@@agathabernard7338 Congratulation Sis Keep Moving naonaga mnavyopamba kuna yule dada wa moshi (Hossian Shao Kama Sijakosea) nais kama mnafanyaga wote kaz Shao i have seen wonderful stuff Mungu Akawape kibali mkazid kumuabisha shetan Mbarikiwe sana 😊
hongera sana Agatha wewe ni shujaa naendelea kuamini kuwa wanawake wa Arusha nimashujaa na upambanaji wao hauna tofauti na simba jike km ulivyosema ❤❤😇
@@samuelemmanuel3400 Sam kaka. Nafahamu binadamu tumeumbwa kuongea, jambo moja Tu Natamani ujue. Sio kila mwanaume Ana uwezo wa kumsupport mwanamke na si kila mwanamke anasubiriwa kuwa supported na mwanaume. Hata ukijua chanzo cha mapato na pesa zangu kaka hazitasaidia, angalau ungekua unanijua kwa undani ungekua na haki ya kusema. Tujifunze kuheshimu na kuthamini jitihada za kila mmoja. Na Kama haipendezi, ni bora kukaa kimya. Busara ni bora kuliko ujinga na siku zote wenye kupenda mafanikio ya wenzao ndio Huwa wanafanikiwa. Omba, then jifunze kutoa na ufanye kazi kwa malengo 😊. Nakutakia maisha mema kaka
@@divinemushi1417 kwa wanawake wa Kitanzania ni almost wote ni kuonga au wanafanya umalaya wanadanga, wewe Unajua bei ya hayo magari na huyo alikuwa ni mbeba mzigo na dereva , na inaonekana wewe ni mgeni hujakaa Arusha na Moshi na hujui biashara ya utalii kuna wanawake wenngi wanadanga huko mbugani 😅😅😅😅 eti superwoman 😅😅😅😊
@@samuelemmanuel3400 mkuu ni kutumia common sense tu Labda hayo magari alikunya makimba kutoka kwenye matako yake makubwa na kuyafinyanga kama mwanasesere , ila wanawake ni watu wa kudanga na kuna wanaume wapumbavu uwa wanaoga tu akikatikiwa kiuno na akipewa kuma na mkundu basi anapagawa, na wanapata favour sana wanawake wa Kitanzania hata makazini na siku mna Rais mwanamke huku ndio wao wana sauti
Hongera sana binti, kazi ya upota ni ngumu, unabeba mzigo mzito huku unapanda mlima...niliwahi fanya hiyo kazi mlima Meru, sio kazi ya kitoto. Mungu azidi kukuinua.
Hongera sana! Mwenyezi Mungu aibariki kazi ya mikono yako. Ubarikiwe utokapo na ubarikiwe utakapoingia....Leo kesho, na hata milele... ameen
Hongera dada Agatha Bernard, nimependa interview yako inanitia moyo mno, kama kuna kazi naomba nimesomea wildlife ndio nimemaliza Nov 2022
Uwa nafrahi Sanaa nikiona wadada wezangu Unaendesha vyombo vyamoto #ongera Sanaa ❣️❣️❣️
Hongera sana Agatha kwa mafanikio yako. Lakini wewe pia ni mzuri na above all una sauti nzuriiii saaaanaaa
Ana sauti ya utangazaji
Seriously tuacheni uongo kuna sponsor mahali😂😂😂😂
Hii sawa
🤝
Hongera Sana binti kwa kudhubutu hatimae umeweza songa mbele usiache kumchq Mungu maana ni chanzo cha maarifa
Well done my sister you are truly a strong woman may almighty bless you and your work much appreciated from mombasa Kenya l salute you hongera
Amen dear. Asante Sana. May God grant all your wishes. Keep going & welcome to Tanzania via Afro lioness
@@agathabernard7338 Congratulation Sis Keep Moving naonaga mnavyopamba kuna yule dada wa moshi (Hossian Shao Kama Sijakosea) nais kama mnafanyaga wote kaz Shao i have seen wonderful stuff Mungu Akawape kibali mkazid kumuabisha shetan Mbarikiwe sana 😊
Hongera sana dada mdogo,uko vizuri,tunasaidiane tusiwe waregemezi.naomba kuwasiliana na wewe kushare mawili matatu.
Congrats Agatha, awesome 👌
Congratulations 👏👏
Mwanamke Aweza kama mtoto kakaa Tumboni miezi 9 na akamtoa weweeee dont joke with a Woman RESPECT OK
Hongera dear...u deserve it😍😍😍
Hongera sana my dear tour guide mwenzangu japo Mimi nilikimbiaga funny kitambo🥰🥰🥰
Nimekupenda Bure.. you're really a lioness 💪💪💪
Hongera sana hakika penye nia pana njia.
Big up sana mrembo .Sasa unapatikanaje
Hongera sana Agatha wetu wa ilboru jamani❤,dokta mndeme must be proud of his daughter
Congratulations
Napenda wadada kama uyu wanao jituma. Big up dada 👏.
Am proud of you dear,Mungu azidi kukusimamia
Hongerah sana saa simba wa kike Mungu akufanyie wepesi zaidi na zaidi kazi yako tamu sana
MashaAllah..
Congrats beautiful 😍 💓 💖
Hongera sana umepambana sana umefanya kazi nyingi mbalimbali hatua kwa hatua uko saw big up sana👍👍👍👍
👏👏😍😍💪Mwenyezi Mungu akulinde
Hizi story bhana ukizisikilaza kama huyu kufikiria mbaliii woiiii nipe mbege shirima
Hongera sana mdogo wangu Mungu akubariki sana
Congratulation sis, you are a superwoman
Congratulations 👏👏👏
Hongera sana daughter keep going
Well wishes famale guide 🇹🇿
So Many Congratulations Agatha 👏
Hongera sana mwanamke jaairi na shupavu Mungu akutunze.
Hongera sana mdada upo vizuri sana
So inspiring
Jomoni MashaAllh nimekupenda bure ddangu .
Wow congratulations super women ,ila arusha ukiacha uslay queen kuchagua kazi pesa ipo sana sehemu za wageni izi ukosi
Wengi wao ni malaya uwa wanajiuza kwa Wazungu
Dada Ubarikiwe Sana, really Inspire story Simon Uriyo Capetown SA
God is great
Hongera dr,u deserve 🤗
Hongera mpenz Mungu akufikishe mbali zaidi
Big up by me AFMOBY JUNIOT TZ
You are intelligent Agatha
Big up Agatha. Unajitahidi
Woo.hongera.sana.dada.mungu.akubariki.amina
hongera sana Agatha wewe ni shujaa naendelea kuamini kuwa wanawake wa Arusha nimashujaa na upambanaji wao hauna tofauti na simba jike km ulivyosema ❤❤😇
Congratulations my sister
Hongera saan 🎉
Hongera sana mawenzi casfeta gilr jamn mungu akuinue zaid agatha
Wooh Agatha congratulations kpnz
Naomba no dada angu
Agatha, nimejifunza kuwa juhudi siku zote zinamafanikio maishani, Mungu aendelee kukupa haja ya Moyo wako
Amen Renati. Kuna wakati utapitia mengi na magumu ila trust the process that God is taking you through. Usiache kuomba 💕
@@agathabernard7338 Nakupongeza sanaa Nikuombe utushike mkono hata sisi wanawake wa vijijini jamani
Wow. Hongera sana sana sana Agatha
We Mungu akuwezeshe
Your lioness my dear tunaweza
She's a real lioness I do appreciate her.
Ubarikiwe mwanamke
Nampenda sana AGATHA THE LIONES.....NAMPENDA MNO
Mashallah Allah tabaraq 🙏
Hizi ndio interview ambazo huleta faida kwa vijana
Yes sio zile za Wapuuz et mimi natumia Milion 1 kwa siku Mara oooh bado langu kwa week Milion Wanakera
Kabsaaa
Very true brother ,
Duh nmekupenda bure ulipo na umri wako keep it up Agatha
Be blessed always mydear Agatha
Hongera bi dada
Keep it up Agatha
Hongera samba jike binti wa kipare. Piga kazi mama,
Hongera my dear
Hongera sana♥️
Kaz nzur,Wa Jina Wang Agatha hakika umeniambukiza ujasiri huu mkubwa wa kuthubutu kufanya vtu bla kuogopa,my dear ila Ktk Kristo Yesu mwokozi wetu.
Keep it up dogo
Nimempenda Sana napenda Sana utaliii ingawa sijawahi naomba namba zake
Hongera sana mndeme mwenzangu
Hongera sana naomba kupata kuwasiliana nawe ili unijengee ujasi kama wako na mm nifike marengo help me,prz
Agatha congratulations dear
My schoolmate Agatha 👏👏congrats sis
Thanks dear
Manshaallah 2
Congratulation superwoman 💪💪
So what? Mbna ingekua mwanaume usingehoji? Kipi ambacho hawez mwanamke kufanya? Tatizo mnaamini kila mwanamke aliefanikiwa amehongwa na ndo mtabaki sana nyuma 😏
@@samuelemmanuel3400 Sam kaka. Nafahamu binadamu tumeumbwa kuongea, jambo moja Tu Natamani ujue. Sio kila mwanaume Ana uwezo wa kumsupport mwanamke na si kila mwanamke anasubiriwa kuwa supported na mwanaume. Hata ukijua chanzo cha mapato na pesa zangu kaka hazitasaidia, angalau ungekua unanijua kwa undani ungekua na haki ya kusema. Tujifunze kuheshimu na kuthamini jitihada za kila mmoja. Na Kama haipendezi, ni bora kukaa kimya. Busara ni bora kuliko ujinga na siku zote wenye kupenda mafanikio ya wenzao ndio Huwa wanafanikiwa. Omba, then jifunze kutoa na ufanye kazi kwa malengo 😊. Nakutakia maisha mema kaka
Thanks love 💕
@@divinemushi1417 kwa wanawake wa Kitanzania ni almost wote ni kuonga au wanafanya umalaya wanadanga, wewe Unajua bei ya hayo magari na huyo alikuwa ni mbeba mzigo na dereva , na inaonekana wewe ni mgeni hujakaa Arusha na Moshi na hujui biashara ya utalii kuna wanawake wenngi wanadanga huko mbugani 😅😅😅😅 eti superwoman 😅😅😅😊
@@samuelemmanuel3400 mkuu ni kutumia common sense tu Labda hayo magari alikunya makimba kutoka kwenye matako yake makubwa na kuyafinyanga kama mwanasesere , ila wanawake ni watu wa kudanga na kuna wanaume wapumbavu uwa wanaoga tu akikatikiwa kiuno na akipewa kuma na mkundu basi anapagawa, na wanapata favour sana wanawake wa Kitanzania hata makazini na siku mna Rais mwanamke huku ndio wao wana sauti
dah ,,,hongera mnooooo
hongera sana dada mpambanaji
GREAT AGATHA! WEWE NI SIMBA JIKE HASWA
Ongera Sana sister nimekukubali Sana samahan sister naomba Kama ukiskia mahali kuna kazi naomba unisaidie sister mm ni chef na Nina uzoef wa miaka 6
No yko
Mpaka umenishawishii natamani mnoo ila ndio vile tenaa! Hongeraaa
Usikate tamaa na wala usijihis huwezi. Anza upya kwa malengo🎁
Uanze upya kwa malengo ila udange kwa kiakili tu kwa wazungu huko maporini wako wengi madada huko chuga wamefanikiwa kwa kuuza mwili wao kwa Wazungu
@@kabwelasutiviraka4765 Mhhhhhhhhhhh!
Great dada
Hongera sana keep fighting
Nakupenda ccy Agatha
Congratulation sister
Finally
Wonderful girl
Hongera sana binti, kazi ya upota ni ngumu, unabeba mzigo mzito huku unapanda mlima...niliwahi fanya hiyo kazi mlima Meru, sio kazi ya kitoto.
Mungu azidi kukuinua.
Mungu akupinganie mwanamke wa shoka
Hongera my
Usiombe upendane na huyu Dada halafu we mwanaume kilaza😀😀😀🔥🔥
Ahahaaaa
@@happychristopher1067 hatariii
Unatutia moyo wanawake wenzanko tunakushukuru mungu akubariki
Hongera sana Agatha
Hongera,sana
Hongera pia kwa rangi yako ya asili
Hongera sana dada endelea kumwamini mungu atakuongezea
Amen kaka 🙏🏾
Interesting
MashAllh 🥰🥰🥰
Kuna umalaya sana huko kwenye Utalii Arusha Moshi wengi wanauza kuma na mkundu kwa Wazungu Kwa hiyo wengi mafanikio yao ni ya kuuza miili yao
Hongera mrembo,,,,, tupo nyuma yako tunapambana
Hongera saaaana ❤❤❤❤
Jamn Hongera zake nimesoma nae kindoroko
Mdada yuko natural ad raha an mzurii hatari
Aaah, one day moi dream will come true