TIMBWILI KALI BUNGENI, MZOZO WA KUTISHA/ MBUNGE WA PASSPORT KUINGIA ZANZIBAR AKATAA SIO MTANZANIA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 14. 05. 2024
  • #UhondoTV #Uhondo

Komentáře • 570

  • @MusaOgwoko
    @MusaOgwoko Před 16 dny +17

    Lisu ni mkweli sana

  • @JacksonFrances
    @JacksonFrances Před 16 dny +25

    ILA JAMANI WATANGANYIĶA TUNATAWALIWA KIENYEJI SANA JAMANI.WANANCHI TUAMKE KUTETEA UTAIFA WETU VINGINEVYO NCHI INAUZWA JAMANÌ na NCHI INA HALIMBAYA KIUCHUMI,, KISIASA na KIJAMII "

    • @user-nt3my1jf9t
      @user-nt3my1jf9t Před 16 dny

      Ww mvutu kweli itauzwa na Nan?

    • @JacksonFrances
      @JacksonFrances Před 15 dny +2

      inauzwa na CCM Wenzio Wasiolitakia mema Taifa Letu Rushwa na Ufisadi Huoni Vimetapakaa kila kona au ??"

    • @MilloWamilonga-ft8ir
      @MilloWamilonga-ft8ir Před 14 dny

      Suala hili mlaumuni julius nyerere alieikataa Tanganyika kuwa na serikali yake​@@JacksonFrances

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Před 13 dny +1

      @@JacksonFrances KWANI HAO MAFISADI NI CCM PEKE YAO??? WEWE UKIPATA UPENYO WA KUIBA UTAIBA NA RUSHWA UTAPOKEA USIJIFANYE MALAIKA.

    • @JacksonFrances
      @JacksonFrances Před 13 dny +3

      @@salimmalaka256 Acha Kuchukulia Kwamba Watu Wote Wana tabia Za Kishenzi Pasipokuwajua,
      CCM Wametufikisha Pabaya Sana Haijawahi kutokea Kwahiyo Ni Wakati Wao Kuachia Na Kukaa Pembeni Kabla Mabaya Hayajatokea "

  • @GibsonNtamamilo
    @GibsonNtamamilo Před 17 dny +33

    Kumbe TUNDU LISU yuko sahihi kabisa kusema kuwa Wazanzibar sio Watanzania.

    • @omaryjumas6327
      @omaryjumas6327 Před 17 dny +4

      Kumbe tukisema kwamba Watanganyika wengi wamefanywa wajinga kuhusu kujua ukweli wa muungano huwa hatubahatishi.
      Hivi unaweza ukatutajia kirefu cha Tanzania, na ilikuwaje jina la Tanzania likapatikana?
      Jibu swali bwege we.

    • @sylvestercameo6263
      @sylvestercameo6263 Před 17 dny +3

      Hakuna mahali alinukuliwa Lissu akidai wazanzibari siyo watanzania, sijui hayo uliyapata wapi? Wazanzibari hawataki kuficha uasili wao, wanajivunia na kujitambulisha kwa uasili wao. Hawataki kuwa mbumbumbu walioisalimisha na kuifuta historia yao. Badala ya kuwabeza wanastahili kuigwa na kupongezwa!

    • @user-xe1im9tt1z
      @user-xe1im9tt1z Před 16 dny +2

      Elezea wanzibari ni watanzania ila watanzania si wanzanzibar

    • @talibsaid8096
      @talibsaid8096 Před 16 dny

      Si kweli wazanzibari ni watamzania lakini wwabara huwa mnafanya ishu kutibagua

    • @AhmedZahor
      @AhmedZahor Před 16 dny

      @@omaryjumas6327 Wa Zanzibari sio Wa Tanganyika kwani kabla ya 1964 kulikua nchi inaitwa Tanzania?

  • @shaviercharvinho18
    @shaviercharvinho18 Před 16 dny +10

    Zanzibar tukipata wabunge kama hawa kumi tu bungeni muungano ungevunjika 😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @erickchaula5084
    @erickchaula5084 Před 16 dny +13

    Hakika lisu na mbowe naona wako sahihi kabisa na ss watanganyika tudai uhuru wetu

    • @faridmohammad3801
      @faridmohammad3801 Před 12 dny

      Yani ww ndio mwenye akili nyingi ktk watu 100 niliowasikiliza ni kweli coz u haven't government so struggle ur cntry.. am srry umoja ni nguvu..

    • @SalumJuma-iz2gj
      @SalumJuma-iz2gj Před 11 hodinami

      Bora mudai uwo Uhuru wenu wazanzibar angalau tunywe maji hatuna Raha kwA nyie nahaya yote kayataka karume kuitoa nchi kw warabu kuipeleka kw wanyAmwez

  • @japhetlinus3891
    @japhetlinus3891 Před 17 dny +16

    Wabunge wakishiba posho zetu wanaanza kuongea wanachojickia na sisi tunaendelea kuwatafutia kwa jasho ...

  • @hamismabula9934
    @hamismabula9934 Před 10 dny +3

    Mtu wa Bara haruhusiwi kumiliki ardhi Zanzibar! Ila Wazanzibar wanamiliki ardhi Bara! Mbona huo ni ubaguzi wa wazi tu!?

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 Před hodinou

      Siyo kitu cha ajabu mwanza kabla wewe hukuzaliwa watu wa Zanzibar walikuwa wakiingia Dar es salam kwa passport. Na yuko alokuwa mshenzi mmoja wa Zanzibar ndio alosema wa Bara waingie Zanzibar bila ya passport na wengi walikuwa hawajataka jambo hilo.

  • @julianamwalongo6047
    @julianamwalongo6047 Před 16 dny +4

    Yaani Umeenda kwa wananchi kusikiliza shida zao, na wamekutuma, wamekuchagua uwawakilishe hoja zenyewe Ndio Kama hizo ,hata mpangilio wa kuongea huna ,hii nchi ni ngumu Sana.

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim1106 Před hodinou

    Siyo Nchi mmoja ni Nchi mbili. Wacheni ubaguzi.

  • @jumasaid2792
    @jumasaid2792 Před 16 dny +4

    Tatizo lipo ila wanapotezea kwa kuwa wanapenda sana pesa kuliko ubinaadamu wa binaadamu.

  • @celestinaregi
    @celestinaregi Před 17 dny +9

    Ubaguzi mnao. Kweli wazanzibari. Leo umefanyiwa wewe unaona uchungu. Mnayotufanyia huku hamuoni kama ubaguzi. Shilingi Ina pande mbili mweshimiwa. Leo shilingi imekugeukia umeumia😂😂

  • @IsidoreMakutu
    @IsidoreMakutu Před 16 dny +4

    Viongozi walioko madarakani wanajifanya hawaoni tatizo kwa sababu ya maslahi binafsi.Halafu wanaanza kuwalaumu Akina Lissu kwa kivuli Cha ubaguzi...

  • @MsanangoMwalabu-rx1oo
    @MsanangoMwalabu-rx1oo Před 2 hodinami

    Huku Tanganyika wazanzibali wapo wachache sana kama polisi wataanza wao,sisi tutawagawana wasisahau hilo.tutafanya kama Nigeria kujibu ubaguzi waliofanya South Africa tunawakumbusha

  • @bellalygeomecky1145
    @bellalygeomecky1145 Před 4 dny

    Passport muhim....

  • @user-nm5sn2vr8c
    @user-nm5sn2vr8c Před 16 dny +1

    Tunadai Tanganyika yeti! Wazanzibari wasitutanie

  • @JumaSalim-bd1ff
    @JumaSalim-bd1ff Před 10 dny +1

    Safi Sanaa mbungunge w konde

  • @BonaBonala-bp5qm
    @BonaBonala-bp5qm Před 9 dny +1

    Mimi mwenyewe siwapendi wa znz kwa kuuzaa bandari zetu bara mmeanza ubaguzi na mwanzirishi wa ubaguzi ni Mh samia na limote yake ya msoga tutamzomea samia wakati wa kampeni zake

  • @HafidhKhamis-ph8qg
    @HafidhKhamis-ph8qg Před 10 dny +1

    Safii mbunge

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim1106 Před hodinou

    Hamwishi na hizo taarifa. Mwecheni akamilishe.

  • @ahangfaith1180
    @ahangfaith1180 Před dnem

    Nikwli mbunge asnt mungu akulinde na watanganyika wanasema kwl

    • @ahangfaith1180
      @ahangfaith1180 Před dnem

      Ikiwezekana waufute tu muungano tmechoka wazanzibar kwa maneno ya watu wabara

  • @CornenciaFaustine-pd2rc
    @CornenciaFaustine-pd2rc Před 16 dny +4

    Hii ni dharau na ni kejeli ya kiwango ati na yeye ana fikra ya kuja kututawala watanganyika. Aah halafu waheshimiwa wetu wa bara wanashangilia.aah sijui afya ya akili wanayo kweli.

    • @camilomassao8971
      @camilomassao8971 Před 16 dny

      Kuna shida kubwa kwenye huu muungano, Kuna kesho na kesho hiyo Kuna watakaokaa na kuangalia maslahi ya muungano kwa pande zote mbili

  • @user-xe1im9tt1z
    @user-xe1im9tt1z Před 16 dny +5

    Tanzania ina mazombi sio watu

  • @AbdulrahmanSalum-vs4jd
    @AbdulrahmanSalum-vs4jd Před 5 hodinami

    Muungano usivunjike lakin passport muhim

  • @ayshasaid1547
    @ayshasaid1547 Před 14 dny +14

    Wazanzibari wabaguzi sana

    • @SoudShuraim
      @SoudShuraim Před 13 dny +1

      Ulikuja Zanzibar ukabaguliwa

    • @kassim1262
      @kassim1262 Před 11 dny +1

      Nyinyi wtnganyika munongoza kwakubaguliwa duniani 😂😂😂wzungu wbguzi wkenya wbguzi wznzbar wbguzi ondokeni duniani bc

    • @hilalalhabsi2047
      @hilalalhabsi2047 Před 11 dny +2

      SAFI SANA, KILA MMOJA ASHIKE NJIA YAKE. UKOLONI UMESHAPITWA NA WAKATI. TWATAKA NCHI YETU

    • @bellalygeomecky1145
      @bellalygeomecky1145 Před 4 dny +2

      Hata tukiwa wabaguzi.......ni heri kwetu na nyie bakini na utanzania wenu

    • @AhmedZahor
      @AhmedZahor Před 2 dny +1

      Kweli Wabaguzi kwa ajili ya Nchi yetu si Mukaungane na Machogo wezenu Kenya Uganda Congo Burundi nyie Wa Tanganyika sisi Wa Zanzibari na Timu yetu ya Taifa Zanzibar Heroes

  • @ashahamad-mq3iz
    @ashahamad-mq3iz Před 16 dny +5

    Huna lote limekuganda hilo Passport ni lazima ipo zamani

    • @babazizu1255
      @babazizu1255 Před 9 dny

      Co passport ht mkitaka 2gawane fresh 2 cc 2nataka nn kwenu marais wt wawil wazanzibar na cc ha2semi nyinyi wazanzibar mnajitambua kwer mm naona samia na mwinyi akir zao zingekuwa km nyinyi ingekuwa vurugu mechi

    • @babazizu1255
      @babazizu1255 Před 9 dny

      Co passport ht mkitaka 2gawane fresh 2 cc 2nataka nn kwenu marais wt wawil wazanzibar na cc ha2semi nyinyi wazanzibar mnajitambua kwer mm naona samia na mwinyi akir zao zingekuwa km nyinyi ingekuwa vurugu mechi

  • @abdultour1647
    @abdultour1647 Před 16 dny +1

    Zanazibar, Tanzania , Tanganyika iko wapi apo hatutaki muongano imetosha apo bc kila mtu achukue ubao wake ishaAllah vunjika shetani muongano toka na uwende Zako

  • @seifabdulwahid4579
    @seifabdulwahid4579 Před 3 dny

    Sisi wazanzibar hatutaki Muungano hauna faida na sisi, tatizo lenu mkiitwa watanganyika ndo mnasema mnabaguliwa

  • @MrKhatibu
    @MrKhatibu Před 16 dny +4

    Yaani huyu mbunge imekuaje anaongea lsfudhi ya kibara kamavile haja zaliwa na ku kukulia Pemba. Au ndio wale ambao makaazi yao yapo Bara ila jimbo liko Pemba 😅😅😅

    • @hilalalhabsi2047
      @hilalalhabsi2047 Před 11 dny

      TUNATAKA WAJE PEMBA KWA PARSPOT HAWA WANYAMWEZI😂😂😂

  • @AbuuMuhsin
    @AbuuMuhsin Před 6 dny

    Huyu hamtamuona tena bunge lijalo 2025~2030 bye bye. Chezea come weyeeee

  • @fredrickmwakalinga6390

    Takataka hawa htasijuwi wanaingiaje kwenye bunge la Tanganyika na hawana faida yoyote zaidi ya wao wanakula kura kodi zetu bure

  • @adamyussuf1678
    @adamyussuf1678 Před 14 dny +2

    ZANZIBAR ipo na itaendelea kuwepo hofu Tanzania kuwepo miaka 60 ijayo coz Tanzania imeundwa ili kusudi kuidhibiti Zanzibar na wazanzibari wameamka sasa

    • @abdullahmanalex2306
      @abdullahmanalex2306 Před 10 dny

      Mimi sio Mzanzibar ila nakubali hili Muungano huu upo kwa ajiri ya kutawala Zanzibar

  • @Mmdttt6653
    @Mmdttt6653 Před 9 dny +2

    Yote ni tanzani ni sawa nitakavotoka mwanza kwenda dar sa passport ya nni na nchi ni moja ye mwenyewe apo alipo hana paspoti afu yupo bara mpuuzi kwel,,, ukitaka urais gombea tukupe kura acha upuuzi

  • @nabilasaidkhalfan4401
    @nabilasaidkhalfan4401 Před 10 dny +1

    Safi sana , naunga mkono wazanzibar tunataka passport yetu , hatutaki kuwa na machogo

    • @JIWE-G-UNIT
      @JIWE-G-UNIT Před 9 dny

      Nadhani ni vizuri sana tukitengana coz Tanganyika tuna kila kitù sioni maana ya kuungana, wazanzibar wakae na zanzibar Yao na Tanganyika tukae Tanganyika yetu ltakuwa poa sana

    • @BennyJumah-hd8yf
      @BennyJumah-hd8yf Před 5 dny

      Akili hunaa

  • @AbeidMabrouk-yu7iy
    @AbeidMabrouk-yu7iy Před dnem

    Haiwezikua mtanganyika na mzanzibar sawa numbingly na ardhi watanganyikaniwashenzi nushenziwaowameufikishahadi zanzibar wiziwalevimalaya zanzisasakunanukakwasababuyawatanganyika

  • @FatnaAlly-go7yt
    @FatnaAlly-go7yt Před 9 dny +1

    Mashallah

  • @basharahamtzhalisi6871

    Siku hizi sina haja ya kuangalia au kwenda kubana movie, nasubiri kipindi cha bunge kikinipita nafungua CZcams natafuta episode mpya ya Bunge.😂😂😂.

  • @zengomikomangwa9264
    @zengomikomangwa9264 Před 16 dny +3

    Juzi nolimsikia Mh Warioba. Nilimuelewa sana. Ukweli kuna changamoto za Muungano ambazo kila upande unalalamika. Ila Tanganyika ndo imeonewa zaidi. Kwa vitu vingi tu. Inafaa kukaa chini na kuziondoa changamoto hizi.

    • @FeymaarOfficially-uu4nr
      @FeymaarOfficially-uu4nr Před 16 dny +1

      Umeanza kuelewa ila endelea kufanya research ujue nani anaeonewa zaid zengo sisi tunaupenda muungano ila vitu vingi tunaumizwa sie leo imekua mtu wa Kenya akija na mzigo kutoka kwao kuingia tanga halipi we njo undue TV upitishe apo wanataka pesa ulipie ushuru

    • @LUBAINAMOHDRAJAB
      @LUBAINAMOHDRAJAB Před 16 dny +1

      Muhimu Hata huu muungano hatuutaki tena sote kila upande iwe kivyake lakin ccm ndio wanalazimisha tufanane

    • @hilalalhabsi2047
      @hilalalhabsi2047 Před 11 dny

      KWANINI TUNAUNGANA PARSPOT?. WANYAMWEZI MJE NA PARSPOT ZENU PEMBA😂😂😂

    • @TheresiaAndrea-hv9dg
      @TheresiaAndrea-hv9dg Před 8 dny

      Mi natamani hoja hii ifanyiwe kazi, wabara waridi bara ili wazanzibar viwanja vya kujenga wapate, and vice versa wazanzibari warudi kwao halafu tuone kama kile kisiwa kitawatosha. Lakini pia tutawauzia chakula kama tunavyowauzia Kenya na kwingineko nione kama hamtakula......yenu.

    • @TheresiaAndrea-hv9dg
      @TheresiaAndrea-hv9dg Před 8 dny

      ​@LUBAINAMOHDRAJAB kila watu wajitegemee, maana sisi tunaoumia hata hatusemi, ila wao wanaotunyonya kelele juu baada ya kushiba kiporo cha ugali wa mtama.😅😅😅

  • @user-vk4zb8fo9u
    @user-vk4zb8fo9u Před 2 dny

    Uyu sio mbunge uyo msengetu

  • @Mweya-87
    @Mweya-87 Před 17 dny +2

    Hivi kumbe wa Zanzibar ndiyo wanachangia hivi?

  • @RajabKhamis-il5to
    @RajabKhamis-il5to Před 4 dny

    Ww mbunge Malaya wa Tanganyika Kwa nn msingie na passport sisi hatumutaki huku Zanzibar watanganyika kumamazenu manyamwezi

  • @johnalto2619
    @johnalto2619 Před 10 dny +1

    Dooooh hao wanaoishi visiwani hawataki muungano muungano uvunjwe tuu watanganyika tubaki kwetu na wao warudi kwao na walipr Kodi ya makazi kama wageni

  • @AizackKalenge-ro5rc
    @AizackKalenge-ro5rc Před 9 dny

    Hiyo Mbunge kaka kwamba yeye sio Mtanzania,Sasa anatafuta Nini kwenye bunge letu?

  • @MkatorikiOg
    @MkatorikiOg Před 6 dny

    Wanamkopi sana Roma mkatoriki

  • @HamisiMwalimu-pp9ci
    @HamisiMwalimu-pp9ci Před 8 hodinami

    Huo ni ubaguzi mzee mwwnzangu wapemba acheni siasa musiikaange mbuyu mukaja walisha wengine

  • @SalumJuma-iz2gj
    @SalumJuma-iz2gj Před dnem

    Lakini kweli sisi wazanzibar tunawabagua sana wanyamwezi tunawalimisha tuu halafu hatukubali watoto wetu kuolewa na wanyamwez

  • @EarnestMwangombola-iv7hr

    Muungano utakapozingatia matakwa ya wananchi kama walivyojieleza katika rasimu zote za katiba, kwa kutaka serikali 3, ndio utakuwa mwisho wa mtifuano wa wabunge wazanzibari na watanganyika. Huo ni mwanzo tu wa muungano wa Lazima serikali 2.

  • @MasterG-dc1tx
    @MasterG-dc1tx Před 8 dny

    C mvunje tu vizanzibar vibaguz sana

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ Před 16 dny +3

    Huyu asikilizwe vizuri huenda ana hoja za msingi kama tunaingia Zanzibar Kwa passport basi lije suala la vibali Kazi, kila upande uombe vibali vyote vya makazi na Kazi, na si ruhusa kumiliki ardhi upande wowote hadi Uwe mzawa

  • @bestkilimanjarohike
    @bestkilimanjarohike Před 8 dny

    Mbona mzanzibar anaweza miliki ardhi bara lakini mbara hawezi miliki zanzibar?

  • @abubakarmuhammadsaid3244

    Sisi Wazanzibari Muungano sio kipa umbele chetu.
    Sisi Wazanzibari tunataka mamlaka kamili.

  • @yunushaji5327
    @yunushaji5327 Před 7 dny

    Ndio Muheshimiwa usipokee taarifa, Kwani hapo Mwanzo hakuwepo Mh Nyerere na Mh Mkapa mbona huku Zanzibar hatukusema kuwa tumetawaliwa, Hapa hakuna mjadala, panatikiwa zile kero za Muungano zitatuliwe. Hizi ndo kero Zenyewe.

  • @ustawiwetu
    @ustawiwetu Před 16 dny +1

    Muungano mnaungangania wa nini au mna manufaa gani kwa huo Muungano. Ipitishwe referrendum wakati wa uchaguzi mkuu, ili tujue kama Muungano uendelee au uvunjike

  • @augustinemainde
    @augustinemainde Před 16 dny +1

    Hiyo ndio demokrasia ya kweli na Uhuru wa maoni

  • @user-oy5dz5xl8s
    @user-oy5dz5xl8s Před 15 dny +1

    Ni kweli sijui Nyerere alikua na nia Gani mpaka anatuajia bomu kubwa namna hii ambaye Leo tunafarakana

    • @hilalalhabsi2047
      @hilalalhabsi2047 Před 11 dny

      KWASABABU NYERERE ALIKUWA MLAFI NA ULAFI WAKE ALIFIKIRI ATAIFANYA ZANZIBARI NI JIMBO LAKE NDIO MAANA BARA MKAINGIZWA MKENGE 😂😂😂. TAMAA MBAYA ZA MWALIMU WENU MJINGA NDIO WAZANZIBARI BARI TUNAPATA FURSA YA KUUZA BANDARI ZENU KWA WARABU WETU NA MBUGA ZENU ZA WANYAMA MPAKA TUMALIZE. HATA WABARA MKIPATA UHURU UJUE ZANZIBARI TUSHAWALA KISHUNDU 😂😂😂

  • @user-vz3bb3ch3z
    @user-vz3bb3ch3z Před 6 dny

    Wazanzibari ni wabaguzi kwanini hata kipindi chauchaguzi ukiwa kitambulisho cha Zanzibar ila ukigundulika ni mtanganyika unawekwa ndani? Na kwanini asilimali zetu tunawakatia fungu ila wao hawajawai jaman mfikirie apo viongozi na mlitatue

  • @YoshuaSeverino
    @YoshuaSeverino Před 16 dny +1

    Yeye anataka serikali 3, ya Muungano na serikali ya Zanzibar na Tanganyika. Pia anahangaika na Uzanzibari ambao hawezi kumsadidia.

    • @AhmedZahor
      @AhmedZahor Před dnem

      Sisi Muhimu kwetu ni Zanzibar yenye Mamlaka kamili sio Tanzania tunajua Tanzania ni Tanganyika ni kivuli tu cha kuikalilia Zanzibar

  • @user-fb6dh6sz2g
    @user-fb6dh6sz2g Před 17 dny +5

    Kwa nn serikari 3 inakigugumizi??

  • @MatronaThomas-wz5si
    @MatronaThomas-wz5si Před 9 dny

    Dada umetisha sana juu ya passport

  • @AllyAbdallah-ts3xx
    @AllyAbdallah-ts3xx Před 10 dny

    Acheni ubaguzi wazanzibar

  • @OmarAweis-of7ru
    @OmarAweis-of7ru Před 6 dny +1

    sisi ni wazanzibar.
    Sio watanzania.
    Wala sio watanganyika.

  • @madoiedo_nalis
    @madoiedo_nalis Před 17 dny +4

    Nyie ndio mna tubagua sisi

  • @BonifasiAmosi
    @BonifasiAmosi Před 16 dny +1

    Ccm ndo uwelewa wao umeishia hapo

  • @user-mk6my3gb4s
    @user-mk6my3gb4s Před 9 dny

    Paspoti muhimu bwanaaa

  • @ahangfaith1180
    @ahangfaith1180 Před dnem

    Hakuna chataarifa muuacheni aseme ukwl

  • @user-yw5ix9gg4d
    @user-yw5ix9gg4d Před 13 dny

    Siyo mtanganyika we

  • @fredducaunt
    @fredducaunt Před 7 dny

    Naona wazanzibari wanasema wanadhulumiwa
    Nataka kujua wanafhuliwa wapi

  • @AyoubPapiy
    @AyoubPapiy Před 16 dny +1

    Mheshimiwa presha yako iko juu sana fanya mazoezi broo.

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 Před 9 dny

    Yeye Anasema Apokei Sio Mtanzania Sasa Yupo Apo Bungeni Kama Nani Amevamia Bunge Au Amefika Vipi Apo Mana Mbunge Wa Apo Ndani Ni Mbunge Wa Tanzania Akutakiwa Aendelee Kujieleza Uyo

  • @user-mk6my3gb4s
    @user-mk6my3gb4s Před 9 dny

    Kweliii

  • @abiudkarume938
    @abiudkarume938 Před 16 dny +1

    Tuachane muungano wa nn kama watu awataki wa nn kuwang'ang'ania

  • @KimanguShemwaliko-ht2jr
    @KimanguShemwaliko-ht2jr Před 16 dny +1

    Mwenyewe kasema yeye ni mzanzibar nyie mnamlazimisha awe mtanzania, kwakua nyie hajitambui kuukana utanganyika wenu,lisu hana mpinzani kwenye hoja yake,tumpe maua yake lisu🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @user-bd5hq2kb4h
    @user-bd5hq2kb4h Před dnem

    Sorry lkn,KM ANAKATAA UTANZANIA(HAFAI KUA KIONGOZI)AU KM ANAKATAA MFUMO WA UTANZANIA ULIVYO(HAJAKOSEA)INSHAA ALLA KHEIR

  • @edlumala9428
    @edlumala9428 Před 16 dny +24

    Mimi mzazibar, kiukweli Wazanzibar wabaguzi sana! Mungu awahifadhi, wanachuki na watu wa bara for no reason!

    • @ibrahimame9805
      @ibrahimame9805 Před 16 dny +4

      Hatuna Imani na wanyamwezi

    • @user-pm7yo3xi3h
      @user-pm7yo3xi3h Před 16 dny +2

      Reason no kuwa wazanzibari wanahujumiwa na watanganyika na watanganyika wamepora haki za wazanzibari na haki ya nchi yao.

    • @AhmedZahor
      @AhmedZahor Před 16 dny +1

      Muuongo wewe Si mzanzibari Chuki yetu tunataka nchi yetu kwani mtu kudai chake ndio hua Chuki

    • @alihaji215
      @alihaji215 Před 16 dny

      Muongo wewe si mzanzibar wewe mbongo nyoso unaechangia kutunyang'anya haki zetu pumbavu yako

    • @user-cq4lp5rv1l
      @user-cq4lp5rv1l Před 13 dny +2

      Mzanzibar gan weye

  • @s.m.mbagati4824
    @s.m.mbagati4824 Před 3 dny

    Kwani mwinyi alikuwa mtanganyika

  • @shuaibalula9003
    @shuaibalula9003 Před 10 dny

    Hatutaki ubaguzi

  • @babazizu1255
    @babazizu1255 Před 9 dny

    Huyu mbunge ana akiri kwer mbona watanzania hawachukii maraic wote kuwa wa zanzibar huyu mpumbavu nn huyu nimependa sanaaaa wabunge wa ccm walivyo na mcmamo vzr sanaaaa mm nilijua watamuunga mkono na ujinga wake kumbe wamemkataa mpuuzi huyu

  • @ClemenceMsigwa-dt6te
    @ClemenceMsigwa-dt6te Před 15 dny

    Dada hapo apewe mauwa yake

  • @BenedictoSimon-fs6ok
    @BenedictoSimon-fs6ok Před 16 dny

    Naomb kujua kushika shilingi anamaanisha nn?

  • @paulmbogela5147
    @paulmbogela5147 Před 16 dny +1

    Huyu mbunge mjinga sana

  • @khanifamussa2554
    @khanifamussa2554 Před 11 dny

    Achen ujinga nyiee hii nchi ina amani kulko nchi nyngne yyote ndio kitu tunachotkiwa kujivunia iv mushafkiria kuh vitukuu vyenu hao wabunge wengne wavurugaji tu..ss n wamoja❤Ilove u Tanzania

  • @tours15
    @tours15 Před 16 dny

    Kwanini munachelewesha kuvunja?

  • @user-rn9og1rk3l
    @user-rn9og1rk3l Před 17 dny +10

    Ivi huu muungano nyie wabunge wa ccm mmeung'ang'ania wa nini
    Huyo mwenzenu kashasema yeye ni mzanzibar,
    Sasa kama pana mzanzibar kwenye bunge la muungano kwanini mbunge wa mtu wa bara hawezi kuwa mbunge wa zanzibar??..?..?????

  • @reubenmzengi4589
    @reubenmzengi4589 Před 9 dny

    alitakiwa atolewe nje ya bunge

  • @AbduliHalim
    @AbduliHalim Před 11 dny

    Sio ktu kimoja nyinyi mnazaa ovyo halafu halafu mnaowana

  • @dicksonkilupa2258
    @dicksonkilupa2258 Před 11 dny

    KITAELEWEKA TU

  • @apostlejacksonkalinga5191

    Mbona viti Bungeni viko wazi sanaaa.

  • @user-my5yp6xx5s
    @user-my5yp6xx5s Před 12 dny

    Matako yenu Sasa kwani Samia nimtanganyika?

  • @shehafa
    @shehafa Před 5 dny

    Tanganyika sis mazuzu 😅😅😅😅 wale wako na rais wao kwanin hatuna rais wa watanganyika😅😅😅

  • @issakwisamwasanjobe541
    @issakwisamwasanjobe541 Před 16 dny +1

    Msipoachana na sera ya uwekezaji mtaliangamiza taifa kwasababu ni aibu kutuletea wawekezaji na wabia watuletee ufanisi kwakisingizio wtz hawana

  • @rukiaiddyyahaya9506
    @rukiaiddyyahaya9506 Před 9 dny

    Sasa si nchi mbili mbona watu wa bara hawanunui ardhi zanzibar,, na wa zanzibar wamenunua huku bara😢😢😢wako tele ila watu wa wanaroho ngumu sana

    • @babazizu1255
      @babazizu1255 Před 9 dny

      Co roho ngumu wazanzibar ni acri yao waarabu kwahyo wana roho mbaya hawa

  • @FatnaAlly-go7yt
    @FatnaAlly-go7yt Před 9 dny

    Allani mjuzi wawa juzi awaongoze vyema

  • @Wamisangi
    @Wamisangi Před 16 dny

    Hivi kikotoo kwa Wabunge kinasemaje?

  • @user-is2pj2vq3r
    @user-is2pj2vq3r Před 16 dny

    Me ni Mtanganyika kwanzia leo

  • @AnthonyVitalis-iy5su
    @AnthonyVitalis-iy5su Před 12 dny

    Sijuwi kama mnaelewa?

  • @KijahboyChita
    @KijahboyChita Před 16 dny

    Wazanzibar ndo wabaguz Sana koo mm Zanzibar siipend kabisayan bora muungano uvunjike tu

    • @user-nt3my1jf9t
      @user-nt3my1jf9t Před 16 dny

      Hakuna kitu ninachokichukia ktk maisha yang km watanganyika mana ni matapel wezi washenz Wana Killa aina ya ushenz

  • @user-hn6kv6xe7m
    @user-hn6kv6xe7m Před 13 dny

    Mbunge huraaaa 💪👏👏👏

  • @danielonyango7234
    @danielonyango7234 Před 16 dny +1

    Zama za giza ziliisha kitambo, it is just the matter of time

  • @allymsellem5353
    @allymsellem5353 Před 5 dny

    passport iwepo ndio leo znz imeoza watu waingia tuu umalaya pombe wizi

  • @Aisha-lj8bu
    @Aisha-lj8bu Před 10 dny

    Uhuru niwenu Nyinyi qatanganyika

  • @user-gv8kv2zd6x
    @user-gv8kv2zd6x Před 10 dny

    Huyu mbunge nikuma kweli