JOHN PAMBALU AZIDI KUMVAA BASHE NA KASHFA YA UFISADI, ADAI RAIS NA BUNGE LINAMKINGIA KIFUA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 18. 06. 2024
  • #TANZANIA: John Pambalu, Mwenyekiti wa BAVICHA Taifa azidi kumvaa Waziri Bashe kwa kashfa ya ufisadi kwenye kila kilo ya sukari, ataka ashughulikiwe na si kukingiwa kifua na bunge pamoja na Rais Samia.
    Zaidi: • JOHN PAMBALU AZIDI KUM...
    Fuatilia Mwanzo TV Plus
    SUBSCRIBE CZcams Channel yetu
    Follow us on X, Facebook and Instagram

Komentáře • 6

  • @user-oo1vz3zi1t
    @user-oo1vz3zi1t Před 26 dny

    Wakat wanateuliwa wengine matendo yanafsi zao nivigumu kuzielewa

  • @muharamijuma1569
    @muharamijuma1569 Před 26 dny

    Acha Kelele Huna Sera Samia Rais 2225 Mpaka30

  • @clemencemkondya8561
    @clemencemkondya8561 Před měsícem

    John.pambalu wewe bado kijana ukiwa mnafiki.ukizeeka utakuwa mchawi.Bado hujazeeka umeishakuwa mchawi .Hivi hoja zenu hazipo .Watanzsnia wanaakili sana huo uzushi wa kuwa Bashe ameiba pesa niyauwongo mtupu
    .Hoja zakushindana na chama tawala hazitawasaidia sana

  • @mwanahamisially7385
    @mwanahamisially7385 Před 26 dny

    Msipitie midomoni mwawabunge sema lako acha kuigizia ccm

  • @mwanahamisially7385
    @mwanahamisially7385 Před 26 dny

    .ccm unapita wapi angan acha kelele kelele za chura hazimnyimi ngombe kunywa maji

  • @mwanahamisially7385
    @mwanahamisially7385 Před 26 dny

    Una serayeyote