ASKOF MWANAMAPINDUZI "SAKATA LA MPINA NI KESI YA NYANI KWA NGEDERE/ALIPO UWANJA SIO WAKE

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 7. 07. 2024
  • ASKOF MWANAMAPINDUZI "SAKATA LA MPINA NI KESI YA NYANI KWA NGEDERE/ALIPO UWANJA SIO WAKE
    🔘JE, NA WEWE UNA HABARI?
    🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402),
    🔘WhatsApp (+255 692 318213)
    🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com
    🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionline.com

Komentáře • 50

  • @user-jt4lo1og8w
    @user-jt4lo1og8w Před 16 dny +5

    Tumekuelewa mchungaji,tumekuelewa❤❤❤❤❤❤

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 Před 16 dny +9

    Mpina hata iweje yupo juu

    • @KaburuKimath-eu5nf
      @KaburuKimath-eu5nf Před 16 dny +1

      Mimi sihauri kumchukua mpina Kwa sababu tumejifunza Kwa Mzee WA monduli tutafute watu ambao sii mamluki

  • @eliassumila8173
    @eliassumila8173 Před 16 dny +4

    Tunakusikiliza,Tunakuamini sana Lz

  • @AthumanDauda
    @AthumanDauda Před 15 dny +2

    Ccm yasasa imerudi kule ktk zama za upigaji magufur alisema ccm aina watu waadilifu ispokua inamajiz TU ngoja niatumbue amkeni watanzania wanyonge

  • @SundaySteven-bz4yq
    @SundaySteven-bz4yq Před 16 dny +3

    Ukitaka kuwa mkweli ondoka ccm maana hao ni majambazi wameshikwa mikono na police pamoja natume ila 2025 afe beki afe kipa

  • @chezariboy
    @chezariboy Před 16 dny +2

    Big up, mwanamapinduzi

  • @Mima-cl2im
    @Mima-cl2im Před 15 dny +2

    Kesi ya Mpina imewashangaza wengi. Wamemugeuzia Mpina yeye ndiye akawa mshitakiwa. Bashe yumo kweye chama cha mafisadi kilichoteka Bunge. Hata Rais Magufuli aliposhika uongozi walifikiri atakukuwa kama wawo. Alipigana na ufisadi peke yake. Viongozi wetu wanajuwa wanaongoza watu woga na wajinga. Wanatuongoza wanavyotaka wawo, na sio wananchi.

  • @nakalikyumile3234
    @nakalikyumile3234 Před 16 dny +3

    Kumchukua mpina ni ujinga,chadema izalishe watu wake,iache kuchukuachukua mamluki,ili kuepuka ya kina lowassa

  • @user-bj9ej7tt1k
    @user-bj9ej7tt1k Před 15 dny +2

    Namimi.msukuma.arinikera.sana.aririniumiza.sana.kumshaburia.mpina.mtetezi.wetu.wawanyonge.tuko.pamoja.nae.usku.namchana

  • @EdwardKwiyanga
    @EdwardKwiyanga Před 16 dny +4

    Ni kwel kbx msukuma anausalit ukweli alikuwa akihubir

    • @edsonkahesi8603
      @edsonkahesi8603 Před 15 dny

      Msukuma kwasasa hamna kitu na hamna kitu kabisa yule, nilianza kumdharau ktk sakata la bandari afu anadhani sisi hatujui kinachoendelea, tutampuuza na tutaendelea kumdharau.

  • @Wiittole
    @Wiittole Před 16 dny +2

    Tafadhalini sana chadema msije muingiza mpina ktk chama chenu.ccm wanajua hawatakiwi ktk nchi hii kutokana na ufisadi waliofanyia watz kwa muda wote.hivyo ukikaribia uchaguzi lzm watengeneza mamluki waje kuvuruga upinzani,na huu ni mkakati tu kumtoa mpina lao ni moja.

  • @daudimaembe3360
    @daudimaembe3360 Před dnem

    Tanzaniaaaaaaaa my mother country,kwa nini lakini yanakuwa haya.Lakini mtu mwenye haki atastawi kama mtende(Mpina).

  • @MukameMachel
    @MukameMachel Před 14 dny +1

    Askofu Yuko SAWA kabisa, hiyo adhabu kwa mpina hakustahili kabisa

  • @lucaschisamalo2852
    @lucaschisamalo2852 Před 16 dny +1

    Mpina kama msigwa tu alivyotolewa uwaziri ndokabadilika chadema tutashinda bila kuchukua mamuluki

  • @user-jb3tr9id6z
    @user-jb3tr9id6z Před 14 dny

    Mwana mapinduzi uko sawa kabisa hupepesagi macho kwenye ukweli

  • @AlfredMwakabana
    @AlfredMwakabana Před 16 dny +1

    Hivi tulia anakili kichwani mpina mwacha unachafuka mimi ni mwana mbeya unitia aibu mbona nakwani sana mamaangu mimi niko uyole

  • @kijadogan6711
    @kijadogan6711 Před 11 dny

    Mpina endelea kukaza msuli na Mungu akutangulie

  • @jakobongwara3038
    @jakobongwara3038 Před 16 dny +1

    Inamaana ndugumwandishi kumwita kwenye chama inamana kure kunauraji watasema sisi wezi Sasa mpina urikura Nini? Mpaka umelopoka msihangaike maombi yawananchi nimakubwa ameamua walopoke nabaado hirotela

  • @eliasnshashi3196
    @eliasnshashi3196 Před 11 dny

    Mpina yupo sawa hata alipokuwepo hayati magufuli msimamo wake kutetea masilahi ya watanganyika maskini kila hoja zake zipo makini

  • @edsonkahesi8603
    @edsonkahesi8603 Před 15 dny +1

    Yani Tanganyika tuna viongozi wezi, wezi, wezi kupindukia na hadi wanamob waandishi wa habari mfano yule mwenyekiti wao ili atetee kilichofanywa na bashe na yule spika wake.

  • @user-di9yb2pb7w
    @user-di9yb2pb7w Před 16 dny +2

    Duh

  • @JosephMagige-lf9ns
    @JosephMagige-lf9ns Před 15 dny +1

    Pamoja mchungaji

  • @JoyceKabula-in1sh
    @JoyceKabula-in1sh Před 15 dny +1

    Pina karibu mpina cdm

  • @JeremiaholendikaMakeseni
    @JeremiaholendikaMakeseni Před 15 dny +1

    Musukuma ni mafiki tu anatea tumbo yake tuu

  • @TemuCalvinWilbard
    @TemuCalvinWilbard Před 16 dny

    Hapa Uganda kilo ya sukari ni Ug shs 4000 ambayo ni sawa na Tshs 2600

  • @Nasibuhelemani
    @Nasibuhelemani Před 15 dny +1

    Mchungaji uko sawa tulia ubunge aspire tena

  • @islamsultan8563
    @islamsultan8563 Před 12 dny

    Tanzania 😢

  • @raykas9976
    @raykas9976 Před 14 dny

    Msukuma na kibajaji nilikuwa nawaheshimu sana na kuwapenda km wabunge watetezi wa haki za wananchi lkn kwa swala la Mpina nimeona ni wachumia tumbo hawana lolote.

  • @marandoruzali1946
    @marandoruzali1946 Před 15 dny

    Umesema kweli kiongozi

  • @usembiphonedar5632
    @usembiphonedar5632 Před 12 dny

    Vibaraka wa ccm walitumika kumpinga Mpina! Msukuma na wote waliyompinga Mpina ni Machawa wa ccm!

  • @SeverinepauloPeter
    @SeverinepauloPeter Před 15 dny +1

    Sukari siyo kisesa ni ya tanzania makuma hawa na spika wao

  • @user-rc1dp6ux3k
    @user-rc1dp6ux3k Před 14 dny +1

    Bunge la mchongo spka wa mchongo

  • @usembiphonedar5632
    @usembiphonedar5632 Před 11 dny

    Mch.hao mafisadi usingetoa ushauri wa kuwasaidia ccm majizi!

  • @AthumanDauda
    @AthumanDauda Před 15 dny

    Msukuma anajiras nampina pia rusinde nichawa kiufp ccm imerud kuli k

  • @user-mo3ik6go6r
    @user-mo3ik6go6r Před 14 dny

    Hakuna mbunge wa ccm niliyo namuhamin rasaba mwezangu msukuma rakini

  • @HamzaHeri
    @HamzaHeri Před 16 dny

    HUYO MCHUKUWENI HARAKA SANA MBUMBU WALA HATUMUHITAJI

  • @HeriMohamedi-re7xu
    @HeriMohamedi-re7xu Před 16 dny

    Ktk wabunge wapumbavu ni yule msukumu Yuko Kama matako yaliyongangania mkundu

  • @SeverinepauloPeter
    @SeverinepauloPeter Před 15 dny

    Tupeni mpina

  • @nyembobea7285
    @nyembobea7285 Před 16 dny

    Umechanganyikiwa mchungaji chizi mchukue huyo kitatange wako

  • @JeremiaholendikaMakeseni

    Musiwape wajinga elimu

  • @muharamijuma1569
    @muharamijuma1569 Před 16 dny

    HUYO TAPERI HANA JIPYA KAVAA BAZEE AÒNEKANE

  • @TemuCalvinWilbard
    @TemuCalvinWilbard Před 16 dny

    Hapa Uganda kilo ya sukari ni Ug shs 4000 ambayo ni sawa na Tshs 2600