waimbaji wote ni wakali mkimuacha yuzo as a rapper, ila elisha anajua sana Elishaa anasautiiii anajua kuimba af mwishowasikuuu ni kura yako na kura za majaji ndo itampa ushindi unae mtaka ebu msikilize elisha alivyoimbaa na muimbaji mwingine hapo tu kwenye interview
Sisi Rwanda tunawafuatilia, inabidhi Elisha awe wakwanzaa anawazidi wote, kwanza inabidhi kabla ya kuchagua mushindi wa Bss inabidhi wawe makini, kwasababu na Baado ya bss wanahitaji mtuu atakuwa, ana present bss bora awee Elisha, munyakyusaa pekee kutoka mbeya, mwambiee mwagonaa, Zimbombo , tan asipokuwa sie mshindi wa bss , mimi ntakuwa manager wake Kama hana management +250788240148 what's app and call, ahsanteni
@@adbashtv6701 yaaani huyo taper ndo namuombea ushindi kila kukicha,,sasa sijui napigaje kura niko nje ya bara sasa ndo tatizo lkn nawaomba nyie mlioko huko fanyeni nguvu yusuf achukue ushindi
Nizer wambie makambako ndo chimbuko la vipaji kwa kusin semaa watu hajafocus kuitzama kwa jicho la tatu@b2k@,bugaleez@kinglufa@t_gwan@hii yote makambako talent
SNS NAWAOMBA SANA MUSIMULIE AU KUELEZEA HISTORIA YA JAMAA MMOJA ANAITWA BOBWINE WA UGANDA KUNAKITU CHA KUJIFUNZA HAPO AU KUFAHAMU MAANA KUNAMAMBO YANAMUHUSU HUYO JAMAA LAKIN I MM MWENYEW KINGELEZA NDO HIVYO KUSHOTO ILA HUYU JAMAA ANATREND SANA UGANDA ..MCHEKINI HABARI ZAKE KAMA KUNAUMUHIMU .
Mwaka huu rapper moja Big up Yusuph all da best
Yusufu your the best rapper ever 🙌🙌 nakukubali jamaa yanguuu aisee unajua❤️❤️❤️😍💝👍👍💪
Anastahili kuwa mshindi
Yusuph we ndo mshindi Wang yan wew NI mtu mbaya sanaaa 🔥🔥🔥
Me nampenda Yusuph Nizar🔥🔥🔥
Elisha kafanana na director keni wa wcb
Yusuph mtoto mzuri mwenye heshima zake nakutaki ushindi kila wakati mungu akuongoze kwa kila jambo❤️❤️❤️
Sanaaa tu from Kenya
J0j0j0
J0j0
j0j000hj
@@bintykigan6236 j0
Im betting on yusufu, is definitely going to be a winner ❤️🔥🔥 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Me tew
Pia
@@barakamachard1944 ME TOO
Nampenda yusuph aisee
Elisha kafanana na director kenny whaooo..
Nakuombea kaka angu ushinde BSS
Nilijua mm tu ndo nawafananisha
Maoni yangu mm yuzzo nimķali kinya wengine wapo vizur lakini yuzzo ni hàtari nanusu
Elisha Tisha sana we ndo mshindi wetu♥️♥️
Yeeees
Yuzo ni noma mungu atakusaidia utashinda
Elisha class meet big up brother we ndo mxhindiii
Weeeeeeeeeeee unajua YUSUF weweee
Unamjua Yusuphuuu
Tutoe uclsss mate
@@MZIZE Yusuph anajua Sana
Elisha big up
Mwanangu yuzzo ndo mshindi wangu hata akikosa ila nakuombea mwanangu
Yusufu nakupenda wewe kaka na mungu akubalik uweze kushinda
Petro with a lot of Confidence. Keep on Going and Put God First you'll get there🙏
Yusuph Nizar (Yuzzo Mwamba) huyu kumlinganisha na walio bakia bss ni kumuonea coz he is so talented
Yaan wote wanajua but yuzo anapasua angaaaaaaaa anajua
@@naomiarthur5177 Ni mtu mbad sanaa 🔥🔥🔥
Hatar hilo jamaa
Huyu mwekundu kipaj anacho xema anatafta huruma ya wananchi
Huyu Elixha anatafta huruma ya wananchi a2lie bhana aimbe kila mu2 ana magumu kama ipo ipo2 huruma ya nn
Elisha Mtumainie Mungu Utashinda. Mbeya - Home Sweet Home🙏
Naona watu wa ###BAR### wanaushauri mzuri sana.....👍👍👍 go up homeboy ###ELISHA###
Huyuu Yusuf ni nomaaaa nampendaaa Sana anajua michano
Elisha nimashine yakazi ninomaaaa
Sasa fainal ya nini akati Yuzzoh ndo bingwaaa, ila kwa kua ni utaratibu tukutane ubungo plaza tukachukue ushindi wetu
😂😂🔥🔥🔥👊🏻👊🏻
Hana mpinzani uyu chalii
Kwel tena
Wana makambako tuko nawe yuzho wetu lzma uibuke mshind
Big up elisha
Elishaaaaaa
Elisha ndio mshindi ❤ Mungu akutangulie
Bigup Elisha wewe ndio mshindi from nairobi
Big up mbeya boy
waimbaji wote ni wakali mkimuacha yuzo as a rapper, ila elisha anajua sana Elishaa anasautiiii anajua kuimba af mwishowasikuuu ni kura yako na kura za majaji ndo itampa ushindi unae mtaka ebu msikilize elisha alivyoimbaa na muimbaji mwingine hapo tu kwenye interview
Niko Kenya lkn nafsi Yangu na ushindi umuingie yusuph Nazar Allahuma amiin
Huo yuzzo my best rapper mshindi wangu
Uyo dg ndo alivyo kweli Yan dhalau Hana ila ni mcheshiii
Yusuph nakuombea ushindi
Kura yangu anayo
Me pia
Elisha❣️
yusuph mshind wangu
Yusuph
Wakwanza kwenye kila kitu sns🔥🔥
Nakupenda Sana yusso
Ongera sana elisha
Majaji wote hamna kitu mnaanda mshindi mnaomtaka Ila alfredi ni kiboko,yaani ni most talented boy,kwa sababu anaimba type yoyote
hakika Alfred kam kafanyiwa figisu master J Mungu ana muona
Alfred alikua anapendwa na majaji wote ila mwishon alizungua mwenyew😛😛
Esco ndevu zimestawi
Marko anaongea Kama MALCOM Mtoto wa Masoud Kipanya,Very humble!Blessed.
Yuzzo Mwamba rapa moja hatar sana
Yusuf 💥💥moto
Achana nao hao baba pamban mungu mkubwa
Duuu huy yusuf kakuwa hiv hahah kitambo aise mk boy duuu shangax na witi umetisha
Sisi Rwanda tunawafuatilia, inabidhi Elisha awe wakwanzaa anawazidi wote, kwanza inabidhi kabla ya kuchagua mushindi wa Bss inabidhi wawe makini, kwasababu na Baado ya bss wanahitaji mtuu atakuwa, ana present bss bora awee Elisha, munyakyusaa pekee kutoka mbeya, mwambiee mwagonaa, Zimbombo , tan asipokuwa sie mshindi wa bss , mimi ntakuwa manager wake Kama hana management +250788240148 what's app and call, ahsanteni
Elishaaaa🔥🔥🔥
Elisha Nina sana
jamaa kafanana na, directer ceny, wa wcb.
Kenny sio ceny
Kenny ndio
Yusuph ❣️
Esico hizo ndevu umepanda au zimeota zenyewe🤣🤣🤣
😂😂😂😂
😀😀😀
Huyu ni raper hatari sana
Sana yaaani lkn naomba kuuliza majina ya washindani maana naskia ni wa 4 tu sasa sijui ni nani na Nani
@@joyjilien5432 wewe mjue huyo tu anaitwa YUSUF kula ni zake nyingi sana mzee huyo chari ni nyoko
@@joyjilien5432 uje inbox mzee kuna group
@@adbashtv6701 yaaani huyo taper ndo namuombea ushindi kila kukicha,,sasa sijui napigaje kura niko nje ya bara sasa ndo tatizo lkn nawaomba nyie mlioko huko fanyeni nguvu yusuf achukue ushindi
@@joyjilien5432 ndo mana nikakwambia uje inbox kuna group
Hata hiyo interview siskii, namuona tu escow na nywele zake na kidevu hata sijui kapaka nini, yani mie ni Hoi bin taabani huku🏆😆🏆😅🏆😃🏆🤣
🤣🤣🤣🤣amekuskiaaa
@@mumyhendry2919 😘😘😘anifikirie basi
@@mrsliverpool4235 ♥️♥️♥️on behalf of Esco😂😂😂
Elishaaa anasauti kama aika ruben af kafanana na director kenny
Yusuph umepita teyali
Huyu jamaa mwenye nguo nyekundu anaongea Sana Duu!
Yan had haipendez kwa mwanaume na anapenda sifa
Nlijuaga pekeangu woooiiii
Unakipaji shakuimba elisha
Elisha is the winner
esco unamwonekano wa hatareee skuhz... udevu kama wote mzee wangu.. hairstyle ya maana doooooooooo.. unaniinspire...
Elisha much lov
tuwakilishe wanyakyusa
Kelele moja kwa yusufu akee weweeee Mungu amsaidie ashinde jomon
Yuzz
Petro..... Moto
Kweli nakukumbuka elisha uko peace sana ... nakumbuka tulivokuwa chuo ulikuwa uko ivo
Hila haya mashimdano.kila.mda lazima tu yalete udwanzi mahali...
Yusuph ni nomaaaaa
Yuzoo🔥🔥
Namuombea yusuph jamani from Kenya nitaumia Sana wakimtoa naomba dua hii imfikie ashinde wallay heshima yake itamlinda
Yusuph nakuona mshind home boyyyy njoombeeee
Yusuf and Elisha 😍
Nizer wambie makambako ndo chimbuko la vipaji kwa kusin semaa watu hajafocus kuitzama kwa jicho la tatu@b2k@,bugaleez@kinglufa@t_gwan@hii yote makambako talent
Lkn elisha yupo gud kinoma
Baraka njema.uanziya nyumbani baraka zamke.wa perto ndizo.zilizo mfanya mpaka amefika.apo
Esko kwani umeoa maana dadazi km wote
Petro ni mwanamuziki..
Aisee yusuph ni rapa na watu tuna mkubali km mshindi lkn kwa waimbaji elisha ni nouma😄
Yusuphhhhhhhhh on fire
Esco umependeza huo mnyoo na ndevu
Sawa
Mungu ainuwe kipaji sha yusuph
SNS NAWAOMBA SANA MUSIMULIE AU KUELEZEA HISTORIA YA JAMAA MMOJA ANAITWA BOBWINE WA UGANDA KUNAKITU CHA KUJIFUNZA HAPO AU KUFAHAMU MAANA KUNAMAMBO YANAMUHUSU HUYO JAMAA LAKIN I MM MWENYEW KINGELEZA NDO HIVYO KUSHOTO ILA HUYU JAMAA ANATREND SANA UGANDA ..MCHEKINI HABARI ZAKE KAMA KUNAUMUHIMU .
Kafanana na Hbaba
Elisha the same with Chris brown
Yusufu all the way
Km hujaoa esko fanya uoe maana madada wamedata na mijidevu
😂😂
Kwani mwaka huu hatupigi kura nimpigie Yusuph mie
Esco ndevu utoa wapi 😂😂😝
Kama hawajapanga mshindi Yuzzo wewe ndo mshindi amini nakwambia
Kal
Kweli kujaji nishuhuli nzito wote wakali haswaaa Elisha jamani anasautiiiii jitahidi kuchaguwa nyimbo fanya zoezi nyimbo ya Anelia utafunika sana
Yusuph tyuuu
Ngoja nibet ,yuzo, Elisha,petro
Yuzzo ni motooo
Amnia nizar na margharitha
Bruce ndo the best
Hongera but abubakhari ni hatari zaidi
Unajua
Kama wanawake wazuri idi amin aaingeitwa Dada 😂😂