Wewe ni muumini wa Hayati Baba wa Taifa Mwl Nyerere na Hayati Magufuli hutapendwa na baadhi ya Wanasiasa kutokana na ucha Mungu wako. Jemadari na Shujaa usiyeogopa kusema ukweli Mungu Akubariki.
Kwer katbu umeongea kwer ccm mrikuwa mnazingua Sana sima kwasasa mnajielewa mnaleta maendeleo ya kwer pongezi zake rais wangu jpm mungu akurinde na wa sio penda maendeleo ya tz
Bila kusema hivi chama hakiendi lazima watanzania waambiwe ukwel kuwa majangili walikuwa wengi mno ccm na magu ndo kidume uyu mzee na karibu wak bashiru
Ukweli utabaki kileleni siku zote awamu ya 234 ni za mifisadi na familia zao ila hii awamu yatano5 inatuonyesha live jinsi Tanzania yetu ilivyokuwa inachezewa na kufisadiwa mchana na usiku mwaka hadi mwaka watoto akina mama wajawazito wengi walifariki kutokana na unyama na uzandiki tena waliokuwa wanafanya hivyo ni watumishi waliokuwa serikalini
Hakuna cha matumaini, maisha yamekuwa magumu sana na sijui kwa nin tuwaoga watu wanafanya mambo wanavyo taka wao. Halafu unasema tuna matumaini hii sio kweli kabisa.............
Hapo Dr, umechemka ,,,,"eti wakati kikwete anaingia kura zetu zikaanza kuporomoka" kauli hii sikweli, ukweli ni kwamba kikwete alishinda kwa zaidi ya asilimia 80 kwa muhula wa kwanza, lkn muhula wa pili ndio ndio zilishuka!!! Asipotoshe!!!!
Unajua kwa nini kasema 2010? Kura za 2005 za kikwete ni matokeo ya kazi ya mkapa na kura za 2010 ndio ya kikwete,kura za 2015 za Jpm ni matokeo ya kazi ya kikwete na kura za 2020 za Jpm ni matokeo ya kazi yake.
Tanzania na CCM ya sasa inaongozwa na watu siriaz. hawatabasamu maana ukimchekea kima utavuna mabua. Hawa ndio wanaotakiwa. namfahamu Dk. Bashiru alikuwa tutor wangu somo la DS pale UDSM. Siriaz hivi hivi. Kaza buti baba kima bado wengi nchi hii
Ukifanya vizuri unakumbukwa hongera Dr Bashiru
Anayetizama hiii 2024 like yako tafadhal
Msema ukweli siku zote hua anamaadui wengi Sana mungu akutangulie jembe la magufuri
Bashiru umenena iliyokweli na ni kweli kabisa kwa sasa watu tuna matumaini na viongozi wa serikari
Dr Bashiru Ally kakurwa akili kubwa sana
Wewe ni muumini wa Hayati Baba wa Taifa Mwl Nyerere na Hayati Magufuli hutapendwa na baadhi ya Wanasiasa kutokana na ucha Mungu wako. Jemadari na Shujaa usiyeogopa kusema ukweli Mungu Akubariki.
Alhamdulillah Allah Kareem
Kwer katbu umeongea kwer ccm mrikuwa mnazingua Sana sima kwasasa mnajielewa mnaleta maendeleo ya kwer pongezi zake rais wangu jpm mungu akurinde na wa sio penda maendeleo ya tz
Huo ndo ukweli!!!!!!
Huo ndo ukweli
Huo ndo ukweli
Huo ndo ukweli
Huo ndo ukweli
JPM pumzika kwa amini
💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔
Bila kusema hivi chama hakiendi lazima watanzania waambiwe ukwel kuwa majangili walikuwa wengi mno ccm na magu ndo kidume uyu mzee na karibu wak bashiru
Vep kwa Sasa mzee wangu Hali ikoje
Hiyo ni kweli tulipoteza kabisa matumaini.
Ukweli utabaki kileleni siku zote awamu ya 234 ni za mifisadi na familia zao ila hii awamu yatano5 inatuonyesha live jinsi Tanzania yetu ilivyokuwa inachezewa na kufisadiwa mchana na usiku mwaka hadi mwaka watoto akina mama wajawazito wengi walifariki kutokana na unyama na uzandiki tena waliokuwa wanafanya hivyo ni watumishi waliokuwa serikalini
Huuu unafiki kitu kibaya Sana ivi huyu ndio Dk kweli Tanzania wasomu hewa
Acha umbumbumbu wewe!!!
Mmmmm haya maneno mmmm
Na sasa ivi sasaivi akuna kula ccm ila kuna mabavu watu tulivyo na ali mbaya bado tuchague ccm tumewachoka
Ndivyo itakavyokuwa 2025 wanainchi hatuipendi ccm mifumko ya bei kra mfanya biashara anapandisha bei atakavyo serikal inaangaria tuu tumerudi kure kure
Wameshasahauuu
Hapa naona ccm mbili kutokea maana haya maneno ya Dr bashiru sio kipindi chake
Kumbe ndio mana kikwete jana akakushukia, hahaha
Leo kikwete hanamaana na mkapa
kila serikali iliyopita ilikua na mazuri yake na makosa yake toka awamu ya kwanza hata hii baada ya kumaliza itaonekana hivyohivyo
Kwa mabadiliko kumbe ni MAGUFULI na siyo umoja wa ccm manake watu ni wale wale Magufuli oyeeeeeeeeeeeeeeeee
Bashiru Ally Kakurwa Dr.(PHD) 100%
Unaongeaga kwa fact ..kweli wewe mwalimu tena msomi
Sioh yakuongea public
Yaongelewa chumban sio
Hakuna cha matumaini, maisha yamekuwa magumu sana na sijui kwa nin tuwaoga watu wanafanya mambo wanavyo taka wao. Halafu unasema tuna matumaini hii sio kweli kabisa.............
@@abduliddy7432 Fanya kazi acha mayowe !
Hivi mara kikwete aamue kuingia na magufuli 2020 labda panaweza pakatupa picha gano?
Weeeee Jk anatisha wewe!! yule jamaa ni Master of politics,,,,anashinda mchana kweupe!!!
Sadakta
Pumbavu sana Huyu, Sasa Kikwete alipata 60% za Halali. Ninyi Si Mnapora hiyo ni asilimia 0%
SASA WEWE SI CHADEMA, MAMBO YA CCM YANAKUHUSU NINI?? FISADI LOWASSA MUMEMLAMBA MATAKO NA KAWAKIMBIA !!
Yes it's true kikwete alipata za halali lkn marehemu mpk nyingine ziliwekwa kwenye mifuko
hata saahizi ni yaleyale watu wanaogopa intelejencia inamaana wewe hujuwi hilo umebaki kujipendekeza kalagabao
Heeeeeh ndio nini
Hapo Dr, umechemka ,,,,"eti wakati kikwete anaingia kura zetu zikaanza kuporomoka" kauli hii sikweli, ukweli ni kwamba kikwete alishinda kwa zaidi ya asilimia 80 kwa muhula wa kwanza, lkn muhula wa pili ndio ndio zilishuka!!! Asipotoshe!!!!
Awamu ya kwanza ya kikwete alipokea kwa mzee Mkapa, kw hiyo hiyo 80% ni kazi mkapa.
@@josephlorri431Umemjibu vizuri
na waandika makaratasi kwa makatibu wilayani nao wachunguze wafukuze pia madreva wachunguze wafkuze wananikera ccm oyeee
Kama ni hisia za watu kazjuaje na wakat kasema mwenyewe matumain hayapimikii??😁😁😁
Sasa hivi tumerudi kule kule
Vipi wewe ulipowafyeka wabunge 70 wa CCM na kuwapigia simu kwa kuwatisha?
Hata sasa ndio imekuwa mbaya zaidi. Lamda mtumie nguvu ya polis. Ila kama mtatumia alali hataona majimbo mengi sana.
JPM WE MISS YOU
Swadakta mkuu
Matumaini ya wanyonge yanaonekana
katibu wewe hujagundua bado tatizo waratibu wa mabolozi wilayani wabovu wafukuze wananikera
Tumerudi huko huko tulikotoka
Hv sasahv Tiba ni bure?
Bashiru hapo umeongopa , itakumbukwa kikwete mwaka 2005 alichaguliwa kwa zaidi ya 80%
Unajua kwa nini kasema 2010?
Kura za 2005 za kikwete ni matokeo ya kazi ya mkapa na kura za 2010 ndio ya kikwete,kura za 2015 za Jpm ni matokeo ya kazi ya kikwete na kura za 2020 za Jpm ni matokeo ya kazi yake.
siasa mchezo mchafu ....
We ulijuaje vya ccm akati ulikuwa CUF
Tanzania na CCM ya sasa inaongozwa na watu siriaz. hawatabasamu maana ukimchekea kima utavuna mabua. Hawa ndio wanaotakiwa. namfahamu Dk. Bashiru alikuwa tutor wangu somo la DS pale UDSM. Siriaz hivi hivi. Kaza buti baba kima bado wengi nchi hii
Mwl aliwahi kusema chama legelege huzaa serikali regerege,inafaa kujitafakari kwa sasa.
Wekeni uchaguz huru muone hahahahaha
Umesema kweli kabisa