LISSU ALIKURUPUKA AU ALIKOSEA KUSEMA HADHARANI TAARIFA YA KIKAO CHAKE NA RAIS SAMIA?
Vložit
- čas přidán 16. 02. 2022
- Kwa Tundu Lissu kutoa hadharani taarifa za kikao chake na Rais Samia Suluhu, amekurupuka? Amekosea? Amekwenda kinyume cha utaratibu wa kiuongozi uliozoeleka? Aalaumiwe? Apongezwe? Kuna mifano ya wengine waliofanya tofauti na alivyofanya yeye?
- Hudba
LISU HAJAKURUPUKA HAJATAKA KUFANYA SIRI ALIWEKA HADHARANI WALIOONGEA ILI HAO BINAADAMU WASIJE WAKAANZA KUMUHISI MENGINE HAWACHELEWAGI KUSEMA TUNDU ANAHAMA CHAMA HONGERA TUNDULISU KUWA MKWELI,
Dah nakuelewa sana brow na pia napata faida nyingi sana kwa kufuatilia taalifa zako endelea kutoa elim na maelekezo
Umenikumbusha Maswali Magumu...
Hongera kwa uchambuzi wako.
Tundu Lissu,, msifu bwana kweli juu uko Hai brada. Nakumbuka risasi ulizomwagiliwa 2017 Lo! Kweli mungu ni mungu na nakuombea sana
Lissu siyomnafiki anapenda ukweli hapendi dhuluma ubinafusi chuki uchoyo nafitina ndiyomaana nimuwazi hapendi kumung'unya maneno, tuungejuhudi zakatibampya kwafaida yetusote navizazivyetu,
Lissu ni MUNAFIKI, muchonganishi. Leo anasema hivi Kesho anabadilika. Ni mtu hana musimamo, muongo, MUNAFIKI, na anajifanya anajuwa kila kitu. Huyu ujinga wake wa kuabudu wazungu anaweza hata kuuza nchi. Ni moto wa kuotea mbali. Ni wajinga wanao muamini. Hafai hata kumuchungia mtu ng’ombe.
Kafany vizur sana kwann afiche
Many people don't know the issue of politic affairs what His Excellency Tundu Lissu did it is completely right to the nation and that was the meeting of open hearted and open minded
Tundu Lissu is nothing but a traitor. Tundu Lissu did nothing for this nation. Tundu Lissu is those people who think they know everything but in fact, they know nothing. Tundu Lissu is not exposed enough to know the history of Africa, why we are poor, and why the west is rich. Tundu Lissu cannot be trusted to lead an African country. He is a puppet who does not believe on Africans can make Africa better. An arrogant a chest thumping man who is empty on his head.
@@gracegrace6200 What have you done for this Country?
@@DLSGamingCircus what has Tundu Lissu done for this country more than campaigning against the country? TUSUSWE, TUKATIWE MISAADA, TUCHEKELEWE, TUZOMEWE, This came from a man who pride himself and wants to be President of this country. May be you think we are fool s to vote for this puppet. . We are not, and I can promise you , this traitor who abused our God sent President will never be President of this country. You can take that to the bank.
Mutetezi wawayanzania donyinyi safi
HAKUJOSEA NA HAKUKURUPUKA. YUKO SAHIHI 💯
Kutoka taarifa tundu amefanya vizuri sana ,sioni tatizo,kwasababu hii inadhihilisha uzarendo wa kweli
Asante ngurumo.
Tz tunawataalam wauchambuzi kamahuyu mheshimiwa ngurumo!!!
Antipas ana Hekima ya Roho Mtakatifu wa Mungu
Sio kua alikurupuka kutoa hiyo taarifa ya kikao chake na raisi lisu ni mkurupukaji kwa kila kitu na ndio mana amepotea kisiasa kilichomponza ni kukurupukia mambo
Wanaodhulumu haki za watu ndiyo wakurupukaji.Lissu ni binadamu mwenye Afya njema ya Akili. Mngejiuliza tu pamoja Na yote aliyofanyiwa kwanini Mungu hakuruhusu uhai wake utoke? Pamoja Na yale yote kwanini anaonekana mwenye Furaha Na waliomyima haki haki zake ndo wanaonekana kukosa Amani? Katika hili Mungu Bado ataendelea kuonyesha Ukuu wake.Kinu cha Mungu husaga taratibu sanaaaaa
Ngurumo una AKILI Sana
Kweli kabisa wallah
Bora alivyosema maana ccm hawachelew kigeuka
Lisu amekurupuka sana alitakiwa kutulia kwanza hii nisiasa na sio ufakhari kama itakumbukwa Maalimu seif aliwahi kufanya mazungumzo na Nyerere lakini hadi hii Leo hatujui waliongea kitu Gani
NA ALIPO ZUNGUMZA NA MH MAGUFULI ALIMSUBIRI NANI????
Kumbukumbu muhimu sana kwa vizazi vijavyo
Mh lisu yupo sawa kwawenye hekma wanajua lisu yuposawa
JAMAA UNAONGEA POINT TU SAFI SANA.
Mpuuzi huyo bhana muongo mkubwa na mbeya mkubwa huyo na fatani mkubwa
Kwa wote wanao mkashifu Lisu wajitafakari kama yangewakuta wao yaliyomkuta LISU wangekuwa HAI leo hii Mnamwonea wivu husuda kwa vipaji alivyojaliwa Ukatili mliomfanyia LISU Mungu atamlipia
Lissu yuko sawa alichofanya ni sahihi
I second you!!!
💯
...sioni mantiki ya analysis kwa sababu kulikuwa hakuna ajenda...hizi ni briefings hazina significance. Hakuna binding au ulazima wa kusema walichozungumuzia......
Anatusaidia nini na yeye ni nani kwa Tanzania leo?
Hajakosea
Amekosea kwa kuropoka. Kajifanya munyenyekevu lakini kawatukana viongozi wote kwa dhalau na kujifanya yeye ni mujuwaji sana wengine wote ni wajinga. Tundu Lissu ni traitor
Wanao sema lissu amekurupuka ni wale wanafiki walio zoea uongo
Majuzi tu alikua akimtukana kama mtoto wake huyo ni mpuuzi na kichaa na ni njaa na uchu wa madaraka yanamsumbua muogope sana huyo kichaa
Lowasa.. .mbatia maalim ni tofauti na lissu...ishu ya lisu ipo tofauti sana...
Kimsingi amekurupuka kusema alichoongea na rais...
Mbona unasumbuliwa na Mzimu Magufuli unapambana na kivuli, Magufuli ameachwa alama na amegusa mioyoni ya watu wengi na leo anaendelea kuishi ni vigumu kumuondoa kwa polojo zenu,fanyeni mguse watu?uchaguzi wa haki kipimo Chako ni kipi kimeshinda watu wako????
Ukikua utaelewa. Tuendelee. Asante kwa comment.
Kabisa Wanasumbuliwa na kivuli cha Hayati Magufuli. Hawa watu wana undermine vile Magufuli alivyoitawala mioyo yetu. Watu wengi wanakichukia chama cha Chadema kwa matusi ya Tundu Lissu kwa Hayati Magufuli. Kama kuchukuwa Dora ilikuwa ni wakati huu, kwa CCM walivyomugeuka Hayati Magufuli. Lakini kwa sasa Watanzania hawana altenative, kutoka CCM na kuwachaguwa hawa jamaa ni kama kuruka tope na kukanyaga MAVI. Hawa hawajitambuwi kabisa. Ni Watanzania ndiyo wanapiga kula, Na sio watu wachache wanaojiita wasomi na elimu zawo za kuunga unga.
LISU MKURUPUKAJI HAJUI UONGOZI MROPOKAJI KACHEMSHA SANA TU. NIMPUUZI SANASANA
Ww mnafiki tu
Kutoa taarifa sio kosa kosa kuongea details zote za kikao, Maalimu Seif aliongea kwa ufupi na ujumla, lkn Tundu aliongea mpaka maswala ya binafsi kama ya kulipwa stahiki zake
Kuna tatizo?mafao ni haki yake.Walio mdhurumu hawana haki katika mafao yake
Ni kweli lissu aliwahi kusema mazungumzo yao kati yake na rais
Msaliti wahedi.
LOWASAA,SEIF NA MBATIA WALIONGEA KWA HEKIMA KWA KUJUA WALIKOTOKA NA MTU WALIYEKUWA WANAONGEA NAYE NI NANI
Wanao sema Lisu kakosea niwale waliotaka Lisu asikutane na Rais alafu watu hao ni mandumila kuili (Lisu Yuko sahii siyo mnafiki kwa Lisu Transparency ni muhimu Sana)
Alikutana na Rais kuomba alipwe fedha zake, fedha gani? Mtu alitembea dunia nzima kwa chuki akisema TUSUSWE, TUKATIWE MISAADA,,TUCHEKELEWE NA TUZOMEWE. Tanzania Kuna ndungu zake, Kuna jamaa zake, Kuna marafiki zake, mtu gani huyu? Katumia kila njia za kuiburula Tanzania kwenye matope Na kumushambulia balozi wetu Marekani kama thug, kamutukana Rais wetu mpendwa mpaka kaburini. Huyu ni mtu kweli? Mbinu zake zote ameshindwa na sasa anataka kurudi nyumbani, ni nani alimufukuza? Maisha ya Ulaya yamemushinda, na waliokuwa wakimutumia kuifanya Tanzania masikini wameona hawezi kuwasaidia na kumutupa kwenye shimo. Mtoto mpotevu sasa anataka kurudi nyumbani, tena kwa mashariti. Pumbabu huyu. Musipo angalia , Huyu traitor ataigawa Tanzania vibaya.
huyu jamaa pia hamna kitu
Hajakulupa au kukosea, kwasababu watanzania wanamtegemea, kwahio walitaka kujua alichoongea
Watannzania gani wanamutegemea mwenda wazimu kama Lissu?
Mimi nadhani ukiongea na mwenzako unategemea kupata hata atlist robo kama sio yote na kama haifanyiki au aitekelezeki basi sio lazima kukutana kweli inakuwa kukutana huko ni kwa faida ya upande mmoja ili ujijenge kwa wananchi kuwa kuna maelewano wakati ni maelewano hewa tu yasiyo kuwa na utendaji wake.Yaani itakuwa Chama tawala ndio wanufaika wa kuhadaa wananchi na Dunia kwa manufaa yao
Uchambuzi mzuri hongera mr.Ngurumo
Mhe SSH alisema alimualuka TAL kumtembeles na kumsikiluza kana binadamu mwenzake, wakati huo hui TAL aliona kama amealikwa kama Kiongozi Mwandamizi wa CDM aliyekimbia nchi kwa kuwindwa. Huko ndiko kusigana kwa msingi wa kukutana
NAONA SHIDA KISWAHILI KINAWASUMBUA,
UKISHASEMA MAZUMGUMZO YALIKUWA YA FARAGHA
UNAMANISHA YALIKUWA YA SIRI!!
HUWEZI KUSEMA TENA YALIKUWA YA UWAZI!!
Anaposema "uwazi" anamaanisha kuwa wote walifunguka huko faraghani. Jifunze Kiswahili!
Lissu hana akili nzuri tena baada ya risasi kuminasita.
Umbea tu na propaganda za mkimbizi feki
Anajifanya anajuwa kila kitu na wengine wote ni wajinga. Ni mwanasiasa wa kiafrika aliyepitwa na wakati. Mtu anayesema wazungu wametusaidia sana zaidi ya miaka sabini. Huyu huwezi kumwamini kwa kitu chochote. Akae tu Ubeligiji atafute kazi ya kulea wazee ama kuendesha basi. Traitor.
@@gracegrace6200 Hujawahi kuwa msema ukweli umejikita kuchukua LISSU kama alikuahidi kukuoa baadaye hakufanya hivyo,usiendekeze chuki na Rais amesema tusameheane,pamoja na mambo mengi mabaya LISSU ametendewa na serikali hii alikuwa tayari kuzungumza,wewe unawazia mikopo toka tumepata Uhuru miaka sitini bado unafikiria mikopo fikira zako zimepitwa na wakati nenda darasani tena
@@mussahuyya7775 Tundu Lissu alikuwa na nia mbaya sana na Tanzania. Tundu Lissu anayejivunia.uanasheria , lakini anahukumu watu kwa ushahidi wa kudhania. Tundu Lissu aliliburula jina la Hayati Magufuli kwenye matope kwa ushahidi wa kudhania, Tundu Lissu hana roho ya kusamehe. Tundu Lissu kamushambulia Rais wetu mpendwa lawama bila ya ushahidi wakati akipigania mali zetu . Tundu Lissu ameshuka chini aliposhindwa mbinu zote za kuikosesha Tanzania amani. Tundu Lissu katukana kila kiongozi bila ya kujali ukweli. Kwa sasa Hana njia tena amerudi chini na kutaka kurudi nyumbani. Kuna Watanzania wengi watamusamehe Tundu Lissu, lakini hawatamusahau kwa vitendo vyake alivyoitendea nchi na Hayati Magufuli. . Tundu Lissu ataacha historia mbaya sana zaidi ya historia aliyoiacha chief Buthelezi wa Africa ya Kusini. TUGOMBANE, TUSIKUBALIANE, LAKINI IKIFIKA KWENYE UCHUMI WETU LAZIMA TUWE PAMOJA.. To me Tundu Lissu is nothing but an arrogant human being who thinks he knows everything but in fact he knows nothing.
@@mussahuyya7775 HUNA ushahidi unayo yazungumuza. Lissu angeweza kushambuliwa na yeyote yule kwa mudomo wake muchafu. Angeshambuliwa na serikali asingekuwepo. Hakuna mwanajeshi angeweza kumpiga risasi 16 kama munavyodai na kupona. Risasi moja tu ya kichwa ama moyo ingemumaliza. Aangalie ndani ya chama chake kuna gaidi ambaye alitak kumumaliza. Angalia kwenye campain za Urais Mbowe alikuwa wapi? Kimulacho kimo nguoni mwake. Kuna Gaidi kwenye chama chake. Mtu aliyekodiwa alikuwa hana ujuzi wa kutosha. Tafuteni aliyempiga Tundu Lissu risasi, hayuko mbali. Kuhusu kuolewa na Lissu, please do me a favour. Hayo mawazo na fikira za kitanzania ya bora kuolewa na yeyote yule, that is not my cup of tea. Namuonea huruma mukewe kuishi na Lissu, he is a very aggressive man. In fact I am 15 years older than him, very junior to me. Anayeishi na Tundu Lissu kama muke namuvulia kofia. She must be very tolerant wife, only she can be found in Musoma Tanzania.
Muogopeni sana huyo Fatani mkubwa Lissu anatamaa kubwa ya madaraka na mwizi mkubwa huyo Lissu
Wewe unayeendesha blog hii huna jema ni mtu wa hovyo huitakii mema nchi hii.Nimefuatilia vipindi vyako vingi vina chembe chembe ya uchochezi na uchafuzi wa nchi.
Alikutana na Rais kuomba alipwe fedha zake, fedha gani? Mtu alitembea dunia nzima kwa chuki akisema TUSUSWE, TUKATIWE MISAADA,,TUCHEKELEWE NA TUZOMEWE. Tanzania Kuna ndungu zake, Kuna jamaa zake, Kuna marafiki zake, mtu gani huyu? Katumia kila njia za kuiburula Tanzania kwenye matope Na kumushambulia balozi wetu Marekani kama thug, kamutukana Rais wetu mpendwa Hayati Magufuli mpaka kaburini. Huyu ni mtu kweli? Mbinu zake zote ameshindwa na sasa anataka kurudi nyumbani, ni nani alimufukuza? Maisha ya Ulaya yamemushinda, na waliokuwa wakimutumia kuifanya Tanzania masikini wameona hawezi kuwasaidia na kumutupa kwenye shimo. Mtoto mpotevu sasa anataka kurudi nyumbani, tena kwa mashariti. Pumbabu huyu. Musipo angalia , Huyu traitor ataigawa Tanzania vibaya.
Were ni mjinga kama jamaa zako WA Lumumba
Hata ya kukutana makibu ya maombi yake tuliyapata toka Kwa mwandishi wa habari alipotaka kujua kutoka Kwa Rais. Hakuna alichoambulia kwani Rais alikua ma msimamo wake Kwa kujibu mambo ya Mbowe yako mahakamani hawezj kuingilia alikubali kuongea nae kama mdogo wake na katika siasa kila MTU na chama chake kuhusu kuridi alimjibu kwamba wamuulize mwenyewe mbona wapinzani wengi tu wako nchini. Kapangua vizuri na Kwa busara Kwa hivi hakuna alichofanikiwa.
Ngurumo umejaribu kumtetea jamaa yako lkn moyoni unajua kuwa Kakurupuka matokeo yake, ilipoachiwa ya mh. Rais ikaonekana yeye Lisu kaongeza chumvi mno!!