WAMASAI WAANDAMANA UBALOZI WA KENYA, KISA SAKATA LA LOLIONDO, WATINGA NA BARUA NZITO..
Vložit
- čas přidán 16. 06. 2022
- WAMASAI WAANDAMANA UBALOZI WA KENYA, KISA SAKATA LA LOLIONDO, WATINGA NA BARUA NZITO..
UMOJA wa kabila la wamasai, leo Juni 17, umeandamana kwa amani katika ubalozi wa Kenya wakiwa na barua ya kuwataka waache kuingilia mgogoro unaoendelea Loliondo kati ya Wamasai na serikali, ambao mpaka sasa bado unaendelea kushughulikiwa.
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
wamasai hao wawekwe ndani hao waliyo agiswa
Sasa nyny wasai mnaoishi Dar Hamjui kama wezenu wamemizwa huko kijijin?
Wanamiaka na miaka wamepewa buku buku za kujikimu hao sawa na mizimu woshing brain
Hakuna wamasai hapa michongo2
Cha ajabu apo Kuna baadh ya maasai wamebeba mabango alaf ukimwuliz maan ake ajui
Wapumbavu tuu hao
acha usenge wewe ata si mmsai ni mzenge tu mmoja toka huko peleka unafiki
Hao masai ndio wachongez na sio kenya
Movie za bongo hizi
Wamasai wa mchongo 😄😄😄😄😄
Mbona teargas na risasi na watu walioumia katika sakata uwekaji beacon's GLOBAL TV hamja rusha chochote Leo mnakuja kurusha hao vibaraka waliolipwa na serikali
Simuende kwaofisi ya mkuuwamkoa auya
Masai wa kutengenezwa na serekali
Kaaeni huko inaonekana mnamatatizo ya akiri
Wapig hao wamasai
Mhh! pesaa nimbaya sanaa
chawa sio poa😁🙆
We ni mmasai kweli au umenunuliwa uzungumze ujinga huo hao wamasai wanaopigwa huko loliondo kweli wanaweza kukuelewa wewe panya wa mchongo ,
Wewe umetumwa ndugu hujui lolote
Emanuel njokorde habari ya ngorongoro unajua kinacho entelea ngorongoro arashu loriento unajua nivizuri sana ungefika kwanza iloriendo uwone kwanza kinacho enteleya kule ili upate kuchua maamuzi ilio sahihi.
Si wa kuwashauri ni wa kuwa lock tu
kwel sisi wamasai tumekua waliz wa ardh ikinoga tunafukuzwa mungu saidia wamasai
Hao wamasai sio wenyeji wa Ngorongoro....wamepelekwa kisiasa tu .....hivyo sio uzalendo wa kuiongoza Taifa lililohuru
Nyie ni mabwege na mmelipwa kufanya mmbwa nyie
Wamasai wa mchongo haoo Kuna wengne humu wafanya Kaz Wa Serikali ila msije kutulilia tuu
Hamna wote hao wanasuka nywele hapo dar wahuni tu
Wamasai wakutengeneza naselikali
Wametumwa hao ili kuliua hili Swala
Kenya haina shida hata kidogo bali wanajaribu kutufumbua macho kuwa huo ni unyanyasaji uliyokithiri ,lakini kwa upofu mlionao watanzania na njaa isiyoisha ndo maana leo umekubali kuwa msaliti na kukubali ndugu zako kunyanyaswa na kuonewa
Hivi wamasai wanakiswahili hicho?
Sshindwe wewe, uoga hatuuzuwi sisi,,, m'barra olmeeki
Tanzania imepigwa upofu
Iwe kweli au uongo, ila Kenya wamezid kuingilia issue za Tz tena mara nyingi wanaongezeaga na chumvi ( hasa habari zenye negativity ) kuhusu Tz. ( Vyombo vyao vya habari na hao sijui ndo wanaharakati)
Kishu wa uyo Jamaica aiyetifisuri
Panya buku weewe
We sokwe wa kichina nini unaona vyema watanzania wenzio wakipata taabu inchini kwao et ,
Huyo anayesoma barua sidhani kama mmasai
Unamatatizo wwe kwani hakuna wamasai wasomi
Sio
Acheni kuchonganisha hizi nchi.
Masai wa mjin huyo kk achaa ushamba
Wale cy wamasai ndiyo maana nakimbiya kamera
Wewe sio Masai wewe acha unafiki
Mjomba angu kabisa ila hamnaxo karukwa kidogo
Mh!
Masai wa kuchonga hao! Chunguza masai rasta man aliwahi onekana kwenye matukio mengi sana ya kiselikali
Pumbavu tu masai sheet
Wew ni hewa tu umeongea pumba
Mazuzu kwli hawa yaan unauza utu wko kwa pesa ictoshe hao wamasai Ni wa mchongo shenzi kabisa
Wamasai wakuchonga hao baada ya baadhi ya viyongozi kufiliska kisiasa na kifkira kama walivyo valisha wanachama wa ccm tisheti za chadema ili wachafuwe chama pinzani
Tumbo singine sikishiba nimbaya mtu ajaguswa anaongea fibaya na aliyepigwa risasi watasemaje
Wa Kenya nao kwa Kiherehere hawajambo.
Huyo mchongo tu ni mjomba Wangu nothing at all hajui anachokisema YUDA ESCARIOTI Katiba mpya ni Sasa people destroyed by lacking of knowledge and vision this are publicity foolish group not an humanity VIVA KENYA