JOHN MALECELA ALIVYOPONEA CHUPUCHUPU MBELE YA IDDI AMIN | TUJIKUMBUSHE..
Vložit
- čas přidán 30. 08. 2021
- JOHN MALECELA ALIVYOPONEA CHUPUCHUPU MBELE YA IDDI AMIN | TUJIKUMBUSHE..
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
This is amazing story about mzee Samuel John Malecela
Hii nchi yetu hakika imejitoa sana kusaidia nchi zingine, kwa kiasi kikubwa sana, hakika hii nchi ya Tanzania ni mmoja ya nchi za ukweli sana.
Global TV ikopow san nakubali kazizenu niza viwango vya juu
Jamani. Hebu jifundisheni kuzungumza Kiswahili. Mnatuletea aibu tupu.
I love this voice🇰🇪
Kunao wanafunzi wa urubani Soroti,wa Kitanzania ambao waliyapoteza maisha yao. Marehemu Mjomba wangu aliweza kutorokea Kenya, akiwa na wanusuru wenzake. Baadae alipelekwa Nigeria chuo cha urubani Zaria,kaskazini mwa Nigeria.
Ahsante bwanaweeee
Malecela ni mkongwe sana
Uhalisia wa sauti..
Dom City,stand up.
Msimulizi yuko poa sana.
Ni bora akaadika kitabu Kwa manufaa ya watanzania wote na kizazi kijacho.
Kipo kitabu.alishandika muda mrefu kabla ya hata mkoa kuwa na mawazo ya kuandika kitabu
Miongoni ya wanafunzi hao ni wapi na kwa nn Kambona alimkatali na vipi kuhusu Jonh Simba nyerere kuwapinga wasomi
Good Job
Wanafunzi 21 Duuuh!!!
Mechelewa.kutowa.histr
Wanasubiri mitihani!
Malechela si yupo mbona saut yake. Haipo
Hii hadithi insukweli, mbona inaonekana imepikww..yaani idiamini aende sokoni halafu tsnzania itoroshe wanafunzi?hata kama amini anashida, lakini hawezi kuwa mjinga hivi..tuletee reference mwabdishi..hii hadithi umeipata wapi?
Huo ni uongo..wanafunzi 21 was wapi? Tulikuwa Nairobi chuoni wakati huo., ndugu zetu wa Soroti walikuwa wanatutembelea, kama wangeuawa 21 tungejua majina yao..
Danrod
Mwandishi mbuzi kama mbuzi wengine, yaani hata mchuzi wake mchachu
India tip tip
Amini alikuwa sahihi kui vamia tz kwa sababu ya usalama wake tz Kama nyerere asingempokea obote Vita isingekuwepo
Hhhhhhhh
Ni Uongo hakuna mwanafunzi aliyeuwawa uko Uganda mwaka huu
Duu
Msaga sumu
Dunia uwanja WA fujo
Amini hajawa muuwaji hizo ni propaganda tu!
Propaganda? We unaongea nini? Hivi kwanini huwa mnatetea uongo?
Nyie hata osama hua mnamsifia hiyo ni sababu ya Dini yenu imejaa kuua tu fala wewe
@@jamesverdian2445 kwani hapa Kuna mdaharo wa kidini kakangu?
Kuna ukweli gani kuhusu wanafunzi wa urubani kuuwawa huko Soroti Uganda kwa amri ya Iddi Amin Dada??
@@amoslukyaa5792 na ww ushahidi wa kwamba hawakuuwa unao