Komentáře •

  • @gt.mkushimakoba531
    @gt.mkushimakoba531 Před 3 lety +1

    Jamuhuri ya muungano wa Tanzania..
    Hongera sana Malkia wa Sheba,Mama yetu,Mlezi wetu,Kiongozi wetu...pres SSH..Kazi iendelee

  • @Ba63828
    @Ba63828 Před 3 lety +2

    Thank u Mama for visiting your people they love u Mama.

  • @mariammpangalala8423
    @mariammpangalala8423 Před 3 lety +2

    Kazi iendeleee, hongera sana mama yetu

  • @barazalamjikati4010
    @barazalamjikati4010 Před 3 lety

    Kazi ilendelee hongera sana Rais wa Tanzania mama mwenye upendo na wananchi wakee Mama oyeeeeee

  • @yasinndalu53
    @yasinndalu53 Před 3 lety +2

    Kazi iendelee

  • @mollelraismunguakubarikipe744

    Mungu isadie ichii wetu

  • @mustafajumajuma2226
    @mustafajumajuma2226 Před 3 lety +2

    Mama Hongera sana

  • @mustafajumajuma2226
    @mustafajumajuma2226 Před 3 lety +3

    Safi sana sanaaaaaaaaaa

  • @muddymaulid2771
    @muddymaulid2771 Před 3 lety +1

    Safii

  • @saeedal-awen2190
    @saeedal-awen2190 Před 3 lety

    Mama yetu we love you

  • @yasinndalu53
    @yasinndalu53 Před 3 lety +1

    Naona bendera za Simba na yanga nyuma zinapepea Kama naww umeona nipe like zangu 😆

  • @salamashakipint6243
    @salamashakipint6243 Před 3 lety

    Hiyo ndio kazi mama yetu

  • @mustafajumajuma2226
    @mustafajumajuma2226 Před 3 lety +6

    Hadi machozi yanatoka kwa furaha Jamani

  • @nyamwellomeo7155
    @nyamwellomeo7155 Před 3 lety +1

    Mama yetu naomba uangalie swala la ujambaz na vibaka wapo Kasi sanaaal

  • @aminasittusaid3830
    @aminasittusaid3830 Před 3 lety +2

    Hapa sasa tutaanza kukuelewa na kukusikiliza

  • @nabosedward4836
    @nabosedward4836 Před 3 lety +3

    Naoma mama amemvuta bodyguard wake😅😅

  • @nabosedward4836
    @nabosedward4836 Před 3 lety +2

    Hicho ndo kinatakiwa sasa

  • @abedomar5183
    @abedomar5183 Před 3 lety

    Kariakooo chafu Sana yani I do know why the don't know how to keep this place in clean,eish to much people

    • @mussatayarjames639
      @mussatayarjames639 Před 3 lety

      hongera sn mamaetu tunafulahia sn kwakitendo cha kutembelea wanyonge wako

  • @Ba63828
    @Ba63828 Před 3 lety

    Presidential haswa

  • @khalidballeth5957
    @khalidballeth5957 Před 3 lety +1

    Wamachinga kero

  • @hurumamsuya6758
    @hurumamsuya6758 Před 3 lety

    Huu wimbo wa Nani???!! Na inaitwaje??!!

  • @mbegesdigita5182
    @mbegesdigita5182 Před 3 lety +1

    Kipindi kilicho pita ulinzi ungekuwa kama wote ni kuto jiamini na unacho Fanya mama tuta kuelewa sana ukiwaletea watanzania katiba mpya na tume huru ya uchaguzi pamoja tuna songa!

    • @aminasittusaid3830
      @aminasittusaid3830 Před 3 lety

      Yule wa mwanzo ulinzi ulikuwa mkali sababu alikuwa na maadui wengi maana alipambana na mafisadi, wauza madawa ya kuelevya na mabeberu.

  • @jerichoseth4188
    @jerichoseth4188 Před 3 lety

    Mnazingua mbona mama hatumsikii kipindi cha Magufuri hakukua na chenga!

  • @zawadimariembe7238
    @zawadimariembe7238 Před 3 lety

    Hamna kitu hapa zaidi ni kutuongezea maumivu ya kumkumbuka magu anacho ongea hakieleweki

  • @uhurunyereremusa8592
    @uhurunyereremusa8592 Před 3 lety

    hakuna mfanyabiashara anayeweza tengeneza faida baada ya kulipa mlolongo wa ushuru na kodi za kufanya biashara Tanzania..the whole tax structure needs to be dismantled

  • @hadijaabdul8765
    @hadijaabdul8765 Před 3 lety +3

    Hizo barakoa za Nini jamani

  • @shahadaushindi7745
    @shahadaushindi7745 Před 3 lety

    Acha avae mbona hajakuuliza wewe ambaye hujavaa.