Wakimtoa tu dogo mimi na washkaji zangu hatuangalii tena bss na tuomba haki endeke.. We like the boy ✔️✔️✔️✔️ hongera bss kwa kukisaka na kukipata hiki kipaji
Madam dogo kakuimbia wee apo mungu kakushusha kwaajili yake upate kumtoa na kipaji chake na rangi yako Kama unaoga mafuta nimemuelewa Sana Nani mwingine kamuelewa twende like
Hamic yuko vizur....ila mmemfanyia vbaya kumtoa binafc imeniuma sana hamic.........nakupenda hamic nmelia sana kwa ajili yako mungu atakuongoza kwa kila ktyu uckate tamaa.....inshallah mungu yupo🙏🙏🙏🙏🙏
Binafsi ningelikua nauwezo ningejaribu kukufanya uwe zaid ya hapo ulipo ila naimani mungu hubariki kazi za mikono yetu waja wake kipaji unacho haipingiki salute kwako
Kama kuna mtu amemuona madam white akilia gonga ka like apa chini
Jaman huyo dogo namwombea sana najikuta namsikiliza yeye tu mpk MB zinaishia kwakwe jaman kama unampenda na wewe gonga like hap
Kweli
Yuko vizuli na mimi namuwombea🙏
So wewe ata mm nilikuwa simfatilii lakini saiz namkubali kinoma ❤
Dahhh nmelia san yan
Duuuuh amisss mim wakoooo
The boy is humble, down to earth yet super talented!! Big up!! The future is bright and holds big. Press on Soldier Hamisi!!
Aise huuuu ndo mziki tunaoutaka very amazing.
Touching.
So sweet
Hamisi amenifanya nikaupenda huu wimbo mpk nimeu download,God bless you Hamisi ufike mbali
Ww noma hata kama hawakutaki nimekusikiliza mpaka nikalia u sing on soul God be with u forever
God bless you bro Hamiss, unajua sana. Na unakipaji kizuri sana Mungu akuongoze uendelee hivo hivo 🔥
I'm from 🇰🇪 but I will support him 100% 👌👌
Wakimtoa tu dogo mimi na washkaji zangu hatuangalii tena bss na tuomba haki endeke.. We like the boy ✔️✔️✔️✔️ hongera bss kwa kukisaka na kukipata hiki kipaji
Kuku penda. Sichok khamis wallah💕💕💕
Jembe hio pitisha
Amina Makacha anaweza sema wamezingua sana
Madam dogo kakuimbia wee apo mungu kakushusha kwaajili yake upate kumtoa na kipaji chake na rangi yako Kama unaoga mafuta nimemuelewa Sana Nani mwingine kamuelewa twende like
Aisee
Hamic yuko vizur....ila mmemfanyia vbaya kumtoa binafc imeniuma sana hamic.........nakupenda hamic nmelia sana kwa ajili yako mungu atakuongoza kwa kila ktyu uckate tamaa.....inshallah mungu yupo🙏🙏🙏🙏🙏
Kama hukumpgia kura ukamfanya ashinde unalaumu nn sasa ila kiukwel hamfkii yule alieshinda
Kuna wakati njia yako ya maisha Mungu anakuandalia haijalishi utapitia magumu kiasi Gani never give up play for God
sichoki kumuangalia hamisi, bss mfanyie haki
mpeni hizo pesa zake huyo ndo mshindi wangu wa bss msimu huu 2019
Hakika
Napenda kilamala kumuangalia
For sure anavutia sana
Nice
congratulations baby boy you're a future super star 🙏🙏👏
Hadi raha yaani
hamis ningekua nauwezo flani ivi ungependa mwenyewe nkupenda sana hamisi unajuakuimba ila we imba kihisia tu ndugu yangu wala usiwe na haraka
Yes Khamis anahitaji little help good singer but he's vry fester
Kila rahel dogo
Jamani umeliza boy😭😭😭😭how I wish ningekua na uwezo wa kutosha nikusupport,but I know there's God 🙏🙏🙏utafanikiwa
Huyu dogo mpeni support jamani.... Bidii aliyo nayo na akiangalia maisha yake ndio yualia ivo... Madam Ritah jamani mpeni dogo support
Kaka konde zama bbs ucheki vpaji wadogo mi konde nimemkubali sana hamis usimuache dogo mpe tafu
Kabisa unajuwa 💝💝💝💝💗💗💗💗💖💖💖😍😍😍😍😍😍😍😍😍😘😘😘😘💝💝💝💝💟💟💟💟💟♥️♥️🖤💙💚
No more like Hamisi big Up
Very good huku ndiko nchi inako elekea watu sahihi kwenye sehem sahihi umeti shaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Anaweza hamisi🔥🔥🔥
Hapa Kenya tunakubali huyu dogo likes zije kama pia wewe wamkubali
Tatzo Tanzania fitna nying
Yupo vizur sana
chibu baba mchukue hamissi
dogo unajua kuimba
Hongera dogo # from Kenya
Wasisimua watu wazima ee
Hamis anaweza kila kitu, ila ubinadam kaz wengine wanasema Hawez imba Daah, inaumiza sana Mungu akutangulie Amina👏👏
Hamis I love you so much 😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😘😘😘😘🤩🤩🤩🤩🤩
Maumivu yamapenzi nayaogopa sana ata wivu sina roho ya chuma tunavyo ishi wanadhan tunadanganyana dondosha like kama umeelewa hii ngoma
i like that voice ,it touched me so much
My young sina cha kukupa ila nakuombea kwa mwenyezi mungu akujalie kila la heri katika kufikia malengo yako
Nimekupenda bure. Madam Rita usiwe unalia bana unaniliza na Mimi mamaaaa.
Yaaani. Kanimaliza hisia zangu daaa!
Upo.. Vzr Hamiss Mungu akusaidie uweze shinda Bss unanifany niiitizame Bss kwa ajir yko upo vzr sana.... 👍
Konde usimwache dogo
love this guy, the voice is amazing, Hamisi you rock my world of music, i love you, i support you all the way from Kenya
Congrats ... all the best young boy. I like him big up.
Big thanks to Madan Ritta for taking this boy back. God bless you.
Dogo Yuko vizuri Sana hongera
Pure talent. Hakuna kitu analazimisha huyu. Vitu zinaflow zenyewe tu yaani. 😀
Haaaaa dogo anaimba konki. Safiiiiiiiiiiiii sanaaa
Super star wangu Hamissi saidi👏👏👏kweny bss
ok ipo good
Anajua san
Anaweza sana mpaka raha yani
Mariya ni wats up niko msa +254715934763
Mtapata aibu ngoja tuone
@@shahaupunda301 hakuna aibu mi namini mpaji ni Mungu2 asipopata Hamis riziki yake ipo 2
Mariya Al kabsa
Mpigien kura sio mnasifia tu umu
Kura via which line?
Ilo nalo neno
erick ndunguru 😂😂😂😂
Ongela dana
Sijui ginsi yakupiga kura ninge mpigia
waaaah endelee tu ,keep it up hamis
Khamic Bss anaimba vizuri sanaa Allah amfikishie lengo Insha Allah
Machaneli mengine bhana unachoandika na kinachoonekana vitu tofaut kabisa
Kama huyu dögo wametoka Bss sifatili tena
Respect my brooh because u know so big up.
Bonge la star Amisi one love from 254🇰🇪
20% alisema wenye vipaji wengi ni mafukara dar!!! dogo 🌷🌹unaweza
Wamemuonea anaimba vizuri kweli.Hamiss my favority superstar wa BSS
Mabrouq khamis una kipaji Mashallah
Binafsi ningelikua nauwezo ningejaribu kukufanya uwe zaid ya hapo ulipo ila naimani mungu hubariki kazi za mikono yetu waja wake kipaji unacho haipingiki salute kwako
jaman apewe tuzo hyu dogo jaman apewe haki yake tu
Huyu dogo anajua sana maisha yake ya nanidhamu ya hali ya juuu
Wanabadirikaga mpaka unamkataa
@@user-je1id1tx1uhatimae saizi anavaaa vi krop-top😂😢
Mungu akuinue janja ukawe baraka kwa familia yako na taifa
daaa ata sielew niongee nin umetsha bro hamc
Aweee ameweza wallah appretiation tu younkonde usimuache
Moto moto
Jst love this young boy
Uko vizuri bro I salute you one love ✌️
Nice one 👌 hamis God bless you broo mungu Yuko pamoja nawe utafika mbali sana
Great bro,,,unaweza
SITOAGI MICHOZI KIFALAFALA MIE LAKINI KWA HUYU HAMISI WAJINA WA MWANANGU DAHHHH 😭😭😭😭
upo vzr ndugu hongera cna mungu akutangulie inshaallah
Mi pia
Kifala fala hahaha
Yan me pia kaniliza kwel alaf cjui kwann wanamchukia
Duuuh bss jamani muoneni hamisi bac mpaka mwisho
Yes ni mzuri saana MASHALLAAH
Aiseee Yuko vizuri sana kijana mungu amzidishie
Kwa kudra za Mwenyezi Mungu akujalie kil lenye kreri maishan mwako
Khamis Belle4 nakukubali hadi napata homa daahhh! Ww ndiee fundi wA bss 2019
Hamisi yupo vizuri sana jamani nduguzangu tumpe kula kwa juudi zote
Mungu aendelee kukuonyeshea njia Khamis
Mungu ndo upanga kila kila kama IPO IPO tuuh uwez jua mung amekusudia nini juu ya maisha yako ameeeh
uko vzr sana dogo kaza buti utafika mbali.👏🏻👏🏻👏🏻
Watching dogo from diasporas 🇹🇳
Daah unaimba vizur adi raha well done
Hongera Sana Sana hamisi hamonaiz ajaribu kumuangalia amsaidie kwa kweli hongera hamisi jitahidi usife moyo so mwengine ni mama mpenda amani from 🇰🇪
This boy is talented
Anajuwa anasitaili kuchaguliwa
He is really good....
Jamni wasanii wetu jamani simfanye kolabo nauyu jamaa ananikosha moyo uwiiiiiiii
Mpigie kura sio akitoka muanze kulalamika mpigieni kura nyingi zaid ili aendelee kuwepo
These boy nampenda wasanii muone hyu bonge la star
Yaani kusema ukweli mimi nasubiri Nyimbo zake,, Amenikuna sana👍
Jaman khamis asitolewe adi mwisho namuombea ashinde.
Nimemkubali mbaya yuko vinzuri sanaaa
Kihamisi bonge rasita miaka 5 ijayo
Safi sana hongera sana
Dogo Yuko poa sana,katika wote akiimba had mwili unasisimka wengine makelele2 ,hamisi yupo juu
Big up kijana upo gud
Wasanii jamani wakubwa kama Harmonize , Diamond , kiba , rayvan twawaomba msaidien kaka yetu mpendwa khamisi kiufipi mm namkubali sana yaan .
Teddy Augustino n no
Sana hamis
Teddy Augustino 😂😂😂🙏💪💪
Diamond /WSB muchukuwe uyu jama anaweza
Congratulation Broo I support you brother 👏👏👏
Wow I really appreciate you hamisi
Uyu jmaa katisha daadeq kipaji kali
Huyu jamaa nomaaa
Hapo hajatumia vikorombezo yovyote
Sasa akiingia studio mnasemaje hapo!!
Acha na maulana hakufungulie jia mdogo wetu Kenya twafurahia kazi za mkono zako
Hubby wa the lightskin judge ndo nahurumia
Nimefatilia BSS kwajili ya hamisi nampenda sana
maishaalla unaimba sana kaka mungu akuvushe
Nampenda sana yuko vizuri
This is a precious rough diamond
Jamani mungu akufikishe mbali mdogoangu hamic
Bss mnafufua vpaji vilivyomo uswahilin
Kazi nzur maashaallah
Félicitation mon frere courag
Mungu akufungulie uweze kusonga brother
Dogo amefanya vizuri ,ilakilicho fanya mpaka atoke hakuwa na mbwembwe kwenye jukwaa,ila kipaji dogo unacho,,kaza buti,Ni Dr Moses wa Nairobi Kenya
Asee dogo unajua Sana tunakuombeea mungu utafika kalibu konde geng
Umetisha dogo
God bless you, you real know
God bless you and open his door for you
Dogo anaweza sanaaaaaaaa super brand