HII NDIO SABABU YA WANAUME ZANZIBAR KWENDA SOKONI
Vložit
- čas přidán 6. 09. 2024
- Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
#Habari #KtvTzOnline
Follow Ktv Tz Online
Facebook | KTV TZ ONLINE
INSTAGRAM |@ktv_tz_online
Wasiliana nasi kupitia number
+255 625 323 932
Ktv Tz Online Journalists
cc: Sadia Rashid
cc: Juma Maulid
cc: Masoud Maganga
cc: Sauti
Video Zingine:
Angalia hapa - Diamond Platnumz Alivyolisha watoto yatima
- Ali Kiba akiwa Oman
• ALICHOKIFANYA DIAMOND ...
• NI KWELI ALI KIBA AMNU...
Alhamdulillah hali nzuri bado. Imani ipo.
Mm nimewapenda haswaaaa wanaume wa zenji yani raha haswaaa nilikua nakuchukia sokoni hususani ikinyesha mvua nakulivyo kuchafu hongera sana wanaume wa zenji
Zayyati. Mola atukutanishe tuonane. I miss you my sister
Zayyati Miaka ya nyuma hakukuwa na mwanamke akienda sokoni kabisaaa, leo unakuta wauzaji wanawake na itafika wakati hutokuta wanaume sokoni.
@@issamohammed2458 sasa hivi wanauza wanawake sokoni zenji eeeeeee? Napenda haswa unijuze kama 👍au 👎ilinimalizie kuzungumza
@@aliy3303 Hujambo Akhuy upo lakini nimekumiss pia mm zamiaka
@@zayyatiyussuf9566 wanawake masoko yote ya unguja wapo wanawake wenye kufanya biashara, hata kuuza samaki, Zayyati kazi ya kuuza samaki ni ngumu maana mwanamke ni mtu wa manguwo manguwo sasa niambie yakisharowa mavumba na atashinda nayo kutwa kazi yenyewe kuchezea maji ya vumba MTIHANI
Mwanamke ni diamond hatakiwi haitakiwi kuzurura mashallah wazanzibari Allah tutunzie utamaduni wetu
Kwa maisha ya sasaiv hakuna ivyo lazima wanawake nao wachakalike enzi za mtume ndokulikuwa kunaizo tamaduni lkn sio enzi hizi
@@courtoiskimweli2506 kuchakarika na kuzurura mambo mawili tafauti hata mke wa mtume akijihangaisha na mabiashara
Zanzibar yetu iko wapi zaman ilikuwa hata mwanamke kumuona sokoni ni Bahati mbaya bado sikuizi wamejaa Tele Mila zetu nazipenda sijui kwanini wanatuingilia kuziharibu M'mungu tuhifadhie zanzibar yetu
Znz oyeeee naipenda sana znz yetu na waliomo ndani ya znz
Mwanamke ni almasi haitakiwi kuwekwa ovyo na hivi ndivo alivotufundisha mtume (S.A.W) tuwe na mapenzi na wake zetu na kuoneana huruma
Ndio wivu asie na wivu hana dini.
Mwenye hanawivu hato ingiya peponi dini inavyo sema isllam❤❤👍
Shukran Ktv tz online hakika hii ni FAHARI yetu
Ndio inavotakiwa kidini mwanamme ndio apeleke kila kitu nyumbani
iyo ndo mzr mwanaume aende sokoni mwnyewe
Sokoni Kuna manyaku nyaku Mke hapekekwi Sokoni kumpeleka Sokoni ni Sawa na kumuuza kwa bei ya Mnada.
Zama hizo kwa hapo soko la darajani mlango wa katikati baina soko la samaki na nyama WANAWAKE walikuwa hawakatizi wakizunguka pembezoni mwa soko, lakini huu ulimwengu wa utandawazi mwanamke atazurura sokoni kila kipembe akisafi yeye.
Uislam umekuja kumkomboa mwanamke kutokana na kila hali nisisi 2 wenyewe kujingiza kwenye mambo mengine hifadhi ndio ngao yake
Ni saw sana sis wanaume kwenda markti
Ni utamaduni ambao tulio urithi kwa waarabu lakini pia tunawajali wakezetu hatupendi kuwaaanika masokoni
hayo ni mapenzi wala haiiongikiani na masuala ya wivu. wanaume wa zenj ni wachumi. tumejaaa mahabba na mahabba sio km wenzetu kazi kutiana mapanga kuchomana moto na majisu
Dunia langi langele aso hili ana lile
Ni utamaduni wa Kiislamu kwa kweli. Lakini sio wivu au vibaya kufanya hivyo. Mbona wanawake wengi hivi sasa wanaenda wenyewe. Ila wapo wenye msimamo mkali wa Kiislamu hawatamruhusu mke kwenda sokoni.
Kiasili hasa mwanamke wa kizenji haonekani masokoni
Salam zangu message from USA 🇺🇸
KWA SABABU WENGI WANGELI FILISIKA MAANA, WANAWAKE HUREGEZA MACHO NA SAUTI ILI WAPEWE VITU BURE.
Mashallah raha kweli👍👍👍👍👍👍❤❤❤
Masha'allah wana wake awa umizi vichwa
Kama hana mume anaweza kwenda hajakatazwa
Ndio na ni kawaida na hata akiwa na mume hakatazwi itakua ni mapenzi yake tu wala hamna shida
@@shamsahaji6202 ndio
Sunnah mwanamme kwenda sokoni
Huyo si mzanzibar hajui hasa.
Mashaallah vizur
Rekebisha sio wanaume wengi watu wa bara hawako hivyo hiyo ni asili ya mzanzibar halisi
Wow mashaallah
Jamani hii nadhani ni mwalimu wa ziwani
Mwanamme ndo wa kwenda sokoni haswa kiilivyo yeye ndo mchumi
Kuna matumizi mengine yamwanamke, halafu wanaume wa Zanzibar wana wivu wakupita kiasi, halafu niwatu hatari kwa kuchepuka!!
Hiii wanaume wazanzibar wanachepuka kuliko wapara🙄🙄
Mtalam wa kujua zenji ikoje
😂
Zama hizo sisi tulipokuwa wadogo tukitumwa sokoni huwakuta akina mama wapo pembezoni mwa soko wakiwa wamejistiri vizuri hadi kujishushia vitabaa vya mabai bui usoni na hutwita na kutuagiza wanachohitaji na huwatumikia kwa uadilifu tu pasi na kuwakimbia au kuwakatalia.
Sauti ya mwalimu wa ziwani
Mwanamke ni nyumbani kazi za soko nizakiume Mimi kazi yangu kumwambia tu mahitaji yangu
Naenda akiwa hayupo lisilobudi nafsi ya ngu sikupendi
Sio kweli kama BARA wanaume hawaendi sokoni navojua nimila za pwani kote mm
Ngoja ikaribie sikukuu uone darajani kunavyofurika mabaibui na visuruali vya kubana, tuseme ni utamaduni tu
Mtangazaji ukitaka kujua mambo ya watu fulani basi waulize Wao tu Sio kuwachanganya na wengine utapata deffirent opinion
Zenji zenji nimekumiss wewe😟
Sokoni na sie tuende sometime
Wanawake ukiwapa pesa wanabania kwenda sokoni
Mwanamke mtu wakutunzwa
Mwanamke sio mtu wa masokon
Ni wivu wa mapenzi ama hakuna utamaduni sasa dunia sio ya sasa na pia wengine wanapata sababu ya kama anakimada na pia wanawake pia mwanamke kutembea nikufanya viungo visilegee utakuta mama kachoka kuhema sasa utakuwa mume unampa maradi na presha
No dini ndio imesema ivo mungu ndio amesema mwanamke stara
ww mwandishi kamilisha mahojiano yako kwa kuwahoji viongozi wetu wadini
Mtume saw ndie aliefundosha Kama unaona kakosea waeza fanya sahihi
Stara kwa mwanamke na inaepusha mambo mengi sana katika jamii fitna na hata misiba tushasikia kesi nyingi kwa jamii zengine hufikia kuuwa mpaka watoto wao sabubu ni wivu sasa bora kuepusha kabla kufikia huko
Mwanaume kwenda sokoni si sawa ni ubaili tu apo amna kingine
mimi mwaume ndio mtafutaji na mwamke ni mtayarishaji.
waname wa sokoni ni wahongaji sana na mwamke ukimwona anapenda kwenda sokoni anatafuta mambo mengine.
Sasa mbn face za wadda wa znz hamukutonyesha ama ndio wa bara hawana aib
Hahahah ata sijui
hata adabu, ndio maana ukaambiwa mwanamke sio mtu wa sokni, hao waliogeuka ndio angalau wana heshima zao, na hao ndio wenye kukuudhini.