HII NDIO SABABU YA WANAUME ZANZIBAR KWENDA SOKONI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 09. 2024
  • Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
    #Habari #KtvTzOnline
    Follow Ktv Tz Online
    Facebook | KTV TZ ONLINE
    INSTAGRAM |@ktv_tz_online
    Wasiliana nasi kupitia number
    +255 625 323 932
    Ktv Tz Online Journalists
    cc: Sadia Rashid
    cc: Juma Maulid
    cc: Masoud Maganga
    cc: Sauti
    Video Zingine:
    Angalia hapa - Diamond Platnumz Alivyolisha watoto yatima
    - Ali Kiba akiwa Oman
    • ALICHOKIFANYA DIAMOND ...
    • NI KWELI ALI KIBA AMNU...

Komentáře • 71

  • @hassanturky7511
    @hassanturky7511 Před 4 lety +8

    Alhamdulillah hali nzuri bado. Imani ipo.

  • @zayyatiyussuf9566
    @zayyatiyussuf9566 Před 4 lety +7

    Mm nimewapenda haswaaaa wanaume wa zenji yani raha haswaaa nilikua nakuchukia sokoni hususani ikinyesha mvua nakulivyo kuchafu hongera sana wanaume wa zenji

    • @aliy3303
      @aliy3303 Před 4 lety +1

      Zayyati. Mola atukutanishe tuonane. I miss you my sister

    • @issamohammed2458
      @issamohammed2458 Před 4 lety +1

      Zayyati Miaka ya nyuma hakukuwa na mwanamke akienda sokoni kabisaaa, leo unakuta wauzaji wanawake na itafika wakati hutokuta wanaume sokoni.

    • @zayyatiyussuf9566
      @zayyatiyussuf9566 Před 4 lety

      @@issamohammed2458 sasa hivi wanauza wanawake sokoni zenji eeeeeee? Napenda haswa unijuze kama 👍au 👎ilinimalizie kuzungumza

    • @zayyatiyussuf9566
      @zayyatiyussuf9566 Před 4 lety +1

      @@aliy3303 Hujambo Akhuy upo lakini nimekumiss pia mm zamiaka

    • @issamohammed2458
      @issamohammed2458 Před 4 lety

      @@zayyatiyussuf9566 wanawake masoko yote ya unguja wapo wanawake wenye kufanya biashara, hata kuuza samaki, Zayyati kazi ya kuuza samaki ni ngumu maana mwanamke ni mtu wa manguwo manguwo sasa niambie yakisharowa mavumba na atashinda nayo kutwa kazi yenyewe kuchezea maji ya vumba MTIHANI

  • @mwatumsaidi5104
    @mwatumsaidi5104 Před 4 lety +4

    Mwanamke ni diamond hatakiwi haitakiwi kuzurura mashallah wazanzibari Allah tutunzie utamaduni wetu

    • @courtoiskimweli2506
      @courtoiskimweli2506 Před 4 lety

      Kwa maisha ya sasaiv hakuna ivyo lazima wanawake nao wachakalike enzi za mtume ndokulikuwa kunaizo tamaduni lkn sio enzi hizi

    • @mwatumsaidi5104
      @mwatumsaidi5104 Před 4 lety +1

      @@courtoiskimweli2506 kuchakarika na kuzurura mambo mawili tafauti hata mke wa mtume akijihangaisha na mabiashara

  • @naimamwambe8083
    @naimamwambe8083 Před 4 lety +4

    Zanzibar yetu iko wapi zaman ilikuwa hata mwanamke kumuona sokoni ni Bahati mbaya bado sikuizi wamejaa Tele Mila zetu nazipenda sijui kwanini wanatuingilia kuziharibu M'mungu tuhifadhie zanzibar yetu

  • @samsungjsevenprime5717
    @samsungjsevenprime5717 Před 4 lety +3

    Znz oyeeee naipenda sana znz yetu na waliomo ndani ya znz

  • @LaBboogo
    @LaBboogo Před 4 lety +4

    Mwanamke ni almasi haitakiwi kuwekwa ovyo na hivi ndivo alivotufundisha mtume (S.A.W) tuwe na mapenzi na wake zetu na kuoneana huruma

  • @maryammct3967
    @maryammct3967 Před 4 lety +2

    Mwenye hanawivu hato ingiya peponi dini inavyo sema isllam❤❤👍

  • @zayyatiyussuf9566
    @zayyatiyussuf9566 Před 4 lety +2

    Shukran Ktv tz online hakika hii ni FAHARI yetu

  • @khadijaa815
    @khadijaa815 Před 4 lety +4

    Ndio inavotakiwa kidini mwanamme ndio apeleke kila kitu nyumbani

  • @omarmuhnzi7412
    @omarmuhnzi7412 Před 4 lety +4

    Sokoni Kuna manyaku nyaku Mke hapekekwi Sokoni kumpeleka Sokoni ni Sawa na kumuuza kwa bei ya Mnada.

  • @issamohammed2458
    @issamohammed2458 Před 4 lety +1

    Zama hizo kwa hapo soko la darajani mlango wa katikati baina soko la samaki na nyama WANAWAKE walikuwa hawakatizi wakizunguka pembezoni mwa soko, lakini huu ulimwengu wa utandawazi mwanamke atazurura sokoni kila kipembe akisafi yeye.

  • @fdhjffdhjfsjdjfjfi9477
    @fdhjffdhjfsjdjfjfi9477 Před 4 lety +1

    Uislam umekuja kumkomboa mwanamke kutokana na kila hali nisisi 2 wenyewe kujingiza kwenye mambo mengine hifadhi ndio ngao yake

  • @ahmeidyoung2410
    @ahmeidyoung2410 Před 4 lety +1

    Ni saw sana sis wanaume kwenda markti

  • @oparetionmaalum9030
    @oparetionmaalum9030 Před 4 lety +2

    Ni utamaduni ambao tulio urithi kwa waarabu lakini pia tunawajali wakezetu hatupendi kuwaaanika masokoni

  • @alizahranmohd4095
    @alizahranmohd4095 Před 4 lety +2

    hayo ni mapenzi wala haiiongikiani na masuala ya wivu. wanaume wa zenj ni wachumi. tumejaaa mahabba na mahabba sio km wenzetu kazi kutiana mapanga kuchomana moto na majisu

  • @amourmtungo623
    @amourmtungo623 Před 4 lety +1

    Ni utamaduni wa Kiislamu kwa kweli. Lakini sio wivu au vibaya kufanya hivyo. Mbona wanawake wengi hivi sasa wanaenda wenyewe. Ila wapo wenye msimamo mkali wa Kiislamu hawatamruhusu mke kwenda sokoni.

  • @biramsakh9212
    @biramsakh9212 Před 4 lety +1

    Kiasili hasa mwanamke wa kizenji haonekani masokoni

  • @khamisjuma5046
    @khamisjuma5046 Před 4 lety +1

    Salam zangu message from USA 🇺🇸

  • @natafutamatatizo4382
    @natafutamatatizo4382 Před 4 lety +1

    KWA SABABU WENGI WANGELI FILISIKA MAANA, WANAWAKE HUREGEZA MACHO NA SAUTI ILI WAPEWE VITU BURE.

  • @maryammct3967
    @maryammct3967 Před 4 lety +1

    Mashallah raha kweli👍👍👍👍👍👍❤❤❤

  • @chulbulturky
    @chulbulturky Před 4 lety +4

    Kama hana mume anaweza kwenda hajakatazwa

    • @shamsahaji6202
      @shamsahaji6202 Před 4 lety

      Ndio na ni kawaida na hata akiwa na mume hakatazwi itakua ni mapenzi yake tu wala hamna shida

    • @chulbulturky
      @chulbulturky Před 4 lety

      @@shamsahaji6202 ndio

  • @chulbulturky
    @chulbulturky Před 4 lety +2

    Sunnah mwanamme kwenda sokoni

  • @khamisihaji2905
    @khamisihaji2905 Před 3 lety

    Huyo si mzanzibar hajui hasa.

  • @yasodishonest9792
    @yasodishonest9792 Před 4 lety +1

    Mashaallah vizur

  • @saidmo8392
    @saidmo8392 Před 4 lety +1

    Rekebisha sio wanaume wengi watu wa bara hawako hivyo hiyo ni asili ya mzanzibar halisi

  • @khadijamohanani6476
    @khadijamohanani6476 Před 4 lety +1

    Wow mashaallah

  • @abamohamed7092
    @abamohamed7092 Před 2 lety

    Jamani hii nadhani ni mwalimu wa ziwani

  • @rasykizanjbari4996
    @rasykizanjbari4996 Před 4 lety +1

    Mwanamme ndo wa kwenda sokoni haswa kiilivyo yeye ndo mchumi

  • @josej9888
    @josej9888 Před 4 lety +1

    Kuna matumizi mengine yamwanamke, halafu wanaume wa Zanzibar wana wivu wakupita kiasi, halafu niwatu hatari kwa kuchepuka!!

  • @issamohammed2458
    @issamohammed2458 Před 4 lety +1

    Zama hizo sisi tulipokuwa wadogo tukitumwa sokoni huwakuta akina mama wapo pembezoni mwa soko wakiwa wamejistiri vizuri hadi kujishushia vitabaa vya mabai bui usoni na hutwita na kutuagiza wanachohitaji na huwatumikia kwa uadilifu tu pasi na kuwakimbia au kuwakatalia.

  • @abamohamed7092
    @abamohamed7092 Před 2 lety

    Sauti ya mwalimu wa ziwani

  • @ibrahimali-tf1or
    @ibrahimali-tf1or Před 4 lety +1

    Mwanamke ni nyumbani kazi za soko nizakiume Mimi kazi yangu kumwambia tu mahitaji yangu

    • @zulfahaji4666
      @zulfahaji4666 Před 4 lety

      Naenda akiwa hayupo lisilobudi nafsi ya ngu sikupendi

  • @yussufhaji3335
    @yussufhaji3335 Před 4 lety

    Sio kweli kama BARA wanaume hawaendi sokoni navojua nimila za pwani kote mm

  • @user-qe9ot4kl9u
    @user-qe9ot4kl9u Před 4 lety

    Ngoja ikaribie sikukuu uone darajani kunavyofurika mabaibui na visuruali vya kubana, tuseme ni utamaduni tu

  • @zendopkop2310
    @zendopkop2310 Před 4 lety

    Mtangazaji ukitaka kujua mambo ya watu fulani basi waulize Wao tu Sio kuwachanganya na wengine utapata deffirent opinion

  • @saidahajimgeni8893
    @saidahajimgeni8893 Před 4 lety +3

    Zenji zenji nimekumiss wewe😟

  • @mwanaateahmed5861
    @mwanaateahmed5861 Před 4 lety

    Sokoni na sie tuende sometime

  • @sikandaryakoub3777
    @sikandaryakoub3777 Před 4 lety

    Wanawake ukiwapa pesa wanabania kwenda sokoni

  • @simbalion2871
    @simbalion2871 Před 4 lety +1

    Mwanamke mtu wakutunzwa

  • @allyhamad707
    @allyhamad707 Před 4 lety +1

    Mwanamke sio mtu wa masokon

  • @sadiaabed6687
    @sadiaabed6687 Před 4 lety

    Ni wivu wa mapenzi ama hakuna utamaduni sasa dunia sio ya sasa na pia wengine wanapata sababu ya kama anakimada na pia wanawake pia mwanamke kutembea nikufanya viungo visilegee utakuta mama kachoka kuhema sasa utakuwa mume unampa maradi na presha

    • @gangmore9091
      @gangmore9091 Před 4 lety +2

      No dini ndio imesema ivo mungu ndio amesema mwanamke stara

    • @mbarooksleiman2917
      @mbarooksleiman2917 Před 4 lety

      ww mwandishi kamilisha mahojiano yako kwa kuwahoji viongozi wetu wadini

    • @rizikisalum9678
      @rizikisalum9678 Před 4 lety

      Mtume saw ndie aliefundosha Kama unaona kakosea waeza fanya sahihi

    • @dhiabmohammed4238
      @dhiabmohammed4238 Před 4 lety

      Stara kwa mwanamke na inaepusha mambo mengi sana katika jamii fitna na hata misiba tushasikia kesi nyingi kwa jamii zengine hufikia kuuwa mpaka watoto wao sabubu ni wivu sasa bora kuepusha kabla kufikia huko

  • @madatamponeja8777
    @madatamponeja8777 Před 4 lety

    Mwanaume kwenda sokoni si sawa ni ubaili tu apo amna kingine

    • @issamohammed2458
      @issamohammed2458 Před 4 lety +2

      mimi mwaume ndio mtafutaji na mwamke ni mtayarishaji.
      waname wa sokoni ni wahongaji sana na mwamke ukimwona anapenda kwenda sokoni anatafuta mambo mengine.

  • @AhmedAli-xw6xf
    @AhmedAli-xw6xf Před 4 lety

    Sasa mbn face za wadda wa znz hamukutonyesha ama ndio wa bara hawana aib

    • @ahmeidyoung2410
      @ahmeidyoung2410 Před 4 lety

      Hahahah ata sijui

    • @issamohammed2458
      @issamohammed2458 Před 4 lety +2

      hata adabu, ndio maana ukaambiwa mwanamke sio mtu wa sokni, hao waliogeuka ndio angalau wana heshima zao, na hao ndio wenye kukuudhini.