🔴

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 29. 07. 2020
  • 🔴#LIVE: MAGUFULI AKERWA, AAGIZA WATU WAKAJISAIDIE NYUMBANI kwa DC na MKURUGENZI...
    RAIS Dkt John Magufuli, ameanza safari ya kurudi Dar akitokea mkoani Mtwara alipokwenda kumzika Hayati Mkapa...
    Akiwa njiani amesimama katika maeneo mbalimbali na kuzungumza na wananchi na kusikiliza kero zao...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
    ⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Komentáře • 43

  • @sophialaurent2876
    @sophialaurent2876 Před 4 lety +5

    Huyo ndo Magufuli bwana, hongera sana Jembe letu tunakupenda san

  • @berthamakortha8387
    @berthamakortha8387 Před 4 lety +1

    Ubarikiwe baba MHESHIMIWA RAIS wetu mpendwa

  • @Mamatonny2065
    @Mamatonny2065 Před 4 lety

    Khaa. Uvundo unawasubiri mliosahau kujenga vyoo.!.
    Hapo kazi tu!.

  • @bahatisanga8664
    @bahatisanga8664 Před 4 lety +1

    Like jaman aliyesikia choo oyee

  • @robathzingu1650
    @robathzingu1650 Před 4 lety +1

    Haa haa haa. Hii kali. Agizo la Rais ni KATIBA. Nendeni kwa DC na DED mkajisaidie haja zenu ndogo na kubwa!!

  • @godfreybigeyo9105
    @godfreybigeyo9105 Před 4 lety +1

    Huyo ndo jpm

  • @franciscowilliam2575
    @franciscowilliam2575 Před 4 lety +1

    Nasikitika mno, watendaji wanamuumiza mno rais

  • @jamesmgimba7403
    @jamesmgimba7403 Před 4 lety +1

    Hahahahahauah sina mengi kwa kweli

  • @isakabaragomwa296
    @isakabaragomwa296 Před 4 lety +1

    Unajua kinacho tusumbua watz nimazoea.

  • @allyhassan2960
    @allyhassan2960 Před 4 lety +1

    Hii inaitwa adakadabla..

  • @ashritaabdallah6474
    @ashritaabdallah6474 Před 4 lety +1

    Mhe rais nakukubali sana

  • @martinelia1810
    @martinelia1810 Před 4 lety +1

    Kiukweli watendaji tunamuaibisha rais tubadilike

  • @robertterry8909
    @robertterry8909 Před 4 lety +1

    Nakupenda magufuli

  • @faithhumble3780
    @faithhumble3780 Před 4 lety +1

    Hahahahaaaa mbavu zangu miye sijutii kukuchagua Mzee

  • @tajaelimaxona9393
    @tajaelimaxona9393 Před 4 lety +1

    Viongozi hawawajibiki

  • @neemamturi3273
    @neemamturi3273 Před 4 lety +1

    Kiukweli wanakuchosha Baba mimi ningekuwa karibu ningeanza kwenda chooni kwa DC na mkurugenzi.

  • @magufulificationofafrica7096

    Haha watendaji wanazingua sana

  • @jumalubola7739
    @jumalubola7739 Před 4 lety

    Daaa mnaitwaa choo mnaitikiaa duuu

  • @chandrasrilanka5785
    @chandrasrilanka5785 Před 4 lety

    Kama nawaona wahuni wanavyokwenda kujaza choo kwa wiki moja

  • @franciscowilliam2575
    @franciscowilliam2575 Před 4 lety

    Bravo bravo, 5 more years for Jpm, anaibua mambo kibao natamani tungekua na Magufuli Wengine watano tu. Nchi ingenyooka, maana huyu mmoja bado wajanja wanamzungusha zungusha ijapokua wanabainika lakini inachukua muda!

  • @gullaalex6590
    @gullaalex6590 Před 4 lety +1

    Mtaenda kwa DC kujisaidia

    • @omoshomosh4098
      @omoshomosh4098 Před 4 lety

      Rais jpm sawa sawa Kenya nayo 2 wapi jameni rais yetu bwana Kenyatta Fanya mambo

    • @priscalaswai7050
      @priscalaswai7050 Před 3 lety

      Tutakumic cna baba yetu. Mungu akuweke mahali pema peponi

  • @alfredlupogo3835
    @alfredlupogo3835 Před 4 lety

    Watendaji wengi wanamuangusha raisi,hivi unakusanya bil moja na point unashindwa kubagua hata ya choo!!!?

  • @asiajuma8342
    @asiajuma8342 Před 4 lety

    Choo oyeeee 😂😂😂

  • @khadeejaabdullah7083
    @khadeejaabdullah7083 Před 4 lety +1

    Hahahaaaa

  • @jarsaduba2626
    @jarsaduba2626 Před 4 lety

    Watu kama hawa wanampa Raisi kazi kubwa ya kutatua kero,watumbuliwe hi ni awamu ya hapa kazi tu

  • @kaidrisa2711
    @kaidrisa2711 Před 4 lety

    Kunya bure kibiti kuoga bureeee

  • @hilalhilal8400
    @hilalhilal8400 Před 4 lety

    BASI WANATENGEZEWA CHOO NA BAADA MIAKA MITANO KUONANA TENA. WATANZANIA WAJINGA KWELI

    • @jarsaduba2626
      @jarsaduba2626 Před 4 lety

      Usiseme Watanzania ni wajinga wewe dio mjinga kwani kazi ya Raisi ni kutengezea Watu choo? Wewe vipi? Hizo kazi ina wenyewe Kama mkurungenzi na diwani ila wanampa Raisi kazi kubwa ya kutatua kero zao

  • @josetabua3634
    @josetabua3634 Před 4 lety

    Mmm Magufuli meu Presidente favorito.

    • @hervelove1
      @hervelove1 Před 4 lety +1

      Kaka Jose... nakuona tangu Ethiopia.

    • @josetabua3634
      @josetabua3634 Před 4 lety

      Eeee mzee wangu na mimi niko nakuona.

  • @ashritaabdallah6474
    @ashritaabdallah6474 Před 4 lety

    Hahahahaha

  • @titosanga5447
    @titosanga5447 Před 4 lety

    Piga kazi baba tz isonge mbele

    • @albartkisusi6013
      @albartkisusi6013 Před 4 lety

      My Good president is JPM

    • @jumaaiddy6933
      @jumaaiddy6933 Před 4 lety

      Duh Mh Rais kweli wewe una mapenzi na wananchi lkn hawa wa kurugenzi na Dc wanashindwa kutatua kero ya choo mpk upite wewe ni tatizo kweli

  • @hilalhilal8400
    @hilalhilal8400 Před 4 lety

    YAANI KULAUMIANA TU ILA HAMNA LOLOTE UPUUZI TU

    • @jenyyusuph4973
      @jenyyusuph4973 Před 4 lety +1

      Kwenda zako kulaumiana Nini alafu hamna kitu Nini wewe ukimuona Rais wetu unachukia kwanini sindio kweli wamefanya makosa Sasa kwanini asiwalaumu Huna Chakusema kaa kimya

    • @hilalhilal8400
      @hilalhilal8400 Před 4 lety

      @@jenyyusuph4973 mimi namjali kuliko wewe. Sipendi afanye jambo akiistaafu ajute. Nyie kila kitu kushabikia tu ujue NAE ni binaadamu anakosea pia. Mtu hawi Mungu

    • @neemamturi3273
      @neemamturi3273 Před 4 lety

      @@jenyyusuph4973 kweli kabisa au amfute akamwambie .

  • @gullaalex6590
    @gullaalex6590 Před 4 lety +1

    🤣🤣🤣🤣🤣