WAMASAI WAANDAMANA UBALOZI WA KENYA, KISA SAKATA LA LOLIONDO, WATINGA NA BARUA NZITO..

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 16. 06. 2022
  • WAMASAI WAANDAMANA UBALOZI WA KENYA, KISA SAKATA LA LOLIONDO, WATINGA NA BARUA NZITO..
    UMOJA wa kabila la wamasai, leo Juni 17, umeandamana kwa amani katika ubalozi wa Kenya wakiwa na barua ya kuwataka waache kuingilia mgogoro unaoendelea Loliondo kati ya Wamasai na serikali, ambao mpaka sasa bado unaendelea kushughulikiwa.
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Komentáře • 57

  • @samwelimolinga9077
    @samwelimolinga9077 Před 2 lety +2

    wamasai hao wawekwe ndani hao waliyo agiswa

  • @rehemaabdullah7606
    @rehemaabdullah7606 Před 2 lety +2

    Sasa nyny wasai mnaoishi Dar Hamjui kama wezenu wamemizwa huko kijijin?

    • @jamesyohana1066
      @jamesyohana1066 Před 2 lety

      Wanamiaka na miaka wamepewa buku buku za kujikimu hao sawa na mizimu woshing brain

  • @gasperkimario4703
    @gasperkimario4703 Před 2 lety +1

    Hakuna wamasai hapa michongo2

  • @dominiqclassic633
    @dominiqclassic633 Před 2 lety +3

    Cha ajabu apo Kuna baadh ya maasai wamebeba mabango alaf ukimwuliz maan ake ajui

  • @rehemaabdullah7606
    @rehemaabdullah7606 Před 2 lety +2

    Wapumbavu tuu hao

  • @samwelimolinga9077
    @samwelimolinga9077 Před 2 lety +2

    acha usenge wewe ata si mmsai ni mzenge tu mmoja toka huko peleka unafiki

  • @hosannachristianoutreachmi5685

    Hao masai ndio wachongez na sio kenya

  • @dorotheashirima8799
    @dorotheashirima8799 Před 2 lety +2

    Movie za bongo hizi

  • @sharifubakari1705
    @sharifubakari1705 Před 2 lety +1

    Wamasai wa mchongo 😄😄😄😄😄

  • @orkitikr1780
    @orkitikr1780 Před 2 lety +1

    Mbona teargas na risasi na watu walioumia katika sakata uwekaji beacon's GLOBAL TV hamja rusha chochote Leo mnakuja kurusha hao vibaraka waliolipwa na serikali

  • @jumaalex3942
    @jumaalex3942 Před 2 lety +1

    Simuende kwaofisi ya mkuuwamkoa auya

  • @stephanomoses7694
    @stephanomoses7694 Před 2 lety +1

    Masai wa kutengenezwa na serekali

  • @salummsaka7694
    @salummsaka7694 Před 2 lety +2

    Kaaeni huko inaonekana mnamatatizo ya akiri

  • @gabrielmaitei1080
    @gabrielmaitei1080 Před 2 lety +1

    Wapig hao wamasai

  • @salomeyuvenali3700
    @salomeyuvenali3700 Před 2 lety

    Mhh! pesaa nimbaya sanaa
    chawa sio poa😁🙆

  • @johncharles323
    @johncharles323 Před 2 lety +1

    We ni mmasai kweli au umenunuliwa uzungumze ujinga huo hao wamasai wanaopigwa huko loliondo kweli wanaweza kukuelewa wewe panya wa mchongo ,

  • @olobikoomollel3898
    @olobikoomollel3898 Před 2 lety +1

    Wewe umetumwa ndugu hujui lolote

  • @tirnduyatirnduya862
    @tirnduyatirnduya862 Před 2 lety +1

    Emanuel njokorde habari ya ngorongoro unajua kinacho entelea ngorongoro arashu loriento unajua nivizuri sana ungefika kwanza iloriendo uwone kwanza kinacho enteleya kule ili upate kuchua maamuzi ilio sahihi.

  • @olenonimaningoi9341
    @olenonimaningoi9341 Před 2 lety

    kwel sisi wamasai tumekua waliz wa ardh ikinoga tunafukuzwa mungu saidia wamasai

  • @olobikoomollel3898
    @olobikoomollel3898 Před 2 lety

    Hao wamasai sio wenyeji wa Ngorongoro....wamepelekwa kisiasa tu .....hivyo sio uzalendo wa kuiongoza Taifa lililohuru

  • @teteniwery758
    @teteniwery758 Před 2 lety +1

    Nyie ni mabwege na mmelipwa kufanya mmbwa nyie

  • @rehemaabdullah7606
    @rehemaabdullah7606 Před 2 lety +1

    Wamasai wa mchongo haoo Kuna wengne humu wafanya Kaz Wa Serikali ila msije kutulilia tuu

    • @jamesyohana1066
      @jamesyohana1066 Před 2 lety

      Hamna wote hao wanasuka nywele hapo dar wahuni tu

  • @mwailubikamongo9774
    @mwailubikamongo9774 Před 2 lety +1

    Wamasai wakutengeneza naselikali

  • @msemakweli371
    @msemakweli371 Před 2 lety +1

    Wametumwa hao ili kuliua hili Swala

  • @teteniwery758
    @teteniwery758 Před 2 lety

    Kenya haina shida hata kidogo bali wanajaribu kutufumbua macho kuwa huo ni unyanyasaji uliyokithiri ,lakini kwa upofu mlionao watanzania na njaa isiyoisha ndo maana leo umekubali kuwa msaliti na kukubali ndugu zako kunyanyaswa na kuonewa

  • @akimuwaziri4089
    @akimuwaziri4089 Před 2 lety +1

    Hivi wamasai wanakiswahili hicho?

  • @elijahnkoidela4262
    @elijahnkoidela4262 Před 2 lety +1

    Sshindwe wewe, uoga hatuuzuwi sisi,,, m'barra olmeeki

  • @mhamedmssa5750
    @mhamedmssa5750 Před 2 lety +1

    Tanzania imepigwa upofu

  • @TM.Sullusi
    @TM.Sullusi Před 2 lety

    Iwe kweli au uongo, ila Kenya wamezid kuingilia issue za Tz tena mara nyingi wanaongezeaga na chumvi ( hasa habari zenye negativity ) kuhusu Tz. ( Vyombo vyao vya habari na hao sijui ndo wanaharakati)

  • @daudikiroya6812
    @daudikiroya6812 Před 2 lety

    Kishu wa uyo Jamaica aiyetifisuri

  • @johncharles323
    @johncharles323 Před 2 lety +1

    Panya buku weewe

    • @johncharles323
      @johncharles323 Před 2 lety

      We sokwe wa kichina nini unaona vyema watanzania wenzio wakipata taabu inchini kwao et ,

  • @richardngoilalei2185
    @richardngoilalei2185 Před 2 lety +2

    Huyo anayesoma barua sidhani kama mmasai

  • @amaniwanga8621
    @amaniwanga8621 Před 2 lety +1

    Wewe sio Masai wewe acha unafiki

  • @rehemajuma2202
    @rehemajuma2202 Před 2 lety

    Mh!

  • @issasulleman8573
    @issasulleman8573 Před 2 lety +2

    Masai wa kuchonga hao! Chunguza masai rasta man aliwahi onekana kwenye matukio mengi sana ya kiselikali

  • @anastahiliutawala3879
    @anastahiliutawala3879 Před 2 lety

    Pumbavu tu masai sheet

  • @thomsmollel1280
    @thomsmollel1280 Před 2 lety +1

    Mazuzu kwli hawa yaan unauza utu wko kwa pesa ictoshe hao wamasai Ni wa mchongo shenzi kabisa

  • @ebenezernnko8251
    @ebenezernnko8251 Před 2 lety +1

    Wamasai wakuchonga hao baada ya baadhi ya viyongozi kufiliska kisiasa na kifkira kama walivyo valisha wanachama wa ccm tisheti za chadema ili wachafuwe chama pinzani

  • @lekishonmolele1921
    @lekishonmolele1921 Před 2 lety +1

    Tumbo singine sikishiba nimbaya mtu ajaguswa anaongea fibaya na aliyepigwa risasi watasemaje

  • @jamessichimata36
    @jamessichimata36 Před 2 lety

    Wa Kenya nao kwa Kiherehere hawajambo.

  • @jamesyohana1066
    @jamesyohana1066 Před 2 lety

    Huyo mchongo tu ni mjomba Wangu nothing at all hajui anachokisema YUDA ESCARIOTI Katiba mpya ni Sasa people destroyed by lacking of knowledge and vision this are publicity foolish group not an humanity VIVA KENYA