LISSU AKINUKISHA MANG'ONYI SINGIDA MASHARIKI, "UBUNGE WA MTATURU ULIKUWA UNATEGEMEA KIFO CHANGU"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 13. 06. 2024
  • #TANZANIA: Tundu Lissu akinukisha kata ya Mang'onyi jimbo la Singida Mashariki, awavaa Rais Samia na Mbunge Mtaturu, adai aliupata Ubunge uliotokana na damu yake.
    Zaidi: • LISSU AKINUKISHA MANG'...
    Fuatilia Mwanzo TV Plus
    SUBSCRIBE CZcams Channel yetu
    Follow us on X, Facebook and Instagram

Komentáře • 13

  • @rogersiddy
    @rogersiddy Před měsícem +4

    Dah huyu mtu na nusu kbs akili mingi adi zinamwagika hongera kwa kuwapa elimu wananchi ambayo ccm hawawezi kuwaelimisha wananchi

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 Před měsícem +3

    Hongera sana Shujaa wetu

  • @SamwelKazembe
    @SamwelKazembe Před měsícem +3

    Usiliache kuliongelea hiili mweshimiwa

  • @JacksonFrances
    @JacksonFrances Před měsícem +1

    😅😂😂😂 KWELI KAMANDA LISSU HATA UPIGE SPANA MPAKA USIKU TUNAKUPENDA SANA MAANA WEWE NI CHAGUO ĹETU FOREVER "

  • @JacksonFrances
    @JacksonFrances Před měsícem +1

    Piga Spana Kiongozi Lissu Taifa Linaalibika Na Kuangamia Kupitia Hili Lichama La CCM,
    Hayo Unayozungumza CCM Wao Wanajua Kusifiana Ujinga Na Uchawa Wa Kijinga "

  • @mamlomamlo9064
    @mamlomamlo9064 Před měsícem +2

    Tundu lisu zindabad

  • @user-qb6is7sm3l
    @user-qb6is7sm3l Před měsícem

    Fikeni na Sumbawanga (Rukwa)

  • @user-fw6xu8gn2q
    @user-fw6xu8gn2q Před měsícem

    Msenge wee lisu jembe ccm wezi watupu niambie ktk ripoti ya ceg nani ameshitakiwa Kwa wizi wa pesa za serikali!

  • @user-fw6xu8gn2q
    @user-fw6xu8gn2q Před měsícem

    Pumbavu zako chawa umepewa pikipiki sio?

  • @MohammedAwadh-gq9si
    @MohammedAwadh-gq9si Před měsícem

    Na ndio hapo hapo nyumbani kwenu na ukiwa mbunge miaka Kumi ! Hakuna hata moja ulilolitekeleza! Mimi ni miongoni mwa waliokupigia kura lakini nilijuta kukuchagua ! Mbele ya utawala wako tulinyanganywa migodi ya dhahabu hukututetea! Aibu kubwa kabisa kudanganya watu hadharani

    • @margarethsolomon9823
      @margarethsolomon9823 Před měsícem

      Ni vizuri sana akili yako ikipimwa. Unaelezwa Bandari zimeuzwa, kiwanja kikubwa Cha kimataifa Cha KIA kimeuzwa, ngorongoro nk vimeuzwa na watu kukosa maeneo ya kuishi. Huko uliko kama una biashara unamalizwa na tozo, hadi za mazao yako, lakini huelewi. Unadai hakufanya maendeleo yoyote akiwa mbunge. Swali, angefanya nini ili hali yeye alikuwa mbunge upande wa upinzani ambao watawala ndio wameshika pesa zote. Tumia akili3hata ndogo tu kufikiri. Hamtakuja kuondokana na hayo anayoyaeleza Tundu Lisu. Utapata dawa dukani sio hospital, utakazwa tozo ya kutuma pesa kwa mamako au shangazi yako, utatoa mchango shuleni mpaka Mtoto wako amalize shule ya msingi.

    • @fwc5552
      @fwc5552 Před měsícem

      Singida ni masikini kwa sababu ya watu kama ww wajinga kutupwa hawana akili wabinafsi na ni ziro brain

    • @MohammedAwadh-gq9si
      @MohammedAwadh-gq9si Před měsícem

      @@margarethsolomon9823 kweli akili ni Mali na aliyewaita manyumbu apewe maua yake! Yaani huna kumbukumbu kabisaaa! Eti Kia,sijui ngorongoro,sijui nini! Haya zimeuzwa kiasi gani shogaangu ! !