Barikiwa Pastor,, kazi njema. Utavikwa taji jema kwa kumtetea Kristo waziwazi. I wish to have that confidence. Wana wa uovu wamezidi kulichezea kanisa..
Atukuzwe Mungu wa Mbarikiwa Mwakipesile aliyewapa wanadamu uwezo wakufungua hii mitandao ili utupu wa mbwa mwitu uonekane,barikiwe sana Mbarikiwa Mwakipesile wetu.
IIPM ondowa ujinga kwenye ukristo. Ukichoka na utauwa rudi ulikotoka sio kuja kunajisi ukristo. Mtu huyu amestahili kemeo nzito namna hii . Hongera Pastor Mbarikiwa Mungu azidi kukutumia na Roho wake akutie nguvu
Hata yangu uliikataa Baba pindi bado nina midhambi ambayo sikuwatayari kuacha. Mimi nishahidi ulikuwa unakataa za wengi tu. Ukimuona mtu haliyake ni mbaya kiuchumi kula kwake shida kuvaa shida. Haukuchukua sadaka yake bali uliwapa mitaji na kufundisha nidhamu ya kutmia mapato yake ndipo walikuja kushukuru baada ya kuona vile ulivyo wasaidia kumewafaa sana, wakawa watoaji wakitoa malizao kwa furaha na moyo wa kupenda. Kwakweli moyo wako Mtumishi ni wakipekee mno...
@@sifawayesu7079" kuna dini mpya iliyoibuka duniani dada sifa inatwa chris-islam hii ni dini ambayo inakuwa na ladha ya uislamu na ladha ya ukirsto ninaposema ladha nadhani unaelewa.mfano nadhani ulifuatilia tamasha la mtoko wa pasaka unaona diamond anasoma biblia,unaona wakina shusho wapo wakina barbnaba na watumishi wengine wapo ✓ sasa mtoko wa pasaka unakuwa na maana gani¿wakati diamond anasuka nywele,katoboa pua na masikio ndio maana ya pasaka hiyo ✓ shusho kasema kaamua kuachana na mume wake na kaamua tuu.sasa shusho na diamond wapo meza moja na atawezaje kumwambia kuhusu kuokoka na kuacha dhambi ✓ shusho alipewa na geordave arusha milion kumi na kwa geordave arusha ndio mule mule hakuna udini wala nini kila mtu anakuwa anaweza kusali bila kuzuiliwa ,unavaa utakavyo unasuka utakavyo ✓ vimini huku ndio kwao ✓ mapaja haina haja ya kufunikwa ✓ manyonyo yananyanyuliwa karibia yanataka kuchomoka ✓ chris islam ni dini inayokuwa kwa kasi na watumishi wa hii dini ni matajiri sana lakini wapo kama hawapo
Sasa kama mbinguni tutaingia kwa huruma ya MUNGU mwenyewe aamue tu sasa kanisa umefungua lanini wakati tutaingia kwa MUNGU kuamua yeye jmani hivi huyu IMP anajielewa kweli nigekuwa nasali kanisa lake ningehama dereva gani huyu anabahatisha safari 😢😢😢
Tumeshakuelewa sana baba, piga injili vya kutosha Mungu tunayemwabudu atakupigania na hakuna atakayekufanya chochote, kesi zote zitaisha bila kujulikana zimeishaje, tunakuombea kwa dhati kwa Mungu!
Watakatifu waliopo duniani ndio Walio bora, Hao ndio niliopendezwa nao.zaburi 16:3,,,YEYE ANAPINGANA NA NENO LA MUNGU ANAPOSEMA HAKUNA MTAKATIFU DUNIANI😢😢
!!!Laiti binadamu wangejuwa unacho kijuwa na kukielewa na moyo wako Unavyo taka watu waishi maisha matakatifu.huyu mtumishi anakitu cha Mungu,Laiti binadamu wangejuwa wangekutunza kama Dhahabu. Mungu atakulipa mtumishi wa Mungu,uovu umejaa mtu wa Mungu kweli Alie okoka kweli kunyamaza ni ngumu.Roho wa Mungu anachukia dhambi.
Hii inaitwa sauti ya mtu alieae kutoka Gerezani. Ulipokuwa gerezani niliona umeachliwa na unaendelea na Injili kwa nguvu kubwa. Ila muda ulikuwa kama wakati wa jioni hivi. Lakini ulikuwa napiga Injili watu wamekaa mbele yako wakikusikiliza kwa utulivu. Kwahio chapa kazi ndugu Mbarikiwa. Roho hii ni kama ya Mitume na Manabii sababu hawakuogopa kifo ,njaa wala kitu chochote ,ila walinena ukweli hata kama imelazimika kumwambia Mfalme hawakuogopa. Ni ndugu yako Desire kutoka Ujerumani. Nakupenda brother .
MBARIKIWA ATAKUA NI NABII AU MTUME.ANGEKUA NI MCHUNGAJI ANGEJIFUNGIA NA WAUMINI WAKE WAKAENDELEA KUTIANA MOYO LAKINI YEYE ANAKEMEA UOVU HADHALANI KITU AMBACHO MCHUNGAJI HAWEZI,
IPM usiseme wachungaji wote hakuna anaeuliza sadaka zimetoka wapi? Baba yng Mch Mbarikiwa hayo ndo maisha anauliza kila kitu kama mm mara nyingi ameshaniambia nataka moyo wako uwe kwa Mungu na siyo vitu wa la fedha sijawahi kuona baba yng anafurahi nikipeleka sakada kama sijapata muda wa kufanya ibada sawa sawa.Huwa naiona sura ya ukali nikipeleka sadaka na wakati mwingi amekuwa akinikemea sana.Mm ni shahidi wa maisha ya Pastor nisemayo ni kweli tupu hakuna lililo nyuma ya pazia lililo ovu kwenye maisha yake.Wapo watu wa Mungu ambao Mungu amejisanzia duniani.Kwa hapa IPM umesema yaliyokujaa moyoni kuwa nyuma ya pazia una maisha ya uchafu mwingi unaoufanya.Ikiwa mimi tuuu maisha yng yako wazi
Hata mimi nakumbuka siku moja alikukemea tena wakati wa ibada akisema "kwani kunipa pesa badalaya kutoa ushirikianowa kuusogeza moyo wako kwa Mungu?? Sina haja na sadaka yako ila moyo wako mwanangu"
Yaani huu moyo ni wa Magufuli type.. moyo adimu mno hakika ukisubiri kumuona Mungu(Yesu) anafananaje na usimuone kwa mchungaji Mbarikiwa utakuwa umepishana na Mungu wazi wazi na kamwe hauta muona...mimi naona mungu mwana yupo pamoja nasi kupitia Baba huyu mwenye Upendo usioelezeka akimfanya mtu yeyote kuwa ni ndugu yake hata kama akujui...eeh baba nisaidie kuto kuamini kwangu na kukuelewa kokote ambako sikuelewi nahitaji tu kuhurumiwa mnyonge mimi na wote ambao hawakuelewi baba ni wakuhurumiwa sana sana..maana tusipo kuelewa wewe tutamuelewa nani
Mbarikiwa baba ni kweli umeamua kuwa moto Mungu akupiganie kama alivowapigania kina paulo, uzidi kuwaabisha hao wachungaji njaa wanaoficha ukweli kwa maslahi yao
Uko sahihi mwakipesile ktk haya nakuunga mkono kufa kufana timiza wajibu wako hata Mimi kipengele hicho nilimfatili sana huyo mchungaji sikumuelewa kabisa
dah mtumishi ila kiukweli kama ndio unaishi ivo kweli umefanikiwa kuzishnda zambi kuzini kuiba tamaa ya pesa roho mbaya uongo Na uonevu bx Nasema hongera Namungu akubaliki Namimi Namuomba mungu Niwe kama ww mana maisha ya dunia Nimafupi mno
Lakini wewe mtumishi Mimi nikwambie kama Mungu anawatu hakika najua wewe ukiendelea usipozimia roho kitichako mbinguni nikikuu kwamtu alierohoni akikutazama haoni mbarikiwa bali roho za zamani zakinabii imondaniyako Amina
Amen mtumishi wa Mungu aliye hai nakukubali na ninakuombea pia uendelee kupasua mawimbi juu ya nyakati hizi za mwisho katikati ya mbwa mwitu najua Kuna siku Mungu atanipa kibali tuonane uso kwa uso
Mungu akubariki Mtumish wa Mungu. Kwa sasa ni watumish wachache sanaa wanaweza kusimama katika kweli pasipo kuyumbishwa na dunia. Hakika Mungu amekuita ili kunyosha na kudhirisha Kweli ya Mungu kwa gharama yeyote pasipo hofu. Mungu akutunze Mtumishi Mbarikiwa.
Kwelll mchungaji uko sahihi Mungu akulinde mm nasikia fulaha unavyo tufundisha kupitia kilip yako hata mm kupitia wewe Mungu alinisaidia hadi saiz nina fulaha na amani
Kanisa safi lisilo na mawaa tena lisilo madowadawa ndio Mungu hupendezwa nalo Mchungaji mbalikiwa mwakipesile wewe piga kazi ya Mungu farao na jeshi lake Mungu anakwenda kuangamiza
MUNGU akulinde na kukufunika kwa damu ya YESU mtumishi wa MUNGU, naomba ukiwa kwenye maombi nisaidie kuomba kwa MUNGU niishi maisha matakatifu maisha yangu yote nitakayoishi hapa duniani ndo kilio changu cha kila siku mtumishi
Mtumishi wa Mungu Bwana atutetee kwa jinsi unavyowapa nondo hizo wamemfanya Mungu shemeji wao. Hawakuitwa na Mungu Bali wamejiita au kuingizwa na Wakuu wao wa Giza.Huyu Mchungaji hana roho wa Mungu.
Mbarikiwa kweli wewe ni mtu wa Mungu barikiwa sana siku zote mti mwemye matunda mazuri hupigwa mawe endelea na injili Mungu yupo pamoja na wewe na wabaya wote hawataweza kwa uweza wa Mungu
Huyu ipm ametoka kwenye dini ya majini na uongo sasa tabia hii inaonekana bado hajaiacha huo ujinga wa majoka ya huko alukotoka anataka kuuleta huku kanisani wala hataweza huku sio msikitini
Watu wa Mungu kumbukeni kumuombea huyu pastor
Hii kazi siyo ndogo jamani kwaupendo wote ukipata nafasi ya kupiga goti usimsahau hyu pastor ❤❤❤
Kweli BABA MBARIKIWA nimekuelewa sana wewe ni sauti ya mungu duniani
Barikiwa Pastor,, kazi njema. Utavikwa taji jema kwa kumtetea Kristo waziwazi. I wish to have that confidence. Wana wa uovu wamezidi kulichezea kanisa..
Atukuzwe Mungu wa Mbarikiwa Mwakipesile aliyewapa wanadamu uwezo wakufungua hii mitandao ili utupu wa mbwa mwitu uonekane,barikiwe sana Mbarikiwa Mwakipesile wetu.
Hakika mbarikiwa piga kazi..
Dah baba unaweza kuwapindua hadi raha, JESHI LA MTU MMOJA TANZANIA
Wewe ni wa Mungu ❤
Ingawa ni wazi kuwa njia yako haitakuwa rahisi kamwe.
Baba wewe ni mwambaaa nakwambia ipo siku Mungu atajionyesha mzima mzima.Mungu akubariki milele aminaaaaaaaaaaa.🎉
Yes very nice congratulation mbarikiwa.
IIPM ondowa ujinga kwenye ukristo. Ukichoka na utauwa rudi ulikotoka sio kuja kunajisi ukristo.
Mtu huyu amestahili kemeo nzito namna hii . Hongera Pastor Mbarikiwa Mungu azidi kukutumia na Roho wake akutie nguvu
Tupo na jabari jiwe la MUNGU mwakipesile❤❤❤
Barikiwa sana mtumishi wa Mwakipesile 💪🏻 🙏
Wewe ndiye mtu wa Mungu huko tanzania
Huyu aliingia kwenye ukiristo kuchafua. Mungu amsamehe akitubu. Hongera mbarikiwa.
Sio kila sadaka unaweza kuipokea kutoka kwa mshirika au kwa mtu, Hongera Mbarikiwa
Haleluya BWANA ni mwema sana.Giza haliwezi kushinda NURU.
Hata yangu uliikataa Baba pindi bado nina midhambi ambayo sikuwatayari kuacha. Mimi nishahidi ulikuwa unakataa za wengi tu. Ukimuona mtu haliyake ni mbaya kiuchumi kula kwake shida kuvaa shida. Haukuchukua sadaka yake bali uliwapa mitaji na kufundisha nidhamu ya kutmia mapato yake ndipo walikuja kushukuru baada ya kuona vile ulivyo wasaidia kumewafaa sana, wakawa watoaji wakitoa malizao kwa furaha na moyo wa kupenda. Kwakweli moyo wako Mtumishi ni wakipekee mno...
Mimi mwenyewe ni shahidi wa maneno haya
Hii ni Moja ya MIOYO adimu Sana kuwahi kuwemo duniani
@@sifawayesu7079" kuna dini mpya iliyoibuka duniani dada sifa inatwa chris-islam hii ni dini ambayo inakuwa na ladha ya uislamu na ladha ya ukirsto ninaposema ladha nadhani unaelewa.mfano nadhani ulifuatilia tamasha la mtoko wa pasaka unaona diamond anasoma biblia,unaona wakina shusho wapo wakina barbnaba na watumishi wengine wapo
✓ sasa mtoko wa pasaka unakuwa na maana gani¿wakati diamond anasuka nywele,katoboa pua na masikio ndio maana ya pasaka hiyo
✓ shusho kasema kaamua kuachana na mume wake na kaamua tuu.sasa shusho na diamond wapo meza moja na atawezaje kumwambia kuhusu kuokoka na kuacha dhambi
✓ shusho alipewa na geordave arusha milion kumi na kwa geordave arusha ndio mule mule hakuna udini wala nini kila mtu anakuwa anaweza kusali bila kuzuiliwa ,unavaa utakavyo unasuka utakavyo
✓ vimini huku ndio kwao
✓ mapaja haina haja ya kufunikwa
✓ manyonyo yananyanyuliwa karibia yanataka kuchomoka
✓ chris islam ni dini inayokuwa kwa kasi na watumishi wa hii dini ni matajiri sana lakini wapo kama hawapo
Kwakweli mtumishi huyu abarikiwe sana
😂😂 mtu mwenyewe anaitwa ipm Dah pastor achana na ili pandikizi la kiislamu
Sasa kama mbinguni tutaingia kwa huruma ya MUNGU mwenyewe aamue tu sasa kanisa umefungua lanini wakati tutaingia kwa MUNGU kuamua yeye jmani hivi huyu IMP anajielewa kweli nigekuwa nasali kanisa lake ningehama dereva gani huyu anabahatisha safari 😢😢😢
Huto jamaa mpotoshaj naomba jina lake nimfuatilie youtube nione uchafu wake alouzungumza
Barikiwa sana Baba yangu Mchungaji wangu maana unayafunua maandiko/ biblia hata kama watajifanya hawaelewi wataelewa tu .
Hongera sana kwa uchambuzi mzuri hakika unainyoosha njia ya Bwana.
Mbarikiwaaaaaaaaaaaaaaaa yes you deserve the name, it's the Prophetic name Mbarikiwa. Huu ndiyo Ukristo Naam nasema Ukristo
Tumeshakuelewa sana baba, piga injili vya kutosha Mungu tunayemwabudu atakupigania na hakuna atakayekufanya chochote, kesi zote zitaisha bila kujulikana zimeishaje, tunakuombea kwa dhati kwa Mungu!
Aseme yake kwanza... Ndio Mungu anavyotaka SIO uwanange WATU HUKU Yako ukiyaficha
@@HABIBHASSAN-wf5mrsema kama unayaona hayo makandokando ndani yake
Asante mch. Mbarikiwa naamini sana mafundisho yako huyo jpm ni mpinga kristo
Watakatifu waliopo duniani ndio Walio bora, Hao ndio niliopendezwa nao.zaburi 16:3,,,YEYE ANAPINGANA NA NENO LA MUNGU ANAPOSEMA HAKUNA MTAKATIFU DUNIANI😢😢
Ameeeeeeeni baba mchungaji Mbarikiwa.
!!!Laiti binadamu wangejuwa unacho kijuwa na kukielewa na moyo wako Unavyo taka watu waishi maisha matakatifu.huyu mtumishi anakitu cha Mungu,Laiti binadamu wangejuwa wangekutunza kama Dhahabu. Mungu atakulipa mtumishi wa Mungu,uovu umejaa mtu wa Mungu kweli Alie okoka kweli kunyamaza ni ngumu.Roho wa Mungu anachukia dhambi.
Ameen baba unatufunza kwa maisha yako!
Amen, amen powerful message, nimehisi kitokwa na machozi kwa kwa ujumbe mzito namna hii uliojaa kweli yote
Ubarikiwe sana mutu wa MUNGU mafundisho yako yanagusa wengi
Yeye aliye wa Mungu huyasikia maneno ya Mungu hivyo ninyi hamskii kwakuwa ninyi si wa Bwana Ubarikiwe sana Mtumishi wa Bwana
Hii inaitwa sauti ya mtu alieae kutoka Gerezani. Ulipokuwa gerezani niliona umeachliwa na unaendelea na Injili kwa nguvu kubwa. Ila muda ulikuwa kama wakati wa jioni hivi. Lakini ulikuwa napiga Injili watu wamekaa mbele yako wakikusikiliza kwa utulivu. Kwahio chapa kazi ndugu Mbarikiwa. Roho hii ni kama ya Mitume na Manabii sababu hawakuogopa kifo ,njaa wala kitu chochote ,ila walinena ukweli hata kama imelazimika kumwambia Mfalme hawakuogopa. Ni ndugu yako Desire kutoka Ujerumani. Nakupenda brother .
MBARIKIWA ATAKUA NI NABII AU MTUME.ANGEKUA NI MCHUNGAJI ANGEJIFUNGIA NA WAUMINI WAKE WAKAENDELEA KUTIANA MOYO LAKINI YEYE ANAKEMEA UOVU HADHALANI KITU AMBACHO MCHUNGAJI HAWEZI,
Ubarikiwe sana mtumishi
Eti huna cha kumtisha hahaaaaa, nakuelewa sana Kaka angu. Na bila kusema iliyokweli, watatumaliza.
IPM usiseme wachungaji wote hakuna anaeuliza sadaka zimetoka wapi? Baba yng Mch Mbarikiwa hayo ndo maisha anauliza kila kitu kama mm mara nyingi ameshaniambia nataka moyo wako uwe kwa Mungu na siyo vitu wa la fedha sijawahi kuona baba yng anafurahi nikipeleka sakada kama sijapata muda wa kufanya ibada sawa sawa.Huwa naiona sura ya ukali nikipeleka sadaka na wakati mwingi amekuwa akinikemea sana.Mm ni shahidi wa maisha ya Pastor nisemayo ni kweli tupu hakuna lililo nyuma ya pazia lililo ovu kwenye maisha yake.Wapo watu wa Mungu ambao Mungu amejisanzia duniani.Kwa hapa IPM umesema yaliyokujaa moyoni kuwa nyuma ya pazia una maisha ya uchafu mwingi unaoufanya.Ikiwa mimi tuuu maisha yng yako wazi
Hata mimi nakumbuka siku moja alikukemea tena wakati wa ibada akisema "kwani kunipa pesa badalaya kutoa ushirikianowa kuusogeza moyo wako kwa Mungu?? Sina haja na sadaka yako ila moyo wako mwanangu"
Yaani huu moyo ni wa Magufuli type.. moyo adimu mno hakika ukisubiri kumuona Mungu(Yesu) anafananaje na usimuone kwa mchungaji Mbarikiwa utakuwa umepishana na Mungu wazi wazi na kamwe hauta muona...mimi naona mungu mwana yupo pamoja nasi kupitia Baba huyu mwenye Upendo usioelezeka akimfanya mtu yeyote kuwa ni ndugu yake hata kama akujui...eeh baba nisaidie kuto kuamini kwangu na kukuelewa kokote ambako sikuelewi nahitaji tu kuhurumiwa mnyonge mimi na wote ambao hawakuelewi baba ni wakuhurumiwa sana sana..maana tusipo kuelewa wewe tutamuelewa nani
Huyu ipm aliongozwa sala ya toba na nani?,mbn kama bado ana majini!!,msaidieni huyu ana roho zinamsemesha kupotosha
Mbarikiwa baba ni kweli umeamua kuwa moto Mungu akupiganie kama alivowapigania kina paulo, uzidi kuwaabisha hao wachungaji njaa wanaoficha ukweli kwa maslahi yao
We we ni nyukria bomb Baba wanyooshe hao,vibaka wa injili
Maisha Yako yawazi Mtumishi Wangu Maana dhuluma unazikemea sana kwakweli nimapandikizi toka kuzimu hawoo wa chungaji
Uko sahihi mwakipesile ktk haya nakuunga mkono kufa kufana timiza wajibu wako hata Mimi kipengele hicho nilimfatili sana huyo mchungaji sikumuelewa kabisa
SAFI SANA, AMEN
Amen, Kazi nzuri sana mtumishi wa Mungu, ubarikiwe.
dah mtumishi ila kiukweli kama ndio unaishi ivo kweli umefanikiwa kuzishnda zambi kuzini kuiba tamaa ya pesa roho mbaya uongo Na uonevu bx Nasema hongera Namungu akubaliki Namimi Namuomba mungu Niwe kama ww mana maisha ya dunia Nimafupi mno
Watoto wake tupo tunayathibitisha haya anayoyasema. Anayoyasema ndiyo anayoyaishi.
Kweli asituchafulie u Kristo wetu
Ubarikiwe paster Kwa kazi nzuri,,tusaidiane Kwanza huku Kenya wako wengi Sana kama hao wanapotosha kanisa la lungi
Amina mtumwa wa Kristo barikiwa sana kwa ujumbe huu wa kumtetea Kristo
Najivunia kuwa mkatoliki ❤ vita ya wenyewe kwa wenyewe kazi ipo dunia inakaribia kuisha
Mungu akubarikibkwa kusema ukweli watakatitu tupo duniani
Hata wa kwetu naye anakataa Mbarikiwa,Mungu akupiganie baba,wewe ni mtu mwema sana
Hata Mimi mchungaji wangu Huwa anasema ukiwa maskini na muhitaji hutaingia mbinguni, kimoyoni nasema mbona Lazaro hakuwa tajiri lakini aliingia mbinguni, Huwa najisemea hajui inavyopasa kujua
Hallelujah ubarikiwe sana mtumishi mbarikiwe mwakipesile Mungu akutie nguvu
Ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu Mbarikiwa. Unatetea kanisa na injili ya kweli ya Yesu Kristo kwa ghalama kubwa. Bwana atakulipa usipozimia moyo.
Mungu akujaze nguvu zaidi
Hongera Sana Mchungaji! Mungu aendelee kukuinua Na Kukutumia
Barikiwa sana mtumishi
Mbarikiwa uko vzr sana mungu azidi kukutetea,
Lakini wewe mtumishi Mimi nikwambie kama Mungu anawatu hakika najua wewe ukiendelea usipozimia roho kitichako mbinguni nikikuu kwamtu alierohoni akikutazama haoni mbarikiwa bali roho za zamani zakinabii imondaniyako Amina
Glory to God the Almighty
YESU akubariki sana pst hii ndio kweli ya uchungaji
Amina. Mch.Mbarikiwa endelea kukemea kwa jina la YESU Kristo.
Amen mtumishi wa Mungu aliye hai nakukubali na ninakuombea pia uendelee kupasua mawimbi juu ya nyakati hizi za mwisho katikati ya mbwa mwitu najua Kuna siku Mungu atanipa kibali tuonane uso kwa uso
Kwanza yeye tu hajiamini et mukichunguza mambo yake mtumishi et hamuwezi kusali mmmh sjaelewa mimi hapo 😢
God be with you hallelujah🙏
God bless you pastor 🎉🎉
Wewe ndiye Mtumishi pekee unayehubiri kweli ya Mungu. Tupo pamoja..
Nakukubali sana mchungaji simama tupo nawe hata kama tuko mbali
🙏🏼🙏🏼
Ndugu zangu sio kill mtu aniambie Bwana Bwana ataulithi ufalme bali ni wale wafanyao mapenzi ya Mungu
Anaefanya mapenzi ya Mungu ninani?
Injili ya kweli haitapotea hata waje wapotoshaji kiasi gani bado injili itasimama kikamilifu, balikiwa mtumishi Bwana Yesu akulinde.
❤Mbarikiwa natamani na mm nijiunge nahilo kanisa maana nakufuatilia sana na maneno yako yananibariki sana.
Aminaa MUNGU akubarki san mtumishi mubarikiwe kwa mafundisho ama muongozo mzri ubarikiwe san
Mungu akubariki Mtumish wa Mungu.
Kwa sasa ni watumish wachache sanaa wanaweza kusimama katika kweli pasipo kuyumbishwa na dunia.
Hakika Mungu amekuita ili kunyosha na kudhirisha Kweli ya Mungu kwa gharama yeyote pasipo hofu.
Mungu akutunze Mtumishi Mbarikiwa.
Mungu akuinue
Amen 🙏 ubarikiwe Sana Mtumishi wa MUNGU
Kwelll mchungaji uko sahihi Mungu akulinde mm nasikia fulaha unavyo tufundisha kupitia kilip yako hata mm kupitia wewe Mungu alinisaidia hadi saiz nina fulaha na amani
Kanisa safi lisilo na mawaa tena lisilo madowadawa ndio Mungu hupendezwa nalo Mchungaji mbalikiwa mwakipesile wewe piga kazi ya Mungu farao na jeshi lake Mungu anakwenda kuangamiza
Hallelujah that is truth father
OOOooh hallelujah umeeleweka vema baba endelea kuwaambia watu makosa yao🙌🙌Uf 2:10
Yesu anataka watu kama awa watakaotuambia ukweri Mungu akulinde akubariki ipo cku kuvikwa taji ya uzima
Wambiye ukweli mchungaji Mungu akubariki sana
Amina baba haya maro yanaaribu uokovu baba simama tuko pamoja
Barikiwa sana Mtumishi wa Mungu hakika Mungu unayemtumikia atakusimamia mpaka mwisho.
Uko sasahihi Mchungaji. Mungu akutunze mtumishi
MUNGU akulinde na kukufunika kwa damu ya YESU mtumishi wa MUNGU, naomba ukiwa kwenye maombi nisaidie kuomba kwa MUNGU niishi maisha matakatifu maisha yangu yote nitakayoishi hapa duniani ndo kilio changu cha kila siku mtumishi
MUNGU akutie nguvu mtumishi wa MUNGU na Mungu akulinde
Hongera sana mtu wa Mungu, ninakuelewa sana ulicho nacho; una Mungu hakika! Mungu azidi kukuinia na kukupa ujasirisiku hadi siku.
maonyo haya yameiponya nafsi yangu JINA LA YESU LITUKUZWE
Ni kweli wengi nchi hii wanataka watu wenye kutenda UOVU. HAPO MESEMA KWELI
Barikiwa Sana mtumishi wa MUNGU 🤝♥️♥️♥️♥️
😢😢 imani ya ukristo inashambuliwa kweli kweli. Mungu atusaidie sana sana
Mtu wenyewe matunda ndo hupgwa mawe Sana. Kikubwa nikufulahitu na yesu
Mungu aliye hai Akubariki Sana Mtumishi wa Kristo Kwa kusema kweli yote,ewe shujaa🤝
Mtumishi wa Mungu Bwana atutetee kwa jinsi unavyowapa nondo hizo wamemfanya Mungu shemeji wao. Hawakuitwa na Mungu Bali wamejiita au kuingizwa na Wakuu wao wa Giza.Huyu Mchungaji hana roho wa Mungu.
Amina baba, ninabarikiwa sana na huu ujasiri... MUNGU nisaidie 🙏🏼
Nimekupenda bule❤
Asante ubarikiwe sana,kweli itatuweka uru
Ubarikiwe sana unanena mema bwana yesu akulinde na mahadui wate❤❤❤
,Pst.,Mbarikiwa 🔥🔥
Mungu Akutie Nguvu sana Mtumishi wa Mungu MBARIKIWE.
Amina Baba ❤❤,Hii ndo sauti ya mtu aliae toka Gerezani inyooshayo mapito
Mbarikiwa kweli wewe ni mtu wa Mungu barikiwa sana siku zote mti mwemye matunda mazuri hupigwa mawe endelea na injili Mungu yupo pamoja na wewe na wabaya wote hawataweza kwa uweza wa Mungu
Mungu akusaidie mtumishi wa Mungu. Kwakweli unaisema ile kweli ya Mungu
Mungu akubariki mchungaji mwakipesile mungu atakulinda uendelee kuulinda ukristo
Amina pastor
Huyu ipm ametoka kwenye dini ya majini na uongo sasa tabia hii inaonekana bado hajaiacha huo ujinga wa majoka ya huko alukotoka anataka kuuleta huku kanisani wala hataweza huku sio msikitini
Mungu akubariki na kukulinda, wachache wenyekunyoosha Wengi wanahubiri kujaza matumbo Yao na wengine wanahubiri kwa kuogopa mamlaka za Dunia hii