| HEKAYA ZA LOLIONDO | Babu asisitiza dawa ilifanya kazi [Part 2]

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2019
  • Mzee Ambilikile Mwasapile, aliyejulikana na wengi kama Babu wa Loliondo alivuma sana takriban miaka kumi iliyopita maelfu ya watu walipoelekea katika kijiji hicho Tanzania kutafuta matibabu. Hata hivyo, wengi waliofika kwa Babu kutafuta tiba wanadai dawa hiyo haikufanya kazi na kwamba hali yao ya kiafya ilidhoofika baada ya kutoka Loliondo. Katika sehemu ya pili ya makala ya Hekaya Za Loliondo, tunasikiliza simulizi ya Babu ambaye hadi leo anasisitiza kuwa dawa yake inafanya kazi. #HekayaZaLoliondo

Komentáře • 169

  • @judithcherono4141
    @judithcherono4141 Před 4 lety +24

    pole sana kwa wenzetu mliodanganywa Msiamini mwanadamu yeyote amini Mungu ndio mponyaji

  • @salimmohamedsalim2837
    @salimmohamedsalim2837 Před 4 lety +11

    Hata manabii hawaja muona mungu we iweje useme mungu amekutokea achauzushi mzee na umrudie mungu ili aweze kukusamehe

  • @mejoolimevoroo5928
    @mejoolimevoroo5928 Před 4 lety +4

    Mungu ndyo mbonyaj wa kweli hakuna ukweli juu ya mwanadamu,,,,, mwamini Mungu tu

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 Před rokem

    Tapeli sana huyu Mzee amechangia kupoteza maisha ya watu, kanisa pia lilichangia kumpromote huyu tapeli,,,,

  • @mwendapoleee
    @mwendapoleee Před 3 lety

    Mungu akikuponya sio lazima ukunywe ama usafiri wapi apana,palepale ulipo anakuponya.God is allmighty,omnipresent,omnicient and omnipotent!

  • @kiluiwangu3842
    @kiluiwangu3842 Před 4 lety +1

    Huyu mzee alikuwa anamuona jinni huwez kumuona M/Mungu

  • @salehesengiyanka5397
    @salehesengiyanka5397 Před 4 lety +4

    Aswekwe ndani huyo mzee, au vp wadau

  • @georgeikinya2779
    @georgeikinya2779 Před 4 lety +4

    The old man seems to have improved health wise. It’s as if that concoction was revealed as he say purposely to medicate himself , more so economically. Continue defrauding them fools Mzee and build now houses for rent or lodges.That place looks so gorgeous with rolling mountain ranges at the background.

  • @salehsuleiman1218
    @salehsuleiman1218 Před 4 lety

    Mtangazaji nakupenda bureeeee bi Jamila

  • @eugenyraphael4334
    @eugenyraphael4334 Před 4 lety +2

    Tuliponaa!hakika Mungu ni Mwema.

  • @abdullahiibrahim5609
    @abdullahiibrahim5609 Před 4 lety +2

    Inallilah wainna ileyhi rajicuun. Hata mtume kipenzi chake Allah(sw) hakuwai kumuona Allah(sw ) hata baada ya kupelekwa na Angel Gabriel
    Je wewe ndio nani Mungu akujie kwa ndoto?
    Kweli mtume Mohammed (pbuh) hakukosea aliposema kabla dunia kuisha kutatokezea manabii waongo na wngne watajiita Mungu..
    Hayo yote ni Alama ya kiama...
    Ya Allah tuongoze

  • @ruthwatson3057
    @ruthwatson3057 Před 4 lety +6

    Wenye wanasema pesa haileti raha,,,,, angalieni huyu mzee. Amenona, uso unang'aa, kanunua shamba, tena kubwa, kaanza mijengo na hata kwake kunakaa hewa iko freshi,,,,,,,miti na majani tofauti tofauti. Kuna wezi kila pahali, barabarani, kwa serikali, kanisani, ndani ya gari hata mama mboga ni mwizi tu ila njia ya wizi ni tofauti tu. Babu ameuliza,,,,,, kama mlienda hospitali juu ya ukimwi na mkapewa dawa,,,,,, mnaenda kwake kufanya nini????😀😀 Kwangu mimi, hapo ako na point. Hospitali inatupa dawa na tunakufa bado tunasema ni upendo wa mwenyezi mungu lakini Babu akiwapa kikombe na mfe,,,,, mnateta. Hivi sasa niaje sielewi? Msisafiri mbali yote hiyo kuenda kutafuta hadithi. Endeni mbunge, makanisani, na hata kwenye watoto wetu wanasomea. Huko ndiko wezi wako. Babu hana makosa kapsaaaaaaaaa🙌🙌

  • @pindabutter2736
    @pindabutter2736 Před 4 lety +3

    namuamini babu, wenye imani tu watapona, na hiyo imani sio mawazo wakati unakunywa sasa nikipona nitaendelea na mambo uliyo kua ukifanya. hapo haopo ukiwa na mafikara hayo tu.....ataukinywa vikombe kumi auta pona. moyo wako upo bado kulipiza kisasi.

  • @fauzishma8033
    @fauzishma8033 Před 4 lety +4

    Mzee afaa makofi huyu
    Eti nilimuuliza mungu
    Huyu mzee mjanja

  • @charlesoketch2001
    @charlesoketch2001 Před 4 lety +16

    Uyu Babu anataka kichapo 🙂

  • @curraffafriq1863
    @curraffafriq1863 Před 4 lety +2

    Sasa hata kama pia Magufuli alikunywa dawa.... This guy is untouchable, he holds deep secrets.

  • @ntamugabobizi4580
    @ntamugabobizi4580 Před 4 lety

    Mungu diye muponyaji uke amini

  • @canoksancomprehensivelearn7182

    Wewe unasema umemuona mungu mshenzi wewe, Musa mwenyewe aliomba kuwa amuone lakin hakumuona kabisa, wewe umekuwa nani mpaka umuone jamani!Ongea na shetan wako na udanganye Wadanganyika wako lakin uongo wako utakutana nao huko kwa mungu

  • @philipkomba5525
    @philipkomba5525 Před 4 lety +11

    kiukweli hapo ndipo ninapo wasifu media za kenya hasa citizen, yaan hamuachi kitu kiishie tu hewani mnafuatilia mpaka mwisho wa jambo,... yaan media za TZ hawana hata lile wala lile wapo wapo tu !

  • @jumakapilima5674
    @jumakapilima5674 Před 4 lety +2

    Tapeli sana huyu babu!!!

  • @felistashayo7686
    @felistashayo7686 Před 4 lety +5

    We mzee mungu anakuona tapeli mkubwa wee

  • @LawrenceGingo
    @LawrenceGingo Před 6 měsíci

    nikikumbukaga hakirizawatanzania baaziyao achatu shida mpate kutaeriwa mtaperiwe mnataperiwa makanisa I kwawaganga wakienyej nataka niwambienduguzangu mungu anawakat wakutuumba nakutuondoa ikifika wakat tumborako halihitajitena chakula ambacho ilikua unachezanacho mudawote namkifrahia nanduguzenu basi ujue muda umewadia hakuna chamganga wara mwanga hapo

  • @cateogwayo8138
    @cateogwayo8138 Před 4 lety

    Amini Mungu wako na umwombe atakuponya,wacheni kukimbilia miujiza ndio utatupiwa pepo haujui ni wa wapi..

  • @rashid.mwenyezimunguakurin2968

    wewe mzee mpumbavu sana mungu utachomwa moto siku yamaripo

  • @esthernsami7732
    @esthernsami7732 Před 4 lety

    Hilo ni tapeli kubwa kutokea sauthafrika. Amesababisha fifo vya watu wengi sana siyo tu Tz hata Kenya. Waliokuwa wajanja walirudia matibabu yao wa Hosptal.
    Mfungeni ndugu wananchi wenzangu

  • @reginatumaini6140
    @reginatumaini6140 Před 4 lety +1

    Jameni jameni

  • @veronicamnico4773
    @veronicamnico4773 Před 4 lety

    Poleni saana maana biblia inasema watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa.

  • @simonlulenga7062
    @simonlulenga7062 Před 4 lety

    Ambilikile! Huo niuganga wa kienyeji tu!

  • @janenjenga5639
    @janenjenga5639 Před 2 lety

    I won't judge him.bcz Yahweh says my people perish for luck of knowledge and wisdom.wangemkimbiliye yeshua Messiah.test spirit first.

  • @oppsinlyf
    @oppsinlyf Před 4 lety +3

    Uwongo ulioje huu sasa. Na sasa kama bado watu walipona mbona wengine hawaji kunywa dawa

  • @gemkachar
    @gemkachar Před 4 lety +16

    tatizo letu waafrika ni ujinga

  • @bjzee1981
    @bjzee1981 Před 4 lety +4

    Wote walio i onja ile dawa wali kufa wote kati ya mwaka huo na miaka miwili baadae. Too sad

  • @edwinamakokha1827
    @edwinamakokha1827 Před 4 lety +4

    Watu wamepugua kwa sababu wengi wao waliaga.

  • @medardtaligilsa8938
    @medardtaligilsa8938 Před 4 lety

    Huyu anamsingizia mungu kwa uganga alioufanya. Tubu mzee dawa na tiba ni yesu tu

  • @kosgei4372
    @kosgei4372 Před 4 lety +4

    The big question is where he put all the billions that he made
    Six million people each paying an avarage of sh20k not forgetting all the prominent people that paid millions to get the concortion.

    • @curraffafriq1863
      @curraffafriq1863 Před 4 lety +1

      Pwagu hupata pwaguzi. Same way he fleeced people is the same way he was fleeced. Still you can see some benefits he gained from that endeavor.

    • @magdalenamumbi3950
      @magdalenamumbi3950 Před 2 lety +1

      Not 20k. 25 Kenya shillings. Lol

  • @lidiahjohnnyaboke3805
    @lidiahjohnnyaboke3805 Před 4 lety +1

    Si wewe ni millioner

  • @umpump8472
    @umpump8472 Před 4 lety +4

    Amegara uso amenona pesa pesa😉

  • @mjige9088
    @mjige9088 Před 4 lety

    Mwizi huyu mzee

  • @jesinterawuor518
    @jesinterawuor518 Před 4 lety +3

    Hile wakati wenye waliwacha dawa ya HIV walifuka wengi sana kwa sababu walienda Lolihondo kudanganywa haaaaa siwezi mimi .Wakenya Umezoe kudanganywa sana kama huko mgonjwa endelea na dawa yako ya Hospital na uamini Mungu .

  • @rajabungereza8755
    @rajabungereza8755 Před 4 lety +1

    Siokwamba wamepona ila wamekufa wote ndiomana hawaji tena

  • @janetkerubo7643
    @janetkerubo7643 Před 4 lety

    Hiyo loliondo nimefikiria juzi

  • @tabumussa9406
    @tabumussa9406 Před 4 lety

    tatizo kuna firigisi zilipita ndiyo mana ulikubarika pande zote umeuwa wengi sana

  • @nurumambovphelman7852
    @nurumambovphelman7852 Před 4 lety

    Utukuamini tena hhhhhhh

  • @barakatsuma8496
    @barakatsuma8496 Před 4 lety +1

    MBNA hakuna wale walipata tiba wakaongea uponyaji wao

  • @KaranjaPk
    @KaranjaPk Před 4 lety +1

    Atiwe ndani

  • @azenathnyaway2328
    @azenathnyaway2328 Před 4 lety +2

    Huyu babu Kama yuko hai anavaa kunyongwa kadanganya watu wengi sana

    • @rumpelstiltskn5574
      @rumpelstiltskn5574 Před 4 lety +1

      ...na hawa waliitwa na nani!? 🤔😒😏😂😂😂😂🤣🤦🏿‍♂️🤷🏿‍♂️🙆🏿‍♂️

    • @periswarish7022
      @periswarish7022 Před 4 lety +1

      Walijipeleka😆pole kwao

    • @Bigboy-nx3nc
      @Bigboy-nx3nc Před 4 lety +1

      Wakunyonge wewe kwanza

  • @kenethmsigwa7051
    @kenethmsigwa7051 Před 4 lety +1

    Atibu na corona basi huyu mzee

  • @allanmibei
    @allanmibei Před 4 lety +3

    Mzee ako na shamba kubwa

  • @estherjohn953
    @estherjohn953 Před 4 lety +2

    Babu piga kazi kwenye mafanikio lazima changamoto pia

  • @husseinkazungu5101
    @husseinkazungu5101 Před 4 lety +7

    Amenona sana alipata pesa za wajinga

  • @dahbossqueentalkshow3778
    @dahbossqueentalkshow3778 Před 4 lety +3

    Nini utusumbua sisi wafrika

  • @aminashabani2850
    @aminashabani2850 Před 3 lety

    Apate kichapoo babu ameanza tena

  • @evasaimon2101
    @evasaimon2101 Před 4 lety +1

    Muongo huyo

  • @salehsuleiman1218
    @salehsuleiman1218 Před 4 lety

    Mshenzi huyu babu alitia watu wasi wasi kwel eti anamuuliza mungu pumbav kwel ww mwenyewe mgonjwa

  • @hassanshareef6572
    @hassanshareef6572 Před 4 lety +2

    Bado ndoto za korona sasa 😆😆

  • @mbitheveronica3804
    @mbitheveronica3804 Před 4 lety

    Huyu Mzee ajawai,wekwa korokoroni
    Ameuwa wengi,conman

  • @allimatunda2252
    @allimatunda2252 Před 4 lety

    huyu mzee alitapeli sana
    watu anatakiwa aombe
    samahani ati anaongea
    na mungu

  • @Mysterymasteryy
    @Mysterymasteryy Před 4 lety

    Sachs using na uongo

  • @mariambeautysonghuseni9549

    Huyo mzee kasababisha watu chungu mabovu kuanga dunia hafai nanimuongo sana tena naafiki sio kweli eti dawa ilikuwa inaponya muongo sana

  • @neurofan6815
    @neurofan6815 Před 4 lety +3

    Huyu babu atatiwa mbaroni lini lakini?..hizo hekaya zake za Mungu kumtokea akawaambie majuha wengine korokoroni?!!🤔

  • @christophernzige3913
    @christophernzige3913 Před 4 lety +1

    Ana pepo huyu,

  • @maggynowak3555
    @maggynowak3555 Před 4 lety +3

    Wztu hawasemi hiyo dawa ilikuwa na masharti. Swali ni hili je walifuata maagizo?

  • @marycosmas4043
    @marycosmas4043 Před 4 lety

    Mzee nabii hebu tuletee dawa ya Corona basi, walioenda kwa babu kunywa kikombe chake nawakapona hebu jitokezen jamani

  • @roseuwambe8089
    @roseuwambe8089 Před 4 lety

    Muongo mungu namiti shamba wapinawapi🤷‍♀️🤷‍♀️🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️

    • @augustinomwamasinga2200
      @augustinomwamasinga2200 Před 4 lety

      Rose Uwambe sema tu muongo inatosha, lakin kuhusu miti nisahihi kwan Yesu hayawah Fanya hivyo?

    • @roseuwambe8089
      @roseuwambe8089 Před 4 lety

      @@augustinomwamasinga2200 Ndona sikia nawewe haaa haaaa

  • @musitemusite4316
    @musitemusite4316 Před 2 lety

    Kikombe miatano tu

  • @mwagentedy9402
    @mwagentedy9402 Před 4 lety

    Ufunuo umenena kabisa nyakati za mwisho tunawaona manabii wa uwongo ni wengi

  • @salehrasta9165
    @salehrasta9165 Před 4 lety

    Kusoma raha,chezea akili za watu

  • @fitinahamisi7496
    @fitinahamisi7496 Před 4 lety

    Huyo babu naye katuchosha

  • @mustafaabdalla281
    @mustafaabdalla281 Před 4 lety

    Mungu wake huyu anakusudia mizimu

  • @karolluky9072
    @karolluky9072 Před 4 lety

    Kamati ya ulinzi na usalama pamoja na idara ya kinga na tiba walijua kilichokuwa kinafanyika??

  • @mcwilliesyoks6276
    @mcwilliesyoks6276 Před 4 lety +1

    I think babu aliona hawezi ishi akiwa masikini life yake yote na watu wakona pesa kila mahali duniani ndio akatumia akili zake za uzeeni kupata pesa za haraka bila kuibia na kuumiza mtu. So he just used his brains

    • @festaelieza3556
      @festaelieza3556 Před 4 lety +2

      Hata iyo miti ya dawa imewekwa na Mungu ndio maana imeandikwa tumepewa kila kitu tumiliki pia miti tiba acheni uzuzu fatilieni vitabu

  • @zulekhasaidmohamed4043

    Kwanini see kali hamchukuli hatuwa au nimchwa atakawatu wamuamini

  • @edmundboateng7324
    @edmundboateng7324 Před 4 lety

    is this not moringa tree.

  • @sidratybinkhamis2837
    @sidratybinkhamis2837 Před 4 lety +1

    Alikuwa shetani wewe huyo katika ndoto

  • @miriamwanjiru1090
    @miriamwanjiru1090 Před 4 lety +1

    Mtajua hamjui

    • @zawadimwakatobe4875
      @zawadimwakatobe4875 Před 4 lety +1

      Hi

    • @yusuphujaffar2154
      @yusuphujaffar2154 Před 4 lety

      Umeua jamaa zetu wengi sana unalindwa na imani fulani ungekua imani fulani siku nyingi tungekusahau lana wewe nautaadhibiwa tu

  • @sallysarch9441
    @sallysarch9441 Před 4 lety +2

    He made 90 000 a day. Now do the math. Coz 5 shillings a cup. Seeing 18000 people a day do the math

  • @valcomangapie4520
    @valcomangapie4520 Před 4 lety

    Mimi valence marki mbuya nilikujwa dawa ya babu na nilipona kabisa miguu yangu dawa ya babu inaponyaaaaaaa

  • @cirukarago7251
    @cirukarago7251 Před 4 lety +1

    🤣🤣🤣😆😆😆😂😂🤦‍♀️🙆‍♀️

    • @rumpelstiltskn5574
      @rumpelstiltskn5574 Před 4 lety

      Ciru Karago ...hata mimi nimeshindwa kuweka ndani! 😂😂😂😂

  • @azizaz1628
    @azizaz1628 Před 4 lety

    Babu umeanza tena

  • @homeboybeyondtheborders4935

    Huyu babu ametabir Corona wiki tatu zimepita sasa

  • @sameermilo2492
    @sameermilo2492 Před 4 lety +2

    Uongo

  • @labsonwilliam4187
    @labsonwilliam4187 Před 4 lety

    By God's power Corona will disappear

  • @omarishabani6024
    @omarishabani6024 Před 4 lety

    Huyu Suma peleka ndani

  • @srafhatbhai5291
    @srafhatbhai5291 Před 4 lety

    Dawa ungali ?

  • @hassanshareef6572
    @hassanshareef6572 Před 4 lety

    Waliokunywa wengi wamekufa sababu ili para limewaambia wasitumie tena dawa za hospital

  • @damasmaleo4845
    @damasmaleo4845 Před 4 lety +1

    Wapo waliopona na mtambue dawa ya babu haikua ya kuzuia kifo

    • @salimukuziwa2408
      @salimukuziwa2408 Před 4 lety

      Damas Maleo mzembe wa mwisho ww mzee kama hukupata kpnd kile utakua unamatitz tibu na corona mzembe ww

  • @azizaz1628
    @azizaz1628 Před 4 lety

    Sasa hivi ataongeza wagonjwa wa corona

  • @kiluiwangu3842
    @kiluiwangu3842 Před 4 lety

    wengi wamekufa ni muongo sana

  • @salimmohamedsalim2837
    @salimmohamedsalim2837 Před 4 lety

    Yule Dr.shika alifungwa vp huyu mzee??

  • @sallysarch9441
    @sallysarch9441 Před 4 lety +2

    He should go to jail for fraud

  • @abdinaasira6268
    @abdinaasira6268 Před 4 lety +2

    loliondo wa babu

  • @nancywanjiru1146
    @nancywanjiru1146 Před 4 lety

    B

  • @joycekjuma7677
    @joycekjuma7677 Před 4 lety

    Yaani out of those millions of pipo gorofa haikuisha?haramu n haramu tu haina faida😭😭

  • @zay2nyusuph736
    @zay2nyusuph736 Před 4 lety +1

    We babu wewe?mhh

  • @Mysterymasteryy
    @Mysterymasteryy Před 4 lety

    Z

  • @sallysarch9441
    @sallysarch9441 Před 4 lety

    Conman

  • @morineakinyi1116
    @morineakinyi1116 Před 4 lety

    😂😂😂😂

  • @sarahnyambura1634
    @sarahnyambura1634 Před 4 lety

    Huyu babu pengine ana kichaa

  • @nyauskobies5522
    @nyauskobies5522 Před 4 lety

    Hahaha ujinga

  • @deathrow8004
    @deathrow8004 Před 4 lety

    Mwanzoni alikua anavaa kaniki,sasa baada ya uhaini na ubadhilifu wa kutapeli mali za waTu anauramba mkanda nje..NDIO NAKUMBUKA KUWA KUFIKIRI SI KAZI RAHIS