MSTAAFU KIKWETE Asimulia KIKOMBE cha BABU KILIVYOMTESA - "HATA WAZIRI WANGU LUKUVI NAE ALIKUNYWA"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 20. 02. 2022
  • MSTAAFU KIKWETE Asimulia KIKOMBE cha BABU KILIVYOMTESA - "HATA WAZIRI WANGU LUKUVI NAE ALIKUNYWA"
    Rais Mstaafu wa awamu ya nne, Dkt. Jakaya Kikwete, ameshiriki ibada ya kuuaga mwili wa Dkt. Mwele Malecela, iliyofanyika jijini Dodoma Februari 20, 2022.
    Mwele Ntuli Malecela alizaliwa tarehe 26 Machi 1963, alikuwa Mkurugenzi wa Taasisi ya Tafiti za kiafya Tanzania (NIMRI). Aliwania nafasi ya mgombea wa uraisi kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2015.
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
    ⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Komentáře • 92

  • @abdallahabdallah8750
    @abdallahabdallah8750 Před 2 lety +16

    Allah akupe umri na afya nzuri una hekma na busara kubwa Safi sana mkuu

  • @mathayowilson1525
    @mathayowilson1525 Před 2 lety +7

    MH KIKWETE ULIKUWA NA UMAKINI SANA KUTOKUWA KUWA MWEPESI WA KUTOA MATAMKO...RIP KIKOMBE CHA BABU

  • @WILIAMSONMOSHI
    @WILIAMSONMOSHI Před 13 dny

    Raisi wangu nakukubali sana Mungu akupe maisha marefu

  • @drmussa1220
    @drmussa1220 Před 2 lety

    Mashaallah

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo6464 Před 2 lety +6

    éee Mwenyezi Mungu tubariki na kutuokoa Watoto wa Tz

  • @prosperjuma905
    @prosperjuma905 Před 2 lety +12

    Huyu mzee namkubali sana aise

  • @mtumishimathias7762
    @mtumishimathias7762 Před 2 lety +4

    Kwakweli kilitusaidia kusahau Escrow na Richomondi scandal ,la sivyo ingekua atari Sanaa

  • @ramadhanimtambo6755
    @ramadhanimtambo6755 Před rokem

    Huyu ndie baba mlezi wa taifa Allah atakulinda na masaibu yote kaka yetu Mzee wetu mstaafu uishi maisha marefu kabisa

  • @albertadalabert5702
    @albertadalabert5702 Před 4 měsíci

    Mungu akupe Nguvu Mzee

  • @husseinkalamba8606
    @husseinkalamba8606 Před 2 lety +3

    Jk namkubali Sana mzee wahekima Yani ukisikiliza utuba za mzee jk una enjoy

  • @eatlawe
    @eatlawe Před 2 lety +3

    Mzee Kikwete ni kiongozi na ana hekima kama Mzee Ruksa! Mungu awape miaka kama bonus ya utumishi wetu kwa taifa letu!

  • @godfreydavid6267
    @godfreydavid6267 Před 2 lety +2

    JK for Presidency again...

  • @bcozhenry2698
    @bcozhenry2698 Před 2 lety +3

    Nimesikia Janabi nikakumbuka mautaalam yake ya kushughulikia uhai wa watu!

  • @hamzamwilaphy2902
    @hamzamwilaphy2902 Před 2 lety +1

    Mzee kikwete unajua sana kuongea, I mis u sometimes

  • @benedictmrisho5947
    @benedictmrisho5947 Před 2 lety +6

    Kikombe cha Babu lilisaidia Loliondo pia kujulikana duniani. Kilizidi wataalamu wa nyota.

  • @charlesemmanuel9434
    @charlesemmanuel9434 Před 2 lety +1

    Mzee tunakukubali sana

  • @wilsonmollel3168
    @wilsonmollel3168 Před 2 lety +1

    Mh Skamooo.!
    Unamaana mafuta ya upako ,frito,chumvi,talasin namengineo yatajakuwa saturi iliyopitwa wakati

  • @sonically113
    @sonically113 Před 2 lety +1

    Tunakuombea maisha marefu

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Před 2 lety

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌👍

  • @rinaldaoman7892
    @rinaldaoman7892 Před 2 lety +1

    Tuletee na ya DESI MH. KIKWETE😄😄😄

  • @jovanafidelis2802
    @jovanafidelis2802 Před 2 lety +1

    Hahahahaha uwiiii nacheka jamani

  • @emmaboka959
    @emmaboka959 Před 2 lety

    Pro janabi

  • @fadhilnsajigwa9498
    @fadhilnsajigwa9498 Před 2 lety +1

    Mzee nyie ndio mlikuwa kipao mbele kutengeneza miundombinu Leo umegruza kibao daah bongo bahati mbaya Kama unaamini Hilo gonga like

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 Před 2 lety

    Kipindi hicho bwana mia tano yako tu alafu iwe ya noti 🤔🤔 hapo kikombe unapata sema sasa usafiri ndo ulikuwa wakulenga na manati🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌

  • @assayusuph3295
    @assayusuph3295 Před rokem

    Mkuuuuu

  • @luciansanga5195
    @luciansanga5195 Před 2 lety +1

    Mimi Nili shangaa Mtu Tuna ona Ana kunywa kikombe Cha Babu halafu tuna
    Mpeleka Ikulu Huko sikupeleka ushirikina
    Ikulu Halafu tupone Hasira ya MUNGU

    • @godfreymasele8853
      @godfreymasele8853 Před 2 lety

      Acha unafiki wewe na chuki zako hata huyo kikwete kafanya mangapi yasiyo mpendeza MUNGU hakuna mkamilifu hata mmoja hapa duniani. Mnafiki mkjbwa wewe. Siajabu ni moja ya mafisadi na kuwadi tu wewe. Wewe mkamilifu hapo ulipo? Ondoa kwanza boriti katika jicho lako ndiyo uondoe kibanzi katika jicho la mwenzako. Shetani mkubwa weee komaaaaa

  • @frankkataraiha607
    @frankkataraiha607 Před 2 lety

    busara kubwa shikamoo Mh rais

  • @msafirimatingo4447
    @msafirimatingo4447 Před 2 lety +1

    Ulikuwa ni mwendo wa kupiga vikombe tu du huyu babu,aliwaweza kweli jmn

  • @braystuskibassa3842
    @braystuskibassa3842 Před 2 lety +4

    Kwani huyu wakatai huu amekuwa mbele mbona kama muda wake ushapita vile au nini?

    • @abdifaraji2883
      @abdifaraji2883 Před 2 lety +1

      Muda wa mtu unakwisha pale anapotiwa kaburini.

    • @beberurafiki1273
      @beberurafiki1273 Před 2 lety

      huna kipya cia kucomment?

    • @josephjosephgeorge3195
      @josephjosephgeorge3195 Před 2 lety

      Destuli siku hizi mkristu anamuombea Dua mwislamu pia Mwislamu anamuombea Mkristo mbona hujauliza

    • @jenyyusuph4973
      @jenyyusuph4973 Před 2 lety

      @@abdifaraji2883 KUMBE BADO YUPO HUYU ATAISHI HATA AKITIWA KABURINI MAANA HUJAPATA KU SOMA WAZAIDIZI WA I BILIKISI BADO WANA ISHI ILI WAONE UOVU WAO VIZULI TENA HUJAPATA KUSOMA DAJALI NI KAINI ALIYE MUUA ABERI NA ANAISHI ILA JOSAHAUNI TU KIAMA KIMELARIBIA MNASUBILI BALA GUMU SIJUI MKIWA NA VITI GANI

    • @itwaaky75
      @itwaaky75 Před 2 lety

      @@jenyyusuph4973 nani kamuua wewe wakati alikua na matatizo ya moyo na madatari wake walisema

  • @anisiamchembe6552
    @anisiamchembe6552 Před 2 lety +1

    Hata wasomi wanapigwa tu kwa mtu asiesoma ni hatari kwa uongo??

  • @petersilas4234
    @petersilas4234 Před 2 lety +3

    Nilichojifunza hapa pia ni kwamba huyu Bwana anafuata Sana sayansi. Labda angetuweka lockdown kwa kiasi kikubwa. Hii ingeleta athari za uchumi Bila kuleta manufaa makubwa kitaifa. Kwani Loliondo sio kweli kwamba haikujulikana. Mitizamo yote inatufaa kwa wakati wake.

    • @Pharadge
      @Pharadge Před rokem

      mbona labda nyingi na kama ni hivyo angeifunga loliondo lakin hakufanya hivyo. usiwe mwepesi wa kumdhania mtu vibaya

  • @eliaskemiti7785
    @eliaskemiti7785 Před 2 lety +1

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣nguvu zileeeeee……

  • @skjjsj1889
    @skjjsj1889 Před 2 lety +2

    Kikombe wengi walikunywa😄😄😄

  • @omaryregga5315
    @omaryregga5315 Před 2 lety

    Simba SC wawakilish wa nchi kimataifa

  • @ezekielloylepayon5042
    @ezekielloylepayon5042 Před 2 lety +5

    Mzee kikombe hukunywa kweli wewe 😂😂😂😂

  • @happynelson1136
    @happynelson1136 Před 2 lety

    Kuna mtu aliniambia huyu alienda kunywa kikombe mimi sikuamini kumbe ni kweli alikunywa kikombe mimi ni msomi na sikumuamini kabisa yule babu wa kikombe ni hivi mtu ukiwa na ugonjwa usiotibika utaamini kila kitu sababu unataka upone na ndiyo maana yule babu akatumia ujanja ule kuwatapeli watu nilikuwa naona mitandaoni watu wako kwenye foleni kwenda kwa babu nikawaonea huruma mimi naishi nje lakini huwa nafuatilia habari za bongo

    • @mansixwilliamofficial5496
      @mansixwilliamofficial5496 Před 2 lety

      Kwahyo wewe unaona una Elimu sana kuzidi walio enda,?UJINGA USIO NA HASARA NI BORA KULIKO ELIMU ISIYO NA FAIDA

  • @danielsanga8459
    @danielsanga8459 Před 2 lety +1

    Kikwete wewe sio ulinunua na matulubai Leo hii unasema huamini 😂😂

    • @ivankakooza1765
      @ivankakooza1765 Před 2 lety +1

      Hata Barbara alitengeneza ila mm nimemwelewa kiongozi Kama yeye alifanya poa

  • @luciansanga5195
    @luciansanga5195 Před 2 lety

    Tukupenda una Hekima nyingi sana

  • @saeedally268
    @saeedally268 Před 2 lety +5

    Janabi ndo yule dkt ambaye hafai

  • @peteryukunda9239
    @peteryukunda9239 Před 2 lety

    Lile zee lilikuwa pepo kutoka kuzimu.

  • @bonabonaza5066
    @bonabonaza5066 Před rokem

    Jk minakupenda Sana nawakati wako democracies irikua juuu nirikupenda kwa Hilo naanza kukuchukiaa kumpotosha Samia mshauri katiba ipatikane usifinyange Kama urivyo ifinyanga wewe

  • @deohank5995
    @deohank5995 Před 2 lety

    Mh. Kikwete wewe ni jabali la Diplomasia

  • @liesharehema5193
    @liesharehema5193 Před 2 lety +1

    Mlikunywa mavitu ya kuzimu

  • @bjzee1981
    @bjzee1981 Před 2 lety +1

    Waziri wa ujenzi alikua nani

  • @abdultandala6576
    @abdultandala6576 Před 2 lety

    😅😅😅😅 nguvu zinaludi

  • @issiahtweve
    @issiahtweve Před 2 lety

    😂😂😂

  • @susanbomani4120
    @susanbomani4120 Před 2 lety +1

    Watu wengi hata huku Kenya waliamini.That is in the past. People were desperate ndio maana ni muhimu tujenge hospitals tusiende nje kama India kutibiwa. Tuwalipe madaktari vizuri.

    • @rasmgz2367
      @rasmgz2367 Před 2 lety

      Susan uko vizuri, I agree with you 💯 Jah 🙌 bless.

  • @kazadymwamba938
    @kazadymwamba938 Před 2 lety

    Hii santuri ingekutana na mwendazake babu angetia akili

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 Před 2 lety

    Babu aliwadanganya watu

  • @anisiamchembe6552
    @anisiamchembe6552 Před 2 lety +1

    Hata wasomi wasomi wanapigwa tu !!

  • @hassansadiki217
    @hassansadiki217 Před rokem

    na mkubwa mwingine, alieenda. Loliondo kwa Babu kwa GIA ya kusema anaenda kuangalia unyayo wa mtu wa kale, kumbe nae alieenda kunywa kikombe Cha Babu wa Loliondo,

  • @rashidmohamed1903
    @rashidmohamed1903 Před 2 lety

    Wewe uliingia kwa babu kisiri siri ukapiga kikombe

  • @fadhilarashidi5184
    @fadhilarashidi5184 Před 2 lety +1

    Hapo msibani ongea ya msimbani kumbushia mauti na uzito wake

  • @mc-shaulinsingeristmsomi3903

    Mnataka aaminiwe mzungu tuh au sio ,,Yan niwasomi lakindi kwa head mmhn

    • @herculesthepower1544
      @herculesthepower1544 Před 2 lety

      Wewe umemsikiliza vizuri alichoongea mstaafu kabla kutoa comment yako.

  • @anisiamchembe6552
    @anisiamchembe6552 Před 2 lety

    Kumbe na wewe umo kwenye kudanganywaa??

  • @ridhiwanakida3074
    @ridhiwanakida3074 Před rokem

    hii ni Moja ya matukio ya kijinga yaliowahii kutoka tz

  • @josephandrew3444
    @josephandrew3444 Před 2 lety +1

    Mzee gombea uraisi 2025 bado ukopoa!?

  • @anisiamchembe6552
    @anisiamchembe6552 Před 2 lety

    Na wewe kumbe shule ni ndogo??

  • @ridhiwanakida3074
    @ridhiwanakida3074 Před rokem

    hapo ndio niliona hata wanaojiita wasomi ni wajinga ku professor aliacha dawa alaenda kufia kwa babu

  • @dicksonkapera4999
    @dicksonkapera4999 Před 2 lety

    Hiyo ilikuwa mission ya shetani na mawakala zake

  • @lucaslabowa5054
    @lucaslabowa5054 Před 2 lety +4

    KIKWETE chaguo la MUNGU ...HOFU YA MUNGU ALIKUWA nayo

  • @benedictmrisho5947
    @benedictmrisho5947 Před 2 lety +2

    Roho Mtakatifu huwezi kupimwa maabara. Pentecoste ndio maabara sahihi ya Roho Mtakatifu.

  • @msafirimatingo4447
    @msafirimatingo4447 Před 2 lety +1

    Hahahahaaaa

  • @ramadhanmahongole5663
    @ramadhanmahongole5663 Před 2 lety +4

    Namkubali sana babangu huyu hasa katika utawala wake

  • @fadhilarashidi5184
    @fadhilarashidi5184 Před 2 lety

    Kwanini hukuyaongea hapo nyuma acha unafiki wako