MAHOJIANO MAALUMU NABII KIBOKO YA WACHAWI USWAHILINI BUZA KWA LULENGE / KWANINI ANAOGOPWA NA WACHAWI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 7. 07. 2024
  • MAHOJIANO MAALUMU NABII KIBOKO YA WACHAWI USWAHILINI BUZA KWA LULENGE / KWANINI ANAOGOPWA NA WACHAWI
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm #trending #mswahili #virah
  • Zábava

Komentáře • 204

  • @lilianmnkondya150
    @lilianmnkondya150 Před 18 dny +4

    Amina Baba piga kazi umenisaidia sana Madhabahu yako ina nguvu🙌

  • @worth_monkey
    @worth_monkey Před 26 dny +18

    jamni umasikinii utatuburuzaa sisi wabongooo tutumie akiliiii hawa watu ni matapelii na washirikinaaaa hata kwa macho hatuoniii jamaniii dah

  • @user-ic8dz9mw7e
    @user-ic8dz9mw7e Před 7 dny +2

    Nakuelewa sana mtumishi Mungu akutunze

  • @renatuswilson1577
    @renatuswilson1577 Před 26 dny +9

    Huyu jamaa. Ukimzingatia na ukiwa na akili timamu utajua anamuabudu nani. Kama C3 huna hutonielewa. Mungu atuongoze.

  • @MulshiduYusuph-yw2os
    @MulshiduYusuph-yw2os Před 15 dny +3

    Nakukubali baba

  • @user-zu8ou2oe4c
    @user-zu8ou2oe4c Před 26 dny +4

    Nilichokuelewa ni kwamba ww ni tajiri wa moyo ndo mana una uthubutu wakutoa sadaka sanaa na ndo mana unatamani watumishi wako wajenge wawe na magari wasije pia na mashat yaliochanika god bless my broo

  • @sir_ENOCKMACHA
    @sir_ENOCKMACHA Před 26 dny +3

    Aisee nimesikiliza vizuri sana jamaa unajua kujieleza vyema una utaniutani kitu ambacho ni kizuri pia God bless all of us

  • @paulmushi2428
    @paulmushi2428 Před 26 dny +13

    Sokuona sababu ya muziki huo katikati ya mahojiano

  • @ElionaMbise
    @ElionaMbise Před 25 dny +2

    Mtu.wa.mungu piga kazi.mungu.amekupa Kibali.cha.kuwa.kiboko.cha.wachawi.hapa 🇹🇿

  • @wildlife5730
    @wildlife5730 Před 26 dny +9

    Wakristo tusome biblia vzr tusibebwe na huu upepo

  • @erickmsigala138
    @erickmsigala138 Před 25 dny +3

    Mimi ni Mkristo huyu jamii ni tapel wa kiroho hafai hata kusikilizwa kwa mtu anaye mjua Mungu lakini kwasababu ya ujinga wenu ataendelea kuwa ibia hana ukibo wowote

  • @matolasalumu2625
    @matolasalumu2625 Před 25 dny +2

    Mwizi tu kupitia imani ira mungu anawaona kazi ipo kwenye malipizo

  • @hajiramadhanihaji355
    @hajiramadhanihaji355 Před 26 dny +6

    Wacha uhuni wewe uchawi ndionini ? Yaani mzee wamiaka 70 akifa tayari ni mchawi ? Kweli?

  • @SalimSalimu-z5c
    @SalimSalimu-z5c Před 26 dny +10

    Dalili za kuchochea Ushoga kwa Huyu ??

  • @eunicekiilu7485
    @eunicekiilu7485 Před 5 dny +2

    Matapeli wapi nyinyi wivu tu ndo unawasumbua na mtu hayajawapata mtu siku akirogwa ndo atajua umuhimu wa kiboko ya wachawi 😭😭😏😏😏

  • @yukundapeter8200
    @yukundapeter8200 Před 26 dny +3

    Aamina sana Mtumishi wa Mungu.

  • @Tg.7_7
    @Tg.7_7 Před 26 dny +1

    This man Big Brain,🙌 mengine sijui nawaachie walimwengu!!😅

  • @PaulinaNyanzalashija
    @PaulinaNyanzalashija Před 25 dny +4

    Nabiii wote ni safi tu wewe unaeita nabii tapeli no moja ni wewe zungumza yako msiwachafue manabii wazuri wanasaidia sana

    • @user-hb7mq8lg9e
      @user-hb7mq8lg9e Před 25 dny +1

      Tapeli Mwingine😂😂😂😂

    • @shinshi9696
      @shinshi9696 Před 24 dny

      @@PaulinaNyanzalashija fala Paulina shija

    • @didasmajor9288
      @didasmajor9288 Před 20 dny +1

      Dada Mimi ni mkristo, nitafute tufanye maombi Mungu mwenyewe atuoneshe kipi ni kipi

    • @nantaembanusurupia5674
      @nantaembanusurupia5674 Před 19 dny

      Usijali roho mtakatifu atawashukia😊​@@didasmajor9288

    • @hebrontesha7184
      @hebrontesha7184 Před 13 dny

      Ni kweli kabisa huyu ni nabii ila wa uongo

  • @aishakambenga6191
    @aishakambenga6191 Před 26 dny +3

    Kuhusu vitambi nimecheka 🤣🤣Nakupenda ❤

  • @user-tm5ls1ml6d
    @user-tm5ls1ml6d Před 26 dny +3

    Wenye wivu acheni upuuzi hebu kuwen makini na maneno yake katika maisha yangu sikutegemea kuwakubali wachungaji ila kwahuyu kiboko acheni wivu.jaman pambaneni na hali zenu tunampenda huyu baba mie nipo oman namkubali kula tano👊👊👊👊👊👊👊👊👊👊💪💪💪💪💪💪💪

    • @shinshi9696
      @shinshi9696 Před 26 dny +1

      Utakuwa fala wa mwisho wewe. Nahisi mkeo na watoto wanatombwa na houseboy au housegirl wako jinsi akili zako zilivyo. ulivyoshikwa akili fala mbwa mzee wewe 😅😅😅

    • @zabibusaidi1404
      @zabibusaidi1404 Před 25 dny

      Uc ya nn kama mtu humuelewi kaa pembeni

    • @zabibusaidi1404
      @zabibusaidi1404 Před 25 dny

      Wazawa woote wa buza mpaka daladala zoote zimeneemekakama huku wai kufika kanisani kwake nenda kaone usithubutu kutukanavkabla magereza hospital polise kooote kapeleka magari namisoc

  • @shinshi9696
    @shinshi9696 Před 26 dny +4

    Huyu bishop anahitaji matibabu ya akili

  • @naturelle1097
    @naturelle1097 Před 22 dny

    Hapo kwa watumishi wako hawajapauka wala mashati yaliyo chanika nakupa pongezi..big high five!

  • @NelsonAlphonce
    @NelsonAlphonce Před 6 dny +1

    Jamaaa hafai hata kidogo mwanzo alianzaa vizuri amepata umarufu na kuanza kuvaa majoho ya freemason hapo kuanza kukejeri dini nakuanza kuongea utumbo

  • @nekaagripa3993
    @nekaagripa3993 Před 26 dny +6

    Watu 70,000 hivi anawajua? Means uwanja wa mkapa?? Watu bwana

  • @goldermeirshoo1228
    @goldermeirshoo1228 Před 25 dny

    Biggerup Mtumishi wa Mungu Dominiq, Mungu awalindee woote

  • @AliAli-n3k2f
    @AliAli-n3k2f Před 11 dny +1

    Huyo ni aina ya tajiri,,😂hawezi kutuharbu akili zetu imeishaaaa io

  • @user-zu8ou2oe4c
    @user-zu8ou2oe4c Před 26 dny +2

    Binafsi nilikuwa ckufwatilii kabsa lakn kws maelezo haya nahis kama naanza kukuelewa sanaaa sanaaaa sanaaaa nankukufwatilia umachosema ni kweli kabisa

  • @salomefaith2410
    @salomefaith2410 Před 6 dny

    Amewakosea sana wazee. Wananchi wenye umri mkubwa. Kwa hiyo waende wapi? Maana amegeneralise kuwa ni wachawi. Angesema baadhi yao. Na anataka kuaminisha umma kuwa hakuna vijana wachawi.

  • @chrisshonga
    @chrisshonga Před 4 hodinami

    Mashemasi zaidi uya 100 wanalipwa zaidi ya Wabunge duuuh! naomba nitumie application form please! Kkkkkkkkkkkk

  • @ElionaMbise
    @ElionaMbise Před 25 dny +1

    Nabii.nipo.harusha.nimefatilia maji na.tishet.sijawakuta.watendakazi.stedim arusha❤

  • @coolsinare8824
    @coolsinare8824 Před 23 dny

    kuna mambo kadhaa umeyasema nimefurah..moja wapo ni kuwa”utajiri wa kweli ni kile unachokiacha kwenye mioyo ya watu”ni ujumbe tosha na nadhan kwa hali ilivyo sasa watumishi wa Mungu,Raisi wa nchi na viongozi wake jalini sana mioyo ya wananchi mnaiachaje kutokana na nguvu za mamlaka mliyopewa na Mungu

  • @Commentsplus
    @Commentsplus Před 24 dny +2

    Yani hera Hera ndo neno Lake Kuu umakini uwepo wakati ukimsikiliza

  • @user-il5pk2dr5n
    @user-il5pk2dr5n Před 26 dny +4

    Tapeli wa kikongo huyu uhamiaji weka ndani wewe ndie mchawi mkubwa mshirikina wa kwanza kwanza ni mchochezi eti wazee wachawi imaana ata babu yako kule kongo ni mchawi eti tumepiga maombi wazee wamekufa sasa unawaponya watu au unaua watu mpigaji mkubwa..

    • @fatumatandika6220
      @fatumatandika6220 Před 25 dny

      Yaani anafurahi kuua wazee. Una uhakika gani Kama ni wachawi kuweni makini jamii

    • @GluckSifaeli
      @GluckSifaeli Před 20 dny

      watu wa mungu tusikilze sauti ya mungu tuu

  • @justusngonyani165
    @justusngonyani165 Před 21 dnem

    Mbingu si ya wakristo,bali ya waliookoka.Waliomkubali Yesu kuwa Mungu na mwokozi.

  • @ramadhanmahongole9293
    @ramadhanmahongole9293 Před 26 dny +2

    Najivunia sana kuwa mkiristo wa kikatoliki

  • @CamillahAdam
    @CamillahAdam Před 25 dny

    Mtumishi wa mungu 🎉

  • @hamadsheni8997
    @hamadsheni8997 Před 26 dny +1

    YEREMIA 50:6. YEHOVA ACMA KONDOO WANGU WANAPOTEZWA NA WACHUNGAJI WAO.

    • @AsiaShaban-zz4yr
      @AsiaShaban-zz4yr Před 25 dny

      Ana sifa huyo namajigambo mmh nilishatapeliwA pesa nyingi na mgonjwa broo hakupona fyuuuu anawapaga watu anaogea kwenye redio vinzur lkn ukienda kanisani anakuchamba wee sijawai onaa utakufa utaenda motoni kafiri wewe

  • @imanimahundi8293
    @imanimahundi8293 Před 25 dny

    Wagawanye tuwatawale.
    Shida ndio zinatusonga mpaka tusijue lakufanya EE mungu tujalie ufahamu

  • @johnmichaellukindo21
    @johnmichaellukindo21 Před 9 dny

    Nchi nzuri kuishi anasema Tanzania, sababu sisi mabumbu tunaibiwa tu!

  • @user-bs7dj7ps9g
    @user-bs7dj7ps9g Před 26 dny +3

    😂😂😂😂😂😂😂😂watu niwajinga sana

  • @justineswai5885
    @justineswai5885 Před 24 dny

    Wamejivika ngozi ya kondoo kumbe ni mbwa mwitu, ole wenu KRISTO YESU anarudi

  • @AhadiPromise-z3z
    @AhadiPromise-z3z Před 18 dny

    Nakukubali sana wataongea sana awakuwezi babaa wambie😂😂

  • @BonifaceOirere
    @BonifaceOirere Před 20 dny

    Hapa ni biashara na uganga Bali si injili ya kueneza ukombozi.Mungu akaokoe kondoo na mchunga wao

  • @wistonmajenda
    @wistonmajenda Před 9 dny

    Roho yang inaumia sana dada yangu alikuja kwako anaumwa umsaidie ukamwambia umpe million1 ndio umsaidie we sio nabii ww ni tapel tu

  • @lickumikidadi7630
    @lickumikidadi7630 Před 22 dny +1

    Aaaminaaaa

  • @abdull_hafidh
    @abdull_hafidh Před 26 dny +21

    Najivunia Sana kua Muislam maana nina uwelewa wa hali ya juu sana huyu jamaa ni tapeli tu na hao wote anaojifanya anawatibu anawapanga

    • @bobdelwinsky9363
      @bobdelwinsky9363 Před 26 dny +10

      Hauhitaji kuwa muislamu kujua uhuni wa mwamba. Hata wakristo wanajua mwamba ni msakatonge sheikh. Ni vile tunajivunia kuvumiliana na umoja ndio maana wahuni kama hawa wanaibuka kama uyoga. Sheria na taratibu za nchi zitakapobadilika kuwashughulikia hawa watu kihalali kama kutaifisha mali na kuwafunga watajifikiria sana.

    • @richardvallerian1003
      @richardvallerian1003 Před 25 dny +3

      Hauhitajiki uelewa wa juu kujua huyu ni tapeli, ni uelewa wa kawaida kabisa!

    • @stefanomasolwa8979
      @stefanomasolwa8979 Před 25 dny +4

      Weslam nao wanachanga moto yao acheni unafki nyinyi Weslam huku unajiitq Mweslam baadaye unaenda Gest kufirwa mkunduni

    • @stefanomasolwa8979
      @stefanomasolwa8979 Před 25 dny

      ​@@bobdelwinsky9363 ubarikiwe kakangu unasema ukweli kabisa Yani nahitaji Serekali iwashike handi Ndani hata myaka 10 kumi tu watanyooka kweli kweli

    • @JaneChissawilo-dr7nn
      @JaneChissawilo-dr7nn Před 25 dny +1

      Wee ni mwanga TU umepangwa na shetani na wewe!

  • @TangaMashewa-qe8kk
    @TangaMashewa-qe8kk Před 26 dny +2

    UJINGA MTUPU NENDA KAJITANGAZE KUA WEWE NI KIBOKO YA WACHAWI TANGA AU SUMBAWANGA VIJIJINI ACHENI UJINGA dar Kuna wachawi hizo ni biashara za utapeli wahuni nyie

  • @michaelmbeti5040
    @michaelmbeti5040 Před 17 dny

    Naomba mwili upoe kwa nguvu sana

  • @mulashanibrasio8151
    @mulashanibrasio8151 Před 26 dny

    Niçe interview, May God bless you

  • @bobdelwinsky9363
    @bobdelwinsky9363 Před 26 dny +1

    Msaka tonge muhuni na Mhuni makini

  • @Nicaonlinetv7324
    @Nicaonlinetv7324 Před 18 dny

    Hapo pa kuwapenda mashemasi na wahudumu nimekukubali, mtu huwezi kuwa mbaya kwa nyanja zote.

  • @andrewkamese8492
    @andrewkamese8492 Před 26 dny

    Kama umeshinda jaribu la pesa basii nabii kiboko Sio mtumishi wa mchezomchezo!

  • @RichVoicetz-z9r
    @RichVoicetz-z9r Před 24 dny +1

    yanii mtu anatoka kongo anakuja Tanzania kuchoma wazee wetu kwamba ni wachawii

  • @djumakadege659
    @djumakadege659 Před dnem

    Mheshimiwa Zembwela vipi unapoteza muda wako kuhojiana na mtu kama huyu! tafadhali utapoteza heshima katika jamii inayokueshimu.
    huyu mtu anaongea nini hapo.
    hapa tanzania siyo Kongo. watanzania ni waungwana.
    anatukana viongozi wa dini ya kikristo mchana kweupe mnamwacha hivi hivi.
    Nani mkristo kutoka tanzania anaweza kwenda kusema maneno kama anayosema huyu na akabaki salama!
    tanzania mkiruhusu kuchezewa kiasi hicho !
    MwenyeziMungu atawashushia nakama.

  • @Commentsplus
    @Commentsplus Před 24 dny

    Huyu ni muhalifu!!! Ila inabidi uwe na elimu ya #cuba

  • @jumarajab5316
    @jumarajab5316 Před 26 dny +2

    mbona anaongea tu bila kuulizwa

  • @omarally5460
    @omarally5460 Před 23 dny

    Hii issue ni mtambuka, Jamaa kaanzia kuziba midomo watendaji wa chini wa Serikali na Jeshi la police, Ni Ngumu kumchukulia hatua zozote,, Inahitaji maamuzi magumu sana. 🤔🤔🤔

  • @emanuelnjiku7354
    @emanuelnjiku7354 Před 26 dny

    Sikiliza rafiki katika bwana katika Yesu kristo nikwambie tu dini wala madhehebu sikitu mbele za mungu wetu kilicho bora kati yetu ni kumjua mungu kikamilifu ili katika yeye tumlaki mwokozi mawinguni. Wasikutishe na misaada yao kwa jamiii maana walio wa shetani wanajua kutoa sadaka kwa shetani kuliko hata watu wanao mcha mungu na wanajua kuongea ukiwasikiliza unajua wanaroho wa mungu kumbe ni chenga

  • @democritenzoisaba9117
    @democritenzoisaba9117 Před 26 dny

    Nabii yupo vizuri aendereza huduma hiyo haina upinzani?

  • @user-hb7mq8lg9e
    @user-hb7mq8lg9e Před 25 dny

    We Mkongo TAPELI..Kawaombee Watu Wako Wanauwawa Na Madin Yanaibiwa 😁😁😁

  • @ramadhanmahongole9293
    @ramadhanmahongole9293 Před 26 dny

    Kwaiyo hizo sadaka umeona uwape bodaboda wenye kipato kuliko kuwapa wasio jiweza Kaya maskini, magereza na hospitalini

  • @AberhartNdauka-nu3do
    @AberhartNdauka-nu3do Před 24 dny

    We msenge kweli tapeli mkubwa kabsa

  • @warakawayohana2896
    @warakawayohana2896 Před 25 dny

    Kiboko ya wachawi nimependa hilo jina. Wachawi niwakuchapa sana

  • @mbarukumakakala4895
    @mbarukumakakala4895 Před 26 dny +1

    Uyu ni mkongomani kamata rudisha kwao

  • @ramadhaninyangasa7275
    @ramadhaninyangasa7275 Před 26 dny

    Mungu wenu alikua analindwa na panga

  • @ibrahimaziz7158
    @ibrahimaziz7158 Před 26 dny +1

    Ni mupango wa ubunge

  • @AbelsonGidion-vo1uj
    @AbelsonGidion-vo1uj Před 26 dny +1

    Amna k2 apoo

  • @worth_monkey
    @worth_monkey Před 26 dny +5

    watuu mbona hamfungukiii akili zenuuu huyu ni tapeliii jamaniii fungukeniiiii

  • @salomefaith2410
    @salomefaith2410 Před 6 dny

    Huyu mkongo arejeshwe kwao kongo. Hatutaki alete maafa ya shakahola

  • @dianaemmanuel3471
    @dianaemmanuel3471 Před 26 dny +1

    Baba Niko mwanza nataka kuzulumiwa asilimia zangu za uchimbaji wadhahabu Niko mwanza baba nisaidie

    • @shinshi9696
      @shinshi9696 Před 26 dny +1

      Tafuta mwanasheria haraka na acha kujilengesha laa sivyo utatapeliwa na utalia zaidi. Pole sana

    • @HangiMakina-wf8hw
      @HangiMakina-wf8hw Před 26 dny

      Mgodi gani huyo kunajamaangu anaweza saidia

    • @NelsonAlphonce
      @NelsonAlphonce Před 6 dny

      ​@@shinshi9696mwambie atume laki Tano Mimi ni msaidizi wa kiboko ya wachawi hatazurumiwa tena

    • @NelsonAlphonce
      @NelsonAlphonce Před 6 dny +1

      Tuma kwanza sadaka ya laki Tano nitakuombea mi msaidizi wa kiboko ya wachawi .

    • @shinshi9696
      @shinshi9696 Před 6 dny

      @@NelsonAlphonce 🤣🤣🤣

  • @wizebiligetwaziri5540
    @wizebiligetwaziri5540 Před 27 dny +6

    Alafu utasikia mpuuzi mmoja ana sema unatumika nashetani ukimuuliza ulifunuliwa nanani anakusomea andikotu lisemalo "watajitokeza manabii wauongo " shida yabongo wajuaji wengi

    • @EllyMoshi-vd9ds
      @EllyMoshi-vd9ds Před 27 dny +3

      Wewe utafurahishwa😂 tulia na ubishi wako unapenda kuombewa eee

    • @mobilebeats3086
      @mobilebeats3086 Před 26 dny +2

      Anapenda kuombewa huyo haelewi mtandao unasumbua kama angeielewa biblia asingeongea utumbo uo

    • @kutailass6671
      @kutailass6671 Před 26 dny +2

      Kwan uongo? Hakuna nabii zama hiz wote matapel tu washirikina tu

    • @designdesign4426
      @designdesign4426 Před 26 dny +1

      inaonekana akilizako nifupisana naww unategemewa kua nafamilia polesana

    • @mobilebeats3086
      @mobilebeats3086 Před 26 dny

      @@kutailass6671 hayo umesema wewe

  • @user-uy5nx1bj5r
    @user-uy5nx1bj5r Před 25 dny

    Hii move mwisho wake tutauona

  • @YustaMfugale
    @YustaMfugale Před 25 dny

    Pastor anaway yake imetulia awee not this in God's Kingdom 😢

  • @jumapiliissa4835
    @jumapiliissa4835 Před 25 dny

    😂😂😂😂 Watuwangu wana angamia kwa kukosa maarifa poleni sana kondoo wake

  • @johnnkelebe7360
    @johnnkelebe7360 Před 24 dny

    Natamani niende hata leo kwa huyu nabii.

  • @memehhhahshshdhdhd
    @memehhhahshshdhdhd Před 26 dny +1

    Hivi wachawi ni wazee tu peke yao?
    Hata watoto,vijana wapo wachawi

    • @shinshi9696
      @shinshi9696 Před 26 dny

      Thank you for this comment aisee. Pastor huyu ni kama anacampaign dhidi ya wazee maskini angekuwa nnchi niliyopo leo hii angelala jela for hateful speech.
      Pastor amejichubua hadi akili coz he is so stupid. hivi life expectancy ya nnchi maskini na familia maskini ni umri gani. Na wachawi vijana jee?

  • @melanialeonard4031
    @melanialeonard4031 Před 25 dny

    Huyu mtu hauhitaji udhahidi kuwa ni muongo huwenda kajijazia misukule pale sisi tunaona ni watu

  • @musamusa6374
    @musamusa6374 Před 25 dny

    Watu 70000 unajua ni zaidi ya watu wanaoingia kwa mkapa

  • @RichVoicetz-z9r
    @RichVoicetz-z9r Před 24 dny

    unakuta limtu lizima limekaa kanisani ni kusema amenii ameniii shenzi na nusu

  • @barakamanga5502
    @barakamanga5502 Před 25 dny

    Mmmmmmmh

  • @barakanatus5676
    @barakanatus5676 Před 23 dny

    Uyu jamaa kweli anaongea kweli

  • @julianusjameskimodoi4186
    @julianusjameskimodoi4186 Před 26 dny +1

    Wote nyiei ni iwezi tu

  • @zuwenasalim2794
    @zuwenasalim2794 Před 26 dny

    Safi sn umetengeneza urafiki mkubwa mno na bodaboda,

    • @LuckyTemu
      @LuckyTemu Před 26 dny

      Kumwaga hela ndo kumpa m2 hela😅

  • @NdekejaKamuli-sh5pe
    @NdekejaKamuli-sh5pe Před 26 dny

    Mmmh mbona kama nimeanza kukuelewa mtumishi

  • @VeronicaRugoyi
    @VeronicaRugoyi Před 24 dny

    Hujui kusoma hata picha huioni

  • @user-nl9xe5bu1x
    @user-nl9xe5bu1x Před 26 dny

    Ile ni pesa Yako au ni , ?

  • @mbarukumakakala4895
    @mbarukumakakala4895 Před 26 dny

    Sasa unasema mtu mwenye kitambi hana yesu kwa sababu yesu akuwa na kitambi mbona yesu akuwq na pesa ww pesa unatoa wapi pia yesu akuoa ww kwann uoe umejipiga mkorogo umenyoa wey mmh

  • @user-sj3wf5vz7l
    @user-sj3wf5vz7l Před 25 dny

    Mwacheni afanye kazi yake. Msihukumu. Hiyo siyo kazi yetu. Unahukumu kuwa huyu ni tapeli. Je wewe ni nani? Ulishajichunguza tabia yako je upo salama

  • @user-do1xs4om1b
    @user-do1xs4om1b Před 26 dny

    Ndo maana ccm chama tawala imetulia kwa maana ya kwamba wana muunga mkono huyu jamaa wanapata maslah.

  • @barakamanga5502
    @barakamanga5502 Před 25 dny

    Someni bible

  • @frankdaniel8010
    @frankdaniel8010 Před 4 dny

    Pambana mtumishi

  • @igurusitv6553
    @igurusitv6553 Před 25 dny

    Atuambie amepata wapi hela?

  • @irenemuro5077
    @irenemuro5077 Před 21 dnem

    Jamaa muongo sana, hakuna mwenye ufahamu na uwelewa wa Aliyeumba wote, vyote na yote atakaye mwelewa huyu jamaa inaonyesha dhahiri kuwa yuko nyuma ya Pazia laaa!!!!😏

  • @deejeydaev
    @deejeydaev Před 26 dny

    Shemasi aliye pauka pauka hahahah

  • @CHAMSATV
    @CHAMSATV Před 25 dny

    NENO LANGU ;TUMCHE MUNGU NDIYE ANAYE JUA KESHO YA MWANADAMU

  • @BongoflevaHits
    @BongoflevaHits Před 24 dny

    Tapeli la kikongo

  • @nickb3289
    @nickb3289 Před 26 dny

    Koboko ya wachawi

  • @rahabmausli4183
    @rahabmausli4183 Před 6 dny

    Muogo Kiboko Ya Wachawi 🫣unawapatia Kisha Sinakurudia unasema watoe Sadaka kilamutu erufukumi Mungu alisema chochote ukonacho utoe lakini Yeye lazima utoe vile Yeye Anataka
    Anatagaza tutoe Sadaka ya kwanza 20.000- ya pili 10.000 yatatu 5.000- That Is Business my my friend😳👎👎chako kikomotoni😳🤔

  • @YunusiAthuman-ep5mc
    @YunusiAthuman-ep5mc Před 25 dny

    Huyu jamaa ni muongo sana anataja namba ukipiga hapokei kumbe wanapangwa wakupokea

  • @KaguluZuu
    @KaguluZuu Před 23 dny

    Nasisi waislam tunawo mataperi kama huyu baba acheni kulaumu ukiristo biblia ilisema manabii feki watajitokeza wakiristo wanaojielewa huwakuti kwa huyu jangiri hata siku moja.sijui serikari iko wapi kanisa uchwara zinajitokeza kila kona imekuwa biashara Kawanunulia police nini?😮