Amesahau msemo kwamba mwajili wa zamani hapondwi. Akiondoka jukwaa jipya ataponda tena. This is challenging. Nadhani angewashukuru waajiri wa zamani akasonga mbele na jukwaa jipya❤
Wananchi tumuombe sana Mungu awaondolee tamaa za Yuda na vipande 30 kumuuza Yesu iwapitie mbali viongozi wetu,na siku mwkt.makamu wake,na katibu mkuu wa chadema, yeyote kati yao akifanya aliyoyafanya Msigwa,basi laana yao wakajinyonge yaishe! Msigwa umeasi chama wakati wa uchaguzi,jichunge sana usije ukamuasi na Mungu katika Uchungaji wako huko ccm, utageuka jiwe la chumvi!
Hawa ndiyo watu wanaosababisha watu wengi washindwe kumwelewa Mungu, kama kweli huyu ni Mchungaji je! muumini wa kawaida atakuwaje? tamaa inasababisha watu wengi washindwe kumwamini Mungu kwa kweli.😭😭😭🇹🇿🇹🇿
Huyu si ndo alikuwa anasema kuwa anunuliwi, vp tena? Nakumbuka jinsi alivyokuwa akimsema vibaya hyt magufuli, tena alishindwa ht kumshukuru, alipomsaidia kulipa deni na kutolewa maabusu.
@simonnaivasha6393kweli kabisa, haiumi kwa yeye kuhama ila wale wengi walioumia kwa namna mbalimbali hata kupoteza maisha kupigania UBUNGE wake wakiamini atawapigania, Leo kweli unaitukana taasisi iliyokufikisha kwenye mafanikio makubwa uliyonayo Kwa sababu kama hizo? Ivi ni taasisi ipi isiyokuwa na kasoro hata kidogo, Hana nia njema, alikuwa akitafuta sababu, imeshindikana, ameamua kufosi hivyohivyo, kazi ya kiongozi ni kuwa sehemu ya kuweka mambo sawa ndani ya taasisi na siyo kususa, kukimbia matatizo na kuitukana wakati ndiyo iliyokufikisha hapo na kuonekana na hao WATESI alioungana nao kuendelea kuwatetea waendelee kuwamaliza kabisa watanzania na ndoto za maisha yao. INAUMA SANA, Ivi hata kama CHADEMA Kuna changamoto, zipi nyingi, kama sio alikoenda ndio mara dufu. MCHUNGAJI😲, sasa imejidhihirisha hata kanisani ilikuwa sehemu ya kusaka maisha......
Dunia imefika mwisho.Kitendo cha peter msigwa kusaliti chama chake Kwa kushindwa uongoxi Kanda ya Nyasa na kihsmia chama alichokuwa anakipinga siku zote ni kutudhihirishia kuwa anachochote na ni mpigania tumbo lake tu,hafai hatufai na tumpuuze daima.
KWANGU PETER MSIGWA AMEKUWA MCHONGAJI SIO MCHUNGAJI, MWONGO, MSALIT IKIWA YEYE NI MBAYA SIO UBAYA WA CHADEMA, MPUMBAVU SANA, KWENDRAAAAA ZAKO HUKO PETER MJINGA.😂😂😢😮
Wewe ni sawa na mtu apewe million 5 atembee kariakoo uchi mchana,umejidhalilisha sana bro,heshima ya miaka kumi kwishaa kabisa,hela ni shetani sana!..🤔
Msigwa popote pale hata sisiem wampe uongozi bila kupingwa akishindwa hata huko atakimbia. Nimwuulize Pastor wangu Msigwa Mwanachama gani ambae baada ya kuhamia sisiem ameendelea kuwa maarufu zaidi ya kupewa ukuu wa wilaya na kuwa kimya mpaka kiama ya wafu?. Hata wewe utapewa cheo nakupotelea huko. Hivyo ndivyo unavyoagana na umaarufu wako hilo tu. Ila mshiko utaendelea kupiga. Lakini ni kwa heri wakumbuke woooote waliohama na wengine tumeanza kuwasahau majina yao kina Nasari, Silinde, Mashinji, lamwai, na wengine kibao.
Oh siyo wote waliotoka chadema walihamia CCM. Wengine walikwenda ACT wazelendo na NCCR Mageuzi kama Zito Kabwe, Samson Mwigamba, Joseph Selasini (aliyekuwa mbunge wa Rombo), Saed Kubenea (aliyekuwa mbunge wa Ubungo) Dr Slaa, pia mbunge wa Moshi mjini bunge lililopita na wengine, wakiwemo pia hata baadhi ya wanawake waliokuwa wabunge wa viti maalumu chadema. Wapo pia waliojiunga na chadema yakawashinda ya huko wakarudi CCM kama Lowasa, Sumaye, Nyarandu, Kalanga Lazier wa Monduli, Khamis Mgeja wa Shinyanga, Chifu Kalumuna aliyekuwa meya wa Bukoba na wengine wengi. Lakini yupo aliyevunja rekodi Wema Sepetu alihamia chadema hakumaliza hata wiki 2 akarudi CCM. Wote hao sababu zao hazifanani. Ukimuuliza Saed Kubenea ana sababu zake za kutoka chadema kwenda ACT na Msigwa ana sababu zake zake na Upendo Peneza alitaja sababu zake za kutoka chadema n.k. Mambo haya yanahitaji kutafakari na tusiwe wepesi kuhukumu bila ushahidi mtu akihama.
Point: tulikuwa na Dogo janja, hajulikani yuko wapi hadi sasa. Huyo Katambi wala hana jukwaa hadi atumwe na Waziri mwenye dhamana asiwepo siku hiyo! Yuko wapi Mashimbi aliyekuwa Katibu Mkuu!! Yuko wapi Mtatiro anatafuta kuonekana Shinyanga kwa kufungia kanisa badala ya kufanya uchunguzi!!
Utazunguuka nchi nzima kukibomoa chama chako tunajua utavuna mamilioni mengi kwa kazi hiyo. Kama unaongea haki Mungu atakutunza lakini vinginevyo atakushughulikia tuu
Uzuri ni kwamba ukiamua kuondoka chadema kwenda ccm huondoki na wanachama wa chadema bali unaondoka peke yako, sana sana utaondoka na mkeo au mumeo tu kama mkielewana. Chadema ni kubwa kuliko wewe Msigwa kwa hiyo wewe nenda, kwa heri.
Kwanini atoe kauli hii baada ya ile ya awali kukubali kushindwa? Kwa hiyo, kauli ya Msukuma kwamba alikuwa akipokea misaada toka ccm ni ya kweli. Alikuwa a snitch.
Hiyo kauli ya Msukuma nilikua nafikiria Sana, ila Msigwa hakutendewa haki. Kila mtu ana kiwango chake cha uvumilivu, Chadema inabidi wajiangalie pia chaguzi nyingi zimekua na malalamiko
Msigwa kakurupuka kwasababu mbali ya kushindwa katika uchaguzi ule wa Kanda ya Nyssa chadema ina kazi nyingi za kuteuliwa za uongozi wa juu sio lazima uwe kio gozi wa Kanda,,msigwa umefanya jambo baya sana UTAJUTIA KWENYE MAISHA YAKO
Ohoooo!!! Hajaonewa Mch Msigwa na ikiwa kilikuwa walichofanya ni baada ya kugundua kwa Yuko kwenye payroll ya ccm kwa mujibu wa Msukuma.q@franciscowilliam2575
@@franciscowilliam2575hakuonewa na ikiwa kina lililofanya na viongozi wa CDM ni baada ya kugundua kwamba Mch alikuwa kwenye payroll ya ccm kwa mujibu wa Msukuma. Hivyo alistajili alichofanyiwa na badala ya kutubu amefanya ya Yuda Iskarioti.
Ama kweli Maneno ya muongo,hutengeneza kigugumizi, kama kaa la 🔥 moto kinywani. Msigwa ameganda asijue maneno ya kuunganisha sentensi anayoitamka. Ningekuwa yeye,ningenyamaza , kulikoni haya ya kaa la 🔥 kinywani.
Kamanda Freeman Mbowe anajua sana kusoma nyakati. Sasa huyu angekuwa mwenyekiti wa chama si ndio mwisho wa upinzani kuwa na wajinga kiasi hicho? Huyu awe kiongozi wa chama si ndio mwisho wa upinzani. Wacha Mbowe abaki kuwa mwenyekiti hadi mwisho wake
Yaani ameishi kwenye uongo na ufisadi, miaka yote akiwa mwanachama na kiongozi wa chama hicho kwa miaka zaidi ya 15 mpaka alipokosa uongozi ndiyo anatoka na kueleza hayo!😳 Msigwa wewe ni mtu wa hovyo sana yaani umejidhalilisha sana sana! hiyo tamaa ya mali na madaraka haitakupa amani huenda maisha yako yote, hata sisiyemu wenyewe huenda kwa namna ulivyobabaika, maana hujazoea kusema uongo, ulimi wako umekuwa mzito sana na kigugumizi kingi kabisa katika hotuba yako, hivyo umedharauliwa kabisa!😭😭😭🇹🇿 je! bado wewe utajiita mchungaji? labda wa wanyama siyo binadamu mwenye akili timamu.😭😭😭
Mbona hujawahi kueleza kuhusu Mbowe alivyoahidi kuwa ifikapo mwaka 2023 angeachia kiti chake , lakini mpaka sasa hajaachia ameking'ang'ania ndiyo maana inaonesha kuwa hiyo ni SACCOS ya watu wachache.
Mchungaji Msigwa katumia haki yake kikatiba kuhama kambi ya siasa ingawa kashindwa kuhalalisha maamuzi yake! Badala yake kakiangushia chama chake kwa zaidi miaka 20, mzigo wa tuhuma nzito ambazo zinakosa mantiki na ushahidi na hivyo kukosa ushawishi! >Ni wachache sana watakaosikiliza aliyoyaeleza/"narratives" alizotoa na kumuamini! Matokeo ni kujidhalilisha vibaya sana! >Lkn fungakazi ni tuhuma nzito dhidi yake za kupokea msaada wa fedha kutoka washikaji wake!
Chadema ni Imani haitakufa hata wakihama viongoz wake sis wananchi tunaiona chadema ndo kizazi kipya ccm ilikuwa ya mwl Nyerere na wenzake hii iliyopo ni kopi tu ya kuibia watanzania
Brooo,,,, WANASIASA WAKO IVO! SIELEWI KWANINI WATU WANAWAAMINI WANASIASA!! MACHIAVELLI'S PRINCIPLE, "The end justifies the means" hawa ni matumbo yao tuu!!! WANASIASA WALIO NA CONSISTENCY NI WAKUHESABU KWA MANATI!!!!😢😢
Ww jamaa ukiongea mtu asiye na akili atasema unaongea point kumbe pumba tu! Mbona kila siku unakosoa tu serikali hata kwa vitu ambavyo havistahili kukosolewa?unaonesha waziwazi kuwa una chuki binafsi na serikali
Ndugai aliporwa uspika alihama sita aliambiwa hapewi uspika lbda awe mke alihama kwani Msigwa chadema alifata madaraka ya Kanda hyo mh amejidhalilisha hata ccm wanamshangaa wenye akili kama mh Nchimbi
Mchungaji msigwa UMEHARIBU 😢 Ufunuo 3:16 "Hivyo kwa kuwa u vuguvugu, si baridi wala moto, nitakutapika utoke kinywani mwangu"
Amesahau msemo kwamba mwajili wa zamani hapondwi. Akiondoka jukwaa jipya ataponda tena. This is challenging. Nadhani angewashukuru waajiri wa zamani akasonga mbele na jukwaa jipya❤
Wananchi tumuombe sana Mungu awaondolee tamaa za Yuda na vipande 30 kumuuza Yesu iwapitie mbali viongozi wetu,na siku mwkt.makamu wake,na katibu mkuu wa chadema, yeyote kati yao akifanya aliyoyafanya Msigwa,basi laana yao wakajinyonge yaishe! Msigwa umeasi chama wakati wa uchaguzi,jichunge sana usije ukamuasi na Mungu katika Uchungaji wako huko ccm, utageuka jiwe la chumvi!
p😊😊on
Kwa maneno ya Musukuma ni kama Msigwa alipandikizwa. Sasa kagundulika wakamnyima kanda ! Yuda angali anaishi ..!
Nakukubali Mno Mchambuzi Wangu Hongeraaa sana sana Uko vizuri Mno kuliko maelezo, Mch Msigwa ni Mnafiki leo ndio Nimemuelewa vizuri.
Na ukiwa na mtu kama huyu na ni Mchungaji, waumini mwafwa!
Hawa ndiyo watu wanaosababisha watu wengi washindwe kumwelewa Mungu, kama kweli huyu ni Mchungaji je! muumini wa kawaida atakuwaje? tamaa inasababisha watu wengi washindwe kumwamini Mungu kwa kweli.😭😭😭🇹🇿🇹🇿
Huyu si ndo alikuwa anasema kuwa anunuliwi, vp tena? Nakumbuka jinsi alivyokuwa akimsema vibaya hyt magufuli, tena alishindwa ht kumshukuru, alipomsaidia kulipa deni na kutolewa maabusu.
Msigwa ni vizuri usiwe na maneno mengi umetumikia Chedema kwa miaka mingi ulikuwa hujui hayo? Muogope Mungu
Amekwenda kulipa deni, mheshimiwa Msukuma ni msema kweli,! Msigwa subiri tuone , umeogopa kaukatiwa Network!! Chama ni taasisi wewe Msigwa ndiyo Huna agenda wa sera. Fedha za Dubai zina mzimu ya Kiarabu utapokea usiku, utasemwa mchana kuweupeee.
@simonnaivasha6393kweli kabisa, haiumi kwa yeye kuhama ila wale wengi walioumia kwa namna mbalimbali hata kupoteza maisha kupigania UBUNGE wake wakiamini atawapigania,
Leo kweli unaitukana taasisi iliyokufikisha kwenye mafanikio makubwa uliyonayo Kwa sababu kama hizo? Ivi ni taasisi ipi isiyokuwa na kasoro hata kidogo, Hana nia njema, alikuwa akitafuta sababu, imeshindikana, ameamua kufosi hivyohivyo, kazi ya kiongozi ni kuwa sehemu ya kuweka mambo sawa ndani ya taasisi na siyo kususa, kukimbia matatizo na kuitukana wakati ndiyo iliyokufikisha hapo na kuonekana na hao WATESI alioungana nao kuendelea kuwatetea waendelee kuwamaliza kabisa watanzania na ndoto za maisha yao.
INAUMA SANA,
Ivi hata kama CHADEMA Kuna changamoto, zipi nyingi, kama sio alikoenda ndio mara dufu.
MCHUNGAJI😲, sasa imejidhihirisha hata kanisani ilikuwa sehemu ya kusaka maisha......
Speech imeandaliwa 😢😢😢😢😂😂😂😂😂😮😮😮😮
Kuna alichokosa,ni ulaji huo ni ubinafsi.MUNGU awe msaada kwetu
HUYU NDIO MSIGWA!?😂DU!TENA MCHUNGAJI!? WAUMINI TUMEKWISHA😀
Wachungaji vp mala viungo vya alibino
Duh CCM balaa jamaa Kareena Ghana!
Njaa mbaya 😊
Msigwa ulipofikia ni aibu na dhambi yake itakutafuna tu
Dunia imefika mwisho.Kitendo cha peter msigwa kusaliti chama chake Kwa kushindwa uongoxi Kanda ya Nyasa na kihsmia chama alichokuwa anakipinga siku zote ni kutudhihirishia kuwa anachochote na ni mpigania tumbo lake tu,hafai hatufai na tumpuuze daima.
Tumeshampuuza msaka ugari
Kashapotea kisiasa. Na umarufu kwishaaa
Kubali mungu akusaidie umeanguka kama kweliwewe ni mchungaji na d
Kweli mjumbe sio mtu ni mbwa tu kama wale wengine
KWANGU PETER MSIGWA AMEKUWA MCHONGAJI SIO MCHUNGAJI, MWONGO, MSALIT IKIWA YEYE NI MBAYA SIO UBAYA WA CHADEMA, MPUMBAVU SANA, KWENDRAAAAA ZAKO HUKO PETER MJINGA.😂😂😢😮
Msigwa yooooote sema lakini kubali kwamba hujui thamani yako katika jamii
Huyo ni kikaragosi
Ngurumo hongera kwa kumchambua huyo.mwache aondoke .kuvunjika kwa jembe sio mwisho wa uhunzi.churachura hiyoo.
Hata Yuda alikuwa mwanafunzi wa YESU. MCHUNGAJI !!!!!! Aibuuuuu.
Wewe ni sawa na mtu apewe million 5 atembee kariakoo uchi mchana,umejidhalilisha sana bro,heshima ya miaka kumi kwishaa kabisa,hela ni shetani sana!..🤔
Ivi angeshinda uenyekiti Nyasa angeongea ujinga huu?
Mimi nadhani asingeongea ila ndio angekuwa amepata na njia nzuri ya kuuza uchaguzi wa 2024/2025 ili kuwatengenezea njia CCM.
Wewe ni kuku tuu umenaswa kwa mahindi ni sawa namwanamke mdangaji ila jua umekalia kuti kavu huna amani moyoni tafakari chukua hatua.
😂😂😂😂😂😂 mi napita tu jamani.
Msigwa hakuwa na lengo la kuikomboa nchi hii Bali masilahi binafsi
Msigwa siyo Mhehe Muwanji.
Na.... Na...na....😂! Najuta kuna kipindi nilikuwa namwona huyu mpendwa kama kamanda kweli kweli!
Siamini huyu leo anaandaliwa speech 😂😂
Msigwa popote pale hata sisiem wampe uongozi bila kupingwa akishindwa hata huko atakimbia. Nimwuulize Pastor wangu Msigwa Mwanachama gani ambae baada ya kuhamia sisiem ameendelea kuwa maarufu zaidi ya kupewa ukuu wa wilaya na kuwa kimya mpaka kiama ya wafu?. Hata wewe utapewa cheo nakupotelea huko. Hivyo ndivyo unavyoagana na umaarufu wako hilo tu. Ila mshiko utaendelea kupiga. Lakini ni kwa heri wakumbuke woooote waliohama na wengine tumeanza kuwasahau majina yao kina Nasari, Silinde, Mashinji, lamwai, na wengine kibao.
Oh siyo wote waliotoka chadema walihamia CCM.
Wengine walikwenda ACT wazelendo na NCCR Mageuzi kama Zito Kabwe, Samson Mwigamba, Joseph Selasini (aliyekuwa mbunge wa Rombo), Saed Kubenea (aliyekuwa mbunge wa Ubungo) Dr Slaa, pia mbunge wa Moshi mjini bunge lililopita na wengine, wakiwemo pia hata baadhi ya wanawake waliokuwa wabunge wa viti maalumu chadema.
Wapo pia waliojiunga na chadema yakawashinda ya huko wakarudi CCM kama Lowasa, Sumaye, Nyarandu, Kalanga Lazier wa Monduli, Khamis Mgeja wa Shinyanga, Chifu Kalumuna aliyekuwa meya wa Bukoba na wengine wengi.
Lakini yupo aliyevunja rekodi Wema Sepetu alihamia chadema hakumaliza hata wiki 2 akarudi CCM.
Wote hao sababu zao hazifanani. Ukimuuliza Saed Kubenea ana sababu zake za kutoka chadema kwenda ACT na Msigwa ana sababu zake zake na Upendo Peneza alitaja sababu zake za kutoka chadema n.k.
Mambo haya yanahitaji kutafakari na tusiwe wepesi kuhukumu bila ushahidi mtu akihama.
Point: tulikuwa na Dogo janja, hajulikani yuko wapi hadi sasa. Huyo Katambi wala hana jukwaa hadi atumwe na Waziri mwenye dhamana asiwepo siku hiyo! Yuko wapi Mashimbi aliyekuwa Katibu Mkuu!! Yuko wapi Mtatiro anatafuta kuonekana Shinyanga kwa kufungia kanisa badala ya kufanya uchunguzi!!
Mmh! Kweli siasa mchezo mchafu... Ni kesho tu utasikia ameukwaa ukuu wa wilaya baada ya hapo kwisha habari yake😂😂😂
Inahuzunisha sana.
Hunger sana walikuibia kura songa mbele
Utazunguuka nchi nzima kukibomoa chama chako tunajua utavuna mamilioni mengi kwa kazi hiyo. Kama unaongea haki Mungu atakutunza lakini vinginevyo atakushughulikia tuu
Kweli sasa hivi uchawa ni DIRI
Bro your doing good analysis you deserve to be zonal political professor 🎉
,😂😂😂Msigwa bhana.
Chama sio Cha Mbowe chama Cha wanachama kwahiyo kumsujudia Mbowe ni ukenge mkubwa
kiongozi wabipinzan akiwa na nongwa tu lazima akimbolie ccm kwakuzan atawakomowa viongozi wa uoinzan
Uzuri ni kwamba ukiamua kuondoka chadema kwenda ccm huondoki na wanachama wa chadema bali unaondoka peke yako, sana sana utaondoka na mkeo au mumeo tu kama mkielewana. Chadema ni kubwa kuliko wewe Msigwa kwa hiyo wewe nenda, kwa heri.
Kwanini atoe kauli hii baada ya ile ya awali kukubali kushindwa? Kwa hiyo, kauli ya Msukuma kwamba alikuwa akipokea misaada toka ccm ni ya kweli. Alikuwa a snitch.
Hiyo kauli ya Msukuma nilikua nafikiria Sana, ila Msigwa hakutendewa haki. Kila mtu ana kiwango chake cha uvumilivu, Chadema inabidi wajiangalie pia chaguzi nyingi zimekua na malalamiko
Msigwa kakurupuka kwasababu mbali ya kushindwa katika uchaguzi ule wa Kanda ya Nyssa chadema ina kazi nyingi za kuteuliwa za uongozi wa juu sio lazima uwe kio gozi wa Kanda,,msigwa umefanya jambo baya sana UTAJUTIA KWENYE MAISHA YAKO
Ohoooo!!! Hajaonewa Mch Msigwa na ikiwa kilikuwa walichofanya ni baada ya kugundua kwa Yuko kwenye payroll ya ccm kwa mujibu wa Msukuma.q@franciscowilliam2575
@@franciscowilliam2575hakuonewa na ikiwa kina lililofanya na viongozi wa CDM ni baada ya kugundua kwamba Mch alikuwa kwenye payroll ya ccm kwa mujibu wa Msukuma. Hivyo alistajili alichofanyiwa na badala ya kutubu amefanya ya Yuda Iskarioti.
Unapenda uongozi na hela
Huyu Msigwa anazeeka vibaya jamani
Ama kweli Maneno ya muongo,hutengeneza kigugumizi, kama kaa la 🔥 moto kinywani.
Msigwa ameganda asijue maneno ya kuunganisha sentensi anayoitamka.
Ningekuwa yeye,ningenyamaza , kulikoni haya ya kaa la 🔥 kinywani.
Bila kusahau njaa uliyonayo
Njaa mbaya sana
Huyu kwa matendo yake ni mchungaji wa mbuzi tu na kauli zake zitamsuta daima.
Mwisho wa usaliti ni aibu kubwa!
Wew ni msaliti
Msigwa anaupiga mwingi😅😅😅😅
Safari njema msigwa
Sikujua Msigwa angekuwa changudoa wa kisiasa na mchumia tumbo tena chawa.
Kwishaaa msigwa
Wewe ndio huko safi jitathmini kutoka kwa msukuma . Msukuma ameshasema unaoews hela
Njaa mbaya sana na ubinafsi na ujinga
Mm nitakuwa wa mwisho kuhamia ccm endapo nitaona mbowe na lisu wote wako ccm na mm nitawafata msigwa ni njaa tuu
Huyo ni mnafiki tumbo lake ndio linampa shida anaona Bora kuwauza watu walio mchagua Kwa msalahi yake
Msigwa bwana Yuda watanzania
Njaa usicheze nayo
Ngurumo mbona fupi sana 😅
Wpo wengi sana watu wa dizain hii kma amjatambua baada ya msigwa utajionea wengine soon, wapuuz watupu jmaa hawa
Kamanda Freeman Mbowe anajua sana kusoma nyakati. Sasa huyu angekuwa mwenyekiti wa chama si ndio mwisho wa upinzani kuwa na wajinga kiasi hicho? Huyu awe kiongozi wa chama si ndio mwisho wa upinzani. Wacha Mbowe abaki kuwa mwenyekiti hadi mwisho wake
Msigwa bwana😂😂😂😂😂
Kwa maneno yako utahukumiwa
Msingwa fala msaliti toka mwanzo msingwa n shushushu la ccm ndani ya chadema so umetupisha acha harakati zisonge mbele
Msingwa hapo unataka tu masilahi yako bwana acha kudanganya umma bwana
Ngurumo uko vizuli unachambua vizuli
Duhuu!! Siamini huyu ndo mnamwita mchungaji waumini kazi mnayo hapo hakuna mchungaji
Yaani ameishi kwenye uongo na ufisadi, miaka yote akiwa mwanachama na kiongozi wa chama hicho kwa miaka zaidi ya 15 mpaka alipokosa uongozi ndiyo anatoka na kueleza hayo!😳 Msigwa wewe ni mtu wa hovyo sana yaani umejidhalilisha sana sana! hiyo tamaa ya mali na madaraka haitakupa amani huenda maisha yako yote, hata sisiyemu wenyewe huenda kwa namna ulivyobabaika, maana hujazoea kusema uongo, ulimi wako umekuwa mzito sana na kigugumizi kingi kabisa katika hotuba yako, hivyo umedharauliwa kabisa!😭😭😭🇹🇿 je! bado wewe utajiita mchungaji? labda wa wanyama siyo binadamu mwenye akili timamu.😭😭😭
Utatafunwa na hiyo mpakaa
ASE ANATIA KICHEFCHEF HUYU JAMAAA😢😢😢😢😢😢😢
Wewe ni mwongo CCM ina miaka mingapi utapokea mshahara wa waongo unatia aibu wachungaji sijui huyu ni wa kanisa gani
Alikuwa anatafuta tu chokochoko na sababu. Nitoke vipi
Msigwa kwanga la ccm halikuelekei
Mingu hapendi uongo ilikuaje wewe mchungaji ukae kwenye uongo miaka yote hiyo
Mwehu
CCM WAWE MACHO NA HUYU MCH.MSIGWA!
Mbona hujawahi kueleza kuhusu Mbowe alivyoahidi kuwa ifikapo mwaka 2023 angeachia kiti chake , lakini mpaka sasa hajaachia ameking'ang'ania ndiyo maana inaonesha kuwa hiyo ni SACCOS ya watu wachache.
jaa itakuua musigwa
Ndio aina ya viongozi wote wa Tz😢, Hakuna ccm wala Chadema wote matumbo yao ni muhimu zaidi
Mchungaji bogus kabisaa huyu, namna anavyozungumza inaonesha wazi jinsi ambavyo ameamua kujidhalilisha, kujishusha na kuingia kwenye kundi la MACHAWA!
Kwan mpaka uwe kiongozi? Mbona sugu alikuwa mshikaji wako sana kaka? Ukweli umejizalijisha sana hufai kuliongoza kanisa lamungu wenda uchunge ng'ombe
Tinajua hata shetani ana wana funzi wake ungeenda act ninge kuelewa umepokea hela zakina msukuma
Mchungaji Msigwa katumia haki yake kikatiba kuhama kambi ya siasa ingawa kashindwa kuhalalisha maamuzi yake! Badala yake kakiangushia chama chake kwa zaidi miaka 20, mzigo wa tuhuma nzito ambazo zinakosa mantiki na ushahidi na hivyo kukosa ushawishi!
>Ni wachache sana watakaosikiliza aliyoyaeleza/"narratives" alizotoa na kumuamini! Matokeo ni kujidhalilisha vibaya sana!
>Lkn fungakazi ni tuhuma nzito dhidi yake za kupokea msaada wa fedha kutoka washikaji wake!
CCM umeenda kutafuta nini msigwa rudi kwa Mungu umeenda kwa mashetani
Msigwa mlafi was madaraka
Masikini Msingwa.
Mimi kilichonichekesha ni kusema yale anayoandikiws
😂😂 Kalokola bhana
Sioni sababu ya kutokwa na popular kama hawafai mwacheni tunapata shida kuwaelewa kwanini linawasumbua
Yuda
Vipi uwende ccm wakati ccm ni ADUI WETU SISI WATANZANIA NA TUNATAKA MABADILIKO ? MSIGWA USHALIKOROGA UTAJUTIA KWENYE MAISHA YAKO
Kumbe hata wachungaji wanasema uongo, maneno aliyosema akiwa chadema mbona leo amegeuka kuwa nyoka
Sijaona point hapo
@@sophiamalinga18 Ipo. Tazama GIZANI kwa umakini.
WE MSIGWA SOMA KOMENT JINGA SANA WEWE
Nafikiri baada ya kutoka kwenye ukumbi alienda kushauriana na wafadhili wake wakamshauri aende kwenye vyombo vya akapinge huo uchaguzi!!!
Siasa ni sayansi😂😂😂
Hakika siasa ni sayasi ya jamii, sio theology.
Chadema ni Imani haitakufa hata wakihama viongoz wake sis wananchi tunaiona chadema ndo kizazi kipya ccm ilikuwa ya mwl Nyerere na wenzake hii iliyopo ni kopi tu ya kuibia watanzania
Kweli kabisa Joseph
Brooo,,,, WANASIASA WAKO IVO! SIELEWI KWANINI WATU WANAWAAMINI WANASIASA!! MACHIAVELLI'S PRINCIPLE, "The end justifies the means" hawa ni matumbo yao tuu!!! WANASIASA WALIO NA CONSISTENCY NI WAKUHESABU KWA MANATI!!!!😢😢
Ww jamaa ukiongea mtu asiye na akili atasema unaongea point kumbe pumba tu! Mbona kila siku unakosoa tu serikali hata kwa vitu ambavyo havistahili kukosolewa?unaonesha waziwazi kuwa una chuki binafsi na serikali
Kwenya chama tu ni msaliti je akiwa rais na kupewa pesa ili wote atufanye mashoga atazikataa?
Mzee mchungaji ni mtu Makin sna huwezi kumlinganisha na sugu katika kujenga hoja km kapolwa ushindi wake kwann aendelee kumia moyon
Ndugai aliporwa uspika alihama sita aliambiwa hapewi uspika lbda awe mke alihama kwani Msigwa chadema alifata madaraka ya Kanda hyo mh amejidhalilisha hata ccm wanamshangaa wenye akili kama mh Nchimbi
@@josephmantago2837🤝
Inaelekea Msigwa alisahau rushwa aliyomtuhumu Msukuma alipokuwa anajisifia kukomaa kisiasa. Leo rushwa imempofusha mchungaji. Hajamkanusha Msukuma sms za rushwa