CHANZO CHA KIFO CHA BABU WA LOLIONDO "HAKUTAKA WAJUE ANAUMWA, ALIUGUA SIKU NNE"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 30. 07. 2021
  • Mkuu wa Wilaya ya Ngorongoro Raymond amethibitisha kifo cha Mchungaji Ambilikile Mwasapila maarufu kama babu wa Loliondo ambapo amesema aliugua kwa siku nne na alipokuwa anaulizwa na Wasaidiz wake anaendeleaje alikuwa anawaficha na hakuwa anataka wajue kama anaumwa
    "Alisema chembe ya moyo inamuuma sana na alipokuwa anapelekwa Hospitali alianza kutapika na hapo ndipo alipotutoka alikuwa hataki aonekane anaumwa sana na Wasaidizi wake, pale hakai na Familia tunawatafuta Watoto wake tukae vikao ili tujue atazikwa wapi"-DC Raymond

Komentáře • 79

  • @rubensaitoti6839
    @rubensaitoti6839 Před 2 lety

    Polen Sana mungu awatie guvu

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya8276 Před 2 lety

    Ushujaa wa maendeleo, ameweka rekodi wilayani. Barabara, umeme, nk. Alifanya utumishi wake kwa uwezo wa tu Mungu.

  • @BenedictorDaniel-eb8sp

    Kikombe cha babu😢😢😢

  • @mohamedhaidar8040
    @mohamedhaidar8040 Před 2 lety +2

    Subhanallah..

  • @kingswebe3251
    @kingswebe3251 Před 2 lety +10

    ni mnyakyusa pekee aliyewahi kutapeli makabila yote Tz😂😂😂 pumzika kwa amani mzee wetu.

  • @sabatoelia312
    @sabatoelia312 Před 2 lety +2

    Mzee anaaakil sana jero ya wagonjwa imemsaidia kujenga nyumba ya kawida lkn nzur

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 Před 2 lety +2

    Jirani yangu alitoroshwa hospital akapelekwa kunywa kikombe huwezi amini yule kaka alipona na anaendelea kutumia dawa zake anadunda mtaani na afya ikarudi

  • @nurmohammedwalji1158
    @nurmohammedwalji1158 Před 2 lety

    RIP ameen

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya8276 Před 2 lety

    RIP KIKOMBE CHA BABU LOLIONDO. KIMIUJIZA KABISA ALITOA KIKOMBE CHENYE KUTIBU MAGONJWA SUGU NK. SASA AMEONDOKA MCHJ 30.7.21 , NIMONIA KALI JAMANI. NAMKUMBUKA PAMOJA NA WENGINE WENGI TZ NA NJE MAHALI MAHALI. RIP RIP RIP.

  • @leylahleylah4599
    @leylahleylah4599 Před 2 lety +7

    Amekufa kabla hajawaadaa tena kuwa anadawa ya corona...maana angevuna tena....

  • @veronicasulle1849
    @veronicasulle1849 Před 2 lety

    Apumzike kwa amani babu

  • @evalineisaya7423
    @evalineisaya7423 Před 2 lety

    Pumzika kwa amani babu.😭😭

  • @bintiiddy7043
    @bintiiddy7043 Před 2 lety +1

    Algoma kabsa kufa masikin 😂😂😂

  • @hildandumbalo5827
    @hildandumbalo5827 Před 2 lety

    R.I.P. Babu Ambilikile Mwaisapila umefanya kazi ya Bwana kubwa Kuponya, na kuleta maendeleo makubwa Wilaya ya Ngorngoro. Bwana alitoa na Bwana ametwaa jina la Bwana na libarikiwe Amen

  • @samwelmasasi9648
    @samwelmasasi9648 Před 2 lety

    Pumzika kwa amani

  • @mestarkihuguma9004
    @mestarkihuguma9004 Před 2 lety +2

    Ndio corona

  • @noelamtesigwa6819
    @noelamtesigwa6819 Před 2 lety

    Ila mwanzon kabla kikombe hakijafahamika sana kilikuwa kikitibuu.. nina ushahid nacho..

  • @mosesmahinya9654
    @mosesmahinya9654 Před 2 lety

    Bab mwenye nasahaa zake

  • @user-tg8ct1nt5y
    @user-tg8ct1nt5y Před 2 lety

    Apumnzike kwa amani alimponya bibi yangu ambaye a lilala kitandani kwa miaka 10 na ni mzima mpaka leo na bibi yangu anamiaka98 pumnzika kwa amani mzee wetu

  • @zuwenasalim2794
    @zuwenasalim2794 Před 2 lety

    Katika wafsnyakaz wanaopenda kz nihuyu Godi wa Arusha uniform asipovaa Leo kesho lzm umuone nayo hawa wengine mweee wanatangaza vzr lkn wamevaa mbagala temeke kwnn hawavai???? Bosi wa ayo tv shuhulikia hili tunakupenda na hbr za uhakika tunapata kwenye chanel yk

  • @afmabeat9567
    @afmabeat9567 Před 2 lety +3

    Corona na nimonia ni pete na kidole.

  • @pitargamba9208
    @pitargamba9208 Před 2 lety

    Wanadamu wanaogopa kitu kifo, wanasahau maandiko uliumbwa kwa udongo utaludi kwa udongo.leo hii mtu aseme nina daw a ukichanjwa hifi tena watu watachanjwa ni sawa na chanjo ya corona wanachanjwa na wanakufa,

  • @rashidmpozayo7004
    @rashidmpozayo7004 Před 2 lety +1

    Siku hizi mmekuwa nanyi waongo

  • @zenaabdallah3797
    @zenaabdallah3797 Před 2 lety +6

    NDIO KORONA YENYEWE HIYO NIMONIA.

    • @godlistenayo8452
      @godlistenayo8452 Před 2 lety

      Ndo Corona(mviko) yenyewe hiyo jamani kuweni makini msiwe kama Gwajima-mama!

  • @mtaalamwamambo2099
    @mtaalamwamambo2099 Před 2 lety +1

    Tetemeko lenyew ndio Corona au 🤔🤔

  • @mosesjackson_tz
    @mosesjackson_tz Před 2 lety +6

    Kama umeona mtangazaji na babu wanafanana gonga like 🤣🤣

  • @MichaelMwakibolwa
    @MichaelMwakibolwa Před 2 lety +1

    Pumzika kwa AMANI MZEE WETU!

  • @sabatoelia312
    @sabatoelia312 Před 2 lety +1

    Dunia unamambo mtu anatibu ukimw sukar , kifua kikuu,homa ya ini na pressure lkn anauliwa na pneumonia 👀👀👀 mambo ya goliati na daud haya

  • @kipigapasilisungu2581
    @kipigapasilisungu2581 Před 2 lety

    .

  • @itiamekimbui722
    @itiamekimbui722 Před 2 lety

    Kumbe huyu ndiye Babu wa loliondo😂

  • @magechuwa804
    @magechuwa804 Před 2 lety

    Mganga hajigangi

  • @ip_header
    @ip_header Před 2 lety +2

    Babu aliwaingiza watu mjini...

  • @sammykulwa1949
    @sammykulwa1949 Před 2 lety

    Wakati wake umewadia na sisi tutafata

  • @samuelkitana1479
    @samuelkitana1479 Před 2 lety

    Huyo si kashapata hata miaka ya nyongeza mlitaka aishi milele

  • @zuhuzuli.5150
    @zuhuzuli.5150 Před 2 lety +1

    Pumzika kwa aman babu

  • @bjzee1981
    @bjzee1981 Před 2 lety

    Alijifanya anaponya akaja kufa kwa mafua ya pneumonia

  • @mjige9088
    @mjige9088 Před 2 lety

    Corona the Delta virus

  • @samwelmwasomola2457
    @samwelmwasomola2457 Před 2 lety

    Fremasoon amekufa

  • @ilumvalameck1901
    @ilumvalameck1901 Před 2 lety

    Zamu yake🤣🤣

  • @samuelnyanjui8326
    @samuelnyanjui8326 Před 2 lety

    Hiyo ndio coronavirus

  • @dickaugustino2214
    @dickaugustino2214 Před 2 lety

    Kamela man ,kaganda na kamera kumuangazia mzee badala yakuzungusha pia tukaona mazingira

  • @richardkubanda6627
    @richardkubanda6627 Před 2 lety

    Upumzike Kwa AMANI mzee wetu. Nasikitika na comments za kubeza Kwa baadhi ya watu. Tambueni kila nafsi itaonja mauti, maandiko matakatifu yanasema na yamo katika Biblia na Quran. Badirikeni

  • @levinamwanakulya9379
    @levinamwanakulya9379 Před 2 lety +1

    Maskini kikombe chake kimeshindwa kumtibu

    • @jasminjuma6390
      @jasminjuma6390 Před 2 lety +1

      Hawezi kujitibu umauti wako ukishafika yani hiyo siku haipiti saa dakika Wala sekunde Allah amlaze Mahal pema peponi

    • @abdulrazakhassanor498
      @abdulrazakhassanor498 Před 2 lety +2

      mganga/daktari hajigangi kuwa muelewa

    • @pepelaalkithir4445
      @pepelaalkithir4445 Před 2 lety

      @@jasminjuma6390 amin inshallah 🤲

    • @jemamhagama4978
      @jemamhagama4978 Před 2 lety

      Madocta bingwa pamoja na ubinngwa wao na wao wanakufa sembuse yeye! Rejea kila nafsi itaonja mauti !

  • @aminakawawa1935
    @aminakawawa1935 Před 2 lety

    Babu alikuwa tapeli

  • @bjzee1981
    @bjzee1981 Před 2 lety

    Mbona asinge jitibu

  • @abbaslivene
    @abbaslivene Před 2 lety +1

    baba angu alifia uko kabla ya kumuona huyo mzee..atuku baatika hata kuona mwili wake...

  • @damariszuckschwert9489

    Mzee tapeli huyu mfano hakuna. Alitaka kutapeli tena ya corona, ikaamua kupita nae.