Profesa Safari aelezea sababu ya kujitenga na siasa, asema "Siwezi kuwa chawa, najitoa kafala"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 05. 2024
  • Dar es Salaam. Mtaalamu na mbobezi wa masuala ya sheria, Profesa Abdallah Safari amefichua siri ya kujiweka kando na shughuli za kisiasa badala yake ameamua kukitumia ipasavyo kipawa chake cha utunzi wa vitabu.
    Profesa Safari aliyewahi kuwa kada na mshauri wa masuala muhimu ya kisheria wa Chama cha Wananchi (CUF), anasema akijitosa katika siasa hivi sasa atajitoa kafala, ndio maana amejiondoa huko akidai hakuna watu makini.
    Mwanazuoni huyo ameeleza hayo wakati wa mahojiano wa maalum na Mwananchi Digital lililotaka kujua masuala mbalimbali yanayomhusu katika nyanja za siasa, taaluma ya sheria na uandishi wa vitabu.

Komentáře • 86

  • @DiwaniMwafongo
    @DiwaniMwafongo Před 29 dny +2

    Asante sana Prof. Prof wa kweli sio maprof Chawa akina Kitila Mkumbo, maprof. Njaa!!

  • @hajimbaruku9537
    @hajimbaruku9537 Před měsícem +2

    Nimevutiwa sana na interview hii, sana, sana, Professa Safari nampenda sana, ana madini mengi mno kichwani kwa sababu anasoma sana vitabu, kila ninapoona mahojiano yake lazima nimsikilize, sasa naomba kitabu chake cha Safari ya Uwakili kikitoka mtujulishe jamani, wa kwanza kukinunua ni mimi

  • @kindysuleiman5935
    @kindysuleiman5935 Před 27 dny +1

    Professor nakukubali unazungumza kweli mungu atawalani ccm

  • @innocentmleli1196
    @innocentmleli1196 Před 22 dny +3

    Umewaambia ukweli

  • @johngibson3089
    @johngibson3089 Před 21 dnem +1

    Asante Professor Safari

  • @ramadhanmwandambotuntufye5972

    Allah akupe mwisho mwema profesa, safari nakuelewa sana, haya masomi ya siku hizi yamesoma lakini hayajaelimika, ni mafisadi, waoga , waongo , wafia tumbo, misomi mingi ya kileo haijitambui, hata hao watenda haki wa zama hizi wameoza, wanatoa haki kwa wenye Hela.

  • @mboneamalaki5674
    @mboneamalaki5674 Před měsícem +1

    You inspired me Prof

  • @user-rq4fq4pw4y
    @user-rq4fq4pw4y Před 15 dny

    Prof nakukubali sana na nadhani napenda niishi maisha kama yako

  • @petroyohana1126
    @petroyohana1126 Před měsícem +1

    Well said Prof 👏

  • @TumainiMchomvu-zv3sv
    @TumainiMchomvu-zv3sv Před 28 dny +3

    Daa umeongea fact sana

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513 Před měsícem +1

    Safi sana shekh uamuzi mzuri sana

  • @hasaabdi7199
    @hasaabdi7199 Před 27 dny +1

    Allah anakupenda siasa mchezo mchafu

  • @murubonabaptistmbstudentce7293

    Mwalimu ukijitenga na wala rushwa kwa kukaa kimya inamanisha nini?

  • @bodyaman
    @bodyaman Před měsícem +4

    Ingependeza kama mamlaka zingekuweka kwenye kamati ya Kumshauri Raisi katika masuala ya kisheria na mikataba naimani ungetufaa zaidi

    • @DiwaniMwafongo
      @DiwaniMwafongo Před 27 dny

      Kwani kamati ya " halmashauzi" kuu ya Chawa aliyokuwa nayo haimtoshi?
      Naogopa kusema nchi hii haijawahi kupata Raisi wa sisi wachawi " mvaa" barakashia/ mtandio ambae SI "mdebwedo"!!

    • @benedictmrisho1800
      @benedictmrisho1800 Před 22 dny

      Mamlaka ipi wakati Rais ndio mamlaka yenyewe?

    • @DiwaniMwafongo
      @DiwaniMwafongo Před 22 dny

      @@benedictmrisho1800 , ndio maana tunataka katiba mpya. Ni nchi zetu silizojaa wajinga na wabumbavu ambazo zimempa mamlaka mtumishi wao!!

  • @adamlyanda9450
    @adamlyanda9450 Před 19 dny

    Asante professa

  • @adammbuba7230
    @adammbuba7230 Před 27 dny

    Prof kama prof
    Kwa kweli uko bomba

  • @vickytorry100
    @vickytorry100 Před měsícem

    Profesa Safari inabidi ujitokeze ulisaidie Taifa, wewe ni mkweli sana ulivyokuwa mwanasiasa nilikufuatilia ‘you are unique’ hata nafasi ya urais inakufaa🙏🏾

  • @wahurumasibale6155
    @wahurumasibale6155 Před měsícem

    Heshima kwako Prof.

  • @gordonausubisye8074
    @gordonausubisye8074 Před 12 dny

    Kwa kweli profesor Safari wewe mtu mwenye Madini sana sijui watawala hawakuonii wewe mtu mhim sana katika Nchi hii kweli mkweli hahitajiki sijui kwa nini

  • @husseinmtima6106
    @husseinmtima6106 Před 28 dny

    Napenda anavyozungumza yaani ana relax

  • @albertkamala6843
    @albertkamala6843 Před 29 dny +1

    Mafanikio ya nchi..tazama wanaohusika kutoa haki!
    Nikiwaangalia Majaji hawa wa sasa hv!
    Majaji stadi
    Luis makame, khawa Lugakingira, Barnabas Samata.
    Sheria itatakiwa itekeleze haki..kanuni zisizuie haki kutendeka!
    Polisi na Mahakama vinara wa rushwa!
    Sijivunii majaji..wanafunzi wangu! Wameniangusha! Mawakili wako sawa!

  • @frankphiri9132
    @frankphiri9132 Před měsícem +1

    Si uanzishe chsko nawanao au wataingia kwa kufuata itikadi zako usitudanganye mtawala yeyote lzm jpite ktk vitisho hapo umefeli Prof kaa kimyaaaaaaa

  • @kyaro5945
    @kyaro5945 Před 27 dny +1

    FUNCTIONALIST Prof. Safari umewaambia. Mmbunge alipwe m18 na Medical Dr alipwe 3 m. Haiwezekani

  • @JosephuSwai
    @JosephuSwai Před měsícem +1

    Wewe ni tatizo prof

  • @patrinraura1397
    @patrinraura1397 Před 25 dny

    Mhe. Tukushukuru kwa kutumia Kipawa chako Mungu alichokujalia Kuandika Vitabu kusaidia Kada ya Elimu na hasa ngazi za chini

  • @khalidhaibe9492
    @khalidhaibe9492 Před měsícem +1

    Lafudhi adhimu ya kiswahili toka kwa Prof Safari

  • @webstersinje7712
    @webstersinje7712 Před měsícem +1

    Laiti katiba ingeruhusu ugombea binafsi,naamini kungekuwa na uhuru zaidi wa mawazo,,huu ugombea hadi kutumia mwamvuli wa vyama ndio chanzo cha kufinya uhuru wa mawazo na mitazamo,maana unaongea kwa "handbreak" unawaza wenzangu watanifikiriaje au chama changu hakitaki kabisa kusikia aina hii ya mawazo,Binafsi nimekuwa kwenye fikira hizo miaka mingi nyuma....Kunta...Kinte.

  • @RBMBAKARI-bv6wn
    @RBMBAKARI-bv6wn Před měsícem

    Ukiipenda dini hutakua muongo utakukalia mbali sana ndio maana watu wachamungu sana hawataki siasa

  • @rasnchimbi
    @rasnchimbi Před měsícem +1

    Malalamiko na malaumu na references kibao za wakoloni kutoka kichwani kwa prof.🤣🤣

  • @MrKhatibu
    @MrKhatibu Před měsícem

    Lakini tuseme ukweli hapo kwenye watu wenye mvuto wa kuwa convinced watu

  • @benedictmrisho1800
    @benedictmrisho1800 Před 22 dny

    Magazeti yanaandika mambo yasiyo na ukweli mf kusifu sifu bila ukweli na habari zisizotafitiwa vizuri ( investigative journalism). Mwandishi anaandika mtuhumiwa wa kulawiti mtoto akamatwa afikishwa mahakamani. Story inaishia hapo haendi kufuatilia mwenendo wa kesi hadi mwisho.

  • @angelanaftael7965
    @angelanaftael7965 Před měsícem +1

    You can't bring revolution in single handed...tafakari...

  • @evelina9621
    @evelina9621 Před 18 dny

    Tuokoe
    Baba.safari.jina.zuri.binafsi.nakupenda.uwe.kiongozi.wetu.karama.yako.itumie.watu.wwafurahi

  • @angelsblackboard8008
    @angelsblackboard8008 Před 21 dnem

    Kafala ndio mdudu gani?

  • @yahayamjenga1996
    @yahayamjenga1996 Před 21 dnem +1

    Critics nyingi hapa ni kwa kuwa kavaa kanzu and smart hakuna reasons za msingi hasa za critics za wachangiaji. Angevaa suti na tai huyu angeshangiliwa 😂

    • @aidanaiken8147
      @aidanaiken8147 Před 18 dny

      Acha udini ww, Prof Safari tunamkubali kabla hatujajua dini yake

  • @michaelbachubira7197
    @michaelbachubira7197 Před měsícem

    Sasa kyoma unatua haje elimu ulio nayo unaacha nini kwa vizazi vijavyo

  • @msabahaali758
    @msabahaali758 Před 29 dny

    prof, uo ni uoga akina Maalim seif wamepambna mpka wamekufa hawakujali chochote mpka wamekufa

  • @amohammed3390
    @amohammed3390 Před 28 dny

    Sasahivi magazeti free kwenye train na buses😂

  • @boneventuremweya3673
    @boneventuremweya3673 Před 25 dny

    Paza sauti tujue ukweli unaodhani ndo ukweli kujifungia ni ubinafsi

  • @mzeekidevu9688
    @mzeekidevu9688 Před měsícem

    Wewe unataka mtelemko suka chama chaji tulione onesha msimamo wako watu tukuunge mkono

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 Před měsícem

    Sheikh hayupo siriaz huyo wasomi wetu wanazingua

  • @evelina9621
    @evelina9621 Před 18 dny

    Bado.tunakuhitaji.uongoze.tanzania.uwezo.unao.usiogope.mungu.atakulinda

  • @francisboydmwakyusa230
    @francisboydmwakyusa230 Před měsícem

    Hakika wewe ni Mkweli, nikikumbuka swali la Ukabila na Ukanda ulivyo wauliza CDM wkt wanakutaka ujiunge nao, swali hilo kuwauliza watu wanaojinasibu na hiyo sifa ilikua kama umeanzisha vita.

  • @mahadhikawia3610
    @mahadhikawia3610 Před 23 dny

    Ndio maana wabunge wa darasa la 7 ,hawaishi kuwakashifu maProfessaa ,jeuri ya pesa ! Mbunge 18 m , professor na Doctor na wahandisi 3m .

    • @benedictmrisho1800
      @benedictmrisho1800 Před 22 dny

      Tatizo la kukabizi nchi wanasiasa waliochoka maisha ya taaluma kuiongoza nchi. Mtu ni daktari wa binadamu anaacha anaenda kuwa msihasa kwa sababu tu siasa inalipa.

    • @benedictmrisho1800
      @benedictmrisho1800 Před 22 dny

      Hongera Prof umechaguz fungu bora.

  • @kakorejrboyz6447
    @kakorejrboyz6447 Před měsícem

    VITU DUNIANI
    AMBAVYO VINASABABISHA MTU UWE MBAGUZI NA KUDHINDWA KUTEKELEZA UTAALAMU WAKO KUISAIDIA JAMII NI DINI NA SIASA.
    AMINI MANENO YANGU KAMA HUUAMINI FANYA UTAFITI

  • @othumanomari1589
    @othumanomari1589 Před měsícem +2

    Msomigani unakua muoga

  • @Salisalum
    @Salisalum Před měsícem

    Kweli anazingua. Atajitoa kafara gani? Uoga tu.

    • @athumanfuko199
      @athumanfuko199 Před měsícem

      Nimemkubari huwezi ukaingia sehemu unaona kabisa watu hawataki mabadiliko sahihi

    • @gangan4618
      @gangan4618 Před 29 dny +1

      Muoga kweli kweli wewe prof., basi wewe ni chawa tu wa Ma-CCM, Ukiona mtu Prof. Anasema eti hana chama au mwana dini mwenye umaarufu anasema hana Chama huyo huyo kajificha tu ni CHAWA WA SIRI WA ÇCM na anahofu ya maisha yake kushambuliwa na manyang'au Ma-CCM... yaan wanafiki wa namna hii wasubiri moto tu siku ya KIHAMA.

  • @denisadrian9765
    @denisadrian9765 Před měsícem

    madini tupu aisee 😂

  • @kibbysaidi7813
    @kibbysaidi7813 Před měsícem +3

    Sijakuelewa kikweli.... yaani professor kwako kuna mambo mawili tu... ukweli na ugomvi??? Kwanini unadhani ni bora ubaki na ukweli wako kuliko kuueleza na kujitoa kafara? Basi ukweli wako una faida gani kwa watanzania?? To me you are weak and very selfish

    • @--------GEO_SPORT_EARTH_EA
      @--------GEO_SPORT_EARTH_EA Před 28 dny

      😂😂😂😂hivi umeelewa kweli wewe ....
      Aiseee mbali watuuu kujua kusoma tanzania ila ujinga upo pale pale

    • @kibbysaidi7813
      @kibbysaidi7813 Před 28 dny

      @@--------GEO_SPORT_EARTH_EA kama ww umeelewa na bado ukasema mm ndio sijaelewa basi nisingependa kuwa kama ww. Nakubali nina ujinga wangu lakini bora hivyo kuliko niwe na werevu wako

  • @ambokileasheengai1140
    @ambokileasheengai1140 Před měsícem

    Mzee wa legallize majani

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 Před měsícem +4

    Umekosea kaka,yule alikuwa CHE GUAVARA!!

    • @KASOLEKA
      @KASOLEKA Před měsícem

      Binafsi sijaelewa hii ya Karl Marx!!!

    • @FahadAbubakari
      @FahadAbubakari Před měsícem

      Kakosea nini sasa

    • @petersipano6335
      @petersipano6335 Před měsícem

      Nimefuatilia vizuri, kauli yake ya ameirekebisha kwa kumtaja Che Guevara badava ya Karl Marx, umeenda haraka...

    • @kanoleausi4204
      @kanoleausi4204 Před měsícem

      Wewe ndio umekosea sio CHE GUAVARA ni Che Guevara!😂

    • @FahadAbubakari
      @FahadAbubakari Před měsícem

      @@kanoleausi4204 ndio nini sasa

  • @gilbertkalanda9354
    @gilbertkalanda9354 Před 27 dny +1

    Sema Hawa Hawa Maprof. Wakiafrika uwa wana kakiburi Fulani sanaa afu mafanikio zero

  • @JosephatMushi-ne9hn
    @JosephatMushi-ne9hn Před 27 dny

    Uwezi soma gazeti au kitabu, Barabara zenyewe Mbovu, mashimo Kila sehemu, ni kula Mshindi tu na kuchimba dawa

  • @mgungulem3187
    @mgungulem3187 Před měsícem

    Ukiendelea kukaa pembeni, utafaidi matunda ya wajinga siku ya iddi tuu😂

  • @KimanguShemwaliko-ht2jr
    @KimanguShemwaliko-ht2jr Před měsícem +1

    Kwa maana wewe hutaki kutetea haki.wewe nimbinafsi

  • @sylvanuskavindi2756
    @sylvanuskavindi2756 Před 18 dny

    Huyo mtu ana akili sana, akiwa CUF alimsumbua sana Lipumba hana hamu naye.
    Alihamia CHADEMA ikiwa serious wakati ule kabla chama hakijashikiliwa na madalali rasmi.
    Walipoanza ukigeugeu akaamua kukaa zake kando na siasa.

  • @gilbertkalanda9354
    @gilbertkalanda9354 Před 27 dny +1

    Sema Hawa Hawa Maprof. Wakiafrika uwa wana kakiburi Fulani sanaa afu mafanikio zero

    • @mpondaambrose2231
      @mpondaambrose2231 Před 25 dny

      Amesema ukwel nan yuko serious kupeleka taifa mbele tume staki hatumove kabisa hatutaki ukwel