Mungu naomba upokee baraka zangu fungua milango yangu fungua kazi zangu nifungue mwili wangu fungua kila kitu katika maisha yangu nikafanikiwe na kutukuza jina la bwana Yesu christu naomba unikomboe na unikinge na madui waovu mungu niponye amen🙏
Kuambatana na yesu kuna faida,kumtegemea kristo yesu kunalipa.ukimtumikia kristo yesu yeye naye huyatumikia yetu.ukitoa unapata.maombi yanayoambatana na sadaka yana nguvuu.hakika yesu wa ngomeni ni kiboko.yesu aliye ndani ya kuhani mussa ni amina,hakika na kweli.kristo yesu akupe kuishi kwingi balove.
Amina amina kuhani wa Kristo Yesu aendelee kukutunza na kukubariki zaidi hata Mimi nakumbuka ukarimu wako ulitutia moyo sana Mimi na mume wangu Ezekiel, Mimi ni kuhani Lucy Ezekiel.
Mtumishi wa MUNGU ubarikiwe, samahani naomba kamati ya huduma iangalie hilo neno Amen au Amina linatumika vibaya au ni uelewa wangu. Kila kitu ameeen. hapana jamani tunashindwa kuwa makini.
Pole Sana dady hawakuijuwa kesho yako laiti wangaliijuwa wasingekufanyia ubaya.mageuzi ya yesu hayalinganishwi waliokutazama kwa macho ya nyama ya kalibu yesu alikutazama kwa macho ya rohoni ya mbali Sana kitaifa,kimataifa na dunia nzima utasikika na kwenda mbali sana.goliati,farao nebukadreza walikupiga Vita wakafeli.wakomae siku zinakuja hautawaona tenaaa
ASANTE KUHANI NA MWALIMU MUSA . KWA KUWA MKWELI KUTOKA ROHONI. MUNGU AKUBARIKI SANAA. NA AKUONGEZEE MOYO WA HURUMA NA UPENDO KWA BINAADAMU WENGINE. YESU ASANTE KWA KUTULETEA MTUMISHI WAKO MUSA ILI KUTUTUNZA KIROHO. UBARIKIWE YESU. UNYANYULIWE NA KUABUDIWA.
Ameeeen yesu akamubaliki Lichard ,mwacha
Agapewa gali
!¡Ameeeen yesu balaka iendeleya. 🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️
Mungu naomba upokee baraka zangu fungua milango yangu fungua kazi zangu nifungue mwili wangu fungua kila kitu katika maisha yangu nikafanikiwe na kutukuza jina la bwana Yesu christu naomba unikomboe na unikinge na madui waovu mungu niponye amen🙏
Yesuuuu nirejeshee kibali x7 namimi Leo
Nataka nipate pesa nyingi yesu wa ngomeni niponye matatizo sugu yote yanayonitesa
Mimi kweli siku kidogo nitakuwa hapo kwenye source ngomeni Yesukristu unilinde njiani ❤
Yesu mtunze baba yangu wa kiroho milele Kuhani na mwalimu Musa Richard Mwacha kaza buti mpaka mikele🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Amen
Kadiri siku zako zinavyoongezeka ndivyo nguvu zako ziongezeke,na uwe kijana zaidi,Ubarikiwe Sana Mtumishi wa Mungu
Ameeen barikiwa sana
Madhabahu yako yameniokoa baba naitaji barak zako daima
Mungu naomba Upokee Baraka zng, kupitia Mtumishi wk Kuhani Musa
Nabarikiwa kuhani, Yesu anipe hatua zaidi.
Mungu aendelee kukubaliki na kukupa maisha marefu uendeelee Kiwahudumia watu na kuwasaidia uendelee na kipawaa alichokupatiia mwenyezi mungu
Namshukuru mungu kufka ngomeni... Nashukuru yote kwako Yesu mwema
Yesu nimukubwa
Tena niukweli
Nachukuru
Mungu
Nimwema 😊
Ameeeeeeeeeeeena.
Kuhani naomba umuombee mdgo angu anaitwa sirivano apate kazi amesoma xna lakin kazi hapati👏👏
Kuambatana na yesu kuna faida,kumtegemea kristo yesu kunalipa.ukimtumikia kristo yesu yeye naye huyatumikia yetu.ukitoa unapata.maombi yanayoambatana na sadaka yana nguvuu.hakika yesu wa ngomeni ni kiboko.yesu aliye ndani ya kuhani mussa ni amina,hakika na kweli.kristo yesu akupe kuishi kwingi balove.
🎉 youpi Mungu hibou la maisha yangu
Mungu akubariki
Mungu alikuita baba uwa okowe watu na dhambi na kutoka vifungoni yesu atukuzwe
Amina amina kuhani wa Kristo Yesu aendelee kukutunza na kukubariki zaidi hata Mimi nakumbuka ukarimu wako ulitutia moyo sana Mimi na mume wangu Ezekiel, Mimi ni kuhani Lucy Ezekiel.
Niombee na mimi niweze kufanikiwa mungu utujalie afya njema
Nashukur baba umeniponya na umenip wepec ktk maisha yangu
I like this testimony, very touching.
kuhani Musa naomba uniombee kuhusu maisha yangu nimeona miujuza ya kutosha ngomeni
Baba nimependaa history yako ❤❤❤❤❤❤❤❤Amiiiiiiinaaaaaaaaa
love you pastor Mungu akupe maisha marefu
Heb heshimu cheo basi, ni kuhani na mwalimu musa Richard mwacha, nabii, mtume heb ACHA kutupwa cheo Cha chini
Mungu kumbuka familia yangu
Mungu akubarik sana mtumishi
AMINAAA SANAAAAAAAA. MUNGU AKUPE DALLOR ZAIDI KWA JINA LA YESUU.
Ni kweli hata kujinyonyesha ulijingonyesha mwenyewe undelea kuwadanganya wa Mungu
Wapinga kristo hamu kosekani
Yesu ataniogesha Na Mimi hakika kama Ulivyoogeshwa
I connect this annointing in Jesus name of Nazareth Amen 🙏
Amen alietaka kunihuwa hiyo mauti iyo mauti iwe juhu milele
Ubarikiwe sana mchungaji mussa
Baba naomba maombi yako ili yesu aweze kuniiua nipate Kazi nzuri Baba
Baba Asante MUNGU akulinde sana Tena sana
Yesu. Nimukubwa. Ameeen
Wengine wame fanya watu kuwamungu kwao, amen amen umekusa moyowangu ubarikiwe Sana
Ameee God bless you pastor musa
Mtumishi wa MUNGU ubarikiwe, samahani naomba kamati ya huduma iangalie hilo neno Amen au Amina linatumika vibaya au ni uelewa wangu. Kila kitu ameeen. hapana jamani tunashindwa kuwa makini.
Kuhani Musa, ninaomba uwakomboe wanangu ...Mungu akuinue duniani kote ukawaponye wote watesekao...Ameen
Mungu kupitia kinywa cha kuhani uliemtuma kilamchawi aliegusa maisha yangu yamume wangu watoto wangu afee
Baba maombi yako yamenisaidiy wachawi wanao nifatiriy wengine wamepararaiz nashukur madhabau yangome yakuani musa
Mungu azidi tuh kukutumia na ufike mbali kimaono🤲
Asante.BABA.yangu..wa KIROHO.kwamafundisho.bora.sana..mungu.akubariki.sana..najuta.nimechelewa.wapi.kukufahamu..nashukuru.mungu.kwakunifikisha.hapa.ngomeni.jamani.mungu.katupa.RAISI..waduniani.ni.huyu.MUSA
Daaaaa pole sana mungu kakufunulia njia zake
Kabisa
Baba.
Musa Lichard
Mwacha
Ngomeni Mungu amemleta Mtumishi wake kweli kweli
Ninajivunia sana kufika Ngomeni maisha yangu yamebadilika na mengi najifunza kupitia madhabahu ya yesu kristo
Watu waburundi tunapenda ngome yayesuuuu saaaaana n'a mungu atusaidie tutafik uko
Yesu mtunze kaka yangu mkiboaho mwenzangu kuhani na mwl Musa Richard mwacha .mungu Ana makusudi yake kumleta hapa duniani.
Sawa
Pole Sana dady hawakuijuwa kesho yako laiti wangaliijuwa wasingekufanyia ubaya.mageuzi ya yesu hayalinganishwi waliokutazama kwa macho ya nyama ya kalibu yesu alikutazama kwa macho ya rohoni ya mbali Sana kitaifa,kimataifa na dunia nzima utasikika na kwenda mbali sana.goliati,farao nebukadreza walikupiga Vita wakafeli.wakomae siku zinakuja hautawaona tenaaa
Bab mungu ukuweke
Kweli nikifi ntakushuru Mungu mbele ya umati wawatu.
Congo kiukweli kuna Nguo nzuri za Kila Aina
Ivi Mambo haya kweli mnaamini? Duh au😅😅😅
Mungu amtupi mja wake,,ukimuomb anajibu kwa wakati Amen
Mungu Akutunze Baba yng
Mungu akubaliki
Nimelia kuamzia ulipokuwa mdogo mpaka kufika ikulu nisaidie baba nazaraulika amina
God bless you.
We baba ea Eme ulikuwepo Alipoanza utumishi??kkkkk
Mumgu akuliende mtumish unipmbee mungu snifungulie milango ya rzki
Ameeen Ameeen Ameeen i receive 🙏🙏🙏🙏🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Amen
Amina napokea naiwekwangu Sasa sibadae nisasa Amen
Blessed are those give God will reward thema all
HONGERA SANA BABA na POLE kwa mapito HAYO.
Amina dady.inuliwa zaidi hadi dunia ishangae
Napokea 🙏🙏🙏🙏🙏🙏Ameeen
Eee Mungu wa kuhani Musa naomba unisaidie niondokane na ugonjwa nilionao
Amiiiiiiiiina.
Baba. Musa
Lichard mwacha
Umepitiya.🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️
Mungu akubariki mtumish wa Mungu
Mungu mwema kabisa kabisaa Icho kibari ubarikiwe
Asante kwaneno baba
Amiiiiiiiiiinaaaaa baba❤❤❤❤❤
Amiiiiiina
Baba
Ukaenda kujenga. Nyumba yako hee??!!!
Aminaaaaaaa baba
Naku penda sana mtumishi wa mungu mungu aende ree kukuweka duni Ani
Amen iliwahi nitokea hiyo roho inakusukuma kampe mtu kitu flani hata ukijikaza bado unasukumwa
Aminaa sanaa
BWANA AMEKUCHAUA WEWE TANZANIA, BWANAA AMEKCHAUA TANZANIAA X2. ILI, ILIUWEZE KUJA KUMZALIA MATANDAA, NA MTUNDA YAKE YADUUMUU, YAADUMUU ALLELUIJAAH X2. "WIMBO WA KUHANI MUSA KUMSIFU".
ASANTE KUHANI NA MWALIMU MUSA . KWA KUWA MKWELI KUTOKA ROHONI. MUNGU AKUBARIKI SANAA. NA AKUONGEZEE MOYO WA HURUMA NA UPENDO KWA BINAADAMU WENGINE. YESU ASANTE KWA KUTULETEA MTUMISHI WAKO MUSA ILI KUTUTUNZA KIROHO. UBARIKIWE YESU. UNYANYULIWE NA KUABUDIWA.
Mungu wangu 🙏🙏🙏
Amin .duu Kama maosha yangu
Hiyo amen amen..inatumika vibaya
Amen
Ameeen 🙏
Kuhani haka bwana mungu ukuonekani
Yesu
Amina baba yangu wa kiroho.
Aminaa
Ameeen
Kuhani.naomba uniombee nipone naangaika sana
Amina
Amina na ndo inavyotakiwa 🙋
Amen na Iwe hivyo ,huyo mtu anafanya niogope huko
MUNGU akisema ndio hakuna wakupinga
nice
Amen baba sema yote hayo 😭😭😭😭😭😭
Ameni,👍👍👍👍
Bishop hilibarike sumbe
Amiiiiina.
Baba. Tafcili. Hiyo nafulahiya. Kuyipata
Ubarikiwe Sana kuhani
Pole Ndugu ni Mapito tu ya Muda
Nakuomba uwakomboe wanangu, familia yangu pamoja na ukoo wangu
Ameeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeenaaaasssss 🌟🌟🌟🌟🖐️🖐️🖐️🖐️🙏🙏🙏🙏🙏🙄🙄🙄🙄🙄