MSTAAFU KIKWETE Asimulia KIKOMBE cha BABU KILIVYOMTESA - "HATA WAZIRI WANGU LUKUVI NAE ALIKUNYWA"
Vložit
- čas přidán 20. 02. 2022
- MSTAAFU KIKWETE Asimulia KIKOMBE cha BABU KILIVYOMTESA - "HATA WAZIRI WANGU LUKUVI NAE ALIKUNYWA"
Rais Mstaafu wa awamu ya nne, Dkt. Jakaya Kikwete, ameshiriki ibada ya kuuaga mwili wa Dkt. Mwele Malecela, iliyofanyika jijini Dodoma Februari 20, 2022.
Mwele Ntuli Malecela alizaliwa tarehe 26 Machi 1963, alikuwa Mkurugenzi wa Taasisi ya Tafiti za kiafya Tanzania (NIMRI). Aliwania nafasi ya mgombea wa uraisi kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2015.
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
Allah akupe umri na afya nzuri una hekma na busara kubwa Safi sana mkuu
MH KIKWETE ULIKUWA NA UMAKINI SANA KUTOKUWA KUWA MWEPESI WA KUTOA MATAMKO...RIP KIKOMBE CHA BABU
Raisi wangu nakukubali sana Mungu akupe maisha marefu
Mashaallah
éee Mwenyezi Mungu tubariki na kutuokoa Watoto wa Tz
Huyu mzee namkubali sana aise
Kwakweli kilitusaidia kusahau Escrow na Richomondi scandal ,la sivyo ingekua atari Sanaa
Huyu ndie baba mlezi wa taifa Allah atakulinda na masaibu yote kaka yetu Mzee wetu mstaafu uishi maisha marefu kabisa
Mungu akupe Nguvu Mzee
Jk namkubali Sana mzee wahekima Yani ukisikiliza utuba za mzee jk una enjoy
Mzee Kikwete ni kiongozi na ana hekima kama Mzee Ruksa! Mungu awape miaka kama bonus ya utumishi wetu kwa taifa letu!
JK for Presidency again...
Nimesikia Janabi nikakumbuka mautaalam yake ya kushughulikia uhai wa watu!
Mzee kikwete unajua sana kuongea, I mis u sometimes
Kikombe cha Babu lilisaidia Loliondo pia kujulikana duniani. Kilizidi wataalamu wa nyota.
Mzee tunakukubali sana
Mh Skamooo.!
Unamaana mafuta ya upako ,frito,chumvi,talasin namengineo yatajakuwa saturi iliyopitwa wakati
Tunakuombea maisha marefu
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌👍
Tuletee na ya DESI MH. KIKWETE😄😄😄
Hahahahaha uwiiii nacheka jamani
Pro janabi
Mzee nyie ndio mlikuwa kipao mbele kutengeneza miundombinu Leo umegruza kibao daah bongo bahati mbaya Kama unaamini Hilo gonga like
Kipindi hicho bwana mia tano yako tu alafu iwe ya noti 🤔🤔 hapo kikombe unapata sema sasa usafiri ndo ulikuwa wakulenga na manati🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌
Mkuuuuu
Mimi Nili shangaa Mtu Tuna ona Ana kunywa kikombe Cha Babu halafu tuna
Mpeleka Ikulu Huko sikupeleka ushirikina
Ikulu Halafu tupone Hasira ya MUNGU
Acha unafiki wewe na chuki zako hata huyo kikwete kafanya mangapi yasiyo mpendeza MUNGU hakuna mkamilifu hata mmoja hapa duniani. Mnafiki mkjbwa wewe. Siajabu ni moja ya mafisadi na kuwadi tu wewe. Wewe mkamilifu hapo ulipo? Ondoa kwanza boriti katika jicho lako ndiyo uondoe kibanzi katika jicho la mwenzako. Shetani mkubwa weee komaaaaa
busara kubwa shikamoo Mh rais
Ulikuwa ni mwendo wa kupiga vikombe tu du huyu babu,aliwaweza kweli jmn
Kuabudu mizimu ni wazimu
Kwani huyu wakatai huu amekuwa mbele mbona kama muda wake ushapita vile au nini?
Muda wa mtu unakwisha pale anapotiwa kaburini.
huna kipya cia kucomment?
Destuli siku hizi mkristu anamuombea Dua mwislamu pia Mwislamu anamuombea Mkristo mbona hujauliza
@@abdifaraji2883 KUMBE BADO YUPO HUYU ATAISHI HATA AKITIWA KABURINI MAANA HUJAPATA KU SOMA WAZAIDIZI WA I BILIKISI BADO WANA ISHI ILI WAONE UOVU WAO VIZULI TENA HUJAPATA KUSOMA DAJALI NI KAINI ALIYE MUUA ABERI NA ANAISHI ILA JOSAHAUNI TU KIAMA KIMELARIBIA MNASUBILI BALA GUMU SIJUI MKIWA NA VITI GANI
@@jenyyusuph4973 nani kamuua wewe wakati alikua na matatizo ya moyo na madatari wake walisema
Hata wasomi wanapigwa tu kwa mtu asiesoma ni hatari kwa uongo??
Nilichojifunza hapa pia ni kwamba huyu Bwana anafuata Sana sayansi. Labda angetuweka lockdown kwa kiasi kikubwa. Hii ingeleta athari za uchumi Bila kuleta manufaa makubwa kitaifa. Kwani Loliondo sio kweli kwamba haikujulikana. Mitizamo yote inatufaa kwa wakati wake.
mbona labda nyingi na kama ni hivyo angeifunga loliondo lakin hakufanya hivyo. usiwe mwepesi wa kumdhania mtu vibaya
🤣🤣🤣🤣🤣🤣nguvu zileeeeee……
Kikombe wengi walikunywa😄😄😄
Hakukukatalia
Akiwemo
Simba SC wawakilish wa nchi kimataifa
Mzee kikombe hukunywa kweli wewe 😂😂😂😂
Kuna mtu aliniambia huyu alienda kunywa kikombe mimi sikuamini kumbe ni kweli alikunywa kikombe mimi ni msomi na sikumuamini kabisa yule babu wa kikombe ni hivi mtu ukiwa na ugonjwa usiotibika utaamini kila kitu sababu unataka upone na ndiyo maana yule babu akatumia ujanja ule kuwatapeli watu nilikuwa naona mitandaoni watu wako kwenye foleni kwenda kwa babu nikawaonea huruma mimi naishi nje lakini huwa nafuatilia habari za bongo
Kwahyo wewe unaona una Elimu sana kuzidi walio enda,?UJINGA USIO NA HASARA NI BORA KULIKO ELIMU ISIYO NA FAIDA
Kikwete wewe sio ulinunua na matulubai Leo hii unasema huamini 😂😂
Hata Barbara alitengeneza ila mm nimemwelewa kiongozi Kama yeye alifanya poa
Tukupenda una Hekima nyingi sana
Janabi ndo yule dkt ambaye hafai
Ndio yeye
Janabi hafai ki vip sijaelewa?!
Janabi weweeee 🙆🙆🙆🙆
Huo ni WIVU mjomba, na humjui Janabi.
@@minskbelarus7255 wewe ndo humjui endelea kusinzia!
Lile zee lilikuwa pepo kutoka kuzimu.
Jk minakupenda Sana nawakati wako democracies irikua juuu nirikupenda kwa Hilo naanza kukuchukiaa kumpotosha Samia mshauri katiba ipatikane usifinyange Kama urivyo ifinyanga wewe
Mh. Kikwete wewe ni jabali la Diplomasia
Mlikunywa mavitu ya kuzimu
Waziri wa ujenzi alikua nani
Magu,,,
😅😅😅😅 nguvu zinaludi
😂😂😂
Watu wengi hata huku Kenya waliamini.That is in the past. People were desperate ndio maana ni muhimu tujenge hospitals tusiende nje kama India kutibiwa. Tuwalipe madaktari vizuri.
Susan uko vizuri, I agree with you 💯 Jah 🙌 bless.
Hii santuri ingekutana na mwendazake babu angetia akili
Babu aliwadanganya watu
Hata wasomi wasomi wanapigwa tu !!
na mkubwa mwingine, alieenda. Loliondo kwa Babu kwa GIA ya kusema anaenda kuangalia unyayo wa mtu wa kale, kumbe nae alieenda kunywa kikombe Cha Babu wa Loliondo,
Wewe uliingia kwa babu kisiri siri ukapiga kikombe
Hapo msibani ongea ya msimbani kumbushia mauti na uzito wake
Msikilize vizuri utamuelewa,,,,,usipayuke!!!
Mnataka aaminiwe mzungu tuh au sio ,,Yan niwasomi lakindi kwa head mmhn
Wewe umemsikiliza vizuri alichoongea mstaafu kabla kutoa comment yako.
Kumbe na wewe umo kwenye kudanganywaa??
Niubinadamu pia
hii ni Moja ya matukio ya kijinga yaliowahii kutoka tz
Mzee gombea uraisi 2025 bado ukopoa!?
Na wewe kumbe shule ni ndogo??
hapo ndio niliona hata wanaojiita wasomi ni wajinga ku professor aliacha dawa alaenda kufia kwa babu
Hiyo ilikuwa mission ya shetani na mawakala zake
KIKWETE chaguo la MUNGU ...HOFU YA MUNGU ALIKUWA nayo
Roho Mtakatifu huwezi kupimwa maabara. Pentecoste ndio maabara sahihi ya Roho Mtakatifu.
Roho mtakatifu sio wehu
Hahahahaaaa
Namkubali sana babangu huyu hasa katika utawala wake
Kwanini hukuyaongea hapo nyuma acha unafiki wako