TULIONA YA GIZANI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 30. 06. 2024
  • Tuliona. Tulidokeza. Yamekuwa.
  • Hudba

Komentáře • 199

  • @ciciandjojo7701
    @ciciandjojo7701 Před 8 dny +5

    Mchungaji msigwa UMEHARIBU 😢 Ufunuo 3:16 "Hivyo kwa kuwa u vuguvugu, si baridi wala moto, nitakutapika utoke kinywani mwangu"

  • @pditanzania7764
    @pditanzania7764 Před 8 dny +8

    Amesahau msemo kwamba mwajili wa zamani hapondwi. Akiondoka jukwaa jipya ataponda tena. This is challenging. Nadhani angewashukuru waajiri wa zamani akasonga mbele na jukwaa jipya❤

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 Před 8 dny +14

    Wananchi tumuombe sana Mungu awaondolee tamaa za Yuda na vipande 30 kumuuza Yesu iwapitie mbali viongozi wetu,na siku mwkt.makamu wake,na katibu mkuu wa chadema, yeyote kati yao akifanya aliyoyafanya Msigwa,basi laana yao wakajinyonge yaishe! Msigwa umeasi chama wakati wa uchaguzi,jichunge sana usije ukamuasi na Mungu katika Uchungaji wako huko ccm, utageuka jiwe la chumvi!

  • @richardnganya2311
    @richardnganya2311 Před 8 dny +6

    Kwa maneno ya Musukuma ni kama Msigwa alipandikizwa. Sasa kagundulika wakamnyima kanda ! Yuda angali anaishi ..!

  • @emmanuelsulle911
    @emmanuelsulle911 Před 8 dny +3

    Nakukubali Mno Mchambuzi Wangu Hongeraaa sana sana Uko vizuri Mno kuliko maelezo, Mch Msigwa ni Mnafiki leo ndio Nimemuelewa vizuri.

    • @festokemibala5832
      @festokemibala5832 Před 8 dny

      Na ukiwa na mtu kama huyu na ni Mchungaji, waumini mwafwa!

  • @user-vi1ds6gw9g
    @user-vi1ds6gw9g Před 7 dny +3

    Hawa ndiyo watu wanaosababisha watu wengi washindwe kumwelewa Mungu, kama kweli huyu ni Mchungaji je! muumini wa kawaida atakuwaje? tamaa inasababisha watu wengi washindwe kumwamini Mungu kwa kweli.😭😭😭🇹🇿🇹🇿

    • @maryamtan682
      @maryamtan682 Před 7 dny

      Huyu si ndo alikuwa anasema kuwa anunuliwi, vp tena? Nakumbuka jinsi alivyokuwa akimsema vibaya hyt magufuli, tena alishindwa ht kumshukuru, alipomsaidia kulipa deni na kutolewa maabusu.

  • @levissanga8867
    @levissanga8867 Před 8 dny +6

    Msigwa ni vizuri usiwe na maneno mengi umetumikia Chedema kwa miaka mingi ulikuwa hujui hayo? Muogope Mungu

    • @simonnaivasha6393
      @simonnaivasha6393 Před 8 dny +2

      Amekwenda kulipa deni, mheshimiwa Msukuma ni msema kweli,! Msigwa subiri tuone , umeogopa kaukatiwa Network!! Chama ni taasisi wewe Msigwa ndiyo Huna agenda wa sera. Fedha za Dubai zina mzimu ya Kiarabu utapokea usiku, utasemwa mchana kuweupeee.

    • @illomowerner7690
      @illomowerner7690 Před 8 dny

      ​@simonnaivasha6393kweli kabisa, haiumi kwa yeye kuhama ila wale wengi walioumia kwa namna mbalimbali hata kupoteza maisha kupigania UBUNGE wake wakiamini atawapigania,
      Leo kweli unaitukana taasisi iliyokufikisha kwenye mafanikio makubwa uliyonayo Kwa sababu kama hizo? Ivi ni taasisi ipi isiyokuwa na kasoro hata kidogo, Hana nia njema, alikuwa akitafuta sababu, imeshindikana, ameamua kufosi hivyohivyo, kazi ya kiongozi ni kuwa sehemu ya kuweka mambo sawa ndani ya taasisi na siyo kususa, kukimbia matatizo na kuitukana wakati ndiyo iliyokufikisha hapo na kuonekana na hao WATESI alioungana nao kuendelea kuwatetea waendelee kuwamaliza kabisa watanzania na ndoto za maisha yao.
      INAUMA SANA,
      Ivi hata kama CHADEMA Kuna changamoto, zipi nyingi, kama sio alikoenda ndio mara dufu.
      MCHUNGAJI😲, sasa imejidhihirisha hata kanisani ilikuwa sehemu ya kusaka maisha......

  • @ceciliamagalabajimmy4391

    Speech imeandaliwa 😢😢😢😢😂😂😂😂😂😮😮😮😮

  • @olesiara308
    @olesiara308 Před 8 dny +9

    Kuna alichokosa,ni ulaji huo ni ubinafsi.MUNGU awe msaada kwetu

  • @user-vp1zu3fb5w
    @user-vp1zu3fb5w Před 8 dny +14

    HUYU NDIO MSIGWA!?😂DU!TENA MCHUNGAJI!? WAUMINI TUMEKWISHA😀

  • @JamesMhillu
    @JamesMhillu Před 3 dny +1

    Duh CCM balaa jamaa Kareena Ghana!

  • @almachiusjeremiah
    @almachiusjeremiah Před 8 dny +3

    Njaa mbaya 😊

  • @user-yo7sj8fs4h
    @user-yo7sj8fs4h Před 8 dny +10

    Msigwa ulipofikia ni aibu na dhambi yake itakutafuna tu

  • @TOMSAMSON-tj3sc
    @TOMSAMSON-tj3sc Před 8 dny +4

    Dunia imefika mwisho.Kitendo cha peter msigwa kusaliti chama chake Kwa kushindwa uongoxi Kanda ya Nyasa na kihsmia chama alichokuwa anakipinga siku zote ni kutudhihirishia kuwa anachochote na ni mpigania tumbo lake tu,hafai hatufai na tumpuuze daima.

  • @obinasimbeye1750
    @obinasimbeye1750 Před 8 dny +3

    Kashapotea kisiasa. Na umarufu kwishaaa

  • @IssaJohn-kk8pb
    @IssaJohn-kk8pb Před 8 dny +2

    Kubali mungu akusaidie umeanguka kama kweliwewe ni mchungaji na d

  • @lekishonmolele1859
    @lekishonmolele1859 Před 8 dny +7

    Kweli mjumbe sio mtu ni mbwa tu kama wale wengine

  • @HenryKisusi
    @HenryKisusi Před 7 dny +1

    KWANGU PETER MSIGWA AMEKUWA MCHONGAJI SIO MCHUNGAJI, MWONGO, MSALIT IKIWA YEYE NI MBAYA SIO UBAYA WA CHADEMA, MPUMBAVU SANA, KWENDRAAAAA ZAKO HUKO PETER MJINGA.😂😂😢😮

  • @stevensteve7519
    @stevensteve7519 Před 6 dny

    Msigwa yooooote sema lakini kubali kwamba hujui thamani yako katika jamii

  • @othmanali5362
    @othmanali5362 Před 8 dny +2

    Huyo ni kikaragosi
    Ngurumo hongera kwa kumchambua huyo.mwache aondoke .kuvunjika kwa jembe sio mwisho wa uhunzi.churachura hiyoo.

  • @user-ji8bw7jx6h
    @user-ji8bw7jx6h Před 8 dny +2

    Hata Yuda alikuwa mwanafunzi wa YESU. MCHUNGAJI !!!!!! Aibuuuuu.

  • @user-lx2lo2lp8m
    @user-lx2lo2lp8m Před 8 dny +2

    Wewe ni sawa na mtu apewe million 5 atembee kariakoo uchi mchana,umejidhalilisha sana bro,heshima ya miaka kumi kwishaa kabisa,hela ni shetani sana!..🤔

  • @ndikumasabodiegovevo9091

    Ivi angeshinda uenyekiti Nyasa angeongea ujinga huu?

    • @csato9415
      @csato9415 Před 8 dny +1

      Mimi nadhani asingeongea ila ndio angekuwa amepata na njia nzuri ya kuuza uchaguzi wa 2024/2025 ili kuwatengenezea njia CCM.

  • @fadhilimoshi5754
    @fadhilimoshi5754 Před 8 dny +2

    Wewe ni kuku tuu umenaswa kwa mahindi ni sawa namwanamke mdangaji ila jua umekalia kuti kavu huna amani moyoni tafakari chukua hatua.

  • @user-mx2tx5eg9x
    @user-mx2tx5eg9x Před 8 dny +3

    😂😂😂😂😂😂 mi napita tu jamani.

  • @gabrielgwasmasimbadaimaush8761

    Msigwa hakuwa na lengo la kuikomboa nchi hii Bali masilahi binafsi

  • @mfwimiekayuki8692
    @mfwimiekayuki8692 Před 8 dny +4

    Msigwa siyo Mhehe Muwanji.

  • @jesaminzo
    @jesaminzo Před 7 dny

    Na.... Na...na....😂! Najuta kuna kipindi nilikuwa namwona huyu mpendwa kama kamanda kweli kweli!

  • @chrissmichaelmashouda1726

    Siamini huyu leo anaandaliwa speech 😂😂

  • @ulimbagakipole3971
    @ulimbagakipole3971 Před 8 dny +6

    Msigwa popote pale hata sisiem wampe uongozi bila kupingwa akishindwa hata huko atakimbia. Nimwuulize Pastor wangu Msigwa Mwanachama gani ambae baada ya kuhamia sisiem ameendelea kuwa maarufu zaidi ya kupewa ukuu wa wilaya na kuwa kimya mpaka kiama ya wafu?. Hata wewe utapewa cheo nakupotelea huko. Hivyo ndivyo unavyoagana na umaarufu wako hilo tu. Ila mshiko utaendelea kupiga. Lakini ni kwa heri wakumbuke woooote waliohama na wengine tumeanza kuwasahau majina yao kina Nasari, Silinde, Mashinji, lamwai, na wengine kibao.

    • @samsonmwijage1869
      @samsonmwijage1869 Před 8 dny

      Oh siyo wote waliotoka chadema walihamia CCM.
      Wengine walikwenda ACT wazelendo na NCCR Mageuzi kama Zito Kabwe, Samson Mwigamba, Joseph Selasini (aliyekuwa mbunge wa Rombo), Saed Kubenea (aliyekuwa mbunge wa Ubungo) Dr Slaa, pia mbunge wa Moshi mjini bunge lililopita na wengine, wakiwemo pia hata baadhi ya wanawake waliokuwa wabunge wa viti maalumu chadema.
      Wapo pia waliojiunga na chadema yakawashinda ya huko wakarudi CCM kama Lowasa, Sumaye, Nyarandu, Kalanga Lazier wa Monduli, Khamis Mgeja wa Shinyanga, Chifu Kalumuna aliyekuwa meya wa Bukoba na wengine wengi.
      Lakini yupo aliyevunja rekodi Wema Sepetu alihamia chadema hakumaliza hata wiki 2 akarudi CCM.
      Wote hao sababu zao hazifanani. Ukimuuliza Saed Kubenea ana sababu zake za kutoka chadema kwenda ACT na Msigwa ana sababu zake zake na Upendo Peneza alitaja sababu zake za kutoka chadema n.k.
      Mambo haya yanahitaji kutafakari na tusiwe wepesi kuhukumu bila ushahidi mtu akihama.

    • @festokemibala5832
      @festokemibala5832 Před 8 dny

      Point: tulikuwa na Dogo janja, hajulikani yuko wapi hadi sasa. Huyo Katambi wala hana jukwaa hadi atumwe na Waziri mwenye dhamana asiwepo siku hiyo! Yuko wapi Mashimbi aliyekuwa Katibu Mkuu!! Yuko wapi Mtatiro anatafuta kuonekana Shinyanga kwa kufungia kanisa badala ya kufanya uchunguzi!!

  • @bakarimmbaga2344
    @bakarimmbaga2344 Před 8 dny +1

    Mmh! Kweli siasa mchezo mchafu... Ni kesho tu utasikia ameukwaa ukuu wa wilaya baada ya hapo kwisha habari yake😂😂😂

  • @StephenLetta
    @StephenLetta Před 8 dny +1

    Inahuzunisha sana.

  • @samoskiyalo6095
    @samoskiyalo6095 Před 8 dny +3

    Hunger sana walikuibia kura songa mbele

  • @stevensteve7519
    @stevensteve7519 Před 6 dny

    Utazunguuka nchi nzima kukibomoa chama chako tunajua utavuna mamilioni mengi kwa kazi hiyo. Kama unaongea haki Mungu atakutunza lakini vinginevyo atakushughulikia tuu

  • @godfreymeagisa1871
    @godfreymeagisa1871 Před 7 dny

    Kweli sasa hivi uchawa ni DIRI

  • @donatusnicolaus6403
    @donatusnicolaus6403 Před 8 dny +1

    Bro your doing good analysis you deserve to be zonal political professor 🎉

  • @gidongailo7174
    @gidongailo7174 Před 7 dny

    ,😂😂😂Msigwa bhana.

  • @user-xu3dx7vv8w
    @user-xu3dx7vv8w Před 7 dny

    Chama sio Cha Mbowe chama Cha wanachama kwahiyo kumsujudia Mbowe ni ukenge mkubwa

  • @user-lm3lt7xx6l
    @user-lm3lt7xx6l Před 8 dny +3

    kiongozi wabipinzan akiwa na nongwa tu lazima akimbolie ccm kwakuzan atawakomowa viongozi wa uoinzan

  • @ogweyoranga8110
    @ogweyoranga8110 Před 7 dny

    Uzuri ni kwamba ukiamua kuondoka chadema kwenda ccm huondoki na wanachama wa chadema bali unaondoka peke yako, sana sana utaondoka na mkeo au mumeo tu kama mkielewana. Chadema ni kubwa kuliko wewe Msigwa kwa hiyo wewe nenda, kwa heri.

  • @charleslukumai7875
    @charleslukumai7875 Před 8 dny +5

    Kwanini atoe kauli hii baada ya ile ya awali kukubali kushindwa? Kwa hiyo, kauli ya Msukuma kwamba alikuwa akipokea misaada toka ccm ni ya kweli. Alikuwa a snitch.

    • @franciscowilliam2575
      @franciscowilliam2575 Před 8 dny

      Hiyo kauli ya Msukuma nilikua nafikiria Sana, ila Msigwa hakutendewa haki. Kila mtu ana kiwango chake cha uvumilivu, Chadema inabidi wajiangalie pia chaguzi nyingi zimekua na malalamiko

    • @user-eo4bl3do8k
      @user-eo4bl3do8k Před 8 dny

      Msigwa kakurupuka kwasababu mbali ya kushindwa katika uchaguzi ule wa Kanda ya Nyssa chadema ina kazi nyingi za kuteuliwa za uongozi wa juu sio lazima uwe kio gozi wa Kanda,,msigwa umefanya jambo baya sana UTAJUTIA KWENYE MAISHA YAKO

    • @sammykateregga6238
      @sammykateregga6238 Před 7 dny

      Ohoooo!!! Hajaonewa Mch Msigwa na ikiwa kilikuwa walichofanya ni baada ya kugundua kwa Yuko kwenye payroll ya ccm kwa mujibu wa Msukuma.q@franciscowilliam2575

    • @sammykateregga6238
      @sammykateregga6238 Před 7 dny

      ​@@franciscowilliam2575hakuonewa na ikiwa kina lililofanya na viongozi wa CDM ni baada ya kugundua kwamba Mch alikuwa kwenye payroll ya ccm kwa mujibu wa Msukuma. Hivyo alistajili alichofanyiwa na badala ya kutubu amefanya ya Yuda Iskarioti.

  • @user-mk9by1re3w
    @user-mk9by1re3w Před 8 dny +1

    Unapenda uongozi na hela

  • @sifawayesu7079
    @sifawayesu7079 Před 8 dny +1

    Huyu Msigwa anazeeka vibaya jamani

  • @jumbeojaso5767
    @jumbeojaso5767 Před 4 dny

    Ama kweli Maneno ya muongo,hutengeneza kigugumizi, kama kaa la 🔥 moto kinywani.
    Msigwa ameganda asijue maneno ya kuunganisha sentensi anayoitamka.
    Ningekuwa yeye,ningenyamaza , kulikoni haya ya kaa la 🔥 kinywani.

  • @alexsakilu2650
    @alexsakilu2650 Před 8 dny +4

    Bila kusahau njaa uliyonayo

  • @heriel2002
    @heriel2002 Před 8 dny

    Huyu kwa matendo yake ni mchungaji wa mbuzi tu na kauli zake zitamsuta daima.
    Mwisho wa usaliti ni aibu kubwa!

  • @mathewyoung2159
    @mathewyoung2159 Před 8 dny +1

    Wew ni msaliti

  • @allybin08
    @allybin08 Před 8 dny +1

    Msigwa anaupiga mwingi😅😅😅😅

  • @EmanuelManyanda
    @EmanuelManyanda Před 8 dny

    Safari njema msigwa

  • @nkwazigatsha
    @nkwazigatsha Před 7 dny

    Sikujua Msigwa angekuwa changudoa wa kisiasa na mchumia tumbo tena chawa.

  • @nikundiweamosi5087
    @nikundiweamosi5087 Před 8 dny +1

    Kwishaaa msigwa

  • @obinasimbeye1750
    @obinasimbeye1750 Před 8 dny +1

    Wewe ndio huko safi jitathmini kutoka kwa msukuma . Msukuma ameshasema unaoews hela

  • @mohamedismail1376
    @mohamedismail1376 Před 8 dny

    Njaa mbaya sana na ubinafsi na ujinga

  • @AnaniaKyando
    @AnaniaKyando Před 8 dny +1

    Mm nitakuwa wa mwisho kuhamia ccm endapo nitaona mbowe na lisu wote wako ccm na mm nitawafata msigwa ni njaa tuu

  • @faykasalum9725
    @faykasalum9725 Před 8 dny

    Huyo ni mnafiki tumbo lake ndio linampa shida anaona Bora kuwauza watu walio mchagua Kwa msalahi yake

  • @festopaschal3801
    @festopaschal3801 Před 7 dny +1

    Msigwa bwana Yuda watanzania

  • @chidampiri1012
    @chidampiri1012 Před 8 dny +1

    Njaa usicheze nayo

  • @ephrahimkivuyo4275
    @ephrahimkivuyo4275 Před 8 dny +2

    Ngurumo mbona fupi sana 😅

  • @MohammedAlly-hp8fg
    @MohammedAlly-hp8fg Před 4 dny

    Wpo wengi sana watu wa dizain hii kma amjatambua baada ya msigwa utajionea wengine soon, wapuuz watupu jmaa hawa

  • @Moneyprinter7
    @Moneyprinter7 Před 5 dny

    Kamanda Freeman Mbowe anajua sana kusoma nyakati. Sasa huyu angekuwa mwenyekiti wa chama si ndio mwisho wa upinzani kuwa na wajinga kiasi hicho? Huyu awe kiongozi wa chama si ndio mwisho wa upinzani. Wacha Mbowe abaki kuwa mwenyekiti hadi mwisho wake

  • @FredMwamgogwa-td6ni
    @FredMwamgogwa-td6ni Před 8 dny +1

    Msigwa bwana😂😂😂😂😂

  • @user-ff9jg5oe1d
    @user-ff9jg5oe1d Před 8 dny +1

    Kwa maneno yako utahukumiwa

  • @johnmakundi9877
    @johnmakundi9877 Před 8 dny

    Msingwa fala msaliti toka mwanzo msingwa n shushushu la ccm ndani ya chadema so umetupisha acha harakati zisonge mbele

  • @KhatibuMshana-wy9pf
    @KhatibuMshana-wy9pf Před 7 dny +1

    Msingwa hapo unataka tu masilahi yako bwana acha kudanganya umma bwana

  • @yohanaeduward3596
    @yohanaeduward3596 Před 8 dny +1

    Ngurumo uko vizuli unachambua vizuli

  • @faustinebahenobi3412
    @faustinebahenobi3412 Před 8 dny

    Duhuu!! Siamini huyu ndo mnamwita mchungaji waumini kazi mnayo hapo hakuna mchungaji

  • @user-vi1ds6gw9g
    @user-vi1ds6gw9g Před 7 dny

    Yaani ameishi kwenye uongo na ufisadi, miaka yote akiwa mwanachama na kiongozi wa chama hicho kwa miaka zaidi ya 15 mpaka alipokosa uongozi ndiyo anatoka na kueleza hayo!😳 Msigwa wewe ni mtu wa hovyo sana yaani umejidhalilisha sana sana! hiyo tamaa ya mali na madaraka haitakupa amani huenda maisha yako yote, hata sisiyemu wenyewe huenda kwa namna ulivyobabaika, maana hujazoea kusema uongo, ulimi wako umekuwa mzito sana na kigugumizi kingi kabisa katika hotuba yako, hivyo umedharauliwa kabisa!😭😭😭🇹🇿 je! bado wewe utajiita mchungaji? labda wa wanyama siyo binadamu mwenye akili timamu.😭😭😭

  • @obinasimbeye1750
    @obinasimbeye1750 Před 8 dny +1

    Utatafunwa na hiyo mpakaa

  • @mr.lawimagupa3914
    @mr.lawimagupa3914 Před 8 dny

    ASE ANATIA KICHEFCHEF HUYU JAMAAA😢😢😢😢😢😢😢

  • @user-le7ek2zs4t
    @user-le7ek2zs4t Před 7 dny

    Wewe ni mwongo CCM ina miaka mingapi utapokea mshahara wa waongo unatia aibu wachungaji sijui huyu ni wa kanisa gani

  • @user-wk3wo9hv3c
    @user-wk3wo9hv3c Před 8 dny +3

    Alikuwa anatafuta tu chokochoko na sababu. Nitoke vipi

  • @user-lm3lt7xx6l
    @user-lm3lt7xx6l Před 8 dny +1

    Msigwa kwanga la ccm halikuelekei

  • @sophiamalinga18
    @sophiamalinga18 Před 5 dny

    Mingu hapendi uongo ilikuaje wewe mchungaji ukae kwenye uongo miaka yote hiyo

  • @JosephMagige-lf9ns
    @JosephMagige-lf9ns Před 3 dny

    Mwehu

  • @knight6757
    @knight6757 Před 8 dny +1

    CCM WAWE MACHO NA HUYU MCH.MSIGWA!

  • @ibrahimmohamed8845
    @ibrahimmohamed8845 Před 8 dny

    Mbona hujawahi kueleza kuhusu Mbowe alivyoahidi kuwa ifikapo mwaka 2023 angeachia kiti chake , lakini mpaka sasa hajaachia ameking'ang'ania ndiyo maana inaonesha kuwa hiyo ni SACCOS ya watu wachache.

  • @januarysila1569
    @januarysila1569 Před 8 dny +1

    jaa itakuua musigwa

  • @ameirzapy1318
    @ameirzapy1318 Před 8 dny

    Ndio aina ya viongozi wote wa Tz😢, Hakuna ccm wala Chadema wote matumbo yao ni muhimu zaidi

  • @deogratiaskatinda9232
    @deogratiaskatinda9232 Před 8 dny +3

    Mchungaji bogus kabisaa huyu, namna anavyozungumza inaonesha wazi jinsi ambavyo ameamua kujidhalilisha, kujishusha na kuingia kwenye kundi la MACHAWA!

  • @festopaschal3801
    @festopaschal3801 Před 7 dny +1

    Kwan mpaka uwe kiongozi? Mbona sugu alikuwa mshikaji wako sana kaka? Ukweli umejizalijisha sana hufai kuliongoza kanisa lamungu wenda uchunge ng'ombe

  • @user-bx3ko9ft5t
    @user-bx3ko9ft5t Před 6 dny

    Tinajua hata shetani ana wana funzi wake ungeenda act ninge kuelewa umepokea hela zakina msukuma

  • @albertkamala6843
    @albertkamala6843 Před 8 dny +1

    Mchungaji Msigwa katumia haki yake kikatiba kuhama kambi ya siasa ingawa kashindwa kuhalalisha maamuzi yake! Badala yake kakiangushia chama chake kwa zaidi miaka 20, mzigo wa tuhuma nzito ambazo zinakosa mantiki na ushahidi na hivyo kukosa ushawishi!
    >Ni wachache sana watakaosikiliza aliyoyaeleza/"narratives" alizotoa na kumuamini! Matokeo ni kujidhalilisha vibaya sana!
    >Lkn fungakazi ni tuhuma nzito dhidi yake za kupokea msaada wa fedha kutoka washikaji wake!

  • @user-le7ek2zs4t
    @user-le7ek2zs4t Před 7 dny

    CCM umeenda kutafuta nini msigwa rudi kwa Mungu umeenda kwa mashetani

  • @gabrielgwasmasimbadaimaush8761

    Msigwa mlafi was madaraka

  • @cosmaswilliam3805
    @cosmaswilliam3805 Před 8 dny

    Masikini Msingwa.

  • @majidukalokola7253
    @majidukalokola7253 Před 8 dny

    Mimi kilichonichekesha ni kusema yale anayoandikiws

  • @SaidShombe
    @SaidShombe Před 8 dny

    Sioni sababu ya kutokwa na popular kama hawafai mwacheni tunapata shida kuwaelewa kwanini linawasumbua

  • @carolinenicholaus8363
    @carolinenicholaus8363 Před 8 dny +1

    Yuda

  • @user-eo4bl3do8k
    @user-eo4bl3do8k Před 8 dny

    Vipi uwende ccm wakati ccm ni ADUI WETU SISI WATANZANIA NA TUNATAKA MABADILIKO ? MSIGWA USHALIKOROGA UTAJUTIA KWENYE MAISHA YAKO

  • @simbamaduhu1600
    @simbamaduhu1600 Před 8 dny

    Kumbe hata wachungaji wanasema uongo, maneno aliyosema akiwa chadema mbona leo amegeuka kuwa nyoka

  • @sophiamalinga18
    @sophiamalinga18 Před 5 dny

    Sijaona point hapo

  • @frankcharles3980
    @frankcharles3980 Před 5 dny

    WE MSIGWA SOMA KOMENT JINGA SANA WEWE

  • @dismasmtui729
    @dismasmtui729 Před 8 dny

    Nafikiri baada ya kutoka kwenye ukumbi alienda kushauriana na wafadhili wake wakamshauri aende kwenye vyombo vya akapinge huo uchaguzi!!!

  • @vicentkisogo4970
    @vicentkisogo4970 Před 8 dny

    Siasa ni sayansi😂😂😂

  • @josephmantago2837
    @josephmantago2837 Před 8 dny

    Chadema ni Imani haitakufa hata wakihama viongoz wake sis wananchi tunaiona chadema ndo kizazi kipya ccm ilikuwa ya mwl Nyerere na wenzake hii iliyopo ni kopi tu ya kuibia watanzania

  • @johnmligo6966
    @johnmligo6966 Před 8 dny

    Brooo,,,, WANASIASA WAKO IVO! SIELEWI KWANINI WATU WANAWAAMINI WANASIASA!! MACHIAVELLI'S PRINCIPLE, "The end justifies the means" hawa ni matumbo yao tuu!!! WANASIASA WALIO NA CONSISTENCY NI WAKUHESABU KWA MANATI!!!!😢😢

  • @yusuphyusuph1641
    @yusuphyusuph1641 Před 8 dny

    Ww jamaa ukiongea mtu asiye na akili atasema unaongea point kumbe pumba tu! Mbona kila siku unakosoa tu serikali hata kwa vitu ambavyo havistahili kukosolewa?unaonesha waziwazi kuwa una chuki binafsi na serikali

  • @user-wi8og3sv4j
    @user-wi8og3sv4j Před 8 dny +1

    Kwenya chama tu ni msaliti je akiwa rais na kupewa pesa ili wote atufanye mashoga atazikataa?

  • @oseamkama6264
    @oseamkama6264 Před 8 dny

    Mzee mchungaji ni mtu Makin sna huwezi kumlinganisha na sugu katika kujenga hoja km kapolwa ushindi wake kwann aendelee kumia moyon

    • @josephmantago2837
      @josephmantago2837 Před 8 dny +1

      Ndugai aliporwa uspika alihama sita aliambiwa hapewi uspika lbda awe mke alihama kwani Msigwa chadema alifata madaraka ya Kanda hyo mh amejidhalilisha hata ccm wanamshangaa wenye akili kama mh Nchimbi

    • @illomowerner7690
      @illomowerner7690 Před 8 dny

      ​@@josephmantago2837🤝

  • @EarnestMwangombola
    @EarnestMwangombola Před 8 dny

    Inaelekea Msigwa alisahau rushwa aliyomtuhumu Msukuma alipokuwa anajisifia kukomaa kisiasa. Leo rushwa imempofusha mchungaji. Hajamkanusha Msukuma sms za rushwa