| HEKAYA ZA LOLIONDO | Babu asisitiza dawa ilifanya kazi [Part 2]
Vložit
- čas přidán 8. 09. 2019
- Mzee Ambilikile Mwasapile, aliyejulikana na wengi kama Babu wa Loliondo alivuma sana takriban miaka kumi iliyopita maelfu ya watu walipoelekea katika kijiji hicho Tanzania kutafuta matibabu. Hata hivyo, wengi waliofika kwa Babu kutafuta tiba wanadai dawa hiyo haikufanya kazi na kwamba hali yao ya kiafya ilidhoofika baada ya kutoka Loliondo. Katika sehemu ya pili ya makala ya Hekaya Za Loliondo, tunasikiliza simulizi ya Babu ambaye hadi leo anasisitiza kuwa dawa yake inafanya kazi. #HekayaZaLoliondo
pole sana kwa wenzetu mliodanganywa Msiamini mwanadamu yeyote amini Mungu ndio mponyaji
Hata manabii hawaja muona mungu we iweje useme mungu amekutokea achauzushi mzee na umrudie mungu ili aweze kukusamehe
Mungu ndyo mbonyaj wa kweli hakuna ukweli juu ya mwanadamu,,,,, mwamini Mungu tu
Tapeli sana huyu Mzee amechangia kupoteza maisha ya watu, kanisa pia lilichangia kumpromote huyu tapeli,,,,
Mungu akikuponya sio lazima ukunywe ama usafiri wapi apana,palepale ulipo anakuponya.God is allmighty,omnipresent,omnicient and omnipotent!
Huyu mzee alikuwa anamuona jinni huwez kumuona M/Mungu
Aswekwe ndani huyo mzee, au vp wadau
The old man seems to have improved health wise. It’s as if that concoction was revealed as he say purposely to medicate himself , more so economically. Continue defrauding them fools Mzee and build now houses for rent or lodges.That place looks so gorgeous with rolling mountain ranges at the background.
Mtangazaji nakupenda bureeeee bi Jamila
Tuliponaa!hakika Mungu ni Mwema.
Hahahaha,,,,hatudanganyiki tena
Inallilah wainna ileyhi rajicuun. Hata mtume kipenzi chake Allah(sw) hakuwai kumuona Allah(sw ) hata baada ya kupelekwa na Angel Gabriel
Je wewe ndio nani Mungu akujie kwa ndoto?
Kweli mtume Mohammed (pbuh) hakukosea aliposema kabla dunia kuisha kutatokezea manabii waongo na wngne watajiita Mungu..
Hayo yote ni Alama ya kiama...
Ya Allah tuongoze
Wenye wanasema pesa haileti raha,,,,, angalieni huyu mzee. Amenona, uso unang'aa, kanunua shamba, tena kubwa, kaanza mijengo na hata kwake kunakaa hewa iko freshi,,,,,,,miti na majani tofauti tofauti. Kuna wezi kila pahali, barabarani, kwa serikali, kanisani, ndani ya gari hata mama mboga ni mwizi tu ila njia ya wizi ni tofauti tu. Babu ameuliza,,,,,, kama mlienda hospitali juu ya ukimwi na mkapewa dawa,,,,,, mnaenda kwake kufanya nini????😀😀 Kwangu mimi, hapo ako na point. Hospitali inatupa dawa na tunakufa bado tunasema ni upendo wa mwenyezi mungu lakini Babu akiwapa kikombe na mfe,,,,, mnateta. Hivi sasa niaje sielewi? Msisafiri mbali yote hiyo kuenda kutafuta hadithi. Endeni mbunge, makanisani, na hata kwenye watoto wetu wanasomea. Huko ndiko wezi wako. Babu hana makosa kapsaaaaaaaaa🙌🙌
namuamini babu, wenye imani tu watapona, na hiyo imani sio mawazo wakati unakunywa sasa nikipona nitaendelea na mambo uliyo kua ukifanya. hapo haopo ukiwa na mafikara hayo tu.....ataukinywa vikombe kumi auta pona. moyo wako upo bado kulipiza kisasi.
Mzee afaa makofi huyu
Eti nilimuuliza mungu
Huyu mzee mjanja
Uyu Babu anataka kichapo 🙂
Hhhhh. Sanaaaaaa
Aki
😂😂😂😂😂
Sasa hata kama pia Magufuli alikunywa dawa.... This guy is untouchable, he holds deep secrets.
Mungu diye muponyaji uke amini
Wewe unasema umemuona mungu mshenzi wewe, Musa mwenyewe aliomba kuwa amuone lakin hakumuona kabisa, wewe umekuwa nani mpaka umuone jamani!Ongea na shetan wako na udanganye Wadanganyika wako lakin uongo wako utakutana nao huko kwa mungu
kiukweli hapo ndipo ninapo wasifu media za kenya hasa citizen, yaan hamuachi kitu kiishie tu hewani mnafuatilia mpaka mwisho wa jambo,... yaan media za TZ hawana hata lile wala lile wapo wapo tu !
Tapeli sana huyu babu!!!
We mzee mungu anakuona tapeli mkubwa wee
Ulishachukua hela mzeee
Kwahiyo kunawatu.walikufa mwee.poleni.mliokunywa kikombe.
nikikumbukaga hakirizawatanzania baaziyao achatu shida mpate kutaeriwa mtaperiwe mnataperiwa makanisa I kwawaganga wakienyej nataka niwambienduguzangu mungu anawakat wakutuumba nakutuondoa ikifika wakat tumborako halihitajitena chakula ambacho ilikua unachezanacho mudawote namkifrahia nanduguzenu basi ujue muda umewadia hakuna chamganga wara mwanga hapo
Amini Mungu wako na umwombe atakuponya,wacheni kukimbilia miujiza ndio utatupiwa pepo haujui ni wa wapi..
wewe mzee mpumbavu sana mungu utachomwa moto siku yamaripo
Hilo ni tapeli kubwa kutokea sauthafrika. Amesababisha fifo vya watu wengi sana siyo tu Tz hata Kenya. Waliokuwa wajanja walirudia matibabu yao wa Hosptal.
Mfungeni ndugu wananchi wenzangu
Jameni jameni
Poleni saana maana biblia inasema watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa.
Ambilikile! Huo niuganga wa kienyeji tu!
I won't judge him.bcz Yahweh says my people perish for luck of knowledge and wisdom.wangemkimbiliye yeshua Messiah.test spirit first.
Uwongo ulioje huu sasa. Na sasa kama bado watu walipona mbona wengine hawaji kunywa dawa
tatizo letu waafrika ni ujinga
Wote walio i onja ile dawa wali kufa wote kati ya mwaka huo na miaka miwili baadae. Too sad
Kabisa
Kabisa
Watu wamepugua kwa sababu wengi wao waliaga.
Huyu anamsingizia mungu kwa uganga alioufanya. Tubu mzee dawa na tiba ni yesu tu
The big question is where he put all the billions that he made
Six million people each paying an avarage of sh20k not forgetting all the prominent people that paid millions to get the concortion.
Pwagu hupata pwaguzi. Same way he fleeced people is the same way he was fleeced. Still you can see some benefits he gained from that endeavor.
Not 20k. 25 Kenya shillings. Lol
Si wewe ni millioner
Amegara uso amenona pesa pesa😉
Mwizi huyu mzee
Hile wakati wenye waliwacha dawa ya HIV walifuka wengi sana kwa sababu walienda Lolihondo kudanganywa haaaaa siwezi mimi .Wakenya Umezoe kudanganywa sana kama huko mgonjwa endelea na dawa yako ya Hospital na uamini Mungu .
Siokwamba wamepona ila wamekufa wote ndiomana hawaji tena
Hiyo loliondo nimefikiria juzi
tatizo kuna firigisi zilipita ndiyo mana ulikubarika pande zote umeuwa wengi sana
Utukuamini tena hhhhhhh
MBNA hakuna wale walipata tiba wakaongea uponyaji wao
Atiwe ndani
Huyu babu Kama yuko hai anavaa kunyongwa kadanganya watu wengi sana
...na hawa waliitwa na nani!? 🤔😒😏😂😂😂😂🤣🤦🏿♂️🤷🏿♂️🙆🏿♂️
Walijipeleka😆pole kwao
Wakunyonge wewe kwanza
Atibu na corona basi huyu mzee
Mzee ako na shamba kubwa
Babu piga kazi kwenye mafanikio lazima changamoto pia
😂😂😂
Amenona sana alipata pesa za wajinga
😂😂😂😂😂
Nini utusumbua sisi wafrika
Apate kichapoo babu ameanza tena
Muongo huyo
Mshenzi huyu babu alitia watu wasi wasi kwel eti anamuuliza mungu pumbav kwel ww mwenyewe mgonjwa
Bado ndoto za korona sasa 😆😆
Bwanah
Huyu Mzee ajawai,wekwa korokoroni
Ameuwa wengi,conman
huyu mzee alitapeli sana
watu anatakiwa aombe
samahani ati anaongea
na mungu
Sachs using na uongo
Huyo mzee kasababisha watu chungu mabovu kuanga dunia hafai nanimuongo sana tena naafiki sio kweli eti dawa ilikuwa inaponya muongo sana
Huyu babu atatiwa mbaroni lini lakini?..hizo hekaya zake za Mungu kumtokea akawaambie majuha wengine korokoroni?!!🤔
Ana pepo huyu,
Wztu hawasemi hiyo dawa ilikuwa na masharti. Swali ni hili je walifuata maagizo?
Mzee nabii hebu tuletee dawa ya Corona basi, walioenda kwa babu kunywa kikombe chake nawakapona hebu jitokezen jamani
Muongo mungu namiti shamba wapinawapi🤷♀️🤷♀️🙆♂️🙆♂️🙆♂️🙆♂️🙆♂️
Rose Uwambe sema tu muongo inatosha, lakin kuhusu miti nisahihi kwan Yesu hayawah Fanya hivyo?
@@augustinomwamasinga2200 Ndona sikia nawewe haaa haaaa
Kikombe miatano tu
Ufunuo umenena kabisa nyakati za mwisho tunawaona manabii wa uwongo ni wengi
Kusoma raha,chezea akili za watu
Huyo babu naye katuchosha
Mungu wake huyu anakusudia mizimu
Kweli kabisa
Kamati ya ulinzi na usalama pamoja na idara ya kinga na tiba walijua kilichokuwa kinafanyika??
I think babu aliona hawezi ishi akiwa masikini life yake yote na watu wakona pesa kila mahali duniani ndio akatumia akili zake za uzeeni kupata pesa za haraka bila kuibia na kuumiza mtu. So he just used his brains
Hata iyo miti ya dawa imewekwa na Mungu ndio maana imeandikwa tumepewa kila kitu tumiliki pia miti tiba acheni uzuzu fatilieni vitabu
Kwanini see kali hamchukuli hatuwa au nimchwa atakawatu wamuamini
is this not moringa tree.
Alikuwa shetani wewe huyo katika ndoto
Mtajua hamjui
Hi
Umeua jamaa zetu wengi sana unalindwa na imani fulani ungekua imani fulani siku nyingi tungekusahau lana wewe nautaadhibiwa tu
He made 90 000 a day. Now do the math. Coz 5 shillings a cup. Seeing 18000 people a day do the math
Its actually 500tsh a cup to everyone
Na gorofa haikuisha ptwoo
I paid 25 Kenya shillings
Mimi valence marki mbuya nilikujwa dawa ya babu na nilipona kabisa miguu yangu dawa ya babu inaponyaaaaaaa
🤣🤣🤣😆😆😆😂😂🤦♀️🙆♀️
Ciru Karago ...hata mimi nimeshindwa kuweka ndani! 😂😂😂😂
Babu umeanza tena
Huyu babu ametabir Corona wiki tatu zimepita sasa
Uongo
Innalilahi
By God's power Corona will disappear
Huyu Suma peleka ndani
Dawa ungali ?
Waliokunywa wengi wamekufa sababu ili para limewaambia wasitumie tena dawa za hospital
Wapo waliopona na mtambue dawa ya babu haikua ya kuzuia kifo
Damas Maleo mzembe wa mwisho ww mzee kama hukupata kpnd kile utakua unamatitz tibu na corona mzembe ww
Sasa hivi ataongeza wagonjwa wa corona
wengi wamekufa ni muongo sana
Yule Dr.shika alifungwa vp huyu mzee??
He should go to jail for fraud
Of course!!!
loliondo wa babu
B
Yaani out of those millions of pipo gorofa haikuisha?haramu n haramu tu haina faida😭😭
We babu wewe?mhh
Were mzee katubu hizi ni nyakati za mwisho
Z
Conman
😂😂😂😂
Tindu Risu
Huyu babu pengine ana kichaa
H
Hahaha ujinga
Nyaus Kobies 8o
Mwanzoni alikua anavaa kaniki,sasa baada ya uhaini na ubadhilifu wa kutapeli mali za waTu anauramba mkanda nje..NDIO NAKUMBUKA KUWA KUFIKIRI SI KAZI RAHIS