Thank u Mama for visiting your people they love u Mama.
Kazi iendeleee, hongera sana mama yetu
Kazi ilendelee hongera sana Rais wa Tanzania mama mwenye upendo na wananchi wakee Mama oyeeeeee
Kazi iendelee
Mungu isadie ichii wetu
Mama Hongera sana
Safi sana sanaaaaaaaaaa
Safii
Mama yetu we love you
Naona bendera za Simba na yanga nyuma zinapepea Kama naww umeona nipe like zangu 😆
Hiyo ndio kazi mama yetu
Mama yetu naomba uangalie swala la ujambaz na vibaka wapo Kasi sanaaal
Hapa sasa tutaanza kukuelewa na kukusikiliza
Naoma mama amemvuta bodyguard wake😅😅
hap sawa tutakuelewa tembelea wanyonge mama,acha na kikwete atakupoteza
Hicho ndo kinatakiwa sasa
Kariakooo chafu Sana yani I do know why the don't know how to keep this place in clean,eish to much people
hongera sn mamaetu tunafulahia sn kwakitendo cha kutembelea wanyonge wako
Presidential haswa
Wamachinga kero
Huu wimbo wa Nani???!! Na inaitwaje??!!
Kipindi kilicho pita ulinzi ungekuwa kama wote ni kuto jiamini na unacho Fanya mama tuta kuelewa sana ukiwaletea watanzania katiba mpya na tume huru ya uchaguzi pamoja tuna songa!
Yule wa mwanzo ulinzi ulikuwa mkali sababu alikuwa na maadui wengi maana alipambana na mafisadi, wauza madawa ya kuelevya na mabeberu.
Mnazingua mbona mama hatumsikii kipindi cha Magufuri hakukua na chenga!
Hamna kitu hapa zaidi ni kutuongezea maumivu ya kumkumbuka magu anacho ongea hakieleweki
hakuna mfanyabiashara anayeweza tengeneza faida baada ya kulipa mlolongo wa ushuru na kodi za kufanya biashara Tanzania..the whole tax structure needs to be dismantled
Hizo barakoa za Nini jamani
Barakoa ni sawa na chupi uamue kuvaa au kutovaa ni faida na ni maamuzi yako
Acha avae mbona hajakuuliza wewe ambaye hujavaa.
Jamuhuri ya muungano wa Tanzania..
Hongera sana Malkia wa Sheba,Mama yetu,Mlezi wetu,Kiongozi wetu...pres SSH..Kazi iendelee