Bongo Star Search 2021 Ep 04 DODOMA & ZANZIBAR FULL SHOW
Vložit
- čas přidán 27. 11. 2021
- Tazama Full Episodes mpya za BSS SEASON 12 kwa wakati kwenye ST Swahili kila Jumapili saa 3 usiku, kupitia dikoda ya Startimes au App ya Startimes ON
:Vionjo vipya (BSS EXTRA) ni kila jumatatu, jumatano na Ijumaa saa 2:30 usiku ndani ya StarTimes Swahili Channel
Bongo Star Search
Follow Our Pages
Facebook: / bongostarsearch
Twitter: / bongostarsearch
Instagram: / bongostarsearch
SnapChat: BongoStarSearch
TikTok: bongostarsearch
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: / slidedigitaltz - Zábava
Jamaa aliyeimba mama ni hatari vocalist wa ajabu bwana mdogo ana kipaji cha uhakika 💯mgemuacha mgebaki na bongo starsearch yenu
Huyo hellen yupo Na kipaji atafute menejimenti a rekodi ngoma atoe media zipo tutamsapoti ana kitu level za Nandy akiandikiwa ata nyimbo hit anatoboa atucheki wadau hapa
Siku mwende iringa mjinii jaman sio mbeya tuuu
Ok I'm from Zanzibar, the guy who sang Ukuti Ukuti had me lol!🤣🤣🤣🤣🤣🤣.
Aliegundua madam amepiga vyombo nani😂☝️
👆
Big up judges nawapendaga bure❤️❤️❤️
Duuuu aliemremba Madame litha yuko vizuri sanaa🙌🏿
Meena Ali...Unatangaza vizuri sana...I like you❤❤❤
czcams.com/video/e0KLBS_qGoo/video.html
Mimi kwa kweli huyu kijana mwenye kasi ya 4G amenivunja mbavu tangu nianze kuona Bss sijawahi ona kituko kama hichi
Mina mashallah 😍 ❤
Tatizo lenu majaji mnajichanganya mnachagua wasiojua kuimba ndio mnawapa Yes mnawaacha wanaojua
Salama una nini lakini😂😂😂viatu ni vyake jamani🤣😅
Hongereni kwa kulea vipaji
Hellen nmekupenda hauna moyo wa kukata tamaa....fighting girl!!!
Alieimba nyimbo ya mama ni fire 🔥🔥
SULEYAAH umeuwaaaa 😆😆😆😆👌👏👏
Mshindi wa BSS ni Huyu wa Mwisho anayetaja mama mzazi. Haimbi Bali ana flavour flani ambani haiwezi kupatikana Kwa Mtu Ila Kwa kuzaliwa nayo
nmekuelewa bro baada ya kumfikia huyu mwamba
Huyo anafika top 10 ila hashindi mana uimbaj wake wapo wengi ambao washapita mikoani
Ms Rita umependeza sana na una roho nzuri sana MMUNGU akubariki sana
Ndio maana ben pol anaonekana icon... Vipaji Dodoma kwa nadra sana...
East africa and beyond madam
Nakupenda sana meena from oman 🇴🇲
Rasta katudhalilisha wenye ndevu aiseeee!
Wagitaaaa plz plz
,😂😂😂😂😂Alie sifiwa kidevu mbavu zangu 😂😂😂😂😂
Gasper 🔥🔥🔥🔥🔥
Tumuogope tu mungu jaman uyo dada anajua sana ila kila akijalibu munamrudisha anajua sana na saut anayo sijui hata munamuonaje
Kalii
Meena Ally is a good presenter lakini katika kipindi hiki kapwaya. Ana force sana kuchekesha kiasi ana haribu.
Kabisa
You were in my mind
..khaa yaan wa guitar mmemuacha
Mutaniua nyinyi😂😂😹😹😹😹
😍😍😍😍😍😍😍Yani anajua Sana
Kitaa la jamiii ni 💥💥💥💥💥
57:22 amna kitu special chochote apo...madam aache huruma za ajabu...huruma zake kwa hamis zikaja kuzaa dhambi...madam aache kuendekeza emotions...huyo kaka hayupo vibaya kwenye kuimba lakini sio mkali kiivo adi apewe chance....emotions zitatupeeleka pabaya wanawake
True
Nakubaliii saaaaana
Gita la jamii ana hatarii..
Suleya I like her energy 💖💞
Ameweza
huyo dada salama ana mwabia msichana kuwa kesho ukija uvaevizuri upedeze yeye alivyova hastahili kuwa jaji siyo yeyetu wote watatu hawa stahilikuwa majaji kwa sababu hawana sifa wote watatu au kwasababu wanaonekana kweye tv hakuna hata moja abaye alikuwa mwanamuziki star
Salama tom boy huyo hapo ndio kavaa kamaliza😂😂
Salam i like it
Wooooooyo
Nice ❤️❤️❤️❤️❤️❤️you boyyyyyyyyyyyyyyyyy
Nice e
Madam lita kagonga vyombo, ana Wenge hatari 🤣
Gasper
Nampenda madam umefanya vzr
Aya salama
Try si
Aky apa master j,,,mnaua,,,watuh hawa n funny,,,
amechua tension zetu ni nzuri iyo music ni feeling iko poa sana
Am enjoying from Kenya
czcams.com/video/e0KLBS_qGoo/video.html
Huyu jamaa wa guitar anajuaaa
czcams.com/video/e0KLBS_qGoo/video.html
I like you salam from 250
Kudadeki Gaspa mpiga gitaa anajua sana ajabu sana mmemkosesha nafasi ana deserve kwenda Dar es salaam mmezingua booooo kwa majaji 😡
Rita on heat
Salama zuchu 2anaweza
Safiiiiiii, umeaibika huna salio 🤣🤣🤣🤣🤣
Sema mwenye gita anastahili sana
I love mena ally
Bangi ya dodoma noma
Madam Rita is very humble
"Come here give me a kiss" at 38:0 he is a good singer❤
czcams.com/video/e0KLBS_qGoo/video.html
umenote hadi dakika 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Huyo mshiri namba 0089 toka zanzibar ni more more yukopowa sana 👏👏👏
Hata 0090 yukosawa daadeki zake
Kukataliwa bss ni baraka... Waulizeni
Harmonize
K2ga
Cheed
K2ga na Cheed walikataliwa bss ya miaka ipi
Kweli
@@bilha_nyawera search k2ga bss na cheed bss
Hata ndugu yangu darasa walimwambia sauti ina kwaruza
I disappointed yule jamaa mpiga gita kurudishwa....please kama mtakisikia kilio cha mashabiki naombeni mumridishe....ni maombi yetu cyo ya kwake....Mungu atawazidishia kama mtamrudisha....mleteni akashindwe mbele kule..lkn kwa hapa mwanzo pls and pls baba angu na mama angu ( maters J na madam Ritha) na dada angu kipenzi salama naombeni arudi .....cmfaham ila nimependwa nae jmn naombeni 😢😢😢😢
Yupo aliingia kwa tiketi ya dar labda Kama katolewa jana ktk top 20
Guiter la jamii mm sina mbavu jamani😂😂😂😂😂jamaa ni mkali wa Guiter
Napenda mum Rita
Yan kumuacha uyujamaa wagitaa mmezingua sana jamaa kawapigia gitaa wezie lakin yeye ndoanajua kuliko wote apo
Alikuja dar kapita
Usifanye hivyooo
Naomba kuutambua huo wimbo aliouimba huyu jamaa aliemkiss Madam
Msimamizi mkuu wa shuguli hizi huwa ni shetani naye huchagua washiriki wake wakipita huko nahuko kuangamizi kizazi ktk laana ya miziki ibada ya shetani alie laaniwa nao walaaniwe kila wapitapo kuangamiza kizazi.
Mh😮😮😮
Duh umefika mbali sana baki na iman yako mkuu hii ni kazi ya watu hata mm kwa imani yangu muziki ni haramu lkn sijawai kaa na kumlaani mtu kias hiko umefika mbali sana
Yani hili Taifa kila mtu Nabii khaa! jamani kwanini lakini ndio maana Taifa linazidi kuzorota kwasababu kila kinachokuja kipya kwenu hamjawahi kukisapot kila kitu mnakosoa😏😏 tufikie mahala tubadilike jmn 😅
Sasa umekuja kusikiliza nini shetan mdogo
@@jwisetv4833 usipo wasikia mashetani kama nyie hatuwezi kuwakemea yatupasa tusikilize uchetani wenu halafu tukemee. Hata Mungu kabla ya kumlani Shetani alimsikiliza madai yake
Salama bhana eti hmn k2 apo🤣🤣🤣🤣🤣🤣
MI naaza ni yuletule au niliina mzimuuu.....ulivyo nipita na speed ya 5G yaani nvyaaaaaaa😂😂😂😂😂nimecheka yote
nimependa introduction.....
Suleyah energy sawa
Magic vipi tena kwenye ndondo
Dodoma oyeeeeee
Suchscribe,,,, hahahahahaahhahahah madam umetishaaaaa
Salama rohombaya
His good just give it to him
czcams.com/video/e0KLBS_qGoo/video.html
Idris sultan...... Hapa anafaa sana huyu anafeli
Z'bar hamna kitu yankeeee😂, acheni wale orojoo😂
Suleyaah 😂😂😂😂😂😂
Mungu hakupi kila kitu 😂😂😂 Rita jamani
Ommy kaaibika😂😂hana salio
Nakukubal San Salam pamoj san
Hahaha awiiiiiii
zuch new
Suu is best
18:00....0214 anaweza saaaaaaaaaaanaaaaaa
This episode is so good n funny . Madam Rita you killed Salama with laughter
Suleya fayaaaaa
Gaspard mutoto muzuri sanaaaaa
Huyu kijana ambaye ame anza kuimba anaweza akifika darslam hichokitete kitaisha
Ayaaa
salama upo
comedian Mshiriki Mwenye Adabu😂🔥
Jamani huyo aloimba ukutiukuti😂😂😂😂
😍😍😍😍😍
Huyu zuchu asainiwe na zuchu tafadhali.
No 1 anajua kuimba,shida kinatetemeka ,unaogopa nn we boya watu wa mbeya xo waoga
😂😂😂😂
Jamani mimi nataka majani ya zabibu