KILA MWENYE MZAZI (WAZEE) AANGALIE VIDEO HII SASA - "OMBA OMBA" ZANZIBAR WAFANYIWA MSAKO
Vložit
- čas přidán 14. 12. 2018
- Jumla ya watu 43 wanaodaiwa kujihusisha na shughuli ya kuombaomba katika manispaa ya mji wa Zanzibar wamekusanywa kwa lengo la kuwarejesha makwao ili kumaliza vitendo hivyo katika mkoa wa Mjini Magharibi Unguja.
Zoezi hilo limefanywa kutokana na ongezeko la ombaomba katika mkoa huo jambo linalotajwa kuwa kero kwa wenyeji na wageni wanaoitembelea Zanzibar.
Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
#Habari #Zanzibar #KtvTzOnline
Follow Ktv Tz Online
Facebook | KTV TZ ONLINE
INSTAGRAM |@ktv_tz_online #hakikahiinifahariyetu #hakikahiinifahariyetu
Hata ukiwapa mtaji kesho wanarudi tena kwasababu omba omba wameifanya kazi yao official
Lakini mmefanya vibaya kuwatoa hadharani na makamera kuwapiga jamani hao ni watu wazima na nyie waislam ni aibu mbele ya m mungu c mgewastiri bila kuwafedhehesha m mungu anasema mstiri mwenziyo na mugu atakustiri stafrullah yarabb wastiri muslimin wote yarabb😭😭
Kuna tofauti gani na kazi zao wana fanya hadharani afu kuna wengine ni waongo wana pita na vitabu vya hospital eti wame kwama dawa kw bahati mbaya una kutana nae tena baada ya siku kadhaa na kitabu chake sasa ww unataka wafichwe nn?
@@abditz8377 nikweli wengine kweli wadhiki wengine wanafanya ndio hulka yao
هتت ننن Allahuma Amiin yarrab
Nchi imekosa radhi mashehe mumewaeka ndani kipigo hicho kutoka kwa Mwenyezi Mungu. Laana tullah
Aameen
Hebu wasaidieni km mnaeza na sio kuwadhalilisha mitandaoni. Njaa inauma jamani! Isitoshe siku hz familia nyingi fupi mtu na watoto wake tu! Mwengine huambiwa mchawi.
Allah kareem. Mimi nahisi wapelekwe majumba yakutunzia wazee.sebleni
aisha Omar unaishi wapi ww
@@bakarihappy4890 zenji ww je
Of course ndiyo! Nakama wanaitaji usaidizi serikali washirikisbe watu wenye ujuzi wa maswala hayo. Serikali au inenge subsidising house na watengewe kipato flani hivi wenda hayo yakapungua au kumalizwa kabisa
Boss Ayoub nakupata sanaaa naona utendaji wako sehemu kadhaa me nikuombee upate nguvu zaidi uko vizuri
Haifai kuomba namna kama iyo katika sheria ya dini ya kislam
mohamed khamis kabisa kaka
Ukisema Utalii unasaidia Sio kweli, Utalii wa Zanzibar unanufaisha wakuja tu Wazanzibar wachache wanonufaika
Omba omba ni kazi km kazi nyengne t hatuwezi kulingana sote kimisha tumetofautiana ata uko nchii tajiri bx wpo omba omba tena wengi yote hyo yankuja kutokana n taifa letu masikin n umaskini tunajitia wenyewe kw siasa wacheni wachape kazi nikheri ya hayo kuliko kuiba
Subhanallah!!! Polen wazee wng
Hakuna kufichwa hapo wenye ndugu zao jamani wazee wao wawajaribu kuwahifadhi pia wawashughulikie nilaana kumuacha mzazi wako anadhalilika wewe upo pia wazazi jamani tulieni mridhike na allah alicho waruzuku pia serikali yetu wasaidien wajane waso na ndugu na walemavu asanteni
Serekali wasaidieni wananchi wenu
Wapo wanaomba kwa shida na wakiseidiwa haombi tena ila ni mmoja kwa kumi
Tumefika hapa zanzibar Subhanallah ya Rabiy awasameh wazee watu na awarahishie maisha yao Amiin....
kwann mckubal nchi yetu ni maskin lazma wawepo hao na pia hata uzunguni wapo omba omba
Wako ni wako tu mpita njia mtu mbali
Allah akikupa neema usifanye israf. Mara leo birthday, maharusi ya fakhari, maguo ya kushindana, baby shower cjui n.k. Watu wanashida jamani tena kila pembe ya dunia.
Wasamehe mama zetu na kaka zetu
Yasikitisha Zanzibar viongozi wengi ni waislamu plz tumiyani hekima sana pili nanyi omba omba kuweni wakweli na mta shuulikiwa vizuri
Hao wengine wapige mikwaju hawana hata haya
Umezaliwa ujaneee
Mbona hata Serekali zinaomba omba
Haha haha umenifurahisha
ha😂😂😂😂
Wapeni fungu la wazee na wajane mtakuwa mmewasaidia sana
Nakupenda Sana rc wangu AYUB mungu akubariki 2020 uwe rais amiin
Wazee Kama haowanafanyakazi na pesa akuna sasa watahishije uwiii 😊😊😊😊
mbona wote wanajiweza wapewe mtaji 2 atawakuuza maandazi na uji wapate iyo tonge
Baadhi ya watu wanaomba kua hawana budi. Baadhi yao ni tabiya hawana ukinaivu. Mtumai chandugu hufa maskini. Kuzaa sio kupata. Kupata ni majaaliwa.
Sijambo la busara kuwatoa hadharani.
Uwamuzi stahiki ungefanywa kimya kimya baada kuulizwa mmoja mmoja kwa nini anaomba.
Hikma na jambo muhimu na nnaamini Wazanzibar tuko mstari wa mbele katka hili. Vipi tena vizee vyetu na vilema wetu inakuwa fashion show.
ila wanadhiki jamani mnawadhallsha sn sn. wapatiwe mpango wwt wakufanya bc hawapendi hao kwakweli.
Hapa mmekosea jamani hawa ni wazee wetu hv mumewazalilisha niheri munge wazihirisha wale makahaba yakapata kuonekana sura zao ili wao wenyewe wajisikie aibu, ila wale makahaba mumezificha sura zao au mume wastiri mama zetu na bibi zetu mume wazalulisha 😭😭😭😭😭😭
Safi .hongera sana mheshimiwa Ayoub. Wengi wanatoka Pemba wanakuja unguja
Mayo, natk unionyeshe uyo mmoja anaetoka Pemba kuja kuomba hapa unguja,ww ukome ,mamayo anaomba,sasa Fanya utafiti wako utagundua wanaomba wengi wao ni watu kutoka wap ,km si hapa Unguja na bara.
Poleni wazaziwangu
Imani imetoweka kuanzia Serikalini hadi kwa mtu mmoja mmoja ndio maana shida kama hizi zimetuandama, watu hao ni kweli kuna baadhi ni tabia tu hiyo kwao kwasababu zao za kutokuridhika na maisha walionayo, ila kuna wengine ni kweli maskini hawana uwezo na ni walemavu, kitu muhimu kama wanawaondoa ni kuwarudisha kwa jamaa zao kwa wale walonao ili wawasaidie kimaisha, na wale watakaojulikana hawana jamaa wakuwasaidia huo ni mzigo wa Serikali uubebe kupitia hizo taasisi zao za ustawi wa jamii.
serekali ni chazo cha watu kuwa omba omba kwasabubu ata ukijishugulisha wanakubana kwa kodi yani unajikuta wewe mtendaji unatumia nguvu serekali wanapita kujichukulia mpk mtu anakata tamaa ya kufanya lolote ndio nanajikuta anaishiwa hata na mawazo ya kutenda lolote anabaki masikani na kuaza omba omba na pai serekali yetu ni chazo cha omba omba wao wenyewe ni omba omba 2
Kwakweli n muwasaidie tuu sio kuwafedhee ama kamati muunge uduma za wazee serekali wasaidieni nibinadam wanahitaj msaada InshaAllah kheir Allah karrim
Allah awastiri wazee wangu
hamtimizi kweli hamujali raia wenu hali ya maisha imekua ngumu siungi mkono omba omba ila na serekali pia nayo inachangia viongozi wamejilazimisha kukaa madarakani wakati ata hawawezi kuwashuhulikia wananchi wao
Rekebisha kauli ww alaa weee kama angekuwa mama ako apo ungejiskiaje
Au mueke baba ako alafu uone kama ataweza kuwashuhulikia wananchi wote pumbavu zako unaweka usiasa tuu
+Khairat Hussein hee bibi wee vipi mbona povu ivo?
+Khairat Hussein kama umehamaki KUNYA pesa mtumie na familia yako nyoko wee
Wapeni mtaji inshallah watajirekebisha, wasipozingatia ndio muwachukulie hatua za kisheria.
Kila page upo
Mkuu hatua nzuri Sana. Na huyo mama ameongea ukweli na mie ninao ushahidi. Kwa siku wanakusanya laki nne Hadi sita. Na huyo mnene ndio muongo sannna.
Kwanza nampongeza mkuu wa mkoa kwa juhudi hiz.
La pili nawaomba vijana wenzangu tulio zungukwa au tulio na wazee km hawa tusiache kuwasaidia jamani shida mbaya.
La 3 wazee wangu nanyi kueni wavumilivu na shukran kila maisha unayo ishi ni mungu ndio kakuchagulia ridhika nayo wenzetu waliishi mapangoni pia ukienda vijj vyengne utakuta mtu yupo ndani lkn ana lala km yupo nnje sio lazma kukimbilia mji turudi vijjn hii mbaya sana.
Ukiona nnchi watu omba omba wengi basi dalili ya kua watu hawatoi zaka na sadaka.
Viongoz wetu angalieni hii hali nimbaya kwa wananchi hakuna asie mpenda mzee wake.
Ila nnchi ikiwa ina vijana wengi hawana kaz basi hali hii hujitokeza na hata wizi wa mabavu pia.
Hio ni dalili ya kua hao wazee wangekua na nguvu basi ama wangeenda kulima au kupora kwa kutumia nguvu zao.
Toeni fulsa na miondombinu punguzeni kodi vijana tujiendeleze kibiashara tulee wazee wetu.
Zanzibar ya leo sio ya jana.
Leo z,bar kodi ime kua kubwa kila sehemu.
Havijana wakiamua kupanga nyanya baada ya mwez wana hamishwa.
Tusiogope aibu tujue tu jinsi ya kuikinga aibu.
Kuna sehem kibao watu walijiajiri leo wana fukuzwa jee wazee wao au wao wenyewe watakimbilia wapi km sio kupora au kuomba?.
Hongera mkuu wa mkoa pia hongereni KTV kwa kutupa habari za ukweli.
Ila viongoz msiezeke makuti juu ya bati.
Hao ni wamama wao wameweza kutuo mshipa wa aibu wakaamua kuomba kuna vijana pia hatuna job jee mnadhani tuta fanyeje hapo baadae na hatuna kaz na tunahitaj familia nasi.
Zamani ilikua z,bar ni jema atakae aje.
Sasa ni.
Z,bar si vyema atakae aje.
I agree with you ..💯
Kwa kweli waondoshwe pia kwa usalama wa raia maana kuna wengne hutumia viini macho
Kweli wengine Wana hali duni lakini wengine wanapenda kuomba utakuta mtu ana nguvu za kuweza kufanya kazi lkn hataki anataka kuomba tu tena wanakera siku hizi wanakuvuta hasa uwape pesa tena wanawaomba mpk wanafunzi wa skuli
Mbona wengine wananguvu zao kabisa jmn!!!! Wazee waseme hawana watoto wa kuwaangalia ndo mana wanaomba sawa utasema hata nguvu ya kufanya kazi hana.
Sasa wengine hapo ukiwaangalia miaka 40 na wengine hata hawajafikisha nao wanaomba kweli!!!! Mmeshindwa hata kupika mihogo au kuuza hata machungwa!!! Kweli mazoea hujenga tabia.
Yani wengine hata hawaelekei kuomba du nguvu wanazo na akili ya kufanya kitu
Nchi haina nidhamu ndo maana mambo yote ya ovyo yapo zenji tena Wazi wazi agrrrrrrr
Mm nahisi ni shida tu wawekeeni mazingira mazur hakuna mtu anaependa kuomba omba tusiwe waongo Dhiki tu Allah awafanyie wepesi inshallah
Kuna wengine ni kweli tabia yao.. Wengine wanashida kweli..... Kuna mmoja mwanawe anafanyakazi benki.. Lakiin mama ake anakimbia kificho... Anaombaomba.... Huo mtihani wasaidiyeeni wapate biashara
Kiukweli dunia ya leo ndugu kusaidiana ni ngumu Sana wallah serikali mnatakiwa muwaandalie mazingira watu Kama hao muwaanzishie miradi ili wajinasuwe ktk dhiki hiyo
Sahihi haipendezi kuomba omba nikhery kujiorodhesha na kupewa chanzo chochote cha mtaji mtu aanzishe biashara yake kuliko kuomba
Wengin wanaomb wanamajumba huwez kuamin
Na alhamdulillah katika sira ya kiislamu tayari zimeshapita zaama ambazo maskini walikuwa hawapo mpaka watafutwe kwa ajili ya kupewa zakkah, na hao maskini pia walikuwa hawakubali zakkah kwa kuona walichokuwa nacho kimetosheleza
Njia za kuumaliza umaskini upo ktk UISLAMU TU.
Kama kwa njaa au ziki bas watu wote wazanzibar tuwe omba omba to mana sote njaa kali
Ahh jamani. Mimi namshukuru Allah. Alhmdullillahi. Familia wanaojiweza wasaidie hao jamaa zao wanaomba. Wale ambao hawana jamaa serikali iwasaidie in shaa Allah
Huko mzima kwann usifanye kazi nyingine.
KwNza mkuu watie bakora haxahuyo bb mweux mbishi bakoratu
Huku.marekani obaoba.niwengi.wachieni.watafute.riziki.Message from USA marekani
Kweli hiyo ishakuwa kama ndio tabia yao maana wengine wanashughulikiwa vizuri tu watoto wao ila bado wanaendelea na uombaji Allah atunusuru na wazee wetu
Ila si tabia nzuri
Wanadhiki ndiomaana wanaombaomba mngebadilishamsimamo wakuwasaidia wapowazee ataukiwapamtaji awawezikufanyabiashara ila mtizamowangu Mimi kamaitawezekana muwapevitambulishovya ulaia natena vitambulishovya bank ilimuwasaidiekuwapapesa yamatumizikila mwishowamwezi mtaonamabadilikoyatakuwepo tz yetu
Watafutiwe njia ya kufanya kazi ama biashara lkn waache kuomba omba
Wasaidieni jamani msiwafukuze kama umbwa nyinyi ni waisilam .hakuna Alie mkamilifu
huyu mzee mwenye kibagarashia kibonge anamitaji kibao
Mm.maoni.yangu.kinacho.sababisha.watu.mpaka.kufikia.hatua.ya.kuomba.nyinyi.viongozi.mnawanyanyasa.wananchi.mtu.akiweka.kibiashara.mnataka.kodi.kibao.mtu.anashidwa.kulipa.mnamfilisi.halafu.mnatarajia.nn...wapeni.uhuru.wapunguzieni.kodi.muone.kama.watawepo.hao
Mkuu mkoa ufasidi katika serkali yako ipo ndio unaona hayo shinda kweli
Kilaifikapo mwishowamwezi wanaenda bank kuchukuapesayamatumizi mkiwafanyiaivo mtaonamabadiliko tz yanimkisema mikopo tunatoa inatufaasisi vijana wazee inakuwanishidatu
Wimbo)omba waishi vipi waishi vipiii watu wengi wanasema wanafanya kusudiii watu wengine wanasema maneno mabayaa
jamani hao ni watuzima sivyema kuwafedhesha mungewastiri ni sawa na mama zetu au mama zenu leo wamama wazima wanaomba msamah kweli sio vizuri
Mtihani kwa kweli tabia mbaya sana mtu mwenye kuomba omba siku ya kiama atafufuliwa ana baka jeusi usoni mwake (hadith ya mtume )
tatizo la kuomba hata huku kwetu kenya Mombasa, ipo tena sana,,dola za kikafiri ndio zasababisha waislam kua mafuqara!!
Maadil mabovu KTV Mtawaoneshaje sura kama angekuemo mama zenu na pengin wanashuhulikiwa ipasavo hasa. ALLAH anaemia msitiri ndugu yako Muslim nae atakusitiri. Toeni video au waziben sura
Kwakweli wazee wanahitaji msaada wengine wanawatoto wao lakini hata Salamu kumsalimia mzee wake anaweza kufika mwaka mzima hata hujambo haja muuliza .
Wengine wanatokea dar warudisheni
Mulivowafanyia sio kitu kizuri mungewaita kisiri tu mukawasaidia ukimstiri mwenzio ktk shida na we Allah atakustiri kesho akhera au TV ilikosa kipindi cha kuonesha
HATA KAMA WANANDUGU HUTAFAHAMU KAMA WANAWEZA KUWASAIDIA, KWA SABABU KUTEGEMEA NDUGU NA MAJIRANI KUNA MASIMANGO MAKUBWA SANA,IKIWA SERIKALI INAWAKATAZA KUOMBA LAZIMA MAMBO YA MUHIMU KIMAISHA IWASAIDIE BILA YA KUSITA KINACHO TAKIWA WAFANYIWE MPANGO WAKURIDHISHA WAPATE KUACHA KUOMBA .
Wanaomba Kwasababu wanashida
Jamani wanawake wenzangu kama muna afya nzuri zakueza kufanya kazi lkni kazi ndio hakuna huko, bc niwashauri bora muje zenu dubai muwe watumwa kwa waarabu mjue mtapata rizki nzuri tu na pia mtastirika kwa mengi.wangapi muko huku +971 tujuane bx kwa kueka like yako apa unapomaliza kusoma huu ujumbe wangu.
Nafisa Mohamad dada namimi nataka kuja huko ntafikaje
huyo ayub awzalilisha wezake kwa kua et ajmudu
Subhanallah
Duh kuna watu nawaona tangu mm namika minne mpka leo maskn dah
Inahuzunisha sana
Wengine wana nguvu kabisa
Kwa hilo umekosea sana.
Siungi mkono.
Kuomba si kosa
Love you Mh Ayubu
Jamn mucwatetee omba omba dini yetu ya kiislam hairuhusu ndo mana imewekwa zakka na sadaka kwa kuwasaidia na tunajitajid kwa ilo Iyo ni tabia tu ya mtu
KTV TZ ONLINE HAKIKA HII NI FAHARI YETU
Subhana allahu
Poleni sana
Taifa mnalitukanisha kweli serikali haiwasaidii wazee inaonesha dhahiri nyiye vingora tu .
ombaomba kila nchi wapo sio kitu cha ajabu sana
Kamata fyekelea ndani
Na asilimia kubwa ni watu wazima
Jamani nikweli wawazalilisha sana lati ieguwa ni mama zao wame wafanya hivo wagali jisiki vizuri jamani hata km niomba omba ila sio kuwazalilisha voo hata hiyo serekali na vilevile ni omba omba
Mmi naona aibu hususa nikaomba nikakosa😂mara najipiga viambaza bora nipige kazi tu
dah mtihan poleni mama zang
Kwa nn mumewazalilisha sio vizuri
Mtihani.
Munazingua serekal ktk nchi hii kunawatu katk serekali hii anaepokea mil 40,30,20 kwa mwez je mutakosaje kuwasaidia walemav ambao hawafiki hata lak5 munajikumbizia mali raia tunateseka
Yaan serikali ingewasaidia hata kituo wakae wazee kusema wategemee ndugu siku hz maisha magumu
Subhannallah
Hawa viongozi nao hawana akili omba omba duniani kote wapo ila wanasaidiwa hawalali njaa
Wa maman wako nasheria yakuomba ju watoto wa kisasa wanajali tu wake zaho na watoto waho wanasahabu wazazi
omba omba kila nchi wamejaa mitihani walai
Sheria za kiislamu TU ndo zitatatua matatizo ya kibinadamu. Sheria gani mutumie juu ya hao maskini waitisheni mashekhe watoe maoni yao.
Mimi nnae jiran yangu MTU mzima anaomba omba na nwanawe ni jeshi. ndo tuseme mshahara wake hautoshelezi kumuhudumia na mzee wake au dharau. jamani tuwajali wazee wetu pengine aliuza Mali zke ndo ww ukafanikiwa Leo hii unamdharau. na ww utalipwa tu ipo siku