KIJANA MZALENDO Afunguka Mazito "TUMEJIPANGA KUMCHANGIA MPINA VIKAO 15 ALIVYOONDOLEWA BUNGENI"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 26. 08. 2024
  • KIJANA MZALENDO Afunguka Mazito "TUMEJIPANGA KUMCHANGIA MPINA VIKAO 15 ALIVYOONDOLEWA BUNGENI"
    🔘JE, NA WEWE UNA HABARI?
    🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402),
    🔘WhatsApp (+255 692 318213)
    🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com
    🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionli...

Komentáře • 199

  • @michaelmshighati8432
    @michaelmshighati8432 Před měsícem +27

    Mpina anafaa sana Tanzania ni Roho wa Mungu aliyezaliwa aheshimiwe Kwa Ujasiri wake.

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Před měsícem +23

    Mpina ni mzalendo sana yuko tayari kwa lo lote. Na wewe mwandishi ni mchaw tu. Huko duniani si ajabu walitoa cho chote kwa sababu kweli watanganyika wanateseka sana. Hatuna wabunge zaidi ya Mpina

  • @Uhuru1234
    @Uhuru1234 Před měsícem +18

    Weka utaratibu tufanye contribution hata kidogo,ili mpina aendelee kuishi bila stress

  • @user-wz9fu4hd7i
    @user-wz9fu4hd7i Před měsícem +5

    Mimi nafikiri hapa ni Tulia kukosa uzalendo, ukitaka kuona mambo ni ovyo angalia bajeti ya muungano na ya Zanzibar hapo utagundua kitu,kama uelewi nitafute nikueleweshe,,,

  • @user-bt6ep3yb2h
    @user-bt6ep3yb2h Před měsícem +2

    Mwandishi wa ovyo kabisa, issue za kanda ya ziwa, kanda ya mashariki, kanda ya magharibi nk yanatoka wapi?

  • @malugukushaha6764
    @malugukushaha6764 Před měsícem +19

    Mpina ndiye tunamkubari sisi kwani ameonyesha uzalendo wa hali ya juu.

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Před měsícem +17

    Tunamzungumzia Mpina ndiye tunayemjua.Hawo wengine ni wabunge wa Samia wala hawana shida na matatizo ya wanainchi au lasilimali ya Tanganyika.

  • @josephkadeghe4720
    @josephkadeghe4720 Před měsícem +30

    Speaker anaweza kuwa Rais wa Mabunge si kwasababu ya umahili wake, ni kwasababu wazungu wanataka kutuibia mali zetu zaidi.

    • @user-qe5cb7vy6o
      @user-qe5cb7vy6o Před měsícem +2

      MPINA NI MZALENDO HALISI BUNGE LA SASA SI CHOCHOTE LIPO KWA AJILI YA KULINDA WEZI TU ANAYE WAKOSOA KAMA MPINA WANAMWONA WA HOVYO KUMBE WA HOVYO NI NI WAO TU MSEMA KWELI SIKU ZOTE HAPENDWI.

    • @user-us4tk2tk3c
      @user-us4tk2tk3c Před měsícem

      Mmmmh 😊😊😊😊😮😮😮

    • @josephgermanosanga9265
      @josephgermanosanga9265 Před měsícem

      Josephkadeghe unaweza kuwa 100% correct in a sense that hawahitaji mtu ambaye anaweza challenge wizi. Wazungu kimsingi africa ndio shamba lao la bibi . Tunatakiwa kizazi cha sasa tufikiri nje ya box , loans and grants are key weapons to africa from western nations, wanatupa ili kusoften power na wao ndio njia kuu kuweka mambo yao kilaini

    • @NixonJohnson-r4m
      @NixonJohnson-r4m Před měsícem

      22:24 hapo ni point kabisa

    • @judicalosika7642
      @judicalosika7642 Před měsícem

      Point kabisa
      MaKiti moto ni mabaya sana.

  • @user-wj6zj1ly4e
    @user-wj6zj1ly4e Před měsícem +7

    Naungana kumchangia mpina, ufanyike kampeni umma wote ujue kwamba ambao hawaungan na bunge na spika wachange

  • @MashakaKalamba
    @MashakaKalamba Před měsícem +11

    Sijasomea uandishi wa habari, lakini ninaona kasoro KUBWA kwako mwandishi.

  • @OS-pf6op
    @OS-pf6op Před měsícem +5

    Huyu spika sio! Mtakuja kuona huko baadae.

  • @user-tg7vq3ty8p
    @user-tg7vq3ty8p Před měsícem +2

    Bahati mbaya mtangazaji umeegemea upande fulani tofauti na hitaji la kutoegemea upande wowote hivyo unafanya mahojiano hayo yapungue ladha.

  • @josephkidima-nc3di
    @josephkidima-nc3di Před měsícem

    Hongera Sana kijana Nkindikwa unatelimisha vizuri Sisi watanzania kudai haki zetu❤

  • @ngambikomsu64
    @ngambikomsu64 Před měsícem +1

    Mwandishi hujitambui. Mimi hungeendelea kunihoji.

  • @user-iy8mq9ii8t
    @user-iy8mq9ii8t Před měsícem +1

    Mwanadamu anaweza kumchagua mtu HATA kama hafai ila Mungu huchagua anayefaa maana anijua Hadi mioyo ya waovu sijawahi msikia spika wa bungu aongee lolote kuhusiana na vitu mbalimbali kupanda Bei bati ciment nk lakini kuchaguliwa mbunge wa bunge la.

  • @user-qj2tq4wm9x
    @user-qj2tq4wm9x Před měsícem +3

    Huyo muandishi Hana ueledi kwenye kuuliza Maswali ya kisiasa au ni muoga anaogopa kuuliza maswali kwa faida ya watazamaji

  • @gaspercharles2244
    @gaspercharles2244 Před měsícem +2

    Nahisi tukiendelea hivi GEN - Q itaanza Tanzania

  • @user-hb8er6dq2q
    @user-hb8er6dq2q Před měsícem +1

    Nami ntamchangia mpinaaaaaaaaa

  • @amaniamani6391
    @amaniamani6391 Před 14 dny

    *Mpina safi100%Hamia chadema*

  • @tausikiyabo6302
    @tausikiyabo6302 Před 21 dnem

    Mwandishi sijamuelewa mbona kama 😢😢😢

  • @wanguwangu34
    @wanguwangu34 Před měsícem

    Uko sahihi sana, mbunge pekee wa watanzania ni Mpina pekee wengine wapo Kwa ajili ya matumbo Yao.

  • @mariamumechara3398
    @mariamumechara3398 Před měsícem +1

    Uko sawa kaka

  • @FestusJchunya-hc3hv
    @FestusJchunya-hc3hv Před měsícem +2

    kifupi tulia sijawahi kumuelewa!! tangu alipoingia kwenye siasa!!

  • @macleanuronu2899
    @macleanuronu2899 Před měsícem

    Hongera kijana mzalendo japo umekutana na mwandishi chawa lakini umeeleweka sana

  • @user-cx1xz2is5d
    @user-cx1xz2is5d Před měsícem

    Mwanangu hongera hakika wapo tz mmesoma kwelikweli ww ni hazina tz

  • @ceciliamagalabajimmy4391
    @ceciliamagalabajimmy4391 Před měsícem +1

    Mimi ni chadema lakini naungana na Mpina . Ni mtu anayewakilisha wananchi.

  • @AbelJohn-tx4in
    @AbelJohn-tx4in Před měsícem +1

    Huyo siyo spika wa bunge, ni spika ya redio

  • @raykas9976
    @raykas9976 Před měsícem +1

    Kuwa spika wa mabunge Duniani ata msukuma anaweza kuwa. Huko kuna utaratibu miongozo ilishawekwa , lkn kwetu utaratibu uliopo ni wa kukilinda chama Tamara.

  • @user-xk7vy4gb6g
    @user-xk7vy4gb6g Před měsícem +3

    Kweli kabisa mpina ndiyo Mwamba wengine vichuguu 😅😅😅😅Safi sana kijana 💪💪💪💪 vichuguu mpooo 😅😅😅 🤸🤸🤸🤸 mpina km magufuli mpina km Makonda wengine vichuguu

  • @MagrethKatondo-qs9oz
    @MagrethKatondo-qs9oz Před měsícem

    Mmmhhh ngoma ni nzito. Tanzania tumwogope Mungu. Tuombe huruma ya Mungu pekee.

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Před měsícem

    Speaker wa kucheka na kufurahisha wageni na kuumiza wanainchi ili wasipate nafasi. Angekuwa ni mtanganyika angekiona cha moto.Kwa kweli hapa hatuna Speaker bali ni Speaker wa wageni wanaotoka Inchi za Inje ndiyo sababu aliongwa tu.

  • @MusaOgwoko
    @MusaOgwoko Před měsícem +1

    Mpina juuuuuuu

  • @jonathanmwakabuku4714
    @jonathanmwakabuku4714 Před měsícem

    Unajuaje kama hao mabeberu wamemzadia kwa sababu anakuulizia bunge kuhoji serikali na wao wanapata faida ya kuiba rasilimali zetu.

  • @JOSEPHMwakibinga
    @JOSEPHMwakibinga Před 28 dny

    Mwandishi usihoji sana huyo msemaji Yuko vizuri,Huyo msemaji ndio wanaotakiwa kuongoza nchi.yuko vizuri..mwandishi wewe mwenyewe ni waoga.hamko huru kutangaza maovu ya viongozi.Angalia madereva wa tanzania wanalia na mikataba lakini makampuni ni yao

  • @hamidabarraball3162
    @hamidabarraball3162 Před měsícem +2

    Alishinda u spika wa wabunge duniani kwa sababu wabunge wa mataifa makubwa hawajagombea kwa sababu wameona ni upuuzi aliowashinda ni spika wa Ethiopia na malawi

  • @nakalikyumile3234
    @nakalikyumile3234 Před měsícem +2

    Dunia ipi imemchagua?wazungu wanafiki mno,humpa cheo mtu hata fala,ilimradi alinde maslahi yao tu,huyo watampa kila aina ya sifa na tuzo"huyu wazungu wanajua yeye na serikali nzima wanalinda maslahi yao,ko lazima wampe hivyo vyeo,ila kiuhalisia pale hayupo mtu,

    • @JosephKembe-ee6bd
      @JosephKembe-ee6bd Před měsícem +1

      Kwakweli mpina ni mbunge anatakiwa kuwa mpinzani ili wananchi fufatirie binge kama awali

    • @mosesmaduhutv7985
      @mosesmaduhutv7985 Před měsícem +1

      Tukipata wasukuma kama huyu 8 tu mbona banachimbika

  • @TM-zs3rm
    @TM-zs3rm Před měsícem +1

    Amesema mambo mawili, kujitambua na kujithamini. Na si ukabila kujipigania. Ni uzalendo. Mwondoeni Samia hana uchungu nanyi sababu anafaidi Zanzibar kwao na sasa anauza Tanganyika. Wanaccm Watanganyika, machawa wa CCM , wabinafsi wafaidi wachache waunga mkono wa Samia wote wasiokuelewa ni mazuzu kama ulivyowaita bila kumung’unya.

  • @samsonhamery3809
    @samsonhamery3809 Před měsícem

    Mwaka 2017 ilipopitishwa sheria kwamba mikataba inayohusu raslimali ya nchi ipitishwe na Bunge ulikuwa wakati wa Mwaminfu Magufuri ambaye hakutaka kujitajirisha
    Wabunge wetu mwaka 2017 walipiga makofi kupitisha sheria ya ulinzi wa raslimali za Nchi leo tena wanageuka wanasariti kile walichokipitisha 2017 huu Ni udhaifu mkubwa Sana wa Bunge linaloitwa la awamu ya sita japo tunajua Ni Bunge lililochaguliwa awamu ya tano

  • @AbelJohn-tx4in
    @AbelJohn-tx4in Před měsícem +1

    Na wewe mtangazaji uliza vitu vya pointi, tusije hasira zote tutazihamishia kwako, angalia sana hayo maswali yako, usiyaegemeza saaana kwenye uchawa, watu tumevurugwa

  • @charlessheks7166
    @charlessheks7166 Před měsícem

    Hata mimi nikotayar kumchangia mpina..

  • @Uhuru1234
    @Uhuru1234 Před měsícem +1

    Mpina na mtetezi wa wa Tanzania, wengine wanajijua wenyewe wanacho kifanya

  • @janiafaomaa5120
    @janiafaomaa5120 Před 24 dny

    HUYO MWANAHALISI TV WA MIDIA MWAMBIENI ARUDI AU AENDE TENA AKAJIFUZE KUHUSU UWANAHABARI ANAULIZA MASWALI YA UPUZI

  • @user-hq5qx1hu2x
    @user-hq5qx1hu2x Před měsícem +1

    Wabunge tunawajua wanaotutetea wengi wapo Kwa ajiri ya maslahi Yao.

  • @abrahamnyagawa1304
    @abrahamnyagawa1304 Před měsícem +1

    Tunataka mpina awe raisi wa nchi hii ya Tanganyika.

  • @IsayaKivambilo
    @IsayaKivambilo Před měsícem

    Kwa anae ijua siasa hapa waheshimiwa wawili spika Kwa nafas yake yupo sahihi na mpina yupo sahihi Ila Hana sapota

  • @FortinathaMvikule-cm1im
    @FortinathaMvikule-cm1im Před měsícem

    Umeeleweka Sana Baba

  • @ZephaniaNdaki-vq1ti
    @ZephaniaNdaki-vq1ti Před měsícem

    Ikitokea Mpina kuchangiwa, hata mimi nijulishwe nitachangia kwa change kidogo!

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 Před měsícem +2

    Watanzania tunajua fika kwamba serikali ya ccm awamu ya 5 ilimuweka huyu Spika kwa maslahi mapana ya Waheshimiwa sana wa nchi na sio kwa faida yetu wananchi. Mambo aliyokwisha pitisha kwa nguvu kinyume kabisa na maana ya chombo hiki ni mengi akishirikiana na wingi wa wabunge wa ccm tunaowapa ridhaa,ama kupora uchaguzi nk

    • @gracemairusya2950
      @gracemairusya2950 Před měsícem

      awamu ya tano alikuwa ndugai huyu gender ndo ilimbeba.akawa naibu
      Uliona Ndugai alikataa kupitisha tozo wakamuengua

    • @user-xk7vy4gb6g
      @user-xk7vy4gb6g Před měsícem

      @elibarikimolle awamu ya 5 alikuwa Ndugai. Huyo tulia kawekwa na Samia

    • @Jumacharlesmadale2958
      @Jumacharlesmadale2958 Před měsícem

      Awamu ya tano alikuwa Job ndugai

  • @user-kr9xx8br4o
    @user-kr9xx8br4o Před měsícem +1

    MWANDISHI NI MBOBEVU WA MAJADILIANO.
    MAANA KUTOKANA NA MASWALI ALIYOULIZA NDIYO MSEMAJI AMEPATA KUELEZA MAENEO MBALIMBALI.

  • @maclaudismail6606
    @maclaudismail6606 Před měsícem

    Kwanini mumeongeza tozo kwenye bili za Tanesco maisha kwa sasa.magumu na munaongezea tena ugumu. Wabunge hamutendi haki kutotetea hali za watu munaowawakilisha

  • @evelina9621
    @evelina9621 Před měsícem

    Sipka.asijihusishe.na.mambo.madogo.yy.ana.cheo.kikubwa.awe.makini.namuomba.awe.makini.anakili.lakini.sikuliwe.mihemuko.yaccm.yake.alinde.hadhi.cheo.chake.amshukru.mungu.mengine.ayaache

  • @mvunge7108
    @mvunge7108 Před měsícem

    Kweli kabisa Tulia hovyo mno, walitizama vigezo gani?

  • @danielkanso
    @danielkanso Před měsícem

    Mpina ni mbunge kweli kweli kuhusu haki huyo jamaa hana lakupoteza spika ameingia chaka

  • @marcmathewmuyala1937
    @marcmathewmuyala1937 Před 23 dny +1

    𝙈𝙥𝙞𝙣𝙖 𝙣𝙙𝙞𝙮𝙤 𝘼𝙎𝙄𝙇𝙄 𝙔𝘼 𝙐𝙎𝙐𝙆𝙐𝙈𝘼, 𝙖𝙘𝙝𝙖𝙣𝙖 𝙣𝙖 𝙖𝙠𝙞𝙣𝙖 𝙅𝙊𝙎𝙀𝙋𝙃 𝙈𝙎𝙐𝙆𝙐𝙈𝘼 𝙝𝙖𝙤 𝙣𝙞 𝙈𝘼𝘾𝙃𝘼𝙒𝘼 𝙬𝙖 𝘾𝘾𝙈 𝙏𝙐

  • @user-xx8fb4ed5u
    @user-xx8fb4ed5u Před měsícem +6

    Waacheni tu sheria wanatunga wenyewe halafu wakiukaji ni wao pia, halafu hii tanzania viongoz hawatak kuambiwa ukwel, tukutane 2025

  • @SebastianNgimba
    @SebastianNgimba Před měsícem

    mtoe namba haraka ya kuchangia tumchangie mwamba wa magufuli wako wawili2 mpina na makonda japo makonda ni muoga kidogo

  • @AlexIbrahim-m2j
    @AlexIbrahim-m2j Před 18 dny

    Spika kupata nafasi ya uongozi wa mabunge ni njama Za majambazi na wezi wa maliasili Za nchi yetu kumpa offer kuwakubalia kuitafuna nchi yetu kupitia bunge la CCM ambalo haliwasaidii watanzania wanyonge

  • @sifunimelkizedeck882
    @sifunimelkizedeck882 Před měsícem

    Kwa yeyote mwenye mapenzi mema na hili taifa tuko tayari kumchangia mweshimiwa Mpina

  • @marcmathewmuyala1937
    @marcmathewmuyala1937 Před 23 dny +1

    𝙇𝙐𝙃𝘼𝙂𝘼 𝙉𝙄𝙆𝙊 𝙋𝘼𝙈𝙊𝙅𝘼 𝙉𝘼 𝙒𝙀𝙒𝙀. 𝘼𝙘𝙝𝙖𝙣𝙖 𝙣𝙖 𝙬𝙖𝙩𝙪 𝙬𝙖 𝙈𝙗𝙚𝙮𝙖 𝙢𝙖𝙖𝙣𝙖 𝙣𝙞 𝙬𝙖𝙢𝙗𝙚𝙮𝙖

  • @epafraditopajenga4650
    @epafraditopajenga4650 Před měsícem

    Dunia kumuona sio shida wala sisi sio wa Dunia sisi watanzania,na Duniani wanapendwa wanawauzia vipande vya nchi yetu

  • @tausikiyabo6302
    @tausikiyabo6302 Před 18 dny

    Muansishi unaonekana unamuuliza maswali unayopaswa kumuuliza spika usimtoe kwenye mstari

  • @sainatv2688
    @sainatv2688 Před měsícem

    Mimi waga nawaza hawa viongozi tunawapa sisi kazi kwa kutuomba kura lakini wakishapewa uongozi wanakuwa juu yutu wakisikia unahoji kitu hata mwenyekiti wakitongoji anaweza kukupiga makofi badala sisi ndo ikibidi akizingua kiongozi tumchape hata viboko maana sisi ndo mabosi wake

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw Před měsícem +1

    Wao wakikchagua wanaona anawafs mbona hawachagui viongozi WA Bukinafaso akili ndogo utaeelewa hao ni wezi

  • @joycmsokile9220
    @joycmsokile9220 Před měsícem

    Yuko wapi polepole humfrey?

  • @TNgwale-eu3xl
    @TNgwale-eu3xl Před měsícem

    Hili suala la Sukari toka nje ni uhujumu uchumi. Ingekuwa nchi zenye watu wanaojielewa hawa mafisadi wa CCM wangewajibishwa tena haraka tu. Inashangaza wanafanya mambo ya kuua viwanda na Raisi anazunguka duniani kukopa 😂😂😂

  • @chaleteubadi4530
    @chaleteubadi4530 Před měsícem

    Dunia wamemchagua wazipendi nchi za Africa ndo maana wamechagua sipka asiye faa

  • @AzizihFarijala
    @AzizihFarijala Před měsícem

    Izalendo siyo kutetea makosa kila.mtu ni mzalendo mpina alikosea pale kuzungumza nje ya bunge kama alivyoagizwa.

  • @2003hintay
    @2003hintay Před měsícem

    Hapo ni kujitangaza lakini hakuna kitu hapo wachangie wajiorodheshe mawakili lakini utashuhudia watakapoachwa utashangaa, waliungana akina mwambukusi walivochemka. Hakuna kitu hapo ni kutafuta umaarufu tu

  • @evelina9621
    @evelina9621 Před měsícem

    Huyu.msemaji.anaongea.vizuri.wazungu.wanaleta.vitu.vivyo.haribika.kweli.kabisa.wazungu.wabinafsi.waulizeni.wanakaa.ulaya.waongozi.wote.wakija.kuchekac..

  • @Niika870
    @Niika870 Před měsícem

    Yaani Basi tu, tunaumia sana raia wa kawaida, Dawa zilizo expered zinauzwa kweny maduka ya madawa, unanua mseto hupon maralia kumbe zilisha expere , zimejaaa, Hospital za uma hazina madawa kabisa, Ajira hakuna vijana wanazagaaa tu

  • @issacklyandala7023
    @issacklyandala7023 Před měsícem +7

    Hatuna spika, kwakweli

  • @josephinepancrasy3194
    @josephinepancrasy3194 Před měsícem

  • @DaudiLengai-ym5fx
    @DaudiLengai-ym5fx Před měsícem

    Nipo tayari kumchangia Mpina kadri ya uwezo wangu

  • @karimmveyange280
    @karimmveyange280 Před měsícem

    FANYENI CHAP. TUNAELEKEA GIZA NENE MNOOO

  • @joycmsokile9220
    @joycmsokile9220 Před měsícem

    Yaani, watanzania tuna ushabiki Sana na Mambo ambayo hatuyajui,, wengi tunafuata mikumbo tu, inakuwaje mwenzio anatoa mawazo yake,then unatukana au unamtukana mtu huyo

  • @musamhaya5319
    @musamhaya5319 Před měsícem

    Boss kwa mbuge msukuma ni mnafiki kabisa,anahongwa hela kwenda kuuza bandari zetu----huyo msukuma ni fisadi,jizi na anahongeka sana kuihujumu nchi na wananchi.

  • @sandaymgunyi6268
    @sandaymgunyi6268 Před měsícem

    sawa

  • @johnmawewebusobe7138
    @johnmawewebusobe7138 Před měsícem

    Tunaomba namba tuanze kumchangia

  • @sylvestercameo6263
    @sylvestercameo6263 Před měsícem

    Hivi huyu Jerome amepitia angalau "basic training course" ya taaluma ya habari au ni kanjanja!

  • @Mima-cl2im
    @Mima-cl2im Před měsícem

    Viongozi wa Tanzania wanawaonea wananchi kwa upole wawo. Wanafanya wanavyotaka bila wasi wasi kwa kujuwa kuwa hatuelewi na wala hatujuwi haki zetu.

  • @hassanathumani4278
    @hassanathumani4278 Před měsícem

    Ngungai Chuma kile kisingekubali huu upuuzi

  • @janethpallangyo3855
    @janethpallangyo3855 Před měsícem

    Mpina ndio mwamba

  • @user-kq5si5pv9n
    @user-kq5si5pv9n Před měsícem

    Good

  • @user-ub2sm5vy2z
    @user-ub2sm5vy2z Před měsícem

    Atume nomb

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1b Před měsícem

    Wote chawa mpina ni laisi wetu ajaye hatutaki mwingine

  • @shabaniathumani1789
    @shabaniathumani1789 Před měsícem

    Kuchaguliwa kwake ni kiini macho ili tijue tuna spika imara lakini ndio tunauzwa hongera ya kuwakingia kifua mabeberu kutupora mali wakaona wampe zawad ya cheo

  • @AlfayoNebugo
    @AlfayoNebugo Před měsícem

    Spika wa mchongo na bunge washangilia uovu kila ovu hawahoji wanashanglia tu,aibu yao.

  • @yunusimchala6569
    @yunusimchala6569 Před měsícem

    Mwizi tu huyo imetoka hiyo labda ahame chama ww fala tu mbona juzi mapato yameongezeka

  • @jesaminzo
    @jesaminzo Před měsícem

    Nami pia huwa najiuliza, hao wabunge duniani wanatumia vigezo gani? Au weusi wake ulimbeba? Kumbuka sujasena, "uafrika"

  • @user-xx6pp8co4n
    @user-xx6pp8co4n Před měsícem

    Zungumzieni tena vifaa. Vya ujenzi

  • @selemsigala4771
    @selemsigala4771 Před měsícem

    Mimi pia nikotayari kumchangia nasubiri utaratibu.

  • @AbelJohn-tx4in
    @AbelJohn-tx4in Před měsícem

    Alitumia nguvu za giza, vinginevyo asingechaguliwa, kifupi aliwapumbaza wajumbe, mpaka sasa wanajuta kumchagua, lakini imeshatokea hawana jinsi, maana hata wao wanashangaa walimchaguaje

  • @haruniaisha5905
    @haruniaisha5905 Před měsícem

    Yaani mwandishi kama yeye sio mtanzania

  • @dostovan5142
    @dostovan5142 Před měsícem

    Tz chama kwanza nchi baadae

  • @marandoruzali1946
    @marandoruzali1946 Před měsícem

    Mpina ndo kiongozi

  • @hajihassan5433
    @hajihassan5433 Před měsícem

    Mimi kufaa kwa Spika Tulia nakupima kwa kulalamiwa kwake. Binaadam kaumbwa mlalamishi! Bunge ni sehemu 2, Wabunge na Rais, Rais ni 51% ya Bunge anachokitaka ndio kitakuwa unamlaumu vipi Mhe. Spika. Bunge kwa ujumla ni dhaifu ni kundi tu la Mafisadi waliorasimishwa Kikatiba sio udhaifu wa Spika. Yupo makini na nusu Dr. Tulia.

  • @user-uy8cw3zc4b
    @user-uy8cw3zc4b Před měsícem

    Tupo tayari kumtetea ruhaga mpina ijapo kuwa kwa maneno nakujitolea nafsizetu

  • @SanziNzige
    @SanziNzige Před měsícem

    Watanzania sijui tuna Nini jamani.hivi mzungu kabiss na akiri take atupe uspika wa mabunge duniani sisi! na sisi tukubali tu.eee.hawa wazungu wanatupiga upofu ili wazoe Mali ZETU kila kitu wanakijua sio WAJINGA hao mpaka tuwazidi akiri usomi na watupe uspika wa mabunge duniani.siamini HATA kido hicho kitu na kinanifanya nicheke TU.

  • @edsonnelson4464
    @edsonnelson4464 Před měsícem

    Tunafanyaje? Sasa

  • @sainatv2688
    @sainatv2688 Před měsícem

    Wazungu wana akili sana wamempa usipika wa dunia ili watanzanua tuone kwamba tumewin sana laki point kubwa ndo watununue vizuri maana wanajua viongozi wa tanzania ni after money tu hakuna uzalendo sio kwamba sipika ni bora