''BAADA YA MZEE KIKWETE KUINGIA KURA ZETU ZILIANZA KUPOROMOKA, CHAMA KILIPATA MSUKOSUKO'' BASHIRU

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 18. 01. 2020

Komentáře • 62

  • @bakuzasimon6193
    @bakuzasimon6193 Před rokem +1

    Ukifanya vizuri unakumbukwa hongera Dr Bashiru

  • @user-gm6un2ie5l
    @user-gm6un2ie5l Před 3 měsíci +2

    Anayetizama hiii 2024 like yako tafadhal

  • @FaridaJames
    @FaridaJames Před rokem +1

    Msema ukweli siku zote hua anamaadui wengi Sana mungu akutangulie jembe la magufuri

  • @manuelhealth100channel7
    @manuelhealth100channel7 Před 4 lety +4

    Bashiru umenena iliyokweli na ni kweli kabisa kwa sasa watu tuna matumaini na viongozi wa serikari

  • @pastorycharles1253
    @pastorycharles1253 Před 3 měsíci

    Dr Bashiru Ally kakurwa akili kubwa sana

  • @patrinraura1397
    @patrinraura1397 Před rokem

    Wewe ni muumini wa Hayati Baba wa Taifa Mwl Nyerere na Hayati Magufuli hutapendwa na baadhi ya Wanasiasa kutokana na ucha Mungu wako. Jemadari na Shujaa usiyeogopa kusema ukweli Mungu Akubariki.

  • @ashamwandu3781
    @ashamwandu3781 Před 4 lety

    Alhamdulillah Allah Kareem

  • @hassanmpwepwe3826
    @hassanmpwepwe3826 Před 4 lety +1

    Kwer katbu umeongea kwer ccm mrikuwa mnazingua Sana sima kwasasa mnajielewa mnaleta maendeleo ya kwer pongezi zake rais wangu jpm mungu akurinde na wa sio penda maendeleo ya tz

  • @kassembotz1421
    @kassembotz1421 Před 3 lety +2

    Huo ndo ukweli!!!!!!
    Huo ndo ukweli
    Huo ndo ukweli
    Huo ndo ukweli
    Huo ndo ukweli
    JPM pumzika kwa amini
    💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔

  • @zikirination6769
    @zikirination6769 Před 4 lety +2

    Bila kusema hivi chama hakiendi lazima watanzania waambiwe ukwel kuwa majangili walikuwa wengi mno ccm na magu ndo kidume uyu mzee na karibu wak bashiru

  • @dhulkfryshaffih2371
    @dhulkfryshaffih2371 Před 2 lety

    Vep kwa Sasa mzee wangu Hali ikoje

  • @stevencherdiel9522
    @stevencherdiel9522 Před 4 lety +1

    Hiyo ni kweli tulipoteza kabisa matumaini.

  • @papayatnzania1005
    @papayatnzania1005 Před 4 lety +3

    Ukweli utabaki kileleni siku zote awamu ya 234 ni za mifisadi na familia zao ila hii awamu yatano5 inatuonyesha live jinsi Tanzania yetu ilivyokuwa inachezewa na kufisadiwa mchana na usiku mwaka hadi mwaka watoto akina mama wajawazito wengi walifariki kutokana na unyama na uzandiki tena waliokuwa wanafanya hivyo ni watumishi waliokuwa serikalini

    • @fredybuha2872
      @fredybuha2872 Před 4 lety

      Huuu unafiki kitu kibaya Sana ivi huyu ndio Dk kweli Tanzania wasomu hewa

    • @jumakapilima5674
      @jumakapilima5674 Před 4 lety

      Acha umbumbumbu wewe!!!

  • @davidnicholaus5304
    @davidnicholaus5304 Před 4 lety

    Mmmmm haya maneno mmmm

  • @nizwaoman8378
    @nizwaoman8378 Před 7 měsíci

    Na sasa ivi sasaivi akuna kula ccm ila kuna mabavu watu tulivyo na ali mbaya bado tuchague ccm tumewachoka

  • @msafiriomary893
    @msafiriomary893 Před 7 měsíci

    Ndivyo itakavyokuwa 2025 wanainchi hatuipendi ccm mifumko ya bei kra mfanya biashara anapandisha bei atakavyo serikal inaangaria tuu tumerudi kure kure

  • @axmedcumar6196
    @axmedcumar6196 Před rokem

    Wameshasahauuu

  • @allysudi2986
    @allysudi2986 Před 4 lety +3

    Hapa naona ccm mbili kutokea maana haya maneno ya Dr bashiru sio kipindi chake

  • @yahyahamad1802
    @yahyahamad1802 Před rokem

    Kumbe ndio mana kikwete jana akakushukia, hahaha

  • @laulianmeneja2079
    @laulianmeneja2079 Před 4 lety +1

    Leo kikwete hanamaana na mkapa

  • @yasinhemed2498
    @yasinhemed2498 Před 4 lety +2

    kila serikali iliyopita ilikua na mazuri yake na makosa yake toka awamu ya kwanza hata hii baada ya kumaliza itaonekana hivyohivyo

  • @munuoisaack418
    @munuoisaack418 Před 4 lety

    Kwa mabadiliko kumbe ni MAGUFULI na siyo umoja wa ccm manake watu ni wale wale Magufuli oyeeeeeeeeeeeeeeeee

  • @wisdomuta1039
    @wisdomuta1039 Před 4 lety

    Bashiru Ally Kakurwa Dr.(PHD) 100%

  • @saidasimba9979
    @saidasimba9979 Před 4 lety +1

    Unaongeaga kwa fact ..kweli wewe mwalimu tena msomi

  • @ghbussiness8750
    @ghbussiness8750 Před 4 lety +3

    Sioh yakuongea public

    • @zikirination6769
      @zikirination6769 Před 4 lety +1

      Yaongelewa chumban sio

    • @abduliddy7432
      @abduliddy7432 Před 4 lety

      Hakuna cha matumaini, maisha yamekuwa magumu sana na sijui kwa nin tuwaoga watu wanafanya mambo wanavyo taka wao. Halafu unasema tuna matumaini hii sio kweli kabisa.............

    • @namlessnamless1207
      @namlessnamless1207 Před 4 lety

      @@abduliddy7432 Fanya kazi acha mayowe !

  • @dastanmjema2815
    @dastanmjema2815 Před 4 lety

    Hivi mara kikwete aamue kuingia na magufuli 2020 labda panaweza pakatupa picha gano?

    • @jumakapilima5674
      @jumakapilima5674 Před 4 lety

      Weeeee Jk anatisha wewe!! yule jamaa ni Master of politics,,,,anashinda mchana kweupe!!!

  • @hamadsaburi3569
    @hamadsaburi3569 Před rokem

    Sadakta

  • @ThobiasMarandu
    @ThobiasMarandu Před 4 lety

    Pumbavu sana Huyu, Sasa Kikwete alipata 60% za Halali. Ninyi Si Mnapora hiyo ni asilimia 0%

    • @godfreymbwambo4460
      @godfreymbwambo4460 Před 4 lety +2

      SASA WEWE SI CHADEMA, MAMBO YA CCM YANAKUHUSU NINI?? FISADI LOWASSA MUMEMLAMBA MATAKO NA KAWAKIMBIA !!

    • @abubakarihamissi4178
      @abubakarihamissi4178 Před 2 lety

      Yes it's true kikwete alipata za halali lkn marehemu mpk nyingine ziliwekwa kwenye mifuko

  • @shukurunzenzule5963
    @shukurunzenzule5963 Před 4 lety

    hata saahizi ni yaleyale watu wanaogopa intelejencia inamaana wewe hujuwi hilo umebaki kujipendekeza kalagabao

  • @malindaramadhani9271
    @malindaramadhani9271 Před 3 lety

    Heeeeeh ndio nini

  • @jumakapilima5674
    @jumakapilima5674 Před 4 lety +1

    Hapo Dr, umechemka ,,,,"eti wakati kikwete anaingia kura zetu zikaanza kuporomoka" kauli hii sikweli, ukweli ni kwamba kikwete alishinda kwa zaidi ya asilimia 80 kwa muhula wa kwanza, lkn muhula wa pili ndio ndio zilishuka!!! Asipotoshe!!!!

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 Před rokem +1

      Awamu ya kwanza ya kikwete alipokea kwa mzee Mkapa, kw hiyo hiyo 80% ni kazi mkapa.

    • @user-fp9ye4vv3y
      @user-fp9ye4vv3y Před 6 měsíci +1

      ​@@josephlorri431Umemjibu vizuri

  • @bebisheni4380
    @bebisheni4380 Před 4 lety +1

    na waandika makaratasi kwa makatibu wilayani nao wachunguze wafukuze pia madreva wachunguze wafkuze wananikera ccm oyeee

  • @michaelngaliga1802
    @michaelngaliga1802 Před 4 lety +1

    Kama ni hisia za watu kazjuaje na wakat kasema mwenyewe matumain hayapimikii??😁😁😁

  • @sundaystanley5322
    @sundaystanley5322 Před rokem

    Sasa hivi tumerudi kule kule

  • @mohamedturanardan8871

    Vipi wewe ulipowafyeka wabunge 70 wa CCM na kuwapigia simu kwa kuwatisha?

  • @immanuelswai6679
    @immanuelswai6679 Před 4 lety

    Hata sasa ndio imekuwa mbaya zaidi. Lamda mtumie nguvu ya polis. Ila kama mtatumia alali hataona majimbo mengi sana.

  • @ibrahimkambi9288
    @ibrahimkambi9288 Před 3 lety +1

    JPM WE MISS YOU

  • @mohamedfogo8820
    @mohamedfogo8820 Před 4 lety

    Swadakta mkuu
    Matumaini ya wanyonge yanaonekana

  • @bebisheni4380
    @bebisheni4380 Před 4 lety

    katibu wewe hujagundua bado tatizo waratibu wa mabolozi wilayani wabovu wafukuze wananikera

  • @mainguburemo6186
    @mainguburemo6186 Před rokem

    Tumerudi huko huko tulikotoka

  • @efraimjohn4956
    @efraimjohn4956 Před 4 lety

    Hv sasahv Tiba ni bure?

  • @jumakapilima5674
    @jumakapilima5674 Před 4 lety

    Bashiru hapo umeongopa , itakumbukwa kikwete mwaka 2005 alichaguliwa kwa zaidi ya 80%

    • @user-fp9ye4vv3y
      @user-fp9ye4vv3y Před 6 měsíci

      Unajua kwa nini kasema 2010?
      Kura za 2005 za kikwete ni matokeo ya kazi ya mkapa na kura za 2010 ndio ya kikwete,kura za 2015 za Jpm ni matokeo ya kazi ya kikwete na kura za 2020 za Jpm ni matokeo ya kazi yake.

  • @gockoomzawa3389
    @gockoomzawa3389 Před 4 lety +1

    siasa mchezo mchafu ....

  • @jozeytv8357
    @jozeytv8357 Před 4 lety +3

    We ulijuaje vya ccm akati ulikuwa CUF

    • @celestinshayo7295
      @celestinshayo7295 Před 4 lety

      Tanzania na CCM ya sasa inaongozwa na watu siriaz. hawatabasamu maana ukimchekea kima utavuna mabua. Hawa ndio wanaotakiwa. namfahamu Dk. Bashiru alikuwa tutor wangu somo la DS pale UDSM. Siriaz hivi hivi. Kaza buti baba kima bado wengi nchi hii

  • @leonardsebunga7187
    @leonardsebunga7187 Před 6 měsíci

    Mwl aliwahi kusema chama legelege huzaa serikali regerege,inafaa kujitafakari kwa sasa.

  • @efraimjohn4956
    @efraimjohn4956 Před 4 lety

    Wekeni uchaguz huru muone hahahahaha

  • @charlesmpemba9387
    @charlesmpemba9387 Před 4 lety

    Umesema kweli kabisa