🔴
Vložit
- čas přidán 29. 06. 2024
- 🔴#Live: RAIS RUTO AHOJIWA - ''POLISI WALILAZIMIKA KUTUMIA RISASI - HATA FAMILIA ZAO ZINAUMIA''...
CREDIT Citizen TV Kenya @ / @kenyacitizentv
/ @kenyacitizentv
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
You r three asking one and you can't give him chance to explain.
Mr President I understand what you're saying,but Kenyans most of them wamezoea kuburuzwa,plan yako ilikuwa nzuri kama wangevumilia kidogo wangefurahi but wamezoea uongo wa wale waliofilisi nchi na wakakuachia nchi tupuJust tell them wavae viatu vyako WAELEZE kama niwao wangefanyaje kulipa madeni nakuendesha Serekali.
Unapigwa na ma cartel na hao waliokutangulia.
We pray for you Mr Ruto
Duo point analysis is crucial in the nation finances to be able to understand the cliff and downwards curve.
Katiba ya Kenya ndo inaruhusu kumuandama Raisi kwa mijiswali mingi mingi mfululizo kama ivo!!!? Kama umeguswa na Kuandamwa kwa Raisi tia like yako apa.
I've listened up to 43 minute @ruto is smart
Hawa waandishi kama ni Tz wanafukuzwa....provoking and interrupting questions...nidhamu poor towards president
Nidhamu gani anahitaji kuoneshwa Rais?
In your country
TZ bad ni village
Brilliant ,cool, and knowledgeable President. Check how you brought them to reality. Wish you more success.
Tanzania 🇹🇿 tujifunze
RUTO kuwa mkali ili uweze kuwamudu wakenya kubali kubaki na wachache wanaokuelewa 😂😂😂😂😂
ukali is typing......
Ugali gani Kenya sio Tanzania mnapelekwa kama wakoloni muinchi yenu.
Hakuna nchi duniani iliwahi kua na aman na maendeleo kwa kua karibu na 🇺🇸 na Nyie ni US puppet hamna option either mkope au mpandishe kodi ukichanganya na ukabila mtaandamana na kuuuana .na sijui kingereza kimewasaidia wap wazungu wa east Africa@@hassangasaba4565
Uwajui wakenya wewe,
We respect Ruto internationally for being a prudence leader who has MBO management style. His leadership will position kenya and pivot the nation forward
People should know that this man is smart ave been listening but hmmm we need Gods hand in kenya
Kenya wanao wandishi wa habari wanaojua professional yao. They can engage. Tofauti na wandishi wa TZ. Hata interviews zao siku zote zinavutia....the context.
I congratulate them.
Siku Rais wa Tz akihojiwa kwa hali hii, tutakuwa tumeendelea.
Tz hatuna Rais, tuna mungu.
Akili zakichaadema
MR president Ruto,WALK THE TALK HON RUTO.
Ohoh
Lord help
Ruto is passing through difficult situations
Mimi kama Mtanzania natamani siku moja nchi yangu ahojiwe kama hivi
Wa Tanzania jitambueni na huu ndio uhuru halisi wa habari sio kwetu waandishi wakihoji Wana uwawa tuamke Rais haiwezekani akawa hakosei sio malaika asihojiwe wala kuchukuliwa hatua
Hao waandishi wakuhoji tunao basi!!
Huwezi kutetea criminals, angalieni source ya haya maandamnao, watu wananyanganya police bunduki na kuua watu, hiyo je ni sawa kwamba waandamanaji wapole police bunduki.
Hakuna polisi aliyenyang'anywa bunduki. Uchu wa madaraka kuwanyanyasa raia ndo unaosumbua.
Jamaa hatoi majibu ni Rongo Rongo tu😂😂😂😂
Go to school for acquiring communication skills
There is inflation worldwide, taxes are high in Western words too finance budgets to delivery to citizens
Baba hauna tija jihuzulu2 kiloho safi
How
Ama kweli wtz hamna kitu angalia comment zao utakuwa hawajitambui
We angalia maisha yako usiangalie maisha ya mwenzako kama una uchungu kawasaidie Palestine miaka Mia moja wanapigana sembuse maandamano ya Kenya?
Raisi ameshasema polisi wanafanya shughuli zao kwa uhuru, unapomuuliza Raisi kuhusu walichokifanya polisi maana yake nini?
Mwambie tunataka ajibu maswali anayo ulizwa awache kuhepa hepa, hasa kwa mauji, kukamatwa na polisi. Kwa nini anadharau sheria za mahakama. Ruto must Go
Anajibu, unafikiri bila kutumia risasi,hali ngekuwaje, Nairobi yote ingewaka moto,ndo maana inaitwa nguvu ya serikali Kwa ujinga kama huo.
Ruto yuko smart
These young guys were in kenyatta regime pompering and they do rather tier the government and kenya .
After listening ton President ruto At 1:44 minutes in. I really belive he doesn't get it at all. A young man from his village said that many of them are leaving to work abroad, becouse they can't get jobs locally.
Ruto responds by saying. Little did this young person know that. Mr Ruto him self personally has helped organise & funding 500 young people from his village to land jobs abroad.
That's is what the young person was saying. We want to work locally. Creat jobs here at home.
500 people from your village. Kenya has 45/ 50 constituency if am right. From the 500 all of them only qualified from your village Mr president?
What conversation are you looking for?
Uhuru ukizidi ni utumwa. Kila kitu kinapaswa kuwa na kiasi.
Rule of law ndio inasema mchome rasilimali na kupora silaha za polisi
Easy to lead and engage your pple, Them the Citzens,( we the pple,)
Is this a court proceeding 😂😂😂
Ukipewa uhuru nazima uhakikishe hauingilii uhuru wa wengine
President you are to be hold accountable bcoz u want to rule with dictactorship
Swali zuri sana kwa waandish dk22 , maana wamekuwa wakiuliza maswali ya kikuda....hivi kama walikuwa wanaandamana kwa aman..Je nani alichoma maduka? Nani alichoma Bunge? Waandishi mnapaswa kueleza na madhara ya waandamanaji wahalifu na sio kumkandamiza Rutto tu
Ww hujui kwamba kama sio mabomu waliyopigwa na maji washawasha wasingeiba kitu cha mtu Hao wananchi walitiwa hasira kwani kenya hamjui ukizuia mtu asifanye jambo anapandwa na hasira? Mbona ni rahisi tu polisi kusimamia maandamano?
@@gaspercharles2244😅😅😅wakenya wasiibe walianzisha vurugu ili wa take advantage ya kuiba
Akuna uongo huo all this we blame ruto for watching it bila kuskiza citizens@@yohanakananika3586
Biased journalists 😊
Jaman kuishi ukulu sio lelemama.inaitaji kuishi hapo kama sifa ya jalala tu,likitokea jema linatupwa ikulu pia likitokea baya bado linatupiwa ikulu.kwahiyo ikulu haina sifa ya utukufu
B
Hawa waandikaji Wana D hawajui kuuliza
Hawa wandishi mbona hawana utaratibu wa kuuliza maswali maana kila mtu anarukia tu.
That's freedom of social medias,ni uhuru huo na rahisi hawez wakataza
Unataka utaratibu gani?
This is Kenya. Sorry thou
Waandishi wa habari wanatakiwa kurudi darasani
Kaikai ameseti this president na hajanotice😊
Jamani ruto kubali yaishe uwezi kuzuia mafuriko kwa mikono
😂😂❤
Hivi wa kenya 🇰🇪 kwa nini hamjawahi kumtumia huyu mtu PROF. PLO LUMUMBA ni mtu anaekubalika zaid Africa lakin kwao kenya sijui hawamjui.
Jibu kama Raisi acha Jazba Rais unatakiwa kupunguza hasira maana ww ulitakiwa ushauri bunge kabla ya kila kitu kwamba wasikilize kwanza madai ya wananchi kwanza wasipitishe hiyo bill sio watu wafe ndio uongee jitafakari washauri wako sio wazuri fukuza wote utachomeka na moto ukidanganywa kuongoza kwa Sasa naona ni ngumu labda Mungu awake mkono wake tu
Hyu mwamba hajui yeye ndo mkuu wa nchi ambae ulinzi wote unamtegemea yeye anaposema police hawahitaji ruhusa yake anataa kumaanisha walichokifanya ni sahihi kama raisi alistahili kuomba msamaha Kwa kuwa ulinzi wa wananchi ni Moja ya Jukumu lake
@josephmwita2107 according to their rules polices should not ask from president to fulfill their duties since they have been given that authority according to the law
Walitaka polisi wafanye nini,Raisi anaonewa Kwa maswali Mengi,wangekuwa wao ndo Raisi Ruto wangekubali hali hiyo,na polisi kutumia risasi ilisaidia kuleta utulivu,na wasingefanya hivyo Nairobi yote ingewaka moto na Raisi angekimbia nchi,nguvu ya Raisi na jeshi lazima iwepo Ili kuweka heshima na usalama nchini
Mtapunguza panganga..keter aliji alijiteka nyara kama vile raila anajiteka nyara.😂😂😂😂😂
Show you are hand of course no blood
Why do you send kenyan to come and fight Drc.?
Ruto tawe
Kama wakenya ndugu zetu, mmeachana na maadili ya kiafrika na kuishi kwa theory za vitabuni, basi soon mtaangamia. Respect the president plz. we do not want to see another sudan. remember your enemy is searching for a gap in you.
They need to resign , these biased guys . Where are the ladies who are motherly and love the nation
The questions are asked by journalists are used as never go to proper issue that why people demonstrating and destroying properties of people, for sure those are criminals and not protesters, criminals from Raila and Kenyata.
Luto hana tija yauongozi aache kuhangaisha wakenya ajihuxulu2 kiloho safi
Unaenda kuhojiana na Raisi umevaa Bangili ka wanganga wa kienyeji
Ruto mpole sana ndo mana mnamchezea,
Kiufupi, Wakenya hamna mipaka, mna over freedom ndo mana.
Ishu siyo upole, katiba ya Kenya ni zao la wananchi, wao ndiyo wenye power
Roto sema ukweli kwa wakenya hawa ni binadamu kama wewe
Maswali yenu hayapimi uhalisia,wa nini kimefanyika na kipi bado,mnang'ang'ana ujinga kama hamtaki kulipa kodi mnafikiri yeye anachapisha pesa!
Nlifikiri kisoma sana ndio akili kumbe ni bure nyie kabisa.
Ruto hao waandishi hawakusaidii bali wanauliza maswali bila kuangalia matokeo ya uliyoyafanya.
Look Mr Ruto,Ndio sababu wote waliokutangulia waliwapeleka nginjanginja
Waandishi mmekomaa Mh, Rais anajisikiaje sasa mbona nyie hamsemi mnajisikaje??
Rais anakili hadharan Polisi wanafanya kazi kwa mujibu wa sheria kama wamefanya makosa watakuwa answerable...how come mnakomaa na Rais anajisikiaje...kwa hiyo akijiuzuri ndio kila kitu kitakuwa Ok?? Acheni unafki mtauana wenyewe kwa wenyewe tu
Waandishi wamekariri maswali kwa hiyo hata kama yameshajibiwa bado wanayauliza tu
ACHA MIRUNGI MAZEE, NCHI NZIMA MNAKULA MIRAA, UTARAJIE NINI KAMA SIO VIJANA KUWA MAZOMBI. SISI WATANZANIA VIJANA WANA AKILI TIMAMU , BANGI, MIRUNGI, GONGO, COCAIN MARUFUKU. ILA BASI TUU. NASIKIA ZAKAYO ANARUHUSU VIJANA MOMBASA WATUMIE MADAWA HALI YA KUWA WANANCHI WA HUKO HAWATAKI.
Wewe utakuwa si mtanzania. Sisi wenyewe wa Tz tunatakiwa kufanya kama kenya. Haowezekani wabunge walipwe milioni 18 kwa mwezi, pension ya milioni 300 kila baada ya miaka mitano. Lita sabini za mafuta kila siku, na posho ya laki 3 kila siku.
Sukari ipo juu, kodi za biashara hazilipiki halafu unafungua domo kama bakuli. Acheni uchawa wa Tz, wakenya wanajitambua sana.
Mtukufu LIES we are tired of your lies.
Very sorry mr president 😢
Ruto ni mkomavu kisiasa npa big up.. mtumieni vizuri Ruto atawapeleka mbali wakenya niaminini mimi.🤔
An enemy of the people ruto tumbo lisilo simbo
Anahojiwa nini? Yeye kama ni mzalendo na Anaipenda nchi yake Aachie madaraka na maisha yaendelee.Sio kun,gan,gania madaraka wakati watu wanakufa.haijalishi wanaandamana kimambo ambayo wanaoshiba wanayadharau nakuyapuuza.
Roto sema ukweli kwa wakenya hawa ni binadamu kama wewe