MADELEKA AKIWASHA- HATUHITAJI RAIS MWENYE RUNDO LA MA PHD YASIYOWEZA KUTUSAIDIA KAMA WANANCHI!

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 06. 2024
  • Fuatilia Mwanzo TV Plus
    SUBSCRIBE CZcams Channel yetu
    Follow us on X, Facebook and Instagram

Komentáře • 44

  • @stephenletta8985
    @stephenletta8985 Před měsícem +3

    Kwani sisi tulimkosea nini Mungu mpaka akili zetu zinakosa akili kwa kiwango hiki?

  • @batwelimahenge7850
    @batwelimahenge7850 Před měsícem +3

    Hongela ndugai
    Madeleka 100% kwako

  • @evelynmwaimu-vd9jo
    @evelynmwaimu-vd9jo Před měsícem +5

    Alisema Ndugai

  • @othmarluwawilo8308
    @othmarluwawilo8308 Před měsícem +2

    Madereka you deserve, your clarification enlightes the horizon of our thinking to all instruments of the government.

  • @desiderihugo5704
    @desiderihugo5704 Před 8 dny

    Machawa mpaka mahakami. Tumekwisha
    Eee Mungu wa huruma tusaidie baba

  • @reginas1832
    @reginas1832 Před měsícem +2

    Hapa ni kama tunampigia mbuzi gitaaa mziki hausikii. Dawa ni kuungana na kuingia barabarani kuitoa hii serikali dhalimu. Hizo PhD zinatia kinyaaa

  • @user-so9fo5tv3j
    @user-so9fo5tv3j Před měsícem +2

    Stand up with justice being witnesses for God. And then even if it against your own people. (Quran 4:135)

  • @winniefridamutakyawa5943
    @winniefridamutakyawa5943 Před měsícem

    Mungu akuinulie nuru ya uso wake.Akubaliki sana.

  • @edisonpeter3894
    @edisonpeter3894 Před měsícem

    Naomba kipindi nchi inauzwa niwe nimepumzika kwa amani.

  • @abdallahkihanza482
    @abdallahkihanza482 Před měsícem

    Machawa ndio tatizo, wapo pale kwa maslahi yao, hakuna mzalendo hata mmoja pole

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 Před 18 dny

    We told you people no palament only ccm protocol committee run national that why what call mp always follow lnstruction from gavment what to do where the cabinet of minister ccm protocol committee

  • @MatronaThomas-wz5si
    @MatronaThomas-wz5si Před měsícem

    Viongozi wetu tuwe makini Kenya Zambia na leo South Africa

  • @jonfredkewe3451
    @jonfredkewe3451 Před měsícem

    We jamaa unaakili kubwa nchi inachakazwa vibaya tunashangilia nakupongeza a kwa ujinga

  • @georgekimasaofficial1629
    @georgekimasaofficial1629 Před měsícem

    Kwani ziara za makonda si niwazi zilionyesha tuna mahakama za namna Gani mi nawaombea watu wa Tanzania waamke vinginevyo itakuwa shida sana coz watanzania wako tayari kuuza utu wao Kwa kupewa chochote kile ambacho hakiwezi msaidia mtu hata ndani ya week mbili kutatuwa shida zake afu miaka mitano anaishi Kwa shida.

  • @ChristerKoku
    @ChristerKoku Před měsícem

    Maslai ya nchi yanatakiwa kutetewa na kila mtanzania wapenda haki.

  • @IbrahimKasambala-ts8re
    @IbrahimKasambala-ts8re Před měsícem

    Watanganyika tunapigwa kisayansi na wazanzibari tutafilisiwa kill kitu viongozi hawa wameamua kutuuza hasa tanganyika inauzwa zanziba wanastawi ndugai mliimbeza alipoema ukweli

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 Před měsícem

    Hawa watu wa magharibi wametumaliza kabisa kupitia viongozi wetu....

  • @samuelshunashu7705
    @samuelshunashu7705 Před měsícem

    Watu Kama Hawa wenye akili wapo CHADEMA tu huwa wanaongea kwa uchungu kwa ajili ya masilahi ya inchi

  • @MlelwaErasmo
    @MlelwaErasmo Před měsícem

    Kaka. Upo vzulisana 0:36

  • @djumakadege659
    @djumakadege659 Před měsícem

    Mheshimiwa wakili msomi tafadhali ninakuomba pia uhoji mkataba wa milele kati ya dini yako na chama cha mapinduzi.
    tafadhali sana hoji huo mkataba ndipo watu wa dini nyingine waweze kuwaamini kama nyinyi ni watetezi wa rasilimali za nchi.
    Aksante.

  • @PaskaliCharles-pz8ds
    @PaskaliCharles-pz8ds Před měsícem

    Watanzania wangapi wanastahili kupewa nafasi hiyo mpaka anapewa marehemu je vipi kwa wageni kupewa teuzi mbali mbali ndani ya nchi yetu watanzania tutaamka lini kuipigania nchi yetu

  • @maggiehiza5884
    @maggiehiza5884 Před měsícem

    Nyerere alizikataa degree za namna hiyo.

  • @SmilingFlowerBouquet-hs2hv
    @SmilingFlowerBouquet-hs2hv Před měsícem

    Kila kuitwapo Leo ni mikopo jaman

  • @SundaySteven-bz4yq
    @SundaySteven-bz4yq Před měsícem +1

    Wana msifia Kwa sababu magufuli alifunga koki ya wizi wa fedha za serikali aliyepo amefungua koki wanachota sisi wanainchi ndio tuko kama punda tumebeba magunia ya misumari au tozo awamu hii wajipange kutuua vinginevyo nishida

  • @daudisalum9574
    @daudisalum9574 Před měsícem

    Wakili msomi Maderaka namkubali sana

  • @francissimwinga-gb2vd
    @francissimwinga-gb2vd Před měsícem

    Watanganyika tuamke tunawajengea kitu gani watoto zetu na wajukuu zetu tunangalia tu watu wachache kikundi Cha wahuni wachache wanamua kuuza urithi wetu tuliyo pewa na mungu tuko kimya some time tunawashambulia hata wale wanao tetea tusiwe vichwa vya puuzi tukataye ongera wakili msomi peter Kwa elimu hii

  • @user-sl1ko9me7u
    @user-sl1ko9me7u Před měsícem

    VIVA KOMREDI MADELEKA....NGUVU YA UMMA ITAWANG'OA VIONGOZI WOTE MAFISADI MNAOUZA RASILIMALI ZA NCHI YETU.

  • @user-sl1ko9me7u
    @user-sl1ko9me7u Před měsícem

    HIZO PHD ZINGINE NI 'RUSHWA'....'HONGO'....'DHARAU'....AKINA MWALIMU NYERERE, KAUNDA, OBOTE, SAMORA, MANDELA, NKURUMAH, SEKOU TURE NA MARAIS WENGINE WENGI WALIZIKATAA....!

  • @JoshuakaruJoshu-pk3es
    @JoshuakaruJoshu-pk3es Před měsícem

    Tuamke watanzania kamawakenya

  • @FrankasamisyeMwaiswasu
    @FrankasamisyeMwaiswasu Před měsícem

    Selekari inakopa bila akili

  • @wanguwangu34
    @wanguwangu34 Před měsícem

    Maderaka nikupe tawrifa kuwa TANZANIA hakuna bunge bali tuna kundi la wahuni wanaojiita wabunge maana hawahoji Chochote kinachofanywa na serikali.

  • @FrankasamisyeMwaiswasu
    @FrankasamisyeMwaiswasu Před měsícem

    Upigaji huo

  • @leobalige7069
    @leobalige7069 Před měsícem

    Watendaji wote wa serikali ndugu yangu si waaminifu. Waambie hawa watu.

    • @sophiemsuya6507
      @sophiemsuya6507 Před měsícem

      Ni kweli. Huku Arusha hilo limethibitika pasi na shaka. Sijui mikoa mingine kukoje huko.Labda mkuu wetu wa mkoa apelekwe mikoa yote akayaibue nako huko. Mungu atudaidie.

  • @prochesytesha8040
    @prochesytesha8040 Před měsícem

    Mkuu pmj

  • @emanuelsinyinza
    @emanuelsinyinza Před měsícem

    Mimi nakataa katakata rais hateuwi ila wanamusaidia kuteuwa .huyu marehemu nani aliye mteuwa awajibike
    Ndiyo tunaona taifa halina watu makini na kazi

  • @fredrickmwakalinga6390
    @fredrickmwakalinga6390 Před měsícem

    Ukweli wa mungu viongozi wengi wafrika wamejaa sifa huku wazungu wakiingia mikataba ya kuiba madini wao PhD za kijinga na hewa pumbavu kabisa

    • @emanuelsinyinza
      @emanuelsinyinza Před měsícem

      Tungekuwa na majaji angalawo ,50.tanzania taifa hili ccm mungeongoza milele. tuna majaji wa kusifia yupo jaji tanzania ambaye akiendesha kesi wanaweza wakaweka mfano kuwa jaji x aliendesha kesi fulani inayo fanana hii dunia ikasoma sisi ni wamadarasa 7. Tunafika hatua ya kudharau majaji.si mnachama chenu anaye kosea mtimuweni anawaibisha mkikaa totoro mnawekwa kundi moja.

  • @victorkisenha5933
    @victorkisenha5933 Před měsícem

    Madeleka 103%