MBARIKIWA AMTETEA KIBOKO YA WACHAWI KUHUSU KUFUNGIWA KANISA? NINI ANACHOKITA KWA SERIKALI?

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2024

Komentáře • 146

  • @florencemushi6561
    @florencemushi6561 Před měsícem +6

    Ahsante Mbarikiwa. Huyu mgeni angeitwa aelekezwe kwa sababu ni dhahiri hajui details.
    Kihaki kuna mtu kupewa onyo hata mara mbili.

  • @PriscaNzegenza
    @PriscaNzegenza Před měsícem +8

    Unafiki utakumaliza wewe falisayo omba Mungu akupe upako watu wataka injili yenye. Udhihirisho siyo harakati

  • @WinifridaNshunju
    @WinifridaNshunju Před měsícem +3

    Ubilia watu waokoke cyo kuzungumzia wenzio unanikera sana kiroporopo ww tuu unafiki ww tuu roho baya ni ww tuu uzalilishaji ni ww tuu mungu akupe hekina ya kimungu ili uweze kunene yaliyo mema

  • @MSELAWAYESU-ld1oh
    @MSELAWAYESU-ld1oh Před 16 dny

    Huyu pasta.namwelewa sana.anajilipua sana.na ukweli unamgharimu sana.ila ukweli utabaki ukweli tu.Ubarikiwe Baba.Meseji Senti.Mungu na akulinde.umeanzisha vita kubwa sana.

  • @RashidNgunyale
    @RashidNgunyale Před měsícem +2

    Mtumishi wa Mungu tunakuamini sana kufutwa au kutofutwa SI msingi wa utumishi Imani unayo itetea SI Imani Bali ni uovu usipoteze muda nyakati hizi za uovu tuwssaidie tutashindaje nyakati hizi za uovu

  • @user-ic4cg5fx2f
    @user-ic4cg5fx2f Před měsícem +3

    We achana na Mwamposa kwani Mwamposa analazimisha?? si unanunuwa mwenyewe tu!!! mnafiki tu.mwamposa Oyeeeeeee na Hakuna wa kutufungia Arise and Shine.

  • @user-fi6kz8lk7u
    @user-fi6kz8lk7u Před měsícem +2

    We mtu acha usumbufu bhana usituchoshe na porojo zako! Hongera serikali Kwa uamuzi mzuri

  • @HappyEquestrianHelmet-iw5co
    @HappyEquestrianHelmet-iw5co Před měsícem +1

    Serikali msiwapevibali wanamaneno ya kutisha mara humaliz siku tisa asante

  • @RizikiShayo-h4e
    @RizikiShayo-h4e Před 24 dny

    Amina

  • @JoshuaIjengo
    @JoshuaIjengo Před měsícem +3

    We mchungaj sasa unahubiri nini kwa watu wako mbona sikuelewi kichwa cha somo hapo ni nini?

  • @NabiiMwita
    @NabiiMwita Před 25 dny

    Subiri yesu anakuja

  • @elishaLukumay-ug4fx
    @elishaLukumay-ug4fx Před měsícem

    Sasa Mtumishi unapataje ujasiri ya Unaunga uharamu huo ya Kuhubiri Kuzimu mkono,badala yake kushukuru serikali kwa walichofanya,je kama wapo wengine ambao wapo kama huyo Si ungetoa hoja kwamba serikali chunguzeni na huyu ,duuuu Watumishi Mungu Anawaona😢😢😢

  • @OmarOmar-vf9dv
    @OmarOmar-vf9dv Před měsícem +1

    Ukwel mtu unenayoo japo wengi wetu Ni viziwi na vichwa vigumu

  • @HeppyRafaeli
    @HeppyRafaeli Před měsícem

    Baba yetu Mbarikiwaaa na jina lako! Mungu akubariki sana Kaka yangu. Uko sawa sanaa Dogo wetu wanamuoneaaa sana. Wapo wanaomuonea wivu kisa anajaza Waumini. Lazima ajaze wanamkubali anhekuwa mmbaya hakuna mtu angekaa kanisani

    • @FrancoiseMashimango
      @FrancoiseMashimango Před měsícem

      Ubarikiwe sana baba, mbarikiwa wewe uwa na kupenda sana kwa sababu ndani yako uwangi mnafiki, ila watanzania wote wengi wao ni wana fiki. walimfungiya kwa sababu ni mcongo kwa sababu wako wengi wachungaji Tanzania ni matapeli tena majambazi sugu lakini mpaka sasa wako a makanisa yaho awaja fungiwa. Poleni sana kwa wa Tanzania kwa izoroho zenu za ukaidi na ubaguzi

  • @hidayambega5127
    @hidayambega5127 Před měsícem

    Hilo Nikweli kabisaa wamemuonea kaka wa watu

  • @user-ox6rb3wj5w
    @user-ox6rb3wj5w Před 16 dny

    Jamani imeandikwa njia Ile ni nyemba mba Bali Ile ya uzima ni ya uzimani,

  • @mr.sangaellies5110
    @mr.sangaellies5110 Před 29 dny

    Tangu nimfahamu mbarikiwa mdomoni mwake jina la mwamposa ni kubwa kuliko kulitaja jina la Yesu

  • @hidayambega5127
    @hidayambega5127 Před měsícem

    Lkn pia kila jambo lina mwisho huwezi jua chini ya kapeti kulikua na nn

  • @FanuelMsingi
    @FanuelMsingi Před 24 dny

    Kaka mhubiri Yesu acha kupambana na huduma za watu

  • @HappyEquestrianHelmet-iw5co

    Kuliko kwenda kuchanjwa chale bora upako buku laklo la mafuta na maj sbb ya. Urofa

  • @HamadAdam
    @HamadAdam Před měsícem +4

    Jodevi, mwamposa, kuhani Musa, suguye, gwajima, kakobe, mallisa, Joakim kimanza, mzee wa upako wote hawa ni matapeli hakuna mungu hapo. Ni wafanyaniashara waliojificha kwenye kanisa kutapeli na kuibia watu.

  • @HappyEquestrianHelmet-iw5co

    Namshangaa sana mbarikuwa u gejua asili yako ungenyamaza din biashara upagani nao din usimguse buldoza anajesh kubwa litakumeza utajuta

  • @zuwenasalim2794
    @zuwenasalim2794 Před měsícem

    Mbarikiwa hubir neno la Mungu acha mengine yakupite kila ck wewe nikuwasema hawa watu mm naona uache fanya yako hiz kaz tuwaachie wanasiasa

  • @RehemaKasanga-vu5nj
    @RehemaKasanga-vu5nj Před měsícem

    Waacha Hao ni Majembe ya Mungu wambinguni Mwaposa Suguye Acha kuchokoza vita na Mungu wewe hubili unacho kuweza Habali za mafunue ya Watumishi wezio Hayakusu Mwachie Mungu Aliye wapa hayo mafunuo Kikubwa Tu watu tunapona kutumia Maji ya upako mafuta ya mpenyo Maji ya ubavuni mwa Yesu Kristo Bac wewe Piga kelele weee Hatukomi Kwenda Hadi Yesu Kristo nimerudi

  • @EdiltrudesMbonde
    @EdiltrudesMbonde Před 12 dny

    Basi itakuwa na Mbarikiwa nae ni rafiki wa yule Mchawi

  • @HappyEquestrianHelmet-iw5co

    anahoji shanga ushoga
    Mbele ya kadamnas kiboko umejisau

  • @HappyEquestrianHelmet-iw5co

    Sura mbaya et nabii hendsam boy. Unajiamin usipake mkorogo wala siyo uongo hujasingiziwa na yule wazir jee manabii wote wapiga ramli alafu wanapiga vita waganga nakubali simliz ya mchungaji filipo

  • @dorotheachami4044
    @dorotheachami4044 Před měsícem +1

    Hubiria watu Neno la Mungu Mchungaji

  • @angelyolam9528
    @angelyolam9528 Před měsícem

    Mungu tusaidie huko duniani wanapeana sumu kanisan wachungaji wanatoa sumu kywani mwao twende wapi sasa ili tupate pumnziko? Ya watu wanapoona haya mnawachangaya hawajui wafiate yupi? Tazama hata waganga wa kienyeji wewashimda ninyi watu wa mungu?
    Wako kimya na shetan wao, kwakelele hizo mungu hapendi, na kwa sasa hakuna hekima ya mungu bali ni wivu wa sadaka

  • @naomifrancis631
    @naomifrancis631 Před měsícem +1

    Mwamposa anakunyimaga usingizi sana mr kigeugeu!😄😄😂

  • @HappyEquestrianHelmet-iw5co

    Mbarikiwa funga kalomo huon haya unamtetea mtu ambaye anavaa glops mkonon kaungua na mkorogo anahubir pumba neno gan linaruhusu kuharibiu ngoz shenz kabisaa😅

  • @PeterMahona-zd3oz
    @PeterMahona-zd3oz Před měsícem +1

    Nikweli. Mfungie nahao wegine

  • @HappyEquestrianHelmet-iw5co

    Serikali nimekubalu sana kuona jicho la pili asirud kabisa na majitapo yake kaz kupiga vijembe watumish wa mung yy ndy zaid umeona kutozahad milon tano wenye magar ndy fahar yako acha tamaa mbaya acha tamaa mbaya

  • @maswamills3161
    @maswamills3161 Před měsícem

    Huyu Kama hatumii gongo,labda anakula UNGA,hayuko sawa kabisa.

  • @HappyEquestrianHelmet-iw5co

    Anatafunwa na dhulma ya jasho la wanyonge

  • @AishaShaban-x4m
    @AishaShaban-x4m Před měsícem +1

    Kweli wamemuona

  • @HappyEquestrianHelmet-iw5co

    Serikali yamwamposa kampontya mwanangu kupitia redio kaharisha shanga bure usiogope amini tena mtoe mwamposa mdomoni

  • @PauloMwitawaingari
    @PauloMwitawaingari Před měsícem

    Serekali haina dini ,je imejuaje kwamba yuko kinyume na dini ya kikristo ,pili inaingilia je mambo ya dini ,wamuache maana sasa ni kuchagua ,maana injili ya kweli inahubiliwa lakini watu hawaitakii ,mbali wanashangilia mazingaombwe ,uwafanyeje waachwe ,watakutana na mwokozi ndipo watakapojuta na kushangaa .

  • @FelisterLigazio-mw3hh
    @FelisterLigazio-mw3hh Před měsícem

    Duh! Mbarikiwa sasa sikuelewi

  • @HappyEquestrianHelmet-iw5co

    Ww baba umepewa rushwa na kibokoo acha ukuda

  • @GracSiwale
    @GracSiwale Před 27 dny

    Hubirini injili umbeya hauna sit kwenye safar ya mbngum

  • @NeemaChawala-kz2ob
    @NeemaChawala-kz2ob Před 26 dny

    Mbona wenzako hawakusemi muache mwamposa wivuhuo

  • @HappyEquestrianHelmet-iw5co

    Acha unFiki wwbaba mwamposa hana hayo kiboko anadhalilisha manabii wote wa mchongo ni waganga wa kienyeji

  • @FlorahKafwila
    @FlorahKafwila Před měsícem

    Me naweza nikasema wew ni mvivu wa kumtafta Mungu na ndo maaana umekaa kuwasema wenzio na wanao kukusikiliza ndo maana na wao wamekaalia majungu tu

  • @RehemaKasanga-vu5nj
    @RehemaKasanga-vu5nj Před měsícem

    Aisee Kutetea Kiboko ya wachawi hatukatai lla usiongelee na wengine Mbona Watumishi Mmejawa na chuki na wivu hivyo

  • @HappyEquestrianHelmet-iw5co

    Siku zote baya moja hufunika maxuri yote

  • @StellahMsyani
    @StellahMsyani Před měsícem

    Mweee mwakipesile haeleweki amesimamaje na Mungu anaemtumikia Jamani nyeee

  • @HappyEquestrianHelmet-iw5co

    Tusiogope amini tena mwamposa msimguse kabisa

  • @HappyEquestrianHelmet-iw5co

    Unadhani ingekuwa mranzania ndy kafanya hayo kongo waas wangemmaliza arud kwa wako gowanaijeria matapeli tz tu amke bigapserikali

  • @StanleyVitus-yy4ed
    @StanleyVitus-yy4ed Před měsícem

    Wewe na hao wengine moto unawahusu

  • @HemediSalumu-d7k
    @HemediSalumu-d7k Před měsícem

    Tuna muomba rais Samia suluu amfungulie nabii kiboko ya wachawi

  • @user-vx7cj8ln4p
    @user-vx7cj8ln4p Před měsícem

    😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢sisi tunalia tu sana

  • @FanuelMsingi
    @FanuelMsingi Před 24 dny

    Nasema hubiri injili achana na watu

  • @gloryjulius2665
    @gloryjulius2665 Před měsícem

  • @maswamills3161
    @maswamills3161 Před měsícem

    Wivu utakuua mchana kweupeeeee.

  • @HappyEquestrianHelmet-iw5co

    Nabii gan anahasira mama samia usikubali mke wake amfuate kongo k

  • @dorotheachami4044
    @dorotheachami4044 Před měsícem

    Mbona wakristo mnapigana vita wenyewe.duu acheni haya mambo

  • @sabinaboas6760
    @sabinaboas6760 Před měsícem

    Acha unafiki hubiri neno la Mungu,unatutia aibu wakristo loo,mwili wa kristo ni mmoja,acha kelele km kichaa,kasome biblia mbaguzi mkubwa wee una wivu na roho mbaya,acha fitina,mnatutia aibu sana wakristo,acha ushetaniiii

  • @Bless-sk8uv
    @Bless-sk8uv Před měsícem

    Yani huyu.mchungaji ana tatizo fyuuuu ila mwamposa hua anakunyima usingizi sana na bado atakunyima hadi kunya😅😅😅

  • @HappyEquestrianHelmet-iw5co

    Wiz mtupu

  • @HappyEquestrianHelmet-iw5co

    Mwanzo alikwenda sawa kajisahau na ulinz bod gad mh nenda kongo uwe rais

  • @PerepetuaMasanja
    @PerepetuaMasanja Před měsícem

    Tuachie baba yetu kuhani musa baba lao

  • @OLIVERMBWILO-fx6cy
    @OLIVERMBWILO-fx6cy Před měsícem

    Kazi ipo sio kw mgongano huu mmh

  • @HappyEquestrianHelmet-iw5co

    Wivu atamfikia mwamposa ,suguye kuhan musa ni madharau ya kiboko hana siri ww mwehu et

  • @user-mn2hb7xt9k
    @user-mn2hb7xt9k Před měsícem +2

    Unapepo ww

  • @fridamwakipamba4292
    @fridamwakipamba4292 Před měsícem

    Mbarikiwa acha mawenge kama nguvu ya Mungu huna kauze makatapera tukuyu.😂😂😂😂

  • @HeppyRafaeli
    @HeppyRafaeli Před měsícem

    Kama kumuona pesa mnaona ni kubwa hajalazimishwa mtu kwenda ! jamani!

  • @HappyEquestrianHelmet-iw5co

    Chokoza vita kwa mtume mwamposa na suguye nadhan umerogwa injili imevamiwa

  • @rockcitynative9985
    @rockcitynative9985 Před měsícem +1

    Uko sawa.

  • @hellenanzowa7589
    @hellenanzowa7589 Před měsícem

    Huyu anahangaika na makanisa ya wenzake alafu anajita mchungaji fata yako acha kuwasema watu roho mbaya tu

  • @EdwardZakaria-z8q
    @EdwardZakaria-z8q Před měsícem

    Wotehao niwachawi wote wafungiw

  • @SalomeJackson-c1y
    @SalomeJackson-c1y Před měsícem

    MIMI NI MUUNI WAKWE MUNGU NITUMAINI LANGU. KIUKWELI WA MUNGU HUYU MBARIKIWA NILIKUWA NAMUELEWA SANA LAKINI SASA ANABADILIKA SANA ROHO WA MUNGU AMEMTOKA SIKU HIZI AMEKUWA MNAFIKI SANA.

  • @user-eg3fg3ic9q
    @user-eg3fg3ic9q Před měsícem

    uyu kwanini asirudi jera manake mdomo wake umezid ulivomzidi kumsema mwamposa umenikela kuhani musa nae afungiwe mwamposa hana mambo hy

  • @fortunataandengenye8704
    @fortunataandengenye8704 Před měsícem +1

    Duuuuuuuu, Mtumishi wa Mungu ninakupenda natamani usiongelee haya humu kwenye mitandao

  • @IreneUrio-r2k
    @IreneUrio-r2k Před měsícem

    Acha na kuhani Musa! Wewe ingia kwenye kumi na nane zake kama hujatolewa nje dk 90 mchezo unaisha

  • @majaliwamsigwa6206
    @majaliwamsigwa6206 Před měsícem +1

    Hilo ndo somo la leo

  • @user-wu5bo5cx3n
    @user-wu5bo5cx3n Před 15 dny

    W

  • @MaryMwenda-k4i
    @MaryMwenda-k4i Před měsícem

    Wakristo tupendane ili tumuone mungu

  • @MwanaidhMary
    @MwanaidhMary Před měsícem

    Wewe mtumishi wamungu mda gani unaponya watu mda mwingi unabishana tuu vipi mtumishi mwamposa babalao mponyaji wa.kweli anamaneno bali anaonyesha vitendo tuu

    • @zawadimwaibako4065
      @zawadimwaibako4065  Před měsícem

      @@MwanaidhMary njoo uone alivyotuponya zaidi ya nyie mnao piga lamli chonganishi

  • @user-px4ld1mp9r
    @user-px4ld1mp9r Před měsícem

    Mchochezi mkubwa huyu baba.. Moyo wake umejaa chuki... Uchonganishi serikali na watumishi wa mungu......

  • @user-tt1nm9xs4n
    @user-tt1nm9xs4n Před měsícem

    Kiboko wachaw anashilikiana na serikali Sana kawapa polis gar kagawa madawat kajenga barabara buza kagawa majiko ges mamablishe wajane kawapa mitaji hio sio connection

  • @user-ux3jl9cl4w
    @user-ux3jl9cl4w Před měsícem

    Pambana na ari yako unapenda kufatilia yawenzako

  • @AbuuSwafwaan
    @AbuuSwafwaan Před měsícem +1

    Nyinyi mshaumia na dini yenu ya mchongo

  • @hafsalucky1088
    @hafsalucky1088 Před měsícem

    Kwa hiyo mwamposa awe anakojoa kwenye chupa ili atoe Bure? Mbarikiwa unazengua, Unaongea TU umefatilia kwa kina sababu za kufungiwa kiboko ya wachawi? Issues sio maji Wala mafuta, We una wivu, Wtz hatuna Ubaguzi Kiboko ya wachawi Kuna Mambo kidogo arekebishe.

  • @joycefrances4516
    @joycefrances4516 Před měsícem

    Nawewe ni MTU wa kuzimu,ndio maana wachawi wenzako wakikamatwa unapiga kelele,Freemason we we,koma kuchafua watu,shoga wewe😊wewe

  • @MbarikiwaKilumile
    @MbarikiwaKilumile Před měsícem

    Mmh

  • @StanleyVitus-yy4ed
    @StanleyVitus-yy4ed Před měsícem

    Matapeli waakubwaaa nyie

  • @HeppyRafaeli
    @HeppyRafaeli Před měsícem

    Farisayo mwenyewe inawezekana huna hata dini ni Mpagani. Unachofurahia Injili kufungwa umepata nini kama sio ushetani yu na giza la moyo

  • @fediliaulomi4969
    @fediliaulomi4969 Před měsícem

    Kiboko afunguliwe acheni uonevu tanzania

  • @DianaLyimo-be7yp
    @DianaLyimo-be7yp Před měsícem

    We nimlaaniwa sio mbarikiwa

  • @MichelOmbaOKITO
    @MichelOmbaOKITO Před měsícem

    WEYE MWAKIPE SILE MIMI MIMU GANGA APA CONGO LUBUMBASHI MUTOTO WAKO ANA SEMA KAMA KIBOKO YAWA CHAWI DOMINIQUE APELEKE AMANI CONGO KWENYE KUNA VITA

  • @HeppyRafaeli
    @HeppyRafaeli Před měsícem

    Wamrudiahie huduma yake ili Mungu afurahie. Kama Mungu tunamkosea lakini Anatusamehe wanaofurahia Watu wa Mungu kunyanyaswa hao hawana Mungu alie hai ndani mwao. Barikiwa Baba Usiohope Nabii wetu Dominic bita vya duniani vya wachawi

  • @gloryjulius2665
    @gloryjulius2665 Před měsícem

    Wakristo wapendane bana

  • @user-wi8og3sv4j
    @user-wi8og3sv4j Před měsícem

    Hawauzi ushahidi unayo?

  • @EzekiaNgimba
    @EzekiaNgimba Před měsícem

    Uyu bwana ni wivu unamsumbua

  • @renatus5687
    @renatus5687 Před měsícem

    Mwakipasile ana genge kubwa la watu wasio jielewa maboya kabisa

    • @zawadimwaibako4065
      @zawadimwaibako4065  Před měsícem

      Wanaojielewa huji kuwakuta wakihangaika kwa kucoment kwa watu wasiojielewa

    • @renatus5687
      @renatus5687 Před měsícem

      @@zawadimwaibako4065 nyny ni mazimwi ya mwakipasile tena mko kama misukule maana jamaa linawaendesha kama mbwa

  • @evamsuya8869
    @evamsuya8869 Před měsícem +1

    Mfungulieni kiboko wetu tunampenda

  • @user-wh9zj7kf7h
    @user-wh9zj7kf7h Před měsícem

    Nawewe ufungiwe

  • @IreneUrio-r2k
    @IreneUrio-r2k Před měsícem

    Wewe Bado ni mchanga wa Imani , kuhani Musa hafananishi na mtumishi yeyote , mafuta na mji yapo husomi. Biblia ndio maana , kuhani Musa ni mwonaji, natoa watu kwenye uchawi wewe mbona usifanye kazi anayofanya yeye tujue na wewe ni bingwa kama kuhani Musa!

  • @koniasalingo2165
    @koniasalingo2165 Před měsícem

    Sasa wewe hizo namba zanini hapo kama sio walewale