Mama MARIA NYERERE Alivyomvunja Mbavu MAGUFULI, Atoa MANENO MACHACHE ya Kumuombea MAGUFULI Kura...
Vložit
- čas přidán 4. 09. 2020
- Mama MARIA NYERERE Alivyomvunja Mbavu MAGUFULI, Atoa MANENO MACHACHE ya Kumuombea MAGUFULI Kura...
Mbio za kampeni Zinaendelea kutimua vumbi katika mikoa mbalimbali nchini ambapo leo Septemba 5, 2020 DKT Magufuli anaendelea na mikutano ya hadhara ambapo amefika Mara kuomba wananchi wampigie kura kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka huu...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
Nani kama mama jamani💗💗💗💗💗💗💕💕💞
More blessed our mama, grnd mama we love so much
Short and precise,,,,Mama ameongea point tupu
Mungu akulinde mama yetu
sante sana mama Maria Nyerere, ubarikiwe bibi yetu
Elizabeth ccm
Ubarikiwe mama 🙏🙏
Wao she has that Energy .mob love Mama. From Kenya
🙏🙏mama wa Taifa🇹🇿🇹🇿
HUYU BIBI ANA MIAKA JAMANI
I love mama
Hongera mama yetu mama maria nyerere mungu akupe afya njema
Ww ndo first lady
Is really first lady
Mama Nyerere safiii
Mama uko vizur
Asante mama yetuuuu. UBALIKIWE
She is such an amazing intelligent woman. Worth mwl nyerere
Huyu mama bado anauwezo wa kuongea safi
Watazania chakue tena magufuli ni Rais mzuri sana.
Mungu akubariki San bibi yetu
Pongezi rais magufuli kwa uwongozi mwema. Mungu ibariki tanzania
Is It his mother of magufuli so lovely
Très bien
Kumbe bibi umelazimishwa
Mama safisana
Saaanaaa
Vizuri mama yetu mzuro
Ongera bibi yetu wa taifa
Old is Gold
Oyeeeeeeeeeee
Makufuli hoyeeeeeee. Nyerere hoyeee
Rest In peace Rais John Pombe Maguful 17 /3 /2021 DAIMA TUTAKUKUMBUKA 🙏
CCM nje
Hahahahahaha ahaa wapi nyie njee
DRC CONGO WANAVYO SAPOTI MUHESHIMIWA MAGUFULI
Magufuli siyo pw
Mama na Mwana mpaka raha jamani.
Bibi wanakutumia uwaombee kura lakini maziwa hawaleti wahuni hao. Bora umekuwa mkweli kuwa una kura yako moja zingine wakiiba shauri yao.
😆😆😆😂😂😂
Tangu lini ukaona mama anaacha watoto wke kufa njaa bila kuchakarika kwa chochote angalau chakula kipatikanike,,
Na hayo maziwa unayo yasema vp kwan mwenzetu unaishi nae nymba mmj hadi useme ivyo, wa Tz embu tuachege nadharia zisizo fikirika!!!
Tundu lisu
Kama Mzee mwenyewe vituko vile vile
Mama yako anateswa na mungu kwa sababu ya ukatili wako unaowafanyia mashekh zetu
Mtu mbaya Sana wewe
Ss ukatili gan ss,vp amemchinja mtu au,, mda mwingine usipende kuropoka ropoka bila kufikiri kwanza, na ubaya unao ww unayemuwazia binadamu mwenzako ubayaa ,hata ww huna haki!
@@heavensent2526
Nani nimemchinja?
Unafikiri ni haki kuwaweka mashekh wetu jela bila kujua hukum yao?
Huyu mtu ukatili wake wa kutesa waislamu bila huruma Ndio itakua shida kwake
@@abuuabuu4831 😂 tatizo lako udini mwingi , uwe unafuatilia mambo kwa undani kabla ya kulaumu
@@heavensent2526
Mimi ninao jamaa wa karibu ambao ni miingoni wa Hao mashekh tunajya pombe anavyo wafanyia huyu mtu ni katili Sana asie na huruma hata kidogo
Twapata faraja kusikia na.mamake pia ateswa na Malaika kwa dhulma ya mwanae
@@abuuabuu4831 tatizo mnapenda kusema mnaonewa kila saa nyinyi ni watu wa lawama ,haya ila akunaga malaika wa dhuluma na Mungu huwa askiliz maomb ya kumtakia mtu ubaya
Sawa
Utu uzima dawa,mama Mungu akutunze
VIONGOZI WA CCM IGENI TABIA ZA MWALIMU NYEREWRE NA MAMA MARIA NYERERE. HII NDIO ILIKUA COUPLE YA UKWELI. SIO KIONGOZI ANASIMAMA KWENYE MAJUKWAA KUONGELEA WANAWAKE WEUPE.
Huyu mama amekuwa mtoto maana mtoto husema kwel ukimwambia mwambie mden wangu sipo anasema ameniambia niseme hayupo hahahahah huyu maana amenichekesha sana nmeamin uzeee ni utoto
Hahahahhahahha yaaaniii kanifurahisha sana
😂😂😂😂
Yey Ana kura yake Moj
Bibi mkweli
Magena
🇹🇿😓
Rashidi
Kameta
Maisha marefu bibi etu jamani
MAMA KASEMA "NILIAMBIWA NIMUOMBEE KULA",
KWA MFANO ANGEKATAAA??
Mama ni mama, angetaa asingekuja kwenye mkutano. Maana lengo mahususi la mkutano wa kampeni ni kuomba kura😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤔🔥🔥🔥🔥🔥
Mungu ibariki Tanzania na watanzania wote.muna raid waki pe
Ntandu
100%+$=haaaaaaaaaaa√
Wamekuja kuongeza vichwa,fiesta hiyo vichwa vinabebwa na malori madini yapo kwalisu .
Hahahaha jipe moyo tu chuma kipo kimekalia kiti tayar
😆😀😁
Mmemulewa bibi kalazimishwa jamani halisishwali
Wao she has that Energy .mob love Mama. From Kenya