HOJA MEZANI || Mabadiliko yanayotarajiwa baada ya serikali mpya Uingereza, Iran na Ufaransa
Vložit
- čas přidán 8. 07. 2024
- Tunatathmini mabadililo yanayotarajiwa duniani kwa serikali hizi mpya zilizochaguliwa za Uingereza, Iran na Ufaransa, Hata Marekani pia ikiwa Biden ataondoka.
Huyo mchambuzi hamna kitu anafuata upepo iran kiongozi mkuu na amiri jeshi mkuu ni hayatullah alhameneh kwaio sera ya iran haibadiliki mpaka kiongozi mkuu abadilike
Raisi wa nchi annawajibu wa kulinda uchumi na sera za kimataifa, hilo jukumu sio la ayatollah ,
na kunatofauti ya kuchukua maagizo na kutoa mapendekezo kaka
Pia hata huyo ayatollah hayupo juu ya sheria za kiislamu ( mf kuvaa hijabu na mambo mengine ya kidini ni sheria ambazo hazitoki kwa ayatollah,