MAWAKILI 18 WAOMBA KUSIMAMIA KESI YA MPINA KUWASHTAKI SPIKA NA BASHE"WANATUMIA MAMLAKA KWA FAIDA YAO

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 21. 08. 2024
  • #uhondotv #uhondo

Komentáře • 280

  • @juliusjohnii7823
    @juliusjohnii7823 Před měsícem +31

    Nampongeza sana Mpina ni shujaa mtetezi wa wa Tanzania, Na binge la Tanzania Halifai kabisaa.
    Asanteni saana Mawakili kwa hatua hiii nzuri ya kumuunga mpina kututetea wa Tanzania.

  • @akilimali8726
    @akilimali8726 Před měsícem +22

    Hatua ya Kizalendo sana hongereni sana, muwe makini msichukuwe mapandikizi humo kwenye jopo la utetezi wa Mheshimiwa Mpina dhidi ya genge la majizi ya nchi yetu.

  • @hildandumbalo5827
    @hildandumbalo5827 Před měsícem +9

    Mpina ndo mbunge peke yake mwenye haki mzalendo. Hongereni sana mawakili kusimamia swala hili mkweli Tanzania hana haki

  • @yahayaramadhani6418
    @yahayaramadhani6418 Před měsícem +19

    Ukweli Mawakili tunawashukuru sana kwahilo, kwani nchi yetu Sasa uonezi umezidi sana, Wapigaji wote wanamuAndama Mhe. Mpina.

  • @hamidabarraball3162
    @hamidabarraball3162 Před měsícem +22

    Viva mpina
    Tunakukubali mheshimiwa

  • @Mima-cl2im
    @Mima-cl2im Před měsícem +13

    Viongozi wa Tanzania wamewafanya watanzania mazuzu. Speaker alivyofanya vibaya sana. Utafikiri watanzania hawana macho wala akiri ya kufahamu yanayoendelea. Mtu anatowa taarifa ya wizi,, Speaker anamufukuza bila ya kuchambuwa ushahidi, na watu kuona. Kamuziba mudomo bila kujali, na kusema beba Mizigo yako, toka bungeni utafikiri anamufukuza mtoto. Imetuuma sana watanzania. Asante sana mawakili kuwasaidia watanzania wasiokuwa na sauti.

  • @user-ii7yw9ng5d
    @user-ii7yw9ng5d Před měsícem +11

    Mpina tumsaidie,haki ipiganiwe,amen.❤

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz Před měsícem +11

    Mpina ni kama mimi.Namkubali sana, Mpina ni mzalendo wa kweli wa nchi hii.Taifa linahitaji watu kama Mpina.

  • @bonifacekalima5273
    @bonifacekalima5273 Před měsícem +11

    Hongera saana kwa kujali nakuiona sheria inakanyagwa kanyagwa na wchumia tumbo wanaipleka wapi nchi yeetu,,mungu atawasimamia

  • @MashakaKalamba
    @MashakaKalamba Před měsícem +6

    Well-done Moses and your colleagues - ninyi ni wazalendo - pia, mnafanya kazi ya Mungu 🙏

  • @nestor384
    @nestor384 Před měsícem +19

    Kwenye mkataba wa DP World ndipo nilijua hatuna bunge Tuna genge la wapuuzi wezi waliovaa vizuri

  • @charlesmtangi9046
    @charlesmtangi9046 Před měsícem +12

    Mwenyez mungu awatangulie kwenyekila jambo lenye kheli mawakili pamoja na wanzania wote kwaakika tutashinda Amina Allah atuongoze

  • @malugukushaha6764
    @malugukushaha6764 Před měsícem +7

    Hongera sana Mawakili na Hongera sana Mh. Mpina kwa kututetea watanzania 🙏🙏

  • @shukurukihwelo3084
    @shukurukihwelo3084 Před měsícem +4

    Asante sana tena sana kwakuwa wa zarendo wa nchii yetu Mpina hakuenda kusifia watu bungeni yupo kizarendo zaidi kuwa tetea watanzania

  • @ImeldakokusimaChristian
    @ImeldakokusimaChristian Před měsícem +6

    Hongereni sana mawakili kwa kuliona hili kama ingekuwa nchi nyingine wananchi wangeingia barabarani kwa kumsurpot mh mpina lakini watanzania sijui tutatoka lini kujua haki zetu

    • @davidanselmo4041
      @davidanselmo4041 Před měsícem

      Siku tukitoka watajuta kuna muda uvumilivu unaisha wewe tulia si wanataka shari

  • @GodfreyMwamaso
    @GodfreyMwamaso Před měsícem +21

    Ubarikiwe wakili kijana tatizo la nchi yetu vijana wengi hawaelewi mambo yanayoendelea bungeni wako busy kushabikia mambo ya mpira na kubet daily vyombo vya habari viko busy kupromote mpira wa Yanga na Simba hawajui nchi yao inaendeshwaje

    • @allymganga3223
      @allymganga3223 Před měsícem +3

      Watu wanaelewa kila kitu lkn wanaogopa watu wasiojulikana watawapoteza

    • @MirajiMbolile
      @MirajiMbolile Před měsícem

      Uwoga wetu sio uwoga wa hekima , mbali ni uwoga wa kijinga na upumbavu . Ni bora ufe kuliko kukaa kama kiglagosi kwenye ichi yetu . Watanzania wengi tunaishi kama wapangaji tu kwenye ichi yetu . Sasa uwoga hautatutaidia tutaendelea kuumizwa inapaswa tuamke sasa ​@@allymganga3223

    • @MkudeSimba-fg1sf
      @MkudeSimba-fg1sf Před měsícem +2

      Tutasimama nanyie kwa Kila nukta haya Mambo yakome

    • @user-ev2xf1tv3w
      @user-ev2xf1tv3w Před měsícem

      Kwel bro

    • @user-ev2xf1tv3w
      @user-ev2xf1tv3w Před měsícem

      Kwel bro

  • @user-ji8bw7jx6h
    @user-ji8bw7jx6h Před měsícem +6

    Raia tuko tayari kuchangia kwa hali na mali. Always forward, barkward never.

  • @EstherMushi-d7v
    @EstherMushi-d7v Před měsícem +7

    Naona Tanzania...kumeaanza kukucha,.🔥🔥Ahsante.

  • @dbamwenzaki
    @dbamwenzaki Před měsícem +6

    Mawakili mkiamuamka mtatusaidia sana maana hata tunavyokamuliwa na kodi mbali mbali na shuru mbali mbali halafu watu wanaishi maisha ya anasa!!! Inauma sana.

  • @lukomanomaliki5442
    @lukomanomaliki5442 Před měsícem +27

    Ndo maana Professor Asad alisema bunge ni dhaifu.

  • @shijandobehe4953
    @shijandobehe4953 Před měsícem +28

    Naumia sana wazarendo kama hawa akina mpina kupuuzwa na kuchukulia mgonjwa wa akili wakati.ni mtu makini na mtetez wa wananchi wa Tanzania 🇹🇿

  • @drp3721
    @drp3721 Před měsícem +3

    Hongereni Mawakili, na Mh Mpina yapo mambo mengine yana mashiko lakini anapuuzwa Vyombo k m Takukuru ingepaswa ifanyie kazi na kutoa taarifa kama si kweli, lakini ukimya wa wachunguzi unatia mashaka.

  • @user-sl1ko9me7u
    @user-sl1ko9me7u Před měsícem +2

    NGUVU YA UMMA INAKUJA TANZANIA....ITAITWA GEN. T

  • @lukomanomaliki5442
    @lukomanomaliki5442 Před měsícem +19

    Huyo msomali mbona Spika amemtetea katika sakata la sukari? Ana maslahi gani katika hili suala?

  • @EzekielMateru
    @EzekielMateru Před měsícem +12

    Upo sawa mheshimiwa

  • @salama1113
    @salama1113 Před měsícem +4

    Shukrani kwa wakenya kwakufanya na cc tunatoka usingizini😂😂😂

  • @valleluoga6258
    @valleluoga6258 Před měsícem +1

    Mwenyezi Mungu akujaalieni katika kutetea haki na uzalendo kwaajili ya watanzania.

  • @user-do2id6pp4g
    @user-do2id6pp4g Před měsícem +9

    Hongera sana bwana Basila kwa hiyo fikra yaani hii nchi ni kazi mipira,kubet na viongozi wetu wamezidi kwa maslahi yao krb kuna dalili nzuri hii nchi c tunaona majirani

  • @JacksonFrances
    @JacksonFrances Před měsícem +6

    Yaani Tumefikia Hatua Watanzania Tunakubali Kuonewa na Haki Nyingi Tunanyimwa Na Hawa Wenye Mamlaka Na Tunakubali Kabisa Kukandamizwa Wakati Uwezo Wa Kupinga Na Kukemea na kukomesha Uovu Tunao Kabisà Yaani. Wananchi Tuamke Tupinge Uonèvu Huu Na Kulinda Haki Zetu Kwa Hali na Mali iwezekanavyo"

  • @Mima-cl2im
    @Mima-cl2im Před měsícem +5

    MPINA HAKUKOSEA. MPINA HANA KOSA. HII SIO KUHUSU CHAMA AMA UPINZANI. HII NI KUTAFUTA HAKI KWA WATANZANIA WOTE

  • @sylvestercameo6263
    @sylvestercameo6263 Před měsícem +3

    "CHOMBO tulichokipa dhamana na kukasimiwa na katiba kuisimamia serikali....kutetea maslahi ya umma.... Leo kinaona kinyaa...."! Maneno haya ni mazito, yanatia simanzi! Mungu ibariki Tanzania!

  • @anosiata8242
    @anosiata8242 Před měsícem +6

    Mpina yuko vizuri

  • @PeterNMzee
    @PeterNMzee Před měsícem +8

    Sawa kabisa...... Tumechoka na utawala wa kikoloni

    • @bonifacekalima5273
      @bonifacekalima5273 Před měsícem +2

      Utwala uliopo unamfanya mtanzania yeyoote kuwa masikini sababu ya uoga waake ,,na ndani ya nchi yake

  • @user-ii7yw9ng5d
    @user-ii7yw9ng5d Před měsícem +7

    Ibara ya 8 ya katiba yetu imeporwa na wachache!

  • @deniccgabriel6153
    @deniccgabriel6153 Před měsícem +9

    Hapa suala ni moja tuwekama Kenya kulinda malixetu wenyew tuwang'oe vibwengo ikulu😮😮😮

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 Před měsícem +4

    Hili la msingi sana,inabidi watu wanaotambua haki kama hawa binafsi naungana nao na kuwaombea wafanikiwe ktk hili,mpina anajambo kubwa sana la kuikomboa hìi nchi kama viongozi wa chadema ambao wamejitolea kwa kila hali mpaka leo wako hapa walipofikia.

  • @deogratiustweve2611
    @deogratiustweve2611 Před měsícem +4

    Mungu awatangulie katikakazihiyo tunajua nikazingumu ilamungu akawalinde mtusemee tusionasauti

  • @TitoRufizi-xb2ub
    @TitoRufizi-xb2ub Před měsícem +4

    Bunge linaendeshwa na serikali,ASAD alisema huo ndo ukweli hakuna bunge hapo,ila nyie ccm msikalili maisha huo utawala wenu utaanguka tu siku moja ni swala la mda tu

  • @alexanderkapinga700
    @alexanderkapinga700 Před měsícem +2

    Nimekuelewa sana Kaka we will be together!!

  • @user-tg7vq3ty8p
    @user-tg7vq3ty8p Před měsícem +3

    Wakili amegusia kitu muhimu sana sio tu kwenye hilo suala tu bali hata kitaifa yaani vetting (upekuzi ). Vetting kwa nafasi mbalimbali ni eneo linalohitaji kutazamwa kwa kina.

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 Před měsícem +9

    Eti amemfukuza mpina ,halafu wakaendelea kujadili matatizo yaleyale aliyozungumza mpina !! Kwa kweli jaribuni kupunguza Hali ya makundi demokrasia iwe Pana ndani ya taasisi zetu

  • @kingmichael1234
    @kingmichael1234 Před měsícem +8

    Labda ni ulimbukeni au ushamba ndio unaoleta matatizo haya katika nchi yetu

  • @humphreymkony8915
    @humphreymkony8915 Před měsícem +3

    Alichofanyiwa Mpina ni ubaguzi wa waziwazi.

  • @lukomanomaliki5442
    @lukomanomaliki5442 Před měsícem +12

    Kazeni Mawakili mpaka spika na huyo waziri wa kilimo wajiuzulu.

  • @abassjuma6248
    @abassjuma6248 Před měsícem +3

    Laminitis na were Ndugu Wakili hocho unachoongea kite kiko ndani ya MOYO WAKO.ISIWE UNAUTASH WA KIUSHABIKI

  • @samwelshepa8443
    @samwelshepa8443 Před měsícem +4

    Haya maamuzi yanayotokea bungeni ndio picha halisi ya yale yanayofanyika katika vyombo vya haki na mahakama.
    Kuna Viongozi wapo kwenye office za umma kupindisha Sheria kwa faida na maslahi yao binafsi na inapotokea wao kukosolewa ili wajirekebishe, wao Kwa sababu ya madaraka na dhamana waliyo nayo wakosoaji hugeuziwa kibao kuwa wao ndio wakosaji. Mfano katika Bunge letu, Mpina alileta hoja kuwa Kuna dosari na utata katika manunuzi ya sukari mambo yakawa vice versa Mpina akaonekana mgonjwa wa akili na asiyeendana na matakwa ya wengi.
    Kwenye kutetea haki hasa katika chombo kikubwa kama bunge kusiwe na kuzuia pingamizi au kulazimisha wabunge wote kukubali kupitisha hoja tata.

  • @shaksbinsalim
    @shaksbinsalim Před měsícem +7

    ccm nimadhalimu tu hawatuelezi chochote

  • @kingmichael1234
    @kingmichael1234 Před měsícem +6

    Hawa viongozi sio kabisa. Ni mambo ya ajabu na ya hovyo, poa ya kusikitisha sana tunayo yaona katika karne hii. Watu wote wanajua haki ni nini. Uzalendo ni ni nini, lakini bado mnawafanya watu wajinga. That's absolutely crazy 😏😏 inatia hasira sana kwa kweli

  • @JuhudyMachete
    @JuhudyMachete Před měsícem

    Safi sana mawakiri wetu mungu awbariki sana kwa hatua mnayochukukua tunawapenda nchi yetu hii ccm inaiharibu sana mpaka wananchi tumechoka sana na bunge la upendeleo lianasimama kwa wala nchi tupo pamoja kwa maombi kwa mungu na kumchangia kama Kuna Cha kuchangia

  • @samwelshepa8443
    @samwelshepa8443 Před měsícem +3

    Hili jambo la sukari lilileta mjadala mrefu bungeni wakifanya marekebisho kisheria ili kujilinda dhidi ya Mpina.

  • @peterkiswaga2491
    @peterkiswaga2491 Před měsícem

    Amina sanaaa wakili nchi imefika pabaya

  • @sylvestermavanza1154
    @sylvestermavanza1154 Před měsícem +3

    Nina imani na mzalendo ndugu Luhaga Mpina. Nitasapoti shauri hili kwa moyo wangu wote. Nahitaji maelekezo tu ya namna ya kufanya hivyo.

  • @wanguwangu34
    @wanguwangu34 Před měsícem

    Nipongeze sana juhudi ya mawakili kufungua shauli hili, pamoja sana

  • @EllenWaigama
    @EllenWaigama Před měsícem +5

    Hatimaye👏🏾

  • @user-sl1ko9me7u
    @user-sl1ko9me7u Před měsícem

    VIVA MAWAKILI WAZALENDO WA NCHI YETU.....VIVA KOMREDI MPINA....WATANZANIA WOTE TUKO NYUMA YENU....TUNAMTUMIA SALAAM MH. RAIS SAMIA, SPIKA WA BUNGE NA WABUNGE WA CCM WACHUMIA TUMBO....WATANZANIA SIO WAJINGA...NA NGUVU YA UMMA ITAWANG'OA!

  • @gabrieltheodory4090
    @gabrieltheodory4090 Před měsícem +4

    Tusaidieni kabisa, Nchi Ni ya wote

  • @Lubango-gj3ud
    @Lubango-gj3ud Před měsícem +3

    Tatizo hata mahakama zinatumika na watawala haohao ma Ccm.hapo haki itapatikana!!?

  • @PhilipoMwita-b2x
    @PhilipoMwita-b2x Před měsícem +4

    Mpina oyeeeh

  • @EdwardKwiyanga
    @EdwardKwiyanga Před měsícem +10

    Mungu wa mbinguni atutangulie huko mahakamani mpina ndo kaka wa taiga

  • @richardrobert2203
    @richardrobert2203 Před měsícem +1

    Gen TZ, Tunakuja

  • @GODFREYNTANGANA
    @GODFREYNTANGANA Před měsícem

    Mungu niwetu pamoja na mpina kwa ushindi mkubwa

  • @Alute-son2003
    @Alute-son2003 Před měsícem +3

    Tunawapongeza sana kwa hatua hii

  • @elipidhugotesha1909
    @elipidhugotesha1909 Před měsícem

    Ndio nchi ya kidemokrasia inavyotakiwa viva advocate mosses basila and your able colleagues

  • @BonifaceEdward-pc1dd
    @BonifaceEdward-pc1dd Před měsícem +7

    Vzr ssns

  • @kingmichael1234
    @kingmichael1234 Před měsícem +4

    Serikali yetu sio ya haki, Serikali yetu ni ya kidikteta, haipendi kuambiwa ukweli. Ni serikali ya hovyo na ya ajabu, kati ya zile. serikali za hovyo ambazo zimewahi kutokea duniani

  • @user-my7fj6wn7y
    @user-my7fj6wn7y Před měsícem

    Ccm wanafanya nchi iyendelee kuishi kwenye utumwa wa akili mpaka leo mpina🎉🎉🎉

  • @MagrethKatondo-qs9oz
    @MagrethKatondo-qs9oz Před měsícem

    Mungu mwema tunakuomba uliokoe taifa letu na tamaa zisizokupendeza wewe ili tupate mwisho mwema. Amina.

  • @donaldmachisu3626
    @donaldmachisu3626 Před měsícem

    Nawaunga mkono kwa uamuzi wenu kwa kuwa mmesoma sheria kusimamia haki kwa waonewa kwa niaba ya Mwenyezi Mungu, Mungu asimame ndani yenu na kuuondoa uvundo huo unaowatesa wananchi na kuuondoa Heshima ya Bunge tuliyoizoea kipindi cha Spika Marehemu Mzee Samweli Sitta Mungu ailaze Roho yake mahala pema Mbinguni.

  • @CYPRIANMACHIBULA
    @CYPRIANMACHIBULA Před měsícem

    TAKUKURU MNASUBILI AGIZO. HEBU TUONYESHENI HAKI ILIPO

  • @esronyuba2575
    @esronyuba2575 Před měsícem +2

    Mungu awatangulie sana tunawaombea

  • @japhethbaalinda1756
    @japhethbaalinda1756 Před měsícem

    Mungu awabariki sana wanasheria wetu wazalendo.

  • @SarahAlphonce-q4e
    @SarahAlphonce-q4e Před měsícem

    Tutafika uonevu umezidi mungu ibariki Tanganyika.

  • @user-do2id6pp4g
    @user-do2id6pp4g Před měsícem +12

    Kuna wabunge humo bungeni kama msukuma anafanya nn huyo apewe mkuu wa wilaya au mwenyekiti wa kitongoji

    • @saidalhinai1131
      @saidalhinai1131 Před měsícem +1

      Wewe msukuma ameleta maendelea ktk jimbo lake hakuna mbunge ameweza kuleta maendeleo ktk majimboyao

    • @selemaniigosha
      @selemaniigosha Před měsícem +1

      Msukuma ni mpiga filimbi wa hamelin hajuwi lolote ni mropokaji tu!!

    • @charlesmgory3131
      @charlesmgory3131 Před měsícem

      Binafsi nawashukur kwa hilo ila sanyingne huwa nashangaa na kujiuliza maswali yasuo na majibu kwamba enzi ya nyerere wasomi. Ktk nchi hii walikuwa wachache lakini walismama kma wasomi kwel hawakuruhusu nchi kuchezewa kma hawa wasomi wetu baadhi hawahangaiki na mambo ya nchi yetu hasa yale wanayoona yanaenda kinyume hv wamesomea nn wasomi ndo jicho la nchi jitambueni basi wasomi tupo nyuma yenu kuwaspoti mwakili mliojitoa kwa hili.

    • @hamisijuma3276
      @hamisijuma3276 Před měsícem

      Chawa mpiga filimbi sio yule wa JPM, huyu n Hatari sn

  • @senimwigulu1217
    @senimwigulu1217 Před měsícem

    Nawatakia kazi NJEMA mawakili mnaoungana na mheshimiwa mpina

  • @user-kr9xx8br4o
    @user-kr9xx8br4o Před měsícem +1

    KWA HABARI YA SUKARI, MPINA HANA HOJA YA KUWANUFAISHA WATANZANIA BALI NI KUNUFAISHA WENYE VIWANDA, HUKU WANANCHI WAKINUNUA SUKARI KWA BEI ISIYO CHUKULIKA.
    VIWANDA VIZALISHE SUKARI NA SIYO KUAGIZA.

    • @levidavid1156
      @levidavid1156 Před měsícem

      Fanya research kabla ya kusema jambo
      ivi unajua kwamba garama ya kuingiza sukari mpaka bandarini pale haifiki 2000? na je unajua kwamba gap sugar ni tani 30000 je bashe aliwezaje kutoa kibali kuagiza Tani 410000?
      hujui kwamba unaenaua viwanda vya ndani unajua ubora wa sukari uliyoingizwa ? je unajua serikali imetoa msamaha wakodi zaidi ya billion 700. pesa ambayo ingetumika kutoa huduma za afya Bure cjui unamaana Gani kusema mpina hayupo sawa😭😭🇹🇿

  • @mtakamatv
    @mtakamatv Před měsícem

    Mpina mzalendo,ubarikiwe,tunajua Dunia ya Leo hakuna kazi ngumu kama kusema ukweli.

  • @abdallahnkrumah6237
    @abdallahnkrumah6237 Před měsícem

    Kwa uamuzi huu ni sawa kabisa HAKI haijawahi kuombwa. Inapiganiwa

  • @StevenGendo-vx9jo
    @StevenGendo-vx9jo Před měsícem

    Nyie nimawakili wazalendo mwenyez mungu akasimame nanyi popote pale. Nchi ya kwetu lakn tumekuwa Kama wagen

  • @mussabendera1751
    @mussabendera1751 Před měsícem

    Mbona hatukuwaona kipindi Cha magufuli nyiyeeeee

  • @ShabaniMukose
    @ShabaniMukose Před měsícem

    Nitashangaa sana na nitashukuru saana kama mawakili wata simamia haki ya kisheria kwa jambo la kitaifa, Kwani Muheshimiwa marehemu magufuli na muheshimiwa Mama Samia walisha kemea mahakama kuto tendea haki wahukumiwa kwa sababu zisizo eleweka!

  • @user-my7fj6wn7y
    @user-my7fj6wn7y Před měsícem

    Uzuri bunge likifanyika tunawangalia,one day yes

  • @user-fj4kj8xc5x
    @user-fj4kj8xc5x Před měsícem

    Wanasheria Asante kwa umoja wenu katika kutetea haki bila kuogopa watanzania wengi wanaonewa kwa kukosa msaada wa kusaidiwa kisheria, swala la mpina ni la maonezi kabisa.

  • @festokemibala5832
    @festokemibala5832 Před měsícem

    Gen Z ya Tanzania itakuja kwa style tofauti na wenzetu na ktk hili tumwombe Mungu atusimamie na haki heshima na utu wa mtanzani vipatikane

  • @user-gy5en6cy8o
    @user-gy5en6cy8o Před měsícem +1

    Nenda kwenye point bsi mbona unalalamika sana ww wakil mpina Angekua mzalendo asingekua ana Pima samaki kwa rula ana ameshapikwa😢😢

  • @abdallahkihanza482
    @abdallahkihanza482 Před měsícem

    Bunge lilipo sasa, sio la wananchi, ni bunge la serikali, ndio maana hata waliotajwa kwenye taarifa ya CAG haijatekeleza, kwa sababu bunge ni mali ya serikali

  • @user-ws2uw5rd8i
    @user-ws2uw5rd8i Před měsícem

    Ukiona watoto wa Simba wanacheza usiwavamie wakubwa wao wapo pembeni

  • @MonicaTimotheo
    @MonicaTimotheo Před měsícem +1

    EE MWENYEZI MUNGU WAFUNGUE WANANCHI WA TANZANIA TOKA KATIKA MIKANDAMIZO NA UNYONYAJI WA MAFISADI WANAFIKI WASALITI NA WAONGO WASIO NA HURUMA KWA WATANZANIA HASA WANYONGE

  • @mussabendera1751
    @mussabendera1751 Před měsícem

    Endeleeni kuwatetea mapapa wa sukari, mkishashinda muhakikishe na bei inashuka.

  • @paschalpaul3862
    @paschalpaul3862 Před měsícem

    Utasikia tanganyika law society inawatenga awa mawakili kwa maelekezo ya serkali

  • @abdallahkihanza482
    @abdallahkihanza482 Před měsícem

    Ukiwa mzalendo na msema kweli huwezi kupendwa, CCM inapenda wasema uongozo, ukiwa mkweli utajuta

  • @omarkapula588
    @omarkapula588 Před měsícem +1

    Huyu ni mbaguzi watanzania ni wote haijalishi kama ni mzungu mwarabu awe yeyote yule aache ujinga wake aangalie nani aliesabanisha uhuru wa nchi hii upatikane hata muwe mawakili mia

  • @johnbundala7596
    @johnbundala7596 Před měsícem

    Safi sana Mungu awatangulie daima.

  • @ramadhanchenga4606
    @ramadhanchenga4606 Před měsícem

    Mungu awabariki

  • @LusajoKabuka
    @LusajoKabuka Před měsícem

    Akina makofi na kusifia wamfumba kinywa mtetezi anayeona ya kesho mungu awatangulie mpate kibali kwa mungu asiye na upendeleo

  • @PaschalGerad-xq4lw
    @PaschalGerad-xq4lw Před měsícem

    Tutakuwa pamoja nanyie ila tatzo linatoka kwa samia ana kauri watuweke waz rais nan 2025 tutachagua mtu yeyote bila kujali chama ata awe kilema tutamchagua syo huyu mama

  • @user-sl1ko9me7u
    @user-sl1ko9me7u Před měsícem

    BUNGE DHAIFU CHINI YA SPIKA DHAIFU LIMEZAA SERIKALI DHAIFU....YA WALA RUSHWA NA MAFISADI!

  • @dennisezakiel3380
    @dennisezakiel3380 Před měsícem

    dunia tunapita hayo yote haijalishi unaitwa na nani unacheo gani .Haki tutaipata Kwa Mungu pekee

  • @jameskibona9074
    @jameskibona9074 Před měsícem

    Hakika ni jambo la msingi sana
    Mungu na awasimamie.

  • @colmanmwero7473
    @colmanmwero7473 Před měsícem

    What should I say for my beloved Tanzania. Although we may do a lot of good things as a country but something is not okay with those who stand with people

  • @user-hb8er6dq2q
    @user-hb8er6dq2q Před měsícem

    Uko sahiii