MAISHA YANGU NILIKOTOKA MPAKA HAPA NILIPO - KUHANI MUSA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 19. 07. 2022

Komentáře • 232

  • @bwamijeannejo5473
    @bwamijeannejo5473 Před 6 měsíci +1

    Ameeeen yesu akamubaliki Lichard ,mwacha
    Agapewa gali
    !¡Ameeeen yesu balaka iendeleya. 🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️

  • @sheydadyshedytz8821
    @sheydadyshedytz8821 Před rokem +1

    Mungu naomba upokee baraka zangu fungua milango yangu fungua kazi zangu nifungue mwili wangu fungua kila kitu katika maisha yangu nikafanikiwe na kutukuza jina la bwana Yesu christu naomba unikomboe na unikinge na madui waovu mungu niponye amen🙏

    • @rehemaamani289
      @rehemaamani289 Před 11 měsíci

      Yesuuuu nirejeshee kibali x7 namimi Leo

    • @rehemaamani289
      @rehemaamani289 Před 11 měsíci

      Nataka nipate pesa nyingi yesu wa ngomeni niponye matatizo sugu yote yanayonitesa

  • @user-qs7fw8ws9x
    @user-qs7fw8ws9x Před 6 měsíci +1

    Mimi kweli siku kidogo nitakuwa hapo kwenye source ngomeni Yesukristu unilinde njiani ❤

  • @scolamanangwa8503
    @scolamanangwa8503 Před 2 lety +7

    Yesu mtunze baba yangu wa kiroho milele Kuhani na mwalimu Musa Richard Mwacha kaza buti mpaka mikele🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @salamawillilo4097
    @salamawillilo4097 Před rokem +3

    Kadiri siku zako zinavyoongezeka ndivyo nguvu zako ziongezeke,na uwe kijana zaidi,Ubarikiwe Sana Mtumishi wa Mungu

  • @AishaJambia-wi7ur
    @AishaJambia-wi7ur Před měsícem

    Madhabahu yako yameniokoa baba naitaji barak zako daima

  • @dorcasdavid2247
    @dorcasdavid2247 Před 3 měsíci

    Mungu naomba Upokee Baraka zng, kupitia Mtumishi wk Kuhani Musa

  • @user-iu4hx5wr3i
    @user-iu4hx5wr3i Před 4 měsíci

    Nabarikiwa kuhani, Yesu anipe hatua zaidi.

  • @jacklinedeo6840
    @jacklinedeo6840 Před rokem +1

    Mungu aendelee kukubaliki na kukupa maisha marefu uendeelee Kiwahudumia watu na kuwasaidia uendelee na kipawaa alichokupatiia mwenyezi mungu

  • @paulinaalbert2475
    @paulinaalbert2475 Před 9 měsíci

    Namshukuru mungu kufka ngomeni... Nashukuru yote kwako Yesu mwema

  • @SmilingJellyFish-vf6xy
    @SmilingJellyFish-vf6xy Před 7 měsíci

    Yesu nimukubwa
    Tena niukweli
    Nachukuru
    Mungu
    Nimwema 😊
    Ameeeeeeeeeeeena.

  • @hopejohnson7352
    @hopejohnson7352 Před 2 lety +2

    Kuhani naomba umuombee mdgo angu anaitwa sirivano apate kazi amesoma xna lakin kazi hapati👏👏

  • @razimatushinde
    @razimatushinde Před 12 dny

    Kuambatana na yesu kuna faida,kumtegemea kristo yesu kunalipa.ukimtumikia kristo yesu yeye naye huyatumikia yetu.ukitoa unapata.maombi yanayoambatana na sadaka yana nguvuu.hakika yesu wa ngomeni ni kiboko.yesu aliye ndani ya kuhani mussa ni amina,hakika na kweli.kristo yesu akupe kuishi kwingi balove.

  • @aineskabonaki-ze6tv
    @aineskabonaki-ze6tv Před 3 měsíci

    🎉 youpi Mungu hibou la maisha yangu

  • @user-qs7fw8ws9x
    @user-qs7fw8ws9x Před 6 měsíci +1

    Mungu akubariki

  • @user-du2kk7ic5r
    @user-du2kk7ic5r Před 7 měsíci

    Mungu alikuita baba uwa okowe watu na dhambi na kutoka vifungoni yesu atukuzwe

  • @lucyezekiel3755
    @lucyezekiel3755 Před 2 lety +1

    Amina amina kuhani wa Kristo Yesu aendelee kukutunza na kukubariki zaidi hata Mimi nakumbuka ukarimu wako ulitutia moyo sana Mimi na mume wangu Ezekiel, Mimi ni kuhani Lucy Ezekiel.

  • @petronillamnyambi7607
    @petronillamnyambi7607 Před 2 lety +4

    Niombee na mimi niweze kufanikiwa mungu utujalie afya njema

  • @AishaJambia-wi7ur
    @AishaJambia-wi7ur Před měsícem

    Nashukur baba umeniponya na umenip wepec ktk maisha yangu

  • @kasuziprosper3570
    @kasuziprosper3570 Před rokem +1

    I like this testimony, very touching.

  • @erickmallya1186
    @erickmallya1186 Před rokem

    kuhani Musa naomba uniombee kuhusu maisha yangu nimeona miujuza ya kutosha ngomeni

  • @mwajumamwamba
    @mwajumamwamba Před rokem

    Baba nimependaa history yako ❤❤❤❤❤❤❤❤Amiiiiiiinaaaaaaaaa

  • @martinahaule4176
    @martinahaule4176 Před 2 lety +6

    love you pastor Mungu akupe maisha marefu

    • @Churchofecclesia
      @Churchofecclesia Před 2 lety

      Heb heshimu cheo basi, ni kuhani na mwalimu musa Richard mwacha, nabii, mtume heb ACHA kutupwa cheo Cha chini

  • @scolarjapheth3249
    @scolarjapheth3249 Před 2 lety +4

    Mungu kumbuka familia yangu

  • @ashuramachinja
    @ashuramachinja Před 21 dnem

    Mungu akubarik sana mtumishi

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 Před 2 lety +4

    AMINAAA SANAAAAAAAA. MUNGU AKUPE DALLOR ZAIDI KWA JINA LA YESUU.

  • @gordfreysangawe7535
    @gordfreysangawe7535 Před rokem +1

    Ni kweli hata kujinyonyesha ulijingonyesha mwenyewe undelea kuwadanganya wa Mungu

  • @trophywilson7211
    @trophywilson7211 Před 2 lety +4

    Yesu ataniogesha Na Mimi hakika kama Ulivyoogeshwa

  • @florabuzoya3948
    @florabuzoya3948 Před rokem +2

    I connect this annointing in Jesus name of Nazareth Amen 🙏

    • @kenonpeter3692
      @kenonpeter3692 Před rokem

      Amen alietaka kunihuwa hiyo mauti iyo mauti iwe juhu milele

  • @kelvinstephano8
    @kelvinstephano8 Před 3 měsíci

    Ubarikiwe sana mchungaji mussa

  • @susanboke5040
    @susanboke5040 Před rokem

    Baba naomba maombi yako ili yesu aweze kuniiua nipate Kazi nzuri Baba

  • @christinaaminakuhanimateo3380

    Baba Asante MUNGU akulinde sana Tena sana

  • @bwamijeannejo5473
    @bwamijeannejo5473 Před 6 měsíci

    Yesu. Nimukubwa. Ameeen

  • @amosnyongesa9160
    @amosnyongesa9160 Před rokem +1

    Wengine wame fanya watu kuwamungu kwao, amen amen umekusa moyowangu ubarikiwe Sana

  • @adammdoloadammdolo5194
    @adammdoloadammdolo5194 Před rokem +1

    Ameee God bless you pastor musa

  • @rachelkimambo9804
    @rachelkimambo9804 Před rokem

    Mtumishi wa MUNGU ubarikiwe, samahani naomba kamati ya huduma iangalie hilo neno Amen au Amina linatumika vibaya au ni uelewa wangu. Kila kitu ameeen. hapana jamani tunashindwa kuwa makini.

  • @rosembwambo6079
    @rosembwambo6079 Před rokem +3

    Kuhani Musa, ninaomba uwakomboe wanangu ...Mungu akuinue duniani kote ukawaponye wote watesekao...Ameen

  • @lahabesheuya1257
    @lahabesheuya1257 Před 11 měsíci

    Mungu kupitia kinywa cha kuhani uliemtuma kilamchawi aliegusa maisha yangu yamume wangu watoto wangu afee

    • @AishaJambia-wi7ur
      @AishaJambia-wi7ur Před měsícem

      Baba maombi yako yamenisaidiy wachawi wanao nifatiriy wengine wamepararaiz nashukur madhabau yangome yakuani musa

  • @elizabethamini4801
    @elizabethamini4801 Před rokem +1

    Mungu azidi tuh kukutumia na ufike mbali kimaono🤲

  • @user-yb2jo7re1l
    @user-yb2jo7re1l Před rokem

    Asante.BABA.yangu..wa KIROHO.kwamafundisho.bora.sana..mungu.akubariki.sana..najuta.nimechelewa.wapi.kukufahamu..nashukuru.mungu.kwakunifikisha.hapa.ngomeni.jamani.mungu.katupa.RAISI..waduniani.ni.huyu.MUSA

  • @petronillamnyambi7607
    @petronillamnyambi7607 Před 2 lety +1

    Daaaaa pole sana mungu kakufunulia njia zake

  • @SmilingJellyFish-vf6xy
    @SmilingJellyFish-vf6xy Před 7 měsíci

    Kabisa
    Baba.
    Musa Lichard
    Mwacha

  • @user-kq9ye8ow7l
    @user-kq9ye8ow7l Před 6 měsíci

    Ngomeni Mungu amemleta Mtumishi wake kweli kweli

  • @Witness-pu7kf
    @Witness-pu7kf Před 7 měsíci

    Ninajivunia sana kufika Ngomeni maisha yangu yamebadilika na mengi najifunza kupitia madhabahu ya yesu kristo

    • @user-zx1kb7pv4p
      @user-zx1kb7pv4p Před 2 měsíci

      Watu waburundi tunapenda ngome yayesuuuu saaaaana n'a mungu atusaidie tutafik uko

  • @mankamushi4588
    @mankamushi4588 Před 2 lety

    Yesu mtunze kaka yangu mkiboaho mwenzangu kuhani na mwl Musa Richard mwacha .mungu Ana makusudi yake kumleta hapa duniani.

  • @sophiaaugu1392
    @sophiaaugu1392 Před rokem

    Pole Sana dady hawakuijuwa kesho yako laiti wangaliijuwa wasingekufanyia ubaya.mageuzi ya yesu hayalinganishwi waliokutazama kwa macho ya nyama ya kalibu yesu alikutazama kwa macho ya rohoni ya mbali Sana kitaifa,kimataifa na dunia nzima utasikika na kwenda mbali sana.goliati,farao nebukadreza walikupiga Vita wakafeli.wakomae siku zinakuja hautawaona tenaaa

  • @KhadijaKiula
    @KhadijaKiula Před 2 měsíci

    Bab mungu ukuweke

  • @user-qs7fw8ws9x
    @user-qs7fw8ws9x Před 6 měsíci

    Kweli nikifi ntakushuru Mungu mbele ya umati wawatu.

  • @trophywilson7211
    @trophywilson7211 Před 2 lety +1

    Congo kiukweli kuna Nguo nzuri za Kila Aina

  • @johnmligo6966
    @johnmligo6966 Před 3 měsíci

    Ivi Mambo haya kweli mnaamini? Duh au😅😅😅

  • @norahenock7885
    @norahenock7885 Před rokem +1

    Mungu amtupi mja wake,,ukimuomb anajibu kwa wakati Amen

  • @dorcasdavid2247
    @dorcasdavid2247 Před 2 lety +1

    Mungu Akutunze Baba yng

  • @user-du2kk7ic5r
    @user-du2kk7ic5r Před 7 měsíci

    Mungu akubaliki

  • @teddymboya1437
    @teddymboya1437 Před rokem +1

    Nimelia kuamzia ulipokuwa mdogo mpaka kufika ikulu nisaidie baba nazaraulika amina

  • @anneorina3893
    @anneorina3893 Před 2 lety +1

    God bless you.

  • @trophywilson7211
    @trophywilson7211 Před 2 lety +1

    We baba ea Eme ulikuwepo Alipoanza utumishi??kkkkk

  • @adijamkumbege6922
    @adijamkumbege6922 Před rokem

    Mumgu akuliende mtumish unipmbee mungu snifungulie milango ya rzki

  • @helenkimo1078
    @helenkimo1078 Před 2 lety +3

    Ameeen Ameeen Ameeen i receive 🙏🙏🙏🙏🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @kenonpeter3692
    @kenonpeter3692 Před rokem

    Amina napokea naiwekwangu Sasa sibadae nisasa Amen

  • @marcelomwanda6782
    @marcelomwanda6782 Před rokem

    Blessed are those give God will reward thema all

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya8276 Před 2 lety +2

    HONGERA SANA BABA na POLE kwa mapito HAYO.

  • @coletasilayo8771
    @coletasilayo8771 Před rokem

    Amina dady.inuliwa zaidi hadi dunia ishangae

  • @helenkimo1078
    @helenkimo1078 Před 2 lety +1

    Napokea 🙏🙏🙏🙏🙏🙏Ameeen

  • @ruthzumba96
    @ruthzumba96 Před 2 lety +1

    Eee Mungu wa kuhani Musa naomba unisaidie niondokane na ugonjwa nilionao

  • @bwamijeannejo5473
    @bwamijeannejo5473 Před 6 měsíci

    Amiiiiiiiiina.
    Baba. Musa
    Lichard mwacha
    Umepitiya.🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️

  • @norahenock7885
    @norahenock7885 Před rokem

    Mungu akubariki mtumish wa Mungu

  • @oscarnyakunga3113
    @oscarnyakunga3113 Před rokem

    Mungu mwema kabisa kabisaa Icho kibari ubarikiwe

  • @ColetaSikuzane-gl7du
    @ColetaSikuzane-gl7du Před rokem

    Asante kwaneno baba

  • @MelisaJamesy-je6fw
    @MelisaJamesy-je6fw Před měsícem

    Amiiiiiiiiiinaaaaa baba❤❤❤❤❤

  • @bwamijeannejo5473
    @bwamijeannejo5473 Před 6 měsíci

    Amiiiiiina
    Baba
    Ukaenda kujenga. Nyumba yako hee??!!!

  • @MalikiaRecho
    @MalikiaRecho Před 29 dny

    Aminaaaaaaa baba

  • @veronicajerome1184
    @veronicajerome1184 Před rokem

    Naku penda sana mtumishi wa mungu mungu aende ree kukuweka duni Ani

  • @emmymsigwa1468
    @emmymsigwa1468 Před rokem

    Amen iliwahi nitokea hiyo roho inakusukuma kampe mtu kitu flani hata ukijikaza bado unasukumwa

  • @ishikcharity3853
    @ishikcharity3853 Před 6 měsíci

    Aminaa sanaa

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 Před 2 lety +1

    BWANA AMEKUCHAUA WEWE TANZANIA, BWANAA AMEKCHAUA TANZANIAA X2. ILI, ILIUWEZE KUJA KUMZALIA MATANDAA, NA MTUNDA YAKE YADUUMUU, YAADUMUU ALLELUIJAAH X2. "WIMBO WA KUHANI MUSA KUMSIFU".

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 Před 2 lety +1

    ASANTE KUHANI NA MWALIMU MUSA . KWA KUWA MKWELI KUTOKA ROHONI. MUNGU AKUBARIKI SANAA. NA AKUONGEZEE MOYO WA HURUMA NA UPENDO KWA BINAADAMU WENGINE. YESU ASANTE KWA KUTULETEA MTUMISHI WAKO MUSA ILI KUTUTUNZA KIROHO. UBARIKIWE YESU. UNYANYULIWE NA KUABUDIWA.

  • @marianomarina2983
    @marianomarina2983 Před rokem

    Mungu wangu 🙏🙏🙏

  • @mariamalongo8803
    @mariamalongo8803 Před rokem

    Amin .duu Kama maosha yangu

  • @prosperjuma905
    @prosperjuma905 Před rokem

    Hiyo amen amen..inatumika vibaya

  • @FreliusFrance-sk4ov
    @FreliusFrance-sk4ov Před 9 měsíci

    Amen

  • @augustinemsengi5867
    @augustinemsengi5867 Před 2 lety +1

    Ameeen 🙏

  • @marktarimo3244
    @marktarimo3244 Před 11 měsíci

    Kuhani haka bwana mungu ukuonekani

  • @nellamahuit3485
    @nellamahuit3485 Před 2 lety +1

    Yesu

  • @witnesssawe7290
    @witnesssawe7290 Před 2 lety

    Amina baba yangu wa kiroho.

  • @ashuramachinja
    @ashuramachinja Před 21 dnem

    Aminaa

  • @helenkimo1078
    @helenkimo1078 Před 2 lety +1

    Ameeen

  • @Makene-c9t
    @Makene-c9t Před 15 dny

    Kuhani.naomba uniombee nipone naangaika sana

  • @user-ui7ut8ri5w
    @user-ui7ut8ri5w Před 4 měsíci

    Amina

  • @edmundkapondo4042
    @edmundkapondo4042 Před 2 lety +1

    Amina na ndo inavyotakiwa 🙋

  • @trophywilson7211
    @trophywilson7211 Před rokem

    Amen na Iwe hivyo ,huyo mtu anafanya niogope huko

  • @DoraSamson-co5mo
    @DoraSamson-co5mo Před 3 měsíci

    MUNGU akisema ndio hakuna wakupinga

  • @MartinTimotheo-ld7ni
    @MartinTimotheo-ld7ni Před měsícem

    nice

  • @felisterandrew8418
    @felisterandrew8418 Před 2 lety +1

    Amen baba sema yote hayo 😭😭😭😭😭😭

  • @princemozes9923
    @princemozes9923 Před 6 dny

    Ameni,👍👍👍👍

  • @noelapierre1605
    @noelapierre1605 Před 2 lety +1

    Bishop hilibarike sumbe

  • @bwamijeannejo5473
    @bwamijeannejo5473 Před 6 měsíci

    Amiiiiina.
    Baba. Tafcili. Hiyo nafulahiya. Kuyipata

  • @augustinfrancis6924
    @augustinfrancis6924 Před rokem

    Ubarikiwe Sana kuhani

  • @trophywilson7211
    @trophywilson7211 Před 2 lety +1

    Pole Ndugu ni Mapito tu ya Muda

  • @jacklinedeo6840
    @jacklinedeo6840 Před rokem

    Nakuomba uwakomboe wanangu, familia yangu pamoja na ukoo wangu

  • @bwamijeannejo5473
    @bwamijeannejo5473 Před 6 měsíci

    Ameeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeenaaaasssss 🌟🌟🌟🌟🖐️🖐️🖐️🖐️🙏🙏🙏🙏🙏🙄🙄🙄🙄🙄