Bongo Star Search 2021 Audition Arusha Ep1 FULL SHOW
Vložit
- čas přidán 1. 11. 2021
- Tazama Full Episodes mpya za BSS SEASON 12 kwa wakati kwenye ST Swahili kila Jumapili saa 3 usiku, kupitia dikoda ya Startimes au App ya Startimes ON
:Vionjo vipya (BSS EXTRA) ni kila jumatatu, jumatano na Ijumaa saa 2:30 usiku ndani ya StarTimes Swahili Channel
Bongo Star Search
Follow Our Pages
Facebook: / bongostarsearch
Twitter: / bongostarsearch
Instagram: / bongostarsearch
SnapChat: BongoStarSearch
TikTok: bongostarsearch
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: / slidedigitaltz - Zábava
Been eagerly waiting for this ,,,,, but finally its here ...lets do it ....KENYA REPRESENTING 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Kucheka mutiye mbali munawarudisha nyuma sana wabwenge nyiye bora wa marikani wakisema nono wakisema yes yes wabingo shida
Haya makazi sio makande banaa hujasikia fresh
Tunafurahia kwa kuanza kutupostia hapa CZcams Episodes za BSS... Thanks and much love
🥰🥰🥰me pia
Mimi nimependa kizazi Katili Hapo ''Shuka baba la baba la mababa, vibe yao imetisha
Mze wa sambusa nimempenda sana sana
Madame Rita barikiwa kwa kujitolea kusaidia selekari ya Tanzania kulea watoto wa inchi,,
Mashallah madam Rita kila siku u look young 👍
Weeeeee mbn mzeee
I am a great fun from Kenya. I looove the new host, she is such a vibe!
Keep on updating guys i laughed in while bong star search never die from 🇧🇮🇧🇮
For me master J is more black and white than the others 🙌🏾🙌🏾
Minah Ally I love yuuuu forever
Wao wanamuogopa sana Salama na Mr J
Yule baba mwenye matatzi ya macho anajua kuimba anaimba kama Pro. Jay ila wamemkatili
Sambusa Oyeeeeeee
Wamagitaa mmetisha mpo vzr aise kazeni buti
The sumbusa guy is very Humble
Kenyans take this as comedy🤣🤣🤣....cant take Tanzanian's seriously ong🤣🤣🤣been laughing for 30 mins straight
Washindi tunaweka wap mizigo😂😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌
Nmecheka kifalaa😁😁😁
jamaa wa sambusa anajuaa,.
Jamani hapa nilipo nimecheka vyakutosha
naangalia kwaajili ya salama jabir
😂😂😂tuko pamoja
RITHA MADAM YOU ARE A GOOD DECISION MAKER MASTER J ANAJIBU KIENYEJI SANA ,HAJIBU KITAALAMU LAZIMA MUWAPE NJIA WANAKOSEA WAPI NA WAFANYE NINI?
Nilichokigundua BSS ukienda na Guitar 🎸 chance ya kupita mchujo ni kubwa sana kuliko ukienda mkavu
This should be a comedy show😂😂😂too funny
Mbona watu wengine wanaweza lakini mnawaacha
WONDERFULY SANA MNAINGIAJE NA ALA ZA MUZIKI KAMA MAPAMBO INASHANGAZA SANA.MUNGU AWABARIKI SANA.
Mamuombea salama atoweke kwa kipindi hiki
ARUSHA MNATUTIA AIBU SANA KUIMBA HAMUWEZI NI SHIDA SANA.MSI TAKE EASLY JAMANI HAMUWEZI MBONA TUNA SEHEMU NYINGI ZA MAZOEZI.HONGERENI KWA KUJARIBU.
Abdalla Oyeeee🤣🤣🤣
Hawa judges hawana chills 😂😂😂 yaani hapo hapo wimbo haina mvuto 😂😂😂😂 much love from 🇰🇪🇰🇪
kachukue begiii😂😂😌da salam nacheka
Yaani nacheka ivi vituko umu
Mbona mnawatoa watu wanaojua
washindi tunaweka wapi mizigo😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
Huyo salama anazengua kabisa
254 well presented looove the vibe miss mina
kwa yule mdau wa nerea, aliemuita bikira, salama ndo amezingua, alitakiwa aendelee kuzungumza hata kama mchizi ameonesha kuchekeshwa na kauli zake kwa sababu hata wao huwa wanawacheka sana vijana wanaofanya perfomance hapo hatakiwi kupaniki kwa sababu yeye ni jaji ili asije poteza ndoto ya mtu.
Mkaanga sumu salama Jabir
Dah... Jamaa kaitwa bikira bana😂😂
Uyu mwengine sasa...Duuuh....Halafu kuingilia maisha binafsi hayakuhusu🏃🏃🏃🏃🏃🏃
Yaaan meena Ally ,,,apo sudy brown wa Arusha nae akhajhaaaaaaaa🤣🤣🤣🤣
Salama is just a vibe🤣🤣🤣
I love this all the best to judges and upcoming singer
ASHA short film (teaser)
Arushaaaaa
"Sambusa me nnayo sna haja ya sambusa" 😅😅 salama
Ntalaaaaa naaaaa aweeeeeee
Mmmh Hutu atakuwa mchaga tu kaja na godoro. Atakua tu ameamua kuhamia kwa master J
Salama jalank utaua watu hahahahah nimecheka sana
Nimefurahi kuwaona tena
Tunaomba muwe mnatuekea youtube hizi episodes @Bongostarsearch
If you miss Idris piga hii comment a like
Awa Judges awana vigezo vyakuwa ma judges...... Upuuzi mtupu.
Salama upo vizuri
I really liked the sambusa guy. Wangempa chance
Majaji hawakumsikiliza vzuri hassan
Idriss yuko wapi jmn,maana alifurahisha sana
TIZAMA HAPA SEASONI ZA LOVE STORY KWA KISWAHILI SINA MAMBO MENGI GUSA HAPA czcams.com/video/nY6Rn2x9JVo/video.html
👌👌👌👌👌
THE GUY WITH DE GUITAR WAS OKAY!!!
Dogo janja 🥰🥰🥰🥰 kaweza mnooo
Kumekucha uku
Kumbunguza ukali
Anamuona Salama
Would love to say that this ain't really a talent search show but more of a time management gig.... 😊😊str8 outta 254
For what I know salama sio kuwa ana gubu ni magonjwa wa psychological problem hii inasababishwa na msongo mkubwa wa mawazo "salama please try to have fun do things you really like in this world kupunguza hasira watu watazid kuogopa kuja kuonesha uwezo wao"
🤣🤣🤣🤣
Sasa mtu anakuja na tauro unategemea umjibu nn achen kulalama
Kingreza
Ila wabongo bana. Sasa unaulizwa swali badala ya kujib unaomba chance. Alaf jaman confidence ndio kila kitu Salama hana shida ni uoga tu wa watu
funika katumbo kabaya akoo
0137 YUKO VIZURI ANAJITAHIDI WAAMUZI HAWANA UTULIVU HATA KIDOGO.KUWENI MAKINI WATIENI MOYO.>AMEN
Lakini ujama wasambusa anaweza
place to relieve my stress🙄oooh thank you🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
James abraham
Salama sio wewe tu unofurahi mimi hucheka mpaka jamaa wanafurahisha
Dar Arusha kuna vichekesho dar atari hakuna waimbaji aise mmefeli
Guiter i love you😞❤❤❤
hapa hakuna majaji, yupo mtu anaitwa inonccent nganyagwa kwangu ndo best kwwa ujaji
Am trying to understand These Judges ,😂 they need to be judged too
Yes of course they no nothing about judgement!!!!
@@joanithamwaudama9928 I agree
Master J unazingua sana
Amna majaji apo yn majaji wenyewe mikundu tu maana kuna waatu mmewatoa na wametisha na mmewapitisha mambege
Ommy you have a good heart 🥰
I miss idris
Haki vile mmenimalizia bandle langu sijapendra😂
Moto moto
Master J ni comedian aliyejificha..! Comments zake nazifuatilia sana
Thnx zote tuwekeeni
Vipi
SALAMA ni MKOROFI Even kuliko hata masterjay ila huwa yuko kwenye upande sahihi maana huwa ampitishi mtu kwa mihemko
❤️🙏🙏💪💪❤️❤️❤️💯💯🔥🔥
Naimba kingreza.. 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mnachelewa jamani kuweka video
Huyo Dada anae ita walinzi anajiskia nahana lolote bureee
Jamani wasambusha yupo vizur mpeni kura yake Tu
20:03 nimecheka 😂😂
🤣🤣
Sasa mbn kuna watu naona kabisa wanaweza lakini wanachinjiwa baharini, kuna wale watatu waliovaa nguo nyeupe wamezungua
Weee salama wee sambusa unayo !!!???
Mentality
Mze wa chuga anatoka sababu gani
Chia🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Tunaomba Alfred abaki
Alishatoka