BONGO STAR SEARCH DAILY SHOW ARUSHA MONDAY
Vložit
- čas přidán 6. 11. 2021
- Tazama Full Episodes mpya za BSS SEASON 12 kwa wakati kwenye ST Swahili kila Jumapili saa 3 usiku, kupitia dikoda ya Startimes au App ya Startimes ON
:Vionjo vipya (BSS EXTRA) ni kila jumatatu, jumatano na Ijumaa saa 2:30 usiku ndani ya StarTimes Swahili Channel
Bongo Star Search
Follow Our Pages
Facebook: / bongostarsearch
Twitter: / bongostarsearch
Instagram: / bongostarsearch
SnapChat: BongoStarSearch
TikTok: bongostarsearch
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: / slidedigitaltz - Zábava
Nimependa mlivoonyesha respect kwa mkongwe mlivyoinuka
Jaman BSS mrudisheni IDRIS SULTAN awe HOST , yule kijana anainoshaga show iwe tamu na yup na creativity za juu Sana
Nilikuwa naomba jamani mfikishe ujumbe kwa majaji washenzi muwaambie Aya maisha tuu wasijione wamefika ,,,,kuwasema watu ,,,,kuwazalau,,,,kuwakalipia watu,,,,,kuwafokea ,,,,sio vizuli wajiitaidi kupunguza ukali wa maneno ,,,mtu kama awez bas mwambie kwa utaratibu kuwa uwez kafanyanye mazoezi au mwambia alichokosea au mwambie mapungufu yake ili afanyie mazoezi ,,,,msingekuwa apo bira awo watu wapumbavu nyie ,,,,,acheni. Zalau izo Kaz za kupita tuu
Kwakweli hadi inakera aisee
@@enockedward1575 watu wanazalauliwa Sana mpka uruma ,,,zote izo ni shida tuu za kutaka kujalibu ,,,,,
@@rehemaathuman6669 Umeongea point sana wanajikuta wanakiburi cha uzima wakat haya maisha tu yanakera sana hapo wanalipwa kutokana na hao hao😒
Ujaji ni kazi pia hata wakikukataa bado hawajavunja ndoto yako
That guy who sung a song by name LUNCH TIME did a great job even though you decided to ignore his voice. That guy was a dope.
That guy should be given a chance he got energy and vocals hata sijaona hapo Kama yeye,he should be really considered
Yes the guy did i great job i agreee
Indeed
Watu wangu wa Chuga nawakubali kinoma! Musikate tamaa. Lakini hao ma judges wengin wanawakatisha tamaa vijana! Huwezi kumwambia mtu kuwa hana sauti ya kuimba na nikijana mdogo tu! Mpe moyo kama anavyowambia mala moja moja Ommy “nenda kafanye mazoezi”
Bora umwambie kwamb hajui ataongez bidii akiamini kwamb mwisho wa siku atajua.
Naomba muwe mnafika na iringa mbona Huwa mnaluka??
ALIE IMBA WIMBO uliomkumbusha master na na madam enzi ajapewa nafasi ya kutathiminiwa anajua
Amza kalala 💜💜💜🔥
Mnasuport huyo Mzee kalau na hajui kuimba ama ni vile ashajulikana
I Love that kaAngel jamani, anakulaga vitu hahahah
"OOOOH BEST NASSO...... NAONA UMEUVAAA" AHAHAHAHAHA
Best masson nimecheka madamu alivo ishiwa poz
Lita sijui Rita ni kiazi
Madharau kweli yapo nduniani
Kwel yapoo ila haoo wasanii vituko sana czcams.com/video/J9yS48Prnfg/video.html
Ndio nini kumwambia mtu aoge vizuli, ukoroooofi uo madame lita
Yaan ach tuu czcams.com/video/J9yS48Prnfg/video.html
Lunch time anajuaaaaaa
Me yes
MBN wa senorita ameweza jmn majajii
ommy basi tenaa unachekesha sanaaaaa
yaaani ninyi nivivuruge mnavyo wafanyia washiriki
Jamaa wa Gita Ana juaa
Ivi kwann nmefngua Leo tumefngwa na leo
This guy 0156 ako poa Sana mukitaka mumuskize ako na vocal poa Sana
Mkemia mkuu habari yako kaka😂😂
Judges punguzeni makali
Ukipenda uimbe ata kichaga 😂😂
Kuna majamaa wattu wamechana watafika mbalii saana
Kila k2 kupambana czcams.com/video/J9yS48Prnfg/video.html
mwaliii
Just the comments for me😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Mmmmmh hawa majaji hawana lolote ni kukatisha tamaa tu
Kama English is not your 'fest' language 🤣🤣🤣
Salama. Akikuhoji maswali ujue. Kakupenda
Omy acha kushushua watu eti iyo mdomo umechinja kuku😏😏😏😏😏😏
These Judges hamna kitu wallah smh
Mmmh sasa unaingia harusha
Sasa unaingia mara
Karibu mwanza
Acheni ubabe Arusha
Jamani omiy
25:30 😭🤣😂😅
Salama mzguaj sana
Noma snaa czcams.com/video/J9yS48Prnfg/video.html
8:40
14:12 hahahahahah
😂😂😂😂😂
Alieimba sinyorita mbona kaweza
Majaji Wanadharau Sana🤣🤣🥰
Wanajikuta wanajuaaaaaa
Duh noma czcams.com/video/J9yS48Prnfg/video.html
@@enockedward1575 hapana wanachoka
ANGLE UNAKULAGA VITU?????? 🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣jamani mbavu zangu mm
Mwalim jamani
Ila nyie ma judge hamjui sio kwamba mmetimia katika mziki.
Wanajitahid kuimba czcams.com/video/J9yS48Prnfg/video.html
Uyoo jamaa kaimba nyimbo yaa kitambo anajua yatawakut y konde nyie
😄😄😄
Kila k2 na wkt wake czcams.com/video/J9yS48Prnfg/video.html
Madame bwana eti sopika dopika kidogo 😅
@20:19 salama angel unakulaga vitu
KWELI SHIDA YA AJIRA KWA VIJANA WETU NI KUBWA KULIKO INAVYODHAMINIWA....
Idrisa sultan yuko wapi
Hata me simuelewi huyo mina
Bora idris
Yupo kwao...
Hm kitu apw
Netflix
Huyu Rita ana ego fulani hivi. Yaani kama ha-vibe na mtu, anasema hampendi, hata kama yupo vizuri kwenye kuimba au ku-rap.
Noma sana czcams.com/video/J9yS48Prnfg/video.html
Ila Ommy 😂😂😂😂 Why mwaka huu hayupo
Nyie lunch kavimba Nani na inaitwaje nataka nidawnload
Fanya kilichokuleta unyanyue 😁😁😁
Imeisha hiyoooo Fanya yako tembeaa
czcams.com/video/J9yS48Prnfg/video.html
Tanzania mbna tunavunjana sana moyo
🤣🤣🤣🤣usije kumuimbiya mume wako atakuwa haamkii
🤣🤣😍😍
🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂ila jmni hpna
Wanajitahid wanaaa czcams.com/video/J9yS48Prnfg/video.html
Idris yuko wp jmnii
Unajua hakuna kitu kizuri kama kumtia mtu moyo hata kama sijaweza sio umwambie hajuii Toka ondok. Why usimwambie Kwa utaratibu na ukamwambia wapi kakosea akafanye mazoezi aki sipendezwi ani
Et kutumia maik
Ukijiimbia zako bafuni unajiona unajua kuimbaa nenda ebss sasa ukakutane nacho utakapoambiwa una sautiii mbayaaa🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌
😂😂😂
Mbona jiji la Tanga hamkuji jamani
Kuna makelele na rap haoo wngine kelelee czcams.com/video/J9yS48Prnfg/video.html
These judges display the highest order of bias and disgrace .... kindly empower the young legends ... Simple coaching will make best song artist from Africa to the world
Kwani Idris kaenda wapi Jamani????
Majaji wana hasira za mayele
Nomaaa sanaa czcams.com/video/J9yS48Prnfg/video.html
😄😄😄😄
Pinc umefurah snaaa mwenywe
czcams.com/video/J9yS48Prnfg/video.html
@@ancelimiangelus2664 yeap napenda na mm nina mpango wa kwenda bss
Ommy mpak Ww
sudi mkari
Mxikathe tamjah br mtha thuxua thuuu
Kiukweli naomba mwaka ujao muache dimpoz ananito stress
Hahahaha aucio czcams.com/video/J9yS48Prnfg/video.html
Hawa judges needs to learn how to criticize they are so unprofessional
poor judges nkt
Sema salama unavyofanya sio Powah
hamna yupo sawa
@@westcijosh yupo sawa asee ,kinachochekesha nikwamba ni mtu anatoka home anajua anajua kuimba ama?
Dah kwani kafanya nini? Sema anasema ukweli mnataka awadangaye
Mina Ally is overrated she is not the best. She shouts a lot
😂😂😂😂