#LIVE

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 21. 08. 2024
  • Fuatilia Mwanzo TV Plus
    SUBSCRIBE CZcams Channel yetu
    Follow us on X, Facebook and Instagram

Komentáře • 54

  • @ceciliamagalabajimmy4391
    @ceciliamagalabajimmy4391 Před měsícem +6

    ❤Asante kwa mafunzo mema wakili msomi Madeleka. Mungu akubariki.

  • @user-jt4lo1og8w
    @user-jt4lo1og8w Před 26 dny +4

    Mawakili wamekuwa machawa wa watawala ,hivyo basi wananchi tumebaki yatima .❤❤❤❤

  • @PatricePatrice-ue4yl
    @PatricePatrice-ue4yl Před měsícem +5

    MADELEKA WE LOVE U❤ BRO FROM AMSTERDAM 🫶🏿❤️🫶🏿

  • @hildandumbalo5827
    @hildandumbalo5827 Před měsícem +6

    Madeleka Hongera sana 🎉🎉🎉

  • @sammykateregga6238
    @sammykateregga6238 Před 18 dny

    Shangazi Fatma and Peter Madeleka we are receiving valuable lessons. Thanks so much and God bless you. You are planting seeds that will produce future fruits for all.

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz Před 19 dny

    Madeleka nakukubali sana.Mungu akubariki sana.Umeongea mambo mengi muhimu na ya msingi sana.Taifa hili la Tanzania linahitaji watu wenye ujasiri na uthubutu kama ww.Ww ni mzalendo na kizazi cha wana wa Mungu wenye kujiamini.

  • @altonkanjolonga2380
    @altonkanjolonga2380 Před měsícem +1

    we still have a very long journey,hongereni sana kazi yenu ni njema sana kwenye Taifa letu.Watanzania tunawahitaji watu kama nyie ili taifa letu lisonge mbele

  • @lupakisyoassa1579
    @lupakisyoassa1579 Před měsícem +3

    Ni vizuri majaji wote wakapigiwa kura kuliko kuteuliwa, maana watamtumikia aliye wateua, hata hivyo majaji ni kwa ajiri ya watu.

  • @cyprianboniphace-oz5lw
    @cyprianboniphace-oz5lw Před 21 dnem

    Saluti kwako Madeleka,watu wa aina yako ni wachache.

  • @yonnasamwel2145
    @yonnasamwel2145 Před měsícem +2

    Mrithi wa Tundu lisu

  • @InnocentCharles-hm3ff
    @InnocentCharles-hm3ff Před měsícem

    I appreciate adv. Madeleka...he's a phenomenal lawyer...Fear is bad than cancer...yes! Bad than death!..

  • @user-oy5dz5xl8s
    @user-oy5dz5xl8s Před měsícem +2

    Nyie mawakili kama hamta simama kidete nchi hii utakuwa wa ajabu sana

  • @mayrfrimi4759
    @mayrfrimi4759 Před měsícem +2

    Inasikitisha sana kuwa Rais wa Tanzania ndie anachagua viongozi wa Tz, hapana hapa anakosea, viongozi wanatakiwa kuchaguliwa na wananchi,

    • @1961nungwi
      @1961nungwi Před měsícem

      Hajakosea, anafuata katiba ina vyosema. SI yeye tuu, hata waliopita na wajao watafanya hivyo hivyo, kwa mujibu wa katiba

    • @mayrfrimi4759
      @mayrfrimi4759 Před měsícem

      @@1961nungwi anajua ugali wao uko wapi na ndio maana kuipitisha katiba mpya inakuwa ngumu kwake,

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 Před měsícem

    Madeleka one of the brave lndipendet privet advocate in Tanzania vary brave we thanks advocate madeleka with fatuma karume we head your pin point adress tanzania jenelist

  • @user-oy5dz5xl8s
    @user-oy5dz5xl8s Před měsícem +3

    Anzisheni chama cha mawakili binafsi ili kuusimamia haki bila kufungwa na mifumo

    • @user-eo4bl3do8k
      @user-eo4bl3do8k Před měsícem

      Unasema kweli kabisa, kwasababu nchi hii ni lazima iwe na mawakili wa kweli ,kwasasa mpaka mawakili wametekwa na mfumo wa kichawa wa ccm

  • @user-vo7oq3gz9c
    @user-vo7oq3gz9c Před 19 dny +1

    Ss wananchi tunawapata wap nyiye mawakil

  • @user-el7ni7xb8k
    @user-el7ni7xb8k Před 27 dny

    Nakujubali sana piter madereka wakili msomi

  • @cyprianboniphace-oz5lw
    @cyprianboniphace-oz5lw Před 21 dnem

    Katiba mpya ni muhimu,mahakama iwe huru,isipokee amri kutoka kwa watawala.

  • @user-lw3tg3yg5b
    @user-lw3tg3yg5b Před měsícem +1

    Mawakili waaminifuhebu saidieni nchi inaangamia hakuna haki katika nchi hii jamani tusaidieni.

  • @nyandonashon7429
    @nyandonashon7429 Před měsícem +1

    WE JAMAA UNGEGOMBEA URAISI WA TLS NINGEKUPIGIA KURA

  • @PatricePatrice-ue4yl
    @PatricePatrice-ue4yl Před měsícem +1

    MWABUGUSI im MACHO'S ❤💯❤

  • @jacobmakono4399
    @jacobmakono4399 Před 19 dny

    Yaani mtu kama Msomi Madeleka anapswa kuishi maisha maefu

  • @mayrfrimi4759
    @mayrfrimi4759 Před měsícem +1

    Inasikitisha sana kwa Tz yetu unakuta baadhi ya viongozi wanafanya uongozi kwenye lazi ambayo jata hawajawah kuisomea, haya ni maajabu ya dunia, wakifeli utakuta wakisema eti unajua nchi zilizoendelea wanapata maendeleo , sijui nn na nn, shem on you.

  • @faustinebahenobi3412
    @faustinebahenobi3412 Před měsícem +1

    Duhh! Hii nchi imeoza

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 Před měsícem

    Well said

  • @user-rz9xx7nx8t
    @user-rz9xx7nx8t Před 20 dny

    P nakupogeza kweri sisi tulio wengi atujielewi kama sio kujitambia.watu wanatekwa,wanauwawa na kupigwa lisasi kama lisu.lakini tunasema ichi inaamani.sio kweri.

  • @knight6757
    @knight6757 Před měsícem +1

    Madeleka 💪

  • @ChristianMkumbo-ix2ke
    @ChristianMkumbo-ix2ke Před měsícem +1

    Asante sana madeleka kwakunifuguwa macho na akili

  • @Master-ww7ur
    @Master-ww7ur Před 17 dny

    Ukisikiliza vizuri Fatma anavyoiongelea katba ya 1977 utaelewa kwanini rais wa Kenya hayati Jomo Kenyatta alisema watanzania ni kama maiti hawatakaa waamke wadai haki yao😮

  • @mayrfrimi4759
    @mayrfrimi4759 Před měsícem +1

    Samia nadhani umesikiliza huu mdahalo, na umeelewa, maana ulituambia unapenda kuwa mtandaoni, sasa basi piga kazi acha kutuambia eti umekuwa chura, huongei unasonga . Mbele, ,huko mbele unafikaje lama huoni njia? tusikilize ss wananchi na utufanyie wepesi kuliko magumu tunayopitia sisi watanzania.

  • @stewartdyamvunye-wz6rn
    @stewartdyamvunye-wz6rn Před měsícem

    Siku zote nawakubali ila leo Madereka na F. Karume nimewakubali zaidi. Kuna suala la gharama za kuendesha kesi mahakamani. Ni kubwa mno kiasi kwamba wanyonge hawawezi na hivyo hawana haki! Ilifaa sana hili nalo mlimulike.

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 Před měsícem

    Chief justice in Tanzania nedd to be pointed by tanzania people not pointed by ccm leadership locel curt need printed by province avoid all this oder from politician from gavment to jurgies what to do it has been so much crush because system of ccm leadership control all gavment system from palament Curt this is really challenge on to our national tanzania

  • @KumbushoMbanga-hf3wx
    @KumbushoMbanga-hf3wx Před 17 dny

    Hoja kama hizo ndizo zinazotakiwa

  • @annapeter4994
    @annapeter4994 Před měsícem

    NIMEFURAHI SANA KUONA WANAWAKE NA WANAUME WA NCHI YETU WAZALENDO

  • @user-rz9xx7nx8t
    @user-rz9xx7nx8t Před 20 dny

    Fatma mumeweka wazi ili tuwassikie,shida unachaganya lugha wengine atukisoma.elimu hoyo tunaipataje kama sio kutumyima?

  • @PatricePatrice-ue4yl
    @PatricePatrice-ue4yl Před měsícem

    👍🏿👏🏿👍🏿

  • @annapeter4994
    @annapeter4994 Před měsícem

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥👌👌👌👌💪💪💪💪💪💪

  • @mayrfrimi4759
    @mayrfrimi4759 Před měsícem +2

    Wadau ukweli ni kwamba Samia anaweza kazi , ila shida kubwa ni kwasababu ameiambia dunia kuwa yeye atakuwa kama chura kwenye uongozi wake. Wanaojua tabia za chura watakuwa wamemuelewa, Mungu ibariki Tz.

  • @SundaySteven-bz4yq
    @SundaySteven-bz4yq Před měsícem

    Hii katiba wanaoingangania ni hawana ccm wanaoitana uchaguzi ukiisha waende Dodoma maana tungekuwa na katiba mpya Kuna viongozi wa serikali wangefia gerezani Kwa ufisadi ila ipo siku wataibadilisha bila kujua wajifunze mfano Kwa majirani zetu

  • @GodfreyOsward
    @GodfreyOsward Před měsícem

    Tulipo badilisha, hakutikea chama au taasisi ukuelezea mabadiliko hayo.

  • @PaskalGwandu-q2v
    @PaskalGwandu-q2v Před 22 dny

    Kaka madereka rejea comment ya video hi wote wanafki kuwa pafekt

  • @ndogoroedson199
    @ndogoroedson199 Před 19 dny

    Wanakiwasha nn makenge tu hao?

  • @mayrfrimi4759
    @mayrfrimi4759 Před měsícem

    Viongozi wa Tz wanachekrsha walionuna kwa aina ya uongozi wao, mfano unamkuta wazir wa afya hajasomea hata nursin, people are you sirious?? Ni kosa kubwa sana, au mkuu wa majeshi ambae hajasomea hata jeshi

  • @allyshaban406
    @allyshaban406 Před měsícem

    Mawakili wengi baadhi yenu ni machawa wa serikali, na hutarajia uteuzi. Mawakili!!! Umemsikia yule mzee chizi wa ccm alichokisema kuhusu mtu wa ccm na chadema?

  • @plujoncylugano4611
    @plujoncylugano4611 Před měsícem

    Ninyi mawakili na mahakimu wa kike mmekuwa mbele na tayari mno kumsaidia mwanake anayelalamika bila kutafuta kwa kina ili kuweka mzani sawa.Hata ninyi mawakili wa kujitegemea mmekuwa hamfuati haki.

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1b Před 21 dnem

    Kama mahakimu na makarane ni mungu watu hasa makarane ni shida wakaguliwe wafukuzwe na wafungwe

  • @calabash4221
    @calabash4221 Před měsícem

    Mawakili wamekuwa wanasiasa. Wanapenda siasa kuliko kutenda haki. Na hili wanalifanya kwa kuwa kwenye siasa kuna mileage. Wakili, Hakimu, mwendesha mashtaka na Jaji...wote wanavutana kwenye technicalities..kama kuna watu wanavunja haki za watu ni mahakimu, majaji na mawakili....