Rais Samia afunguka uchunguzi timu ya siti mgomo Kariakoo

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 4. 07. 2024
  • Timu ya uchuguzi iliyoundwa kwa siri na Rais Samia Suluhu Hassan imebaini kuwa mgomo ulioitishwa hivi karibuni na wafanyabiashara wa Kariakoo uligubikwa na masuala ya siasa na hivyo amemuagiza Waziri wa Viwanda na Biashara, Selemani Jafo kukahakisha anaweka mazingira rafiki ya biashara ili kuondoa misigano isiyokuwa na tija.
    #AzamTVUpdates
    Mhariri | John Mbalamwezi

Komentáře •