BONGO STAR SEARCH DAILY SHOW ARUSHA MONDAY

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 11. 2021
  • Tazama Full Episodes mpya za BSS SEASON 12 kwa wakati kwenye ST Swahili kila Jumapili saa 3 usiku, kupitia dikoda ya Startimes au App ya Startimes ON
    :Vionjo vipya (BSS EXTRA) ni kila jumatatu, jumatano na Ijumaa saa 2:30 usiku ndani ya StarTimes Swahili Channel
    Bongo Star Search
    Follow Our Pages
    Facebook: / bongostarsearch
    Twitter: / bongostarsearch
    Instagram: / bongostarsearch
    SnapChat: BongoStarSearch
    TikTok: bongostarsearch
    Channel Administered by Slide Digital
    Instagram: / slidedigitaltz
  • Zábava

Komentáře • 117

  • @matataoneproduction5355
    @matataoneproduction5355 Před rokem +4

    Nimependa mlivoonyesha respect kwa mkongwe mlivyoinuka

  • @kanabenjamani1635
    @kanabenjamani1635 Před 2 lety +13

    Jaman BSS mrudisheni IDRIS SULTAN awe HOST , yule kijana anainoshaga show iwe tamu na yup na creativity za juu Sana

  • @rehemaathuman6669
    @rehemaathuman6669 Před 2 lety +13

    Nilikuwa naomba jamani mfikishe ujumbe kwa majaji washenzi muwaambie Aya maisha tuu wasijione wamefika ,,,,kuwasema watu ,,,,kuwazalau,,,,kuwakalipia watu,,,,,kuwafokea ,,,,sio vizuli wajiitaidi kupunguza ukali wa maneno ,,,mtu kama awez bas mwambie kwa utaratibu kuwa uwez kafanyanye mazoezi au mwambia alichokosea au mwambie mapungufu yake ili afanyie mazoezi ,,,,msingekuwa apo bira awo watu wapumbavu nyie ,,,,,acheni. Zalau izo Kaz za kupita tuu

    • @enockedward1575
      @enockedward1575 Před 2 lety

      Kwakweli hadi inakera aisee

    • @rehemaathuman6669
      @rehemaathuman6669 Před 2 lety

      @@enockedward1575 watu wanazalauliwa Sana mpka uruma ,,,zote izo ni shida tuu za kutaka kujalibu ,,,,,

    • @rosephidelis5526
      @rosephidelis5526 Před 2 lety

      @@rehemaathuman6669 Umeongea point sana wanajikuta wanakiburi cha uzima wakat haya maisha tu yanakera sana hapo wanalipwa kutokana na hao hao😒

    • @shijandobehe4953
      @shijandobehe4953 Před 9 měsíci

      Ujaji ni kazi pia hata wakikukataa bado hawajavunja ndoto yako

  • @bihangamanywazuberi1684
    @bihangamanywazuberi1684 Před 2 lety +17

    That guy who sung a song by name LUNCH TIME did a great job even though you decided to ignore his voice. That guy was a dope.

    • @annastaciaafrem3795
      @annastaciaafrem3795 Před 2 lety +1

      That guy should be given a chance he got energy and vocals hata sijaona hapo Kama yeye,he should be really considered

    • @wityisaac4973
      @wityisaac4973 Před 2 lety +1

      Yes the guy did i great job i agreee

    • @yessekindi4625
      @yessekindi4625 Před 2 lety +1

      Indeed

  • @piyemeofficial
    @piyemeofficial Před 2 lety +6

    Watu wangu wa Chuga nawakubali kinoma! Musikate tamaa. Lakini hao ma judges wengin wanawakatisha tamaa vijana! Huwezi kumwambia mtu kuwa hana sauti ya kuimba na nikijana mdogo tu! Mpe moyo kama anavyowambia mala moja moja Ommy “nenda kafanye mazoezi”
    Bora umwambie kwamb hajui ataongez bidii akiamini kwamb mwisho wa siku atajua.

    • @hildakalenga6801
      @hildakalenga6801 Před 9 měsíci

      Naomba muwe mnafika na iringa mbona Huwa mnaluka??

  • @homan_nkwama
    @homan_nkwama Před 2 lety +5

    ALIE IMBA WIMBO uliomkumbusha master na na madam enzi ajapewa nafasi ya kutathiminiwa anajua

  • @erizabethdeus1624
    @erizabethdeus1624 Před 2 lety +5

    Amza kalala 💜💜💜🔥

  • @official2kbill650
    @official2kbill650 Před 2 lety +5

    Mnasuport huyo Mzee kalau na hajui kuimba ama ni vile ashajulikana

  • @yessekindi4625
    @yessekindi4625 Před 2 lety +1

    I Love that kaAngel jamani, anakulaga vitu hahahah

  • @Hashdough
    @Hashdough Před 2 lety +3

    "OOOOH BEST NASSO...... NAONA UMEUVAAA" AHAHAHAHAHA

  • @junuferjinu1444
    @junuferjinu1444 Před 2 lety +1

    Best masson nimecheka madamu alivo ishiwa poz

  • @dramatic2558
    @dramatic2558 Před 2 lety +2

    Lita sijui Rita ni kiazi

  • @benox5062
    @benox5062 Před 2 lety +4

    Madharau kweli yapo nduniani

    • @ancelimiangelus2664
      @ancelimiangelus2664 Před 2 lety

      Kwel yapoo ila haoo wasanii vituko sana czcams.com/video/J9yS48Prnfg/video.html

  • @neemazee1864
    @neemazee1864 Před 2 lety +6

    Ndio nini kumwambia mtu aoge vizuli, ukoroooofi uo madame lita

  • @catherinehance4116
    @catherinehance4116 Před 2 lety +2

    Lunch time anajuaaaaaa

  • @ydtv9167
    @ydtv9167 Před 2 lety

    Me yes

  • @EvaGwasma
    @EvaGwasma Před 8 měsíci

    MBN wa senorita ameweza jmn majajii

  • @kasiisomi1821
    @kasiisomi1821 Před 2 lety +1

    ommy basi tenaa unachekesha sanaaaaa

  • @ernestmwanalinze2612
    @ernestmwanalinze2612 Před 2 lety +1

    yaaani ninyi nivivuruge mnavyo wafanyia washiriki

  • @emanuelymushi1775
    @emanuelymushi1775 Před 2 lety +1

    Jamaa wa Gita Ana juaa

  • @user-dq5xt8ed7w
    @user-dq5xt8ed7w Před 8 měsíci

    Ivi kwann nmefngua Leo tumefngwa na leo

  • @aimablenishimagizwe934

    This guy 0156 ako poa Sana mukitaka mumuskize ako na vocal poa Sana

  • @mrsochu7504
    @mrsochu7504 Před 2 lety +1

    Mkemia mkuu habari yako kaka😂😂

  • @5668420
    @5668420 Před 2 lety +5

    Judges punguzeni makali

  • @AfroMedic
    @AfroMedic Před 2 lety +1

    Ukipenda uimbe ata kichaga 😂😂

  • @mansooronlinetv535
    @mansooronlinetv535 Před 2 lety +3

    Kuna majamaa wattu wamechana watafika mbalii saana

  • @maxmarickylezile
    @maxmarickylezile Před 8 měsíci

    mwaliii

  • @sakinadolcas
    @sakinadolcas Před 2 lety +2

    Just the comments for me😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @Combinemedia7569
    @Combinemedia7569 Před 2 lety +1

    Mmmmmh hawa majaji hawana lolote ni kukatisha tamaa tu

  • @suleimanmwasaru6160
    @suleimanmwasaru6160 Před 2 lety +5

    Kama English is not your 'fest' language 🤣🤣🤣

  • @user-po8hz7xw9j
    @user-po8hz7xw9j Před 2 lety

    Salama. Akikuhoji maswali ujue. Kakupenda

  • @neemaruben5427
    @neemaruben5427 Před 2 lety +2

    Omy acha kushushua watu eti iyo mdomo umechinja kuku😏😏😏😏😏😏

  • @Davie353
    @Davie353 Před 2 lety +4

    These Judges hamna kitu wallah smh

  • @immaculatejohn9906
    @immaculatejohn9906 Před 2 lety

    Mmmh sasa unaingia harusha
    Sasa unaingia mara
    Karibu mwanza
    Acheni ubabe Arusha

  • @shemsahemed3577
    @shemsahemed3577 Před 2 lety

    Jamani omiy

  • @RandyMwanaKin
    @RandyMwanaKin Před 2 lety +1

    25:30 😭🤣😂😅

  • @brytondaniel4900
    @brytondaniel4900 Před 2 lety +2

    Salama mzguaj sana

  • @k.moneytv9053
    @k.moneytv9053 Před 2 lety

    14:12 hahahahahah

  • @trio9911
    @trio9911 Před 2 lety +2

    😂😂😂😂😂

  • @hawaynatimam982
    @hawaynatimam982 Před 8 měsíci

    Alieimba sinyorita mbona kaweza

  • @pascalgasper403
    @pascalgasper403 Před 2 lety +3

    Majaji Wanadharau Sana🤣🤣🥰

  • @Hashdough
    @Hashdough Před 2 lety +2

    ANGLE UNAKULAGA VITU?????? 🤣🤣🤣

  • @shemsahemed3577
    @shemsahemed3577 Před 2 lety

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣jamani mbavu zangu mm

  • @miriamalute1540
    @miriamalute1540 Před 2 lety

    Mwalim jamani

  • @daviddehero2684
    @daviddehero2684 Před 2 lety +2

    Ila nyie ma judge hamjui sio kwamba mmetimia katika mziki.

  • @catherinehance4116
    @catherinehance4116 Před 2 lety +1

    Uyoo jamaa kaimba nyimbo yaa kitambo anajua yatawakut y konde nyie

  • @maimunaathman4664
    @maimunaathman4664 Před 2 lety

    😄😄😄

  • @allymatilda7519
    @allymatilda7519 Před 2 lety

    Madame bwana eti sopika dopika kidogo 😅

  • @kasiisomi1821
    @kasiisomi1821 Před 2 lety

    @20:19 salama angel unakulaga vitu

  • @clausemsemwa297
    @clausemsemwa297 Před 8 měsíci

    KWELI SHIDA YA AJIRA KWA VIJANA WETU NI KUBWA KULIKO INAVYODHAMINIWA....

  • @shakirasaidi7657
    @shakirasaidi7657 Před 2 lety +16

    Idrisa sultan yuko wapi

  • @sumatanjunior231
    @sumatanjunior231 Před 2 lety +8

    Huyu Rita ana ego fulani hivi. Yaani kama ha-vibe na mtu, anasema hampendi, hata kama yupo vizuri kwenye kuimba au ku-rap.

  • @annathomas784
    @annathomas784 Před 8 měsíci

    Ila Ommy 😂😂😂😂 Why mwaka huu hayupo

  • @nasorahmedsaid2314
    @nasorahmedsaid2314 Před 2 lety

    Nyie lunch kavimba Nani na inaitwaje nataka nidawnload

  • @johnnkya8839
    @johnnkya8839 Před 2 lety +1

    Fanya kilichokuleta unyanyue 😁😁😁

    • @ancelimiangelus2664
      @ancelimiangelus2664 Před 2 lety

      Imeisha hiyoooo Fanya yako tembeaa
      czcams.com/video/J9yS48Prnfg/video.html

  • @hakimujuma9288
    @hakimujuma9288 Před 2 lety +1

    Tanzania mbna tunavunjana sana moyo

  • @shemsahemed3577
    @shemsahemed3577 Před 2 lety +1

    🤣🤣🤣🤣usije kumuimbiya mume wako atakuwa haamkii

  • @nanceobed7253
    @nanceobed7253 Před 2 lety +1

    😂😂😂😂😂ila jmni hpna

  • @k.moneytv9053
    @k.moneytv9053 Před 2 lety

    Idris yuko wp jmnii

  • @NancyLaurent-gz8ev
    @NancyLaurent-gz8ev Před 9 měsíci

    Unajua hakuna kitu kizuri kama kumtia mtu moyo hata kama sijaweza sio umwambie hajuii Toka ondok. Why usimwambie Kwa utaratibu na ukamwambia wapi kakosea akafanye mazoezi aki sipendezwi ani

  • @user-dq5xt8ed7w
    @user-dq5xt8ed7w Před 8 měsíci

    Et kutumia maik

  • @beautyibrahim8428
    @beautyibrahim8428 Před 2 lety +4

    Ukijiimbia zako bafuni unajiona unajua kuimbaa nenda ebss sasa ukakutane nacho utakapoambiwa una sautiii mbayaaa🤣🤣🤣

  • @aminamwivita7690
    @aminamwivita7690 Před 8 měsíci

    😂😂😂

  • @josephnoely3825
    @josephnoely3825 Před 2 lety +1

    Mbona jiji la Tanga hamkuji jamani

    • @ancelimiangelus2664
      @ancelimiangelus2664 Před 2 lety

      Kuna makelele na rap haoo wngine kelelee czcams.com/video/J9yS48Prnfg/video.html

  • @collinsnjuguna2685
    @collinsnjuguna2685 Před 2 lety +2

    These judges display the highest order of bias and disgrace .... kindly empower the young legends ... Simple coaching will make best song artist from Africa to the world

  • @edouardngabonziza1441
    @edouardngabonziza1441 Před 2 lety

    Kwani Idris kaenda wapi Jamani????

  • @florasele193
    @florasele193 Před 2 lety +1

    Majaji wana hasira za mayele

  • @sally-zx1md
    @sally-zx1md Před 2 lety

    😄😄😄😄

    • @ancelimiangelus2664
      @ancelimiangelus2664 Před 2 lety +1

      Pinc umefurah snaaa mwenywe
      czcams.com/video/J9yS48Prnfg/video.html

    • @sally-zx1md
      @sally-zx1md Před 2 lety

      @@ancelimiangelus2664 yeap napenda na mm nina mpango wa kwenda bss

  • @catherinehance4116
    @catherinehance4116 Před 2 lety

    Ommy mpak Ww

  • @maxmarickylezile
    @maxmarickylezile Před 8 měsíci

    sudi mkari

  • @pasicojonathan7842
    @pasicojonathan7842 Před 2 lety

    Mxikathe tamjah br mtha thuxua thuuu

  • @relaxingstressrelief1954

    Kiukweli naomba mwaka ujao muache dimpoz ananito stress

  • @ruwaidahadi7198
    @ruwaidahadi7198 Před 2 lety

    Hawa judges needs to learn how to criticize they are so unprofessional

  • @adanakay9022
    @adanakay9022 Před 2 lety

    poor judges nkt

  • @deborahsamwel5833
    @deborahsamwel5833 Před 2 lety

    Sema salama unavyofanya sio Powah

    • @westcijosh
      @westcijosh Před 2 lety +1

      hamna yupo sawa

    • @rockyvlogs2214
      @rockyvlogs2214 Před 2 lety

      @@westcijosh yupo sawa asee ,kinachochekesha nikwamba ni mtu anatoka home anajua anajua kuimba ama?

    • @velokigunga2876
      @velokigunga2876 Před 2 lety

      Dah kwani kafanya nini? Sema anasema ukweli mnataka awadangaye

  • @TheMandela21
    @TheMandela21 Před 2 lety +8

    Mina Ally is overrated she is not the best. She shouts a lot

  • @mosesbarasa3804
    @mosesbarasa3804 Před 8 měsíci

    😂😂😂😂