"Sasa wewe njoo na tai na Cheti cha Degree halafu nikupe hela zangu'' kISHIMBA vs MWIGULU
Vložit
- čas přidán 6. 06. 2023
- KISHIMBA AMCHANA MWIGULU, ATOA TAHADHARI, "WAONDOE HUO UOGA, WANAOGOPA NINI?"
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA Ngasa Online Tv
⚫️ Email: ngasamedia@gmail.com / WhatsApp 0716909567 / Call 0716909567
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: / playlist
list=PLSzTdjtfFZV4x9eEn8XKjtHMqu5fkevjb
⚫️ BUNGENI DODOMA: / watch
v=0tOC0Qdxizc&list=PLSzTdjtfFZV6DoniR7GGw1_I0dWOzx01B
⚫️ SIASA : • Video
Channel pekee inayokuwezesha kupata Habari za Kisiasa,Michezo, Kijamii, na Burudani kutoka Ndani na Nje ya Tanzania. Kama unahitaji kufanya Matangazo au Habari yoyote ya KIJAMII Tafadhali wasiliana na Sisi Kupitia 0716909567 Tunawapa kipaumbele kwa waliopo Dodoma
ngasamedia@gmail.com
WhatsApp: +255 716909567
Call us : +255 716909567
thank you for watching this video ,please leave a like if you enjoyed the video & Subscribe for more video.
#sensa #jitokezekuhesabiwa #ngasatv
Vyeti na hio PHD nyingi ukigonga ndani zinatoa MWANGWI YAANI ZIKO TUPU ,😂😂😂😂
This man is super GENIUS. Lazima tutumie vichwa hivi kabla havijaondoka duniani.
Genius
Huyu Mbunge awe anaongezewa Muda akiwa anatoa hoja.
Ni kwanini Rais haoni kama mwigulu ni shida jamani?
Wanajuana
Mwigulu anafanya nini bungeni empty box kabisaaa😢
Mtangaika sana bila mama kumtumbua mwiguru hatutakuwa salaama wizara ya fedha ni kubwa anatakiwa mtu mwenye Elimu kubwa na maono yule jamaa vyeti tu vya kununua kutoka udsm hpo wanahonga mwalimu pale akili ndogo inatakiwa mtu makini kuongoza wizara ya fedha
Bro wasomi wengi Ni majizi tena majambazi wakubwa
tatizo watanzania hamna uelewa mwigulu hawezi kufanya kitu bila rais kwahiyo huyo mama enu ndio anamtuma afanye hivo ndio maana unaona hawatumbui makamba na mwigulu wabaya kupitia nguvu yavrais nasio wao hata akiwatoa hao akaleta wengine halafu yeye ndio ana wamrisha wafanye hayo hakuna kitakacho badilika
@@user-uy2dk2yv2c kabsa ndugu
Kua na Elimu sio kua na hela. Hao wenye vyeti hawawezi ku raise hela.
Kumbe huyu ndio kishimba wa kakahama 🙌❤️
Kishimba mpina ndio wenye akili sio Hawa wengine wanajiona Wana akili kumbe mabogas tuu
Kishimba safi sana
Akili nyingi
Huyu jamaa Safi sana. Akili kubwa!
Me sijui vigezo binavyo mpa mtu uwaziri au naibu waziri..nashindwa kuamini huyu jamaa anakosaje huo uwaziriii...yaani akili nyingi hivi bado hamtaki kuzitumiaa..
Royal brother!! I salute you!!
Safi sana KISHIMBA, IPO cku wataandika kitabu kwa mawazo fresh cyo kukariri pie ya 22 chini ya Saba..
Mh kishimba upo sahihi utafikili kuna viongozi wanajitoa akili. Vitu vya kawaida sana hata hao wazungu wana nguvu sababu ya akiba ya dhahabu.
Manful!!!✊✌️
❤❤❤
Kuna siku tutamwelewa tu!
Kishimba your smart.wafundishe hao. Wanajua ila ni wahuni
Mi najua wabunge sahihi hawazidi kumi hapo bungeni wengine wote ni wezi tu
Mzee kishimba Kibera -; Kuna baadhi ya mambo anabidi awakubali tu wavaa tai
Kuna tofauti kubwa ktk kuendesha Private Company na Public Company
Kampuni za Umma ambazo Sheria za uendeshaji na Umaliki Mitaji zinaruhusu
Kuuza hisa hata kwa Aliye Nje
ya Company lazima hiyo Mitaji ilindwe
Na Wasomi (wanataaluma )
Maana Si Kila Mwenye Mtaji ana Uwezo wa Kuwa Mwendesha Jambo
Na Kanuni inasema -; ili Kampuni ifanye vyema kibiashara inahitaji vitu vikuu v 2
Kwanza Sheria Nzuri za uendeshaji
Pili Msimamizi Mzuri Mwenye weledi na Kipaji Hapa kwenye
Weledi namaanisha pamoja na Taaluma
Pia Maana logical
Pekee haitatosheleza
Kila Eneo wakati wa kutekeleza majukumu
Siyo wezi Ila uwezo wa kufikiri mdogo! Na watawala wanapenda Sana wabunge vilaza ili waweze kuiburuza Ichi vizuri!
Bunge Ni la ajabu sana
Sijui kwanini hakupewa wizara ya fedha.
Safi kaka ❤❤❤
Tatizo wasomi yy anamiliki vyeti tu na kuhusu kutafta ela hmn imani yangu tokeapo mtu ambae hana elimu kubwa ndie anae weza kutafuta na kubarance mm matajili wengi naona ambao hawaja soma
Hili bunge la mazuzu kazi kupiga makofi miaka yote kishimba anasema hakuna hatua ...
Huyu ndo alitakiwa kuwa waziri ..ila Cha ajabu uwaziri wanapewa vilaza
Mbunge mwenye bongo inayochambua mambo kisawasawa
sasa mtu ana degree na phd lkn ndio anategemea serikali impe mshahara na asipopewa hana akili ya kuvumbuwa kitu chochote kiufupi degree na phd ujinga tu
Hao ni wezu mzee
Kuna akili za kuzaliwa huyu anazitumiaga vizuri mnoo
Wazir wa fedha anazingua
Kishimba katika ubora wake.
Asipate uwaziri atakula kiapo na mdomo ataufunga ili aitetee serikali
Cku akiapa atashindwa atakuwa na kigugumizi
Iyo wizara ina shida
Akili kubwa
Wape ushauri... Mzee
😂👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻
Mwigula kiukweli hajitambuai mweee
Agombee Uraisi kura yangu ameshapata
Huyo ndo kishimba kipaji Cha Tanzania erimu Nini bana wezi kabisa wasomi wetu ndo wameirudisha nyumba nchii yetu erimu kiazi Hawana hojaaa kabisaaa ni vyetu ndo vinawrinda
Elimu bwana sio erimu
Kishimba.akili.kubwa.unafaa.kuwa.waziri.mkuu.shida.ccm.mna.roho.mbaya
Kahama miundo mbinu mibovu sana
This man explains.boder of education and saycologe
Different there that it shows how education works but saycologe sense umanbeng born with it always sense action then goes on his brain thinking choose and came with it on resption voice it ather sense goes on choose point sense of right answer
This man is big brain has saycologe sense big capacity of netrow thing from.peaple who undermine peaple who are not educate but forgot education is matiriol fomuler but saycologe sense umanbeng born with it but different capacity
Is this english too?
Duu
Kishimba wewe una PhD
Bunge lote mwenye kujielewa ni huyo Mzee tu wengine niwasaka tonge viva kishimba
😂😂😂
Kishimba unayosema ukweli mtupu hiyo misomi ndiyo mijizi haswa angalia inavyouza bandari zote mpakhatimayehatimaye3wstatuuza sisi wenyewe tutamkunbuka magufuli daima
Na hapo mimi ndipo ninapo pata kigugumizi dhahabu ina chimbwa na watanzania halafu saa hiyo hiyo unasikia mama kaenda kukopa. Na mzungu anaona ajabu sana akienda mitandao mingine anaona hii nchi iliyokuja kukopa kwenye uzaji wa dhahabu ipo kwenye uzaaji wa Almasi ipo kwenye uzaaji wa chuma ipo kwenye uzaaji wa shaba ipo kwenye uzaaji wa tanzanite hayo madini duniani yapo tanzania. Mito ya maji ipo mingi. Maziwa na mabwawa yapo Bahari ya hindi tu nayo. Bandari yetu ikisimamiwa vizuri na jeshi la wananchi wa Tanzania JWTZ. Kibiashara bandari inaweze kusimamia bajeti ya nchi. Siyo wawekezaji wawekezaji matapeli tu wamekuja kunyakua mali za watanzania masiki vile vile hata hao viongozi watakuwa na masilahi yao humo yaani mgao wa bandari wakipewa Wa wekezaji mali ya wengi itaanza kuliwa na wachache.
Wasukuma Mungu ametuteua kuwasaidia wajuaji na PhD zao chukua elimu hizo zitawasaidia
Mwigulu ma tai yeke.
Safi sana KISHIMBA, IPO cku wataandika kitabu kwa mawazo fresh cyo kukariri pie ya 22 chini ya Saba..
❤❤❤