi
NCHI YANGU TANZANIA inakosa MAENDELEO kwa kukosa msimamizi bora 😭😭 wezi wamepewa ridhaa 🤔🤔
We ni mtu makini sana mh. Kiswaga maendeleo endelea kutetea watanzania tuko nyuma yako
Yan sometimes sipendi kusikiliza maana inauma sana
Bodi wanateuliwa wazee wastafu waliojichokea wakati kuna vijana wenye elimu zao wakisahaulika nn maana yake?kaz kweli kweli
Na nyinyi wabunge mchunguzwe mfuko wa Jimbo pesa yake inakwenda wapi
Kila Siku ni kuongea tu,Ila hamufanyii kazi
Majizi makubwa haya makafiri
Kumbe wapo wabunge wenye hasira na wiz unao endelea.
Mtaerewa tu na bado
Co mbunge wa kalenga ni wa magu
Upande wa maji hatukuerew kabisa pembeni ya mji wa mwanz ukipita igoma
Hakuna maana yoyote kila mwaka ni madudu tu mjitathimini
Wazalendo wanahitajika kuijenga nchi yetu Tanzania!
Ndo wabunge tunaowataka
Hujaitwa na tume ya maadiri kuhojiwa!?
Na tozo pia inaingizwa ndani ili kufunika dhambi hiyo...
Hao wanaocheka,kipi chakucheka hapo?Mbunge anaongea mambo mazito hivi mnacheka?
Ipo siku mtatoa hesabu ya yale mlio yatenda
Hii nchi inarudishwa nyuma na viongozi na kujuana, wizi mtupu af wanachukua tozo kufidia magepu
ivi wabunge ote mnashindwa vipi kutunga sheria kwanini mtu akihiba era yauma jera kifungo chamaisha jera
Upumzike kwa amani
Mdio
Mbona hilo bunge la kushoto linacheka tu
Tuna hitaji mabadiliko na sio kuongea tu jamani hebu fanyeni kazi tulizo watuma plz!! Tunaumia sana
Wacha waongee ili wahusika wa chukuliwe hatua ndipo mabadiliko yaje
Wabunge jueni haki uliinus taifa maneno ya mwenyezi mungu na mujiulize makanisani na misikitini uwa mnaenda kufanya nini
Wakiiba wanaanza kumsingizia Magufuli shame on you
Kiswanga pelekeni maji wana nchi wa Kata ya bujashi wanahagaika sana maji ya kunywa wana nchi wa sese wanaamka usiku kwenda kuchota maji wahulumieni wakina mama wachimbieni visima au maji yakutoka ziwani mbona ziwa lipo karibu sana kata ya kayenze mbona inamaji ya maji mseleleko hii ni kelo
Pesa ya maji imelipa liba
Mtoto wa mjomba/shangaz na,,,,,,, ilikuwa enz za JPM ndy alikuwa haangalii sula,pumzika kwa aman
Serikali jibu je wapo?
MUNGU ATULINDE TU
Piga maweeee
Nchi Yetu ipo Shimoni!!
Bi HAWA ANAZUUZA MACHO CHINA.. NCHI INAKWENDA MLAMA.. AKIMALIZA KULEMBUA MPANGIE SAFARI AKAKOPE..🐕
😆😆
Safi sana wananchi wamekuelewa sana
Kula yangu chukuaaaaaaaaa
Upande wa maji au ni ya ukooooo
Basi myafanyie kazi na sisi mwanza tupate mikopo ila mbunge wetu huko bungeni yupo mabula maana yupo kimya au yeye yuko bunge gani?!!!! kweli watanznia kiujumla tunamaumivu mkli sana tumeshisom namba Ila mungu tunamaombi fungua njia pasipo na njia aminaaaa kubwa
Hi nchi ya ovyo sana viongoz walanguz hamna lolote,, wabadlke
mawaziri walio tumbuliwa na mwendazake hao ndio wamerudishwa kufanya wizi leo mnaanza kulia
Hata majina ham tajani wote CCM mmmh aibu. Tunataka upinzani uingie bungeni maana mnabebana tu.mnafichiana majanga. Tajeni na majina sasa.