Hongera sana mheshimiwa ole Shangai kwa kuwatetea wanainchi wako tunahitaji viongozi kama hawa mungu wa mbinguni akubariki na akupe hitaji la moyo wako
For sure, it needs confidence and knowledge of what you might be defending. Then it comes to be a determinant factor for people's representative should be knowledgeable and courageous to defend people's rights and the nation at large.
Hongera Sana Mh. Mbunge wa Loliondo. Hadi nimelia kama Mtanzania Mzalendo mwenye uchungu na nchi yangu. Hawa ndiyo Wabunge tunaowataka. Bila woga anatetea Watanzania. Hao wa taarifa kaeni chini maana sitaki niseme chochote kuhusu Vibaraka wa wale ambao ukiingia huko mtandao inasema "Welcome to ......."
Hongera sana mheshimiwa oleshangai kwa kusimama na wananchi,hakika siku ukipata nafasi ya kuteuliwa kuwa president of united republic of Tanzania,hakika watanzania watafaidika sana na maendeleo utakayowaletea, hello watanzania hao ndo viongozi wa kuigwa ktk Taifa hili
Wanamvuruga but being honest kuwepo wamasai katika eneo lao ni zaidi ya aridhi tu so kuwapeleka handeni kuna udhaifu mkubwa mambo kama **mila na desturi yote huendana na origin ya jamii husika**...kuna ibaada zao hufanywa..**je ukiwatoa hapo ukawapeleka mahali kwingine haya yote yamewekwa into consideration?** Au wanajizungumzia tu? Hawa wabunge wanaopinga wamelishwa nini?
Sheria na haki against ugandamizaji. Liwekwe sawa badala ya kulipeleka kama Simba na Yanga.Huyo ni mbunge ndie mwakilishi wa jamii husika sasa hali ya kujipanga kumuatack haileti afya na mbunge ameketi kwa huzuni sana. Nmesikia akieleza kisheria consultation lazima ipite na kukubaliana na hao wahanga kabla ya kuanza utekelezaji. Watu wakishajibiwa maswali yao ndipo mwanzo wa kuondoa mgogoro. Mara zote shaka hutokea endapo jambo linachukuliwa kwa haraka bila ya sababu za kueleweka na bila kuzingatia utaratibu. Dhana inayokuja aidha kuna deal inayotumiwa na kundi wakiwemo wenye nafasi za madaraka na wenye ukwasi. Huko kuna mwana wa mfalme anaesikikana kuhodhi eneo out of legal criteria inafaa jambo hilo lipate muafaka. Wazo la kuunda tume nadhani ni sahihi ili kupata facts kwa lengo la kutenda haki na kuendelea kuleta ustawi kwa wananchi hao pia kwa taifa. Sura ilivyo sasa inachafua ramani ya Tanzania. Mama yetu Samia litazame kwa kina hili suala. Kazi yako kubwa ya Royal Tours uliyoifanya itaingia dosari, inafaa usafishe dosari hiyo ili kazi iendelee.
@@epafrangweshemi4014 Hili swala sio gumu wala halina shida.....linafanywa kuwa gumu makusudi tu! Solution ni rahisi tu....take right decision in a way that **unathamini maisha ya hao watu, mila zao, imani zao, desturi zao** vitu ambavyo ni muhimu kwa ustawi wa jamii ya maasai. Huwezi kusema visiwani ni wavuvi then uwapeleke dodoma...unaua desturi na mila zao, huwezi kusema wasukuma ni wakulima ukawapeleka zanzibar wakalime karafuu unawavuruga, huwezi kuchukua watu wa sumbawanga uwapeleke mahali pengine na bado ukadumisha desturi, mila zao na ibaada zao...huwezi hata kama ukiwapa acre 200 maeneo ya mtwara....**hawa wanayajua haya tunayoongea hapa ila hawataki kuzungumza labda wanaogopa, au makusudi tu maana posho zinaingia hawajali malalamiko ya watu waliowachagua kuingia humo bungeni**
Wabunge wana sahau mila na desturi zao.. Mwalimu alijitaidi sana kuweka free land yani makabira yote kuwa sawa kuingliana lakini sio kuhamisha mila na desturi zao. Hapo ni kutengeneza vyazo vya vita za ukabila. Ndio maana nchi nyingi za Africa vita utokea kwa ajili ya mixer roots za ukabila..Sasa wabunge wacheka tu kitu ambacho,, 0 point 👉 inakuwaje kuamisha kabila moja adi Mkoa mwingine, nini maana ya kuwa na Mikoa? Kama walikuwepo tokea kabda ya Uhuru basi wangetafutiwa maeneo ukouko sio kumpeleka mkoa mwingine. Wabunge wanatakiwa kueshimu kwanza mila na desturi...
Ole shangai hongera uko vzr, tatizo watu wakishapewa vyeo kidogo tu wanatusahau wananchi Kwa kuitetea serkal hata kama inazingua...kuna mda muwe mnakubali tu kama Bashe then mnajirekebisha
Jembe lako lishafeli kwani lilikuwa wapi mpaka beacons zikawekwa linakuja kubwabwaja baada ya habari. Anafikiri beacons zitaenda kung’olewa baada ya kuwekwa? Bichwa bovu tuu hili.
Safi mbunge kutoka ngorongoro weng wao wanaongea kwavile hawana family Wala ndgu uko lkn Kwa sis wenye familia zetyu mabib na mababu wako huko hatukubaliani na hloo kivyovyote vlee Niko nyuma Yako nko pamoja na wew piga kaz kak🤝✊
Tumesha waambia 2025 hayupo wa kumpa kura mama samia. Huo ndo ukweli, hata mfanyaje. PERIOD. Yaani mpaka bunge kutekwa big nooo. NYERERE anawaona kwa macho 4
Naumia sana mtu mwenye hoja nzuri anapokua interfered.Hii nchi bila vita hatutaheshimiana.Kuna mambo mengi watu wanazimwa lkn yanaumiza.Wamasai ni watu wenye msimamo hawatishwi na wavulana.
Haki inahitajika kweli,ila unajua madhara ya vita au nikuchangia tu kwa uchungu tulio nao?? Tusiombee vita vikaingia Tanzania,aheri tuonekane wajinga na waoga kuliko vita viingie Tanzania
@@Bar-ngayo2024 nadhani uoga wako khaufai kama wbabu zenu wangeogopa kama mnavoogopa wewe na baadhi basi uhuru msingeupata mgekua bado mnatiwa minyororo so uoga mbaya sana kuokoa taifa na kizazi cha kesho lazma msimame kupigania haki za inchi kama wazehe walimwaga damu na kukubali kufa ili nyie mje muishi vizuri sasa kwanini nanyie msikibali kumwaga damu kwa ajili ya vizazi vyenu ? mtaliwa hadi lini ? mtateseka hadi lini wakat uhuru mnao wakusimama kupinga dhulma ya wachache ,,,,
Ni uchungu tu huu. Vita jambo jingine na usitegemee iingie vita Tanzania ipoe kesho. Tuna RASLIMALI nyingi zonazomezewa mate na mataifa lukuki. Tutasalitiwa hata na jirani zetu. Tutakuwa km DRCongo. Tujipangie kuwa tunachagua viongozi wapenda watu sio wapenda vitu. Mambo ya kupewa 10, 000/= unamuacha kiongozi mzuri unauza kura ni mbaya sana. Huyo akiingia madarakani anakwenda kufisadi tu usitegemee kunufaisha umma. Chumia tumbo inatusumbua sana sisi watanzania.
Isije ikawa ni danganya toto, kwamba muda huu wote watu wote tupeleke focus yetu Loliondo na Ngorongoro, kumbe hiyo ikawa ni mbinu tu. T7napo focus huko kumbe wenyewe wanasafirisha mizigo haramu bandarini. Mie nasema tu
Hiyo ndiyo kazi ya mmbunge kutetea watu wake hiloo jimbo la loliondo ingekuwa na wabunge kama akina babutale lusinde manyanya na waimba mapambio wengine hakika wananchi hawa wangekuwa hawana msaada huyu mmbunge hata wananchi wake wamemsikia na hawawezi kumuacha japo anaweza akapigwa zengwe na chama chake
Kama Wabunge wa eneo husika wanapinga hiyo kitu kwa nini tunalazimisha. Wabunge ni Wawakilishi wa watu kama wanasema HAPANA maana yake wananchi wa eneo husika wamesema HAPANA.
Hao wanaotoa taarifa bila research ni kuleta fujo. "They must come with evidence on their opinions" Nakuelewa sana Mbunge endelea kukataa taarifa zote ambazo ni za ovyo
Huyo riziwani fisad tu hawo akina kikwete ndo wanaharibu nchi hawafai ipo siku mungu atawahukumu hawo ndio waliokuwa wanamuhujumu magufuli hawatufai watanzania
Mh. You are leader mzalendo please usikubali kuingiliwa bila kuvuatwa taratibu za kisheria maana tulikuchagua utuwakilishe na sio hao wanaotoa taarifa kukuforce in your land bcoz they must came by step as rules said.
Wamasai popote pale mlipo mko hatarini kwa mifumo na sera ya ardhi ya nchi yetu. Yanayowakuta ndugu zetu wa ngorongoro zitawakuta tu jiandaeni kwa hilo.
Alafu uyu kikwete na watu wake hawafai KWANINI MNGANGANIE KUPIMA ENEO HILO MBONA MAPORI YAPO MENGI KWANINI WASIENDE KUPIMA MAPORI YA CHALINZE YEYE ANGANGANIA WATU WAPIME MAPORI YA ARUSHA KAMA HAKUNA MASLAI BINAFSI,Acheni wizi mmekula sana nchii hii bado hamtosheki #ripmagufuli
Wengi humo njaa zinawasumbua hawajui maisha ya watu na amzingira waliyozoea leo mtu kazoea polini umpeleke mjini tena kwa nguvu, ila Mungu anawaona mkimaliza ubunge wenu mtatukuta tu huku mapolini muanze kuomba ashamba ya kulima.
Kama tunaendelea na msimamo wa kuchunga ng'ombe badala ya kufuga hata wale waliosoma, matatizo ya aina Hii yataendelea. We need a revolution in our way of animal husbandry. Tusaidie wafugaji wenzetu badala ya kutetea mambo yanayobakiza palepale. Hanna jinsi ya kuendeleza jamii kubwa ya wamasai bila kubadili jinsi ya ufugaji wao.
MUNGU ALIE MUNGU MKUU YUPO MH ATAWAPIGANI ILO NAMINI. AMEN. MBONA SASA WATU WANAHAMA KAMA NI MIPAKA TU INAWEKWA ?. (NAWASII MWANGALIENI MUNGU MKUU JUU YA MAAMZI NA UTU WA WATU WA TAIFA PIA. AMEN.
Mgomee hana kitu huyo ridhiwani ndiyo hao hao wakomba nchi na kuiuza hana kitu huyo na january yamepewa tu uongozi huku maji tabu umeme tabu mijizi tu imejazwa humo ndani ya ccm na bunge tunayachukia ajabu
Hongera sana Mheshimiwa Oleshangai kwa kusimama na wananchi wako tupo nyuma yako tunakuunga mkono hakuna ardhi kunyakuliwa kiholela
Hongera sana mheshimiwa ole Shangai kwa kuwatetea wanainchi wako tunahitaji viongozi kama hawa mungu wa mbinguni akubariki na akupe hitaji la moyo wako
Mbunge wangu mhe ole Shanghai Mungu akulinde popote ulipo
For sure, it needs confidence and knowledge of what you might be defending. Then it comes to be a determinant factor for people's representative should be knowledgeable and courageous to defend people's rights and the nation at large.
Hongera Sana Mh. Mbunge wa Loliondo. Hadi nimelia kama Mtanzania Mzalendo mwenye uchungu na nchi yangu. Hawa ndiyo Wabunge tunaowataka. Bila woga anatetea Watanzania. Hao wa taarifa kaeni chini maana sitaki niseme chochote kuhusu Vibaraka wa wale ambao ukiingia huko mtandao inasema "Welcome to ......."
Full of wisdom and defensive,,, I just want to say Amen,,and freedom of our pple is soon coming,, God bless you sir.
Hongera sana mheshimiwa oleshangai kwa kusimama na wananchi,hakika siku ukipata nafasi ya kuteuliwa kuwa president of united republic of Tanzania,hakika watanzania watafaidika sana na maendeleo utakayowaletea, hello watanzania hao ndo viongozi wa kuigwa ktk Taifa hili
Yaan Huyu mbunge Mungu amsaidieeee Sanaa kila akitoaa tamkoo mtu anasemaa taarifa why's hayaa ni maisha ya watu ndugu zangu
Tanzania tuna hali mbaya sana ,
Yaani mbunge unasimama
Kutoa taarifa halafu hujui unachokitoa ,
Hongereni sana wanaowatetea wananchi
Nchi inauzwa
I hate hii kitu inayoitwa taarifa, ni upotevu wa mda tu
Huyu ndio mbunge pekee anayeipenda sehemu yak
Duu kumbe kuna baadhi ya wabunge ni majembe,big up sana bro kutetea wananchi wako
Huyu ni mbunge anayejua kazi yake hawa wa taarifa wanaangalia maslahi yao bravo mheshimiwa aluta continua
Wajinga sana
Inashangaza Sana mambo ya msingi kama haya watu wanachekacheka 🙄 eleweni kuwa nyie ndio tumewatuma kusimamia haji zetu sijui mnaelewa ???
Wamesahau mpaka karibu na uchaguzi ndo watakumbuka...wapuuzi sana yaani
Wabunge kuweni na huruma na maisha ya wananchi wenu
Nimemkubali sana jamaa aya mabunge yanayoomba taarifa ni machumia tumbo mafala sana aya mtu anaongea jambo la muhimu yenyew yanapinga pinga tu
Hawataki uhalisia ofcoz
Well Spoken Hon MP, for Loliondo. Ukweli utakuweka Huru & karibu na Wananchi wote wa Tanzania
Kweli huu ni unyakuaji wa ardhi😭😭😭😭
Kwa mujibu wa Sheria
Wanamvuruga but being honest kuwepo wamasai katika eneo lao ni zaidi ya aridhi tu so kuwapeleka handeni kuna udhaifu mkubwa mambo kama **mila na desturi yote huendana na origin ya jamii husika**...kuna ibaada zao hufanywa..**je ukiwatoa hapo ukawapeleka mahali kwingine haya yote yamewekwa into consideration?** Au wanajizungumzia tu? Hawa wabunge wanaopinga wamelishwa nini?
Sheria na haki against ugandamizaji. Liwekwe sawa badala ya kulipeleka kama Simba na Yanga.Huyo ni mbunge ndie mwakilishi wa jamii husika sasa hali ya kujipanga kumuatack haileti afya na mbunge ameketi kwa huzuni sana. Nmesikia akieleza kisheria consultation lazima ipite na kukubaliana na hao wahanga kabla ya kuanza utekelezaji.
Watu wakishajibiwa maswali yao ndipo mwanzo wa kuondoa mgogoro. Mara zote shaka hutokea endapo jambo linachukuliwa kwa haraka bila ya sababu za kueleweka na bila kuzingatia utaratibu. Dhana inayokuja aidha kuna deal inayotumiwa na kundi wakiwemo wenye nafasi za madaraka na wenye ukwasi. Huko kuna mwana wa mfalme anaesikikana kuhodhi eneo out of legal criteria inafaa jambo hilo lipate muafaka. Wazo la kuunda tume nadhani ni sahihi ili kupata facts kwa lengo la kutenda haki na kuendelea kuleta ustawi kwa wananchi hao pia kwa taifa. Sura ilivyo sasa inachafua ramani ya Tanzania. Mama yetu Samia litazame kwa kina hili suala. Kazi yako kubwa ya Royal Tours uliyoifanya itaingia dosari, inafaa usafishe dosari hiyo ili kazi iendelee.
@@epafrangweshemi4014 Hili swala sio gumu wala halina shida.....linafanywa kuwa gumu makusudi tu! Solution ni rahisi tu....take right decision in a way that **unathamini maisha ya hao watu, mila zao, imani zao, desturi zao** vitu ambavyo ni muhimu kwa ustawi wa jamii ya maasai. Huwezi kusema visiwani ni wavuvi then uwapeleke dodoma...unaua desturi na mila zao, huwezi kusema wasukuma ni wakulima ukawapeleka zanzibar wakalime karafuu unawavuruga, huwezi kuchukua watu wa sumbawanga uwapeleke mahali pengine na bado ukadumisha desturi, mila zao na ibaada zao...huwezi hata kama ukiwapa acre 200 maeneo ya mtwara....**hawa wanayajua haya tunayoongea hapa ila hawataki kuzungumza labda wanaogopa, au makusudi tu maana posho zinaingia hawajali malalamiko ya watu waliowachagua kuingia humo bungeni**
Wabunge wana sahau mila na desturi zao.. Mwalimu alijitaidi sana kuweka free land yani makabira yote kuwa sawa kuingliana lakini sio kuhamisha mila na desturi zao. Hapo ni kutengeneza vyazo vya vita za ukabila. Ndio maana nchi nyingi za Africa vita utokea kwa ajili ya mixer roots za ukabila..Sasa wabunge wacheka tu kitu ambacho,, 0 point 👉 inakuwaje kuamisha kabila moja adi Mkoa mwingine, nini maana ya kuwa na Mikoa? Kama walikuwepo tokea kabda ya Uhuru basi wangetafutiwa maeneo ukouko sio kumpeleka mkoa mwingine. Wabunge wanatakiwa kueshimu kwanza mila na desturi...
Hao wanaotoa taarifa lengo Ni kupotosha tu...
Ole Shanghai 🇹🇿💪
Don't try to undermine mbunge wa loliondo.
Mbunge wa loliondo stick to ure points
Hongera sana!
Ole shangai hongera uko vzr, tatizo watu wakishapewa vyeo kidogo tu wanatusahau wananchi Kwa kuitetea serkal hata kama inazingua...kuna mda muwe mnakubali tu kama Bashe then mnajirekebisha
M.MUNGU akulinde na ubaya wowote mtetezi wetu kila akuwaziae ubaya na umrudie mwenyewe 🙏🏿
❤️❤️❤️❤️💪daima jembe langu mapambano yaendelee na Mungu atusimamie
Jembe lako lishafeli kwani lilikuwa wapi mpaka beacons zikawekwa linakuja kubwabwaja baada ya habari. Anafikiri beacons zitaenda kung’olewa baada ya kuwekwa? Bichwa bovu tuu hili.
Mbunge yupo sahihi kuna siku,WEWE UTAHAMISHWA HAPO ULIPO KWA NGUVU KISA SERKALI WAMEPATA MWEKEZAJI
Safi mbunge kutoka ngorongoro weng wao wanaongea kwavile hawana family Wala ndgu uko lkn Kwa sis wenye familia zetyu mabib na mababu wako huko hatukubaliani na hloo kivyovyote vlee Niko nyuma Yako nko pamoja na wew piga kaz kak🤝✊
Hongera mbunge kwa kuwatetea wananchi
Tumesha waambia 2025 hayupo wa kumpa kura mama samia. Huo ndo ukweli, hata mfanyaje. PERIOD. Yaani mpaka bunge kutekwa big nooo. NYERERE anawaona kwa macho 4
Ridhwani na babake ni weziiiiii
Naumia sana mtu mwenye hoja nzuri anapokua interfered.Hii nchi bila vita hatutaheshimiana.Kuna mambo mengi watu wanazimwa lkn yanaumiza.Wamasai ni watu wenye msimamo hawatishwi na wavulana.
Ni upuuzi mtupu, mengine hayana hata hoja kabisa
kabsa bila kusimama mkapinga dhulma kilasiku mtakua wakimbizi ndani ya inchi yenu uoga mbaya sana
Haki inahitajika kweli,ila unajua madhara ya vita au nikuchangia tu kwa uchungu tulio nao??
Tusiombee vita vikaingia Tanzania,aheri tuonekane wajinga na waoga kuliko vita viingie Tanzania
@@Bar-ngayo2024 nadhani uoga wako khaufai kama wbabu zenu wangeogopa kama mnavoogopa wewe na baadhi basi uhuru msingeupata mgekua bado mnatiwa minyororo so uoga mbaya sana kuokoa taifa na kizazi cha kesho lazma msimame kupigania haki za inchi kama wazehe walimwaga damu na kukubali kufa ili nyie mje muishi vizuri sasa kwanini nanyie msikibali kumwaga damu kwa ajili ya vizazi vyenu ? mtaliwa hadi lini ? mtateseka hadi lini wakat uhuru mnao wakusimama kupinga dhulma ya wachache ,,,,
Ni uchungu tu huu. Vita jambo jingine na usitegemee iingie vita Tanzania ipoe kesho. Tuna RASLIMALI nyingi zonazomezewa mate na mataifa lukuki. Tutasalitiwa hata na jirani zetu. Tutakuwa km DRCongo. Tujipangie kuwa tunachagua viongozi wapenda watu sio wapenda vitu. Mambo ya kupewa 10, 000/= unamuacha kiongozi mzuri unauza kura ni mbaya sana. Huyo akiingia madarakani anakwenda kufisadi tu usitegemee kunufaisha umma. Chumia tumbo inatusumbua sana sisi watanzania.
Ndio faida ya kuwa na kiongozi mwenye elimu sio bora anajua kusoma na kuandika . Wa mapambio ndio wananikera mimi kuliko ugali kwa njegere.
Isije ikawa ni danganya toto, kwamba muda huu wote watu wote tupeleke focus yetu Loliondo na Ngorongoro, kumbe hiyo ikawa ni mbinu tu. T7napo focus huko kumbe wenyewe wanasafirisha mizigo haramu bandarini. Mie nasema tu
Sawa kabisa, hii nchi imejaa wezi sasa na tuwe na focus kweli
Napokea taarifa
Umenena ndugu yng
Hiyo ndiyo kazi ya mmbunge kutetea watu wake hiloo jimbo la loliondo ingekuwa na wabunge kama akina babutale lusinde manyanya na waimba mapambio wengine hakika wananchi hawa wangekuwa hawana msaada huyu mmbunge hata wananchi wake wamemsikia na hawawezi kumuacha japo anaweza akapigwa zengwe na chama chake
Babu tale nae Mbunge
Lusinde mtoe hapo……yule ni silent killer baba na anajua kucheza na karata wala
Sana mbwa wengine wanatetea wanyama ili wapige
Hongera sana mbunge wangu chuma Cha kazi mungu akulinde na haya tunayoyapitia kama jamii
Kikwete nimkimbiz mulipa inch kwa nini
Hongerani sana
Ni jambo la heri kuona wabunge wetu
Kwa kututea wananchi was
Mungu awabariki na kuwalinda
Wabunge wa Roho mbaya bila kujali maisha ya mwananchi
Uyu mbunge naomba ajengewe sanamu lake mambo yasiwe mengi.
Tunawaombea watetezi hizo ni roho Mungu wa mbinguni anaziachia za kizalendo kupinga dhuluma
Wengi wanacheka kwa unafiki mungu akubariki sana mh Shangai hatuna cha kuwalipa
Wanayoyaongea hao akinakikwete ndo wale wale majambazi wa ardhi
hawana uchungu nawanaichi wa Roliondo
Kikwete mungu anakuona ni muongo
hayo ndio mambo ya msingi tunahitaji kuyasikia wapiga kula sio mnatuambia mama Amina bungeni!!
Hongera sana
Mtu akisema ukweli ety anavuruga mtafika mbingun mmechoka🙄🙄🙄🙄
Wabunge wengine ni mazuzu kweli,wanatetea mafisadi kuchukua ardhi ya wamasai, hongera Sana mbunge oleshangai
Kama Wabunge wa eneo husika wanapinga hiyo kitu kwa nini tunalazimisha. Wabunge ni Wawakilishi wa watu kama wanasema HAPANA maana yake wananchi wa eneo husika wamesema HAPANA.
Huu utaratibu wa taarifa ni kuvuruga wasemaji makini tu. Mbunge anatetea wananchi wake halafu mifukwekwe inatokea nyuma taaarifa taarifa.
Wabunge wa CCM wanashangaza sana
Kama hawa wangekuwa kumi tu nchi ingenyooka 💕❤️
Mungu akubariki sana Shangai nineona msimamo wako uishi sana ktk dunia hii.
Wabunge mnatia aibu kwa kuminya maelezo ya mbunge wa loliondo
Hapo ndio utajua viongozi wa wa watanzania na viongozi wa mabeberu. Roho imeniuma sana mbunge anatetea wanainchi wake na wengine wanatetea matumbo yao
Hao wanaotoa taarifa bila research ni kuleta fujo. "They must come with evidence on their opinions" Nakuelewa sana Mbunge endelea kukataa taarifa zote ambazo ni za ovyo
Wale “collaborators” Tulikuwa tukiwasoma kwenye historia kipindi cha ukoloni sasa ndo nawaona na naelewa relevance yake. It’s sad. Very sad.
Purppet leaders, mbwa hawa
Asante mungu wa mbinguni wanaoshangiria wezi wamebaki kutuvuruga
Hongera sana mh olesendeka
Hivi huyu mbunge aliyefunika mdomo ni wa Jimbo ganii?? Watu wa Jimbo lake wanaumwana kweli?
Hao waliochaguliwa na mama naibu waziri wa ardhi hao ndiyo wakomba nchi wameiuza nchi kwa waarabu
Mbunge wa Ngorongoro Yupo sawa Kwa anachokipigania kwhy ifike mahala Kwa usichokijua usikiingilie maana Kwa Wabunge wengine ni wageni wa hayo Maeneo
mungu akubariki
Haya nì Mambo ya msingi sana Msiwekee mzaha KUCHEKAAA!!!
mungu akusaidi bungeni mm baraka kimoson pinganiya ichii yako
Bahasha za kaki kimyaa, zinatembea bungeni, ila watanzania wote tutawa kula, wasema ukweli.
Sasa huyo libaba lilivaa barakoa ndiyo nn sasa haoni aibu embu toa huko mdomonii ili uongee è utetee watu wa Jimbo lakooo
Huyu ndio anafaa kuwa mbunge yupo makini na kazi yakw
Sana kaka wanamvuruga anapoongea ukweli
Huyo riziwani fisad tu hawo akina kikwete ndo wanaharibu nchi hawafai ipo siku mungu atawahukumu hawo ndio waliokuwa wanamuhujumu magufuli hawatufai watanzania
Wabunge wengii wachumia tumbo
Jamani
Nasimama na mheshimiwa shangai hao wengine ni kujikweza tu muacheni aongee anaeshi uko nyie hamuishi uko.
Safi sana ole sendeka
Wengine wanamasilai ya binafisi. Baada ya masai kutoka tutaona
Too bad for the government..poor government
Mh. You are leader mzalendo please usikubali kuingiliwa bila kuvuatwa taratibu za kisheria maana tulikuchagua utuwakilishe na sio hao wanaotoa taarifa kukuforce in your land bcoz they must came by step as rules said.
Mnawaamisha wamasai ili muwauzie waarabu
Wala Hakuna kitu kingine
Wewe hujui unachochangia kaa kimyaa
Wa Oman
Uyu mbunge yuko vizuri sana
Wamasai popote pale mlipo mko hatarini kwa mifumo na sera ya ardhi ya nchi yetu. Yanayowakuta ndugu zetu wa ngorongoro zitawakuta tu jiandaeni kwa hilo.
Alafu uyu kikwete na watu wake hawafai KWANINI MNGANGANIE KUPIMA ENEO HILO MBONA MAPORI YAPO MENGI KWANINI WASIENDE KUPIMA MAPORI YA CHALINZE YEYE ANGANGANIA WATU WAPIME MAPORI YA ARUSHA KAMA HAKUNA MASLAI BINAFSI,Acheni wizi mmekula sana nchii hii bado hamtosheki #ripmagufuli
wasihamishwe.patachimbika...
huyu ndio mwakilishi wa mwananchi
Utakumbukwa daima JPM
Wamaasai waliwaamini sana ccm sasa ivi hamtopata kura tena
Mbunge wa ngorongoro amgomea kikwete !!! Kichwa Cha habari ni tofauti na yaliyo zungumzwa humu! Sielew mna maana gani?
Kama ardhi ilwekwa na wakoloni kwann haijatengwa Tangu mwaka huo?
Hahahaha 😂🤣😂😂🤣😂 serikari waongo mtu mnawanyanyasa wananchi
Mtoto wa ngorongoro aliyezaliwa na anatakaye zaliwa baadaye atakukumbuka kwa maneno haya
Ngoja lifiki la Mlimani Mwanza tuone ukanda utakavyojionyesha
Wengi humo njaa zinawasumbua hawajui maisha ya watu na amzingira waliyozoea leo mtu kazoea polini umpeleke mjini tena kwa nguvu, ila Mungu anawaona mkimaliza ubunge wenu mtatukuta tu huku mapolini muanze kuomba ashamba ya kulima.
Kama tunaendelea na msimamo wa kuchunga ng'ombe badala ya kufuga hata wale waliosoma, matatizo ya aina Hii yataendelea. We need a revolution in our way of animal husbandry. Tusaidie wafugaji wenzetu badala ya kutetea mambo yanayobakiza palepale. Hanna jinsi ya kuendeleza jamii kubwa ya wamasai bila kubadili jinsi ya ufugaji wao.
MUNGU ALIE MUNGU MKUU YUPO MH ATAWAPIGANI ILO NAMINI. AMEN. MBONA SASA WATU WANAHAMA KAMA NI MIPAKA TU INAWEKWA ?. (NAWASII MWANGALIENI MUNGU MKUU JUU YA MAAMZI NA UTU WA WATU WA TAIFA PIA. AMEN.
Hawa ndio wabunge wanaohitajika xyo wale wanaomtumikia Rais
Ccm wame vuruga sana maisha ya wananchi
Tabia ya polisi kunyima watu pf3 haijanza leo ysmeshatutokea sana hayo
Tunapenda vile Tanzania mko juu katika Bunge lenu na mko na viongozi sio wanasiasa
Seriously wabunge wa tz hupokeya ngapi kwa mwezi sisi Kenya mubunge 20000$ kwa mwezi na kitu juu
Vimeumana ndani ya CCM, aridhi imechukuliwa na waarabu walitutesa Babu zetu wamerudi Kwa kuwekeza lkn tabia zao nizile zile
taarifa zote wanazotoa ni waloungana na serikali kunyang'anya ardh ya watanzania kumpa mwarabu aimilik
Mgomee hana kitu huyo ridhiwani ndiyo hao hao wakomba nchi na kuiuza hana kitu huyo na january yamepewa tu uongozi huku maji tabu umeme tabu mijizi tu imejazwa humo ndani ya ccm na bunge tunayachukia ajabu
Waandishi jifunzeni na kiswahili vizuri, Kuna kudanganya,kusema uongo lkn kuongopa ni lugha ya wapi hii?
Mara Mipaka .Mara wanainchi wanaama . Nyinyi mmesema mnaweka Mipaka tu hao wanao ama kinanani
Upo sahihi kabisa
Soma sections 6 , 7 na 181za Land Act 1999 Act No.4 Cap 113 utapata ufafanuzii na jibu la kisheria.
Huyu mbunge ananibariki sana maana anaongelea hali halisi ya jimboni kwao