BSS mwaka huu ni vita, walioingia fainali watoana jasho, mtazame rapper huyu, wengine waimba live

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 21. 01. 2021
  • #BSS #BongoStarSearch

Komentáře • 187

  • @nuraansuhail2578
    @nuraansuhail2578 Před 3 lety +7

    Mwaka huu rapper moja Big up Yusuph all da best

  • @naomiarthur5177
    @naomiarthur5177 Před 3 lety +14

    Yusufu your the best rapper ever 🙌🙌 nakukubali jamaa yanguuu aisee unajua❤️❤️❤️😍💝👍👍💪

  • @emmanuelmayunga1518
    @emmanuelmayunga1518 Před 3 lety +12

    Yusuph we ndo mshindi Wang yan wew NI mtu mbaya sanaaa 🔥🔥🔥

  • @zainabujuma7252
    @zainabujuma7252 Před 3 lety +9

    Me nampenda Yusuph Nizar🔥🔥🔥

  • @bintqassimidarous1636
    @bintqassimidarous1636 Před 3 lety +20

    Elisha kafanana na director keni wa wcb

  • @omudancer2542
    @omudancer2542 Před 3 lety +18

    Yusuph mtoto mzuri mwenye heshima zake nakutaki ushindi kila wakati mungu akuongoze kwa kila jambo❤️❤️❤️

  • @elyzahlizzy7674
    @elyzahlizzy7674 Před 3 lety +20

    Im betting on yusufu, is definitely going to be a winner ❤️🔥🔥 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @asnakudra13
    @asnakudra13 Před 3 lety +10

    Nampenda yusuph aisee

  • @bettyobedy8938
    @bettyobedy8938 Před 3 lety +6

    Elisha kafanana na director kenny whaooo..
    Nakuombea kaka angu ushinde BSS

  • @sirizawa3360
    @sirizawa3360 Před 3 lety +17

    Maoni yangu mm yuzzo nimķali kinya wengine wapo vizur lakini yuzzo ni hàtari nanusu

  • @oscarkorosso1565
    @oscarkorosso1565 Před 3 lety +7

    Elisha Tisha sana we ndo mshindi wetu♥️♥️

  • @vascodagama7241
    @vascodagama7241 Před 3 lety +2

    Yuzo ni noma mungu atakusaidia utashinda

  • @mnyamahandsome9297
    @mnyamahandsome9297 Před 3 lety +19

    Elisha class meet big up brother we ndo mxhindiii

  • @geoffreyidan9627
    @geoffreyidan9627 Před 3 lety +7

    Elisha big up

  • @mhinamhando9612
    @mhinamhando9612 Před 3 lety +4

    Mwanangu yuzzo ndo mshindi wangu hata akikosa ila nakuombea mwanangu

  • @jenifagerald1157
    @jenifagerald1157 Před 3 lety +1

    Yusufu nakupenda wewe kaka na mungu akubalik uweze kushinda

  • @christinembeye5489
    @christinembeye5489 Před 3 lety +5

    Petro with a lot of Confidence. Keep on Going and Put God First you'll get there🙏

  • @princeibra2042
    @princeibra2042 Před 3 lety +7

    Yusuph Nizar (Yuzzo Mwamba) huyu kumlinganisha na walio bakia bss ni kumuonea coz he is so talented

    • @naomiarthur5177
      @naomiarthur5177 Před 3 lety +1

      Yaan wote wanajua but yuzo anapasua angaaaaaaaa anajua

    • @princeibra2042
      @princeibra2042 Před 3 lety

      @@naomiarthur5177 Ni mtu mbad sanaa 🔥🔥🔥

    • @elickmaendeleo1141
      @elickmaendeleo1141 Před 3 lety

      Hatar hilo jamaa

    • @elickmaendeleo1141
      @elickmaendeleo1141 Před 3 lety +1

      Huyu mwekundu kipaj anacho xema anatafta huruma ya wananchi

    • @elickmaendeleo1141
      @elickmaendeleo1141 Před 3 lety +1

      Huyu Elixha anatafta huruma ya wananchi a2lie bhana aimbe kila mu2 ana magumu kama ipo ipo2 huruma ya nn

  • @christinembeye5489
    @christinembeye5489 Před 3 lety +7

    Elisha Mtumainie Mungu Utashinda. Mbeya - Home Sweet Home🙏

  • @giftmalema5032
    @giftmalema5032 Před 3 lety +2

    Naona watu wa ###BAR### wanaushauri mzuri sana.....👍👍👍 go up homeboy ###ELISHA###

  • @bahatimellita6619
    @bahatimellita6619 Před 3 lety +7

    Huyuu Yusuf ni nomaaaa nampendaaa Sana anajua michano

  • @officialpangaboymtotowamam8014

    Elisha nimashine yakazi ninomaaaa

  • @alvarobaisama6671
    @alvarobaisama6671 Před 3 lety +7

    Sasa fainal ya nini akati Yuzzoh ndo bingwaaa, ila kwa kua ni utaratibu tukutane ubungo plaza tukachukue ushindi wetu

  • @scorahkuyava1061
    @scorahkuyava1061 Před 3 lety +8

    Wana makambako tuko nawe yuzho wetu lzma uibuke mshind

  • @neyjoseph9259
    @neyjoseph9259 Před 3 lety +3

    Big up elisha

  • @jacksonimwasoni2520
    @jacksonimwasoni2520 Před 3 lety +5

    Elishaaaaaa

  • @pendorose8056
    @pendorose8056 Před 3 lety +2

    Elisha ndio mshindi ❤ Mungu akutangulie

  • @monicashirima6738
    @monicashirima6738 Před 3 lety

    Bigup Elisha wewe ndio mshindi from nairobi

  • @eliamakaly4405
    @eliamakaly4405 Před 3 lety +7

    Big up mbeya boy

  • @PUGBFORBEGGINERS
    @PUGBFORBEGGINERS Před 3 lety +4

    waimbaji wote ni wakali mkimuacha yuzo as a rapper, ila elisha anajua sana Elishaa anasautiiii anajua kuimba af mwishowasikuuu ni kura yako na kura za majaji ndo itampa ushindi unae mtaka ebu msikilize elisha alivyoimbaa na muimbaji mwingine hapo tu kwenye interview

  • @bintykigan6236
    @bintykigan6236 Před 3 lety +4

    Niko Kenya lkn nafsi Yangu na ushindi umuingie yusuph Nazar Allahuma amiin

  • @abouseleynzisabira5875
    @abouseleynzisabira5875 Před 3 lety +1

    Huo yuzzo my best rapper mshindi wangu

  • @mnyamahandsome9297
    @mnyamahandsome9297 Před 3 lety +12

    Uyo dg ndo alivyo kweli Yan dhalau Hana ila ni mcheshiii

  • @kombemizinga4158
    @kombemizinga4158 Před 3 lety +17

    Yusuph nakuombea ushindi

  • @AAl-xy8kl
    @AAl-xy8kl Před 3 lety +9

    Elisha❣️

  • @issaabedy4468
    @issaabedy4468 Před 3 lety +4

    yusuph mshind wangu

  • @brendasimba9574
    @brendasimba9574 Před 3 lety +2

    Yusuph

  • @nurisahim7898
    @nurisahim7898 Před 3 lety +5

    Wakwanza kwenye kila kitu sns🔥🔥

  • @janethshirima6007
    @janethshirima6007 Před 3 lety +1

    Nakupenda Sana yusso

  • @henryetteespe8038
    @henryetteespe8038 Před 3 lety +1

    Ongera sana elisha

  • @victorcoaster6381
    @victorcoaster6381 Před 3 lety +2

    Majaji wote hamna kitu mnaanda mshindi mnaomtaka Ila alfredi ni kiboko,yaani ni most talented boy,kwa sababu anaimba type yoyote

    • @sephbakari4828
      @sephbakari4828 Před 3 lety

      hakika Alfred kam kafanyiwa figisu master J Mungu ana muona

    • @barakasamwel5637
      @barakasamwel5637 Před 3 lety

      Alfred alikua anapendwa na majaji wote ila mwishon alizungua mwenyew😛😛

  • @officiallymercymargaret3259

    Esco ndevu zimestawi

  • @iddijumangakonda8044
    @iddijumangakonda8044 Před 3 lety

    Marko anaongea Kama MALCOM Mtoto wa Masoud Kipanya,Very humble!Blessed.

  • @fransalbat1800
    @fransalbat1800 Před 3 lety +11

    Yuzzo Mwamba rapa moja hatar sana

  • @munadlebobo5234
    @munadlebobo5234 Před 3 lety +2

    Yusuf 💥💥moto

  • @allyabeid4188
    @allyabeid4188 Před 3 lety +3

    Achana nao hao baba pamban mungu mkubwa

  • @najmakikula4929
    @najmakikula4929 Před 3 lety +1

    Duuu huy yusuf kakuwa hiv hahah kitambo aise mk boy duuu shangax na witi umetisha

  • @nono-xrwanda5960
    @nono-xrwanda5960 Před 3 lety +1

    Sisi Rwanda tunawafuatilia, inabidhi Elisha awe wakwanzaa anawazidi wote, kwanza inabidhi kabla ya kuchagua mushindi wa Bss inabidhi wawe makini, kwasababu na Baado ya bss wanahitaji mtuu atakuwa, ana present bss bora awee Elisha, munyakyusaa pekee kutoka mbeya, mwambiee mwagonaa, Zimbombo , tan asipokuwa sie mshindi wa bss , mimi ntakuwa manager wake Kama hana management +250788240148 what's app and call, ahsanteni

  • @isabellamalaso7494
    @isabellamalaso7494 Před 3 lety +2

    Elishaaaa🔥🔥🔥

  • @geoffreyidan9627
    @geoffreyidan9627 Před 3 lety +4

    Elisha Nina sana

  • @ivaniavianarodrigo7201
    @ivaniavianarodrigo7201 Před 3 lety +17

    jamaa kafanana na, directer ceny, wa wcb.

  • @watejawetu8276
    @watejawetu8276 Před 3 lety +1

    Yusuph ❣️

  • @mwarahsemor6301
    @mwarahsemor6301 Před 3 lety +7

    Esico hizo ndevu umepanda au zimeota zenyewe🤣🤣🤣

  • @adbashtv6701
    @adbashtv6701 Před 3 lety +9

    Huyu ni raper hatari sana

    • @joyjilien5432
      @joyjilien5432 Před 3 lety +2

      Sana yaaani lkn naomba kuuliza majina ya washindani maana naskia ni wa 4 tu sasa sijui ni nani na Nani

    • @adbashtv6701
      @adbashtv6701 Před 3 lety +2

      @@joyjilien5432 wewe mjue huyo tu anaitwa YUSUF kula ni zake nyingi sana mzee huyo chari ni nyoko

    • @adbashtv6701
      @adbashtv6701 Před 3 lety +1

      @@joyjilien5432 uje inbox mzee kuna group

    • @joyjilien5432
      @joyjilien5432 Před 3 lety +2

      @@adbashtv6701 yaaani huyo taper ndo namuombea ushindi kila kukicha,,sasa sijui napigaje kura niko nje ya bara sasa ndo tatizo lkn nawaomba nyie mlioko huko fanyeni nguvu yusuf achukue ushindi

    • @adbashtv6701
      @adbashtv6701 Před 3 lety +2

      @@joyjilien5432 ndo mana nikakwambia uje inbox kuna group

  • @mrsliverpool4235
    @mrsliverpool4235 Před 3 lety +5

    Hata hiyo interview siskii, namuona tu escow na nywele zake na kidevu hata sijui kapaka nini, yani mie ni Hoi bin taabani huku🏆😆🏆😅🏆😃🏆🤣

  • @PUGBFORBEGGINERS
    @PUGBFORBEGGINERS Před 3 lety +2

    Elishaaa anasauti kama aika ruben af kafanana na director kenny

  • @salmatwalib6774
    @salmatwalib6774 Před 3 lety +3

    Yusuph umepita teyali

  • @dottocharles1636
    @dottocharles1636 Před 3 lety +6

    Huyu jamaa mwenye nguo nyekundu anaongea Sana Duu!

  • @henryetteespe8038
    @henryetteespe8038 Před 3 lety +2

    Unakipaji shakuimba elisha

  • @neyjoseph9259
    @neyjoseph9259 Před 3 lety +2

    Elisha is the winner

  • @kingcopper_tz
    @kingcopper_tz Před 3 lety +3

    esco unamwonekano wa hatareee skuhz... udevu kama wote mzee wangu.. hairstyle ya maana doooooooooo.. unaniinspire...

  • @ruheemtunguja2733
    @ruheemtunguja2733 Před 3 lety

    Elisha much lov

  • @michaelboaz8108
    @michaelboaz8108 Před 3 lety +9

    tuwakilishe wanyakyusa

  • @cinderellahsindelleh1881
    @cinderellahsindelleh1881 Před 3 lety +4

    Kelele moja kwa yusufu akee weweeee Mungu amsaidie ashinde jomon

  • @Nyaruking1
    @Nyaruking1 Před 3 lety +3

    Yuzz

  • @furahasarakikya5676
    @furahasarakikya5676 Před 3 lety

    Petro..... Moto

  • @ezekielluhas3351
    @ezekielluhas3351 Před 3 lety

    Kweli nakukumbuka elisha uko peace sana ... nakumbuka tulivokuwa chuo ulikuwa uko ivo

  • @japhetbarton8268
    @japhetbarton8268 Před 3 lety +4

    Hila haya mashimdano.kila.mda lazima tu yalete udwanzi mahali...

  • @linahagunda7904
    @linahagunda7904 Před 3 lety

    Yusuph ni nomaaaaa

  • @benedictwilfred397
    @benedictwilfred397 Před 3 lety +6

    Yuzoo🔥🔥

  • @bintykigan6236
    @bintykigan6236 Před 3 lety +2

    Namuombea yusuph jamani from Kenya nitaumia Sana wakimtoa naomba dua hii imfikie ashinde wallay heshima yake itamlinda

  • @ibrahimkanuto3514
    @ibrahimkanuto3514 Před 3 lety +6

    Yusuph nakuona mshind home boyyyy njoombeeee

  • @estherbebe2303
    @estherbebe2303 Před 3 lety

    Yusuf and Elisha 😍

  • @mrtallentsgp2623
    @mrtallentsgp2623 Před 3 lety +1

    Nizer wambie makambako ndo chimbuko la vipaji kwa kusin semaa watu hajafocus kuitzama kwa jicho la tatu@b2k@,bugaleez@kinglufa@t_gwan@hii yote makambako talent

  • @kelvinngogo1819
    @kelvinngogo1819 Před 3 lety +2

    Lkn elisha yupo gud kinoma

  • @henryetteespe8038
    @henryetteespe8038 Před 3 lety

    Baraka njema.uanziya nyumbani baraka zamke.wa perto ndizo.zilizo mfanya mpaka amefika.apo

  • @mcjmcheshi
    @mcjmcheshi Před 3 lety +2

    Esko kwani umeoa maana dadazi km wote

  • @duniayakijani7868
    @duniayakijani7868 Před 3 lety +2

    Petro ni mwanamuziki..

  • @ahmadymisanga4755
    @ahmadymisanga4755 Před 3 lety

    Aisee yusuph ni rapa na watu tuna mkubali km mshindi lkn kwa waimbaji elisha ni nouma😄

  • @samlisumpangala7422
    @samlisumpangala7422 Před 3 lety

    Yusuphhhhhhhhh on fire

  • @neemasawe7016
    @neemasawe7016 Před 3 lety +2

    Esco umependeza huo mnyoo na ndevu

  • @shiijangassa8425
    @shiijangassa8425 Před 3 lety

    Sawa

  • @henryetteespe8038
    @henryetteespe8038 Před 3 lety

    Mungu ainuwe kipaji sha yusuph

  • @mbukwaboy3791
    @mbukwaboy3791 Před 3 lety +2

    SNS NAWAOMBA SANA MUSIMULIE AU KUELEZEA HISTORIA YA JAMAA MMOJA ANAITWA BOBWINE WA UGANDA KUNAKITU CHA KUJIFUNZA HAPO AU KUFAHAMU MAANA KUNAMAMBO YANAMUHUSU HUYO JAMAA LAKIN I MM MWENYEW KINGELEZA NDO HIVYO KUSHOTO ILA HUYU JAMAA ANATREND SANA UGANDA ..MCHEKINI HABARI ZAKE KAMA KUNAUMUHIMU .

  • @kibibiseif1480
    @kibibiseif1480 Před 3 lety +1

    Kafanana na Hbaba

  • @felixbenos6365
    @felixbenos6365 Před 3 lety +6

    Elisha the same with Chris brown

  • @irenemercy8070
    @irenemercy8070 Před 3 lety

    Yusufu all the way

  • @mcjmcheshi
    @mcjmcheshi Před 3 lety +3

    Km hujaoa esko fanya uoe maana madada wamedata na mijidevu

  • @mariamshabani5938
    @mariamshabani5938 Před 3 lety

    Kwani mwaka huu hatupigi kura nimpigie Yusuph mie

  • @emmaonalloh5515
    @emmaonalloh5515 Před 3 lety

    Esco ndevu utoa wapi 😂😂😝

  • @emmanueljoseph2576
    @emmanueljoseph2576 Před 3 lety +1

    Kama hawajapanga mshindi Yuzzo wewe ndo mshindi amini nakwambia

  • @paulochedego8089
    @paulochedego8089 Před 3 lety

    Kal

  • @rahmaramadhan9773
    @rahmaramadhan9773 Před 3 lety

    Kweli kujaji nishuhuli nzito wote wakali haswaaa Elisha jamani anasautiiiii jitahidi kuchaguwa nyimbo fanya zoezi nyimbo ya Anelia utafunika sana

  • @samlisumpangala7422
    @samlisumpangala7422 Před 3 lety

    Yusuph tyuuu

  • @frolamwaalukamwaluka7302

    Ngoja nibet ,yuzo, Elisha,petro

  • @marqueenog8754
    @marqueenog8754 Před 3 lety +5

    Yuzzo ni motooo

  • @c.kprincess311
    @c.kprincess311 Před 3 lety +3

    Amnia nizar na margharitha

  • @Gtwice
    @Gtwice Před 3 lety

    Hongera but abubakhari ni hatari zaidi

  • @watuwatu4589
    @watuwatu4589 Před 3 lety

    Unajua

  • @sharifumaliga89
    @sharifumaliga89 Před 3 lety

    Kama wanawake wazuri idi amin aaingeitwa Dada 😂😂