BSS ARUSHA: MLEMAVU WA MACHO APIGA 'COVER' YA FEROOZ, KILA MTU HAJAAMINI
Vložit
- čas přidán 26. 09. 2021
- BSS ARUSHA: MLEMAVU WA MACHO APIGA 'COVER' YA FEROOZ, KILA MTU HAJAAMINI
MASHINDANO ya Kutafuta vipaji Tanzania (BSS) yameendelea kurindima mkoani Arusha ambapo watu mbalimbali wameendelea kuonesha uwezo wao wa muziki...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
Binafsi huwa najisikia fraha sana ninapoona sisi wabongo tunapokuwa tunachukuliana kuwa wote tuko sawa, Khalid kakubalika na washikaji zake na pia nimemkubali cause hajichukulii kuwa yeye ni mlemavu wa macho ila anachokifanya ni kukomaa sawa na wangine wenye uwezo wa kuona! Jamaa huyu ni noma na kitu kinachonishangaza ni kuhusu utunzi wake wa mashairi, big up sana na apewe chance na supporter hizi ndizo dhahabu za bongo, Mwenyezi mungu azidi kumbariki dogo!!
Kwel aisee
N m
N mn6xx
N mn6xxm
Mungu atakusaidia brother
Nimewapenda vijana wanaroho nzuri sana hongereni kwa hili
Mugu bariki kalikali Babu Babu Noma Noma
Mm nakutakia safari njema kaka hakika wewe you made my day
Wizkidayo from kigoma huyo dogo yuko vizurii😁
Ndo walivyo.. nimesoma shule ya Jumuishi jamani..!! Mungu mwema sanaa.. wana vipaji mnoo🙌🙌
Katisha jamani uwiiiii Mashaallah
Nakubali sana bro Mwenyez Mungu atakusaidia ...
Mashallah Yuko vizur ameongea vzr
Niupendo wahali ya juu kweli Mungu huwa hakunyimi vyote 🙏🙏🙏🙏mbele patakua pazuri
Wow wow. Much love from Kenya
Pesa akamuongeza ile katika maongezi maongezi boss kamtongozaaa,
Mama akiangalia hali aloiacha nyumbani
Ni dhiki kubwa ambayo kwakweli hakuitamaniii na kama unavyoelewa mapenzi ya siku hizi na alishahaidiwa atagharamiwa yote matumiziii ikabidi akubali tena bila kipingamiziiiii ........ Oyeah Khalidi umeua
Halidi uko juu🙏👌
Broh anajua aisee, bless
Daaaah ni super talented, mkali kinyamaaa
Khalid katisha san, jah a bless
Yaan umetishaaa Bora ufike hata fainali nakuombeaaa 😅😅😅😅
More blessed wajina wangu kuanzia jina hadi umri,,Mungu akubariki🙏🙏🙏
Atashinda usijali
Khalid yupo vzr aisee sapot tuu inaitajik kwake
Daaaah kaka yupo vizr sana
Mashallaha kumbe ime anza bbs 😅😅😅😂😂ina ondowa mawazo
Kabisaa😂
Guud uko vizuri kharid
Arusha is certified Land of Hip Hop and home of Big Rappers
Arusha anaupendo sana
Ongera sana halidi kwa kipaji ulichonacho
Huyu jamaa yuko.vizuri.Very talented.
I wish I get his contact
from 254 it's lit Bruh without eye sight you kill it ❤👊
Ahsanteni wajuba kwa kumsapot mjuba!! Smart kinouma♥️
Latisha jamani anaitaji sapot
Jamaa yupo safi kwa kweli!
Yuko pia sana,mungu amjalie.🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻👏🏻👏🏻👏🏻
Daaah m/mungu amekupa kipaji asee watu mliojaaliwa vipaji kama ivi na mmetoboq wasaidieni ndugu zetu kama hawa inshallah mungu atawalipa
Mkalii sna dah😥😥
Sorry brother 🙌 God bless 🙏 i like your song God is with U always poa poa tu from Australia
Much love brother
Ni kweli kabisa mungu hakupi kilema hakakukosesha mwendo
Mungu akutangulie ndugu yangu❤️❤️❤️❤️❤️
Duuuuuuuuuuh kizaz mzeeeeee🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Nakubali san mkuu
God bless you Kaka, atakusaidia pia
Mchz anajuwa sana
Noma San ametisha
I appreciate this talent. May God bless Khalid 🙏🙏🙏
Hahahaha nimempenda Safi kabisa yuko Sana mkali wangu.
Dah dua nyingi kwake
Jamaa mkali kinoma
uyuuuuuu jamaaaaaa fundi sanaa
Mungu atuweke watanzania pamoja
Yuko poa sana mwamba yani nimeiapreciate talent yake
Anajuaaaaaaa
Hongera sana
Jamaa anajua,asaidiwe
Mjuba katisha sana
Shida wabongo wanamoyo wakusaidia ila usntich mwingi san
ukovizuri utafanikiwa kaka mungu mkubwa
Babaaako umekalisha mbayaaa Har D
Kwelii mungu hakupi kilema akakukosesha mwendo
Oiii jombi anajua
daaah kaimba zaidi ya ferooz
Very nice boy aise ako fire fire fire fire
huyu jama anaweza mze
Yupo vizuri huo mtiahn tu aliyopewa na mwenye Mungu
More blessing bro
Yupo vizur kweli mungu mkubwa hakunyimi vyote
Jamaa Anajua
Daaaah...!! More fire. Blood
Iko bomba
🙏kaweza sana
mpeni chake huyo ni noma
Machariii wa r wanapendana nmeipendahiyo
Huyu jamaa ana kipaji kweli aiseee
Wowwwwww mshindi wetu
Jamaa anajuwa aiseee. Khalid mungu akupe kheri na fanaka.
Uko vizuri Sana Mungu akipiganie ufike final na uchukue hela
hii brain iko active sana
Mungu akutangulie
Khalid 💪ako na kipaji
Da! Eee! Mwenyezi Mungu msaidie Khalid
Mungu amtie nguvu
Abarikiwe
Man allfaa
Yuko vizuri kijana mungu amsaidie
Woow 👊🏽👌🏾
Mungu wetu Ni mkuu
Cjui nilie tu dah barikiwa kaka angu
Kariiiiiiii sanaaaaa
Mungu akulinde na akupe liziki ya kila siku
Appreciate braa
Noma
Chugga wakikuelewa....wanakuuunga mkono...hakuna roho mbaya
Mungu mkubwa sana big up bro
Aise huyuuu jmaaa aangaliwee aiseee anajua xna
Kutoka 254: Huyo jamaa kizazi xana iseee.Namuombea sana mm ashinde BSS.
Ana weza
Nice love fo khalid big love
MASHALLAH ANA KIPAJI
Pa1🙏🙏
Aridi umeuwa 💜💜💜💜
Hatishinda mashindano hayo hayazaingatii vipaji vya kweli
Yuko freshi xana
Yupo vizuri sana huyu mr