Rais Samia amsimamisha mkurugenzi mkuu wa bandari
Vložit
- čas přidán 27. 03. 2021
- Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amemsimamisha kazi Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari nchini TPA Mhandisi Deusdedit Kakoko, kupisha uchunguzi wa ubadhirifu wa fedha bandarini.
Rais Samia amefikia uamuzi huo leo Jumapili, Machi 28, 2021 baada ya ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) na Takukuru Ikulu ya Chamwino, Dodoma.
“Ripoti nimeona, nimeipitia na nimebaini ubadhirifu mkubwa uliofanywa pale bandari, hili suala mnatakiwa kushirikiana, nakuomba Takukuru jishughulishe pale, alipita Waziri Mkuu alilishughulikia. - Zábava
Mungu atusimimie tusitoke njia kuu ya kuelekea kanani ee mungu tusaidie.
Mama tunamshukuru naona baba kaacha kakufunda vyema , Mungu akuongoze
Kazi kazi mam hata huko alip jpm atakuunga mkono
Kazi kazi hakuna kulemba mama ,
Kazi kazi
Kama kawaida mama mbele kwa mbele
Jitahidi Rais kaza buti tupo nyuma yako
💪💪💪💪tuko pamoja
Kazi kazi
Mbele kwa mbele hakuna kurudi nyuma
Mama upo good tukmbke na ajira to
Kaz kazi
Mbona ndugai kanu na?
Mukurugenzi wa bandari kasimamishwa kazi kwaajiri ya bandari ya Bagamoyo. Alikuwa mpinzani mkubwa wa mashariti ya Bandari ya Bagamoyo. Uchunguzi wa tuhuma zake uwekwe wazi.