JOHN PAMBALU AZIDI KUMVAA BASHE NA KASHFA YA UFISADI, ADAI RAIS NA BUNGE LINAMKINGIA KIFUA
Vložit
- čas přidán 18. 06. 2024
- #TANZANIA: John Pambalu, Mwenyekiti wa BAVICHA Taifa azidi kumvaa Waziri Bashe kwa kashfa ya ufisadi kwenye kila kilo ya sukari, ataka ashughulikiwe na si kukingiwa kifua na bunge pamoja na Rais Samia.
Zaidi: • JOHN PAMBALU AZIDI KUM...
Fuatilia Mwanzo TV Plus
SUBSCRIBE CZcams Channel yetu
Follow us on X, Facebook and Instagram
Wakat wanateuliwa wengine matendo yanafsi zao nivigumu kuzielewa
Acha Kelele Huna Sera Samia Rais 2225 Mpaka30
John.pambalu wewe bado kijana ukiwa mnafiki.ukizeeka utakuwa mchawi.Bado hujazeeka umeishakuwa mchawi .Hivi hoja zenu hazipo .Watanzsnia wanaakili sana huo uzushi wa kuwa Bashe ameiba pesa niyauwongo mtupu
.Hoja zakushindana na chama tawala hazitawasaidia sana
Msipitie midomoni mwawabunge sema lako acha kuigizia ccm
.ccm unapita wapi angan acha kelele kelele za chura hazimnyimi ngombe kunywa maji
Una serayeyote