HOJA MEZANI || Mabadiliko yanayotarajiwa baada ya serikali mpya Uingereza, Iran na Ufaransa

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 07. 2024
  • Tunatathmini mabadililo yanayotarajiwa duniani kwa serikali hizi mpya zilizochaguliwa za Uingereza, Iran na Ufaransa, Hata Marekani pia ikiwa Biden ataondoka.

Komentáře • 2

  • @saidiomar6642
    @saidiomar6642 Před 15 dny

    Huyo mchambuzi hamna kitu anafuata upepo iran kiongozi mkuu na amiri jeshi mkuu ni hayatullah alhameneh kwaio sera ya iran haibadiliki mpaka kiongozi mkuu abadilike

    • @muhamadharun9432
      @muhamadharun9432 Před 15 dny

      Raisi wa nchi annawajibu wa kulinda uchumi na sera za kimataifa, hilo jukumu sio la ayatollah ,
      na kunatofauti ya kuchukua maagizo na kutoa mapendekezo kaka
      Pia hata huyo ayatollah hayupo juu ya sheria za kiislamu ( mf kuvaa hijabu na mambo mengine ya kidini ni sheria ambazo hazitoki kwa ayatollah,