Rais Magufuli apigiwa Simu kutoka Marekani na Ujerumani | Hiki ndicho walichosema

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 24. 07. 2024
  • Facebook: / earadio
    Twitter: / earadiofm
    Subscribes: / @eastafricaradio

Komentáře • 19

  • @missmwayway4704
    @missmwayway4704 Před 4 lety +1

    Hakuna wakukupinga Mzee endelea kuchapa kazi wananchi wko tupo nyuma yako Magufuli mbele kwa mbeleeeeeee💪💪💪💪💪

  • @ibrahimissakhamis4268
    @ibrahimissakhamis4268 Před 4 lety +1

    Nilimtabir Hussein Mwinyi tukea Zamani kama atachukuwa form ya Uraisi basi atapita na kweli yametokea tena amepita tena kwa kura nyingi

  • @muhammadsaidi4872
    @muhammadsaidi4872 Před 4 lety +1

    HONGERA MHESHIMIWA RAIS NA HUSSEN MWINYI HONGERA TENA RAIS MAGUFULI , JAMANI JAMANI MPENI KABISA MHESHIMIWA RAIS. MAGUFULI AWE WA KABISA RAIS HADI UMRI WAKE WOTE JAMANI NI RAIS HAJAWAHI KUTOKEA KATIKA DUNIA NZIMA HONGERA TENA NA TENA CCM JUU JUU KABISA WE LOVE YOU IN OUR HEARTS ❤👍

  • @amossinkonde8590
    @amossinkonde8590 Před 4 lety

    Nimewakuba wateuwaji kwakumutewa mh, dkt john pombe magufuli saluti kwako dkt bashilu ukovizur Nasafu yote kwaujumjla asante sana

  • @estherjohn833
    @estherjohn833 Před 4 lety

    Hongera Sana ok

  • @yustambilinyi4454
    @yustambilinyi4454 Před 4 lety +1

    Magufuli mbele kwa mbele

  • @marcokasela96
    @marcokasela96 Před 4 lety +1

    Binafs nawakubali Sana Marais wetu Ndugu shen na JPM. Ni wapambanaji kwelikweli. Ila muwakumbuke wafanyakazi kuwapandishia mishahara na Mungu atawabariki na kuwasimamia ktk kazi zenu za kila siku. Kwa upande wa Bara huku Rais wetu JPM. Ila Kwa Visiswani nahisi viatu vya Dr. Shein vitamtosha Dr. Mwiyi. 😂😂😂😂😂

  • @yassiniferuzi2867
    @yassiniferuzi2867 Před 4 lety +3

    Tundu Lissu umeona hiyo halafu unajidai utaingia Ikulu kuwadi we Mabeberu na Ushoga ukawe Rahisi wa Siuyu Urais huuwezi zwazwa we kanywe Nyagi ya Faru John na Bia ya Kitonga

    • @francisrogears528
      @francisrogears528 Před 4 lety

      Bado upo gizani kwenye ulingo wa siasa naona maneno yako hayana mashiko sasa lisu katoka wapi paka uwanze kumkejeli kuwa makini na lugha

    • @allenngoda2146
      @allenngoda2146 Před 4 lety +1

      Hongera Mwinyi utumishi wako umekubeba,Rais wangu JPM Hongera sana ,Kama wewe ulivyojitoa kuwa mtumbua majipu ,Mimi nilijitoa kuwa nitakuombea maana najua ugumu wa kazi hiyo ya kuleta haki Kwa wanyonge,Nimefurahi sana kupita Kwa jina lako Mungu wangu akulinde katika hatua zote.

    • @aminahassan561
      @aminahassan561 Před 4 lety

      Umenena ndugu mwache atupigie kelele eti anakuja kugombea na sera zake za mashoga eti na democracy hahaha anajichosha ata ambulia patupu huyo

  • @amossinkonde8590
    @amossinkonde8590 Před 4 lety

    Uyu tundu lisu bebelu mjinga uyu afayikuwa ata kwenye hii nchi

  • @antonysteven4787
    @antonysteven4787 Před 4 lety

    Hapo kuna neno,,ingependeza kama mchakato ungendea kama zanzbar na hyoo ndio demokrasia

  • @francisrogears528
    @francisrogears528 Před 4 lety

    Haya mbele kwa mbele

  • @son7238
    @son7238 Před 4 lety

    LIVE STREAMING FROME RIRARI MARA

  • @ibrahimissakhamis4268
    @ibrahimissakhamis4268 Před 4 lety +2

    Raisi Magufuli hongera sana kwa uliyanya ila tunakuomba njoo na Zanzibar utuletee maendeleo

  • @rogersmasamalodavid8289

    Hakika Mungu bado anakuona Raisi kama mboni ya nchi yetu uzalendo ulionao ni rasilimali tosha na yenye tija katika nchi yetu na katika Uso wa Africa,Hakika Magufuli ni nguzo Imara katika taifa la Tanzania hakuna mwingine.