CHEKECHE: Ni ipi hatma ya mgogoro wa Niger baada ya ushiriki wa Ufaransa, Urusi, Marekani na ECOWAS?
Vložit
- čas přidán 8. 08. 2023
- Jumatatu ya Agosti 7 itakuwa ni juma moja limetimia la kutakiwa kuondoka madarakani kwa waliofanya mapinduzi nchini Niger.
Ni sharti lililotolewa na wakuu wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Uchumi ya Afrika Magharibi ECOWAS, vinginevyo nguvu ya kijeshi itatumika dhidi ya waliompindua rais Mohamed Bazoum.
Lakini pamoja na jumuiya ya kimataifa kutishia kuiwekea vikwazo Niger ili kushinikiza utawala wa kiraia kurejeshwa madarakani, msimamo wa rais wa sasa Jenerali Abdourahmane Tchiani aliyefanya mapinduzi ni kwamba mambo yao ya ndani yasiingiliwe.
Ni hoja iliyoungwa mkono na majirani zake nchi za Burkina Faso na Mali waliosema wapo tayari kumuongezea mwezao nguvu kuwaadhibu watakaoivamia Niger.
Karibu katika Chekeche - Sport
Viongozi wa kiafrika waache kujari masilahi Yao tu wao na familia zao. Yote haya yanatokea kwa sababu rasilimali za nchi hazisaidii jamii za watu weusi. Watu hawana Maji, hawana vituo vya afya, Shule matatizo, umeme shida. Lakini unakuta viongozi wamejilimbikizia Mali mpaka mpaka basi. Hawatosheki...
Sasa hii ndiyo dawa Yao hawa viongoz wasiojaei wananchi wao.
hawa ecowas mimi nawaona kama ni mmbwa wa wazungu wanaosubiri amri
Nivibaraka bahazi yao
Mlango mpana unaotumiwa na wakoloni wetu ni demokrasia, demokrasia ndo inatumika kutunyonya rasilimali zetu,dunia imebadilika sn hasa baada ya mataifa mashariki yaan uchina na urusi kuwa nguvu. Kauli mbiu ya dunia ni win win kwa kila upande sio ubabe
Mpinga kristo huyo anakuja kutawala Dunia,dalili ni umoja wamakanisa,umeaza Kwa kuona wakiendesha ibaada pamoja hiyo diyo sanamu ya mnyama nifuatilie ujue zaid,nikupe mandiko,tusifubwe,
Kuna kitu kinaitwa world coin unapewa laki 3bure
Kila kitu ni sawa anaepaswa kupindua na apindue na anaepaswa kupinduliwa apinduliwe si mda wa kuabudu viongozi vibaraka wa kiafrika
Hongera sana balozi kwa kuongea ukweli
Huyo balozi hafai arudushwe kwann aegemee upande mmoja tu?nawao viongozi waangalie maslahi ya wananchi
Rais wa ufaranca milija imezibwa walijua hatutapata akili
Hiyo..dawa.ndio.inafaa.kwa.viongozi.wa.hovyo.kwa.hiyo.jeshi.ndio.suluhisho.
Mh!baloz benson uk vzr sn tn sn shukran.
Wanajeshi walinde viapo wao Marais wanao badilikatiba wao walinde nini mm naungamkono majesh kupinduwa nch hasa kuwapinduwa wanaobadili katiba
Mleteni dj sma hapa atoe vitu vyake
Kwel kabisa
NAomba kufahamishwa kipindi cha chekeche nilini na nisaa ngapi safisana azam tv
Enyi viumbe wa Mungu niliwaambia marekani na jamaa zake ni mashetani angalia matendo yao
Niko hapa dimitri Peskov
Hivi Sisi hawa tunafikilia na kutafakali vipi hao wafaransa wamefanya unyama wa aibu iliyopitiliza nchi ni maskini ya mwisho Africa hawana maji hawana umeme hata miundombinu Hoi nyumba zao hohehahe watu wamesambaa duniani kutafuta maisha mwanzo walikuwa wanategemea Libia sasa hakuna kitu na ufaransa haijali wafe Tu.
Kiukweli hiki kipidni nakipenda sana naomba kwanza muongeze muda na angalau kwa mwezi kiwe mara 3 mambo ni mengu duniani hususani Africa. Raymond hongera sana ndugu yangu 🙏🏿 kiongezwe muda hiki kipindi
ningependa hata jeshi letu lifanye kama ninger
😂😂😂jishikilie wew haiwekani hizi ninchi mbili tofauty
Wapinduliwe tu hawana maana wala msaada
Afrika Afrika Afrika Mungu Tusaidie.Wanajeshi Wamewachoka Na Baadhi Ya Viongozi Waliokosa Uzalendo Wa Kweli Kwa Mataifa Yao.Vuguvugu Hili Linaloendelea Huko Afrika Magharibi Liwaamshe Na Iwe Alam Kwa Viongozi Wengine Wa Afrika Waliokosa Uzalendo Wa Kweli Na Mataifa Yao Hususan Huko Afrika Magharibi
Kwani mbona nchi zingine kama Bokina Faso, Mali hao Wamerikani na Ufaransa hawakupiga kelele?
Kwani wao wakina nani bana kuwaogopa mpk lini na sio Mungu hao hili ndio kipindi cha kujionyesha kuwa ss Africa imejiamini wafanye wanavyotaka lkn tumechoka tunataka vizazi vyetu vijavyo waishi kwa amani na maisha ya juu au mazuri ndani ya Africa tuwatole ule mzigo mgongoni wa kuwa watumwa miaka yote hiyo Mungu hana choyo this is our time ... Mishahara ya waafrika maofisini ya zamani sana ndg zangu mpk lini hii hali wakati uingereza mdada tu anatumia dolaa 6000 ndani ya wiki moja wakati hiyo hela kwetu mpk unakufa mtu hashiki hiyo hela asilia kubwa ya watu tuacheni unafiki na hawa wazungu
❤Putin
Dr Bana ameongea ukweli. viongozi Africa hili linawahusu, Umaskini wetu mkubwa unachangiwa na hawa wa magharibi.
migogoro yote africa inasababishwa na uwepo wa wazungu,hawa watu ifike muda waondoke kivyovyote vile
inasababishwa na viongozi wetu wanaotusaliti
Walk alone what nice sumu teen by Khalid
Nijriya oyeeee Burkina Faso oyeeee africaine tuwemaco tujitowe wakoroni
Njoo kwetu enyi wenye uchungu na nchi zenu
Safi sana hili nilikuwa nalisubiria kwa hamu mulizungumzie
Vibaraka hawana nafasi tena Africa.
iyo nihaki wanajeshi kuingiria kati man wakiona ndugu zao wanapata shda wanaamua kutetea
Ninawapata ni kiwa marekani. Chekeche ninapenda kipindi chenu, ila ninawapata ikiwa imechelewa.
Sisi waafrica tunachukuliwa hatujitambui hivi unaweza nenda ufaransa uwafsnyie hayo watakuuwa hadi wakuchome hao ni majambazi wa wazi wazi lakini mambo yanafichwa fichwa
Acha uongo Benson,hata hao wanao dai kuwa,wanajeshi wafuate katiba,mbona na hao wanaochaguliwa wanaapa kulinda Mali na masilahi ya nchi na hawafanyi hivoo,badala yake wanakuwa wezi? Acha jeshi liwaoneshe,izalendo
Africa Kuna viongozi vibaraka.
Niseme kwamba ECOWAS itaenda kupgana na Wagner huo ni moto mwingne
Je ECOWAS kuruhusu majeshi ya Ufaransa wakati mataifa hayo aliyatawala sio kwamba tawala za mataifa hayo wapo Kama vibaraka na kwamba hata chaguzi walizigushi tu ili kuendeleza unyonyaji ktika uihuru bandia?
Bado wanamtambua mwizi wao anayewapelekea Uranium
Viongozi wakibadili katiba na kujiongezea muda madarakini na kushirikiana na imperialist kupora utajiri wa nchi AU na hizo jumuiya kama ECOWAS wanaona ni sawa.Raia na jeshi wakijiunga kutetea nchizao hizojumuiya zinaona si sawa.
Wacha waondoke kwanl nchl yao wafaransa tumechoka kunyonywa
Sasa huyo Benson,mbona simuelewi maana anajua kuwa wanazulumiwa ila bado anasema ety warudishe utawala wa kidemocrasia huoni kama na yeye ni kibaraka.Acha wanao jua uchungu wa wanaichi wao
Chapa risasi za kichwa raisi anae tetra maslahi ya mashoga, wazungu. Haswa Bora tinubu. Asituoiganishe Africa. A
Mbona ninyi wanasiasa hamuishi viapo vyenu
Sisi waafrika ni mwili tumenyoywa damu na wakati umefika kujikombwa ni sasa.
Jambo la Uchumi ni kila nchi ya Africa ni changamoto 😢😢
Wagner waongezwe
Benghazi balozi equally Louisville Hunter DLC why Africa 2 amu ke manyanyaso sana Toowoomba too funny for Africa youth
Nikweli inci zote za akoloni ya ufaransa ni vita kwenda burundi congo
Tatizo ni ss watu weusii atunamsimamo kabisaaa atupendani tuache unafiki
Hakuna jipya balozi mwenyewe kichwa maji
Mmarekani na mfaransa waondoke wamenyonya mno nchi hizo, waende kwao. OAU mko wapi? Hivi sisi waafrika tunaweza kudhubutu kwenda ULAYA tukawanyonya kama wanavyofanya wao? Tunatakiwa tudai fidia ya kutunyonya.
URUSI anapigania waafrika kutoka kwenye mikono ya mabeberu wezi wa magharibi na marekani wezi wakubwa , urusi ni mtu mwema Sana God bless Russia God bless president Putin 🇷🇺🇷🇺💪🇷🇺💪🇷🇺🇷🇺🇷🇺💪💪💪🇷🇺💪
Equus who made in Kenya Iran Wala pa Vick was so work osawa
Uyu balozi ndo wale wanaopelekeshwa na mabeberu na kulinda matumbo yao
Yani anaona wanajeshi walinde viapo ila awo Marais wizi walinde nn
Km ana cha kuongea bora anyamaze
Mchambuzi unaongea fact kabisa,wanajeshi hawajakurupuka kuchukua nchi,wanaona mambo hayaendi,wananchi wanazidi kuwa fukara mno,so viongozi wa Africa wajitazame sana,Kwa nn majeshi yanachukua mamlaka,lazima watu wabadilike,Kwa sababu utajiuliza hao ECOWAS wanakifungu Cha kumbana rais yeyote kwenye ukanda wao anayeendekeza ufusadi na anaeshindwa kuimalisha usalama???jibu ni hakuna,shida inaanzia hapo.
Huo mbalozi ya mtatanzia kaongea ukweli
Demoklasia ninjia inayotumia kuinyonya africa
Then tutaona wanapambana kumrejesha nani madarakani marehemu??????
Wafaransa ni matapeli
Yani nina tamani ata aya mapinduzi yatokee kwetu ata leo mbona wana jeshi wetu muna chelewa
😂😂😂tatizo kubwa afrca tumepewa uhuru feki
Afadhali Russia watch Roku Havana timer karma America France wangaratta Israel veeramani when a timer sana
Africa Russian Portia Africa who's on America France wangaratta veeramani Israeli Italy Poland knowing in El vampire sana
Wasenge kabisa 😂
Chekeche nimoja ya vipindi bora sana kwa sasa shida mnaadimika sana nakukifanya kipindi kusahaulika mambo yanatokea mengi sana nyinyi mpo kimya sana badilikeni angalau kila wiki
madaralaya hiyolRaisi asisababishe watu wafevitani haluahawamtki
Bolozi aegemei upande wowote
Nini maana ya ECOWAS? Ni Military organization?
Economic community of west Africa and southern
We mtagazaji nikibalaka wa nato
Kumbe nawew Umeliona ilo
Ndio
@@sanoureyaliwadoakaroyo1696 ajielewi
Na tamani itokee Tanzania
Kumsingi mm ni team Putin. Lakini mtangazaji ulipaswa kuweka bato yaan mtu wa upande wa ufalansa na upande wa urusi, ingekua poa sana.
Bombay mungu anisoara Africa Russia mungu anisoara a DUI America wangaratta France
Majenelari wa Africa wanapaswa kulinda Mali za nchi zao wasiwategeme
Viongiz wa kisiasa asilimia kubwa wanakuwa vibaraka Kwa mwamvuli wa democrats,,
Majenerali wenyew wanakula
Democrats ndio kimvuli kinachotumiwa na mabeberu kutuibia mali za african