Mbarikiwa amrukia vibaya IPM. Umetoka kwenye Uislamu kuja kuchafua Ukristo?

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 19. 06. 2024

Komentáře • 601

  • @timotheoashery4051
    @timotheoashery4051 Před měsícem +15

    Watu wa Mungu kumbukeni kumuombea huyu pastor
    Hii kazi siyo ndogo jamani kwaupendo wote ukipata nafasi ya kupiga goti usimsahau hyu pastor ❤❤❤

  • @GabrielPetro-qj2mk
    @GabrielPetro-qj2mk Před měsícem +23

    Kweli BABA MBARIKIWA nimekuelewa sana wewe ni sauti ya mungu duniani

  • @PastorMagdalena
    @PastorMagdalena Před měsícem +17

    Barikiwa Pastor,, kazi njema. Utavikwa taji jema kwa kumtetea Kristo waziwazi. I wish to have that confidence. Wana wa uovu wamezidi kulichezea kanisa..

  • @obedimunguachiza8434
    @obedimunguachiza8434 Před měsícem +14

    Atukuzwe Mungu wa Mbarikiwa Mwakipesile aliyewapa wanadamu uwezo wakufungua hii mitandao ili utupu wa mbwa mwitu uonekane,barikiwe sana Mbarikiwa Mwakipesile wetu.

  • @noeleliasi8401
    @noeleliasi8401 Před měsícem +19

    Dah baba unaweza kuwapindua hadi raha, JESHI LA MTU MMOJA TANZANIA

  • @nkanabodastan7887
    @nkanabodastan7887 Před měsícem +23

    Wewe ni wa Mungu ❤
    Ingawa ni wazi kuwa njia yako haitakuwa rahisi kamwe.

  • @johnbundala7596
    @johnbundala7596 Před měsícem +10

    Baba wewe ni mwambaaa nakwambia ipo siku Mungu atajionyesha mzima mzima.Mungu akubariki milele aminaaaaaaaaaaa.🎉

  • @mengindegeya2780
    @mengindegeya2780 Před měsícem +13

    Yes very nice congratulation mbarikiwa.

  • @medardbeton840
    @medardbeton840 Před měsícem +7

    IIPM ondowa ujinga kwenye ukristo. Ukichoka na utauwa rudi ulikotoka sio kuja kunajisi ukristo.
    Mtu huyu amestahili kemeo nzito namna hii . Hongera Pastor Mbarikiwa Mungu azidi kukutumia na Roho wake akutie nguvu

  • @user-ne5cg4vv1h
    @user-ne5cg4vv1h Před měsícem +9

    Tupo na jabari jiwe la MUNGU mwakipesile❤❤❤

  • @hildandumbalo5827
    @hildandumbalo5827 Před měsícem +9

    Barikiwa sana mtumishi wa Mwakipesile 💪🏻 🙏

  • @mbelechimakobola8835
    @mbelechimakobola8835 Před měsícem +14

    Wewe ndiye mtu wa Mungu huko tanzania

  • @nabimanyafesto5014
    @nabimanyafesto5014 Před měsícem +2

    Huyu aliingia kwenye ukiristo kuchafua. Mungu amsamehe akitubu. Hongera mbarikiwa.

  • @surylinetv4677
    @surylinetv4677 Před měsícem +6

    Sio kila sadaka unaweza kuipokea kutoka kwa mshirika au kwa mtu, Hongera Mbarikiwa

  • @Kamkono
    @Kamkono Před měsícem +5

    Haleluya BWANA ni mwema sana.Giza haliwezi kushinda NURU.

  • @sarahmwasyoge1830
    @sarahmwasyoge1830 Před měsícem +27

    Hata yangu uliikataa Baba pindi bado nina midhambi ambayo sikuwatayari kuacha. Mimi nishahidi ulikuwa unakataa za wengi tu. Ukimuona mtu haliyake ni mbaya kiuchumi kula kwake shida kuvaa shida. Haukuchukua sadaka yake bali uliwapa mitaji na kufundisha nidhamu ya kutmia mapato yake ndipo walikuja kushukuru baada ya kuona vile ulivyo wasaidia kumewafaa sana, wakawa watoaji wakitoa malizao kwa furaha na moyo wa kupenda. Kwakweli moyo wako Mtumishi ni wakipekee mno...

    • @sifawayesu7079
      @sifawayesu7079 Před měsícem +4

      Mimi mwenyewe ni shahidi wa maneno haya

    • @UAMSHOTV
      @UAMSHOTV Před měsícem +3

      Hii ni Moja ya MIOYO adimu Sana kuwahi kuwemo duniani

    • @LatiphaMwanga
      @LatiphaMwanga Před měsícem

      ​@@sifawayesu7079" kuna dini mpya iliyoibuka duniani dada sifa inatwa chris-islam hii ni dini ambayo inakuwa na ladha ya uislamu na ladha ya ukirsto ninaposema ladha nadhani unaelewa.mfano nadhani ulifuatilia tamasha la mtoko wa pasaka unaona diamond anasoma biblia,unaona wakina shusho wapo wakina barbnaba na watumishi wengine wapo
      ✓ sasa mtoko wa pasaka unakuwa na maana gani¿wakati diamond anasuka nywele,katoboa pua na masikio ndio maana ya pasaka hiyo
      ✓ shusho kasema kaamua kuachana na mume wake na kaamua tuu.sasa shusho na diamond wapo meza moja na atawezaje kumwambia kuhusu kuokoka na kuacha dhambi
      ✓ shusho alipewa na geordave arusha milion kumi na kwa geordave arusha ndio mule mule hakuna udini wala nini kila mtu anakuwa anaweza kusali bila kuzuiliwa ,unavaa utakavyo unasuka utakavyo
      ✓ vimini huku ndio kwao
      ✓ mapaja haina haja ya kufunikwa
      ✓ manyonyo yananyanyuliwa karibia yanataka kuchomoka
      ✓ chris islam ni dini inayokuwa kwa kasi na watumishi wa hii dini ni matajiri sana lakini wapo kama hawapo

    • @JoseHaule-tx7lu
      @JoseHaule-tx7lu Před měsícem +2

      Kwakweli mtumishi huyu abarikiwe sana

    • @helsonjonathan
      @helsonjonathan Před měsícem

      😂😂 mtu mwenyewe anaitwa ipm Dah pastor achana na ili pandikizi la kiislamu

  • @user-ne5cg4vv1h
    @user-ne5cg4vv1h Před měsícem +9

    Sasa kama mbinguni tutaingia kwa huruma ya MUNGU mwenyewe aamue tu sasa kanisa umefungua lanini wakati tutaingia kwa MUNGU kuamua yeye jmani hivi huyu IMP anajielewa kweli nigekuwa nasali kanisa lake ningehama dereva gani huyu anabahatisha safari 😢😢😢

    • @ezralameck4150
      @ezralameck4150 Před měsícem

      Huto jamaa mpotoshaj naomba jina lake nimfuatilie youtube nione uchafu wake alouzungumza

  • @cathelinematondo3992
    @cathelinematondo3992 Před měsícem +7

    Barikiwa sana Baba yangu Mchungaji wangu maana unayafunua maandiko/ biblia hata kama watajifanya hawaelewi wataelewa tu .

  • @apostleelisha2994
    @apostleelisha2994 Před měsícem +13

    Hongera sana kwa uchambuzi mzuri hakika unainyoosha njia ya Bwana.

  • @uwezoseleman5530
    @uwezoseleman5530 Před měsícem +4

    Mbarikiwaaaaaaaaaaaaaaaa yes you deserve the name, it's the Prophetic name Mbarikiwa. Huu ndiyo Ukristo Naam nasema Ukristo

  • @mbelechimakobola8835
    @mbelechimakobola8835 Před měsícem +9

    Tumeshakuelewa sana baba, piga injili vya kutosha Mungu tunayemwabudu atakupigania na hakuna atakayekufanya chochote, kesi zote zitaisha bila kujulikana zimeishaje, tunakuombea kwa dhati kwa Mungu!

    • @HABIBHASSAN-wf5mr
      @HABIBHASSAN-wf5mr Před měsícem

      Aseme yake kwanza... Ndio Mungu anavyotaka SIO uwanange WATU HUKU Yako ukiyaficha

    • @brianshomi722
      @brianshomi722 Před měsícem +1

      ​@@HABIBHASSAN-wf5mrsema kama unayaona hayo makandokando ndani yake

  • @MunaAlbalushi-pt7je
    @MunaAlbalushi-pt7je Před měsícem +6

    Asante mch. Mbarikiwa naamini sana mafundisho yako huyo jpm ni mpinga kristo

  • @LeonardEdward-fb2bn
    @LeonardEdward-fb2bn Před měsícem +6

    Watakatifu waliopo duniani ndio Walio bora, Hao ndio niliopendezwa nao.zaburi 16:3,,,YEYE ANAPINGANA NA NENO LA MUNGU ANAPOSEMA HAKUNA MTAKATIFU DUNIANI😢😢

  • @sayunimkongwa9830
    @sayunimkongwa9830 Před měsícem +8

    Ameeeeeeeni baba mchungaji Mbarikiwa.

  • @user-du3pd7gb4c
    @user-du3pd7gb4c Před měsícem +5

    !!!Laiti binadamu wangejuwa unacho kijuwa na kukielewa na moyo wako Unavyo taka watu waishi maisha matakatifu.huyu mtumishi anakitu cha Mungu,Laiti binadamu wangejuwa wangekutunza kama Dhahabu. Mungu atakulipa mtumishi wa Mungu,uovu umejaa mtu wa Mungu kweli Alie okoka kweli kunyamaza ni ngumu.Roho wa Mungu anachukia dhambi.

  • @adonaiastoni1703
    @adonaiastoni1703 Před měsícem +6

    Ameen baba unatufunza kwa maisha yako!

  • @phestostanley4019
    @phestostanley4019 Před měsícem +2

    Amen, amen powerful message, nimehisi kitokwa na machozi kwa kwa ujumbe mzito namna hii uliojaa kweli yote

  • @charlesnyanhanga4382
    @charlesnyanhanga4382 Před měsícem +13

    Ubarikiwe sana mutu wa MUNGU mafundisho yako yanagusa wengi

  • @Rashid-vm1fk
    @Rashid-vm1fk Před měsícem +2

    Yeye aliye wa Mungu huyasikia maneno ya Mungu hivyo ninyi hamskii kwakuwa ninyi si wa Bwana Ubarikiwe sana Mtumishi wa Bwana

  • @desirengenerwasobanuka9015
    @desirengenerwasobanuka9015 Před měsícem +4

    Hii inaitwa sauti ya mtu alieae kutoka Gerezani. Ulipokuwa gerezani niliona umeachliwa na unaendelea na Injili kwa nguvu kubwa. Ila muda ulikuwa kama wakati wa jioni hivi. Lakini ulikuwa napiga Injili watu wamekaa mbele yako wakikusikiliza kwa utulivu. Kwahio chapa kazi ndugu Mbarikiwa. Roho hii ni kama ya Mitume na Manabii sababu hawakuogopa kifo ,njaa wala kitu chochote ,ila walinena ukweli hata kama imelazimika kumwambia Mfalme hawakuogopa. Ni ndugu yako Desire kutoka Ujerumani. Nakupenda brother .

    • @Kamkono
      @Kamkono Před měsícem

      MBARIKIWA ATAKUA NI NABII AU MTUME.ANGEKUA NI MCHUNGAJI ANGEJIFUNGIA NA WAUMINI WAKE WAKAENDELEA KUTIANA MOYO LAKINI YEYE ANAKEMEA UOVU HADHALANI KITU AMBACHO MCHUNGAJI HAWEZI,

  • @OswardalexandarbapafukeB-ty9oe

    Ubarikiwe sana mtumishi

  • @injilinjeyakutazakanisa
    @injilinjeyakutazakanisa Před měsícem +5

    Eti huna cha kumtisha hahaaaaa, nakuelewa sana Kaka angu. Na bila kusema iliyokweli, watatumaliza.

  • @ombendaud5938
    @ombendaud5938 Před měsícem +9

    IPM usiseme wachungaji wote hakuna anaeuliza sadaka zimetoka wapi? Baba yng Mch Mbarikiwa hayo ndo maisha anauliza kila kitu kama mm mara nyingi ameshaniambia nataka moyo wako uwe kwa Mungu na siyo vitu wa la fedha sijawahi kuona baba yng anafurahi nikipeleka sakada kama sijapata muda wa kufanya ibada sawa sawa.Huwa naiona sura ya ukali nikipeleka sadaka na wakati mwingi amekuwa akinikemea sana.Mm ni shahidi wa maisha ya Pastor nisemayo ni kweli tupu hakuna lililo nyuma ya pazia lililo ovu kwenye maisha yake.Wapo watu wa Mungu ambao Mungu amejisanzia duniani.Kwa hapa IPM umesema yaliyokujaa moyoni kuwa nyuma ya pazia una maisha ya uchafu mwingi unaoufanya.Ikiwa mimi tuuu maisha yng yako wazi

    • @sifawayesu7079
      @sifawayesu7079 Před měsícem +2

      Hata mimi nakumbuka siku moja alikukemea tena wakati wa ibada akisema "kwani kunipa pesa badalaya kutoa ushirikianowa kuusogeza moyo wako kwa Mungu?? Sina haja na sadaka yako ila moyo wako mwanangu"

    • @sarahmwasyoge1830
      @sarahmwasyoge1830 Před měsícem +1

      Yaani huu moyo ni wa Magufuli type.. moyo adimu mno hakika ukisubiri kumuona Mungu(Yesu) anafananaje na usimuone kwa mchungaji Mbarikiwa utakuwa umepishana na Mungu wazi wazi na kamwe hauta muona...mimi naona mungu mwana yupo pamoja nasi kupitia Baba huyu mwenye Upendo usioelezeka akimfanya mtu yeyote kuwa ni ndugu yake hata kama akujui...eeh baba nisaidie kuto kuamini kwangu na kukuelewa kokote ambako sikuelewi nahitaji tu kuhurumiwa mnyonge mimi na wote ambao hawakuelewi baba ni wakuhurumiwa sana sana..maana tusipo kuelewa wewe tutamuelewa nani

  • @kigongomasalu7402
    @kigongomasalu7402 Před měsícem +3

    Huyu ipm aliongozwa sala ya toba na nani?,mbn kama bado ana majini!!,msaidieni huyu ana roho zinamsemesha kupotosha

  • @Emmanuel-cp1no
    @Emmanuel-cp1no Před 28 dny +1

    Mbarikiwa baba ni kweli umeamua kuwa moto Mungu akupiganie kama alivowapigania kina paulo, uzidi kuwaabisha hao wachungaji njaa wanaoficha ukweli kwa maslahi yao

  • @Husenimuddi
    @Husenimuddi Před měsícem +4

    We we ni nyukria bomb Baba wanyooshe hao,vibaka wa injili

  • @komandowainjiliyayesu
    @komandowainjiliyayesu Před měsícem +7

    Maisha Yako yawazi Mtumishi Wangu Maana dhuluma unazikemea sana kwakweli nimapandikizi toka kuzimu hawoo wa chungaji

  • @user-gt4eo6ux6c
    @user-gt4eo6ux6c Před měsícem +5

    Uko sahihi mwakipesile ktk haya nakuunga mkono kufa kufana timiza wajibu wako hata Mimi kipengele hicho nilimfatili sana huyo mchungaji sikumuelewa kabisa

  • @ezekielmligo6623
    @ezekielmligo6623 Před měsícem +8

    SAFI SANA, AMEN

  • @nestorypesambili7341
    @nestorypesambili7341 Před měsícem +2

    Amen, Kazi nzuri sana mtumishi wa Mungu, ubarikiwe.

  • @ScopionScopion-zj9cd
    @ScopionScopion-zj9cd Před měsícem +6

    dah mtumishi ila kiukweli kama ndio unaishi ivo kweli umefanikiwa kuzishnda zambi kuzini kuiba tamaa ya pesa roho mbaya uongo Na uonevu bx Nasema hongera Namungu akubaliki Namimi Namuomba mungu Niwe kama ww mana maisha ya dunia Nimafupi mno

    • @user-vo6fu3pp1p
      @user-vo6fu3pp1p Před měsícem +1

      Watoto wake tupo tunayathibitisha haya anayoyasema. Anayoyasema ndiyo anayoyaishi.

  • @tujajackson8142
    @tujajackson8142 Před měsícem +6

    Kweli asituchafulie u Kristo wetu

  • @davidwangila7169
    @davidwangila7169 Před 22 dny

    Ubarikiwe paster Kwa kazi nzuri,,tusaidiane Kwanza huku Kenya wako wengi Sana kama hao wanapotosha kanisa la lungi

  • @kizuben
    @kizuben Před 26 dny

    Amina mtumwa wa Kristo barikiwa sana kwa ujumbe huu wa kumtetea Kristo

  • @armansabbor-ui3jb
    @armansabbor-ui3jb Před 16 dny +1

    Najivunia kuwa mkatoliki ❤ vita ya wenyewe kwa wenyewe kazi ipo dunia inakaribia kuisha

  • @florianmakero9877
    @florianmakero9877 Před měsícem +2

    Mungu akubarikibkwa kusema ukweli watakatitu tupo duniani

  • @bahatadof5543
    @bahatadof5543 Před měsícem +1

    Hata wa kwetu naye anakataa Mbarikiwa,Mungu akupiganie baba,wewe ni mtu mwema sana

  • @user-hl6bg9zz8u
    @user-hl6bg9zz8u Před měsícem +2

    Hata Mimi mchungaji wangu Huwa anasema ukiwa maskini na muhitaji hutaingia mbinguni, kimoyoni nasema mbona Lazaro hakuwa tajiri lakini aliingia mbinguni, Huwa najisemea hajui inavyopasa kujua

  • @user-nw9ds9qe5i
    @user-nw9ds9qe5i Před měsícem

    Hallelujah ubarikiwe sana mtumishi mbarikiwe mwakipesile Mungu akutie nguvu

  • @NisubileMarcelline
    @NisubileMarcelline Před měsícem

    Ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu Mbarikiwa. Unatetea kanisa na injili ya kweli ya Yesu Kristo kwa ghalama kubwa. Bwana atakulipa usipozimia moyo.

  • @brownaled2576
    @brownaled2576 Před měsícem +4

    Mungu akujaze nguvu zaidi

  • @elizabethmigeto7261
    @elizabethmigeto7261 Před měsícem

    Hongera Sana Mchungaji! Mungu aendelee kukuinua Na Kukutumia

  • @prophetjohnmasso186
    @prophetjohnmasso186 Před měsícem +3

    Barikiwa sana mtumishi

  • @salahsadi3908
    @salahsadi3908 Před 19 dny

    Mbarikiwa uko vzr sana mungu azidi kukutetea,

  • @WinstonWinfredy
    @WinstonWinfredy Před měsícem +3

    Lakini wewe mtumishi Mimi nikwambie kama Mungu anawatu hakika najua wewe ukiendelea usipozimia roho kitichako mbinguni nikikuu kwamtu alierohoni akikutazama haoni mbarikiwa bali roho za zamani zakinabii imondaniyako Amina

  • @user-sw8gb5hb2s
    @user-sw8gb5hb2s Před měsícem +1

    YESU akubariki sana pst hii ndio kweli ya uchungaji

  • @filemonibeneditobunuassiof1066

    Amina. Mch.Mbarikiwa endelea kukemea kwa jina la YESU Kristo.

  • @MartinMapunda
    @MartinMapunda Před měsícem

    Amen mtumishi wa Mungu aliye hai nakukubali na ninakuombea pia uendelee kupasua mawimbi juu ya nyakati hizi za mwisho katikati ya mbwa mwitu najua Kuna siku Mungu atanipa kibali tuonane uso kwa uso

  • @user-ne5cg4vv1h
    @user-ne5cg4vv1h Před měsícem +3

    Kwanza yeye tu hajiamini et mukichunguza mambo yake mtumishi et hamuwezi kusali mmmh sjaelewa mimi hapo 😢

  • @StelaJohn-nj5yf
    @StelaJohn-nj5yf Před měsícem +1

    God be with you hallelujah🙏

  • @user-nt4rt4hz1h
    @user-nt4rt4hz1h Před měsícem

    God bless you pastor 🎉🎉

  • @geraldleger5793
    @geraldleger5793 Před měsícem +1

    Wewe ndiye Mtumishi pekee unayehubiri kweli ya Mungu. Tupo pamoja..

  • @user-xv5kz7zy7r
    @user-xv5kz7zy7r Před měsícem +5

    Nakukubali sana mchungaji simama tupo nawe hata kama tuko mbali

    • @manrichchahe6620
      @manrichchahe6620 Před měsícem

      🙏🏼🙏🏼

    • @MTWEVELENNARD
      @MTWEVELENNARD Před měsícem

      Ndugu zangu sio kill mtu aniambie Bwana Bwana ataulithi ufalme bali ni wale wafanyao mapenzi ya Mungu
      Anaefanya mapenzi ya Mungu ninani?

  • @SamwelKipenzi
    @SamwelKipenzi Před měsícem +1

    Injili ya kweli haitapotea hata waje wapotoshaji kiasi gani bado injili itasimama kikamilifu, balikiwa mtumishi Bwana Yesu akulinde.

  • @MichaelNdamulans
    @MichaelNdamulans Před měsícem +1

    ❤Mbarikiwa natamani na mm nijiunge nahilo kanisa maana nakufuatilia sana na maneno yako yananibariki sana.

  • @AzAz-sy6zp
    @AzAz-sy6zp Před měsícem

    Aminaa MUNGU akubarki san mtumishi mubarikiwe kwa mafundisho ama muongozo mzri ubarikiwe san

  • @hermanmarunda8094
    @hermanmarunda8094 Před měsícem

    Mungu akubariki Mtumish wa Mungu.
    Kwa sasa ni watumish wachache sanaa wanaweza kusimama katika kweli pasipo kuyumbishwa na dunia.
    Hakika Mungu amekuita ili kunyosha na kudhirisha Kweli ya Mungu kwa gharama yeyote pasipo hofu.
    Mungu akutunze Mtumishi Mbarikiwa.

  • @paschalfausitine7108
    @paschalfausitine7108 Před měsícem +4

    Mungu akuinue

  • @The-Sword-Of-Endtimes
    @The-Sword-Of-Endtimes Před měsícem

    Amen 🙏 ubarikiwe Sana Mtumishi wa MUNGU

  • @FESTOJAPHET-cw3fl
    @FESTOJAPHET-cw3fl Před měsícem +1

    Kwelll mchungaji uko sahihi Mungu akulinde mm nasikia fulaha unavyo tufundisha kupitia kilip yako hata mm kupitia wewe Mungu alinisaidia hadi saiz nina fulaha na amani

  • @NorbethJosphath-hm1zb
    @NorbethJosphath-hm1zb Před měsícem +2

    Kanisa safi lisilo na mawaa tena lisilo madowadawa ndio Mungu hupendezwa nalo Mchungaji mbalikiwa mwakipesile wewe piga kazi ya Mungu farao na jeshi lake Mungu anakwenda kuangamiza

  • @BupeMwakasege
    @BupeMwakasege Před měsícem +1

    Hallelujah that is truth father

  • @christinephilip5043
    @christinephilip5043 Před měsícem +1

    OOOooh hallelujah umeeleweka vema baba endelea kuwaambia watu makosa yao🙌🙌Uf 2:10

  • @JuliethMagele
    @JuliethMagele Před měsícem +1

    Yesu anataka watu kama awa watakaotuambia ukweri Mungu akulinde akubariki ipo cku kuvikwa taji ya uzima

  • @kesiaomari2173
    @kesiaomari2173 Před měsícem

    Wambiye ukweli mchungaji Mungu akubariki sana

  • @BRIANMUSONDA-tt8yl
    @BRIANMUSONDA-tt8yl Před měsícem +3

    Amina baba haya maro yanaaribu uokovu baba simama tuko pamoja

  • @patrickpastory6216
    @patrickpastory6216 Před měsícem

    Barikiwa sana Mtumishi wa Mungu hakika Mungu unayemtumikia atakusimamia mpaka mwisho.

  • @FransiskaMassawe-w6i
    @FransiskaMassawe-w6i Před 23 dny

    Uko sasahihi Mchungaji. Mungu akutunze mtumishi

  • @jamilajosephat917
    @jamilajosephat917 Před 26 dny

    MUNGU akulinde na kukufunika kwa damu ya YESU mtumishi wa MUNGU, naomba ukiwa kwenye maombi nisaidie kuomba kwa MUNGU niishi maisha matakatifu maisha yangu yote nitakayoishi hapa duniani ndo kilio changu cha kila siku mtumishi

  • @user-nr1gh2vu9z
    @user-nr1gh2vu9z Před měsícem +2

    MUNGU akutie nguvu mtumishi wa MUNGU na Mungu akulinde

  • @bernardmwenda5186
    @bernardmwenda5186 Před měsícem

    Hongera sana mtu wa Mungu, ninakuelewa sana ulicho nacho; una Mungu hakika! Mungu azidi kukuinia na kukupa ujasirisiku hadi siku.

  • @pascopaul909
    @pascopaul909 Před měsícem +2

    maonyo haya yameiponya nafsi yangu JINA LA YESU LITUKUZWE

  • @rweyemamueustace4254
    @rweyemamueustace4254 Před 5 dny

    Ni kweli wengi nchi hii wanataka watu wenye kutenda UOVU. HAPO MESEMA KWELI

  • @JanethJoseph-tq2ns
    @JanethJoseph-tq2ns Před měsícem

    Barikiwa Sana mtumishi wa MUNGU 🤝♥️♥️♥️♥️

  • @emanuelmargwe7087
    @emanuelmargwe7087 Před měsícem +1

    😢😢 imani ya ukristo inashambuliwa kweli kweli. Mungu atusaidie sana sana

    • @user-wg2gd2nl6c
      @user-wg2gd2nl6c Před měsícem

      Mtu wenyewe matunda ndo hupgwa mawe Sana. Kikubwa nikufulahitu na yesu

  • @ernestkifwefwe2127
    @ernestkifwefwe2127 Před měsícem

    Mungu aliye hai Akubariki Sana Mtumishi wa Kristo Kwa kusema kweli yote,ewe shujaa🤝

  • @odiliaamnaay4429
    @odiliaamnaay4429 Před měsícem +1

    Mtumishi wa Mungu Bwana atutetee kwa jinsi unavyowapa nondo hizo wamemfanya Mungu shemeji wao. Hawakuitwa na Mungu Bali wamejiita au kuingizwa na Wakuu wao wa Giza.Huyu Mchungaji hana roho wa Mungu.

  • @malakimapunda010
    @malakimapunda010 Před měsícem

    Amina baba, ninabarikiwa sana na huu ujasiri... MUNGU nisaidie 🙏🏼

  • @alexlemabi1804
    @alexlemabi1804 Před měsícem

    Nimekupenda bule❤

  • @georgejohn1643
    @georgejohn1643 Před měsícem

    Asante ubarikiwe sana,kweli itatuweka uru

  • @MwanaNgurumo
    @MwanaNgurumo Před měsícem

    Ubarikiwe sana unanena mema bwana yesu akulinde na mahadui wate❤❤❤

  • @joycefaida6548
    @joycefaida6548 Před 17 dny

    ,Pst.,Mbarikiwa 🔥🔥

  • @MabelKaaya-hl2je
    @MabelKaaya-hl2je Před měsícem

    Mungu Akutie Nguvu sana Mtumishi wa Mungu MBARIKIWE.

  • @amedelucas
    @amedelucas Před měsícem +1

    Amina Baba ❤❤,Hii ndo sauti ya mtu aliae toka Gerezani inyooshayo mapito

  • @salomonntiruseswa9965
    @salomonntiruseswa9965 Před měsícem

    Mbarikiwa kweli wewe ni mtu wa Mungu barikiwa sana siku zote mti mwemye matunda mazuri hupigwa mawe endelea na injili Mungu yupo pamoja na wewe na wabaya wote hawataweza kwa uweza wa Mungu

  • @kakasteve7117
    @kakasteve7117 Před měsícem

    Mungu akusaidie mtumishi wa Mungu. Kwakweli unaisema ile kweli ya Mungu

  • @saulocharles9306
    @saulocharles9306 Před měsícem

    Mungu akubariki mchungaji mwakipesile mungu atakulinda uendelee kuulinda ukristo

  • @LucasNtalima
    @LucasNtalima Před měsícem

    Amina pastor

  • @DanielDaudi
    @DanielDaudi Před měsícem +2

    Huyu ipm ametoka kwenye dini ya majini na uongo sasa tabia hii inaonekana bado hajaiacha huo ujinga wa majoka ya huko alukotoka anataka kuuleta huku kanisani wala hataweza huku sio msikitini

  • @user-xf8yo1od4n
    @user-xf8yo1od4n Před měsícem

    Mungu akubariki na kukulinda, wachache wenyekunyoosha Wengi wanahubiri kujaza matumbo Yao na wengine wanahubiri kwa kuogopa mamlaka za Dunia hii