| HEKAYA ZA LOLIONDO | Tiba ya Babu wa Loliondo [Part 1]

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 7. 09. 2019
  • Takriban miaka tisa iliyopita, mamilioni ya watu kutoka Afrika Mashariki walifunga safari na kuelekea hadi kijiji cha Samunge nchini Tanzania kutafuta miujiza ya uponyaji wa magonjwa aina aina. Eneo la Loliondo likageuka na kuwa sehemu iliyosifika hasa miongoni mwa Wakenya. Dawa za uponyaji ambazo wakati huo zilionekana kuwa miujuzia zilikuwa zinatolewa na mhubiri aliyestaafu kwa jina Ambilikile Mwasapile maarufu Babu. Mwishoni mwa mwaka wa 2012 zaidi ya watu milioni 6 walizuru kijiji cha Samunge, sehemu anayoishi Babu hadi wa leo. Hii leo runinga ya Citizen imeandaa makala kuhusu matukio baada ya Loliondo ambapo wengi walifariki baadaye na wengine wakizungumzia masaibu yao. Huyu hapa Jamila Mohamed na makala ya Hekaya za Loliondo.
    #HekayaZaLoliondo #TibaYaLoliondo

Komentáře • 107

  • @blessedlovedandfavoured4129

    Have mercy oooh lord.. Just trust in him who lives forever... Health comes from God.. Please lets trust in Jesus.

  • @geoffreyokonda2562
    @geoffreyokonda2562 Před 4 lety +19

    Let people learn.....health is the greatest wealth one can have

  • @charlowmathew9762
    @charlowmathew9762 Před 4 lety +24

    Walay huyu mzee ndio mkora mkubwa kuliko wote Duniani na inabidi Iwekwe kwenye historia kama Mtu hatari zaidi duniani kwa ukora

    • @annastasiajackson3329
      @annastasiajackson3329 Před 4 lety

      Charlow Mathew😂😂😂😂😂

    • @bekathiongo359
      @bekathiongo359 Před 4 lety

      Kabisa😀🤣🤣🤣

    • @rumpelstiltskn5574
      @rumpelstiltskn5574 Před 4 lety +1

      Charlow Mathew ...a fool and his money are soon parted! 😒😏😂😂😂😂🤦🏿‍♂️ hakuna ukora hapa! Watu wengi ndio wajinga! 😂😂😂😂🙆🏿‍♂️

    • @yasmininder3620
      @yasmininder3620 Před 4 lety

      Kweli

  • @wanjiruthuni7126
    @wanjiruthuni7126 Před 4 lety +3

    Peter my long lost customer,nimekuona and u look Soo healthy

  • @kahunakorteze2763
    @kahunakorteze2763 Před měsícem

    Legend. Every year, Every generatin has their hype/narrative/scam. It is not unique to Kenya but similarly present the world over.

  • @ARTCELLENCY
    @ARTCELLENCY Před 4 lety +11

    Msilaumu mzee, nyinyi ndio mlipeleka kiherehere

  • @happymsaki1720
    @happymsaki1720 Před 4 lety +4

    Watu waliacha dawa kwa kweli inasikitisha sanaaa ni UONGO wa ajabu

  • @Geoffreynyachae
    @Geoffreynyachae Před 4 lety

    Waiting for part two

  • @faithchepkemoi473
    @faithchepkemoi473 Před 2 lety

    Wonders shall never end!!

  • @nzamul1446
    @nzamul1446 Před 4 lety

    This is sad. I totally understand why this guys went. God help you guys thru this journey.

  • @wanjiruwanganga5707
    @wanjiruwanganga5707 Před 4 lety

    Woiye

  • @WairimuMuya
    @WairimuMuya Před 4 lety +2

    So this man alkua anaplan kuwamaliza wah, part 2 naisubiri

  • @rehemaahamadiahmadi566
    @rehemaahamadiahmadi566 Před 4 lety +2

    Tusisahau kwamba Kuna mwingine katokea hapa Kenya na maiti ziko hospital walifariki Jana na wagonjwa wako hospital

  • @elpinarichard1884
    @elpinarichard1884 Před 4 lety +1

    Duh nakumbuka huko mwaka 😋

  • @tonnynamasaka4605
    @tonnynamasaka4605 Před 4 lety +4

    DCI na DPP ichangamkie hii scandal 😁😁😁

  • @eunicewairimu5015
    @eunicewairimu5015 Před 4 lety +3

    Nimeona naekana sacco nikajua wakenya Sana Sana wakikuyu WAliende, 👏👏🤣Africa hatukosi vituko,, babu WA loliondo biguni ataonea viusasa

  • @rosemutinda3076
    @rosemutinda3076 Před 4 lety +1

    Mimi hata kama ni jirani anasema ako na tiba siwezi. Yesu alisema tuwe maskini sana na hawa watu Mat 24.
    I can pray for myself with faith and get healed.

  • @wangagirl3508
    @wangagirl3508 Před měsícem

    Nimetoka kwa citizen kuja tena kuona loliondo😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @FreshCreater
    @FreshCreater Před 4 lety

    Waa

  • @themortonhub
    @themortonhub Před 4 lety +2

    People have problems but they don't know the real problem, many have refused to go to hospitals for the fear of the worst. Some look for who to blame family members, others neighbours etc. Let not be fooled by people who play our psychology by brain washing.

  • @happymsaki1720
    @happymsaki1720 Před 4 lety +1

    Yupo Babuuuu eeeeeheeeeh

  • @makelula3240
    @makelula3240 Před 4 lety +3

    mzee alipata utajiri kwa kuuwa watu 🚶🚶🚶

  • @benjohnson1763
    @benjohnson1763 Před 4 lety +3

    Mzee hakuita mtu. Walijipeleka wenyewe na magonjwa yao

  • @dylanimbili3818
    @dylanimbili3818 Před 4 lety +2

    uyo mzee Samunge ni mkora

  • @paulebby1552
    @paulebby1552 Před 4 lety +1

    Wanyakyusa ni wavivu sana ndo maana alitumia akili kupata hela

  • @najmerry2977
    @najmerry2977 Před 4 lety +1

    Waja bhana binti anazikwa bembeni ya mji

  • @hanifajuma342
    @hanifajuma342 Před 4 lety +1

    Watu wengi walikufa baada ya kuenda kwa babu na kuacha dawa za ARV. hatari.

  • @vincentorina1039
    @vincentorina1039 Před 4 lety +2

    Makomakoooo???

  • @reubenrubie4200
    @reubenrubie4200 Před 4 lety

    Part 2 itaekwa lini?

  • @brightkalan133
    @brightkalan133 Před 4 lety

    Wololo

  • @hanifajuma342
    @hanifajuma342 Před 4 lety

    😁😁😁 watu wanapenda mababu.

  • @rynelorandrichierynelorand4515

    Everyone is desperate for cure, I mean in today's lives everyone is suffering from something you don't know so GOD help us

  • @aminashabani2850
    @aminashabani2850 Před 3 lety

    Babu mshenzi sana ingekua awam ya tano angefungwa maishaa

  • @lydiaagwuma656
    @lydiaagwuma656 Před 4 lety +1

    Alitajirika,akajenga nyumba na rentals. Akawekewa stima na Magufuli,,nyambafu hii

  • @nobaso620
    @nobaso620 Před 4 lety

    Life is one big trap

  • @aziondeshirazybwoy6495

    Babu kumbe bado yupo mngu ambatiki sanababu

  • @abubakarikisuju80
    @abubakarikisuju80 Před 2 lety

    Huyu mzee alikuwa tapeli sana" mpaka Rais Bush wa marekani alikuja kugonga kikombe"urithi wake wa utapeli kauchukua mwamposa

  • @thomasmachuma9271
    @thomasmachuma9271 Před 4 lety

    eeh hatari

  • @sweetmelodyintlband
    @sweetmelodyintlband Před 3 lety

    Pesa haipatikani kwa njia ya haki

  • @mercyferguson4720
    @mercyferguson4720 Před 4 lety

    People were desperate for cure.Babu took advantage of their illnesses and desperation.

  • @tashkariuki7652
    @tashkariuki7652 Před 4 lety +1

    Ngai nilikua nasikia ati huyo mzee alikua ameambiwa na mungu atakufa after kupatia watu ndawa

  • @ammbuthia2740
    @ammbuthia2740 Před 4 lety +2

    Mwaura 😂😂😂😂 nyumba ya mūmbi nitwethire indo

  • @sophiatessia3914
    @sophiatessia3914 Před 4 lety +1

    Hako kamzee yafaa kafungwe kwenye jela

  • @sir_felix.
    @sir_felix. Před 4 lety +1

    That babu should be arrested for scaming and putting lives at risk

  • @mikechali1052
    @mikechali1052 Před 4 lety +1

    Kweli duniani kuna mabo

  • @qtrqmadilu6390
    @qtrqmadilu6390 Před 4 lety +1

    Zangu nirudishie...eeehh

  • @jamesgathaiya6450
    @jamesgathaiya6450 Před 4 lety +3

    Kakamega walikua wameenda kijiji mzima

  • @salimmohamedsalim2837
    @salimmohamedsalim2837 Před 4 lety

    Mzee ww ingelikuwa awamu ya 5 ingekushughulikia ipasavyo magu ninavyo mjua

  • @millicentayango3879
    @millicentayango3879 Před 4 lety +1

    Wapumbavu hao

  • @marymaina6612
    @marymaina6612 Před 4 lety +1

    Inakaa mìratina

  • @Sherl9
    @Sherl9 Před 4 lety

    I can feel the desperacy ya kutaka kupona. I will not throw a stone as am human and not perfect. Nobody chooses anataka kuwa mgonjwa ugonjwa gani. Lack of knowledge itatumaliza....

  • @mcwilliesyoks6276
    @mcwilliesyoks6276 Před 4 lety

    How much were they paying for the medicine?

  • @qtrqmadilu6390
    @qtrqmadilu6390 Před 4 lety +1

    Mlipewa uchawi tupu

  • @jamesgathaiya6450
    @jamesgathaiya6450 Před 4 lety

    Loliondo my foot

  • @ismailtarimo1257
    @ismailtarimo1257 Před 4 lety

    SIPENDI MAUJINGA!!

  • @sallysarch9441
    @sallysarch9441 Před 4 lety

    This conman is still conning and killing people he needs to be stopped

  • @teresiakinuthia6215
    @teresiakinuthia6215 Před 4 lety +1

    mzee huyo bado ako hai ama ?

  • @frunkkiongo7209
    @frunkkiongo7209 Před 4 lety +1

    Kuna watu walishuhudia kupona kweli bona hawa ni kinyume?. I met a guy from Sudan and his wife confessing of recovery

  • @happymsaki1720
    @happymsaki1720 Před 4 lety +1

    Wajinga ndio waliowao ni nykti za mwisho watu walikufa mnooooooooooo

  • @magimagi234
    @magimagi234 Před 4 lety

    People ignore the blood of Jesus too much and run to all form of witchcraft.

  • @jamilaishmail48jamilaishma2

    Loliondo Scam!!

  • @Sadaamberlin8307
    @Sadaamberlin8307 Před 4 lety +1

    Con

  • @sallysarch9441
    @sallysarch9441 Před 4 lety

    This guy doesn’t look like he has HIV

  • @diversitychannel007
    @diversitychannel007 Před 4 lety +1

    If you believe this nonsense you need help! like serious help..... con of a new age!!

    • @rumpelstiltskn5574
      @rumpelstiltskn5574 Před 4 lety

      _Alxvndr Aleky ...no con job here, just natural selection!😂😂😂😂🤦🏿‍♂️

  • @umiy1971
    @umiy1971 Před 4 lety

    UJINGA NI WENU WENYEWE , UKIAMBIWA NA WEWE JIAMBIE ...huyu babu ni muuwaji na anastahili kushtakiwa kwa kuwa ni chanzo cha maafa ya wengine

  • @sintoderrick6277
    @sintoderrick6277 Před 4 lety +3

    Wajinga ndio waliwao. Scientists spend sleepless nights and millions of dollars to come up with cures and remedies halafu mnaenda kuchemshiwa mizizi na kamzee hakajui vile virus hufanya kazi???!!!

    • @rumpelstiltskn5574
      @rumpelstiltskn5574 Před 4 lety

      Sinto Derrick ...wewe na scientists ndio mjinga kushinda wote! 😂😂😂🤦🏿‍♂️🙆🏿‍♂️🤷🏿‍♂️

  • @aminattai5178
    @aminattai5178 Před 4 lety

    Kama ingekuwa muislam angekuwa na kesi ya kujibu kwa mauwaji ya watu wakati akijua sio dawa ya kiukweli,lakini ni mkirisitu ndio yamepita na kubasi story na yeye uyo mzee alipoulizwa wakambana sana vile watu wengi walifariki yeye alisema dawa hii utapona kama utakuwa na imani.from zero to hero na sasa ni tajiri mkubwa kule kwako.

    • @annsommer9640
      @annsommer9640 Před 4 lety +2

      Haijasemekana dini yake huyo ni kama mganga na mganga hana dini musipende kuingilia wakristo hivo

    • @benjohnson1763
      @benjohnson1763 Před 4 lety +1

      Mambo ya Imani na dini za watu inatokea wapi sasa?

    • @sureshyash4277
      @sureshyash4277 Před 4 lety

      watu wengi wanafanya sarakasi kwa jina la ukristo hio inaamana kua kuna NGUVU KATIKA YESU KRISTO hivyo wengi kujaribu kuiga mfano tu ila hawana NGUVU ZENYEWE.
      nabii Mohammed aliponya nani katika uislamu, alifufua nani na alipatia nani matumaini alipokua dunia hii😀😀😀😀
      hivyo hamna haja ya yeyote kuiga mfano wake wala matendo yake na wanaojaribu kumuiga ni hawa terrorist wa kuua kwa jina la allah akbar.
      ushawai skia mtu akiua huku akisema kwa jina la yesu🙂🤔🤔🤔🤔