LISSU ALIKURUPUKA AU ALIKOSEA KUSEMA HADHARANI TAARIFA YA KIKAO CHAKE NA RAIS SAMIA?

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 16. 02. 2022
  • Kwa Tundu Lissu kutoa hadharani taarifa za kikao chake na Rais Samia Suluhu, amekurupuka? Amekosea? Amekwenda kinyume cha utaratibu wa kiuongozi uliozoeleka? Aalaumiwe? Apongezwe? Kuna mifano ya wengine waliofanya tofauti na alivyofanya yeye?
  • Hudba

Komentáře • 82

  • @hichayasin7244
    @hichayasin7244 Před 2 lety +9

    LISU HAJAKURUPUKA HAJATAKA KUFANYA SIRI ALIWEKA HADHARANI WALIOONGEA ILI HAO BINAADAMU WASIJE WAKAANZA KUMUHISI MENGINE HAWACHELEWAGI KUSEMA TUNDU ANAHAMA CHAMA HONGERA TUNDULISU KUWA MKWELI,

  • @nishtirashidi2215
    @nishtirashidi2215 Před 2 lety +4

    Dah nakuelewa sana brow na pia napata faida nyingi sana kwa kufuatilia taalifa zako endelea kutoa elim na maelekezo

  • @stanslausmchonde7892
    @stanslausmchonde7892 Před 2 lety +3

    Umenikumbusha Maswali Magumu...
    Hongera kwa uchambuzi wako.

  • @eunidasfrancis3308
    @eunidasfrancis3308 Před 2 lety +5

    Tundu Lissu,, msifu bwana kweli juu uko Hai brada. Nakumbuka risasi ulizomwagiliwa 2017 Lo! Kweli mungu ni mungu na nakuombea sana

  • @josephmakutano7067
    @josephmakutano7067 Před 2 lety +7

    Lissu siyomnafiki anapenda ukweli hapendi dhuluma ubinafusi chuki uchoyo nafitina ndiyomaana nimuwazi hapendi kumung'unya maneno, tuungejuhudi zakatibampya kwafaida yetusote navizazivyetu,

    • @gracegrace6200
      @gracegrace6200 Před 2 lety

      Lissu ni MUNAFIKI, muchonganishi. Leo anasema hivi Kesho anabadilika. Ni mtu hana musimamo, muongo, MUNAFIKI, na anajifanya anajuwa kila kitu. Huyu ujinga wake wa kuabudu wazungu anaweza hata kuuza nchi. Ni moto wa kuotea mbali. Ni wajinga wanao muamini. Hafai hata kumuchungia mtu ng’ombe.

  • @milazomilazo6486
    @milazomilazo6486 Před 2 lety +3

    Kafany vizur sana kwann afiche

  • @Lifeeofemmy
    @Lifeeofemmy Před 2 lety +5

    Many people don't know the issue of politic affairs what His Excellency Tundu Lissu did it is completely right to the nation and that was the meeting of open hearted and open minded

    • @gracegrace6200
      @gracegrace6200 Před 2 lety

      Tundu Lissu is nothing but a traitor. Tundu Lissu did nothing for this nation. Tundu Lissu is those people who think they know everything but in fact, they know nothing. Tundu Lissu is not exposed enough to know the history of Africa, why we are poor, and why the west is rich. Tundu Lissu cannot be trusted to lead an African country. He is a puppet who does not believe on Africans can make Africa better. An arrogant a chest thumping man who is empty on his head.

    • @DLSGamingCircus
      @DLSGamingCircus Před 2 lety

      @@gracegrace6200 What have you done for this Country?

    • @gracegrace6200
      @gracegrace6200 Před 2 lety

      @@DLSGamingCircus what has Tundu Lissu done for this country more than campaigning against the country? TUSUSWE, TUKATIWE MISAADA, TUCHEKELEWE, TUZOMEWE, This came from a man who pride himself and wants to be President of this country. May be you think we are fool s to vote for this puppet. . We are not, and I can promise you , this traitor who abused our God sent President will never be President of this country. You can take that to the bank.

  • @papaamashana3962
    @papaamashana3962 Před rokem +1

    Mutetezi wawayanzania donyinyi safi

  • @kenedrocky5964
    @kenedrocky5964 Před 2 lety +3

    HAKUJOSEA NA HAKUKURUPUKA. YUKO SAHIHI 💯

  • @toronthojinakubwa3054
    @toronthojinakubwa3054 Před 2 lety +2

    Kutoka taarifa tundu amefanya vizuri sana ,sioni tatizo,kwasababu hii inadhihilisha uzarendo wa kweli

  • @evancemosha7862
    @evancemosha7862 Před 2 lety +2

    Asante ngurumo.

  • @josephmakutano7067
    @josephmakutano7067 Před 2 lety +3

    Tz tunawataalam wauchambuzi kamahuyu mheshimiwa ngurumo!!!

  • @sasungafumbwa8130
    @sasungafumbwa8130 Před 2 lety +1

    Antipas ana Hekima ya Roho Mtakatifu wa Mungu

  • @stevemathias2951
    @stevemathias2951 Před 2 lety +2

    Sio kua alikurupuka kutoa hiyo taarifa ya kikao chake na raisi lisu ni mkurupukaji kwa kila kitu na ndio mana amepotea kisiasa kilichomponza ni kukurupukia mambo

    • @asacconlinemedia5343
      @asacconlinemedia5343 Před 2 lety

      Wanaodhulumu haki za watu ndiyo wakurupukaji.Lissu ni binadamu mwenye Afya njema ya Akili. Mngejiuliza tu pamoja Na yote aliyofanyiwa kwanini Mungu hakuruhusu uhai wake utoke? Pamoja Na yale yote kwanini anaonekana mwenye Furaha Na waliomyima haki haki zake ndo wanaonekana kukosa Amani? Katika hili Mungu Bado ataendelea kuonyesha Ukuu wake.Kinu cha Mungu husaga taratibu sanaaaaa

  • @onesmokamili2968
    @onesmokamili2968 Před 2 lety +2

    Ngurumo una AKILI Sana

  • @MAPETEE
    @MAPETEE Před 2 lety +1

    Kweli kabisa wallah

  • @milazomilazo6486
    @milazomilazo6486 Před 2 lety +1

    Bora alivyosema maana ccm hawachelew kigeuka

  • @khalifasaid7338
    @khalifasaid7338 Před 2 lety +2

    Lisu amekurupuka sana alitakiwa kutulia kwanza hii nisiasa na sio ufakhari kama itakumbukwa Maalimu seif aliwahi kufanya mazungumzo na Nyerere lakini hadi hii Leo hatujui waliongea kitu Gani

    • @kenedrocky5964
      @kenedrocky5964 Před 2 lety

      NA ALIPO ZUNGUMZA NA MH MAGUFULI ALIMSUBIRI NANI????

  • @asacconlinemedia5343
    @asacconlinemedia5343 Před 2 lety

    Kumbukumbu muhimu sana kwa vizazi vijavyo

  • @musamusahshafi1496
    @musamusahshafi1496 Před 2 lety +1

    Mh lisu yupo sawa kwawenye hekma wanajua lisu yuposawa

  • @thomasjohn3499
    @thomasjohn3499 Před 2 lety

    JAMAA UNAONGEA POINT TU SAFI SANA.

  • @joojombi2341
    @joojombi2341 Před 2 lety +1

    Mpuuzi huyo bhana muongo mkubwa na mbeya mkubwa huyo na fatani mkubwa

  • @user-dk3ou5yk2f
    @user-dk3ou5yk2f Před 3 měsíci

    Kwa wote wanao mkashifu Lisu wajitafakari kama yangewakuta wao yaliyomkuta LISU wangekuwa HAI leo hii Mnamwonea wivu husuda kwa vipaji alivyojaliwa Ukatili mliomfanyia LISU Mungu atamlipia

  • @jonathankihebe9889
    @jonathankihebe9889 Před 2 lety +1

    Lissu yuko sawa alichofanya ni sahihi

  • @liliangabone5594
    @liliangabone5594 Před 2 lety

    I second you!!!

  • @AllglorytoGod22
    @AllglorytoGod22 Před 2 lety

    💯

  • @zachmaselle6635
    @zachmaselle6635 Před 2 lety

    ...sioni mantiki ya analysis kwa sababu kulikuwa hakuna ajenda...hizi ni briefings hazina significance. Hakuna binding au ulazima wa kusema walichozungumuzia......

  • @braystuskibassa3842
    @braystuskibassa3842 Před 2 lety +4

    Anatusaidia nini na yeye ni nani kwa Tanzania leo?

  • @petereck6647
    @petereck6647 Před 2 lety +2

    Hajakosea

    • @gracegrace6200
      @gracegrace6200 Před 2 lety

      Amekosea kwa kuropoka. Kajifanya munyenyekevu lakini kawatukana viongozi wote kwa dhalau na kujifanya yeye ni mujuwaji sana wengine wote ni wajinga. Tundu Lissu ni traitor

  • @hancemwaitebele8335
    @hancemwaitebele8335 Před 2 lety

    Wanao sema lissu amekurupuka ni wale wanafiki walio zoea uongo

  • @joojombi2341
    @joojombi2341 Před 2 lety +3

    Majuzi tu alikua akimtukana kama mtoto wake huyo ni mpuuzi na kichaa na ni njaa na uchu wa madaraka yanamsumbua muogope sana huyo kichaa

  • @nekashash2190
    @nekashash2190 Před 2 lety +2

    Lowasa.. .mbatia maalim ni tofauti na lissu...ishu ya lisu ipo tofauti sana...
    Kimsingi amekurupuka kusema alichoongea na rais...

  • @stanslausmachege2179
    @stanslausmachege2179 Před 2 lety +1

    Mbona unasumbuliwa na Mzimu Magufuli unapambana na kivuli, Magufuli ameachwa alama na amegusa mioyoni ya watu wengi na leo anaendelea kuishi ni vigumu kumuondoa kwa polojo zenu,fanyeni mguse watu?uchaguzi wa haki kipimo Chako ni kipi kimeshinda watu wako????

    • @AnsbertNgurumo
      @AnsbertNgurumo  Před 2 lety

      Ukikua utaelewa. Tuendelee. Asante kwa comment.

    • @gracegrace6200
      @gracegrace6200 Před 2 lety

      Kabisa Wanasumbuliwa na kivuli cha Hayati Magufuli. Hawa watu wana undermine vile Magufuli alivyoitawala mioyo yetu. Watu wengi wanakichukia chama cha Chadema kwa matusi ya Tundu Lissu kwa Hayati Magufuli. Kama kuchukuwa Dora ilikuwa ni wakati huu, kwa CCM walivyomugeuka Hayati Magufuli. Lakini kwa sasa Watanzania hawana altenative, kutoka CCM na kuwachaguwa hawa jamaa ni kama kuruka tope na kukanyaga MAVI. Hawa hawajitambuwi kabisa. Ni Watanzania ndiyo wanapiga kula, Na sio watu wachache wanaojiita wasomi na elimu zawo za kuunga unga.

  • @godfreymasele8853
    @godfreymasele8853 Před 2 lety +3

    LISU MKURUPUKAJI HAJUI UONGOZI MROPOKAJI KACHEMSHA SANA TU. NIMPUUZI SANASANA

  • @stephanoabihudi3429
    @stephanoabihudi3429 Před 2 lety

    Ww mnafiki tu

  • @ip_header
    @ip_header Před 2 lety

    Kutoa taarifa sio kosa kosa kuongea details zote za kikao, Maalimu Seif aliongea kwa ufupi na ujumla, lkn Tundu aliongea mpaka maswala ya binafsi kama ya kulipwa stahiki zake

    • @asacconlinemedia5343
      @asacconlinemedia5343 Před 2 lety

      Kuna tatizo?mafao ni haki yake.Walio mdhurumu hawana haki katika mafao yake

  • @verdianabanabi2205
    @verdianabanabi2205 Před 2 lety

    Ni kweli lissu aliwahi kusema mazungumzo yao kati yake na rais

  • @machaggechacha3422
    @machaggechacha3422 Před 2 lety

    Msaliti wahedi.

  • @atupelejohnmwakangale3226

    LOWASAA,SEIF NA MBATIA WALIONGEA KWA HEKIMA KWA KUJUA WALIKOTOKA NA MTU WALIYEKUWA WANAONGEA NAYE NI NANI

  • @onesmokamili2968
    @onesmokamili2968 Před 2 lety

    Wanao sema Lisu kakosea niwale waliotaka Lisu asikutane na Rais alafu watu hao ni mandumila kuili (Lisu Yuko sahii siyo mnafiki kwa Lisu Transparency ni muhimu Sana)

    • @gracegrace6200
      @gracegrace6200 Před 2 lety

      Alikutana na Rais kuomba alipwe fedha zake, fedha gani? Mtu alitembea dunia nzima kwa chuki akisema TUSUSWE, TUKATIWE MISAADA,,TUCHEKELEWE NA TUZOMEWE. Tanzania Kuna ndungu zake, Kuna jamaa zake, Kuna marafiki zake, mtu gani huyu? Katumia kila njia za kuiburula Tanzania kwenye matope Na kumushambulia balozi wetu Marekani kama thug, kamutukana Rais wetu mpendwa mpaka kaburini. Huyu ni mtu kweli? Mbinu zake zote ameshindwa na sasa anataka kurudi nyumbani, ni nani alimufukuza? Maisha ya Ulaya yamemushinda, na waliokuwa wakimutumia kuifanya Tanzania masikini wameona hawezi kuwasaidia na kumutupa kwenye shimo. Mtoto mpotevu sasa anataka kurudi nyumbani, tena kwa mashariti. Pumbabu huyu. Musipo angalia , Huyu traitor ataigawa Tanzania vibaya.

  • @jumayusuf1694
    @jumayusuf1694 Před 2 lety +2

    huyu jamaa pia hamna kitu

  • @chidjosh6056
    @chidjosh6056 Před 2 lety +2

    Hajakulupa au kukosea, kwasababu watanzania wanamtegemea, kwahio walitaka kujua alichoongea

    • @gracegrace6200
      @gracegrace6200 Před 2 lety

      Watannzania gani wanamutegemea mwenda wazimu kama Lissu?

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 Před 2 lety +1

    Mimi nadhani ukiongea na mwenzako unategemea kupata hata atlist robo kama sio yote na kama haifanyiki au aitekelezeki basi sio lazima kukutana kweli inakuwa kukutana huko ni kwa faida ya upande mmoja ili ujijenge kwa wananchi kuwa kuna maelewano wakati ni maelewano hewa tu yasiyo kuwa na utendaji wake.Yaani itakuwa Chama tawala ndio wanufaika wa kuhadaa wananchi na Dunia kwa manufaa yao

  • @viaurfk
    @viaurfk Před 2 lety +2

    Uchambuzi mzuri hongera mr.Ngurumo

    • @paschalisrugarabamu1052
      @paschalisrugarabamu1052 Před 2 lety

      Mhe SSH alisema alimualuka TAL kumtembeles na kumsikiluza kana binadamu mwenzake, wakati huo hui TAL aliona kama amealikwa kama Kiongozi Mwandamizi wa CDM aliyekimbia nchi kwa kuwindwa. Huko ndiko kusigana kwa msingi wa kukutana

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 Před 2 lety

    NAONA SHIDA KISWAHILI KINAWASUMBUA,
    UKISHASEMA MAZUMGUMZO YALIKUWA YA FARAGHA
    UNAMANISHA YALIKUWA YA SIRI!!
    HUWEZI KUSEMA TENA YALIKUWA YA UWAZI!!

    • @AnsbertNgurumo
      @AnsbertNgurumo  Před 2 lety +2

      Anaposema "uwazi" anamaanisha kuwa wote walifunguka huko faraghani. Jifunze Kiswahili!

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Před 2 lety +1

    Lissu hana akili nzuri tena baada ya risasi kuminasita.

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Před 2 lety +2

    Umbea tu na propaganda za mkimbizi feki

    • @gracegrace6200
      @gracegrace6200 Před 2 lety +1

      Anajifanya anajuwa kila kitu na wengine wote ni wajinga. Ni mwanasiasa wa kiafrika aliyepitwa na wakati. Mtu anayesema wazungu wametusaidia sana zaidi ya miaka sabini. Huyu huwezi kumwamini kwa kitu chochote. Akae tu Ubeligiji atafute kazi ya kulea wazee ama kuendesha basi. Traitor.

    • @mussahuyya7775
      @mussahuyya7775 Před 2 lety

      @@gracegrace6200 Hujawahi kuwa msema ukweli umejikita kuchukua LISSU kama alikuahidi kukuoa baadaye hakufanya hivyo,usiendekeze chuki na Rais amesema tusameheane,pamoja na mambo mengi mabaya LISSU ametendewa na serikali hii alikuwa tayari kuzungumza,wewe unawazia mikopo toka tumepata Uhuru miaka sitini bado unafikiria mikopo fikira zako zimepitwa na wakati nenda darasani tena

    • @gracegrace6200
      @gracegrace6200 Před 2 lety

      @@mussahuyya7775 Tundu Lissu alikuwa na nia mbaya sana na Tanzania. Tundu Lissu anayejivunia.uanasheria , lakini anahukumu watu kwa ushahidi wa kudhania. Tundu Lissu aliliburula jina la Hayati Magufuli kwenye matope kwa ushahidi wa kudhania, Tundu Lissu hana roho ya kusamehe. Tundu Lissu kamushambulia Rais wetu mpendwa lawama bila ya ushahidi wakati akipigania mali zetu . Tundu Lissu ameshuka chini aliposhindwa mbinu zote za kuikosesha Tanzania amani. Tundu Lissu katukana kila kiongozi bila ya kujali ukweli. Kwa sasa Hana njia tena amerudi chini na kutaka kurudi nyumbani. Kuna Watanzania wengi watamusamehe Tundu Lissu, lakini hawatamusahau kwa vitendo vyake alivyoitendea nchi na Hayati Magufuli. . Tundu Lissu ataacha historia mbaya sana zaidi ya historia aliyoiacha chief Buthelezi wa Africa ya Kusini. TUGOMBANE, TUSIKUBALIANE, LAKINI IKIFIKA KWENYE UCHUMI WETU LAZIMA TUWE PAMOJA.. To me Tundu Lissu is nothing but an arrogant human being who thinks he knows everything but in fact he knows nothing.

    • @gracegrace6200
      @gracegrace6200 Před 2 lety

      @@mussahuyya7775 HUNA ushahidi unayo yazungumuza. Lissu angeweza kushambuliwa na yeyote yule kwa mudomo wake muchafu. Angeshambuliwa na serikali asingekuwepo. Hakuna mwanajeshi angeweza kumpiga risasi 16 kama munavyodai na kupona. Risasi moja tu ya kichwa ama moyo ingemumaliza. Aangalie ndani ya chama chake kuna gaidi ambaye alitak kumumaliza. Angalia kwenye campain za Urais Mbowe alikuwa wapi? Kimulacho kimo nguoni mwake. Kuna Gaidi kwenye chama chake. Mtu aliyekodiwa alikuwa hana ujuzi wa kutosha. Tafuteni aliyempiga Tundu Lissu risasi, hayuko mbali. Kuhusu kuolewa na Lissu, please do me a favour. Hayo mawazo na fikira za kitanzania ya bora kuolewa na yeyote yule, that is not my cup of tea. Namuonea huruma mukewe kuishi na Lissu, he is a very aggressive man. In fact I am 15 years older than him, very junior to me. Anayeishi na Tundu Lissu kama muke namuvulia kofia. She must be very tolerant wife, only she can be found in Musoma Tanzania.

  • @joojombi2341
    @joojombi2341 Před 2 lety +2

    Muogopeni sana huyo Fatani mkubwa Lissu anatamaa kubwa ya madaraka na mwizi mkubwa huyo Lissu

  • @gordiansoko9113
    @gordiansoko9113 Před 2 lety

    Wewe unayeendesha blog hii huna jema ni mtu wa hovyo huitakii mema nchi hii.Nimefuatilia vipindi vyako vingi vina chembe chembe ya uchochezi na uchafuzi wa nchi.

  • @gracemima5234
    @gracemima5234 Před 2 lety

    Alikutana na Rais kuomba alipwe fedha zake, fedha gani? Mtu alitembea dunia nzima kwa chuki akisema TUSUSWE, TUKATIWE MISAADA,,TUCHEKELEWE NA TUZOMEWE. Tanzania Kuna ndungu zake, Kuna jamaa zake, Kuna marafiki zake, mtu gani huyu? Katumia kila njia za kuiburula Tanzania kwenye matope Na kumushambulia balozi wetu Marekani kama thug, kamutukana Rais wetu mpendwa Hayati Magufuli mpaka kaburini. Huyu ni mtu kweli? Mbinu zake zote ameshindwa na sasa anataka kurudi nyumbani, ni nani alimufukuza? Maisha ya Ulaya yamemushinda, na waliokuwa wakimutumia kuifanya Tanzania masikini wameona hawezi kuwasaidia na kumutupa kwenye shimo. Mtoto mpotevu sasa anataka kurudi nyumbani, tena kwa mashariti. Pumbabu huyu. Musipo angalia , Huyu traitor ataigawa Tanzania vibaya.

  • @hashimchaoga9566
    @hashimchaoga9566 Před 2 lety

    Hata ya kukutana makibu ya maombi yake tuliyapata toka Kwa mwandishi wa habari alipotaka kujua kutoka Kwa Rais. Hakuna alichoambulia kwani Rais alikua ma msimamo wake Kwa kujibu mambo ya Mbowe yako mahakamani hawezj kuingilia alikubali kuongea nae kama mdogo wake na katika siasa kila MTU na chama chake kuhusu kuridi alimjibu kwamba wamuulize mwenyewe mbona wapinzani wengi tu wako nchini. Kapangua vizuri na Kwa busara Kwa hivi hakuna alichofanikiwa.

  • @adammbaruku2499
    @adammbaruku2499 Před 2 lety

    Ngurumo umejaribu kumtetea jamaa yako lkn moyoni unajua kuwa Kakurupuka matokeo yake, ilipoachiwa ya mh. Rais ikaonekana yeye Lisu kaongeza chumvi mno!!