DRC: Wananchi wakimbilia mjini Goma kufuatia mapigano makali

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 26. 02. 2023
  • Wakati mapigano kati ya jeshi la DRC na waasi wa M23 yakipamba moto, wananchi wamelazimika kukimbia makazi yao na hivi sasa wanaendelea na safari yao kuelekea mji wa Goma baada ya vita hivyo kuwa vinakaribia mji wa Sake. Ungana na mwandishi wetu akikuletea habari mpya kuhusu wasiwasi uliokuwepo katika eneo hilo la mstari wa mbele katika vita hiyo.
    #jeshi #waasi #m23 #drc #wananchi #usalama #goma #sake #voa #voaswahili #dunianileo
    - - - - -
    #VOASwahili
    Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.

Komentáře • 52