| HEKAYA ZA LOLIONDO | Tiba ya Babu wa Loliondo [Part 1]
Vložit
- čas přidán 7. 09. 2019
- Takriban miaka tisa iliyopita, mamilioni ya watu kutoka Afrika Mashariki walifunga safari na kuelekea hadi kijiji cha Samunge nchini Tanzania kutafuta miujiza ya uponyaji wa magonjwa aina aina. Eneo la Loliondo likageuka na kuwa sehemu iliyosifika hasa miongoni mwa Wakenya. Dawa za uponyaji ambazo wakati huo zilionekana kuwa miujuzia zilikuwa zinatolewa na mhubiri aliyestaafu kwa jina Ambilikile Mwasapile maarufu Babu. Mwishoni mwa mwaka wa 2012 zaidi ya watu milioni 6 walizuru kijiji cha Samunge, sehemu anayoishi Babu hadi wa leo. Hii leo runinga ya Citizen imeandaa makala kuhusu matukio baada ya Loliondo ambapo wengi walifariki baadaye na wengine wakizungumzia masaibu yao. Huyu hapa Jamila Mohamed na makala ya Hekaya za Loliondo.
#HekayaZaLoliondo #TibaYaLoliondo
Have mercy oooh lord.. Just trust in him who lives forever... Health comes from God.. Please lets trust in Jesus.
Let people learn.....health is the greatest wealth one can have
Very True 💞
Walay huyu mzee ndio mkora mkubwa kuliko wote Duniani na inabidi Iwekwe kwenye historia kama Mtu hatari zaidi duniani kwa ukora
Charlow Mathew😂😂😂😂😂
Kabisa😀🤣🤣🤣
Charlow Mathew ...a fool and his money are soon parted! 😒😏😂😂😂😂🤦🏿♂️ hakuna ukora hapa! Watu wengi ndio wajinga! 😂😂😂😂🙆🏿♂️
Kweli
Peter my long lost customer,nimekuona and u look Soo healthy
Legend. Every year, Every generatin has their hype/narrative/scam. It is not unique to Kenya but similarly present the world over.
Msilaumu mzee, nyinyi ndio mlipeleka kiherehere
😂😂😂😂😂 exactly
😁😁😁Correct
...kuwa na huruma bana! 😂😂😂😂
Watu waliacha dawa kwa kweli inasikitisha sanaaa ni UONGO wa ajabu
Waiting for part two
Wonders shall never end!!
This is sad. I totally understand why this guys went. God help you guys thru this journey.
Woiye
So this man alkua anaplan kuwamaliza wah, part 2 naisubiri
Tusisahau kwamba Kuna mwingine katokea hapa Kenya na maiti ziko hospital walifariki Jana na wagonjwa wako hospital
Duh nakumbuka huko mwaka 😋
DCI na DPP ichangamkie hii scandal 😁😁😁
Nimeona naekana sacco nikajua wakenya Sana Sana wakikuyu WAliende, 👏👏🤣Africa hatukosi vituko,, babu WA loliondo biguni ataonea viusasa
🤣🤣🤣🤣
I know some who went and 2 died before they arrived.
@@Desamz23 y are u commenting u genius??! Nipe brains zako nitumie
😂😂
Mimi hata kama ni jirani anasema ako na tiba siwezi. Yesu alisema tuwe maskini sana na hawa watu Mat 24.
I can pray for myself with faith and get healed.
Very true Rose
Nimetoka kwa citizen kuja tena kuona loliondo😂😂😂😂😂😂😂😂
Waa
People have problems but they don't know the real problem, many have refused to go to hospitals for the fear of the worst. Some look for who to blame family members, others neighbours etc. Let not be fooled by people who play our psychology by brain washing.
Yupo Babuuuu eeeeeheeeeh
mzee alipata utajiri kwa kuuwa watu 🚶🚶🚶
Mzee hakuita mtu. Walijipeleka wenyewe na magonjwa yao
uyo mzee Samunge ni mkora
Huko ndo nyumbani
Wanyakyusa ni wavivu sana ndo maana alitumia akili kupata hela
Waja bhana binti anazikwa bembeni ya mji
Watu wengi walikufa baada ya kuenda kwa babu na kuacha dawa za ARV. hatari.
Makomakoooo???
Part 2 itaekwa lini?
Wololo
😁😁😁 watu wanapenda mababu.
Everyone is desperate for cure, I mean in today's lives everyone is suffering from something you don't know so GOD help us
Babu mshenzi sana ingekua awam ya tano angefungwa maishaa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣magu asingemuacha salama
Alitajirika,akajenga nyumba na rentals. Akawekewa stima na Magufuli,,nyambafu hii
Lydia Agwuma ...😂😂😂😂😂😂🙆🏿♂️
Life is one big trap
Babu kumbe bado yupo mngu ambatiki sanababu
Huyu mzee alikuwa tapeli sana" mpaka Rais Bush wa marekani alikuja kugonga kikombe"urithi wake wa utapeli kauchukua mwamposa
eeh hatari
Pesa haipatikani kwa njia ya haki
People were desperate for cure.Babu took advantage of their illnesses and desperation.
Ngai nilikua nasikia ati huyo mzee alikua ameambiwa na mungu atakufa after kupatia watu ndawa
Na amekufa jana
Mwaura 😂😂😂😂 nyumba ya mūmbi nitwethire indo
Nimeona Naekana sacco ikipeleka watu huko 😂
Hako kamzee yafaa kafungwe kwenye jela
That babu should be arrested for scaming and putting lives at risk
Yes he is a fraudulent man
Kweli duniani kuna mabo
Kabisa
Zangu nirudishie...eeehh
😂 😂 😂 That mzee killed it.
Kakamega walikua wameenda kijiji mzima
Hahaha
😁😁😁😁
Hahaha na nilikuona huko kwa babu
@@jaynenjoroge5515 😂😂😂😂huyo babu lazima ni billionaire sasa kaa county mzima ilienda huko
Tanzania ndio usiseme nilikutana na wengi waliokua huko.
Mzee ww ingelikuwa awamu ya 5 ingekushughulikia ipasavyo magu ninavyo mjua
Wapumbavu hao
Inakaa mìratina
Kwani walikuwa wamengojeka wengi aje?
I can feel the desperacy ya kutaka kupona. I will not throw a stone as am human and not perfect. Nobody chooses anataka kuwa mgonjwa ugonjwa gani. Lack of knowledge itatumaliza....
How much were they paying for the medicine?
Kshs. 20,000/= per cup.
@@CherieDeDieu 😱😱😱
Mlipewa uchawi tupu
Loliondo my foot
SIPENDI MAUJINGA!!
This conman is still conning and killing people he needs to be stopped
mzee huyo bado ako hai ama ?
Life and kicking 😀
But his wife passed on.
Kuna watu walishuhudia kupona kweli bona hawa ni kinyume?. I met a guy from Sudan and his wife confessing of recovery
Jirani yetu anakiri kupona HIV.
Wajinga ndio waliowao ni nykti za mwisho watu walikufa mnooooooooooo
People ignore the blood of Jesus too much and run to all form of witchcraft.
Loliondo Scam!!
Con
This guy doesn’t look like he has HIV
If you believe this nonsense you need help! like serious help..... con of a new age!!
_Alxvndr Aleky ...no con job here, just natural selection!😂😂😂😂🤦🏿♂️
UJINGA NI WENU WENYEWE , UKIAMBIWA NA WEWE JIAMBIE ...huyu babu ni muuwaji na anastahili kushtakiwa kwa kuwa ni chanzo cha maafa ya wengine
Wajinga ndio waliwao. Scientists spend sleepless nights and millions of dollars to come up with cures and remedies halafu mnaenda kuchemshiwa mizizi na kamzee hakajui vile virus hufanya kazi???!!!
Sinto Derrick ...wewe na scientists ndio mjinga kushinda wote! 😂😂😂🤦🏿♂️🙆🏿♂️🤷🏿♂️
Kama ingekuwa muislam angekuwa na kesi ya kujibu kwa mauwaji ya watu wakati akijua sio dawa ya kiukweli,lakini ni mkirisitu ndio yamepita na kubasi story na yeye uyo mzee alipoulizwa wakambana sana vile watu wengi walifariki yeye alisema dawa hii utapona kama utakuwa na imani.from zero to hero na sasa ni tajiri mkubwa kule kwako.
Haijasemekana dini yake huyo ni kama mganga na mganga hana dini musipende kuingilia wakristo hivo
Mambo ya Imani na dini za watu inatokea wapi sasa?
watu wengi wanafanya sarakasi kwa jina la ukristo hio inaamana kua kuna NGUVU KATIKA YESU KRISTO hivyo wengi kujaribu kuiga mfano tu ila hawana NGUVU ZENYEWE.
nabii Mohammed aliponya nani katika uislamu, alifufua nani na alipatia nani matumaini alipokua dunia hii😀😀😀😀
hivyo hamna haja ya yeyote kuiga mfano wake wala matendo yake na wanaojaribu kumuiga ni hawa terrorist wa kuua kwa jina la allah akbar.
ushawai skia mtu akiua huku akisema kwa jina la yesu🙂🤔🤔🤔🤔