🔴
Vložit
- čas přidán 29. 07. 2020
- 🔴#LIVE: MAGUFULI AKERWA, AAGIZA WATU WAKAJISAIDIE NYUMBANI kwa DC na MKURUGENZI...
RAIS Dkt John Magufuli, ameanza safari ya kurudi Dar akitokea mkoani Mtwara alipokwenda kumzika Hayati Mkapa...
Akiwa njiani amesimama katika maeneo mbalimbali na kuzungumza na wananchi na kusikiliza kero zao...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
Huyo ndo Magufuli bwana, hongera sana Jembe letu tunakupenda san
Ubarikiwe baba MHESHIMIWA RAIS wetu mpendwa
Khaa. Uvundo unawasubiri mliosahau kujenga vyoo.!.
Hapo kazi tu!.
Like jaman aliyesikia choo oyee
Haa haa haa. Hii kali. Agizo la Rais ni KATIBA. Nendeni kwa DC na DED mkajisaidie haja zenu ndogo na kubwa!!
Huyo ndo jpm
Nasikitika mno, watendaji wanamuumiza mno rais
Hahahahahauah sina mengi kwa kweli
Unajua kinacho tusumbua watz nimazoea.
Hii inaitwa adakadabla..
Mhe rais nakukubali sana
Kiukweli watendaji tunamuaibisha rais tubadilike
Nakupenda magufuli
Hahahahaaaa mbavu zangu miye sijutii kukuchagua Mzee
Viongozi hawawajibiki
Kiukweli wanakuchosha Baba mimi ningekuwa karibu ningeanza kwenda chooni kwa DC na mkurugenzi.
Wewe ni shida🤣🤣🤣🤣🤣
Haha watendaji wanazingua sana
Daaa mnaitwaa choo mnaitikiaa duuu
Kama nawaona wahuni wanavyokwenda kujaza choo kwa wiki moja
Bravo bravo, 5 more years for Jpm, anaibua mambo kibao natamani tungekua na Magufuli Wengine watano tu. Nchi ingenyooka, maana huyu mmoja bado wajanja wanamzungusha zungusha ijapokua wanabainika lakini inachukua muda!
Mtaenda kwa DC kujisaidia
Rais jpm sawa sawa Kenya nayo 2 wapi jameni rais yetu bwana Kenyatta Fanya mambo
Tutakumic cna baba yetu. Mungu akuweke mahali pema peponi
Watendaji wengi wanamuangusha raisi,hivi unakusanya bil moja na point unashindwa kubagua hata ya choo!!!?
Choo oyeeee 😂😂😂
Hahahaaaa
Watu kama hawa wanampa Raisi kazi kubwa ya kutatua kero,watumbuliwe hi ni awamu ya hapa kazi tu
Kunya bure kibiti kuoga bureeee
BASI WANATENGEZEWA CHOO NA BAADA MIAKA MITANO KUONANA TENA. WATANZANIA WAJINGA KWELI
Usiseme Watanzania ni wajinga wewe dio mjinga kwani kazi ya Raisi ni kutengezea Watu choo? Wewe vipi? Hizo kazi ina wenyewe Kama mkurungenzi na diwani ila wanampa Raisi kazi kubwa ya kutatua kero zao
Mmm Magufuli meu Presidente favorito.
Kaka Jose... nakuona tangu Ethiopia.
Eeee mzee wangu na mimi niko nakuona.
Hahahahaha
Piga kazi baba tz isonge mbele
My Good president is JPM
Duh Mh Rais kweli wewe una mapenzi na wananchi lkn hawa wa kurugenzi na Dc wanashindwa kutatua kero ya choo mpk upite wewe ni tatizo kweli
YAANI KULAUMIANA TU ILA HAMNA LOLOTE UPUUZI TU
Kwenda zako kulaumiana Nini alafu hamna kitu Nini wewe ukimuona Rais wetu unachukia kwanini sindio kweli wamefanya makosa Sasa kwanini asiwalaumu Huna Chakusema kaa kimya
@@jenyyusuph4973 mimi namjali kuliko wewe. Sipendi afanye jambo akiistaafu ajute. Nyie kila kitu kushabikia tu ujue NAE ni binaadamu anakosea pia. Mtu hawi Mungu
@@jenyyusuph4973 kweli kabisa au amfute akamwambie .
🤣🤣🤣🤣🤣