"Sasa wewe njoo na tai na Cheti cha Degree halafu nikupe hela zangu'' kISHIMBA vs MWIGULU

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 06. 2023
  • KISHIMBA AMCHANA MWIGULU, ATOA TAHADHARI, "WAONDOE HUO UOGA, WANAOGOPA NINI?"
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA Ngasa Online Tv
    ⚫️ Email: ngasamedia@gmail.com / WhatsApp 0716909567 / Call 0716909567
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: / playlist
    list=PLSzTdjtfFZV4x9eEn8XKjtHMqu5fkevjb
    ⚫️ BUNGENI DODOMA: / watch
    v=0tOC0Qdxizc&list=PLSzTdjtfFZV6DoniR7GGw1_I0dWOzx01B
    ⚫️ SIASA : • Video
    Channel pekee inayokuwezesha kupata Habari za Kisiasa,Michezo, Kijamii, na Burudani kutoka Ndani na Nje ya Tanzania. Kama unahitaji kufanya Matangazo au Habari yoyote ya KIJAMII Tafadhali wasiliana na Sisi Kupitia 0716909567 Tunawapa kipaumbele kwa waliopo Dodoma
    ngasamedia@gmail.com
    WhatsApp: +255 716909567
    Call us : +255 716909567
    thank you for watching this video ,please leave a like if you enjoyed the video & Subscribe for more video.
    #sensa #jitokezekuhesabiwa #ngasatv

Komentáře • 63

  • @liannsambu7264
    @liannsambu7264 Před rokem +8

    Vyeti na hio PHD nyingi ukigonga ndani zinatoa MWANGWI YAANI ZIKO TUPU ,😂😂😂😂

  • @masungajp1
    @masungajp1 Před rokem +17

    This man is super GENIUS. Lazima tutumie vichwa hivi kabla havijaondoka duniani.

  • @yadidehaule6399
    @yadidehaule6399 Před rokem +9

    Huyu Mbunge awe anaongezewa Muda akiwa anatoa hoja.

  • @daudimlamka1239
    @daudimlamka1239 Před rokem +9

    Ni kwanini Rais haoni kama mwigulu ni shida jamani?

  • @rithadonatus8110
    @rithadonatus8110 Před rokem +5

    Mwigulu anafanya nini bungeni empty box kabisaaa😢

  • @selemanisalum7685
    @selemanisalum7685 Před rokem +9

    Mtangaika sana bila mama kumtumbua mwiguru hatutakuwa salaama wizara ya fedha ni kubwa anatakiwa mtu mwenye Elimu kubwa na maono yule jamaa vyeti tu vya kununua kutoka udsm hpo wanahonga mwalimu pale akili ndogo inatakiwa mtu makini kuongoza wizara ya fedha

    • @user-uy2dk2yv2c
      @user-uy2dk2yv2c Před rokem +1

      Bro wasomi wengi Ni majizi tena majambazi wakubwa

    • @aishaalbalushaishabalush8291
      @aishaalbalushaishabalush8291 Před rokem +1

      tatizo watanzania hamna uelewa mwigulu hawezi kufanya kitu bila rais kwahiyo huyo mama enu ndio anamtuma afanye hivo ndio maana unaona hawatumbui makamba na mwigulu wabaya kupitia nguvu yavrais nasio wao hata akiwatoa hao akaleta wengine halafu yeye ndio ana wamrisha wafanye hayo hakuna kitakacho badilika

    • @aishaalbalushaishabalush8291
      @aishaalbalushaishabalush8291 Před rokem

      @@user-uy2dk2yv2c kabsa ndugu

  • @jacksonzeno1447
    @jacksonzeno1447 Před rokem +4

    Kua na Elimu sio kua na hela. Hao wenye vyeti hawawezi ku raise hela.

  • @edinakyaruzi9226
    @edinakyaruzi9226 Před rokem +10

    Kumbe huyu ndio kishimba wa kakahama 🙌❤️

  • @kefajoseph158
    @kefajoseph158 Před rokem +3

    Kishimba mpina ndio wenye akili sio Hawa wengine wanajiona Wana akili kumbe mabogas tuu

  • @hamzamfyagidzi6344
    @hamzamfyagidzi6344 Před rokem +4

    Kishimba safi sana
    Akili nyingi

  • @laurentraphael5470
    @laurentraphael5470 Před rokem +5

    Huyu jamaa Safi sana. Akili kubwa!

  • @amiribakari2528
    @amiribakari2528 Před rokem +2

    Me sijui vigezo binavyo mpa mtu uwaziri au naibu waziri..nashindwa kuamini huyu jamaa anakosaje huo uwaziriii...yaani akili nyingi hivi bado hamtaki kuzitumiaa..

  • @princebuganzilut2047
    @princebuganzilut2047 Před rokem +1

    Royal brother!! I salute you!!

  • @damianmachira7535
    @damianmachira7535 Před rokem +4

    Safi sana KISHIMBA, IPO cku wataandika kitabu kwa mawazo fresh cyo kukariri pie ya 22 chini ya Saba..

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw Před rokem +5

    Mh kishimba upo sahihi utafikili kuna viongozi wanajitoa akili. Vitu vya kawaida sana hata hao wazungu wana nguvu sababu ya akiba ya dhahabu.

  • @ramadhanihudhaifani4376

    Manful!!!✊✌️

  • @user-rg7tx2cc1l
    @user-rg7tx2cc1l Před rokem

    ❤❤❤

  • @stevesungura6789
    @stevesungura6789 Před rokem +2

    Kuna siku tutamwelewa tu!

  • @matindesamson7648
    @matindesamson7648 Před rokem

    Kishimba your smart.wafundishe hao. Wanajua ila ni wahuni

  • @godfreymwendawila
    @godfreymwendawila Před rokem +3

    Mi najua wabunge sahihi hawazidi kumi hapo bungeni wengine wote ni wezi tu

    • @ramadhanimtetu3656
      @ramadhanimtetu3656 Před rokem

      Mzee kishimba Kibera -; Kuna baadhi ya mambo anabidi awakubali tu wavaa tai
      Kuna tofauti kubwa ktk kuendesha Private Company na Public Company
      Kampuni za Umma ambazo Sheria za uendeshaji na Umaliki Mitaji zinaruhusu
      Kuuza hisa hata kwa Aliye Nje
      ya Company lazima hiyo Mitaji ilindwe
      Na Wasomi (wanataaluma )
      Maana Si Kila Mwenye Mtaji ana Uwezo wa Kuwa Mwendesha Jambo
      Na Kanuni inasema -; ili Kampuni ifanye vyema kibiashara inahitaji vitu vikuu v 2
      Kwanza Sheria Nzuri za uendeshaji
      Pili Msimamizi Mzuri Mwenye weledi na Kipaji Hapa kwenye
      Weledi namaanisha pamoja na Taaluma
      Pia Maana logical
      Pekee haitatosheleza
      Kila Eneo wakati wa kutekeleza majukumu

    • @IsayaSosolo-nx8zk
      @IsayaSosolo-nx8zk Před rokem

      Siyo wezi Ila uwezo wa kufikiri mdogo! Na watawala wanapenda Sana wabunge vilaza ili waweze kuiburuza Ichi vizuri!

    • @cosmaswilliam3805
      @cosmaswilliam3805 Před rokem

      Bunge Ni la ajabu sana

  • @erickkimaro9190
    @erickkimaro9190 Před měsícem

    Sijui kwanini hakupewa wizara ya fedha.

  • @VenerandaKundi-ph4hg
    @VenerandaKundi-ph4hg Před 9 měsíci

    Safi kaka ❤❤❤

  • @edsonjrtz7676
    @edsonjrtz7676 Před rokem

    Tatizo wasomi yy anamiliki vyeti tu na kuhusu kutafta ela hmn imani yangu tokeapo mtu ambae hana elimu kubwa ndie anae weza kutafuta na kubarance mm matajili wengi naona ambao hawaja soma

  • @nixonjohnson4908
    @nixonjohnson4908 Před 8 měsíci

    Hili bunge la mazuzu kazi kupiga makofi miaka yote kishimba anasema hakuna hatua ...

  • @bozbun3994
    @bozbun3994 Před 10 měsíci

    Huyu ndo alitakiwa kuwa waziri ..ila Cha ajabu uwaziri wanapewa vilaza

  • @alexmatt9504
    @alexmatt9504 Před rokem

    Mbunge mwenye bongo inayochambua mambo kisawasawa

  • @Laajo1994
    @Laajo1994 Před rokem

    sasa mtu ana degree na phd lkn ndio anategemea serikali impe mshahara na asipopewa hana akili ya kuvumbuwa kitu chochote kiufupi degree na phd ujinga tu

  • @matindesamson7648
    @matindesamson7648 Před rokem

    Hao ni wezu mzee

  • @michaelbwoma2760
    @michaelbwoma2760 Před rokem

    Kuna akili za kuzaliwa huyu anazitumiaga vizuri mnoo

  • @piusthomas624
    @piusthomas624 Před rokem

    Wazir wa fedha anazingua

  • @erickchitumbi1308
    @erickchitumbi1308 Před rokem

    Kishimba katika ubora wake.

  • @user-th9to6yt9y
    @user-th9to6yt9y Před rokem +1

    Asipate uwaziri atakula kiapo na mdomo ataufunga ili aitetee serikali

  • @MarandaIhonde-qe6df
    @MarandaIhonde-qe6df Před rokem

    Iyo wizara ina shida

  • @kikotimedia6638
    @kikotimedia6638 Před rokem

    Akili kubwa

  • @kondewra
    @kondewra Před rokem

    Wape ushauri... Mzee

  • @eddiemohamed9003
    @eddiemohamed9003 Před rokem

    😂👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻

  • @radhiasalum7156
    @radhiasalum7156 Před rokem

    Mwigula kiukweli hajitambuai mweee

  • @volcaremigius6881
    @volcaremigius6881 Před rokem

    Agombee Uraisi kura yangu ameshapata

  • @gabrielmdem4271
    @gabrielmdem4271 Před rokem

    Huyo ndo kishimba kipaji Cha Tanzania erimu Nini bana wezi kabisa wasomi wetu ndo wameirudisha nyumba nchii yetu erimu kiazi Hawana hojaaa kabisaaa ni vyetu ndo vinawrinda

  • @jumamagoma1743
    @jumamagoma1743 Před rokem

    Kishimba.akili.kubwa.unafaa.kuwa.waziri.mkuu.shida.ccm.mna.roho.mbaya

  • @shukurudavid4369
    @shukurudavid4369 Před rokem

    Kahama miundo mbinu mibovu sana

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 Před rokem +1

    This man explains.boder of education and saycologe
    Different there that it shows how education works but saycologe sense umanbeng born with it always sense action then goes on his brain thinking choose and came with it on resption voice it ather sense goes on choose point sense of right answer
    This man is big brain has saycologe sense big capacity of netrow thing from.peaple who undermine peaple who are not educate but forgot education is matiriol fomuler but saycologe sense umanbeng born with it but different capacity

  • @user-ek3zk4bx5j
    @user-ek3zk4bx5j Před rokem

    Duu

  • @jonaskabonda741
    @jonaskabonda741 Před rokem +1

    Kishimba wewe una PhD

  • @mnyongeiddi2454
    @mnyongeiddi2454 Před rokem +3

    Bunge lote mwenye kujielewa ni huyo Mzee tu wengine niwasaka tonge viva kishimba

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Před rokem +1

    Kishimba unayosema ukweli mtupu hiyo misomi ndiyo mijizi haswa angalia inavyouza bandari zote mpakhatimayehatimaye3wstatuuza sisi wenyewe tutamkunbuka magufuli daima

  • @kipokendirangu2572
    @kipokendirangu2572 Před rokem +1

    Na hapo mimi ndipo ninapo pata kigugumizi dhahabu ina chimbwa na watanzania halafu saa hiyo hiyo unasikia mama kaenda kukopa. Na mzungu anaona ajabu sana akienda mitandao mingine anaona hii nchi iliyokuja kukopa kwenye uzaji wa dhahabu ipo kwenye uzaaji wa Almasi ipo kwenye uzaaji wa chuma ipo kwenye uzaaji wa shaba ipo kwenye uzaaji wa tanzanite hayo madini duniani yapo tanzania. Mito ya maji ipo mingi. Maziwa na mabwawa yapo Bahari ya hindi tu nayo. Bandari yetu ikisimamiwa vizuri na jeshi la wananchi wa Tanzania JWTZ. Kibiashara bandari inaweze kusimamia bajeti ya nchi. Siyo wawekezaji wawekezaji matapeli tu wamekuja kunyakua mali za watanzania masiki vile vile hata hao viongozi watakuwa na masilahi yao humo yaani mgao wa bandari wakipewa Wa wekezaji mali ya wengi itaanza kuliwa na wachache.

  • @josephmayenga4615
    @josephmayenga4615 Před rokem +1

    Wasukuma Mungu ametuteua kuwasaidia wajuaji na PhD zao chukua elimu hizo zitawasaidia

  • @albertinamichael6123
    @albertinamichael6123 Před rokem

    Mwigulu ma tai yeke.

  • @damianmachira7535
    @damianmachira7535 Před rokem

    Safi sana KISHIMBA, IPO cku wataandika kitabu kwa mawazo fresh cyo kukariri pie ya 22 chini ya Saba..

  • @shukurukihwelo3084
    @shukurukihwelo3084 Před měsícem

    ❤❤❤