We told you people no palament only ccm protocol committee run national that why what call mp always follow lnstruction from gavment what to do where the cabinet of minister ccm protocol committee
Kwani ziara za makonda si niwazi zilionyesha tuna mahakama za namna Gani mi nawaombea watu wa Tanzania waamke vinginevyo itakuwa shida sana coz watanzania wako tayari kuuza utu wao Kwa kupewa chochote kile ambacho hakiwezi msaidia mtu hata ndani ya week mbili kutatuwa shida zake afu miaka mitano anaishi Kwa shida.
Mheshimiwa wakili msomi tafadhali ninakuomba pia uhoji mkataba wa milele kati ya dini yako na chama cha mapinduzi. tafadhali sana hoji huo mkataba ndipo watu wa dini nyingine waweze kuwaamini kama nyinyi ni watetezi wa rasilimali za nchi. Aksante.
Watanzania wangapi wanastahili kupewa nafasi hiyo mpaka anapewa marehemu je vipi kwa wageni kupewa teuzi mbali mbali ndani ya nchi yetu watanzania tutaamka lini kuipigania nchi yetu
Wana msifia Kwa sababu magufuli alifunga koki ya wizi wa fedha za serikali aliyepo amefungua koki wanachota sisi wanainchi ndio tuko kama punda tumebeba magunia ya misumari au tozo awamu hii wajipange kutuua vinginevyo nishida
Watanganyika tuamke tunawajengea kitu gani watoto zetu na wajukuu zetu tunangalia tu watu wachache kikundi Cha wahuni wachache wanamua kuuza urithi wetu tuliyo pewa na mungu tuko kimya some time tunawashambulia hata wale wanao tetea tusiwe vichwa vya puuzi tukataye ongera wakili msomi peter Kwa elimu hii
HIZO PHD ZINGINE NI 'RUSHWA'....'HONGO'....'DHARAU'....AKINA MWALIMU NYERERE, KAUNDA, OBOTE, SAMORA, MANDELA, NKURUMAH, SEKOU TURE NA MARAIS WENGINE WENGI WALIZIKATAA....!
Ni kweli. Huku Arusha hilo limethibitika pasi na shaka. Sijui mikoa mingine kukoje huko.Labda mkuu wetu wa mkoa apelekwe mikoa yote akayaibue nako huko. Mungu atudaidie.
Tungekuwa na majaji angalawo ,50.tanzania taifa hili ccm mungeongoza milele. tuna majaji wa kusifia yupo jaji tanzania ambaye akiendesha kesi wanaweza wakaweka mfano kuwa jaji x aliendesha kesi fulani inayo fanana hii dunia ikasoma sisi ni wamadarasa 7. Tunafika hatua ya kudharau majaji.si mnachama chenu anaye kosea mtimuweni anawaibisha mkikaa totoro mnawekwa kundi moja.
Kwani sisi tulimkosea nini Mungu mpaka akili zetu zinakosa akili kwa kiwango hiki?
Hongela ndugai
Madeleka 100% kwako
Alisema Ndugai
Alisema inchi inauzwa na imeuzwa Kwa mwarabu kweli
Madereka you deserve, your clarification enlightes the horizon of our thinking to all instruments of the government.
Machawa mpaka mahakami. Tumekwisha
Eee Mungu wa huruma tusaidie baba
Hapa ni kama tunampigia mbuzi gitaaa mziki hausikii. Dawa ni kuungana na kuingia barabarani kuitoa hii serikali dhalimu. Hizo PhD zinatia kinyaaa
Stand up with justice being witnesses for God. And then even if it against your own people. (Quran 4:135)
Mungu akuinulie nuru ya uso wake.Akubaliki sana.
Naomba kipindi nchi inauzwa niwe nimepumzika kwa amani.
Machawa ndio tatizo, wapo pale kwa maslahi yao, hakuna mzalendo hata mmoja pole
We told you people no palament only ccm protocol committee run national that why what call mp always follow lnstruction from gavment what to do where the cabinet of minister ccm protocol committee
Viongozi wetu tuwe makini Kenya Zambia na leo South Africa
We jamaa unaakili kubwa nchi inachakazwa vibaya tunashangilia nakupongeza a kwa ujinga
Kwani ziara za makonda si niwazi zilionyesha tuna mahakama za namna Gani mi nawaombea watu wa Tanzania waamke vinginevyo itakuwa shida sana coz watanzania wako tayari kuuza utu wao Kwa kupewa chochote kile ambacho hakiwezi msaidia mtu hata ndani ya week mbili kutatuwa shida zake afu miaka mitano anaishi Kwa shida.
Maslai ya nchi yanatakiwa kutetewa na kila mtanzania wapenda haki.
Watanganyika tunapigwa kisayansi na wazanzibari tutafilisiwa kill kitu viongozi hawa wameamua kutuuza hasa tanganyika inauzwa zanziba wanastawi ndugai mliimbeza alipoema ukweli
Hawa watu wa magharibi wametumaliza kabisa kupitia viongozi wetu....
Watu Kama Hawa wenye akili wapo CHADEMA tu huwa wanaongea kwa uchungu kwa ajili ya masilahi ya inchi
Kaka. Upo vzulisana 0:36
Mheshimiwa wakili msomi tafadhali ninakuomba pia uhoji mkataba wa milele kati ya dini yako na chama cha mapinduzi.
tafadhali sana hoji huo mkataba ndipo watu wa dini nyingine waweze kuwaamini kama nyinyi ni watetezi wa rasilimali za nchi.
Aksante.
Duh kweli ww zwazwa
Watanzania wangapi wanastahili kupewa nafasi hiyo mpaka anapewa marehemu je vipi kwa wageni kupewa teuzi mbali mbali ndani ya nchi yetu watanzania tutaamka lini kuipigania nchi yetu
Nyerere alizikataa degree za namna hiyo.
Kila kuitwapo Leo ni mikopo jaman
Wana msifia Kwa sababu magufuli alifunga koki ya wizi wa fedha za serikali aliyepo amefungua koki wanachota sisi wanainchi ndio tuko kama punda tumebeba magunia ya misumari au tozo awamu hii wajipange kutuua vinginevyo nishida
Wakili msomi Maderaka namkubali sana
Watanganyika tuamke tunawajengea kitu gani watoto zetu na wajukuu zetu tunangalia tu watu wachache kikundi Cha wahuni wachache wanamua kuuza urithi wetu tuliyo pewa na mungu tuko kimya some time tunawashambulia hata wale wanao tetea tusiwe vichwa vya puuzi tukataye ongera wakili msomi peter Kwa elimu hii
VIVA KOMREDI MADELEKA....NGUVU YA UMMA ITAWANG'OA VIONGOZI WOTE MAFISADI MNAOUZA RASILIMALI ZA NCHI YETU.
HIZO PHD ZINGINE NI 'RUSHWA'....'HONGO'....'DHARAU'....AKINA MWALIMU NYERERE, KAUNDA, OBOTE, SAMORA, MANDELA, NKURUMAH, SEKOU TURE NA MARAIS WENGINE WENGI WALIZIKATAA....!
Tuamke watanzania kamawakenya
Selekari inakopa bila akili
Maderaka nikupe tawrifa kuwa TANZANIA hakuna bunge bali tuna kundi la wahuni wanaojiita wabunge maana hawahoji Chochote kinachofanywa na serikali.
Upigaji huo
Watendaji wote wa serikali ndugu yangu si waaminifu. Waambie hawa watu.
Ni kweli. Huku Arusha hilo limethibitika pasi na shaka. Sijui mikoa mingine kukoje huko.Labda mkuu wetu wa mkoa apelekwe mikoa yote akayaibue nako huko. Mungu atudaidie.
Mkuu pmj
Mimi nakataa katakata rais hateuwi ila wanamusaidia kuteuwa .huyu marehemu nani aliye mteuwa awajibike
Ndiyo tunaona taifa halina watu makini na kazi
Ambae hajakuelewa kwa hili bas huyo nisikio la kufa
Ukweli wa mungu viongozi wengi wafrika wamejaa sifa huku wazungu wakiingia mikataba ya kuiba madini wao PhD za kijinga na hewa pumbavu kabisa
Tungekuwa na majaji angalawo ,50.tanzania taifa hili ccm mungeongoza milele. tuna majaji wa kusifia yupo jaji tanzania ambaye akiendesha kesi wanaweza wakaweka mfano kuwa jaji x aliendesha kesi fulani inayo fanana hii dunia ikasoma sisi ni wamadarasa 7. Tunafika hatua ya kudharau majaji.si mnachama chenu anaye kosea mtimuweni anawaibisha mkikaa totoro mnawekwa kundi moja.
Madeleka 103%