MSAFARA WA LISSU WAINGILIWA, WASIOJULIKANA WAMFUATA KWA NYUMA, WASIPOJITOKEZA, ATAWAANIKA HADHARANI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 4. 06. 2024
  • #TANZANIA: Msafara wa Lissu waingiliwa, watu wasiojulikana wafuatilia msafara wake hadi kwenye mkutano wake katika Jimbo la Singida Kaskazini, awapa muda wajitokeze, wasipojitokeza kesho Alhamisi atawaanika, apata picha zao.
    Zaidi: • MSAFARA WA LISSU WAING...
    Fuatilia Mwanzo TV Plus
    SUBSCRIBE CZcams Channel yetu
    Follow us on X, Facebook and Instagram

Komentáře • 85

  • @SundaySteven-bz4yq
    @SundaySteven-bz4yq Před měsícem +17

    wakitaka kukufanyia ya miaka ile hawata toboa sisi wanainch tukomacho lisu oyeeeeeee 😅❤❤❤

  • @tumainimwaifunga3884
    @tumainimwaifunga3884 Před měsícem +15

    Mungu akulinde na kukutea na Damu ya Yesu ikufunike popote ukanyagapo🙏🏽

  • @florencejohn6427
    @florencejohn6427 Před měsícem +16

    Jamaa anajua sana kuelezea mambo

    • @zawadimbwambo1091
      @zawadimbwambo1091 Před měsícem

      Ni fundi wa mpangilio wa maeneo yenye akili Sana. Sijawahi ona tangu niwaone wanasiasa. . Ana akili kuwazidi ndio maana wanamuonea wivu. Mungu ni hakimu mzuri.

  • @adorchmassimba4413
    @adorchmassimba4413 Před měsícem +12

    Kama unatetea Haki ya watz mwenyezi Mungu atakutetea ktk jina la Yesu Amin

  • @usembiphonedar5632
    @usembiphonedar5632 Před měsícem +5

    Tundulissu nakuombea Mungu akulinde daima, hao wanaokufuata kimya kimya siyo watu wazuri! Kwani kama wangekuwa watu wazuri wasingekuja kimya kimya! Hebu waweke wazi ili washughulikiwe na wananchi! Kama wataendelea kimyakimya hebu onyesha vijana wako na wananchi kwamba hawa ili wananchi washughulike nao! Kama wametumwa wajaribu tena waone Mungu atakavyokutetea!!!

  • @MiriamAbdallah
    @MiriamAbdallah Před měsícem +7

    Tanganyika yetu Amani inayoimbwa na viongozi wa chama na serikali I WAPI🤔🤔🤔🤔💔

  • @user-mm6sm9rt9x
    @user-mm6sm9rt9x Před měsícem +3

    Mungu akulinde kaka Lissu
    For sure you create much awereness among the Tanzania!
    Binafsi Toka nimeanza kukusikiliza nakuaminia sana
    Uoga nishaachana nao!

  • @ponsianomnyaru9140
    @ponsianomnyaru9140 Před měsícem +7

    Wasenge waache usenga ww Ndo mtetez wetu mungu atakulinda

  • @nakalikyumile3234
    @nakalikyumile3234 Před měsícem +7

    Hivi tunashindwaje kuwateka nao hao waitwao "wasiojulikana???"kulalamika lalamika tu ni uzembe,ifikie kipindi chadema izalishe vijana wakakamavu wenye ujuzi wa kutumia silaha zote,ili tudili vema na hawa wapuuzi,kama noma na iwe noma

  • @jerumayamwasomola1065
    @jerumayamwasomola1065 Před měsícem +6

    Ameongea Kwa hisia sana

  • @evelina9621
    @evelina9621 Před měsícem +6

    Waulizeni
    Amani.ipo
    Selikali.jibu.?

  • @omaryidd4373
    @omaryidd4373 Před měsícem +6

    Lisu usifanye masihara Bado tunakuhitaji

    • @FrankMwakatundu-cu6bd
      @FrankMwakatundu-cu6bd Před měsícem

      Omary Idd ukimhitaji LISU, na wewe Mungu atakuhijitaji Damu ya Lisu mikononi mwako na kamwe hayuko mwanadamu yeyote awezae kuilipa damu ya mtu!!!! Utabaki na majuto, kilio na kusaga Meno milele kwa ujinga wako kisa uchawa tu uchawa wenyewe mnaambulia MAKOMBO YA MAFISADI WAO WANAKULA VINONO ILA NI HARAMU!!! NCHI NI YETU SOTE TUBISHANE KWA HOJA ZA NGUVU SI KWA KUMWAGA DAMU MAKUSUDI NA ATENDAYE DHAMBI KWA MAKUSUDI HAKUNA MSAMAHA KWA MUNGU MILELE. OGOPA SANA HILO.

  • @JacksonBayyo-uo3eg
    @JacksonBayyo-uo3eg Před měsícem +4

    Uwe na amani usiogope🎉

  • @musamwambene1323
    @musamwambene1323 Před měsícem +1

    Lisu mwana siasa wa pekee sana mungu akusimamie sana

  • @user-ij2lp1om6i
    @user-ij2lp1om6i Před měsícem +5

    Nashikwa na hasira sana na hao watu

    • @eliajimmy95
      @eliajimmy95 Před měsícem +1

      Atuonyeshe tu hao watu watajua hasira za sisi wananchi

    • @ElizabethMwalongo
      @ElizabethMwalongo Před měsícem

      Yaani wasijaribu Mungu wa Tundulisu anatisha

  • @tibbsminja2575
    @tibbsminja2575 Před měsícem +3

    TAIFA, SERIKALI, POLISI JE BADO MTAKAA KIMYA KWA HILI NALO!!
    KAMA.MLISHINDWQ KUFANYA UCHUNGUZI ina maana bado mnamfuata!!
    Ni Uchungu mkubwa sana kama haya mambo mnayo!!
    Jeshi la polisi mmemsikia msikae kimya kwa hili !

  • @ramadhanmahongole9293
    @ramadhanmahongole9293 Před měsícem +2

    Hao wadhalimu Hawata weza kwa jina la Yesu allah akbar

  • @avithmassawe8205
    @avithmassawe8205 Před měsícem +2

    Kuna jamaa kavaa koti la jeans kabeba kibegi hapo naona kajistukia kafichaficha uso, kageuka baada ya kuona camera inam mulika yeye akaamua kuondoka. Ndo mmoja wapo ama??

  • @tibbsminja2575
    @tibbsminja2575 Před měsícem +3

    Iliyobakia ni Kupiga kelele kote.
    CDM mko wapi? Viongozi amkeni mtoe matamko kwa umma na Jeshi la Polisi!

  • @AlexChawe
    @AlexChawe Před měsícem +3

    Hao walio tumwa watageukana wenyewe watafungana kwenye viroba watakufa wao

  • @user-ms6wc7ug6w
    @user-ms6wc7ug6w Před měsícem +1

    Dah maskini lisu anapambana sana aise,mungu amjalie

  • @user-cz3gk2op9r
    @user-cz3gk2op9r Před měsícem +3

    Perfect

  • @gallegalleson4427
    @gallegalleson4427 Před měsícem +2

    Wanaweza kumwua , tatizo vita wanamiliki uchumi yaani CCm anawavua nguo wako uchi!!

  • @lonyorilaizer2649
    @lonyorilaizer2649 Před měsícem +2

    Jembe la Taifa

  • @user-gr9wc7bc2m
    @user-gr9wc7bc2m Před měsícem +1

    Dawa yake wakamatwe na wanainchi wamaeneo hayo wapigwe sana

  • @saiddaji6342
    @saiddaji6342 Před měsícem +1

    Mungu akulinde jembe letu

  • @JacksonMahende-ho2wb
    @JacksonMahende-ho2wb Před měsícem +1

    Hao washighulikiwe na wananchi mapema Kwa kipigo na kuchoma Hilo gari kama hawajilikani

  • @user-kj5jp2ii5n
    @user-kj5jp2ii5n Před měsícem +1

    Mbunge wa hapo ni nani? Alihusika vipi na issue ya Dr. Ulimboka kung'olewa kucha? Anzieni hapo kwanza!

  • @JacksonFrances
    @JacksonFrances Před měsícem +1

    HAO WASIOJULIKANA KWANINI Mheshimiwa Lissu USITUONESHE TUANZE KUWASHUGHULIKIA ILI IWE FUNDISHO KAMA HAWATAKI KUJITOKEZA HADHARANI ?"

  • @ahmedhamis
    @ahmedhamis Před měsícem +1

    Ngoja tukusaidie kazi ya kupambana nao

  • @allyshaban406
    @allyshaban406 Před měsícem

    Ok

  • @e11said23
    @e11said23 Před měsícem +1

    Unaweza kusoma sawasawa kama wewe lakini mzee yani wewe una mamayako yeye hawezi kua mama yako unaashiria nini kwa maoni yangu daa pole mzee tafuta sera ama chukua mamilion unayo pewa ya demokrasia yako upige round tu

  • @HijaSaid-xd7fg
    @HijaSaid-xd7fg Před měsícem

    Kama mnijua hiyo gari kwani msiwaue, maana wataendelea kuua kutesa

  • @clemencemarcelli3365
    @clemencemarcelli3365 Před měsícem

    Naomba muungano wetu ujitetee na siyo viongozi kuutetea, kama ni mzuri utajitetea, kama unafaida utajieleza la sivyo serikali 3 ndiyo mwarubaini hauepukiki

  • @SelijusiMalambo-rh6sf
    @SelijusiMalambo-rh6sf Před měsícem +3

    Sasa nikulize magufuli yupo hapo hao niwanani unajua kaka jitaidi usikariri walifu wabaya wapo tu Leo magufuli hayupo hao wanatoka wapi chukua tahadhari nahao vibaka

    • @GodfreyOsward
      @GodfreyOsward Před měsícem +2

      Season moja inaitwa PORUS. Ni nzuri kuingalia. Wahusika PORUS, mfalme Alexander, mfalme bamni, dalayasi. Nchi ambayo mfalme Alexander na dalayasi walitaka kuiteka na kumiliki kwa sababu ya utajiri. Wake. Season hiyo inaweza kuelezea hali halisia ya nchi nyingi za kiafrika.

    • @MataighaTiro
      @MataighaTiro Před měsícem

      Kwa hiyo nawewe unatuzibitishia kua magu ndio alitekeleza au mnaumia kila kitu

    • @SelijusiMalambo-rh6sf
      @SelijusiMalambo-rh6sf Před měsícem

      @@MataighaTiro hujuwi kuhoji soma vizuri SMS nimekuliza milimtuhumu magufuli kua ndio alie watuma Leo hao wametumwa nanani

  • @user-md7sd3hk6l
    @user-md7sd3hk6l Před měsícem

    mungu hata hendelea kuku linda hende lea kutu tetea

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 Před měsícem

    Watu wasiojulikana na serikali yenye mamlaka,na mkono mrefu wanatutisha,na kutudharau kwasababu ni kundi lililoundwa kisiasa na serikali,kwa faida za kisiasa. Ni aibu,na uongo kwa serikali kukaa kimya tangu 2015 mpaka 2024!

  • @user-xe8xv6so6s
    @user-xe8xv6so6s Před měsícem

    Kiukweli lisu nimkombozi wetu. Nikiwa Chama tawala mnampiga vita. Basi anayosema ni ya kweli. Na ukweli huuma mungu anamakusudi nae. Msitake kushindana na mungu.

  • @ajmstationery6157
    @ajmstationery6157 Před měsícem

    Brother Lisu usikawie kuwaweka hadharani tafadhali, ni hatari haina haja ya kuwataarifu

  • @prospermalala6636
    @prospermalala6636 Před měsícem

    Hakika IQ kubwa inawatesa Sana CCM, unafundisha elimu kubwa sana ndani ya Taifa letu, Sasa CCM uwezo wa kujibu hoja zinazo elimisha jamiii ielewe kinachojiri kwenye Taifa letu, ndiyo maaana wamekuwa waoga wakiambiwa ukweli wanakimbilia bunduki, wakizani wapo salama ktk USO wa Dunia, Mungu yupo pamoja nawe ktk kuielimisha/ Tanganyika yetu

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Před měsícem +3

    👍✌️🙏.

  • @didaslunkoto
    @didaslunkoto Před měsícem

    Hata 2017 ulisema mapema kuna gari linakufuata kila mahali matokeo yake yakawa kama yalivyokuwa.
    MUNGU mkuu akulinde. Malaika wa Bwana wakuzingire

  • @judicateurassa7817
    @judicateurassa7817 Před měsícem

    Íli watanzania wawajue

  • @samwelnevele7796
    @samwelnevele7796 Před měsícem

    Acha ujinga lisu mzazi anapaswa kujua mwenendo wa mtoto wake

  • @evelynmwaimu-vd9jo
    @evelynmwaimu-vd9jo Před měsícem +1

    Washindwe

  • @malingazeboss9351
    @malingazeboss9351 Před měsícem

    Time hii hatoki mtu... Lisu akiwanyoshea kidole tu tuna chinja wote hatuta jali chochote.

  • @judicateurassa7817
    @judicateurassa7817 Před měsícem

    Mheshimiwa tunakuomba utuonyeshe hao wasiojulikana

  • @AthumanDauda
    @AthumanDauda Před měsícem

    Mungu mkubwa atakulinda

  • @deogratiustweve2611
    @deogratiustweve2611 Před měsícem

    Chamaa kiandae vijanaa wakakamavu

  • @dottomatola5905
    @dottomatola5905 Před měsícem

    Akili ya kuambiwa changanya na zako

  • @theonalyalfred8087
    @theonalyalfred8087 Před měsícem

    Waseme mapema watakuuwa

  • @gangan4618
    @gangan4618 Před měsícem

    Wageni waondoke by mbarikiwa

  • @BarakaYasini-lp3ys
    @BarakaYasini-lp3ys Před měsícem

    Catholic church movement yani ccm 7:31

  • @esthermakelemo2864
    @esthermakelemo2864 Před měsícem

    Tuonyeshe tu

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vz Před měsícem

    Utrina ubee Lissu tozo,zimetuumiza 25000 hio kutesa raia, shule zilkwepo,mkoloni alijenga shule nyingi,hakukua na mchango,wino na madaftar ilikua bure, hio n kweli,huna baya,

  • @user-qk9iz5lt8q
    @user-qk9iz5lt8q Před měsícem

    HAO WANAOMFWATILIA MHESHIMIWA LISU WAACHE MARA MOJA WAKIMDHURU TENA HAPATATOSHA ,DAMU YETU ITAKUWA CHAI. WATAINYWA. HATUTAKUBALI TENA. YANAYO SEMWA NA TUNDU LISU YANAUKWELI 100%

  • @allyshaban406
    @allyshaban406 Před měsícem

    Kamanda tuambie tuanze nao,

  • @MohammedAwadh-gq9si
    @MohammedAwadh-gq9si Před měsícem

    Sasa gari linakufuata na umewaona si uwaulize ? Kama uliomba ulinzi vipi uwaongope hao walinzi? Usilete ngojera hapa ,! Sasa kila mahali ulipo.wapo mbona wasikudhuru?

  • @user-gr9wc7bc2m
    @user-gr9wc7bc2m Před měsícem

    Safari watasababisha machafuko

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 Před měsícem

    Tanzania strong hold opposition tundundulisu complain about been following by car wich they don't adentefy every place whatever goes on his rally give them worning and say has got no trust with. That car if is gavment car following him every place whatever goes has say tundundulisu if your a gavment official better tell me saylence or l tell my saport to do what they can because al afraid following by car wich l don't adentefy it can be seem problem wich was happening on palament Palestina place been shooted by 16 bullet
    Tundundulisu explanation if truth mince ccm leadership is they responsibility to protect this tanzania opposition by all cost Incase happened again his life been lost will be a big problem into Tanzania gavment because every where opposition has to be protected by send gavment even if is opposition we sighin agreement on intranational ecle protect opposition into Tanzania national consern his life is under ccm leadership protection remember has came out under German embassy security goes outside of tanzanian world is worching tundundulisu vary close and Africa national following tanzania politics vary close is up to ccm leadership see strong hold opposition in vary sensitive way let asepty compation of politics like Kenya Malawi Zambia sauthafrica the end of day tanzania is one send peaple seem national we are not spouse to be one single nation we hart each other or crush among ourselves we are Tanzania into one single nation call Tanzania

  • @Charleshangaya
    @Charleshangaya Před měsícem

    Unasema hukulia niwewe hata hivyo hatuwalilii waliokufa maana tumaini letu si kwa wafu usilaumu wafu lisu mwanga sela zako achana na magufuli hicho nichwa kingine tz hapa tukuambie

    • @leahmgunda4154
      @leahmgunda4154 Před měsícem

      Pontio Pilato anatajwa kila siku tukumbukapo kesi ya Yesu Pilato yupo? Historia haijawahi kufa.

  • @emmanuelymganga5737
    @emmanuelymganga5737 Před měsícem

    usiogope MKUU

  • @SelijusiMalambo-rh6sf
    @SelijusiMalambo-rh6sf Před měsícem +1

    Acha uoga piga kazi usiogope

  • @ayububrantaya6624
    @ayububrantaya6624 Před měsícem

    Zamu yao tuambie tu tunyoke nao

  • @samsonmweta5040
    @samsonmweta5040 Před měsícem

    Kiki

  • @BarakaYasini-lp3ys
    @BarakaYasini-lp3ys Před měsícem +1

    Tanu ni Tanganyika afrika nation union Asp ni Afrika shilazi part unganisha vyama hivi viwili Kama utapata hata helufi moja ya ccm bari ccm utapata Catholic church movement

    • @sylvestercameo6263
      @sylvestercameo6263 Před měsícem +1

      Akili ikusaidie kukuongoza kufika msalani!, Kuhusisha CCM na mambo ya dini ni utapia mlo wa akili. Orodhesha viongozi wakuu wa CCM kila mmoja na dini yake tujue ni wangapi ni wakatoliki. Acha chuki na uchochezi wa kidini, vinginevyo ni ukosefu wa akili na hoja!

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah Před měsícem

      Huu kuweka udini au udhehebu na ukosefu wa ufahamu acha huo upumbavu jitafakari

  • @hildandumbalo5827
    @hildandumbalo5827 Před měsícem

    Mungu akulinde Lisu

  • @musamwambene1323
    @musamwambene1323 Před měsícem

    Lisu mwana siasa wa pekee sana mungu akusimamie sana

  • @dottomatola5905
    @dottomatola5905 Před měsícem

    Akili ya kuambiwa changanya na zako