CHEKECHE: Ni ipi hatma ya mgogoro wa Niger baada ya ushiriki wa Ufaransa, Urusi, Marekani na ECOWAS?

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 08. 2023
  • Jumatatu ya Agosti 7 itakuwa ni juma moja limetimia la kutakiwa kuondoka madarakani kwa waliofanya mapinduzi nchini Niger.
    Ni sharti lililotolewa na wakuu wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Uchumi ya Afrika Magharibi ECOWAS, vinginevyo nguvu ya kijeshi itatumika dhidi ya waliompindua rais Mohamed Bazoum.
    Lakini pamoja na jumuiya ya kimataifa kutishia kuiwekea vikwazo Niger ili kushinikiza utawala wa kiraia kurejeshwa madarakani, msimamo wa rais wa sasa Jenerali Abdourahmane Tchiani aliyefanya mapinduzi ni kwamba mambo yao ya ndani yasiingiliwe.
    Ni hoja iliyoungwa mkono na majirani zake nchi za Burkina Faso na Mali waliosema wapo tayari kumuongezea mwezao nguvu kuwaadhibu watakaoivamia Niger.
    Karibu katika Chekeche
  • Sport

Komentáře • 98

  • @jolitabukabengwe3070
    @jolitabukabengwe3070 Před 11 měsíci +6

    Viongozi wa kiafrika waache kujari masilahi Yao tu wao na familia zao. Yote haya yanatokea kwa sababu rasilimali za nchi hazisaidii jamii za watu weusi. Watu hawana Maji, hawana vituo vya afya, Shule matatizo, umeme shida. Lakini unakuta viongozi wamejilimbikizia Mali mpaka mpaka basi. Hawatosheki...
    Sasa hii ndiyo dawa Yao hawa viongoz wasiojaei wananchi wao.

  • @afropanorama4730
    @afropanorama4730 Před 11 měsíci +4

    hawa ecowas mimi nawaona kama ni mmbwa wa wazungu wanaosubiri amri

  • @abdalahngozi5455
    @abdalahngozi5455 Před 11 měsíci +6

    Mlango mpana unaotumiwa na wakoloni wetu ni demokrasia, demokrasia ndo inatumika kutunyonya rasilimali zetu,dunia imebadilika sn hasa baada ya mataifa mashariki yaan uchina na urusi kuwa nguvu. Kauli mbiu ya dunia ni win win kwa kila upande sio ubabe

  • @JamesIbrahim-el4zw
    @JamesIbrahim-el4zw Před 11 měsíci +5

    Mpinga kristo huyo anakuja kutawala Dunia,dalili ni umoja wamakanisa,umeaza Kwa kuona wakiendesha ibaada pamoja hiyo diyo sanamu ya mnyama nifuatilie ujue zaid,nikupe mandiko,tusifubwe,

  • @zanzibarspice8686
    @zanzibarspice8686 Před 11 měsíci +2

    Kila kitu ni sawa anaepaswa kupindua na apindue na anaepaswa kupinduliwa apinduliwe si mda wa kuabudu viongozi vibaraka wa kiafrika

  • @husseinally4932
    @husseinally4932 Před 11 měsíci +3

    Hongera sana balozi kwa kuongea ukweli

  • @user-ic5rn4kc7h
    @user-ic5rn4kc7h Před 11 měsíci +2

    Huyo balozi hafai arudushwe kwann aegemee upande mmoja tu?nawao viongozi waangalie maslahi ya wananchi

  • @msangodiesel3132
    @msangodiesel3132 Před 11 měsíci +4

    Rais wa ufaranca milija imezibwa walijua hatutapata akili

  • @sulaimanabdullah-qp8vs
    @sulaimanabdullah-qp8vs Před 11 měsíci +1

    Hiyo..dawa.ndio.inafaa.kwa.viongozi.wa.hovyo.kwa.hiyo.jeshi.ndio.suluhisho.

  • @mohdchuma78
    @mohdchuma78 Před 11 měsíci

    Mh!baloz benson uk vzr sn tn sn shukran.

  • @alijuma8009
    @alijuma8009 Před 11 měsíci +2

    Wanajeshi walinde viapo wao Marais wanao badilikatiba wao walinde nini mm naungamkono majesh kupinduwa nch hasa kuwapinduwa wanaobadili katiba

  • @mohamedally121
    @mohamedally121 Před 11 měsíci +2

    Mleteni dj sma hapa atoe vitu vyake

  • @musarashid-xw1qm
    @musarashid-xw1qm Před 11 měsíci +1

    NAomba kufahamishwa kipindi cha chekeche nilini na nisaa ngapi safisana azam tv

  • @saulmwalubunju1076
    @saulmwalubunju1076 Před 11 měsíci +2

    Enyi viumbe wa Mungu niliwaambia marekani na jamaa zake ni mashetani angalia matendo yao

  • @Fardadihd
    @Fardadihd Před 11 měsíci +1

    Niko hapa dimitri Peskov

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw Před 11 měsíci +2

    Hivi Sisi hawa tunafikilia na kutafakali vipi hao wafaransa wamefanya unyama wa aibu iliyopitiliza nchi ni maskini ya mwisho Africa hawana maji hawana umeme hata miundombinu Hoi nyumba zao hohehahe watu wamesambaa duniani kutafuta maisha mwanzo walikuwa wanategemea Libia sasa hakuna kitu na ufaransa haijali wafe Tu.

  • @TheAbdallaissa
    @TheAbdallaissa Před 11 měsíci

    Kiukweli hiki kipidni nakipenda sana naomba kwanza muongeze muda na angalau kwa mwezi kiwe mara 3 mambo ni mengu duniani hususani Africa. Raymond hongera sana ndugu yangu 🙏🏿 kiongezwe muda hiki kipindi

  • @user-hu2vo1jm8o
    @user-hu2vo1jm8o Před 11 měsíci +3

    ningependa hata jeshi letu lifanye kama ninger

    • @chingaboy1149
      @chingaboy1149 Před 11 měsíci

      😂😂😂jishikilie wew haiwekani hizi ninchi mbili tofauty

  • @SM-fu1yv
    @SM-fu1yv Před 11 měsíci +2

    Wapinduliwe tu hawana maana wala msaada

  • @georgewinford2809
    @georgewinford2809 Před 11 měsíci

    Afrika Afrika Afrika Mungu Tusaidie.Wanajeshi Wamewachoka Na Baadhi Ya Viongozi Waliokosa Uzalendo Wa Kweli Kwa Mataifa Yao.Vuguvugu Hili Linaloendelea Huko Afrika Magharibi Liwaamshe Na Iwe Alam Kwa Viongozi Wengine Wa Afrika Waliokosa Uzalendo Wa Kweli Na Mataifa Yao Hususan Huko Afrika Magharibi

  • @fredrickkagwa8853
    @fredrickkagwa8853 Před 11 měsíci +1

    Kwani mbona nchi zingine kama Bokina Faso, Mali hao Wamerikani na Ufaransa hawakupiga kelele?

  • @hansmsangi9828
    @hansmsangi9828 Před 11 měsíci

    Kwani wao wakina nani bana kuwaogopa mpk lini na sio Mungu hao hili ndio kipindi cha kujionyesha kuwa ss Africa imejiamini wafanye wanavyotaka lkn tumechoka tunataka vizazi vyetu vijavyo waishi kwa amani na maisha ya juu au mazuri ndani ya Africa tuwatole ule mzigo mgongoni wa kuwa watumwa miaka yote hiyo Mungu hana choyo this is our time ... Mishahara ya waafrika maofisini ya zamani sana ndg zangu mpk lini hii hali wakati uingereza mdada tu anatumia dolaa 6000 ndani ya wiki moja wakati hiyo hela kwetu mpk unakufa mtu hashiki hiyo hela asilia kubwa ya watu tuacheni unafiki na hawa wazungu

  • @msangodiesel3132
    @msangodiesel3132 Před 11 měsíci +2

    ❤Putin

  • @mirajimaganga6138
    @mirajimaganga6138 Před 11 měsíci

    Dr Bana ameongea ukweli. viongozi Africa hili linawahusu, Umaskini wetu mkubwa unachangiwa na hawa wa magharibi.

  • @afropanorama4730
    @afropanorama4730 Před 11 měsíci +1

    migogoro yote africa inasababishwa na uwepo wa wazungu,hawa watu ifike muda waondoke kivyovyote vile

  • @user-of8cm6qo2e
    @user-of8cm6qo2e Před 11 měsíci

    Walk alone what nice sumu teen by Khalid

  • @user-mq5qb5jg8w
    @user-mq5qb5jg8w Před 11 měsíci

    Nijriya oyeeee Burkina Faso oyeeee africaine tuwemaco tujitowe wakoroni

  • @saulmwalubunju1076
    @saulmwalubunju1076 Před 11 měsíci +2

    Njoo kwetu enyi wenye uchungu na nchi zenu

  • @salehkhamis-ob8ln
    @salehkhamis-ob8ln Před 11 měsíci

    Safi sana hili nilikuwa nalisubiria kwa hamu mulizungumzie

  • @timothymoshi5800
    @timothymoshi5800 Před 11 měsíci

    Vibaraka hawana nafasi tena Africa.

  • @mundalikope581
    @mundalikope581 Před 11 měsíci

    iyo nihaki wanajeshi kuingiria kati man wakiona ndugu zao wanapata shda wanaamua kutetea

  • @fidelfidel4818
    @fidelfidel4818 Před 11 měsíci +1

    Ninawapata ni kiwa marekani. Chekeche ninapenda kipindi chenu, ila ninawapata ikiwa imechelewa.

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw Před 11 měsíci

    Sisi waafrica tunachukuliwa hatujitambui hivi unaweza nenda ufaransa uwafsnyie hayo watakuuwa hadi wakuchome hao ni majambazi wa wazi wazi lakini mambo yanafichwa fichwa

  • @antonyibrahim5949
    @antonyibrahim5949 Před 11 měsíci

    Acha uongo Benson,hata hao wanao dai kuwa,wanajeshi wafuate katiba,mbona na hao wanaochaguliwa wanaapa kulinda Mali na masilahi ya nchi na hawafanyi hivoo,badala yake wanakuwa wezi? Acha jeshi liwaoneshe,izalendo

  • @seiflugendo7141
    @seiflugendo7141 Před 11 měsíci

    Africa Kuna viongozi vibaraka.

  • @user-zw9cv4sm9c
    @user-zw9cv4sm9c Před 11 měsíci +1

    Niseme kwamba ECOWAS itaenda kupgana na Wagner huo ni moto mwingne

  • @JohnKuwoko-su3ip
    @JohnKuwoko-su3ip Před 11 měsíci

    Je ECOWAS kuruhusu majeshi ya Ufaransa wakati mataifa hayo aliyatawala sio kwamba tawala za mataifa hayo wapo Kama vibaraka na kwamba hata chaguzi walizigushi tu ili kuendeleza unyonyaji ktika uihuru bandia?

  • @barakagisbethkomba2851
    @barakagisbethkomba2851 Před 11 měsíci +1

    Bado wanamtambua mwizi wao anayewapelekea Uranium

  • @rindenimwanga6355
    @rindenimwanga6355 Před 11 měsíci

    Viongozi wakibadili katiba na kujiongezea muda madarakini na kushirikiana na imperialist kupora utajiri wa nchi AU na hizo jumuiya kama ECOWAS wanaona ni sawa.Raia na jeshi wakijiunga kutetea nchizao hizojumuiya zinaona si sawa.

  • @alibakarali
    @alibakarali Před 11 měsíci

    Wacha waondoke kwanl nchl yao wafaransa tumechoka kunyonywa

  • @antonyibrahim5949
    @antonyibrahim5949 Před 11 měsíci

    Sasa huyo Benson,mbona simuelewi maana anajua kuwa wanazulumiwa ila bado anasema ety warudishe utawala wa kidemocrasia huoni kama na yeye ni kibaraka.Acha wanao jua uchungu wa wanaichi wao

  • @Africaamkenitznawenuso
    @Africaamkenitznawenuso Před 11 měsíci

    Chapa risasi za kichwa raisi anae tetra maslahi ya mashoga, wazungu. Haswa Bora tinubu. Asituoiganishe Africa. A

  • @emanuelpiniel5277
    @emanuelpiniel5277 Před 11 měsíci

    Mbona ninyi wanasiasa hamuishi viapo vyenu

  • @MohamedAhmed-il2bx
    @MohamedAhmed-il2bx Před 11 měsíci +1

    Sisi waafrika ni mwili tumenyoywa damu na wakati umefika kujikombwa ni sasa.

  • @maulidi8479
    @maulidi8479 Před 11 měsíci

    Jambo la Uchumi ni kila nchi ya Africa ni changamoto 😢😢

  • @ramygichero1016
    @ramygichero1016 Před 11 měsíci

    Wagner waongezwe

  • @user-of8cm6qo2e
    @user-of8cm6qo2e Před 11 měsíci

    Benghazi balozi equally Louisville Hunter DLC why Africa 2 amu ke manyanyaso sana Toowoomba too funny for Africa youth

  • @hamzafishten9560
    @hamzafishten9560 Před 11 měsíci

    Nikweli inci zote za akoloni ya ufaransa ni vita kwenda burundi congo

  • @emanuelmaraki9758
    @emanuelmaraki9758 Před 11 měsíci

    Tatizo ni ss watu weusii atunamsimamo kabisaaa atupendani tuache unafiki

  • @mayombomajenga9778
    @mayombomajenga9778 Před 11 měsíci +3

    Hakuna jipya balozi mwenyewe kichwa maji

  • @jumamayonga8914
    @jumamayonga8914 Před 11 měsíci

    Mmarekani na mfaransa waondoke wamenyonya mno nchi hizo, waende kwao. OAU mko wapi? Hivi sisi waafrika tunaweza kudhubutu kwenda ULAYA tukawanyonya kama wanavyofanya wao? Tunatakiwa tudai fidia ya kutunyonya.

  • @jumabuckary7698
    @jumabuckary7698 Před 11 měsíci

    URUSI anapigania waafrika kutoka kwenye mikono ya mabeberu wezi wa magharibi na marekani wezi wakubwa , urusi ni mtu mwema Sana God bless Russia God bless president Putin 🇷🇺🇷🇺💪🇷🇺💪🇷🇺🇷🇺🇷🇺💪💪💪🇷🇺💪

  • @user-of8cm6qo2e
    @user-of8cm6qo2e Před 11 měsíci

    Equus who made in Kenya Iran Wala pa Vick was so work osawa

  • @yasirhamduni5334
    @yasirhamduni5334 Před 11 měsíci

    Uyu balozi ndo wale wanaopelekeshwa na mabeberu na kulinda matumbo yao
    Yani anaona wanajeshi walinde viapo ila awo Marais wizi walinde nn
    Km ana cha kuongea bora anyamaze

  • @sapikiwanga6154
    @sapikiwanga6154 Před 11 měsíci

    Mchambuzi unaongea fact kabisa,wanajeshi hawajakurupuka kuchukua nchi,wanaona mambo hayaendi,wananchi wanazidi kuwa fukara mno,so viongozi wa Africa wajitazame sana,Kwa nn majeshi yanachukua mamlaka,lazima watu wabadilike,Kwa sababu utajiuliza hao ECOWAS wanakifungu Cha kumbana rais yeyote kwenye ukanda wao anayeendekeza ufusadi na anaeshindwa kuimalisha usalama???jibu ni hakuna,shida inaanzia hapo.

  • @hamzafishten9560
    @hamzafishten9560 Před 11 měsíci

    Huo mbalozi ya mtatanzia kaongea ukweli

  • @hamisramadhan-eb3ie
    @hamisramadhan-eb3ie Před 11 měsíci

    Demoklasia ninjia inayotumia kuinyonya africa

  • @evaristmbuya6220
    @evaristmbuya6220 Před 11 měsíci

    Then tutaona wanapambana kumrejesha nani madarakani marehemu??????

  • @evaristmbuya6220
    @evaristmbuya6220 Před 11 měsíci

    Wafaransa ni matapeli

  • @PaulinaSinyanya
    @PaulinaSinyanya Před 11 měsíci

    Yani nina tamani ata aya mapinduzi yatokee kwetu ata leo mbona wana jeshi wetu muna chelewa

    • @chingaboy1149
      @chingaboy1149 Před 11 měsíci

      😂😂😂tatizo kubwa afrca tumepewa uhuru feki

  • @user-of8cm6qo2e
    @user-of8cm6qo2e Před 11 měsíci

    Afadhali Russia watch Roku Havana timer karma America France wangaratta Israel veeramani when a timer sana

  • @user-of8cm6qo2e
    @user-of8cm6qo2e Před 11 měsíci

    Africa Russian Portia Africa who's on America France wangaratta veeramani Israeli Italy Poland knowing in El vampire sana

  • @hamisramadhan-eb3ie
    @hamisramadhan-eb3ie Před 11 měsíci

    Wasenge kabisa 😂

  • @erickmgaya3914
    @erickmgaya3914 Před 11 měsíci +1

    Chekeche nimoja ya vipindi bora sana kwa sasa shida mnaadimika sana nakukifanya kipindi kusahaulika mambo yanatokea mengi sana nyinyi mpo kimya sana badilikeni angalau kila wiki

  • @Hagai-oh4ti
    @Hagai-oh4ti Před 11 měsíci

    madaralaya hiyolRaisi asisababishe watu wafevitani haluahawamtki

  • @shirimabenedict5431
    @shirimabenedict5431 Před 11 měsíci

    Bolozi aegemei upande wowote

  • @evaristmbuya6220
    @evaristmbuya6220 Před 11 měsíci

    Nini maana ya ECOWAS? Ni Military organization?

  • @AbuuKajembe-bb3zo
    @AbuuKajembe-bb3zo Před 11 měsíci +2

    We mtagazaji nikibalaka wa nato

  • @ramygichero1016
    @ramygichero1016 Před 11 měsíci

    Na tamani itokee Tanzania

  • @limmusic9375
    @limmusic9375 Před 11 měsíci

    Kumsingi mm ni team Putin. Lakini mtangazaji ulipaswa kuweka bato yaan mtu wa upande wa ufalansa na upande wa urusi, ingekua poa sana.

  • @user-of8cm6qo2e
    @user-of8cm6qo2e Před 11 měsíci

    Bombay mungu anisoara Africa Russia mungu anisoara a DUI America wangaratta France

  • @deusisindwa616
    @deusisindwa616 Před 11 měsíci +2

    Majenelari wa Africa wanapaswa kulinda Mali za nchi zao wasiwategeme
    Viongiz wa kisiasa asilimia kubwa wanakuwa vibaraka Kwa mwamvuli wa democrats,,

  • @davidpeter8099
    @davidpeter8099 Před 11 měsíci +1

    Democrats ndio kimvuli kinachotumiwa na mabeberu kutuibia mali za african