Bongo Star Search 2021 Audition Mwanza Ep2 FULL SHOW

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 11. 2021
  • Tazama Full Episodes mpya za BSS SEASON 12 kwa wakati kwenye ST Swahili kila Jumapili saa 3 usiku, kupitia dikoda ya Startimes au App ya Startimes ON
    :Vionjo vipya (BSS EXTRA) ni kila jumatatu, jumatano na Ijumaa saa 2:30 usiku ndani ya StarTimes Swahili Channel
    Bongo Star Search
    Follow Our Pages
    Facebook: / bongostarsearch
    Twitter: / bongostarsearch
    Instagram: / bongostarsearch
    SnapChat: BongoStarSearch
    TikTok: bongostarsearch
    Channel Administered by Slide Digital
    Instagram: / slidedigitaltz
  • Zábava

Komentáře • 265

  • @Mercie579
    @Mercie579 Před 2 lety +8

    Jamaa wa guiter ako vizuri sana never giver up

  • @loyceleeyohana145
    @loyceleeyohana145 Před rokem +2

    Salama jifunze basi kuwa unackiliza watu basi kah hadi unaudhi ujue😙😙😙

  • @user-uh6og9fj7b
    @user-uh6og9fj7b Před 8 měsíci +1

    RITA MNGU AKUJALIE wewe unajua Sanaa yaan unamsikiliza mtuu nimekufatilia Sanaa yaan uko SAWA Sanaa ❤

  • @Zawadi-1
    @Zawadi-1 Před 2 lety +9

    justice kwa yule jamaa wa guitar please!

  • @tabithadaniel7364
    @tabithadaniel7364 Před 2 lety +9

    Salama mbona una una panic sana ....kijana wa watu anajua kuimba kabisa huyo unamkunjia mwenyewe unajiona ww ndio mgawa ridhiki....ameomba nafasi 1 umemvimbia sio sawa

  • @souvenirweber7169
    @souvenirweber7169 Před 2 lety +10

    Salama unaharibu punguza chuki hii kazi inahitaji roho nzuri katika kutoa haki mapepo ya nini? Huyo jamaa yuko vizuri asante master J

    • @dhddudg507
      @dhddudg507 Před 2 lety

      Fact 👏

    • @Zawadi-1
      @Zawadi-1 Před 2 lety

      Haendani na jina lake huo dada, anakiburi sanaaa

  • @catherinemattage7797
    @catherinemattage7797 Před 2 lety +14

    Ukitaka kujua bongo watu Wana wazimu angalia Bas😂

  • @mzeewajambo8293
    @mzeewajambo8293 Před 2 lety +15

    Salama Nakukubali Sana Lakini Huyu Jamaa Wa Gitaa Ambae Ameitiwa Security Anajua Aiseeee Ulikuwa Hujamsikiliza Vzr Tu

  • @haroldmathias6923
    @haroldmathias6923 Před 2 lety +12

    Nmetimiza comments 10 yote ni kutoa hongera kwa startimes kwa kuandaa hiki kipindi but tupo pamoja

  • @Amhimfrr
    @Amhimfrr Před 2 lety +13

    watching from Kenya.....the judges need to stop thinking that they are superior to the performers just cause they got it...we are all equal..kila mtu apewe heshima yake

    • @sabaisteven9640
      @sabaisteven9640 Před 2 lety

      Una

    • @memoryngambi3758
      @memoryngambi3758 Před 2 lety

      What I know is that nobody knows all,you can see that today you are somebody, tomorrow you can be nobody,and the one who is nobody today can be somebody tomorrow, advice and encouragement was needed because they are just starting.

  • @kowech2626
    @kowech2626 Před 2 lety +2

    23:00 to 24:09 was my best part of this video. That's talent.

  • @catherinekemunto8826
    @catherinekemunto8826 Před 2 lety +15

    😂😂😂😂wakenya let's gather here,,,,watanzania wamefanya tena ile mambo yao,

  • @augustusmati3196
    @augustusmati3196 Před 2 lety +13

    Welcome to Tanzania where everyone believes in music

  • @sumatanjunior231
    @sumatanjunior231 Před 2 lety +11

    Ila salama amekuwa rude sana kwa yule jamaa wa guitar. Siyo poa kabisa. Ameleta hate na amekuwa na ego hata hakutaka kumsikiliza. Labda aliamka vibaya.

  • @marymutua9222
    @marymutua9222 Před 2 lety +1

    Napenda ommy sana my best judge
    Much love from kenya

  • @ramalugogo7671
    @ramalugogo7671 Před 2 lety +12

    Good job posting for us tunaotegemea youtube kufatilia BSS. I'm a fan and I'm happy

  • @iam_millstone4421
    @iam_millstone4421 Před 2 lety +7

    Am Fred_millstone a CZcamsr, watching from Nairobi Kenya, nimeishi kufatilia bss tangia kitambo na napenda Sana kitengo hiki cha kuibua vipaji, mnafanya kazi nzuri, keep it up wahusika wa bss, madam Rita, master Jay, salama na ommy, nawapenda saaana na pia Nairobi twawapenda saana

  • @sayeedmash6928
    @sayeedmash6928 Před 2 lety +6

    Salama I think ana jiona the best sana by the way sio poa ata vile ana Cheka Cheka watu na kudharau u watu kuwa na utu Dada love and respect no one was born to be perfect but people do try things

    • @tashaochun4651
      @tashaochun4651 Před 2 lety +1

      I agree,,the guitar guy was not even that bad,,I wish he had a chance...i really felt bad for him.... Hes a real definition of ’never give Up' like Master Jay Said....

    • @philbertkaiza8716
      @philbertkaiza8716 Před 2 lety

      that's Wow .
      czcams.com/video/SAhxTrXxaZs/video.html..

    • @janethjoseph604
      @janethjoseph604 Před 2 lety

      Up sawa kaka

  • @RUFUS_97
    @RUFUS_97 Před 2 lety +3

    jaman yule kaka wa guitar aliozinguliwa na salama mbona anajua sanaaaaa dahhh

  • @D-Man.B-Free
    @D-Man.B-Free Před 2 lety +4

    13:55 Salama ana chuki,hakumbuki Majani kamukataa studioni,Zuki za nini?eti huendi Dar?ndo maana ni kama mwanaume 🧠 zero…why they bring her back???

  • @ritasimon1329
    @ritasimon1329 Před 2 lety +15

    I have been watching bongo star search for a while now..came to realize salama judges people by their cover (not to all though🙌🏾)..she is so okay to low level classes and the pleasing ones..kinda makes me think she’s the kind of woman who likes to be listened to..and she also hates the much knows ones and the show off ones😁...I like her though but didn’t like the way she treated the guitar guy

  • @errolwato7636
    @errolwato7636 Před 2 lety +4

    Alokuja na wazo la Bss Mungu ambariki.Mkali wenu waniumiza mbavu.Salama hamia kazi ya mahakama juu uko na uwezo.Big up Bss am from Kenya

  • @paulshibhiti9584
    @paulshibhiti9584 Před 2 lety +6

    Salama is so complicated 😫 I think they have their out conflict in all I apriciate a man he didn't give up till master j gave out his passionate choice

  • @nginirasaire5876
    @nginirasaire5876 Před 2 lety +10

    Salama why did you have to do what you did to that guy with a guitar? One fan lost

  • @mzeewajambo8293
    @mzeewajambo8293 Před 2 lety +11

    Ila Nchi Ina Vijana Wa Hovyo Sana😂😂😂😂😂
    Eti Hisabati Hisabati😂😂😂

  • @blessedboni6955
    @blessedboni6955 Před 2 lety +4

    You should expand BSS to East Africa.

  • @elysetv1107
    @elysetv1107 Před 2 lety +3

    Daaah huyu namba 10 anajuwa sana ila salama mjinga sanaaa

  • @lgdnce3052
    @lgdnce3052 Před 2 lety +5

    hello guys mm nimesha muchunguza salama .hana roho mbaya hata hila anataka kuwa hivyo hila watu wakuwe na bidii

    • @upendomorris7140
      @upendomorris7140 Před 2 lety

      I agree with u, sema watu hawajaelewa tu afu kingine anaona bora mtu utoke mapema kuliko kupekekwa round ya pili afu unatolewa. Huwa inauma

    • @philbertkaiza8716
      @philbertkaiza8716 Před 2 lety

      that's Wow .
      czcams.com/video/SAhxTrXxaZs/video.html..

  • @selinakubo7984
    @selinakubo7984 Před 2 lety +9

    What is wrong with salama the guiter guy knows how to sing 🤔🤔

  • @rishkamunge
    @rishkamunge Před 2 lety +4

    This is underated comedy

  • @zakirgokez9678
    @zakirgokez9678 Před 2 lety +13

    All the way from Kenya will like you judges atlest to listen and be like real people no human being is perfect
    Plz stop being rood instead advice and giving better Comment may atlest gives hope to someone

  • @rizikladyherson8451
    @rizikladyherson8451 Před 2 lety +3

    Ila salama una ubinafsi flan wallah sasa chuki y nn kwa mkaka wa watu aiseee unazingua kinyamaaaa

  • @mwangiakila8020
    @mwangiakila8020 Před rokem +1

    Teacher konde !! Amezigua na ajalibu comedy

  • @isunga1964
    @isunga1964 Před 2 lety +18

    BSS inatoga sana stress za mwarabu asanteni sana 🤣🤣🤣🤣

  • @jumannechapembe8280
    @jumannechapembe8280 Před 2 lety +8

    Hii nchi inavijana wa ovyooo Sana

  • @oscaroscaroscar7974
    @oscaroscaroscar7974 Před 2 lety +6

    Omdipoz kakutana na omyydopzyy jamanii why whyyy😂😂😂😂

  • @ernestinaernesti3916
    @ernestinaernesti3916 Před 2 lety +4

    Huyu kaka no. 6 aliye rap aiseee ni miaka kidg huyu jamaa (Jina kama Charlse hv kama sijakosea) alikuwa anasoma Chuo cha Utumishi wa Umma - Tabora na alikuwa ana chana ile mbaya kulikuwa na mashindano ya hap na pale free style kama zote

    • @azizaaziza9113
      @azizaaziza9113 Před 2 lety

      Lkn hawa wakaanga sumu sasakuna mmoja kafunika uso utadhani jumba la kobe

  • @rgsdeodatusdeodatus2055
    @rgsdeodatusdeodatus2055 Před 2 lety +2

    Love you meena very talented

  • @patrisiaandrea4208
    @patrisiaandrea4208 Před 2 lety +2

    Salama punguza roho mbaya

  • @janethjoseph604
    @janethjoseph604 Před 2 lety +2

    Salama unaroho mby Sana uyo kka kakosanini paka umuitie security sio kitu kizr

  • @asiambogo627
    @asiambogo627 Před 2 lety +2

    Salama kusema kweli una roho bayaa ajabu,bona huyo mkaka anaimba vizuri

  • @nancykalimba6967
    @nancykalimba6967 Před 2 lety +4

    😂😂😂 Wengine kama vichaaa

  • @Zawadi-1
    @Zawadi-1 Před 2 lety +3

    nimependa mtangazaji

  • @aj3422
    @aj3422 Před 2 lety +13

    Idris made me smile

  • @shootershilcon8307
    @shootershilcon8307 Před 2 lety +1

    Big up sana bongo star #mkali wenu 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂💪

  • @achilva
    @achilva Před 2 lety +8

    Sema wanaume tunazinguwa sana aise 😂😂😂😂

  • @salminasalim5630
    @salminasalim5630 Před 2 lety +3

    BSS nzuri sana asante Madam Rita MMungu azid kukupigania ila jamani wambie majaji wengine watumie luggage rafiki sio hivyo. Mfano gata American Got talent kina Simon Cowell hawatoi lugha hizo please you have to empathise with your client not to use abusive language I am sorry to say that.

  • @official2kbill650
    @official2kbill650 Před 2 lety +3

    Mmezeeka kweli ndio mana hamuoni vizuri talanta

  • @annathomas784
    @annathomas784 Před 8 měsíci

    Hivi mnakujaga tanga kweli 😅😅😅😅Ommy ❤❤❤❤

  • @johnbernad3990
    @johnbernad3990 Před 2 lety +1

    Mkali wenu🤣🤣🤣🤣

  • @winnermariah
    @winnermariah Před 2 lety +3

    Dada Mwenye Gauni Jeusi Unaimbaaaaaaa

  • @credo7837
    @credo7837 Před 2 lety +3

    Madam kalizako sio nzuri mchawi amekurogea babaako

  • @ydtv9167
    @ydtv9167 Před 2 lety

    Me yes

  • @briantelulu2793
    @briantelulu2793 Před 2 lety +1

    Toweni hivo vipindi vingine vya kitoto vya mabata madogo yanaogelea

  • @user-uh6og9fj7b
    @user-uh6og9fj7b Před 8 měsíci

    Salama kama unakua na hasila malizia kwako hpo nikwenye maisha ya watu unakela japo nakukubali lkn umezingua😳

  • @mariamthomas3902
    @mariamthomas3902 Před 2 lety +1

    Salama Ana roho mbaya hadi anachefua

  • @relaxingstressrelief1954
    @relaxingstressrelief1954 Před 2 lety +4

    Eti karibu candy 🍭 😂😂

  • @saimonikosimasi9181
    @saimonikosimasi9181 Před 2 lety

    Kali ya mwaka

  • @damusafimgsh230
    @damusafimgsh230 Před 2 lety

    Bongo touch kuna vituko

  • @winnermariah
    @winnermariah Před 2 lety +9

    Salama Utarogwaaa😂😂😂😂😂

  • @irenemmasy79
    @irenemmasy79 Před 2 lety +1

    Salama kakosa adabu siyo sawa anavyofanya

  • @duniawadunia4824
    @duniawadunia4824 Před 2 lety +1

    Alie anzisha kulia kwenye jukwaha ni Amissi BSS 🤣😂🤣

  • @saidahmed9688
    @saidahmed9688 Před 4 měsíci

    meena ally uko vizuri

  • @ginababes6825
    @ginababes6825 Před 2 lety +3

    Ommy mpumbav sana 😂😂😂😂

  • @angelopeterson579
    @angelopeterson579 Před 2 lety +1

    Salama unazidisha usela, jamaa unaemuitia security na akati yuko vizur, ulikua unanynyuk kwend kumfnyaje asa😂..
    Tungeomba ukitulize

    • @joyjilien5432
      @joyjilien5432 Před 2 lety

      🤣🤣🤣eti akitulize 🤣🤣🤣🤣
      Nchi ngumu hii duuh 🤣🤣🤣

  • @bianarashidi1488
    @bianarashidi1488 Před 2 lety +1

    salama sasa duh, hayo maisha2

  • @elizabethmwikali7341
    @elizabethmwikali7341 Před 2 lety

    Jamani ommy

  • @nurathassan4023
    @nurathassan4023 Před rokem

    Siyo poa m2 awezi mwambieni 2 bado ujafikia ila pambana siyo kumkatisha ivyo so poa wala nini 😞😞😞😞😞😞😞😞

  • @letsgrowwithm4620
    @letsgrowwithm4620 Před 2 lety +3

    Nimeumia sana yule mtu wa guiter alivyo tolewa! He knows how to sing. Salama anamatatizo hafai kuwa judge , salama wewe mwenyewe hujui kuimba basi tu imba tuone kama unaweza 🧐😛 na unsubscribe kwenye channel yako(salama na) we cant support you if you cant support young talent.

  • @frebokalinga6995
    @frebokalinga6995 Před 2 lety

    Salama mavi yake

  • @abimaelkilasi2946
    @abimaelkilasi2946 Před 2 lety +2

    Njooni Kigoma vipaji kibao

  • @godwinloburu8646
    @godwinloburu8646 Před 2 lety +2

    Jamaa wa shat jekundu katisha alieimba kikongo anajua ommy kzngua

  • @hassanmustaphalmlila5383
    @hassanmustaphalmlila5383 Před 2 lety +1

    Ila kwel wanaume wanazngua sana comedy nying!!! Useng*** huu

  • @patrickfelly1809
    @patrickfelly1809 Před 2 lety +5

    Idris we mis you brooh!

  • @catherinekemunto8826
    @catherinekemunto8826 Před 2 lety +5

    😂😂😂😂😂enyewe watanzania mna mambo

  • @deborahthobias7724
    @deborahthobias7724 Před 2 lety

    Natamani nimuone ommy live ananifurahisha sana

  • @ahlamverynice.3605
    @ahlamverynice.3605 Před 2 lety +4

    🤣🤣🤣🤣🤣 #Ahlamverynice♨️♨️✌🙏

  • @azizaaziza9113
    @azizaaziza9113 Před 2 lety

    Majaji wabongo kwakweli hv hamuangaliagi wenzenu wa marekani hata mtu kafanya vibaya lkn hawamkati kauli hawamkatishi tamaa hawamvunji moyo zaidi humwambia amejitahidi lkn jmn wabongoukipata hiyo bahati kukaa pale mbele mnakuwaga na nyodo mnasahau mko Duniani mnadhani peponi mmeingia

  • @Michaeldanny_214
    @Michaeldanny_214 Před 2 lety +1

    #MWANZA hamna kitu kabisa.Bure vipaji hewa for a Big City ni drama

  • @ammotv5787
    @ammotv5787 Před 2 lety

    Salama lini aka jua music kuweni serious huyo jmaa mlio mpokonya gitaa lake ana jua huyoo tena fundi

  • @mrlomasi4745
    @mrlomasi4745 Před 2 lety +2

    Hivi kwann kigoma hamfiki

  • @sharonkeya8090
    @sharonkeya8090 Před 2 lety +1

    Huuuu ni msiba kweli🤣🤣🤣🤣🤣

  • @singidaprincetz1883
    @singidaprincetz1883 Před 2 lety

    0281 uyu jamaaaa anajuaaaaa saaaaanaaaa jmn

  • @ezekielodanga1196
    @ezekielodanga1196 Před 2 lety +1

    I'm from kenya i real like BSS kept up tz

  • @neemahealthpuritytz8709
    @neemahealthpuritytz8709 Před 2 lety +1

    Huyu salama anania hata kama ni judge ila Mnoko sana hata hajasikiliza

  • @cejomatv1572
    @cejomatv1572 Před 2 lety

    Were is sultun

  • @victalongo9513
    @victalongo9513 Před 2 lety

    Hatukwami

  • @sonnierloise3351
    @sonnierloise3351 Před 2 lety +1

    Tugange janayokuja😂😂

  • @najma1450
    @najma1450 Před rokem

    Hhahh madam Rita acha izo

  • @esterfundi7014
    @esterfundi7014 Před 2 lety +2

    Bongo sihami

  • @queenurio7043
    @queenurio7043 Před 2 lety +1

    Haahahaaa jmny wanaume mbona masialaa yanazid kuliko ata wadada😀😀😀

  • @salumusalumu2905
    @salumusalumu2905 Před 2 lety +1

    jaman muwemuna tukumbuka na kwetu mtwara

  • @masanjangololo5312
    @masanjangololo5312 Před 2 lety

    😁😁😁

  • @molinmasumbuko8607
    @molinmasumbuko8607 Před 2 lety +2

    Ommy Dimpoz

  • @alvinmbugua9830
    @alvinmbugua9830 Před 2 lety

    Hehehehe seriously..bongo comedy mingi

  • @barbiemdoo6598
    @barbiemdoo6598 Před 2 lety

    Mama ndege

  • @mcbennehemiah8088
    @mcbennehemiah8088 Před 2 lety +3

    Msela wa Gitaa wamemwonea

  • @tabithadaniel7364
    @tabithadaniel7364 Před 2 lety

    Jamani salama alimwambia haendi dar kaka wa watu

  • @mercybeibee1961
    @mercybeibee1961 Před 2 lety

    Mkali wetu ameshinda😂😂😹😹

  • @ginababes6825
    @ginababes6825 Před 2 lety

    Jamani 😹😹😹