WAMELAANIWA wafuasi wa Mwakasege, Mwamposa, kuhani Musa, Abiud Mbarikiwa nk msipofanya yote..

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 10. 07. 2024

Komentáře • 208

  • @adelisupendo2417
    @adelisupendo2417 Před 21 dnem +6

    Mwalimu Mwakasege
    Mwalimu wangu amenivusha ba kubwa sana nampenda

    • @K-go1qj
      @K-go1qj Před 13 dny

      Zichunguzeni kila roho

  • @CRISENSIASHOKI
    @CRISENSIASHOKI Před 22 dny +3

    Wee mtumishi nakupenda sana,, we umetumwa na MUNGU hakika,, zidi kuifanya kazi ya MUNGU kama ulivyoagizwa...

  • @ElisonguoShayo-hb2gs
    @ElisonguoShayo-hb2gs Před 22 dny +5

    Review your calling mtumishi. Seek again the guidance of the Holy Spirit. Naona unaweza jiona sawa unavyowashambulia wenzake at the end of the day ukajikuta wewe ndio iko wrong.

  • @SaimonmsimbegeMwakajonga-wt6rr

    Kamanda kiukweli MUNGU anajua kuwa unasema kweli mtu ambaye ajawai kuingia huko ndani atakuksoa tu bola wanyamaze ipo siku tu tutakuwa mbele yahukum ya Mzee wasiku

  • @SmilingApron-zw6ne
    @SmilingApron-zw6ne Před 22 dny +1

    WOOOOOU, BARIKIWA SANA MPENDWA WETU SANA MBARIKIWA NA UMESHABARIKIWA KAAATTIKA JIMA. KUBWA LAKE YESU KRISTO.

  • @wilfredyhumphrey918
    @wilfredyhumphrey918 Před 6 dny

    Mwalimu mwakasege nakupenda MUNGU akawa adui wa adui zako

  • @user-wi8og3sv4j
    @user-wi8og3sv4j Před 22 dny +3

    Paulo mtu wa mungu alimchomoa simon yule mchawi miujoza yake yote ya kichawi wewe unasubiri nini acha maneno piga dua kama paulo mchungaji mwenye mikono yakichawi ing'okee!

  • @user-wf5tx3cw8e
    @user-wf5tx3cw8e Před 22 dny +3

    Be blessed father Kenya tunakupenda sana baba

  • @Samwelianaseti
    @Samwelianaseti Před 18 dny +2

    Mwanzo mbarikiwa nilikuwa nakukubari lakini kwa sasa nahanza kukutiria mashaka kwa sababu unatafuta kutrendi kwa kuwasema wenzako vibaya sehem nyingine uko sawa lakini sehem nyingine unakosea

  • @davidkehogo3230
    @davidkehogo3230 Před 20 dny

    Ole wako wewe ujionaye upo salama na huku mguu wako ungali ktk shimo la kaburi 😢 wamelaaniwa wafuasi wako na wataambukizwa roho ya umbea na Masengenyo.
    Ndg fundisha Neno la Mungu swala la Uhariri Mungu hajakupa. Siyo kazi yako

  • @ezekielmkinga7773
    @ezekielmkinga7773 Před 17 dny +1

    Hakika tabia zao zinaonyesha kwamba wanamwabudu mungu gani maana ni wezi waongo wazinzi Wana roho mbaya wachafu Wana husuda wanafiki nk

  • @berthamwaitenda7207
    @berthamwaitenda7207 Před 16 dny +1

    Ifike wakati watumishi wa Mungu alie hai muhubiri ufalme wa Mungu ndilo agizo alotupa Yesu alipokuwa anarudi kwa baba ake mathayo 28:19,20.....muda ni mchache shetani anacheza hapo ili watu wengi wasipate injili ya ufalme wa Mungu na kuacha dhambi ila tuanze kuona watumishi wakijibishana wakirushiana maneno wapendwa waloitwa na BWANA KUTUMIKA MUDA NI MCHACHE TUKAZANE KUHUBIRI UFALME WA MBINGUNI kila mmoja atavuna alichopanda shetani halali anaona muda ni mchache ila watumishi kutwa kujibishana Mungu atusaidie

    • @Mbarikiwa_Mwakipesile
      @Mbarikiwa_Mwakipesile  Před 16 dny

      Wazungu waliwaweza. Wamewaambia ukimwambia mtu awahurumie Waafrika wenzake sio injili ya ufalme wa Mungu ila mkisubiri hadithi za mateso walipoteswa wao ndio injili. Pumbavu

  • @Apostledanielsmith2543
    @Apostledanielsmith2543 Před 22 dny +2

    Upo kweli baba mimi nipo nyuma yako hapa Kenya

  • @ivonaevarista4654
    @ivonaevarista4654 Před 20 dny

    Ubarikiwe Sana na BWANA YESU KRISTO

  • @rozijackson4467
    @rozijackson4467 Před 16 dny +1

    Ajidhaniaye amesimama na aangalie asije anguka
    Fanya wewe basi waige kutoka kwako ,kazi majungu tu ndo yamejaaa

    • @aeshraykidumars3668
      @aeshraykidumars3668 Před 2 dny

      😅😅😅 umenichekesh sana aisee nimajung kweli yanayo onekana apa kwawezake

  • @danielmakelemo2395
    @danielmakelemo2395 Před 14 dny

    Mmebarikiiwa amepewa huduma hiyo ya kuwakemea wajiitao watumishi wa Mungu na kumbe ni waongo.hii huduma ngumu sana na siku zote huwa Haina waumini wengi ila inatengeneza watu watakao simama Kwa ujasiri.kumbuka kwenye dhiki kuu watakao simama kama Mashaidi wa nyakati hyo watakuwa Nabii Eliya na Henock ni wachache lakini watasaidia kuokolewa wengi Kwa damu Yao na mateso.mbarikiwa simama na wito wako Mungu yupo na wewe

  • @user-ny1tf2gg8g
    @user-ny1tf2gg8g Před 22 dny

    MUNGU nuunganishe kiroho na huyu Mtumishi wako Mbarikiwa mwakipesile. Natamani sana ,sana.

  • @PascalMbwilo-vh5rn
    @PascalMbwilo-vh5rn Před 15 dny

    Duuuh 🙌 mtumishi wa Mungu,,,🔥
    Lakini najarbu kuwaza kama wa shetani wanafanya makubwa hv ad watu wanawafuata and we know exactly YESU ni mkubwa kuliko shetani,, Kwa nn watumishi wake unaowaona wa ukwel hawafany kama hao unaona wa shetani? Je tuseme Mungu hana nguvu kama shetani? Au je nguvu za Mungu zna masharti magumu kuliko za shetan au je Mungu hajawapa watumishi wake nguvu nyingi kawapa kidogo??
    Najarbu kuwaza kama Mungu amekupa message uambie kanisa lake kuhusu kwenda mbinguni tu,,? Je Mungu hana meseji za how to become successful? Hana meseji mpya ya mambo yanayoendelea duniani ambazo manabii(unaowaona washetan) wanatuambia na vtu vnatokea,,au Mungu wetu has no time to those things? What he focus is twende mbinguni tu? Vp kuhusu maisha yetu hapa duniani kiuchumi kiafya kjamii kisiasa??
    @kikosikazichainjili me ukinipa jbu hapa ntaanz kukuelewa maana naona umefocuss in one well of salvation,,,leo IPM kesho mwamposa kesho yake shusho kesho tena kiboko ya wachawi now umeenda mbali zaidi mpaka mwakasege🙌😁
    Ukiiona hii coment naomba uweke vdeo kuijibu nielewe
    GOD bless you

  • @user-wi8og3sv4j
    @user-wi8og3sv4j Před 22 dny +2

    Gidio alivunja madhahu mbaya na kuziharibu hakuwaletea watu maneno yasikuwa na matokeo

  • @mashakalupindo
    @mashakalupindo Před 13 dny

    Mtumishi iogope hukumu ya kulaani wenzio usije ukahukumiwa maana mahubili Yako ni kuhukumu wengine tu.

  • @Hapomwanzo
    @Hapomwanzo Před 22 dny

    Hii laana kwa kweli inatutafuna wengi, Mungu tu atusaidie.

  • @user-fy9uk4oh7x
    @user-fy9uk4oh7x Před 17 dny

    Laana haipo juu ya Kila aliye Mwamini Yesu Kristo maana alifanyika laaana Ili sisi tuwe baraka Yesu ,upendo wa Mungu sio kumlaani mtu baali ni kumbariki

  • @ebenezermachange-zp4es
    @ebenezermachange-zp4es Před 22 dny +1

    Ukiona mtumishi unawatakia watumishi wenzako walaaniwe..umepotea katika wito wako roho ya shetani inafanya kazi ndani yako ole wako

    • @shukranimpomwa7460
      @shukranimpomwa7460 Před 22 dny +1

      Hiyo ni Biblia imesomwa jamani!!! Au kwasababu aliyesoma Ni mtu mnaemchukia?
      Kumbukumbu la Torati 27:26 Na alaaniwe asiyeyaweka imara maneno ya torati hii kwa kuyafanya. Na watu wote waseme, Amina.

    • @caljersilverhabor464
      @caljersilverhabor464 Před 21 dnem

      Huskii amesoma bibilia?

  • @festinamwakipale3919
    @festinamwakipale3919 Před 22 dny +1

    Viache vikuwe pamoja anakuja mwenye shamba mtumishi.awahurumii watu waache dhambi anasema kama mzinzi.poa alete sadaka tuko mwishoni

  • @joycefrances4516
    @joycefrances4516 Před 3 dny

    umelaaniwa wewe na kizazi chako cha ushoga,umebanduliwa nyuma na mateja,huna jipya,unatafuta kutukana mpaka waumini usiowajua,umebanduliwa tulia

  • @catherinechanda9630
    @catherinechanda9630 Před 22 dny +2

    Amen

  • @user-wi8og3sv4j
    @user-wi8og3sv4j Před 22 dny +1

    Mbarikiwa mh naona ngoma inalia sana hii inaelekea kupasuka

  • @anjelinamwinga
    @anjelinamwinga Před 22 dny

    Nakupenda baba mno yesu akukumbuke

  • @EliaMhile
    @EliaMhile Před 18 dny

    Mwakipesile kuna wakati unaongea point lakini kuna wakati unaongea pumba....
    Haya mbarikiwa pambana na injili yako ya laana

  • @jacquelineswai602
    @jacquelineswai602 Před 16 dny

    Hawa acheni kuwakashifu watumishi wa Mungu kwa sababu ya nguvu zenu za giza

  • @GladTolage
    @GladTolage Před 20 dny

    Ubarikiwe kwa huu wimbo

  • @isaacsanga9707
    @isaacsanga9707 Před 21 dnem

    Ni kweli wanaomchukia mtumishi wa Mungu mbarikiwa wanaweza wakajikuta wanaichukia na biblia maana hata akinukuu biblia watachukia kwa wajitathimini maana wanaweza kulaaniwa katika hilo.

  • @samwelingasa1638
    @samwelingasa1638 Před 18 dny

    Unamsema sana Mwakasege anahubiri mafundisho ya Mwakasege anahubiri mafundisho ya kishetani thibitisha wapi na Abiudi unasema ni tapeli toa video kama ww ni mtumishi wa Mungu kweli acha kupotosha watu

  • @IbuGang
    @IbuGang Před 14 dny

    Jamani mbarikiwa anaishi kwa kukosoa wezake roho mtakatifu hayuko hivyo huyu aliyenaye ni mtakashari pole sana

  • @user-eu6ql9zl7n
    @user-eu6ql9zl7n Před 6 dny

    Huyu tutaotesha vijit tuone huduma ya nan itachipua

  • @itsyourboy1407
    @itsyourboy1407 Před 22 dny

    Picha inaanza Single ina dakika 12:46 nomaaa sanaa hapa Khadija kopa akasome 🎉

  • @WilliamSomela
    @WilliamSomela Před 22 dny +1

    MCHUNGAJI NATAMANI NIJIFUNZE MENGI ZAIDI NAOMBA NISAIDIE NAMNA YA KUFIKA KANISANI KWAKO NIPO DAR ES SALAAM

  • @sirpaza8513
    @sirpaza8513 Před 22 dny +1

    Amelaaniwa mfuasi wa yeyote yule atendaye dhambi

  • @user-nt4rt4hz1h
    @user-nt4rt4hz1h Před 20 dny

    Amen amen.❤❤

  • @ExcitedFerryBoat-fc9fu

    Kukemea ubaya si dhambi kuyafichua maovu ili watu wafumbuke akili zao si dhambi upo sahii kabsa watu wanahubiri kinyume na mpango wa mungu wanamuhubiri kristo kwa hila ubarkiwe mtu wa mungu unatufundsha kuijua biblia na namna wanavyoipotoxha jamii

  • @kikosikaziupdate
    @kikosikaziupdate Před 21 dnem

    Walaaaniweeeeee

  • @RemiKim-yt5cl
    @RemiKim-yt5cl Před 16 dny

    SASA MWAKASEGE AMFNYJE JMNI ..OLE WAKO AMNYOOSHEAE MTUMISHI WA BWANA KIDOLEE DUNIA IMEKWISHAAA😢😢😢😢😢😢

    • @EliaMhile
      @EliaMhile Před 15 dny

      @@RemiKim-yt5cl Huyu amekuwa mpuuzi tu, badala ya kuhuburi injili ameamua kuchafua watumishi tu bila sababu za msingi.

  • @Yesuninuru
    @Yesuninuru Před 16 dny

    Wewe Unaishi kwa kuwakosoa Watumishi wa Mungu inaonekana ww una Matatizo Sana

  • @dolvinshao6956
    @dolvinshao6956 Před 22 dny +1

    Mimi sidhani kama ni wivu ni mahubiri ya kumpeleka mtu mbinguni

  • @user-dp6ze5gm4u
    @user-dp6ze5gm4u Před 14 dny

    Unapata shida wapi mtumishi wa MUNGU? Yote yametabiriwa lazima yawepo.. kazi yangu na Yako ni kuhubiri neno la uzima liokoe wale waliokusudiwa kwenye huduma yako sio kushambulia wengine.

  • @jeckobass7502
    @jeckobass7502 Před 22 dny +1

    Mzeee CZcams imeanza kumlipa nia kubwa nikuingiza ela CZcams ndio maana vichwa vyaa habari vimekaa kichokozi😂😂😂😂😂

    • @shukranimpomwa7460
      @shukranimpomwa7460 Před 22 dny

      Sio kichokozi, hapo iko hivyo vivyo; ameambiwa yeyote asiye yaweka imala Maneno haya;
      👉👉Kumbukumbu la Torati 27:26 Na alaaniwe asiyeyaweka imara maneno ya torati hii kwa kuyafanya. Na watu wote waseme, Amina.

  • @isayamwashibanda5819
    @isayamwashibanda5819 Před 22 dny

    ❤❤❤

  • @BerylSeer1
    @BerylSeer1 Před 22 dny +1

    Aiiilili uwiiiii!!! Wimbo mzuri nimekatika Sana.

  • @msomajuma8811
    @msomajuma8811 Před 14 dny

    Kukosoa manabii na mitume mamilionea Uwe makini

  • @user-mn2hb7xt9k
    @user-mn2hb7xt9k Před 21 dnem

    Mwakipesile umesahau hata waumini wako upo kujadili mwamposa utakuwa London zako uko upo bz mitandaoni na mwamposa nachukua mzigo Kwa ajili yako nikuombee alafu usiangalie huyo Tu alie kufa tazama hata waliofunguliwa shetani

  • @LusajoKabuka
    @LusajoKabuka Před 13 dny

    Huyu jamaa analana ndo maana anavaa nguo za ufungwa amefungwa milele majunguu na biblia hayakuhusu wewe wambiage haohao wa majungu wexmzako

  • @MagdalenaMatiko
    @MagdalenaMatiko Před 22 dny

    Kwanini asbh jioni ni maneno si neno Nilisema hv toka mwanzo huyu baba alishapigwa zamani,,alijaribiwa kwa mwanae ,ndipo ukichaa ulipoanzia,sasa hataki aende mwenyewe,anataka aumize watumishi wa Mungu ,asipotee mwenyewe,wew hubiri,kemea,ombea,hukumu mwachie alowaajiri,

    • @Mbarikiwa_Mwakipesile
      @Mbarikiwa_Mwakipesile  Před 22 dny

      Hapo sijasema Mwakasege wala Abiud au Mbarikiwa wana matatizo, bali wafuasi wao au wanaosikiliza mahubiri yao, KAMA HAWAFANYI YOTE AMBAYO BIBLIA ILIAGIZA WAMELAANIWA. MBONA NIMESOMA MAANDIKO NDIVYO ALIVYOSEMA KATIKA KUMB 27:26, 28:15:66? Wanadamu Mbarikiwa mnamchukia na Biblia nayo pia mwaichukia kwa sababu imesomwa na adui yenu?
      Nabii, au mtume, au mchungaji au mcha Mungu anatakiwa kupinga na kukemea rushwa, mauaji, wizi, ufisadi, maonezi, dhuluma nk. Hiyo sio karama au kipawa cha mtu fulani kwa sababu mnasema ni mwinjilisti au ni karama yake. Imeandikwa hivi katika Mithali 8:13 Kumcha Bwana ni kuchukia uovu; Kiburi na majivuno, na njia mbovu, Na kinywa cha ukaidi pia nakichukia.
      Kisha IKAANDIKWA kuwa (2 Timotheo 4:2) lihubiri neno, uwe tayari, wakati ukufaao na wakati usiokufaa, karipia, kemea, na kuonya kwa uvumilivu wote na mafundisho.
      Je, hapo imesema mwenye kukemea uovu ni huyo mnayemwita mwinjilisti tu? Au ni wajibu wa kila amchae Mungu?
      Nimeona wengi wenu mkionyesha kuwa mnafurahishwa sana na kuuawa kwa mwanangu na kufungwa kwangu gerezani kwa sababu ya kusoma maandiko yanayowakela. Anyway, endeleeni na sherehe ila kwangu huko ndio kuhubiri. Nimepatwa na yote yaliyonipata kwa sababu hiyo na kwa sababu hiyo niko tayari kwa yote mnayoyataka yanipate. Ila kila mtakaponiona kwa wimbo au mahubiri mtaona nikikemea hayo.

    • @shukranimpomwa7460
      @shukranimpomwa7460 Před 22 dny

      Basi hata Mungu ni KICHAA;
      Kumbukumbu la Torati 27:26 Na alaaniwe asiyeyaweka imara maneno ya torati hii kwa kuyafanya. Na watu wote waseme, Amina.
      Hapo ni Mbarikiwa anasema au MUNGU?? Uchizi tu.

  • @user-nt4rt4hz1h
    @user-nt4rt4hz1h Před 20 dny

    Wimbo upo sahihi ila tatizo lipo kwenye kichwa cha habari,kwakusema wafasi wa abiud,mwakasege.wamelaaniwa,tatizo lipo hapo ndiyo maana watu wanacoment vibaya,ushauri kichwa kilitakiwa kukaa hivi=wafaasi wote wa wachungaji na manabii wasio tii sheria ya mungu wamelaaniwa.

  • @jerrysonbusega8161
    @jerrysonbusega8161 Před 12 dny

    Nakuomba uliepost hii video ufute mara moja lasiivyo nitajua chakukufanya huwez kumthalilisha mtumishi wa Mungu Mwalimu Christopher Mwakasege amehudumu kwa miaka mingi katika injiri hii Leo una mkashifu ivi unajielewa kweli

  • @DeoMwampamba-ru3yo
    @DeoMwampamba-ru3yo Před 20 dny

    Mbona yeye fanueli sedekia alikuwa anaimba bila kujibu anayokerwa na wanaomuudhi! Lakini ninyi! Munatupandikizia tu uadui kwa watu ili tuwe tunawapiga na kuwachukia na kuimba kwenu na kuhubiri kwenu"

    • @Mbarikiwa_Mwakipesile
      @Mbarikiwa_Mwakipesile  Před 20 dny

      Fanuel Sedekia hakuwa mkuu kuliko Biblia. Aliimba nyimbo zilizoburudisha wazinzi na wezi

  • @Producervbaddset
    @Producervbaddset Před 22 dny +13

    WAFUASI WAKO SISI TUNAOUFWATILIA NDIO TUMELAANIWA MAANA TANGU TUNAKUFWATILIA HUJAWAHI KUTUFUNDISHA ZAIDI YA KUWASEMA WENZAKO KAMA YESU NA WATUMISHI WENGINE KWENYE BIBLIA WANGEKUWA KAMA WEWE MZEE SIJUI KAMA TUNGEKUWA HAPA😅 SISI NA KIKOSI KAZI TUMELAANIWA

    • @DanielYusuph-071
      @DanielYusuph-071 Před 22 dny

      Yesu na watumishi wengine wa kwenye biblia ya ukoo wako ?

    • @DanielYusuph-071
      @DanielYusuph-071 Před 22 dny

      Yesu na watumishi wengine kwenye biblia ya ukoo wako

    • @BerylSeer1
      @BerylSeer1 Před 22 dny

      Hahaha ​@@DanielYusuph-071

    • @user-bo7hp4hh1x
      @user-bo7hp4hh1x Před 22 dny +2

      Hata siku ya mwisho atakapojizihirisha zaid waziwazi Mungu atatuma wajumbe wawili kuzuia wasimsikilize mnyama lakini watu watawakataa na mnyama atawaua na baada ya siku tatu Mungu atawakusanya watu bila kujua na hao mashahidi waliokufa watainuka na kupaaa tazama tetemeko kubwa litatokea na kujua watu wengi sana. Na hata Sasa hamtaamini hiki anachosema mbalikiwa wala amieli Wala gwajima wala wahubili wadogo wadogo hamtasikia Ila ukifa utatamani kurudi duniani ili uwakataze wasiwasikilize lakin utakua umechelewa amee

    • @joycedartus6903
      @joycedartus6903 Před 22 dny

      Kwahiyo wewe umelaaniwa au nd mlaani😂

  • @EsterJohn-yy8nh
    @EsterJohn-yy8nh Před 5 dny

    Usihukumu usije kuhukumiwa

  • @user-re8fu5lp9f
    @user-re8fu5lp9f Před 22 dny +1

    Baba tupe makosa ya mwakasege kosa lake nini jamaniii mbona tunamwelewa mahubiri yake

    • @Mbarikiwa_Mwakipesile
      @Mbarikiwa_Mwakipesile  Před 22 dny

      Hapo sijasema Mwakasege wala Abiud au Mbarikiwa wana matatizo, bali wafuasi wao au wanaosikiliza mahubiri yao, KAMA HAWAFANYI YOTE AMBAYO BIBLIA ILIAGIZA WAMELAANIWA. MBONA NIMESOMA MAANDIKO NDIVYO ALIVYOSEMA KATIKA KUMB 27:26, 28:15:66? Wanadamu Mbarikiwa mnamchukia na Biblia nayo pia mwaichukia kwa sababu imesomwa na adui yenu?
      Nabii, au mtume, au mchungaji au mcha Mungu anatakiwa kupinga na kukemea rushwa, mauaji, wizi, ufisadi, maonezi, dhuluma nk. Hiyo sio karama au kipawa cha mtu fulani kwa sababu mnasema ni mwinjilisti au ni karama yake. Imeandikwa hivi katika Mithali 8:13 Kumcha Bwana ni kuchukia uovu; Kiburi na majivuno, na njia mbovu, Na kinywa cha ukaidi pia nakichukia.
      Kisha IKAANDIKWA kuwa (2 Timotheo 4:2) lihubiri neno, uwe tayari, wakati ukufaao na wakati usiokufaa, karipia, kemea, na kuonya kwa uvumilivu wote na mafundisho.
      Je, hapo imesema mwenye kukemea uovu ni huyo mnayemwita mwinjilisti tu? Au ni wajibu wa kila amchae Mungu?
      Nimeona wengi wenu mkionyesha kuwa mnafurahishwa sana na kuuawa kwa mwanangu na kufungwa kwangu gerezani kwa sababu ya kusoma maandiko yanayowakela. Anyway, endeleeni na sherehe ila kwangu huko ndio kuhubiri. Nimepatwa na yote yaliyonipata kwa sababu hiyo na kwa sababu hiyo niko tayari kwa yote mnayoyataka yanipate. Ila kila mtakaponiona kwa wimbo au mahubiri mtaona nikikemea hayo.

    • @asamwklkw
      @asamwklkw Před 21 dnem

      Elimu ya darasani na busara vina umuhimu mkubwa,, kwa kueleweka zaidi c ungesema wakwako pia ambao hawafuati yte biblia imeagiza wamelaaniwa pia

    • @Mbarikiwa_Mwakipesile
      @Mbarikiwa_Mwakipesile  Před 21 dnem

      @@asamwklkw rudia kusoma title utaona wafuasi wa Abiud, Mbarikiwa nk. Hiyo haijaandikwa leo.

    • @asamwklkw
      @asamwklkw Před 16 dny

      Ata Biblia haijaandikwa leo

  • @DAUDIMWAMBALASA
    @DAUDIMWAMBALASA Před 22 dny

    ubalikiwe sana

  • @durangobasics6195
    @durangobasics6195 Před 22 dny

    Lol usajili 😂😂😂

  • @salvatorymushi2038
    @salvatorymushi2038 Před 22 dny +1

    Sasa mtumish ...
    Kichwa habari hakiko sawa kabsa .....
    Kila mtu anadhambi ...hata nyie sio watakatifu ,,,,Neno la MUNGU linasema tukisema kwamba hatuna dhambi twajidanganya ,,,,kikubwa wewe hubiri kweli ,,,kemea,karipia ,onya ,ila sio kwa kuandika vichwa vya habari vya kijinga namna hiyo ...
    Yaaan unatupa ukakasi kweli ,,,,,ebu kemea dhambi na sio kuwataja watumishi wa MUNGU....wewe kila mtu kwako ni mbaya, Yup ni mwema kwako au wewe ndo mtakatifu peke Yako ??
    Angalia bna usiwalishe kondoo wako sumu ...naona unaandaa kizazi cha kupigana kimwili kabsa

    • @Mbarikiwa_Mwakipesile
      @Mbarikiwa_Mwakipesile  Před 22 dny

      Hapo sijasema Mwakasege wala Abiud au Mbarikiwa wana matatizo, bali wafuasi wao au wanaosikiliza mahubiri yao, KAMA HAWAFANYI YOTE AMBAYO BIBLIA ILIAGIZA WAMELAANIWA. MBONA NIMESOMA MAANDIKO NDIVYO ALIVYOSEMA KATIKA KUMB 27:26, 28:15:66? Wanadamu Mbarikiwa mnamchukia na Biblia nayo pia mwaichukia kwa sababu imesomwa na adui yenu?
      Nabii, au mtume, au mchungaji au mcha Mungu anatakiwa kupinga na kukemea rushwa, mauaji, wizi, ufisadi, maonezi, dhuluma nk. Hiyo sio karama au kipawa cha mtu fulani kwa sababu mnasema ni mwinjilisti au ni karama yake. Imeandikwa hivi katika Mithali 8:13 Kumcha Bwana ni kuchukia uovu; Kiburi na majivuno, na njia mbovu, Na kinywa cha ukaidi pia nakichukia.
      Kisha IKAANDIKWA kuwa (2 Timotheo 4:2) lihubiri neno, uwe tayari, wakati ukufaao na wakati usiokufaa, karipia, kemea, na kuonya kwa uvumilivu wote na mafundisho.
      Je, hapo imesema mwenye kukemea uovu ni huyo mnayemwita mwinjilisti tu? Au ni wajibu wa kila amchae Mungu?
      Nimeona wengi wenu mkionyesha kuwa mnafurahishwa sana na kuuawa kwa mwanangu na kufungwa kwangu gerezani kwa sababu ya kusoma maandiko yanayowakela. Anyway, endeleeni na sherehe ila kwangu huko ndio kuhubiri. Nimepatwa na yote yaliyonipata kwa sababu hiyo na kwa sababu hiyo niko tayari kwa yote mnayoyataka yanipate. Ila kila mtakaponiona kwa wimbo au mahubiri mtaona nikikemea hayo.

  • @user-pb3bx7rl6c
    @user-pb3bx7rl6c Před 22 dny

    Yaan Mwakasege na Abiudi unawaweka kundi moja na hao wengine kina kiboko ya wachawi, mwamposa, IPM huko ni kuwakosea heshima na MUNGU atalipa nimeona mmoja ameuliza akajibiwa "wasio na mihemuko ya kishetan ndio wataelewa" msiwe mnachanganya watumishi feki na original katika kukemea

    • @Mbarikiwa_Mwakipesile
      @Mbarikiwa_Mwakipesile  Před 22 dny

      Elewa wimbo umesema watu wote wasipofanya alivyoagiza Mungu wamelaaniwa. Je watu wote wanahubiriwa na huyo Mwakasege na Abiud wanafanya yote aliyoagiza Mungu? Acha ushabiki wa kizuzu

    • @ChristinaSanga-pl5jm
      @ChristinaSanga-pl5jm Před 22 dny

      Utumishi mzuri ni pamoja na unyenyekevu kuzuia midomo isinene mabaya ikiwa nawe huna kipimo Cha utakatifu zaidi ya Mungu mwenyewe ndio maana Yesu alijibu kwa hekima kubwa akasema " Acha magugu na ngano vimee pamoja mnaweza mkang'oa magugu mkajikuta na ngano imeng'ooka " tafakarini Kwa kina

  • @isaacsanga9707
    @isaacsanga9707 Před 21 dnem

    Walaaniwe tu sasa hata kama wakijizima data

  • @janengaga2928
    @janengaga2928 Před 22 dny

    Dunia imekwisha. Purukushani hadi kanisani.

  • @user-bc6yv5qb8c
    @user-bc6yv5qb8c Před 22 dny

    Mtumishi wa MUNGU mwalimu mwakasege.Kosa lake ni lipi

    • @Mbarikiwa_Mwakipesile
      @Mbarikiwa_Mwakipesile  Před 22 dny

      Hapo sijasema Mwakasege wala Abiud au Mbarikiwa wana matatizo, bali wafuasi wao au wanaosikiliza mahubiri yao, KAMA HAWAFANYI YOTE AMBAYO BIBLIA ILIAGIZA WAMELAANIWA. MBONA NIMESOMA MAANDIKO NDIVYO ALIVYOSEMA KATIKA KUMB 27:26, 28:15:66? Wanadamu Mbarikiwa mnamchukia na Biblia nayo pia mwaichukia kwa sababu imesomwa na adui yenu?
      Nabii, au mtume, au mchungaji au mcha Mungu anatakiwa kupinga na kukemea rushwa, mauaji, wizi, ufisadi, maonezi, dhuluma nk. Hiyo sio karama au kipawa cha mtu fulani kwa sababu mnasema ni mwinjilisti au ni karama yake. Imeandikwa hivi katika Mithali 8:13 Kumcha Bwana ni kuchukia uovu; Kiburi na majivuno, na njia mbovu, Na kinywa cha ukaidi pia nakichukia.
      Kisha IKAANDIKWA kuwa (2 Timotheo 4:2) lihubiri neno, uwe tayari, wakati ukufaao na wakati usiokufaa, karipia, kemea, na kuonya kwa uvumilivu wote na mafundisho.
      Je, hapo imesema mwenye kukemea uovu ni huyo mnayemwita mwinjilisti tu? Au ni wajibu wa kila amchae Mungu?
      Nimeona wengi wenu mkionyesha kuwa mnafurahishwa sana na kuuawa kwa mwanangu na kufungwa kwangu gerezani kwa sababu ya kusoma maandiko yanayowakela. Anyway, endeleeni na sherehe ila kwangu huko ndio kuhubiri. Nimepatwa na yote yaliyonipata kwa sababu hiyo na kwa sababu hiyo niko tayari kwa yote mnayoyataka yanipate. Ila kila mtakaponiona kwa wimbo au mahubiri mtaona nikikemea hayo.

    • @Namtumbo
      @Namtumbo Před 21 dnem

      ​@@Mbarikiwa_MwakipesileAmina sanasana Barikiwa kama jina lako,msalimie mama na wapenda sana

  • @JESUSISLO891
    @JESUSISLO891 Před 22 dny

    Hebu nimabie Abiud pia amefanya nn

  • @CRISENSIASHOKI
    @CRISENSIASHOKI Před 22 dny

    Naomba nije nielekeze natamani nifike mbeya nipo dar es salaam...

  • @jitulakaleboymastr6477

    Walaaniwwee

  • @Yesuninuru
    @Yesuninuru Před 16 dny

    Wewe ndio wakwanza kulaaniwa

  • @DeodatusPhabian
    @DeodatusPhabian Před 22 dny

    Mwakasege na abiud. Msiwachanganye na mabii.

    • @Mbarikiwa_Mwakipesile
      @Mbarikiwa_Mwakipesile  Před 22 dny +1

      Hapo sijasema Mwakasege wala Abiud au Mbarikiwa wana matatizo, bali wafuasi wao au wanaosikiliza mahubiri yao, KAMA HAWAFANYI YOTE AMBAYO BIBLIA ILIAGIZA WAMELAANIWA. MBONA NIMESOMA MAANDIKO NDIVYO ALIVYOSEMA KATIKA KUMB 27:26, 28:15:66? Wanadamu Mbarikiwa mnamchukia na Biblia nayo pia mwaichukia kwa sababu imesomwa na adui yenu?
      Nabii, au mtume, au mchungaji au mcha Mungu anatakiwa kupinga na kukemea rushwa, mauaji, wizi, ufisadi, maonezi, dhuluma nk. Hiyo sio karama au kipawa cha mtu fulani kwa sababu mnasema ni mwinjilisti au ni karama yake. Imeandikwa hivi katika Mithali 8:13 Kumcha Bwana ni kuchukia uovu; Kiburi na majivuno, na njia mbovu, Na kinywa cha ukaidi pia nakichukia.
      Kisha IKAANDIKWA kuwa (2 Timotheo 4:2) lihubiri neno, uwe tayari, wakati ukufaao na wakati usiokufaa, karipia, kemea, na kuonya kwa uvumilivu wote na mafundisho.
      Je, hapo imesema mwenye kukemea uovu ni huyo mnayemwita mwinjilisti tu? Au ni wajibu wa kila amchae Mungu?
      Nimeona wengi wenu mkionyesha kuwa mnafurahishwa sana na kuuawa kwa mwanangu na kufungwa kwangu gerezani kwa sababu ya kusoma maandiko yanayowakela. Anyway, endeleeni na sherehe ila kwangu huko ndio kuhubiri. Nimepatwa na yote yaliyonipata kwa sababu hiyo na kwa sababu hiyo niko tayari kwa yote mnayoyataka yanipate. Ila kila mtakaponiona kwa wimbo au mahubiri mtaona nikikemea hayo.

    • @saraphinalupenza7580
      @saraphinalupenza7580 Před 22 dny

      Mhhhhhh

  • @jamesmaths2296
    @jamesmaths2296 Před 22 dny

    Mchungaji Mbarikiwa neno la Mungu katika Warumi 14:4-6
    Neno la Mungu linasema:
    Wewe ni nani hata umhukumu mtumishi wa mtu mwingine? Ni bwana wake tu awezaye kuamua kama amesimama au ameanguka. Naye atasi mama kwa sababu Bwana anaweza kumfanya asimame. Paulo naye alipingwa sana na Wayahudi wenzake lakini alisimama katika wito wake. Katika Biblia hakuna mtumishi aliyepewa wito wa kuwasema vibaya watumishi wa Mungu

    • @Mbarikiwa_Mwakipesile
      @Mbarikiwa_Mwakipesile  Před 22 dny

      Hapo sijasema Mwakasege wala Abiud au Mbarikiwa wana matatizo, bali wafuasi wao au wanaosikiliza mahubiri yao, KAMA HAWAFANYI YOTE AMBAYO BIBLIA ILIAGIZA WAMELAANIWA. MBONA NIMESOMA MAANDIKO NDIVYO ALIVYOSEMA KATIKA KUMB 27:26, 28:15:66? Wanadamu Mbarikiwa mnamchukia na Biblia nayo pia mwaichukia kwa sababu imesomwa na adui yenu?
      Nabii, au mtume, au mchungaji au mcha Mungu anatakiwa kupinga na kukemea rushwa, mauaji, wizi, ufisadi, maonezi, dhuluma nk. Hiyo sio karama au kipawa cha mtu fulani kwa sababu mnasema ni mwinjilisti au ni karama yake. Imeandikwa hivi katika Mithali 8:13 Kumcha Bwana ni kuchukia uovu; Kiburi na majivuno, na njia mbovu, Na kinywa cha ukaidi pia nakichukia.
      Kisha IKAANDIKWA kuwa (2 Timotheo 4:2) lihubiri neno, uwe tayari, wakati ukufaao na wakati usiokufaa, karipia, kemea, na kuonya kwa uvumilivu wote na mafundisho.
      Je, hapo imesema mwenye kukemea uovu ni huyo mnayemwita mwinjilisti tu? Au ni wajibu wa kila amchae Mungu?
      Nimeona wengi wenu mkionyesha kuwa mnafurahishwa sana na kuuawa kwa mwanangu na kufungwa kwangu gerezani kwa sababu ya kusoma maandiko yanayowakela. Anyway, endeleeni na sherehe ila kwangu huko ndio kuhubiri. Nimepatwa na yote yaliyonipata kwa sababu hiyo na kwa sababu hiyo niko tayari kwa yote mnayoyataka yanipate. Ila kila mtakaponiona kwa wimbo au mahubiri mtaona nikikemea hayo.

    • @avelinaluoga9141
      @avelinaluoga9141 Před 17 dny

      @@Mbarikiwa_Mwakipesile acha kuchafua watu mtandaoni sasa umeweka picha zao ili iweje unataka vihela vya kulipwa utube yan ww ndomchumia tumbo mkubwa ndomana wivu kwa kila anayejaza watu

  • @user-eu6ql9zl7n
    @user-eu6ql9zl7n Před 6 dny

    Sawa MKAGUZI

  • @YohanaMahimbo
    @YohanaMahimbo Před 22 dny +1

    Kalaaniwa baba yako mzazi alie zaaa laaana ya kukosoa watumishi huna akili hata Kidogo

    • @Mbarikiwa_Mwakipesile
      @Mbarikiwa_Mwakipesile  Před 22 dny

      Kwa hiyo unamlaani Mungu?

    • @Dianamwansasu
      @Dianamwansasu Před 22 dny

      ​@@Mbarikiwa_MwakipesileMungu akurehemu maana una maneno mengi.

    • @emanuelmkama1325
      @emanuelmkama1325 Před 22 dny

      Mathew 24 ,inarhux au wew unatumia bible ipi ya keki nn??

    • @petromgaya1746
      @petromgaya1746 Před 22 dny

      Weka akiba ya matusi biblia haijaruhusu hayo

    • @joycedartus6903
      @joycedartus6903 Před 22 dny

      Yote hayo sijui kuchanganyikiwa 😂 ni machozi ya mama mzazi na watumishi wengine wanajitia hawaoni na bado hamjasema hapa

  • @DeoMwampamba-ru3yo
    @DeoMwampamba-ru3yo Před 20 dny

    Mbona sasa wewe mbarikiwa kazi yako tu imekuwa ni kuwafuatilia watu na kuwajibu kila walilokukera nalo mambo ambayo yanaleta ugomvi na mapigano tu! Mungu akiwainua ninyi watu hamuwi wazuri tena mnabadilika pakubwa!.

    • @Mbarikiwa_Mwakipesile
      @Mbarikiwa_Mwakipesile  Před 20 dny

      Ni kwa sababu injili na neno la Mungu lilikuja kwa ajili ya watu. Ama kwa nini wewe kazi yako ni kufuatilia Mbarikiwa?

  • @issayamsyani7842
    @issayamsyani7842 Před 18 dny

    ila Kumbuka wao hawakuwa maarufu kwa kushinda kuwasema watu mitandaoni
    Hukuwahi dhani kuwa Mungu anaweza kuwatumia hata wasio Fundisha Ubatizo kama wako
    Sasa Ungekuwa Mungu unge mfutilia Mbali kwa Bahati Mbaya haiko hivyo
    Uchungu tuu na Wivu

    • @Mbarikiwa_Mwakipesile
      @Mbarikiwa_Mwakipesile  Před 18 dny

      Wewe hapa unamsema panya haumsemi mtu? Na wewe unatafuta umaarufu?

    • @issayamsyani7842
      @issayamsyani7842 Před 17 dny

      @@Mbarikiwa_Mwakipesile WE NI MCHOKOZI TUU ukikamatwa UNASINGIZIA HATA MITUME AKINA PETRO NA PAULO WALIWEKWA MAGEREZANI
      wakati wao si kwasababu za KUJITAKIA na KUTAFUTA KIKI kama wewe SAWA Kuna wakati upo sahihi ila sio KWAMBA UNAJUWA KILA KITU na hata UKIONYWA HUWEZI KUGEUKA KWASABABU YA KIBURI
      ILA WEWE NDIO UNATAKA UWE UNAONYA WATU ila wewe hutaki unahisi upo Sahihi kwa kila KITU
      Think again Man of God

  • @elizabethrichard7694
    @elizabethrichard7694 Před 20 dny

    Unavojikutaga we maraika au nimoja kati yawale wazee 24 me nakuona kama uchizi unakunyemelea tu

  • @felisterandrew8741
    @felisterandrew8741 Před 22 dny

    Abiud kumbe anatatizo Alikuwa mchungaji wangu wakati nipo huko

    • @Mbarikiwa_Mwakipesile
      @Mbarikiwa_Mwakipesile  Před 22 dny +1

      Hapo sijasema Mwakasege wala Abiud au Mbarikiwa wana matatizo, bali wafuasi wao au wanaosikiliza mahubiri yao, KAMA HAWAFANYI YOTE AMBAYO BIBLIA ILIAGIZA WAMELAANIWA. MBONA NIMESOMA MAANDIKO NDIVYO ALIVYOSEMA KATIKA KUMB 27:26, 28:15:66? Wanadamu Mbarikiwa mnamchukia na Biblia nayo pia mwaichukia kwa sababu imesomwa na adui yenu?
      Nabii, au mtume, au mchungaji au mcha Mungu anatakiwa kupinga na kukemea rushwa, mauaji, wizi, ufisadi, maonezi, dhuluma nk. Hiyo sio karama au kipawa cha mtu fulani kwa sababu mnasema ni mwinjilisti au ni karama yake. Imeandikwa hivi katika Mithali 8:13 Kumcha Bwana ni kuchukia uovu; Kiburi na majivuno, na njia mbovu, Na kinywa cha ukaidi pia nakichukia.
      Kisha IKAANDIKWA kuwa (2 Timotheo 4:2) lihubiri neno, uwe tayari, wakati ukufaao na wakati usiokufaa, karipia, kemea, na kuonya kwa uvumilivu wote na mafundisho.
      Je, hapo imesema mwenye kukemea uovu ni huyo mnayemwita mwinjilisti tu? Au ni wajibu wa kila amchae Mungu?
      Nimeona wengi wenu mkionyesha kuwa mnafurahishwa sana na kuuawa kwa mwanangu na kufungwa kwangu gerezani kwa sababu ya kusoma maandiko yanayowakela. Anyway, endeleeni na sherehe ila kwangu huko ndio kuhubiri. Nimepatwa na yote yaliyonipata kwa sababu hiyo na kwa sababu hiyo niko tayari kwa yote mnayoyataka yanipate. Ila kila mtakaponiona kwa wimbo au mahubiri mtaona nikikemea hayo.

    • @messiah-l4r
      @messiah-l4r Před 15 dny

      Kichwa chat habari chako.
      WAFUASI WA MWAKASEGE MWAMPOSA, KUHANI MUSA, ABIUD
      WAMELAANIWA😭🙄
      Alafu unakana zaidi sana video zako zimewaonyesha manabii wa uwongo mfano kiboko ya wachawi akisema Kwa kinywa chake yeye akemei dhambi.😂😂😂
      Alafu unawaita ma dogo kwahiyo Mwakasege ni dogo🤔

    • @messiah-l4r
      @messiah-l4r Před 15 dny

      ​@@Mbarikiwa_MwakipesileKama shomoro katika kutanga-tanga kwake, Na kama mbayuwayu katika kuruka kwake; Kadhalika laana isiyo na sababu haimpigi mtu.
      Mithali 26:2

  • @AnnaEndur
    @AnnaEndur Před 19 dny

    Kama umemfikia mwakasege wewe hata sikuekewi jaman niache

  • @YohanaMchala
    @YohanaMchala Před 22 dny +2

    Yani mbarikiwa kazi yako ni kukosoa watumissh wa mungu wewe je nimkamilifu

    • @Dianamwansasu
      @Dianamwansasu Před 22 dny

      Haswa

    • @Mbarikiwa_Mwakipesile
      @Mbarikiwa_Mwakipesile  Před 22 dny

      Hapo sijasema Mwakasege wala Abiud au Mbarikiwa wana matatizo, bali wafuasi wao au wanaosikiliza mahubiri yao, KAMA HAWAFANYI YOTE AMBAYO BIBLIA ILIAGIZA WAMELAANIWA. MBONA NIMESOMA MAANDIKO NDIVYO ALIVYOSEMA KATIKA KUMB 27:26, 28:15:66? Wanadamu Mbarikiwa mnamchukia na Biblia nayo pia mwaichukia kwa sababu imesomwa na adui yenu?
      Nabii, au mtume, au mchungaji au mcha Mungu anatakiwa kupinga na kukemea rushwa, mauaji, wizi, ufisadi, maonezi, dhuluma nk. Hiyo sio karama au kipawa cha mtu fulani kwa sababu mnasema ni mwinjilisti au ni karama yake. Imeandikwa hivi katika Mithali 8:13 Kumcha Bwana ni kuchukia uovu; Kiburi na majivuno, na njia mbovu, Na kinywa cha ukaidi pia nakichukia.
      Kisha IKAANDIKWA kuwa (2 Timotheo 4:2) lihubiri neno, uwe tayari, wakati ukufaao na wakati usiokufaa, karipia, kemea, na kuonya kwa uvumilivu wote na mafundisho.
      Je, hapo imesema mwenye kukemea uovu ni huyo mnayemwita mwinjilisti tu? Au ni wajibu wa kila amchae Mungu?
      Nimeona wengi wenu mkionyesha kuwa mnafurahishwa sana na kuuawa kwa mwanangu na kufungwa kwangu gerezani kwa sababu ya kusoma maandiko yanayowakela. Anyway, endeleeni na sherehe ila kwangu huko ndio kuhubiri. Nimepatwa na yote yaliyonipata kwa sababu hiyo na kwa sababu hiyo niko tayari kwa yote mnayoyataka yanipate. Ila kila mtakaponiona kwa wimbo au mahubiri mtaona nikikemea hayo.

  • @m.m.tvmbebamaono
    @m.m.tvmbebamaono Před 22 dny

    Walaaniwe

  • @jorambranchofmud6299
    @jorambranchofmud6299 Před 22 dny

    Mimi nabarikiwa na abihudi misholi hasa nyimbo zake sinaendelea kunibariki wewe Endelea kumtukana ila mimi najua MUNGU amemuinua ili MUNGU atukuzwe na watu wamataifa kupitia nyimbo zake

    • @Mbarikiwa_Mwakipesile
      @Mbarikiwa_Mwakipesile  Před 22 dny

      Hapo sijasema Mwakasege wala Abiud au Mbarikiwa wana matatizo, bali wafuasi wao au wanaosikiliza mahubiri yao, KAMA HAWAFANYI YOTE AMBAYO BIBLIA ILIAGIZA WAMELAANIWA. MBONA NIMESOMA MAANDIKO NDIVYO ALIVYOSEMA KATIKA KUMB 27:26, 28:15:66? Wanadamu Mbarikiwa mnamchukia na Biblia nayo pia mwaichukia kwa sababu imesomwa na adui yenu?
      Nabii, au mtume, au mchungaji au mcha Mungu anatakiwa kupinga na kukemea rushwa, mauaji, wizi, ufisadi, maonezi, dhuluma nk. Hiyo sio karama au kipawa cha mtu fulani kwa sababu mnasema ni mwinjilisti au ni karama yake. Imeandikwa hivi katika Mithali 8:13 Kumcha Bwana ni kuchukia uovu; Kiburi na majivuno, na njia mbovu, Na kinywa cha ukaidi pia nakichukia.
      Kisha IKAANDIKWA kuwa (2 Timotheo 4:2) lihubiri neno, uwe tayari, wakati ukufaao na wakati usiokufaa, karipia, kemea, na kuonya kwa uvumilivu wote na mafundisho.
      Je, hapo imesema mwenye kukemea uovu ni huyo mnayemwita mwinjilisti tu? Au ni wajibu wa kila amchae Mungu?
      Nimeona wengi wenu mkionyesha kuwa mnafurahishwa sana na kuuawa kwa mwanangu na kufungwa kwangu gerezani kwa sababu ya kusoma maandiko yanayowakela. Anyway, endeleeni na sherehe ila kwangu huko ndio kuhubiri. Nimepatwa na yote yaliyonipata kwa sababu hiyo na kwa sababu hiyo niko tayari kwa yote mnayoyataka yanipate. Ila kila mtakaponiona kwa wimbo au mahubiri mtaona nikikemea hayo.

    • @jorambranchofmud6299
      @jorambranchofmud6299 Před 22 dny

      @@Mbarikiwa_Mwakipesile saww nimekuelewa inatakikana useme hawaambii watu ukweli ndo tujue ila tena title ya post yako pia ndo inafanya nikuelewe vibaya

    • @jorambranchofmud6299
      @jorambranchofmud6299 Před 22 dny

      @@Mbarikiwa_Mwakipesile lakini nimesikiliza maneno ya wimbo Ni mazuri sana na maonyo kwa wale ambao wamekataa kweli barikiwa

    • @Mbarikiwa_Mwakipesile
      @Mbarikiwa_Mwakipesile  Před 22 dny

      @@jorambranchofmud6299 post ina maelezo madogo yanayofanana kinachomaanishwa kwenye wimbo.

  • @goldermeirshoo1228
    @goldermeirshoo1228 Před 22 dny

    KUMBE NAWE UNAWAFUATILIA, HONGERA KUWA MSHIRIKA WAO,HIVI KAMA WAMELAANIWA SHIDA YAKO NI NINI? ACHA WALAANIWE WEWE SI UWAAMBIE WASHIRIKA WAKO WASILAANIWE, MBONA KAMA UMEKAA KWENYE MLANGO WA KUINGIA MBINGUNI?

    • @Mbarikiwa_Mwakipesile
      @Mbarikiwa_Mwakipesile  Před 22 dny

      Hapo sijasema Mwakasege wala Abiud au Mbarikiwa wana matatizo, bali wafuasi wao au wanaosikiliza mahubiri yao, KAMA HAWAFANYI YOTE AMBAYO BIBLIA ILIAGIZA WAMELAANIWA. MBONA NIMESOMA MAANDIKO NDIVYO ALIVYOSEMA KATIKA KUMB 27:26, 28:15:66? Wanadamu Mbarikiwa mnamchukia na Biblia nayo pia mwaichukia kwa sababu imesomwa na adui yenu?
      Nabii, au mtume, au mchungaji au mcha Mungu anatakiwa kupinga na kukemea rushwa, mauaji, wizi, ufisadi, maonezi, dhuluma nk. Hiyo sio karama au kipawa cha mtu fulani kwa sababu mnasema ni mwinjilisti au ni karama yake. Imeandikwa hivi katika Mithali 8:13 Kumcha Bwana ni kuchukia uovu; Kiburi na majivuno, na njia mbovu, Na kinywa cha ukaidi pia nakichukia.
      Kisha IKAANDIKWA kuwa (2 Timotheo 4:2) lihubiri neno, uwe tayari, wakati ukufaao na wakati usiokufaa, karipia, kemea, na kuonya kwa uvumilivu wote na mafundisho.
      Je, hapo imesema mwenye kukemea uovu ni huyo mnayemwita mwinjilisti tu? Au ni wajibu wa kila amchae Mungu?
      Nimeona wengi wenu mkionyesha kuwa mnafurahishwa sana na kuuawa kwa mwanangu na kufungwa kwangu gerezani kwa sababu ya kusoma maandiko yanayowakela. Anyway, endeleeni na sherehe ila kwangu huko ndio kuhubiri. Nimepatwa na yote yaliyonipata kwa sababu hiyo na kwa sababu hiyo niko tayari kwa yote mnayoyataka yanipate. Ila kila mtakaponiona kwa wimbo au mahubiri mtaona nikikemea hayo.

  • @WalterMtweve-xn2dl
    @WalterMtweve-xn2dl Před 22 dny

    Ungine ni uchochezi mind your deal

  • @Gracemsomba-ic2xp
    @Gracemsomba-ic2xp Před 22 dny

    Achakumchafua abihudi muachemtumishi wamungu

    • @Mbarikiwa_Mwakipesile
      @Mbarikiwa_Mwakipesile  Před 22 dny

      Hapo sijasema Mwakasege wala Abiud au Mbarikiwa wana matatizo, bali wafuasi wao au wanaosikiliza mahubiri yao, KAMA HAWAFANYI YOTE AMBAYO BIBLIA ILIAGIZA WAMELAANIWA. MBONA NIMESOMA MAANDIKO NDIVYO ALIVYOSEMA KATIKA KUMB 27:26, 28:15:66? Wanadamu Mbarikiwa mnamchukia na Biblia nayo pia mwaichukia kwa sababu imesomwa na adui yenu?
      Nabii, au mtume, au mchungaji au mcha Mungu anatakiwa kupinga na kukemea rushwa, mauaji, wizi, ufisadi, maonezi, dhuluma nk. Hiyo sio karama au kipawa cha mtu fulani kwa sababu mnasema ni mwinjilisti au ni karama yake. Imeandikwa hivi katika Mithali 8:13 Kumcha Bwana ni kuchukia uovu; Kiburi na majivuno, na njia mbovu, Na kinywa cha ukaidi pia nakichukia.
      Kisha IKAANDIKWA kuwa (2 Timotheo 4:2) lihubiri neno, uwe tayari, wakati ukufaao na wakati usiokufaa, karipia, kemea, na kuonya kwa uvumilivu wote na mafundisho.
      Je, hapo imesema mwenye kukemea uovu ni huyo mnayemwita mwinjilisti tu? Au ni wajibu wa kila amchae Mungu?
      Nimeona wengi wenu mkionyesha kuwa mnafurahishwa sana na kuuawa kwa mwanangu na kufungwa kwangu gerezani kwa sababu ya kusoma maandiko yanayowakela. Anyway, endeleeni na sherehe ila kwangu huko ndio kuhubiri. Nimepatwa na yote yaliyonipata kwa sababu hiyo na kwa sababu hiyo niko tayari kwa yote mnayoyataka yanipate. Ila kila mtakaponiona kwa wimbo au mahubiri mtaona nikikemea hayo.

  • @RoseChacha-bp6yi
    @RoseChacha-bp6yi Před 20 dny

    hivi Mungu analaani laani tuu..?

  • @prosperitymaarifa3324
    @prosperitymaarifa3324 Před 17 dny

    lakn huyu jamaa ananikosha

  • @JoyceKabula-in1sh
    @JoyceKabula-in1sh Před 22 dny

    Umelaaniwa mwenyewe

    • @Mbarikiwa_Mwakipesile
      @Mbarikiwa_Mwakipesile  Před 22 dny

      Wewe umebarikiwa chuki na hasira zisizo na sababu. Bila shaka umebarikiwa na kila aina ya uchungu na ubaya kwa sababu ya ubaya wa roho yako.

    • @shukranimpomwa7460
      @shukranimpomwa7460 Před 22 dny

      Hahahahaha 🤣🤣🤣🤣🤣,
      Ninywe maji kidogo🥤.
      Sasa hapo unaniambia Mungu alaaniwe, maana hiyo ni Biblia imesomwa.
      👉👉Kumbukumbu la Torati 27:26 Na alaaniwe asiyeyaweka imara maneno ya torati hii kwa kuyafanya. Na watu wote waseme, Amina.

  • @RashidMwasiposya-ck6py

    Wivi na Hila mbaya sana achawivu

  • @judithtitomalyeta4000
    @judithtitomalyeta4000 Před 22 dny

    Ulaniwe mwenyewe

    • @emanuelmkama1325
      @emanuelmkama1325 Před 22 dny

      Lusfa amekutawal uwez kuon kwel

    • @shukranimpomwa7460
      @shukranimpomwa7460 Před 21 dnem

      Yaani Mungu alaaniwe, maana hiyo ni Biblia imesomwa;
      👉👉IKumbukumbu la Torati 27:26 Na alaaniwe asiyeyaweka imara maneno ya torati hii kwa kuyafanya. Na watu wote waseme, Amina.

  • @BernadetteKiwelu-kg6fv

    Kazi yako kukosoa watu wewe unanini cha kutuonyesha

    • @shukranimpomwa7460
      @shukranimpomwa7460 Před 22 dny

      Hiyo ni Biblia imesomwa jamani Duhh!! Au kwasababu aliyesoma Ni mtu mnaemchukia???
      👉👉Kumbukumbu la Torati 27:26 Na alaaniwe asiyeyaweka imara maneno ya torati hii kwa kuyafanya. Na watu wote waseme, Amina.

  • @Gracemsomba-ic2xp
    @Gracemsomba-ic2xp Před 22 dny

    Wemwakipesile uponywe umechanganyikiwa

    • @Mbarikiwa_Mwakipesile
      @Mbarikiwa_Mwakipesile  Před 22 dny

      Hapo sijasema Mwakasege wala Abiud au Mbarikiwa wana matatizo, bali wafuasi wao au wanaosikiliza mahubiri yao, KAMA HAWAFANYI YOTE AMBAYO BIBLIA ILIAGIZA WAMELAANIWA. MBONA NIMESOMA MAANDIKO NDIVYO ALIVYOSEMA KATIKA KUMB 27:26, 28:15:66? Wanadamu Mbarikiwa mnamchukia na Biblia nayo pia mwaichukia kwa sababu imesomwa na adui yenu?
      Nabii, au mtume, au mchungaji au mcha Mungu anatakiwa kupinga na kukemea rushwa, mauaji, wizi, ufisadi, maonezi, dhuluma nk. Hiyo sio karama au kipawa cha mtu fulani kwa sababu mnasema ni mwinjilisti au ni karama yake. Imeandikwa hivi katika Mithali 8:13 Kumcha Bwana ni kuchukia uovu; Kiburi na majivuno, na njia mbovu, Na kinywa cha ukaidi pia nakichukia.
      Kisha IKAANDIKWA kuwa (2 Timotheo 4:2) lihubiri neno, uwe tayari, wakati ukufaao na wakati usiokufaa, karipia, kemea, na kuonya kwa uvumilivu wote na mafundisho.
      Je, hapo imesema mwenye kukemea uovu ni huyo mnayemwita mwinjilisti tu? Au ni wajibu wa kila amchae Mungu?
      Nimeona wengi wenu mkionyesha kuwa mnafurahishwa sana na kuuawa kwa mwanangu na kufungwa kwangu gerezani kwa sababu ya kusoma maandiko yanayowakela. Anyway, endeleeni na sherehe ila kwangu huko ndio kuhubiri. Nimepatwa na yote yaliyonipata kwa sababu hiyo na kwa sababu hiyo niko tayari kwa yote mnayoyataka yanipate. Ila kila mtakaponiona kwa wimbo au mahubiri mtaona nikikemea hayo.

    • @Namtumbo
      @Namtumbo Před 21 dnem

      Hongera dana

  • @samwelingasa1638
    @samwelingasa1638 Před 22 dny

    Ukimsema mtu toa sababu Mwakasege na Abiudi wana shida gan

    • @Mbarikiwa_Mwakipesile
      @Mbarikiwa_Mwakipesile  Před 22 dny

      Sikiliza wimbo mpaka mwisho. Wasio na mihemko ya kishetani wameelewa

    • @Dianamwansasu
      @Dianamwansasu Před 22 dny

      ​@@Mbarikiwa_MwakipesileMungu akusamehe

    • @samwelingasa1638
      @samwelingasa1638 Před 22 dny

      Mseme mtu Kwa udhibitisho wa video kama hauna bas wewe ni mnafiki

    • @damilesmlongo2259
      @damilesmlongo2259 Před 22 dny

      @@Mbarikiwa_Mwakipesile Mungu akusamehe .......kiburi cha uzima hicho......tangu umeanza kuwasema hawajawahi kukujibu.......tafakari........

    • @Mbarikiwa_Mwakipesile
      @Mbarikiwa_Mwakipesile  Před 22 dny

      @@damilesmlongo2259 ukijibu wewe ndiyo jibu lao

  • @AgnesKalinga-if3uf
    @AgnesKalinga-if3uf Před 22 dny

    Sema tupone

  • @piussimtala5111
    @piussimtala5111 Před 22 dny

    Ujumbe mzuri ila waliobarikiwa kwako Kikosi kazi ni wepi? Au ni wewe peke yako?

    • @Mbarikiwa_Mwakipesile
      @Mbarikiwa_Mwakipesile  Před 22 dny

      Hapo sijasema Mwakasege wala Abiud au Mbarikiwa wana matatizo, bali wafuasi wao au wanaosikiliza mahubiri yao, KAMA HAWAFANYI YOTE AMBAYO BIBLIA ILIAGIZA WAMELAANIWA. MBONA NIMESOMA MAANDIKO NDIVYO ALIVYOSEMA KATIKA KUMB 27:26, 28:15:66? Wanadamu Mbarikiwa mnamchukia na Biblia nayo pia mwaichukia kwa sababu imesomwa na adui yenu?
      Nabii, au mtume, au mchungaji au mcha Mungu anatakiwa kupinga na kukemea rushwa, mauaji, wizi, ufisadi, maonezi, dhuluma nk. Hiyo sio karama au kipawa cha mtu fulani kwa sababu mnasema ni mwinjilisti au ni karama yake. Imeandikwa hivi katika Mithali 8:13 Kumcha Bwana ni kuchukia uovu; Kiburi na majivuno, na njia mbovu, Na kinywa cha ukaidi pia nakichukia.
      Kisha IKAANDIKWA kuwa (2 Timotheo 4:2) lihubiri neno, uwe tayari, wakati ukufaao na wakati usiokufaa, karipia, kemea, na kuonya kwa uvumilivu wote na mafundisho.
      Je, hapo imesema mwenye kukemea uovu ni huyo mnayemwita mwinjilisti tu? Au ni wajibu wa kila amchae Mungu?
      Nimeona wengi wenu mkionyesha kuwa mnafurahishwa sana na kuuawa kwa mwanangu na kufungwa kwangu gerezani kwa sababu ya kusoma maandiko yanayowakela. Anyway, endeleeni na sherehe ila kwangu huko ndio kuhubiri. Nimepatwa na yote yaliyonipata kwa sababu hiyo na kwa sababu hiyo niko tayari kwa yote mnayoyataka yanipate. Ila kila mtakaponiona kwa wimbo au mahubiri mtaona nikikemea hayo.

  • @elihurumamushi2521
    @elihurumamushi2521 Před 22 dny

    wewe umefanya nini jipu mgogoni limepona wewe kila siku unakosowa serikali mara unakosowa watumishi wa mungu wewe nani hata uwaone hawa wanapotea wewe ni mjinga sana unamkashifu mwakasege mtu wa mungu ameubiri zaidi ya miaka 40 leo unasema alaaniwe mwamposa ameubiri zaidi ya miaka 28 wewe unasema amelaaniwe umelaaniwa wewe na uzao wako una heshima una adabu wewe

    • @petromgaya1746
      @petromgaya1746 Před 22 dny

      Weka akiba ya matusi na maneno hayo siku ya mwisho utatoa hesabu amina

    • @Mbarikiwa_Mwakipesile
      @Mbarikiwa_Mwakipesile  Před 22 dny +1

      Hapo sijasema Mwakasege wala Abiud au Mbarikiwa wana matatizo, bali wafuasi wao au wanaosikiliza mahubiri yao, KAMA HAWAFANYI YOTE AMBAYO BIBLIA ILIAGIZA WAMELAANIWA. MBONA NIMESOMA MAANDIKO NDIVYO ALIVYOSEMA KATIKA KUMB 27:26, 28:15:66? Wanadamu Mbarikiwa mnamchukia na Biblia nayo pia mwaichukia kwa sababu imesomwa na adui yenu?
      Nabii, au mtume, au mchungaji au mcha Mungu anatakiwa kupinga na kukemea rushwa, mauaji, wizi, ufisadi, maonezi, dhuluma nk. Hiyo sio karama au kipawa cha mtu fulani kwa sababu mnasema ni mwinjilisti au ni karama yake. Imeandikwa hivi katika Mithali 8:13 Kumcha Bwana ni kuchukia uovu; Kiburi na majivuno, na njia mbovu, Na kinywa cha ukaidi pia nakichukia.
      Kisha IKAANDIKWA kuwa (2 Timotheo 4:2) lihubiri neno, uwe tayari, wakati ukufaao na wakati usiokufaa, karipia, kemea, na kuonya kwa uvumilivu wote na mafundisho.
      Je, hapo imesema mwenye kukemea uovu ni huyo mnayemwita mwinjilisti tu? Au ni wajibu wa kila amchae Mungu?
      Nimeona wengi wenu mkionyesha kuwa mnafurahishwa sana na kuuawa kwa mwanangu na kufungwa kwangu gerezani kwa sababu ya kusoma maandiko yanayowakela. Anyway, endeleeni na sherehe ila kwangu huko ndio kuhubiri. Nimepatwa na yote yaliyonipata kwa sababu hiyo na kwa sababu hiyo niko tayari kwa yote mnayoyataka yanipate. Ila kila mtakaponiona kwa wimbo au mahubiri mtaona nikikemea hayo.

    • @RoseChacha-bp6yi
      @RoseChacha-bp6yi Před 20 dny

      ​@@Mbarikiwa_Mwakipesile
      we unawalaani Mungu anatamani wabadilike.
      Mungu anampenda kila mtu, wewe unaombea mabaya yeye anaombewa na wengine.
      Hivi Mungu analaani laani tuu😢

    • @Mbarikiwa_Mwakipesile
      @Mbarikiwa_Mwakipesile  Před 20 dny

      @@RoseChacha-bp6yi sio Mbarikiwa aliyewalaani ni maandiko (KUMBU 27:26, 28:15-68).

    • @user-lc6te2pe2l
      @user-lc6te2pe2l Před 18 dny

      Sema walokole wengi wanapenda kujihesabia haki na hata wakitenda dhambi hawataki kuambiwa ukweli chapa injili Mbarikiwa.

  • @samwelingasa1638
    @samwelingasa1638 Před 22 dny

    Mwakasege amekufanya nn na Abiudi

    • @Mbarikiwa_Mwakipesile
      @Mbarikiwa_Mwakipesile  Před 22 dny

      Sikiliza wimbo mpaka mwisho. Wasio na mihemko ya kishetani wameelewa

    • @Dianamwansasu
      @Dianamwansasu Před 22 dny

      ​@@Mbarikiwa_Mwakipesiletukitii sauti ya bwana tutabarikiwa tutokapo na tuingiapo

    • @samwelingasa1638
      @samwelingasa1638 Před 22 dny

      Mseme mtu Kwa udhibitisho wa video kama hauna bas wewe ni mnafiki

    • @humphreymwihambi4330
      @humphreymwihambi4330 Před 22 dny

      Naona unachanganyikiwa zaidi. Elimi nayo ambayo huna inachangia sana​@@Mbarikiwa_Mwakipesile

    • @shukranimpomwa7460
      @shukranimpomwa7460 Před 21 dnem

      ​@@samwelingasa1638🤣🤣🤣🤣, tumefika mbali yaani Mpaka Unaitusi Biblia.

  • @EmmanuelSimkwai
    @EmmanuelSimkwai Před 18 dny

    Ndio mtendao zambi mmelaniwa kwa mjibu wa biblia ata kama mna pessa ila mmelaniwa wote mnao ubili kinyume na biblia Wakolosai 3
    5 Basi, vifisheni viungo vyenu vilivyo katika nchi, uasherati, uchafu, tamaa mbaya, mawazo mabaya, na kutamani, ndiyo ibada ya sanamu;
    6 kwa ajili ya mambo hayo huja ghadhabu ya Mungu.

  • @joshuanyambele1921
    @joshuanyambele1921 Před 22 dny

    Acha mawazo potofu kuhisi upo sahihi wewe

    • @shukranimpomwa7460
      @shukranimpomwa7460 Před 21 dnem

      Kweli tumefika mbali, yaani Mpaka kuitusi Biblia??
      Hayo ni maandiko kayasoma; au kwasababu aliyesoma Ni mtu mnaemchukia.
      Kumbukumbu la Torati 27:26 Na alaaniwe asiyeyaweka imara maneno ya torati hii kwa kuyafanya. Na watu wote waseme, Amina.

    • @agapeKabelege-ci4hr
      @agapeKabelege-ci4hr Před 21 dnem

      Sio kakosea kusoma biblia ila majina ya watu kwenye title ya Nini? Na ndio mana watu wanapata shda mnawachamganya lakini angesoma biblia tu bila uchokozi wa hiyo title mbn angeeleweka?
      Ni wimbo mzuri tu na unaeleweka ila hiyo title ni uchokozi kabisa Yani Mungu atusaidie jmn😥​@@shukranimpomwa7460

  • @samwelingasa1638
    @samwelingasa1638 Před 22 dny

    Mseme mtu Kwa udhibitisho wa video kama hauna bas wewe ni mnafiki nipe video ya Mwakasege na Abiudi wakihubiri vibaya nikuone ww mwamba sio wote wabaya

    • @Mbarikiwa_Mwakipesile
      @Mbarikiwa_Mwakipesile  Před 22 dny

      Hapo sijasema Mwakasege wala Abiud au Mbarikiwa wana matatizo, bali wafuasi wao au wanaosikiliza mahubiri yao, KAMA HAWAFANYI YOTE AMBAYO BIBLIA ILIAGIZA WAMELAANIWA. MBONA NIMESOMA MAANDIKO NDIVYO ALIVYOSEMA KATIKA KUMB 27:26, 28:15:66? Wanadamu Mbarikiwa mnamchukia na Biblia nayo pia mwaichukia kwa sababu imesomwa na adui yenu?
      Nabii, au mtume, au mchungaji au mcha Mungu anatakiwa kupinga na kukemea rushwa, mauaji, wizi, ufisadi, maonezi, dhuluma nk. Hiyo sio karama au kipawa cha mtu fulani kwa sababu mnasema ni mwinjilisti au ni karama yake. Imeandikwa hivi katika Mithali 8:13 Kumcha Bwana ni kuchukia uovu; Kiburi na majivuno, na njia mbovu, Na kinywa cha ukaidi pia nakichukia.
      Kisha IKAANDIKWA kuwa (2 Timotheo 4:2) lihubiri neno, uwe tayari, wakati ukufaao na wakati usiokufaa, karipia, kemea, na kuonya kwa uvumilivu wote na mafundisho.
      Je, hapo imesema mwenye kukemea uovu ni huyo mnayemwita mwinjilisti tu? Au ni wajibu wa kila amchae Mungu?
      Nimeona wengi wenu mkionyesha kuwa mnafurahishwa sana na kuuawa kwa mwanangu na kufungwa kwangu gerezani kwa sababu ya kusoma maandiko yanayowakela. Anyway, endeleeni na sherehe ila kwangu huko ndio kuhubiri. Nimepatwa na yote yaliyonipata kwa sababu hiyo na kwa sababu hiyo niko tayari kwa yote mnayoyataka yanipate. Ila kila mtakaponiona kwa wimbo au mahubiri mtaona nikikemea hayo.

    • @samwelingasa1638
      @samwelingasa1638 Před 18 dny

      Unamsema sana Mwakasege anahubiri mafundisho ya kishetani thibitisha wapi na Abiudi unasema ni tapeli toa video useme amekutapeli wapi tuone kweli ww ni mtumishi wa Mungu

    • @avelinaluoga9141
      @avelinaluoga9141 Před 17 dny

      @@Mbarikiwa_Mwakipesile huna jipya mtumishi gan anashinda mitandaoni na kujibu kila comment

    • @Mbarikiwa_Mwakipesile
      @Mbarikiwa_Mwakipesile  Před 17 dny

      @@avelinaluoga9141 ni kwa sababu wewe pia unashinda mtandaoni kujua kuwa tunajibu kila comment.

    • @avelinaluoga9141
      @avelinaluoga9141 Před 17 dny

      Hakuna kitu hapo mnabwata mno

  • @isaacsanga9707
    @isaacsanga9707 Před 21 dnem

    Ni kweli wanaomchukia mtumishi wa Mungu mbarikiwa wanaweza wakajikuta wanaichukia na biblia maana hata akinukuu biblia watachukia kwa wajitathimini maana wanaweza kulaaniwa katika hilo.