🔴

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 29. 06. 2024
  • 🔴#Live: RAIS RUTO AHOJIWA - ''POLISI WALILAZIMIKA KUTUMIA RISASI - HATA FAMILIA ZAO ZINAUMIA''...
    CREDIT Citizen TV Kenya @ / @kenyacitizentv
    / @kenyacitizentv
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Komentáře • 97

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Před 24 dny +8

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

    • @suleimanabdillah7490
      @suleimanabdillah7490 Před 23 dny +1

      You r three asking one and you can't give him chance to explain.
      Mr President I understand what you're saying,but Kenyans most of them wamezoea kuburuzwa,plan yako ilikuwa nzuri kama wangevumilia kidogo wangefurahi but wamezoea uongo wa wale waliofilisi nchi na wakakuachia nchi tupuJust tell them wavae viatu vyako WAELEZE kama niwao wangefanyaje kulipa madeni nakuendesha Serekali.
      Unapigwa na ma cartel na hao waliokutangulia.
      We pray for you Mr Ruto

    • @MariettaMaburuki2020
      @MariettaMaburuki2020 Před 22 dny

      Duo point analysis is crucial in the nation finances to be able to understand the cliff and downwards curve.

  • @user-gn7xd1yg3t
    @user-gn7xd1yg3t Před 24 dny +15

    Katiba ya Kenya ndo inaruhusu kumuandama Raisi kwa mijiswali mingi mingi mfululizo kama ivo!!!? Kama umeguswa na Kuandamwa kwa Raisi tia like yako apa.

  • @fahdihasnuu9034
    @fahdihasnuu9034 Před 23 dny +1

    I've listened up to 43 minute @ruto is smart

  • @peterjohnbahhi1565
    @peterjohnbahhi1565 Před 24 dny +6

    Hawa waandishi kama ni Tz wanafukuzwa....provoking and interrupting questions...nidhamu poor towards president

  • @benjaminmanento4120
    @benjaminmanento4120 Před 20 dny

    Brilliant ,cool, and knowledgeable President. Check how you brought them to reality. Wish you more success.

  • @josephatmhamiji4886
    @josephatmhamiji4886 Před 24 dny +3

    Tanzania 🇹🇿 tujifunze

  • @mdl6463
    @mdl6463 Před 24 dny +5

    RUTO kuwa mkali ili uweze kuwamudu wakenya kubali kubaki na wachache wanaokuelewa 😂😂😂😂😂

    • @KukuVillage
      @KukuVillage Před 24 dny

      ukali is typing......

    • @hassangasaba4565
      @hassangasaba4565 Před 24 dny

      Ugali gani Kenya sio Tanzania mnapelekwa kama wakoloni muinchi yenu.

    • @reymshana4923
      @reymshana4923 Před 24 dny

      Hakuna nchi duniani iliwahi kua na aman na maendeleo kwa kua karibu na 🇺🇸 na Nyie ni US puppet hamna option either mkope au mpandishe kodi ukichanganya na ukabila mtaandamana na kuuuana .na sijui kingereza kimewasaidia wap wazungu wa east Africa@@hassangasaba4565

    • @victorsanga2229
      @victorsanga2229 Před 23 dny

      Uwajui wakenya wewe,

  • @MariettaMaburuki2020
    @MariettaMaburuki2020 Před 22 dny

    We respect Ruto internationally for being a prudence leader who has MBO management style. His leadership will position kenya and pivot the nation forward

  • @catherinechao8004
    @catherinechao8004 Před 10 dny

    People should know that this man is smart ave been listening but hmmm we need Gods hand in kenya

  • @ngwakamongateko8696
    @ngwakamongateko8696 Před 23 dny

    Kenya wanao wandishi wa habari wanaojua professional yao. They can engage. Tofauti na wandishi wa TZ. Hata interviews zao siku zote zinavutia....the context.
    I congratulate them.

  • @alanusrespicius1796
    @alanusrespicius1796 Před 24 dny +1

    Siku Rais wa Tz akihojiwa kwa hali hii, tutakuwa tumeendelea.
    Tz hatuna Rais, tuna mungu.

  • @LilliBoy
    @LilliBoy Před 23 dny

    MR president Ruto,WALK THE TALK HON RUTO.

  • @pambamwatya
    @pambamwatya Před 24 dny

    Ohoh
    Lord help
    Ruto is passing through difficult situations

  • @yassinkimolo2943
    @yassinkimolo2943 Před 24 dny +1

    Mimi kama Mtanzania natamani siku moja nchi yangu ahojiwe kama hivi
    Wa Tanzania jitambueni na huu ndio uhuru halisi wa habari sio kwetu waandishi wakihoji Wana uwawa tuamke Rais haiwezekani akawa hakosei sio malaika asihojiwe wala kuchukuliwa hatua

  • @wanguwangu34
    @wanguwangu34 Před 24 dny +1

    Huwezi kutetea criminals, angalieni source ya haya maandamnao, watu wananyanganya police bunduki na kuua watu, hiyo je ni sawa kwamba waandamanaji wapole police bunduki.

    • @alanusrespicius1796
      @alanusrespicius1796 Před 24 dny

      Hakuna polisi aliyenyang'anywa bunduki. Uchu wa madaraka kuwanyanyasa raia ndo unaosumbua.

  • @rehemaomar4924
    @rehemaomar4924 Před 24 dny +1

    Jamaa hatoi majibu ni Rongo Rongo tu😂😂😂😂

  • @MariettaMaburuki2020
    @MariettaMaburuki2020 Před 22 dny

    There is inflation worldwide, taxes are high in Western words too finance budgets to delivery to citizens

  • @INUMBUMWANDU
    @INUMBUMWANDU Před 23 dny +1

    Baba hauna tija jihuzulu2 kiloho safi

  • @allynassoro8448
    @allynassoro8448 Před 24 dny +1

    Ama kweli wtz hamna kitu angalia comment zao utakuwa hawajitambui

    • @AminiMsellem-gk3yy
      @AminiMsellem-gk3yy Před 23 dny

      We angalia maisha yako usiangalie maisha ya mwenzako kama una uchungu kawasaidie Palestine miaka Mia moja wanapigana sembuse maandamano ya Kenya?

  • @user-cy5nz6lh3u
    @user-cy5nz6lh3u Před 24 dny +1

    Raisi ameshasema polisi wanafanya shughuli zao kwa uhuru, unapomuuliza Raisi kuhusu walichokifanya polisi maana yake nini?

  • @richardsobi3314
    @richardsobi3314 Před 24 dny +1

    Mwambie tunataka ajibu maswali anayo ulizwa awache kuhepa hepa, hasa kwa mauji, kukamatwa na polisi. Kwa nini anadharau sheria za mahakama. Ruto must Go

    • @AnastaziaMichael-ro3zr
      @AnastaziaMichael-ro3zr Před 24 dny

      Anajibu, unafikiri bila kutumia risasi,hali ngekuwaje, Nairobi yote ingewaka moto,ndo maana inaitwa nguvu ya serikali Kwa ujinga kama huo.

  • @thomasbarangwa4966
    @thomasbarangwa4966 Před 23 dny

    Ruto yuko smart

  • @MariettaMaburuki2020
    @MariettaMaburuki2020 Před 22 dny

    These young guys were in kenyatta regime pompering and they do rather tier the government and kenya .

  • @moncolione6018
    @moncolione6018 Před 23 dny

    After listening ton President ruto At 1:44 minutes in. I really belive he doesn't get it at all. A young man from his village said that many of them are leaving to work abroad, becouse they can't get jobs locally.
    Ruto responds by saying. Little did this young person know that. Mr Ruto him self personally has helped organise & funding 500 young people from his village to land jobs abroad.
    That's is what the young person was saying. We want to work locally. Creat jobs here at home.
    500 people from your village. Kenya has 45/ 50 constituency if am right. From the 500 all of them only qualified from your village Mr president?
    What conversation are you looking for?

  • @user-us4tk2tk3c
    @user-us4tk2tk3c Před 24 dny

    Uhuru ukizidi ni utumwa. Kila kitu kinapaswa kuwa na kiasi.

  • @user-cy5nz6lh3u
    @user-cy5nz6lh3u Před 24 dny

    Rule of law ndio inasema mchome rasilimali na kupora silaha za polisi

  • @LilliBoy
    @LilliBoy Před 23 dny

    Easy to lead and engage your pple, Them the Citzens,( we the pple,)

  • @JohnMuiruri-jw7vf
    @JohnMuiruri-jw7vf Před 23 dny

    Is this a court proceeding 😂😂😂

  • @user-cy5nz6lh3u
    @user-cy5nz6lh3u Před 24 dny

    Ukipewa uhuru nazima uhakikishe hauingilii uhuru wa wengine

  • @InnocentGlasses-ye1ox
    @InnocentGlasses-ye1ox Před 24 dny

    President you are to be hold accountable bcoz u want to rule with dictactorship

  • @leganmichael6148
    @leganmichael6148 Před 24 dny +1

    Swali zuri sana kwa waandish dk22 , maana wamekuwa wakiuliza maswali ya kikuda....hivi kama walikuwa wanaandamana kwa aman..Je nani alichoma maduka? Nani alichoma Bunge? Waandishi mnapaswa kueleza na madhara ya waandamanaji wahalifu na sio kumkandamiza Rutto tu

    • @gaspercharles2244
      @gaspercharles2244 Před 24 dny

      Ww hujui kwamba kama sio mabomu waliyopigwa na maji washawasha wasingeiba kitu cha mtu Hao wananchi walitiwa hasira kwani kenya hamjui ukizuia mtu asifanye jambo anapandwa na hasira? Mbona ni rahisi tu polisi kusimamia maandamano?

    • @yohanakananika3586
      @yohanakananika3586 Před 24 dny

      ​@@gaspercharles2244😅😅😅wakenya wasiibe walianzisha vurugu ili wa take advantage ya kuiba

    • @kihunidaddywene7135
      @kihunidaddywene7135 Před 24 dny

      Akuna uongo huo all this we blame ruto for watching it bila kuskiza citizens​@@yohanakananika3586

    • @fahdihasnuu9034
      @fahdihasnuu9034 Před 23 dny

      Biased journalists 😊

  • @JosephJumanne-e5y
    @JosephJumanne-e5y Před 21 dnem

    Jaman kuishi ukulu sio lelemama.inaitaji kuishi hapo kama sifa ya jalala tu,likitokea jema linatupwa ikulu pia likitokea baya bado linatupiwa ikulu.kwahiyo ikulu haina sifa ya utukufu
    B

  • @namaanwilson6467
    @namaanwilson6467 Před 24 dny

    Hawa waandikaji Wana D hawajui kuuliza

  • @wanguwangu34
    @wanguwangu34 Před 24 dny +1

    Hawa wandishi mbona hawana utaratibu wa kuuliza maswali maana kila mtu anarukia tu.

  • @user-cy5nz6lh3u
    @user-cy5nz6lh3u Před 24 dny

    Waandishi wa habari wanatakiwa kurudi darasani

  • @kenyanyt
    @kenyanyt Před 24 dny

    Kaikai ameseti this president na hajanotice😊

  • @EpimackMbonika
    @EpimackMbonika Před 23 dny

    Jamani ruto kubali yaishe uwezi kuzuia mafuriko kwa mikono

  • @christpphernzou4661
    @christpphernzou4661 Před 24 dny

    😂😂❤

  • @reymshana4923
    @reymshana4923 Před 24 dny

    Hivi wa kenya 🇰🇪 kwa nini hamjawahi kumtumia huyu mtu PROF. PLO LUMUMBA ni mtu anaekubalika zaid Africa lakin kwao kenya sijui hawamjui.

  • @gaspercharles2244
    @gaspercharles2244 Před 24 dny +1

    Jibu kama Raisi acha Jazba Rais unatakiwa kupunguza hasira maana ww ulitakiwa ushauri bunge kabla ya kila kitu kwamba wasikilize kwanza madai ya wananchi kwanza wasipitishe hiyo bill sio watu wafe ndio uongee jitafakari washauri wako sio wazuri fukuza wote utachomeka na moto ukidanganywa kuongoza kwa Sasa naona ni ngumu labda Mungu awake mkono wake tu

    • @josephmwita2107
      @josephmwita2107 Před 24 dny

      Hyu mwamba hajui yeye ndo mkuu wa nchi ambae ulinzi wote unamtegemea yeye anaposema police hawahitaji ruhusa yake anataa kumaanisha walichokifanya ni sahihi kama raisi alistahili kuomba msamaha Kwa kuwa ulinzi wa wananchi ni Moja ya Jukumu lake

    • @fahdihasnuu9034
      @fahdihasnuu9034 Před 23 dny

      ​@josephmwita2107 according to their rules polices should not ask from president to fulfill their duties since they have been given that authority according to the law

  • @AnastaziaMichael-ro3zr

    Walitaka polisi wafanye nini,Raisi anaonewa Kwa maswali Mengi,wangekuwa wao ndo Raisi Ruto wangekubali hali hiyo,na polisi kutumia risasi ilisaidia kuleta utulivu,na wasingefanya hivyo Nairobi yote ingewaka moto na Raisi angekimbia nchi,nguvu ya Raisi na jeshi lazima iwepo Ili kuweka heshima na usalama nchini

  • @sharimartinsdadah
    @sharimartinsdadah Před 23 dny

    Mtapunguza panganga..keter aliji alijiteka nyara kama vile raila anajiteka nyara.😂😂😂😂😂

  • @shabaniramadhani8026
    @shabaniramadhani8026 Před 24 dny

    Show you are hand of course no blood

  • @worldelectro2787
    @worldelectro2787 Před 24 dny

    Why do you send kenyan to come and fight Drc.?

  • @JamesChweya-op2cb
    @JamesChweya-op2cb Před 24 dny

    Ruto tawe

  • @TV-se1lf
    @TV-se1lf Před 24 dny +2

    Kama wakenya ndugu zetu, mmeachana na maadili ya kiafrika na kuishi kwa theory za vitabuni, basi soon mtaangamia. Respect the president plz. we do not want to see another sudan. remember your enemy is searching for a gap in you.

  • @MariettaMaburuki2020
    @MariettaMaburuki2020 Před 22 dny

    They need to resign , these biased guys . Where are the ladies who are motherly and love the nation

  • @wanguwangu34
    @wanguwangu34 Před 24 dny

    The questions are asked by journalists are used as never go to proper issue that why people demonstrating and destroying properties of people, for sure those are criminals and not protesters, criminals from Raila and Kenyata.

  • @INUMBUMWANDU
    @INUMBUMWANDU Před 23 dny

    Luto hana tija yauongozi aache kuhangaisha wakenya ajihuxulu2 kiloho safi

  • @pambamwatya
    @pambamwatya Před 24 dny

    Unaenda kuhojiana na Raisi umevaa Bangili ka wanganga wa kienyeji
    Ruto mpole sana ndo mana mnamchezea,
    Kiufupi, Wakenya hamna mipaka, mna over freedom ndo mana.

    • @victorsanga2229
      @victorsanga2229 Před 23 dny

      Ishu siyo upole, katiba ya Kenya ni zao la wananchi, wao ndiyo wenye power

  • @JuliusRyoba-er8bd
    @JuliusRyoba-er8bd Před 23 dny

    Roto sema ukweli kwa wakenya hawa ni binadamu kama wewe

  • @suleimanabdillah7490
    @suleimanabdillah7490 Před 23 dny

    Maswali yenu hayapimi uhalisia,wa nini kimefanyika na kipi bado,mnang'ang'ana ujinga kama hamtaki kulipa kodi mnafikiri yeye anachapisha pesa!
    Nlifikiri kisoma sana ndio akili kumbe ni bure nyie kabisa.
    Ruto hao waandishi hawakusaidii bali wanauliza maswali bila kuangalia matokeo ya uliyoyafanya.
    Look Mr Ruto,Ndio sababu wote waliokutangulia waliwapeleka nginjanginja

  • @leganmichael6148
    @leganmichael6148 Před 24 dny

    Waandishi mmekomaa Mh, Rais anajisikiaje sasa mbona nyie hamsemi mnajisikaje??
    Rais anakili hadharan Polisi wanafanya kazi kwa mujibu wa sheria kama wamefanya makosa watakuwa answerable...how come mnakomaa na Rais anajisikiaje...kwa hiyo akijiuzuri ndio kila kitu kitakuwa Ok?? Acheni unafki mtauana wenyewe kwa wenyewe tu

    • @user-cy5nz6lh3u
      @user-cy5nz6lh3u Před 24 dny

      Waandishi wamekariri maswali kwa hiyo hata kama yameshajibiwa bado wanayauliza tu

  • @TV-se1lf
    @TV-se1lf Před 24 dny

    ACHA MIRUNGI MAZEE, NCHI NZIMA MNAKULA MIRAA, UTARAJIE NINI KAMA SIO VIJANA KUWA MAZOMBI. SISI WATANZANIA VIJANA WANA AKILI TIMAMU , BANGI, MIRUNGI, GONGO, COCAIN MARUFUKU. ILA BASI TUU. NASIKIA ZAKAYO ANARUHUSU VIJANA MOMBASA WATUMIE MADAWA HALI YA KUWA WANANCHI WA HUKO HAWATAKI.

    • @alanusrespicius1796
      @alanusrespicius1796 Před 24 dny +1

      Wewe utakuwa si mtanzania. Sisi wenyewe wa Tz tunatakiwa kufanya kama kenya. Haowezekani wabunge walipwe milioni 18 kwa mwezi, pension ya milioni 300 kila baada ya miaka mitano. Lita sabini za mafuta kila siku, na posho ya laki 3 kila siku.
      Sukari ipo juu, kodi za biashara hazilipiki halafu unafungua domo kama bakuli. Acheni uchawa wa Tz, wakenya wanajitambua sana.

  • @tobiasanyona1794
    @tobiasanyona1794 Před 24 dny

    Mtukufu LIES we are tired of your lies.

  • @mwaamwetahussain9947
    @mwaamwetahussain9947 Před 24 dny

    Very sorry mr president 😢

  • @yasserhumphrey3295
    @yasserhumphrey3295 Před 24 dny +2

    Ruto ni mkomavu kisiasa npa big up.. mtumieni vizuri Ruto atawapeleka mbali wakenya niaminini mimi.🤔

  • @InnocentGlasses-ye1ox
    @InnocentGlasses-ye1ox Před 24 dny

    An enemy of the people ruto tumbo lisilo simbo

  • @user-ms1xg1fp4v
    @user-ms1xg1fp4v Před 22 dny

    Anahojiwa nini? Yeye kama ni mzalendo na Anaipenda nchi yake Aachie madaraka na maisha yaendelee.Sio kun,gan,gania madaraka wakati watu wanakufa.haijalishi wanaandamana kimambo ambayo wanaoshiba wanayadharau nakuyapuuza.

  • @JuliusRyoba-er8bd
    @JuliusRyoba-er8bd Před 23 dny

    Roto sema ukweli kwa wakenya hawa ni binadamu kama wewe